CHANZO CHA WENGI KUTOFANIKIWA KIFEDHA | Ezden Jumanne

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2022
  • HIKI NI CHANZO CHA KUTOFANIKIWA KIFEDHA | Ezden Jumanne
    .
    KUPATA KITABU HIKI:
    Tuma Text | Whatsapp
    Andika "Kitabu - Mahali ulipo" mfano "Kitabu - Mwanza"
    Tuma kwenda No. 0759-191-076
    BEI: 20,000 TZS
    Dar: Free Delivery
    Nje ya Dar utalipia usafiri
    .
    Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
    Instagram: @ezdenjumanne
    Twitter: @ezdenjumanne
    Facebook: Ezden Jumanne
    Phone: (+255)759 191 076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @youtubepesa255
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / @footballskill01
    .
    VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
    tinyurl.com/voiceovertanzania
    .
    KUPATA MATANGAZO:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    SIMU: (+255) 759 191 076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #chanzo #pesa #fedha

Komentáře • 163

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Před 2 lety +4

    KUPATA KITABU HIKI:
    Tuma Text | Whatsapp
    Andika "Kitabu - Mahali ulipo"
    0759-191-076
    BEI: 20,000 TZS
    Dar: Free Delivery
    Nje ya Dar utalipia usafiri

    • @homan_nkwama
      @homan_nkwama Před 2 lety

      Du nimejifunza kitu hapa safi sanaa hii kwa kweli is more than readship hii ni master mind Mana wanafanya wanao amini Kuna makubwa zaidi ya jealous Kaka heshima Sana haya ni MAONO ya tatu kwakweli mwenye macho mawili tuuu ! Awezi kuwa na aina hii ya love nitajifunza na kupractice niweze kuwa Kama wewe huu ni utawa yani huna Cha KUPOTEZA safi snaa

    • @rashidibashirimhina3048
      @rashidibashirimhina3048 Před 2 lety +1

      Kitabu manyara

    • @alphanathumantv2049
      @alphanathumantv2049 Před 2 lety

      Poa

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      @@rashidibashirimhina3048 tuma kwenye namba ya simu hapo

    • @jamessafari8890
      @jamessafari8890 Před 2 lety

      @@homan_nkwama q

  • @SalmaMsikiti-lu5eb
    @SalmaMsikiti-lu5eb Před 8 měsíci +1

    Asante sana ila kusoma sio kujua kila mtu na upeo wake unapofikia watu wengi tunapata shida kwakukosa maarifa tunakuwa na iman bila akili kusema pesa ndio chanzo cha maasi nisawa na kusema yesu ni mungu ikiwa unajua kabisa kwamba amezaliwa na mwanamke kama mama yako alie kuzaa ezden mwanangu asant sana kwaelim niongeze tu kwama umaskin ni nusu ya ukafir

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 2 lety +4

    Kwa kweli kuna wakati unatakiwa ukae mbali na watu wenye maneno ya kila kitu kuona cheusi tu , mara nyingi sana watu hupotea ama kuamini watumishi wa Mungu ndo husemi sahihi kumbe wengine huwaga wanapotosha kondooo, kikubwa kujielewa kwanza na maandiko ya Mungu vyema ahsante mkuu 🙏

  • @hassanmwalimu7080
    @hassanmwalimu7080 Před rokem +1

    Mm uwa nakuombea miaka mingi kwa huu ulimwengu coz unanipa faraja kwa mawaidha yako iwapo Mungu atakupa utakacho basi pia pepo akujalie ww ni bora katika ulimwengu huu naitwa hassani mwalim jumaa

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem

      Amiin amiin, nashukuru sana kaka kwa dua njema, na iwe kwetu sote hii kaka,

  • @user-gs1ri4kc1n
    @user-gs1ri4kc1n Před 11 měsíci +1

    Thanks brother kwa kutpa marifa na kw kipind kifup2 nilich kufatilia Nimgain vitu ving San endelea kutpa marif Zaid n zaid bro

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 Před 2 lety +2

    Njia bora kabisa ya kuwasaidia maskini ni MIMI KUWA TAJIRI. Mstari ninalokumbuka kila siku, asante Kocha wangu Dr. MAKIRITA AMANI.

  • @user-qq8kc1df5e
    @user-qq8kc1df5e Před 9 měsíci +1

    Huwa nekuelewa sana kaka asante kukutulimisha

  • @suleim505
    @suleim505 Před 11 měsíci +1

    Shukrani sana broo bado tunaendelea kujifunza

  • @daprince7545
    @daprince7545 Před 2 lety +3

    Bro Allah akubariki na akuepushe na mitihani ya dunia. Nimejifunza mengi katika content zangu. Ku save pesa, kupunguza matumizi ya pesa na saii Niko Kwa harakati za kuanza biashara shukran sana bro 🙏🙏🙏🙏

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Asante kwa kufuatilia, na hongera sana kwa kuanzisha biashara. Endelea kujifunza

  • @fulgenceniyubahwe8015
    @fulgenceniyubahwe8015 Před 2 lety +1

    Asante Sana yani kuma maneno ambayo tunatamka na kujijengea wenyewe umaskini wala kujiitia wenyewe umaskini na wengi wanapuuzia wanachukulia eti ni maneno na kusahau kwamba baraka ni maneno unayo tamkiwa Pia Na laana hivo hivo

  • @user-eh2ch5xy4m
    @user-eh2ch5xy4m Před 9 měsíci

    Asantee sana Mungu akubalk.. brother kitabu hicho shingap

  • @daindain79
    @daindain79 Před 2 lety +2

    Nakufata sana unajua kuna vitu tangu nianze kufatilia masomo yako kuna vitu nimeacha nilikuw sij wahi kufanya chochote tangu nianze kupata mshahara wng asante sana kaka mungu akubaliki mpaka ushangae🇧🇮🇧🇮🇦🇪

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Nashukuru sana sana...

    • @joharikillasa584
      @joharikillasa584 Před rokem

      Jazakallahu khairy brother.
      Nitasoma vitabu vyote na ntafanyia kazi in shaa allah ..
      Nafurahia sana all presentations ..

  • @newwaveskenya
    @newwaveskenya Před 2 lety

    I gat it brother. you're my favourite person.

  • @timamahendo4172
    @timamahendo4172 Před 2 lety

    Money is not everything yes....but everything needs money....big up bro ......kama watu wanasubiri kadar ......anaekufa mlevi au mzinzi pia ni kadar ya mungu?

  • @ShabaniHamdani-xi6df
    @ShabaniHamdani-xi6df Před 10 měsíci +1

    Nimejifuza vitu vingi sana nilivokuwa sivijui kuhusu pesa kaka mungu akubarik

  • @chudoboy5253
    @chudoboy5253 Před 2 lety +1

    Asante sana kwa Somo zuri

  • @iddhalid4677
    @iddhalid4677 Před rokem +1

    Swadakta Allah akutuze

  • @user-vj5fn5yo6t
    @user-vj5fn5yo6t Před 8 měsíci +1

    Uko vzr nakufatilia endelea kutuelimisha kaka

  • @mmbondofilm6229
    @mmbondofilm6229 Před 2 lety +2

    Nakuelewa sana bro kiukweli matatizo mengi yapo Kwa nasikini kwakweli masikini anachangamoto nyingi endelea kutujenga

  • @mustafayahyarunigangwakani6037

    Asalam aleykum ndugu!! Me nilikuwa nikuchukia utajiri na matajiri!!! Ila Allah aliponikutanisha na akaunti za CZcams za elimu mbalimbali zikanitoa (ujahiri) ujinga!! Nawashukuru shekh Othuman Michael. Mchungaji David Mbaga. Eziden Jumanne. Joel Nanauka na wengine wengi hakika wamenisaidia sana kujitambua!!! Tatizo sisi waisilamu lilianza tulipo tenga elimu dunia na ahera!!! Wakati mtume aliamliswa kusoma elimu zote zenye manufaa!!! Na zilifundishwa msikitini na ushaidi ni QURAN!!! Ina elimu zote!!! Nina mengi ila kwa kifupi nakuomba anzisha ziara kwenye MISIKITI kama NANAUKA na wenzake wanavyo tembelea MAKANISANI!!! (utuelimishe) nguzo tano zote zinatutaka tuwe matajiri!!! Baada ya Shahada
    Swala=
    Swaumu=
    Zaka=
    Haji=
    Ngoja niishie hapa!!! (Asalam aleykum)

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh. Nashukuru sana Kwa ushauri

  • @mosesfrancis8495
    @mosesfrancis8495 Před 11 měsíci

    Ahsante

  • @ShabanKamau
    @ShabanKamau Před 9 měsíci +1

    Ukovizuri kaka hongerasana

  • @user-vs9uk1re7g
    @user-vs9uk1re7g Před měsícem

    Shukrani bro

  • @Fatma-mq9kj
    @Fatma-mq9kj Před 10 měsíci +1

    Mashaallah Allah akubarik ndugu

  • @aishaseif7127
    @aishaseif7127 Před rokem

    Somo muhim Sana Allah akubarik

  • @zawadinzunda7133
    @zawadinzunda7133 Před 2 lety +1

    Mwenyenz mungu akulinde sheeh na asante sana kwa kutup hamsa

  • @meekman1805
    @meekman1805 Před 2 lety

    Asante sana

  • @hairuissa7452
    @hairuissa7452 Před rokem

    Upo sahihi bro

  • @jacobzama6483
    @jacobzama6483 Před rokem

    safi Kaka nakwelewa 🙏

  • @zenaahmedi8857
    @zenaahmedi8857 Před 2 lety +1

    Kak Ezden Jumanne naomb nikusalimie tu..... ASALAAM ALEYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKATUH .....😘

  • @qalebmoywaywa8682
    @qalebmoywaywa8682 Před 2 lety

    Nakubari content bro

  • @jonhkaliani6928
    @jonhkaliani6928 Před rokem

    Ezdn nakufuatilia sana upo vizuri

  • @abdulisaidijuma245
    @abdulisaidijuma245 Před 2 lety +1

    Qur an 77 mung anasem tukakadiria nasi niwabora wakukadiria tufanye jitihad lkn mng alichokikadiria ndoichoicho utakachopt Ishallah mng atufanyie wps

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Hilo ni sawa wala mimi silipingi. Ninachokipinga ni kupuuzia maarifa yanayoweza kuboresha hali yako. Ni lazima ujitume huku ukimtegemea Mungu, na dua inaweza badilisha qadar... !! Kusema maarifa hayawezi kukusaidia kwasababu wewe umeshakadiriwa ni kujipoteza. Kwanza hukijui ulichokadiriwa...kwahiyo ni bora ujitume, fuata maarifa sahihi, Kwa juhudi zako utakachopata yeye Allah anajua zaidi... Lakini sisi tusiwe sehemu yoyote ya vikwazo kwa kushindwa tu kufikiria vizuri! Pamoja ndugu yangu

  • @mussadismass9306
    @mussadismass9306 Před 2 lety

    Naukataa umasikin kwanguvu zote Asante kwaelimu bola kwetu

  • @philipofelician7579
    @philipofelician7579 Před rokem

    Salute for you bro

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama Před 2 lety +3

    Nimependa sanaa namna upendo wa ajabu wa EZDEN ,AMAN MAKILITA ni kocha wangu lakini pia EZDED PAMOJA NA NANAUKA Sasa nashangaa EZDEN ASITI KUSEMA MAZURI YA MAKOCHA WENZIE Jambo ambalo sisi Wana HIP HOP tuna ubir upendo na umoja lakini atufanyi kwa vitendo Kama afanyavyo EZDEN

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +3

      Hahahahaa ma maan... Tunahitaji kushirikiana na tutafika mbali zaidi. Lengo ni kusaidia jamii yetu kimaarifa

  • @harunaathumani1672
    @harunaathumani1672 Před 2 lety +2

    Ukwel sheikh amemdanganya jamaa coz Mungu mwenyew anataka tufanye harakat za maisha

  • @gastomasawe9176
    @gastomasawe9176 Před rokem +1

    wewe na Joel nanauka mjawahi kuniangusha mungu awabariki sana

  • @josephatmwandandila4382
    @josephatmwandandila4382 Před 2 lety +1

    Nakukubali kijana.

  • @habibismael4937
    @habibismael4937 Před 2 lety +1

    Asante nimejifuza namna ya kufikiri kitafauti🙏🏼

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 2 lety +1

    Nakupata kwa uwazi kabisa

  • @user-pb7ii9hq2v
    @user-pb7ii9hq2v Před rokem

    Somo nzur kaka upo vizur

  • @murshidikatunzi2045
    @murshidikatunzi2045 Před 2 lety +1

    Kitabu daresalam kariakoo

  • @anacletsumbu7602
    @anacletsumbu7602 Před 2 lety +1

    Asante kwa darasa Nzuri Sanaa ongera takipataje icho kitabu niko Mbeya ila mimi nakaa drc

  • @kifarulodgeguesthouseshang5458

    Kweli kabisa kk.

  • @johntrueboy3229
    @johntrueboy3229 Před 2 lety

    Uposahihi,kaka,

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +1

    Asante

  • @AbdulRazzaq-uf7zo
    @AbdulRazzaq-uf7zo Před 2 lety +2

    Nakuelewa Sana bro.

  • @amzahismail4498
    @amzahismail4498 Před 2 lety

    Allah akupe umri mlefu wenye manufa kwa kuelimisha jamii

  • @innocentmushi2721
    @innocentmushi2721 Před rokem

    #mafanikio bro be blessed

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před 2 lety

    Kiukweli mm naipenda sana hii chanel sana

  • @user-zs2jd2pt8d
    @user-zs2jd2pt8d Před 6 měsíci

    Asalm alkum j nimekuelewa Sanaa swala la swala tano wakati huna pesa hata swala zako azikamilik

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 2 lety

    Nakubali bro🙏🙏🙏

  • @SituSitu-vu3wn
    @SituSitu-vu3wn Před 23 dny +1

    Niko omani takipataje

  • @HashimuMaulidi-oi5lt
    @HashimuMaulidi-oi5lt Před 8 měsíci +1

    kitabu arusha

  • @sarahatupelemwangake7520

    Nice

  • @kalingalingatv3066
    @kalingalingatv3066 Před rokem

    Asante 😅

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před 2 lety +1

    Nimefanikiwa kaka eziden nilikua nafatia sana hii channel kwa umakini sana hadi nusu ya malengo

  • @YusufuMonko-uf4jj
    @YusufuMonko-uf4jj Před rokem

    💪

  • @tusomequrantukufu
    @tusomequrantukufu Před 2 lety +1

    Each one teach one

  • @elizabethwanjiru3846
    @elizabethwanjiru3846 Před 2 lety

    True kuwa mbunifu mafanikio yapo.

  • @alphanathumantv2049
    @alphanathumantv2049 Před 2 lety +1

    Kitabu Dar

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      KUPATA KITABU HIKI:
      Tuma Text | Whatsapp
      Andika "Kitabu - Mahali ulipo"
      0759-191-076
      BEI: 20,000 TZS
      Dar: Free Delivery
      Nje ya Dar utalipia usafiri

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim7995 Před 2 lety +2

    Nikweli kaka Binafsi mimi nakubaliana na ww Nikweli umaskin ndo chanzo cha maovu Yote kwa Aslimia kubwa.... Chamwisho sijasikia ukitaja namba ili nikitaka hcho kitqbu nikipate

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 Před 2 lety

    Hata kwa sisi waislamu huwezi kwenda kuhiji makha ukiwa huna hela

  • @hamidumpota2722
    @hamidumpota2722 Před rokem +1

    Akika kwa somo lako wengi tunakuelewa na tunafulai.

  • @user-yf4tf4pt1g
    @user-yf4tf4pt1g Před 10 měsíci +1

    Mm nimejifunza kwamba penye Nia pana njia, hata ukutane na vikwazo vingi kiasi gani Kama unania ya kuutupa umaskini utapambana mpaka umaskini utakukimbia wenyewe

  • @MohamedMohamed-xz2nj
    @MohamedMohamed-xz2nj Před 2 lety +2

    Kitabu dar es salaam

  • @weremakora7838
    @weremakora7838 Před 2 lety +1

    Kitabu shinyanga

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      KUPATA KITABU HIKI:
      Tuma Text | Whatsapp
      Andika "Kitabu - Mahali ulipo"
      0759-191-076
      BEI: 20,000 TZS
      Dar: Free Delivery
      Nje ya Dar utalipia usafiri

  • @tandachaya6327
    @tandachaya6327 Před 2 lety +1

    Hasante kaka kipo vizuri nitanunua.

  • @HappinessLugenge-lz4dk
    @HappinessLugenge-lz4dk Před 7 měsíci

    Nakipataje

  • @tideone97
    @tideone97 Před 2 lety +4

    Utajiri Hauwezi Kununua Furaha, Lakini Umasikini Hauwezi kununua chochote zaidi ya Chuki na Wivu:
    Tusali sana lakini tusidharau maarifa.
    Usisahau kumfundisha mwanao kuuchukia umasikini 💪

  • @emmanuelmbesa2530
    @emmanuelmbesa2530 Před rokem +1

    Kote kote bro..kwa upande Wang

  • @benediktojuakimu7675
    @benediktojuakimu7675 Před 2 lety

    Kitabu Zanzibar

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 Před 2 lety +1

    Naukataa kweli yaani

  • @markomwakibwidi
    @markomwakibwidi Před 11 měsíci +1

    Marco balikiwasana

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 2 lety +1

    Hyo iko wazi kuwa ushakadiriwa kila kitu na MUNGU lkni sasa utajuaje kma umekadiriwa utajiri au umaskini vile ambavyo unafanya bidii ya kutenda mazuri hpa pia vile vile ufanye bidii ya kupata pesa kwa njia ya halali

  • @user-gm5wi3kz7g
    @user-gm5wi3kz7g Před 7 měsíci

    Nakipataje hicho kitabu

  • @jameskulengwa9333
    @jameskulengwa9333 Před rokem

    Kitabu simiyu

  • @violethurassa7362
    @violethurassa7362 Před 2 lety

    Ni kwenye ndoa

  • @ibrahimkatindasa6688
    @ibrahimkatindasa6688 Před 5 měsíci

    Kitabu iringa

  • @mathiaslaban8530
    @mathiaslaban8530 Před 2 lety +1

    Yaan hyo washrikina ilivyo itaja no one except it?

  • @hudiyussuf2251
    @hudiyussuf2251 Před 2 lety +1

    Asalam a'alaikum warahmatullahi wabarakatu, Bro kwa wenye tuko inje ya tanzania tutapata aje kitabu?

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh. The same bro just send a message kwenye hiyo WhatsApp Andika KITABU na mahali ulipo

    • @hudiyussuf2251
      @hudiyussuf2251 Před 2 lety

      Asante sawa bro

  • @kombosuleiman7289
    @kombosuleiman7289 Před 2 lety

    Kitabu KENYA

  • @ibrahimahmedyunusu189
    @ibrahimahmedyunusu189 Před 2 lety

    kitabu kagera

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 2 lety

    Kuhukataa umaskini

  • @etiennenebus4087
    @etiennenebus4087 Před 2 lety +1

    Sasa kwa watu ambao wako inje ya tz vitabo vinaweza kutufikia kwa nchi jirani?

  • @benediktojuakimu7675
    @benediktojuakimu7675 Před 2 lety

    Kaka nakufatiliasana nanaona jia zamafanikio

  • @NillanMjunga-fr5ze
    @NillanMjunga-fr5ze Před rokem

    Nakuelewa xana kaka 2napataje vtabu vyako?

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 Před 2 lety

    Niko Kenya naeza pata vipi hicho kitabu

  • @oneonego705
    @oneonego705 Před 2 lety

    Kitabu Newala mtwara

  • @piusdeo9380
    @piusdeo9380 Před 2 lety

    mana hip hop wa kweli stell bado unatuvusha makini sana broo heshima kwako the rock nazai mi ndo nipo makini sana na masomo kama haya

  • @bahatipaulo214
    @bahatipaulo214 Před 2 lety

    Kwa maskini

  • @ayubjacky580
    @ayubjacky580 Před 2 lety

    Ni AYUB npo karen Nairobi takipataje kitabu hicho

  • @user-en2gp3fb7m
    @user-en2gp3fb7m Před 3 měsíci

    Asalaam alykum warhmatulah wabarakatul nafutilia xn nakulewa pia je naweza pathname what's ppl nahitaji uxhari kutoka kwako

  • @anzub7508
    @anzub7508 Před 2 lety +1

    Ticha

  • @innocensiafaraja3830
    @innocensiafaraja3830 Před 2 lety

    Eee nimeelewa kitabu kagera

  • @mustafadjuma6504
    @mustafadjuma6504 Před rokem

    Shukrain nilazima ap tupambane hakuna yoyote anakae penda umaskin

  • @masoudmosses5340
    @masoudmosses5340 Před rokem

    Kaka umenigusa Kuna mahali binadamu tunatakiwa kuchange coz ziko iman za kusema mwenye pesa ni mchawi

  • @HappyG-zk9qb
    @HappyG-zk9qb Před rokem

    Matajiri

  • @abelljohn4309
    @abelljohn4309 Před 2 lety

    habari nimeguswa sana na maada na hivyo vitabu naomba ushauri nianze na kipi maaana naisi kama mtu niliyecheleea sana