USIPOFANYA HIVI UTACHELEWA SANA KUFANIKIWA | Ezden Jumanne

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 06. 2022
  • USIPOFANYA HIVI UTACHELEWA SANA KUFANIKIWA | Ezden Jumanne
    Hakikisha unatafuta namna ya kushirikiana na wengine katika shughuli zako, ili hata usipokuwepo shughuli zinakwenda bila wasiwasi.
    .
    Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA VITABU TELEGRAM (BURE):
    Moja kwa moja bonyeza Link hii:
    BONYEZA👉🏽 t.me/spnbookclub
    1) Kwenye group utapata masomo ambayo hayapo kwenye youtube.
    2) Kuwa wa kwanza kuona video zetu saa moja kabla ya kupanda kwenye youtube.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
    Instagram: @ezdenjumanne
    Twitter: @ezdenjumanne
    Facebook: Ezden Jumanne
    Phone: (+255)759 191 076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    czcams.com/channels/Ofv.html...
    .
    VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
    tinyurl.com/ezdenjumanne
    .
    KUPATA MATANGAZO:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    SIMU: (+255) 759 191 076
    EMAIL: ezdenjumanne
    tinyurl.com/matangazo
    .
    .
    #usipofanya #utachelewa #kufanikiwa

Komentáře • 45

  • @Alama_Tv_online
    @Alama_Tv_online Před 2 lety +3

    Hilo tangazo tamu
    Hilo la mtandao wa bluu... napataje

  • @user-qd9qt7ro6b
    @user-qd9qt7ro6b Před 11 měsíci +1

    yeah nice mungu atupe nguvu na imani katika kuyazingatia hay amin

  • @YaziduJuma-fu2ul
    @YaziduJuma-fu2ul Před rokem +1

    Ushauri juu ya biashar

  • @hellenakabakama-nz1cw
    @hellenakabakama-nz1cw Před 6 měsíci

    Napenda Sana mafundisho yako mungu akuinue zaidi

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 Před 2 lety +1

    Allah akulipe kher hakika hii ni zaid ya swadakah unazo toa kwetu sijutii kujua darsa zako .
    Naomba unitafute nakuomba hata namba yako t iweke ntakupigia nnashida mno ya ushauri na mawazo

  • @SIMBA-sh6pk
    @SIMBA-sh6pk Před 2 lety +2

    Thanks

  • @mboyaletherock3674
    @mboyaletherock3674 Před 2 lety +1

    thanks i have just learnt something i never knew,,, endelea kutuelimisha Mungu akubariki

  • @pelaalone1256
    @pelaalone1256 Před rokem +1

    Asante sana kak

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 Před 2 lety +3

    Kaka Ezden hayo unayaongelea nimeyaona kwenye kitabu Cha THE 7 HABITS OF EFFECTIVE PEOPLE...
    pale mwandshi alipozungumzia... dependency, independent and interdependent..... ahsante sana.....

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Waow...kweli asee umekisoma! Hii kitu inamanufaa sana kwa kila atakayefuatilia

  • @mahmoodalghefeili5370
    @mahmoodalghefeili5370 Před 2 lety +1

    Jazzakallah kher kaka maana unaisanua sana akili yangu kaka asante sana

  • @kitia-ty4fq
    @kitia-ty4fq Před rokem

    Upo vizur kaka

  • @alwatanshemghodo3565
    @alwatanshemghodo3565 Před 2 lety +1

    Imekaa poa sana tutashirkiana kuanzia leo

  • @pazetv5639
    @pazetv5639 Před 2 lety +2

    asante sana kaka yangu !! kunakitu nlikuwa nakimisi but now naweza kukirekebisha na kulifanyia kazi katika namna njema!! be blessed and see you value! !

  • @maboyisimba1012
    @maboyisimba1012 Před 2 lety +1

    On point sanAa

  • @abdallaathumani2064
    @abdallaathumani2064 Před 2 lety

    Thanks bro

  • @enochchai3357
    @enochchai3357 Před 2 lety +2

    Kaka mambo vpi mmm Enoch from Mombasa kenya 🇰🇪 na fanya na kinyozi experience of five years nimejaribu kueka karibu na vinyozi wenzangu but mwisho wamekua watu wakiongea mbaya kwa clnt wangu mpaka kwa boss wakati mmm ndio chanzo cha kuwaleta kazi nifanyeje ili niwe na watu wakufanya kazi nao juuu natamani sana kufanya kazi na wenzangu juu this is my talent job

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Kuna mazingira hapo inabidi kuangalia, kama wewe ndio mwenye office inatakiwa uajiri watu wenye uwezo wa kazi na kazi pekee. Unaruhusiwa kubadilisha watu mpaka patulie, tatizo watu wengi wanachanganya urafiki na kazi. Ukiweka kuchora mstari kati ya hivi viwili na kuweka misngi ya kazi kwenye kazi... utapata watu ambao watakuwepo kwa ajjli ya kazi tu.

  • @emaimaathuma5641
    @emaimaathuma5641 Před 2 lety +1

    ikopoa🎉

  • @anzub7508
    @anzub7508 Před 2 lety +1

    Edizen jumanne wewe ni ticha bora

  • @morsonkisanga4516
    @morsonkisanga4516 Před 2 lety +1

    🙏

  • @HalimaAziz-to8th
    @HalimaAziz-to8th Před rokem +1

    Assante sana kaka nahitaji kufika mbali kimaendeleo maneno yako nayafanyia kazi

  • @kingzwaro4242
    @kingzwaro4242 Před 2 lety +1

    Good job

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 2 lety

    Kweli kabsa bro

  • @bensontemu9356
    @bensontemu9356 Před 2 lety +2

    👍

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 2 lety +1

    Kila nikiskiza napata faida jpo nkidgo

  • @mycotv2020
    @mycotv2020 Před 2 lety +1

    👊👊👊

  • @ahmadykabugah8868
    @ahmadykabugah8868 Před rokem

    🙏🙏🙏

  • @karimurashidi3095
    @karimurashidi3095 Před 2 lety

    Kaka nakukubali mpaka nashindwa jinsi ya kukuambia ili ujue nakukubali kiasi gan

  • @bihasanatkombo3026
    @bihasanatkombo3026 Před 2 lety +2

    Kila wakat SPN inanifanya nijifunze, nimepoteza muda mwingi na nguvu nyingi sana, kufanya kaz mwenyewe lkn nazalisha kdg, thanks for the lesson bro Ezden🙏

  • @MayalaMasesa-gl9tz
    @MayalaMasesa-gl9tz Před rokem +1

    wewe ni bora kaka umenijenga

  • @YaziduJuma-fu2ul
    @YaziduJuma-fu2ul Před rokem +1

    Namba ushauri jinsi ya kufanikiwa kwenye biashara

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem

      Jitahidi kufuatilia vizuri haya masomo ya biashara. na pia njoo whatsapp kwa msaada zaidi

    • @YaziduJuma-fu2ul
      @YaziduJuma-fu2ul Před rokem

      Nafanikiwaje kwenye biashara yenye mtaji mdogo

  • @allydonardy7745
    @allydonardy7745 Před rokem

    Alo kaka mimi nifundi naweza kufanya je ili unitagazie kazi yangu

  • @abdul-rahmankhatib6036
    @abdul-rahmankhatib6036 Před 2 lety +1

    mashirikiano ni very important,, but shida inatokea pale endapo hujapata watu sahihi wa kushirikiana nao utaona bora ukomae mwenyewe

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Kumbuka huu si ushirikiano wa kubebana, unakuwa ni ushirikiano wa kikazi ambao hamuhitaji kuwa marafiki kila mtu anafanya kazi yake, na unaufanya na watu wanaofanya vizuri katika eneo ambalo wewe hauko vizuri. Kwa sababu unalipa pesa kunakuwa hakuna shida ya kufikiria watu ni sahihi au sio sahihi sababu wakizingua unawapa tenda watu wengine...epuka kufanya kila kitu mwenyewe, inakula muda wako