USIPOFANYA HIVI UTACHELEWA SANA KUFANIKIWA | Ezden Jumanne
Vložit
- čas přidán 9. 06. 2022
- USIPOFANYA HIVI UTACHELEWA SANA KUFANIKIWA | Ezden Jumanne
Hakikisha unatafuta namna ya kushirikiana na wengine katika shughuli zako, ili hata usipokuwepo shughuli zinakwenda bila wasiwasi.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA VITABU TELEGRAM (BURE):
Moja kwa moja bonyeza Link hii:
BONYEZA👉🏽 t.me/spnbookclub
1) Kwenye group utapata masomo ambayo hayapo kwenye youtube.
2) Kuwa wa kwanza kuona video zetu saa moja kabla ya kupanda kwenye youtube.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
czcams.com/channels/Ofv.html...
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
tinyurl.com/ezdenjumanne
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: ezdenjumanne
tinyurl.com/matangazo
.
.
#usipofanya #utachelewa #kufanikiwa
Hilo tangazo tamu
Hilo la mtandao wa bluu... napataje
yeah nice mungu atupe nguvu na imani katika kuyazingatia hay amin
Ushauri juu ya biashar
Napenda Sana mafundisho yako mungu akuinue zaidi
Allah akulipe kher hakika hii ni zaid ya swadakah unazo toa kwetu sijutii kujua darsa zako .
Naomba unitafute nakuomba hata namba yako t iweke ntakupigia nnashida mno ya ushauri na mawazo
Thanks
thanks i have just learnt something i never knew,,, endelea kutuelimisha Mungu akubariki
Asante sana kak
Kaka Ezden hayo unayaongelea nimeyaona kwenye kitabu Cha THE 7 HABITS OF EFFECTIVE PEOPLE...
pale mwandshi alipozungumzia... dependency, independent and interdependent..... ahsante sana.....
Waow...kweli asee umekisoma! Hii kitu inamanufaa sana kwa kila atakayefuatilia
Jazzakallah kher kaka maana unaisanua sana akili yangu kaka asante sana
Upo vizur kaka
Imekaa poa sana tutashirkiana kuanzia leo
asante sana kaka yangu !! kunakitu nlikuwa nakimisi but now naweza kukirekebisha na kulifanyia kazi katika namna njema!! be blessed and see you value! !
Kila la kheri, nakutakia mafanikio
On point sanAa
Ol
Thanks bro
Kaka mambo vpi mmm Enoch from Mombasa kenya 🇰🇪 na fanya na kinyozi experience of five years nimejaribu kueka karibu na vinyozi wenzangu but mwisho wamekua watu wakiongea mbaya kwa clnt wangu mpaka kwa boss wakati mmm ndio chanzo cha kuwaleta kazi nifanyeje ili niwe na watu wakufanya kazi nao juuu natamani sana kufanya kazi na wenzangu juu this is my talent job
Kuna mazingira hapo inabidi kuangalia, kama wewe ndio mwenye office inatakiwa uajiri watu wenye uwezo wa kazi na kazi pekee. Unaruhusiwa kubadilisha watu mpaka patulie, tatizo watu wengi wanachanganya urafiki na kazi. Ukiweka kuchora mstari kati ya hivi viwili na kuweka misngi ya kazi kwenye kazi... utapata watu ambao watakuwepo kwa ajjli ya kazi tu.
ikopoa🎉
Edizen jumanne wewe ni ticha bora
Shukrani sana
🙏
Assante sana kaka nahitaji kufika mbali kimaendeleo maneno yako nayafanyia kazi
Nafurahi sana kusikia hivyo
Good job
Kweli kabsa bro
👍
Kila nikiskiza napata faida jpo nkidgo
👊👊👊
🙏🙏🙏
Kaka nakukubali mpaka nashindwa jinsi ya kukuambia ili ujue nakukubali kiasi gan
Kila wakat SPN inanifanya nijifunze, nimepoteza muda mwingi na nguvu nyingi sana, kufanya kaz mwenyewe lkn nazalisha kdg, thanks for the lesson bro Ezden🙏
Karibu sana, na utaona faida kubwa sana katika hili kama ukianza kulifanya
@@successpathnetwork I have question
wewe ni bora kaka umenijenga
Karibu sana...
Namba ushauri jinsi ya kufanikiwa kwenye biashara
Jitahidi kufuatilia vizuri haya masomo ya biashara. na pia njoo whatsapp kwa msaada zaidi
Nafanikiwaje kwenye biashara yenye mtaji mdogo
Alo kaka mimi nifundi naweza kufanya je ili unitagazie kazi yangu
Njoo What'sApp tafadhali. Niandikie neno TANGAZO
mashirikiano ni very important,, but shida inatokea pale endapo hujapata watu sahihi wa kushirikiana nao utaona bora ukomae mwenyewe
Kumbuka huu si ushirikiano wa kubebana, unakuwa ni ushirikiano wa kikazi ambao hamuhitaji kuwa marafiki kila mtu anafanya kazi yake, na unaufanya na watu wanaofanya vizuri katika eneo ambalo wewe hauko vizuri. Kwa sababu unalipa pesa kunakuwa hakuna shida ya kufikiria watu ni sahihi au sio sahihi sababu wakizingua unawapa tenda watu wengine...epuka kufanya kila kitu mwenyewe, inakula muda wako