JENGA TABIA NA HIZI UTAFANIKIWA SANA | Ezden Jumanne
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2022
- Tabia unazotakiwa kujenga ili kufikia mafanikio yako. Karibu sana katika somo hili tujiongezee ufahamu zaidi kupitia kitabu cha jinsi ya kufikia ndoto zako kiliachoandikwa na Godius Rweyongeza.
.
NUNUA KITABU HIKI LEO:
Wasiliana na mwandishi (Godius Rweyongeza)
SIMU: 0755848391
BEI: 20,000 TZS
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Website: tinyurl.com/voiceovertanzania
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
tinyurl.com/matangazo
.
.
#tabia #Mafanikio #Ezden
NUNUA KITABU HIKI LEO:
Wasiliana na mwandishi (Godius Rweyongeza)
SIMU: 0755848391
BEI: 20,000 TZS
Naitaji kusoma
02:50 1. Kusoma vitabu
04:30 2. Kuamka mapema asubuhi
05:33 3. Kupenda kuandika
06:38 4. Kunywa maji
08:10 5. Tunza kumbukumbu kwenye notebook yako
08:56 6. Kuweka akiba na kuongeza kipato
Safi sana Lucas...
Asante bro, kwa ushauri wako
Kunywa maji
Tabia ya kusoma vitabu vya dini kila siku mfano Quran... Shukran kwa somo lako zuri
Naam shukrani sana kaka
bonjour nitapajtaje kitabu?
Tibia nyengine ninayo. Ona mm ni kutoa salamu na kusaidia wengine au Sadaka mambo hayo yata kujenga kuwa mtu mwenyevmahusiano mazuri na watu navkujihisi mtu bora kwani wema malipo yake nimakubwa zaidi kwa ww binafsi na wengine
Naishi Ohio, kila mara masomo yako inanijenga sana kaka, keep it up and lord will reward u
Nashukuru sana nimejifuza mengi kutoka kwako
#Ezden #Mafanikio Mungu akubariki sana bro najifunza vitu vipya kila iitwaayo siku kutoka kwako, much respect to you bro
Safi sana kaka mungu akubariki
Good learning skills content
Kaka mungu akupe uwezo Zaid endelea kuongeza mambo manzuri Mimi naitwa mchungaji yakobo nipo mkoa wa Mara sirari hogera Sana Kaka gog bless you brother
nashukuru sana Mchungaji, Pamoja sana
Tunashukuru tunguzangu kwakutuhimarisha kwaushauri wamafanikiyo, Mungu peke awazidishiye.
Asante kaka mungu akubariki
Kwakweli kaka ezden masomo yako yanafaida kubwa sana tukilinganisha na ulimwengu wasasa haya ndio masomu yatakayo saidia watu zaidi ALLAH AKUPE HEKIMA ZAIDI
Amiin
Hakika mwenyezi Mungu akubariki Sana. Nikianza program ya vijana nitakutafuta.
mpo vizuri sana
Shukran kaka nakufata ❤
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
Mashallah Mafunzo mazuri
Mkoko vizuri san
Asant kaka ezden
Asante San
Mungu akubrik san kak kwa elimuyako unayo tupatia
Good job
Asalam aleykum warahmatullah waabarakatuh ,
Naomba nisaidie kitabu cha "MAAJABU YA KUSOMA VITABU"
Shukran sana
So nice my brother ,nimependa maoni yako mungu akuuze kazi yako hii
Thanks brother
❤ brother thank you so much 🙏❤️
Asante sna bro
Shukran Bw.Ezden
Safi kabsa kaka Yussuph kutoka Mozambique Estamos junto tuko pamoja
MashAllah nimepata faida ktk kuweka akiba
Safi sana... Anza sasa
Napenda sana video vyako. Está de parabéns. Moçambique
Thank you
Shukran
Mimi nilikuwa napenda kuandika kila jambo langu linavyokuja mwanaume wangu akawa ananiambia upo kama kichaa kuandika kuandika . Mpaka leo ndio tabia yangu imenisaidia sana
Hahahaha... Tabia ya kuandika kuandika ikamsaidia kichaa🤣🤣🤣. Hongera sana Juliana
Asante ubarikiwe❤❤
Thanks bro
shukrani kaka ezden nimejifunza kitu kutoka kwenye somo hili
Aksante sana bro.
Asante.
Shukrani kaka nimejifunza kitu leo
Amin
Nimependa sana somo hili kaka Ezden
Karibu sana
Safi sana
Thanks Br...
#FACT!!
Safsanaa
Wow
safi saa kaka kazi nzuri kabisa,ila umesahau kutwachia ile e mail kwa ajili ya kile kitabu cha bure
Nikweli kabisa
Naipenda
Ahsante sana
God bless you my brother.. Ezden
Thank you Brother
Naomba kitabu tafadhali
Teacher ezde Mimi nakufuatilia nikiwa nrbi Kenya nitapata kitabu aje like elimu ya msingi ya fedha
Kitabu kinapatikana tafadhali niandikie whatsapp +255759191076
Kwanza Hio tabia ya kuweka hakiba ni muhimu zaidi
💕
Maajabu ya kusoma vitabu. Please where us an email i want the book brother.
Mim sijui Nina tatizo gani kwenye kusoma nakala ndefu vitabu yaan siwezi
Kaa karibu Kuna kitabu kidogo nakitoa hivi karibuni kitakusaidia sana kuishinda hiyo hali...
kaka naomba bas iko kitabu jaman
Nimependa San somo rako Ndio mna kila crp nafatilia sna
ALLAH akulipe bro
Allahumma ameen
San bloo
Naamini sana bro
shukrani sana...karibu sana
Shukrain akiba ni yamuhimu san
ASANTE
niko BURUNDI ni MAmy
Tuma namba ya mwandishi wa hicho kitabu
Mmezingua background
Nice bro, keep it on, najifunza vitu vingi kutoka kwako bro.
kutoka huku Malawi🇲🇼
Wow wasalimie hapo Malawi
Mm nikinywa maj kila saa mkojooo🤔
Masomo yenu mazur
Shukran sana naelimika kupitia masomo yako
Karibu sana Rehema
Ahsante nimesha karibia tupo pamoja
Unge soma zote
Okay... lakini katika hayo machache naamini umepata jambo
Nataka kitabu hichoo
soma comment ya kwanza tafdhali
Nataka kitabu guvu ya vitu vidogo kuwa vikubwa
Vitabu tunakupenda rakini atuvioni uku mkoa wa kagera
tuwasiliane tafadhali... njoo whatsapp 0759191076
Kunywa Maji utaposikia kiu tuu ili kuepuka magonjwa yanayotakan fluid over load Kama magojwa ya figo na moyo
asante kwa maoni brother...
poa
Naeza pata kitabu nikiwa kenya ??
Naam. Njoo What'sApp
Navipata wapi hivyo viabu
tuma ujumbe wahtsap andika neno VITABU 0759191076
Naomba namba na email. Nahitaji kunujua kitabu
Soma comment ya kwanza (pinned one)
Tunashukuru tunguzangu kwakutuhimarisha kwaushauri wamafanikiyo, Mungu peke awazidishiye.