CHANZO CHA WENGI KUTOFANIKIWA KIFEDHA | Ezden Jumanne
Vložit
- čas přidán 19. 06. 2022
- HIKI NI CHANZO CHA KUTOFANIKIWA KIFEDHA | Ezden Jumanne
.
KUPATA KITABU HIKI:
Tuma Text | Whatsapp
Andika "Kitabu - Mahali ulipo" mfano "Kitabu - Mwanza"
Tuma kwenda No. 0759-191-076
BEI: 20,000 TZS
Dar: Free Delivery
Nje ya Dar utalipia usafiri
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ @footballskill01
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
tinyurl.com/voiceovertanzania
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#chanzo #pesa #fedha
KUPATA KITABU HIKI:
Tuma Text | Whatsapp
Andika "Kitabu - Mahali ulipo"
0759-191-076
BEI: 20,000 TZS
Dar: Free Delivery
Nje ya Dar utalipia usafiri
Du nimejifunza kitu hapa safi sanaa hii kwa kweli is more than readship hii ni master mind Mana wanafanya wanao amini Kuna makubwa zaidi ya jealous Kaka heshima Sana haya ni MAONO ya tatu kwakweli mwenye macho mawili tuuu ! Awezi kuwa na aina hii ya love nitajifunza na kupractice niweze kuwa Kama wewe huu ni utawa yani huna Cha KUPOTEZA safi snaa
Kitabu manyara
Poa
@@rashidibashirimhina3048 tuma kwenye namba ya simu hapo
@@homan_nkwama q
Asante sana ila kusoma sio kujua kila mtu na upeo wake unapofikia watu wengi tunapata shida kwakukosa maarifa tunakuwa na iman bila akili kusema pesa ndio chanzo cha maasi nisawa na kusema yesu ni mungu ikiwa unajua kabisa kwamba amezaliwa na mwanamke kama mama yako alie kuzaa ezden mwanangu asant sana kwaelim niongeze tu kwama umaskin ni nusu ya ukafir
Kwa kweli kuna wakati unatakiwa ukae mbali na watu wenye maneno ya kila kitu kuona cheusi tu , mara nyingi sana watu hupotea ama kuamini watumishi wa Mungu ndo husemi sahihi kumbe wengine huwaga wanapotosha kondooo, kikubwa kujielewa kwanza na maandiko ya Mungu vyema ahsante mkuu 🙏
Naam...
Mm uwa nakuombea miaka mingi kwa huu ulimwengu coz unanipa faraja kwa mawaidha yako iwapo Mungu atakupa utakacho basi pia pepo akujalie ww ni bora katika ulimwengu huu naitwa hassani mwalim jumaa
Amiin amiin, nashukuru sana kaka kwa dua njema, na iwe kwetu sote hii kaka,
Thanks brother kwa kutpa marifa na kw kipind kifup2 nilich kufatilia Nimgain vitu ving San endelea kutpa marif Zaid n zaid bro
Njia bora kabisa ya kuwasaidia maskini ni MIMI KUWA TAJIRI. Mstari ninalokumbuka kila siku, asante Kocha wangu Dr. MAKIRITA AMANI.
Naaam
Huwa nekuelewa sana kaka asante kukutulimisha
Shukrani sana broo bado tunaendelea kujifunza
Bro Allah akubariki na akuepushe na mitihani ya dunia. Nimejifunza mengi katika content zangu. Ku save pesa, kupunguza matumizi ya pesa na saii Niko Kwa harakati za kuanza biashara shukran sana bro 🙏🙏🙏🙏
Asante kwa kufuatilia, na hongera sana kwa kuanzisha biashara. Endelea kujifunza
Asante Sana yani kuma maneno ambayo tunatamka na kujijengea wenyewe umaskini wala kujiitia wenyewe umaskini na wengi wanapuuzia wanachukulia eti ni maneno na kusahau kwamba baraka ni maneno unayo tamkiwa Pia Na laana hivo hivo
Exactly...
Asantee sana Mungu akubalk.. brother kitabu hicho shingap
Nakufata sana unajua kuna vitu tangu nianze kufatilia masomo yako kuna vitu nimeacha nilikuw sij wahi kufanya chochote tangu nianze kupata mshahara wng asante sana kaka mungu akubaliki mpaka ushangae🇧🇮🇧🇮🇦🇪
Nashukuru sana sana...
Jazakallahu khairy brother.
Nitasoma vitabu vyote na ntafanyia kazi in shaa allah ..
Nafurahia sana all presentations ..
I gat it brother. you're my favourite person.
Money is not everything yes....but everything needs money....big up bro ......kama watu wanasubiri kadar ......anaekufa mlevi au mzinzi pia ni kadar ya mungu?
Nimejifuza vitu vingi sana nilivokuwa sivijui kuhusu pesa kaka mungu akubarik
Asante sana kwa Somo zuri
Swadakta Allah akutuze
Amiin
Uko vzr nakufatilia endelea kutuelimisha kaka
Nakuelewa sana bro kiukweli matatizo mengi yapo Kwa nasikini kwakweli masikini anachangamoto nyingi endelea kutujenga
Pamoja sana
Asalam aleykum ndugu!! Me nilikuwa nikuchukia utajiri na matajiri!!! Ila Allah aliponikutanisha na akaunti za CZcams za elimu mbalimbali zikanitoa (ujahiri) ujinga!! Nawashukuru shekh Othuman Michael. Mchungaji David Mbaga. Eziden Jumanne. Joel Nanauka na wengine wengi hakika wamenisaidia sana kujitambua!!! Tatizo sisi waisilamu lilianza tulipo tenga elimu dunia na ahera!!! Wakati mtume aliamliswa kusoma elimu zote zenye manufaa!!! Na zilifundishwa msikitini na ushaidi ni QURAN!!! Ina elimu zote!!! Nina mengi ila kwa kifupi nakuomba anzisha ziara kwenye MISIKITI kama NANAUKA na wenzake wanavyo tembelea MAKANISANI!!! (utuelimishe) nguzo tano zote zinatutaka tuwe matajiri!!! Baada ya Shahada
Swala=
Swaumu=
Zaka=
Haji=
Ngoja niishie hapa!!! (Asalam aleykum)
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh. Nashukuru sana Kwa ushauri
Ahsante
Ukovizuri kaka hongerasana
Shukrani sana brother
Shukrani bro
Mashaallah Allah akubarik ndugu
Somo muhim Sana Allah akubarik
Mwenyenz mungu akulinde sheeh na asante sana kwa kutup hamsa
Amiin. Karibu sana
Asante sana
Upo sahihi bro
safi Kaka nakwelewa 🙏
Kak Ezden Jumanne naomb nikusalimie tu..... ASALAAM ALEYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKATUH .....😘
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh ukhty
Nakubari content bro
Ezdn nakufuatilia sana upo vizuri
Qur an 77 mung anasem tukakadiria nasi niwabora wakukadiria tufanye jitihad lkn mng alichokikadiria ndoichoicho utakachopt Ishallah mng atufanyie wps
Hilo ni sawa wala mimi silipingi. Ninachokipinga ni kupuuzia maarifa yanayoweza kuboresha hali yako. Ni lazima ujitume huku ukimtegemea Mungu, na dua inaweza badilisha qadar... !! Kusema maarifa hayawezi kukusaidia kwasababu wewe umeshakadiriwa ni kujipoteza. Kwanza hukijui ulichokadiriwa...kwahiyo ni bora ujitume, fuata maarifa sahihi, Kwa juhudi zako utakachopata yeye Allah anajua zaidi... Lakini sisi tusiwe sehemu yoyote ya vikwazo kwa kushindwa tu kufikiria vizuri! Pamoja ndugu yangu
Naukataa umasikin kwanguvu zote Asante kwaelimu bola kwetu
Salute for you bro
Nimependa sanaa namna upendo wa ajabu wa EZDEN ,AMAN MAKILITA ni kocha wangu lakini pia EZDED PAMOJA NA NANAUKA Sasa nashangaa EZDEN ASITI KUSEMA MAZURI YA MAKOCHA WENZIE Jambo ambalo sisi Wana HIP HOP tuna ubir upendo na umoja lakini atufanyi kwa vitendo Kama afanyavyo EZDEN
Hahahahaa ma maan... Tunahitaji kushirikiana na tutafika mbali zaidi. Lengo ni kusaidia jamii yetu kimaarifa
Ukwel sheikh amemdanganya jamaa coz Mungu mwenyew anataka tufanye harakat za maisha
Maarifa ni muhimu sana
wewe na Joel nanauka mjawahi kuniangusha mungu awabariki sana
Nakukubali kijana.
Asante nimejifuza namna ya kufikiri kitafauti🙏🏼
Karibu sana
Nakupata kwa uwazi kabisa
Shukrani
Somo nzur kaka upo vizur
Kitabu daresalam kariakoo
Asante kwa darasa Nzuri Sanaa ongera takipataje icho kitabu niko Mbeya ila mimi nakaa drc
Nitumie ujumbe kwenye simu 0759191076
Nakitaka kitabu icho niko Mbeya
Kweli kabisa kk.
Uposahihi,kaka,
Asante
Nakuelewa Sana bro.
Thank you
Allah akupe umri mlefu wenye manufa kwa kuelimisha jamii
#mafanikio bro be blessed
Kiukweli mm naipenda sana hii chanel sana
Asalm alkum j nimekuelewa Sanaa swala la swala tano wakati huna pesa hata swala zako azikamilik
Nakubali bro🙏🙏🙏
Niko omani takipataje
kitabu arusha
Nice
Asante 😅
Nimefanikiwa kaka eziden nilikua nafatia sana hii channel kwa umakini sana hadi nusu ya malengo
Hongera sana ndugu... Keep doing what you do best
💪
Each one teach one
True kuwa mbunifu mafanikio yapo.
Kitabu Dar
KUPATA KITABU HIKI:
Tuma Text | Whatsapp
Andika "Kitabu - Mahali ulipo"
0759-191-076
BEI: 20,000 TZS
Dar: Free Delivery
Nje ya Dar utalipia usafiri
Nikweli kaka Binafsi mimi nakubaliana na ww Nikweli umaskin ndo chanzo cha maovu Yote kwa Aslimia kubwa.... Chamwisho sijasikia ukitaja namba ili nikitaka hcho kitqbu nikipate
Namba ni hii 0759191076
Hata kwa sisi waislamu huwezi kwenda kuhiji makha ukiwa huna hela
Akika kwa somo lako wengi tunakuelewa na tunafulai.
Nashukuru sana kaka
Mm nimejifunza kwamba penye Nia pana njia, hata ukutane na vikwazo vingi kiasi gani Kama unania ya kuutupa umaskini utapambana mpaka umaskini utakukimbia wenyewe
Naam naam
Kitabu dar es salaam
Hello tuma ujumbe huko kwenye simu tafadhali 0759191076
Shukran broo,,allah akuzdshie kher
Kitabu shinyanga
KUPATA KITABU HIKI:
Tuma Text | Whatsapp
Andika "Kitabu - Mahali ulipo"
0759-191-076
BEI: 20,000 TZS
Dar: Free Delivery
Nje ya Dar utalipia usafiri
Hasante kaka kipo vizuri nitanunua.
Karibu sana
Nakipataje
Utajiri Hauwezi Kununua Furaha, Lakini Umasikini Hauwezi kununua chochote zaidi ya Chuki na Wivu:
Tusali sana lakini tusidharau maarifa.
Usisahau kumfundisha mwanao kuuchukia umasikini 💪
Ujumbe mzito kaka...
Kote kote bro..kwa upande Wang
Kitabu Zanzibar
Naukataa kweli yaani
Kabisa kabisa
Marco balikiwasana
Hyo iko wazi kuwa ushakadiriwa kila kitu na MUNGU lkni sasa utajuaje kma umekadiriwa utajiri au umaskini vile ambavyo unafanya bidii ya kutenda mazuri hpa pia vile vile ufanye bidii ya kupata pesa kwa njia ya halali
Naam fanya juhudi utafute kwa Kwa hali. Ushauri mzuri
Nakipataje hicho kitabu
Kitabu simiyu
Ni kwenye ndoa
Kitabu iringa
Yaan hyo washrikina ilivyo itaja no one except it?
Asalam a'alaikum warahmatullahi wabarakatu, Bro kwa wenye tuko inje ya tanzania tutapata aje kitabu?
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh. The same bro just send a message kwenye hiyo WhatsApp Andika KITABU na mahali ulipo
Asante sawa bro
Kitabu KENYA
kitabu kagera
Kuhukataa umaskini
Sasa kwa watu ambao wako inje ya tz vitabo vinaweza kutufikia kwa nchi jirani?
Njoo whatsapp 0759191076
Kaka nakufatiliasana nanaona jia zamafanikio
Nakuelewa xana kaka 2napataje vtabu vyako?
Niko Kenya naeza pata vipi hicho kitabu
Kitabu Newala mtwara
mana hip hop wa kweli stell bado unatuvusha makini sana broo heshima kwako the rock nazai mi ndo nipo makini sana na masomo kama haya
Kwa maskini
Ni AYUB npo karen Nairobi takipataje kitabu hicho
Asalaam alykum warhmatulah wabarakatul nafutilia xn nakulewa pia je naweza pathname what's ppl nahitaji uxhari kutoka kwako
Karibu
Ticha
Asante brother kila siku naongeza kitu good bless
Eee nimeelewa kitabu kagera
Tuma ujumbe kwenye simu tafadhali 0759191076
Shukrain nilazima ap tupambane hakuna yoyote anakae penda umaskin
Kaka umenigusa Kuna mahali binadamu tunatakiwa kuchange coz ziko iman za kusema mwenye pesa ni mchawi
Matajiri
habari nimeguswa sana na maada na hivyo vitabu naomba ushauri nianze na kipi maaana naisi kama mtu niliyecheleea sana