MADADAPOA WATIMUA MBIO Mwananyamala, NI BAADA ya MEYA KINONDONI KUSHTUKIZA KWENYE MADANGURO YAO...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 02. 2023
  • MADADAPOA WATIMUA MBIO Mwananyamala, NI BAADA ya MEYA KINONDONI KUSHTUKIZA KWENYE MADANGURO YAO...
    Katika hali ya kuendelea kulinda maadili ya Kitanzania na kuhakikisha kizazi kinachokua hakiingii katika biashara haramu ya kuuza miili yao, mchana wa leo Mstahiki Meya wa Kinondoni jijini Dar es Salaam amefanya ziara fupi ya kujionea hali halisi ilivyo katika eneo la Mwananyamala.
    Madadapoa wanadaiwa kufanya biashara za kuuza miili yao, hatua ambayo imekuwa ikipingwa vikali na wadau mbalimbali ikiwemo hata Baraza la Madiwani...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 393

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +5

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @mosesndimgwanko1079
    @mosesndimgwanko1079 Před rokem +2

    Asanteni viongoz kwa kuliona hilo,hayo majumba naona tu yafungwe.Tunatengeneza kizazi cha uharibifu xana.

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 Před rokem +16

    Vita hii ni Kali na Ngumu Mheshimiwa Mwenyezi Mungu akutie Nguvu

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 Před rokem +2

    Wallahy mtihani c mdg dah! ???? Mwenyezmungu tuswameh waja wko. Vikuze vizazi vyetu kwenye maadili mema.

  • @jothamekisouke2326
    @jothamekisouke2326 Před rokem +1

    Daaaah uyo chapombe msemaji wa kwanza ameongea vzuri sana,hao wadada wanaharbu Sana jamniii iliyowaznguka!!
    Lkini viongozi wanapata manufaa Sana na hao wadada wanaojiuza hapo,haiwezkani wawaache tu wafnye uchfu wao

  • @rajabukhamis467
    @rajabukhamis467 Před rokem +11

    Asanteni sana viongozi wetu kwa msimamo wenu maana nishida unakuta mtoto mdogo mwenye miaka 15 anaenda kufanya mapenzi namtu mkubwa pesa ndogo tena wengi wanafunzi nandio maana wanafunzi wengi shuleni wanakua vicho box baadae tunawalaumu walim kumbe wanashindwa kufanya vizuri kumbe wameanza kufanya ngono zembe mapema

  • @lionking3015
    @lionking3015 Před rokem +4

    Mm nadhani hata hoteli kubwa kubwa wanazoenda kina Kajala na irene uwoya pia ni danguro tu..utofauti ni mazingira tu..hata mtandao wa Instagram na tiktok ni danguro mana madada wengi wanazitumia kujiuza mitandaoni na kujiadvertise kama kina gigy..nadhani ni bora sheria iwe msumeno sio kwa wanyonge tu

  • @othmanhussein-ed7mj
    @othmanhussein-ed7mj Před rokem +25

    Duh innaa lilaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 4 měsíci

    Huyu mayor anatumia haki za binadamu, maadili na sheria Ya nchi. Safi Sana.

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Před rokem +6

    Makahaba DAR wapo wengi sana kila mahali ukienda manzese,kimara,temeke,buguruni yani wapo kibao na walio wengi wanatoka mikoani

    • @loner_wolf
      @loner_wolf Před rokem

      Tafakari..... Wapo wa mkoa na wapo wa hapa hapa......

    • @sarahomary3615
      @sarahomary3615 Před rokem +1

      ​@@loner_wolf Hapana nakataa WA dar wamezoea mji ila WA mikoani wengi wanavamia mji Wanakuja na ulimbukeni na wengi wanaambiwa Kuna kazi za ndani wakiona maisha hayapo Sawa ndiyo hivyo wanaanza kujiuza

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      ​@@sarahomary3615 Wote hata wa dar wanayafanya hayo.

  • @samwelkalinjuna9739
    @samwelkalinjuna9739 Před rokem

    HONGERA sana mh stahiki mayor songoro kwa jambo hili kwakweri hali si hali ndani ya jiji hili la dar es salaam na si hapo tu hili zoezi Liwe la jiji zima maadili ya momonyoka

  • @caswaralbadry8481
    @caswaralbadry8481 Před rokem

    Laana hii itaisha lini ni jukumu kwa kila mtanzania wasione wengine mungu atawaacha hapana ukiwa na uwezo wa kukemea au kuzuia na ukakaa kimya kulizuia hili basi na ww unahusika kuadhibiwa na mungu moto mkali ,

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před rokem +2

    Atuwezi fanya kazi aina moja waacheni wanasaidia watu mmesha halibu maisha toga juuu

  • @emanuelpallangyo3698
    @emanuelpallangyo3698 Před rokem +5

    Toeni kwanza elimu kwao then mfanye mpango wakuwapa mikopo kwa ajili ya biashara kwa ataye hitaji

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Před rokem +6

    SubhanaAllah 😭😭😭 ndiyomaana mvua hainyeshi mazao yamekauka Wallah huu mtihani

  • @starmakervideos1984
    @starmakervideos1984 Před rokem

    sio sawa
    maisha magumu dada zetu wafnyaje yaan. acheni usengne viongoz mnakurupuka sana. hamtoi suluhisho nyie mnajua kukataza tu.

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Před rokem +5

    ni hatari sana si ukimwi tu kuna hepatitis B ni mbaya kuliko ukimwi

  • @manilabonalumanula9210
    @manilabonalumanula9210 Před rokem +1

    Safi sana Mstahiki Meya. Lkn itakapotokea hapo acha watu wako kimya kimya wasiojulikana kwa wenyeji ili iwe rahisi kusafisha wachafuzi wa jamii. Maana hao viongozi wenyeji usiwategemee watakudanganya.

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Kabisa na watakuwa wanapata fungu

  • @fikiriselemani100
    @fikiriselemani100 Před rokem +6

    Halafu vjumba vyenyewe vbovu vnachafua hadhi ya Jiji letu ,Bora vivunjwe ,

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Před rokem +10

    Mtihani dah😢😢😢😢

  • @sylasmusic6773
    @sylasmusic6773 Před rokem +1

    Wafanye nini wakati hata biashara ni shida tu acheni hizo dada huduma. zenu ni nzuri

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Před rokem +12

    Ili jambo liishe mpaka Mama asemee au bunge liseme maana ndoa nyingi leo zinazofungwa zimekufa kwasababu hiyo

  • @DIO-jd8xs
    @DIO-jd8xs Před rokem +4

    Situnataka haki sawa

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Před rokem +1

    Safi

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Před rokem +7

    Safi sana mstahiki mayor umeongea vizuri sana.. kazi iendelee

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 Před rokem +4

    Yaan mashallah hongera sana

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 Před rokem +3

    Hii ndio faida ya kuwachagua viongozi wanaomcha Mungu

    • @WAASINASTYCRAZY
      @WAASINASTYCRAZY Před rokem

      Mnawafukuza kwan si wapo nchini kwao ,mnawafukuza badala ya kuwataftia kazi ,hao ni watanzania walioshindwa na maisha wakaona wajikimu kwa kujiuza ,serekali inawaona kheri wafe njaaa,hawana thaman ndanio ya taifa yao,hao wanasaidia familia zao kwa kazi hiyo na hiyo nch haina kazi sasa watu waishi vp wakati serekali mmeshindwa kuwaudumikia wala kuwaajili wananch wake? acheni ukilitimba mikopo mnapeana wenyewe wenye nyumba dadazetu tuwataftie chakufanya msiwafungie biashara zao kwan tupo kwenye umasikini uliokithili ,acheni ukilitimba

    • @christianchando7041
      @christianchando7041 Před rokem

      @@WAASINASTYCRAZY Mikopo ya akina mama, vijana na walemavu, ni 10% ya mapato yote ya Halmashauri kwa mwaka. Mfano Halmashauri ya Kinondoni asilimia 10 huwa ni bilioni 2 mpaka tatu. HIZO WANAKOPESHWA BILA RIBA WALA DHAMANA YOYOTE

    • @WAASINASTYCRAZY
      @WAASINASTYCRAZY Před rokem

      @@christianchando7041 kukopa mpaka uwe na kitu chakuweka rehani,kama tanzania haina dini mnakatazia nini watu kujiuza kwani kakuuza wewe? kwan si anajiuza ilin apate pesa yakula sasa unataka uwe unampa wewe pesa yakula au unataka afe? mikopo sipanka niwe na akili ya biashara ? serekali haiwezi kuongoza wananch wake ,hasa wewe raia unaongelea hivyo wananch wenzako waliojikimu kwa kujiuza ili wasife njaa> sasa mnataka wawe majambazi au? kama mnauwezo si muwasomeshe au muwape kazi waitakayo? mnajua nch ipo kwenye umasikini uliokithioli na wananch waacheni wafanye wanachoona kinawawezehsa kimaisha ,au mnataka mtu weke sote jela au tufe sote ? nyie mmesomeshwa na mpo maoffisin mkitaka malaya mnaenda bar kubwa na mahotelini sasa sisi walala hoi mnataka tuwabale watoto wa watu au? mnataka tuwanajisi watoto wenu wakiume au? mbona viongozi hawana akili ?wao wameshiba sisi tiukijikwamua kiuchumi kwa njia tuziojuazo nyie mnatukataza kwan nch mmeumbiwa nyie pekeyenu?

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem +7

    Mhh hatari ila hii hapana nimezunguka Arusha sijawahi ona huu ujenzi vyumba utadhani mabanda ya kuku😭🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před rokem +2

    si vyema kuwafukuza wanatoa huduma kwa watu ambao hawawezi kupata huduma hiyo hasa vijana wasio na ndoa muhim wapimwe afya ili wasiwe chanzo cha maradhi kwa jamii. pia kama inawezekana wawezeshwe mwanamke akiwezeshwa basi jamii imewezeshwa

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před rokem

    Safi sana mkuu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem +7

    Hatari sana!! Hongera sana Meya Kwa kujitoa muhanga!!

    • @saebajoma8419
      @saebajoma8419 Před rokem

      Kwahiyo ndugu yangu kuuza mwili nikazi mbona kazi zipo nyingi tuu ukiamua ​@@WAASINASTYCRAZY

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@WAASINASTYCRAZY Afya yako ya akili haiko Sawa,,,

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@WAASINASTYCRAZY Hahahaha,,,,,kama Una elimu basi ni ya kimchongomchongo, haiwezekani mtu msomi kutoa hoja ya kipumbavu kabisa, ,,,, there are so many Hustlers in this country who are struggling legally to earning their lives!!! We unatuambia eti Kwa kuwa hawana kazi basi wakauze miili Yao! Mjinga sana wewe, tena usirudie tena kudai usomi Kwa Hoja za kijinga, maana unaiangusha tasnia ya kisomi

  • @Saidkhel
    @Saidkhel Před rokem

    Wanunuzi wanalalamika kwenye comment bongo bhana

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 Před rokem

    HONGERA MH WANAWAKE WAMEKUWA NA MABALAA NA WAMESAHAU KAMA KUNAMUNGU

  • @naimasuleiman6489
    @naimasuleiman6489 Před rokem +1

    Na hivo vyumba vimejengwa kwa hivo tu au subhnaAllah

  • @bongelabwana1940
    @bongelabwana1940 Před rokem +3

    Tunahtaji Viongoz wenye Mitazamo na hofu na Mungu,Namuona atafika mbali

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Před rokem

    Jambo zuri sana hilo,chukueni hatua yasibaki maneno tu. Wengine wenu ni wateja🤔

  • @ahmedyhassan4059
    @ahmedyhassan4059 Před rokem +1

    Wanafanya ukimwi uzid vijana watt zetu sijui k watapona badae uko,,Allah tupo mwisho mwema

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Před 4 měsíci

    Mh. Diwani Kata ya Makunusho Mohd. mwogope Mungu. Hela yangu uliyonitapeli wakati unatoa gari langu Bandarini uliahidi utanilipa kwanini hunilipi???? Wewe sasa ni kiongozi je unafuraha kudhulumu.

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 Před rokem +3

    Ni zaidi ya miaka 40 hizo nyumba zipo, kazi ipo.

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Před rokem +6

    Sisi wanaume ndo hatuelewiki unakuta mtu yupo hapo analalamika na yeye ndo mteja wa hao watu anafikiri hayo mambo yataisha vipi inatkiwa kwanza wanaume tuache kununua hao watu mwisho wasiku wafanye kazi waache uvivu

    • @Awatee
      @Awatee Před rokem

      Wewe umeongea lkn wengine sio rahisi kuelewa

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Před rokem +1

      Na sisi tusiyo na hela za kuhonba unadhani tutaacha kwenda kwa hao watu?

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 Před rokem +10

    Ao ao wenyewe watoa maoni ndio wateja wakuu jioni

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +1

    Mkuu Wa Mkoa Sijui Anapambana Nanini Ndani Ya Dar .Uchafu Kila Kona Mbona Wakati Wa Makonda Mengi Yalikua Kwenye Kupotea Viongozi Wenye Kupokea Pesa Kamata Ndani Sasaivi Mpaka Wazazi Awaley Watoto Wa Kike Kwasababu Wanajua Unalea Malaya Kumbe Watoto Halisi

  • @ramadhanmustafa1941
    @ramadhanmustafa1941 Před rokem +1

    Fukuzilia hao wote wanatuharibia ndugu zetu

  • @stephenemuya8575
    @stephenemuya8575 Před rokem +1

    Hii ni siasa tu amna kitu hapo waishapita viongozi wengi ilo eneo amna kitu wanafanya amna solution wanoyokuja nayo Amna Kitu Hapo

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před rokem +12

    Innalillah waina ilayhi raj un

  • @hamdaniamli-mj3zp
    @hamdaniamli-mj3zp Před rokem

    Ahsante meya umesomeka

  • @othmanhussein-ed7mj
    @othmanhussein-ed7mj Před rokem

    Duh

  • @mussakadelia5681
    @mussakadelia5681 Před rokem

    mheshimiwa meya, kutoa mikopo siyo vibaya ila changamoto ni kwamba hao watu wanaenda kufanya biashara gani, na wamejiandaa vipi kuwapa elimu ya ujasiriamali kabla ya kuwapa mikopo,
    hii issue ni ngumu sana na haiwezi kuleta matokeo chanya, watakula hiyo mikopo na kurudi kwenye madanguro tena

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 Před rokem +2

    Mnaanzaga vizuri ila mwisho huwa mbiyo za sakafuni. Hao hata kwenye vitabu vyadini wapo kuzuiya ni ngumu maana watatafta njia yoyote kaziyao iendelee mtumie akili na lisiwe zoezi la skumoja araf mnapoa

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 Před rokem

      Mzee kuishinda ihi biashara ni ngumu kuliko kitu chochote dunia ihi,biashara ambazo huwezi kuzitokomeza dunia ihi ni madawa ya kulevya,umalaya,(kuuza mwili),kuuza viungo vya binadamu,uwezi zuia ata siku moja,kingine kilichoikumba dunia ni ush..ga

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před rokem +13

    wanasiasa bwana eti mwenye nyumba asipojitokeza tutavunja tuweke kituo cha afya hiyo kesi yake utakimbia familia hawa ma meya si ndo wanatokana na madiwani sasa kuna diwani gani mwenye akili timamu

    • @mkundukunuks
      @mkundukunuks Před rokem

      Kama Yule wa vingunguti kumbi la Moto Hana hata akili moja

    • @kisoso890
      @kisoso890 Před rokem

      Haha machoko Hao wananunua vibint vya insta na tiktok na Twitter wanajifanya kutumia mtandao wa Twitter kama vile sehemu special kumbe kule Twitter Kuna laana kufuru utamkuta eti account yangu ya Twitter kumbe ni bora anaetumia Facebook yupo OK kuliko huko Twitter
      Kaka meya kafanye kazi maji shida barabara shida unakuja kataka kuharibu raha zetu mbwa wew

    • @abdallahrenatus6677
      @abdallahrenatus6677 Před rokem

      Bodhaa kama haipo mteja atatoka wapi?

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Před rokem +3

    Mola awasimamie mpaka, biashara hii ikome, inshaallah safi sana meya.

    • @hallin9561
      @hallin9561 Před rokem

      hii biashara haitokaa ifutike kaka, iwe saudia, dubai, Vatican, itali, American na kwingine kote, ni vile zinafanyika kwa siri sana, niliwahi kupelekwa kwenye dangulo moja Zanzibar kama wew ni mgeni haujui. wenyeji wanapajua

  • @jothamekisouke2326
    @jothamekisouke2326 Před rokem

    Duuuh hiyo milango Sasa ilivyo!! Bei ya elfu 2 Ni ukimwi,Na Magonjwa mengi

  • @filbertabdallahmdee2676
    @filbertabdallahmdee2676 Před rokem +1

    Kwel jaman jamii inaangamia embu serikali iingilie kati na ikiwezekana sheria ziwe Kali kuhusu wanawake wanaojiuza

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Před rokem +8

    Hata kama kazi ya ukahaba upo basi usiwe wazi namna hii, yani hawa wanafanya kaz km duka......

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD488 Před rokem +4

    wateja waache kwenda kununua hizo ngono tuone kama watakuwepo. shida si hao bali ni wateja, pia hizo pesa za mikopo mkakopeshe watu waliozoea kupata pesa kwa kufanya ngono mnautani kweli aisee, hakuna atakaefanya biashara hapo ya kupigwa na jua siku nzima wakati alizoea kukaa kivulini na kupata pesa, watafutieni Kazi viandani huko mkawapeleke, mikopo ni kuchezea tu pesa kodi zetu.

    • @issasulleman8573
      @issasulleman8573 Před rokem +1

      sasa wateje tukiacha kwenda kununua ! mnataka tuanze kubaka au! na nyinyi mnatulingia, mkitongozwa tu mnaanza kutupatia majukumu makubwa kama wazazi wenu sasa si bola nikanunue alfu 3

    • @gockoomzawa226
      @gockoomzawa226 Před rokem +1

      Mkitongozwa si mnakataa

    • @NANCYWARD488
      @NANCYWARD488 Před rokem

      @@gockoomzawa226 na nyie mnaogoa majukumu ndio maana mnaenda kununua vya harakaharaka na bei nafuu

    • @gockoomzawa226
      @gockoomzawa226 Před rokem +1

      @@NANCYWARD488 tena huko akuna ata kuumizwa moyo

    • @NANCYWARD488
      @NANCYWARD488 Před rokem

      @@issasulleman8573 ndio wawaache sasa ili nyie msiotaka majukumu mpate pakwenda

  • @mohddelo
    @mohddelo Před rokem

    Safi mkuu

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 Před rokem

    Anaefanya ivyo sio kama anapenda kazidiwa na maisha magumu

  • @lucaspaulo5371
    @lucaspaulo5371 Před rokem

    Harafu msiseme makahaba tu na wanunuzi pia je mnawafahamu maana ni wengi kuliko wanaouza kama mmoja anaweza kuuza watano hadi kumi wako mia sasa zidisha mara hiyo ni ngapi? Halafu wateja wengi ni hao wa serikalini ndio wanaopandisha na bei 10000 harafu kahaba akisha kuwa staa wananunua wafanya biashara na wakubwa kuanzia 50000 mpaka ...… Mi naboeka na serikali yetu wala siwalaumu makahaba chanzo ni nini mpaka mtu akawe kahaba hamjiulizi?

  • @jumamasasi4424
    @jumamasasi4424 Před 8 měsíci +1

    Wana habar kweli mnakazi hatal

  • @Yo_tune-tb5sn
    @Yo_tune-tb5sn Před rokem +12

    Mi uyu jamaa wakwnza kuhojiwa sijaelewa alikuwa anakataa wawepo au anakubali maana inaonekana nimteja pia 😂😂😂😂😂

    • @eashaeasha9776
      @eashaeasha9776 Před rokem +1

      Nimecheka Sana tena mteja wao mzuri Tu anajua mbaka bei

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      😂😂🤣🤣🤣

    • @Yo_tune-tb5sn
      @Yo_tune-tb5sn Před rokem

      @@eashaeasha9776 😁😁😁😁 anakwambia unakuta mnakubaliana 3000 au 5000 lakin ukimalza anachukua yote 10000 me sikubaliani nahuduma yao 😂😂😂😂

    • @eashaeasha9776
      @eashaeasha9776 Před rokem

      @@Yo_tune-tb5sn halafu anasema wajumbe wa mtaa watazame swala Hilo yaani hapo anauchungu Tu na pesa zake lakini haoneshi kuchukizwa na hiyo biashara😆😆😆🤣

    • @Yo_tune-tb5sn
      @Yo_tune-tb5sn Před rokem

      @@eashaeasha9776 😂😂😂😂😂 dah bilashaka umemuelewa sana uyu jamaa

  • @abdullkareemmvungi
    @abdullkareemmvungi Před rokem +3

    🤣🤣🤣🤣eti anasema kashtukiza ... Alafu haha kuta Malaya ata mmoja ..bongo bwana Malaya Apo Hawa Hami najioni utawakuta

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 Před rokem +1

      Sina uwakika km wameshtukiza,uwo mda wakutafuta kufuri,nakuvaa nguo kikimbia wariupata wapi nawakati uwo wazee washatinba ktk tukio,Mimi nawewe Tutafakal!

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před rokem

    acheni wafanye kazi yao wanasaidia jamii makahaba walikuwepo kabla na baada ya kuzaliwa Kwa yesu

  • @stamalamkulungwa8708
    @stamalamkulungwa8708 Před rokem +1

    Jamani sasa wanawake mtaani wanatulingia Huko watu walikuwa wanapunguza haja zao sasa ukiwatoa itakuwaje

  • @oliverjason4335
    @oliverjason4335 Před rokem

    Sitetei ukahaba Ila iyo mikopo ni ubabaifu wengi hupati iyo pesa kwa haraka Kona nyingi mpk unakata tamaa unaamua kuacha

  • @tumainidmgutu
    @tumainidmgutu Před rokem +5

    Binafsi bado sijaona kama hiyo njia itasaidia kwakweli kwasababu badp kuna maswali mengi yanakosa majibu kwenye, naogopa kumlaumu au kumshitaki mtu , itoshe tu kusema kila mmoja atekeleze wajibu wake ipasavyo kama ni serikali na pia kama mwananchi vivuo hivyo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem +1

      Na hii inasaidia watu kubaka wawape vibali walipe kodi

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      True

    • @richardbenny156
      @richardbenny156 Před rokem

      unaunga mkono umalaya na ushoga si ndio?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      @@richardbenny156 Hujui kutofautisha wewe ,Ushoga na umalaya ni vitu viwili tofauti malaya wanasaidia watoto wasigeuzwe mashoga na wasibakwe.Hivi hujui kama kuna wanaumme hawajui kutongoza au wakitongoza hawakubaliwi .Ila kwa malaya ni fedha yako tu na watu kama hao ndio hatari kwa kubaka vichwaa wa kike na watoto. Malaya wawekeeni kihalali walipe kodi ,kwani kuna mtu analazimishwa kwenda kwa malaya ?ni mapendekezo ya mtu kwenda kutimiziwa haja zake

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +1

      ​@@leokamil6284 ah sjawahi kuona mtu akili hna kma hizo zko hujui maradhi ypo mengi hjui familia ngap zitaanguka na kuarhirika unatka wawe kma Thailand

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +2

    Hapo labda wavunje nyumba zote hizoooo ndy wataondoka...

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Před rokem +5

    daaah allha anusuru vizazi vyetu lnshallha na haya mambo maana hao wanao jiuza wapo sehemu ya jamii kabisa mtt akitumwa dukani hapo ndo njia na temeke pia maeneo ya dabo kibini kwa chacha pale na maeneo ya wailes masangati kwa nyuma yamejaa kama yote😭

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Inawezekana kukemea na yasiendelee kama hivyo ni sisi majirani tunapuuzia ndio hivyo yanaonekana kawaida tu.TUBADILIKE

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Před rokem

      Navijumba vyao vinakuwahivyo hivyo vya mstar

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Před rokem

      Navijumba vyao vinakuwahivyo hivyo vya mstar

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem

    Jamani kinadada taire! "Unameng'enywa" kwa pesa, tena Shilingi elfu mbili ya Tanzania?
    elfu mbili?

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Před rokem

    Hiiiiiiiiii Nchi tamu sana

  • @suleimayahya2099
    @suleimayahya2099 Před rokem +1

    Biashara itakua inawalipa vizuri coz mademu wa mitandaoni bei zao juu

  • @SamsonMwanosa-km6xc
    @SamsonMwanosa-km6xc Před 8 měsíci

    Selikali fanyeni mpango wa kuzuia ushoga hawa wahaya walikua wanatutoa baridi kwenye mvua hii

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Před rokem +7

    Meya uwamzi wako ni mzuri sana na tena hivyo viwanja vya hizo nyumba ni kiolela hazina hata hati za sehemu hiyo ni wavamizi walio jenga maeneo hayo

    • @mohamedrashid9035
      @mohamedrashid9035 Před rokem +1

      @@WAASINASTYCRAZY wwe kweli hamnazo wewe unapenda ujinga wanao fanya kuuza uchi ni kazi watoto watajifunza nini badae.wanaka mikoa na vijijini kuja kuza miili wanawacha mashamba kulima hata ni mtanzania ndio ufanye maovu ndani ya nchi

  • @Jaz_bey
    @Jaz_bey Před rokem

    Mama ntilie wanafanya kaz afu Wana kamatwa na site afu kuna ombaomba wa naitwa wagogo wazima hawana tatizo wanaombaomba hapa mjini kwann serkal isiwakamate iwapeleke maporin wana fanya nn hapa mjin wamechanganyana na vilema kilema aombe nawaoo wambe

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Před rokem +10

    Hao wanaojiuza,maana yake wana wateja.Wateja wao ni wanaume...Hivyo nawaomba,muwaambie wanaume.Kama wanaume hawataenda kwa hao wadada,hao wadada hawatapata wateja itakuwa ni rahisi kutafuta kazi zingine za halali.

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 Před rokem

      Hiyo haiwezi kutokea

    • @bongelabwana1940
      @bongelabwana1940 Před rokem +1

      I think you are a member

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Před rokem +1

      Sasa dada angu nyie mnataka pesa ndefu mara ya kusukia mara hujala mambo kibao ila nikienda kwa hao madada poa napata kwa buku tatu tu aisee

    • @dinnambogoye9582
      @dinnambogoye9582 Před rokem

      @@emanuelleopod3949 kweli broo , pia madem wengine wanajikuta wanaliinga Sana

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Před rokem

      @@emanuelleopod3949 tumia kinga kwa umakini kabisa

  • @yassinshaban6241
    @yassinshaban6241 Před rokem

    Hii kitu kwa kiongozi uyu haiwez bora afanye mambo mengne tu maana majibu ya maswali hatakayoulizwa ana

  • @mchwikesenior4221
    @mchwikesenior4221 Před rokem +2

    Natamani huyu awe waziri ili maono yake yafanye kazi nchi nzima. Big up bro💪

    • @stephenemuya8575
      @stephenemuya8575 Před rokem

      SIASA TU HIZI MKUU MWAKANI ATAENDA MWINGINE YOUR JUST AN NPC IN TANZANIA

    • @WAASINASTYCRAZY
      @WAASINASTYCRAZY Před rokem +2

      Mnawafukuza kwan si wapo nchini kwao ,mnawafukuza badala ya kuwataftia kazi ,hao ni watanzania walioshindwa na maisha wakaona wajikimu kwa kujiuza ,serekali inawaona kheri wafe njaaa,hawana thaman ndanio ya taifa yao,hao wanasaidia familia zao kwa kazi hiyo na hiyo nch haina kazi sasa watu waishi vp wakati serekali mmeshindwa kuwaudumikia wala kuwaajili wananch wake? acheni ukilitimba mikopo mnapeana wenyewe wenye nyumba dadazetu tuwataftie chakufanya msiwafungie biashara zao kwan tupo kwenye umasikini uliokithili ,acheni ukilitimba

    • @MohammedAli-rh5si
      @MohammedAli-rh5si Před rokem +1

      Mmh🤣🤣

    • @fainajaffary4070
      @fainajaffary4070 Před rokem

      @@WAASINASTYCRAZY 😁😁😁😁🤣🤣kunywa soda bby😍

  • @zuwenaally6403
    @zuwenaally6403 Před rokem +3

    Subuhaanah lahu kama badae ya kuku jomani 😢😢😢😢😢

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 Před rokem

    Mtihani!mvua hazinyeshi!maisha magumu!matendo yetu!hizi sio asili yetu!nyakati za mwisho!mungu tusamehe tuongoze!

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 4 měsíci

    Serikali ingebomoa haya maeneo na kuwajengea wananchi nyumba Safi za bei nafuu na mazingira bora. Wangejenga ghorofa kadhaa za vyumba viwili mpaka viatu au vinne. Mpango mji, na kupawekuea hadhi hizo biashara za ovyo zingeisha. Maadili yazingatiwe.

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Před rokem +1

    Upande wa pili wamesaidia kupunguza kesi za ubakaji😂😂😂 Uganda hao wanalipa Kodi.

    • @Asha-gh2mo
      @Asha-gh2mo Před rokem

      Wala ubakaji unapamba moto hawajapunguza wala nn

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +1

    Sema Mmeamua Nyote

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před rokem

    muwaache wadada wafanye biashara zao kwa amani, nyinyi ni wauzaji wa mihadarati lakin wananchi wametulia

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před rokem

    Hapo ni karibu kabisa na hospital ya mwananyamala,,Yan utakuta Bango kabisa linakuelekeza hapo limeandikwa BIASHARA YA MAJENEZA,ila biashara ni watu Wala huon hayo majeneza

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Před rokem +1

    Saf sana Meya
    Kama mulifungia mitandao ya x vipi hawa panya

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 Před rokem

      Eeh! Wanashindwa nn kuwafungia kama X waliweza kuwafungia watu wasione??

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Hiyo sehemu kongwe

  • @shafiimusa6572
    @shafiimusa6572 Před rokem +2

    Ongera sana meya wa kinondoni

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před rokem +6

    Msiba mkubwa
    . Allah tunusuru na huu mtihani
    Watu wanaangamia

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Před rokem +1

    Kwa msiofahamu, hilo dangulo lipo zaidi ya miaka 20. Sijui kama Meya atatoboa!

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +1

    Mkitaka Kumaliza Tatizo Tanzania Hi Kwenye Mambo Ayo Hiundwe Shelia Ikitokea Nyumba Inatumika Kwenye Biashara Iyo Basi Nyumba Itaifishwe Mala Moja Likiwa Agizo Nchi Nzima Basi Tutaludisha Eshima Kuanzia Kwenye Ndoa Na Wananchi Watafanya Kazi Kumaliza Tatizo Ilo Nyumba Zibinausishwe Sasa Mtaenda Mpaka Lini Kwenda Apo Akumalizi Tatizo

    • @WAASINASTYCRAZY
      @WAASINASTYCRAZY Před rokem

      Mnawafukuza kwan si wapo nchini kwao ,mnawafukuza badala ya kuwataftia kazi ,hao ni watanzania walioshindwa na maisha wakaona wajikimu kwa kujiuza ,serekali inawaona kheri wafe njaaa,hawana thaman ndanio ya taifa yao,hao wanasaidia familia zao kwa kazi hiyo na hiyo nch haina kazi sasa watu waishi vp wakati serekali mmeshindwa kuwaudumikia wala kuwaajili wananch wake? acheni ukilitimba mikopo mnapeana wenyewe wenye nyumba dadazetu tuwataftie chakufanya msiwafungie biashara zao kwan tupo kwenye umasikini uliokithili ,acheni ukilitimba

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před rokem +1

    Kwani uchaguzi lini tz
    Maana huyu jamaa alikua akiishi jirani na hilo eneo kabla ya kua diwani hadi leo ni meya
    Na hakuwahi kukemea tatizo la tz viongozi hufanya kazi kwa mihemko
    Kikubwa tuone utekelezaji
    Maana waandishi wa habari washawahoji sana na hakuna khatua yoyote

  • @afrocushitic
    @afrocushitic Před rokem +2

    Mzigo unaliwa kwa elfu mbili🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lusakulazephania32
    @lusakulazephania32 Před rokem

    Wanatusaidia sana hawa madada

  • @barakamarandu6163
    @barakamarandu6163 Před rokem +1

    Sema lkn ukiangalia kwa upande mwingine izo pis zina tu save sana maana nikiwa na arosto naruka hapo chap na buku mbili

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před rokem +1

      Utakufa na magonjwa

    • @barakamarandu6163
      @barakamarandu6163 Před rokem

      @@Mina.15 Hamna magonjwa mama nachumvini nazama fresh to nawaungisha to jmn Kwan kuna baya

    • @Swahili14
      @Swahili14 Před rokem

      @@barakamarandu6163 Hello bro 😂

  • @Jaz_bey
    @Jaz_bey Před rokem +1

    Umeongea kwel angekuwepo magufuli hapo tunge bomoa kabsa maana laana tupu

  • @aloycemallya
    @aloycemallya Před rokem +5

    Hii habar imenisikitixha kwakwel😁😁

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Před rokem +3

    Elf mbili🤭🙄🙄🙄🙄🙄 kweli tutapona ?? Uwiiiii, Mungu tusaidie

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před rokem +1

    maisha magum wache ichi imewashinda kuna vitu kedekede vya maana havion umeoma kww madada poa tu wache watu wajipatie ridhik na wangne wakate kiu kwa wepes bila vikwazo

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Před rokem

      Innaalillah wainnaailayhi rajiun Allah Akusamehe na Akuongoze katika haqi

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Před rokem

    Hongera Sanaa Mh Songoro kwa hekima yk na busara zakoo Allah akujaze nguvu ya uongozi wk

  • @josephshelukindo2269
    @josephshelukindo2269 Před rokem +5

    Hata kama Wana maisha magumu..waangalie Kaz za kufanya sio hiyo..

  • @abdallahkassim318
    @abdallahkassim318 Před rokem

    Wapewe million 40 pia