MAKAHABA Wakutana Na Heka Heka Ya Kamanda MUROTO DODOMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #KamandaMuroto # Dodoma
    MAKAHABA Wakutana Na Heka Heka Ya Kamanda MUROTO DODOMA
    October 9, 2018 Jeshi la Polisi Dodoma linamshikilia kijana mmoja anayedaiwa kujifanya yeye ni afisa wa usalama kutokea mkoani Mbeya na kutapeli watu mbalimbali. Kamanda wa Polisi mkoni humo Gilles Muroto amewaeleza Waandishi wa habari namna muhusika alivyokamatwa akiwa katika jaribio lakiuhalifu.
    Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. .
    Category

Komentáře • 242

  • @neemapkawonga131
    @neemapkawonga131 Před 5 lety +15

    Duh wote weupe jamani hata hawafanani na hayo mambo

    • @perrybenson7188
      @perrybenson7188 Před 5 lety +1

      Kuna weupe na kujichubua hapo hakuna mweupe wamejichbua macho yamechomeka hatari!

    • @mariamvicent7312
      @mariamvicent7312 Před 5 lety

      Nikweli hawafanani hata kidogo

    • @khalifanassor5349
      @khalifanassor5349 Před 5 lety

      Kwani umalaya una rangi, acheni kasumba, hawa weupe malaya kuliko weusi

    • @najmamuss2806
      @najmamuss2806 Před 5 lety

      wamejichubua hatar

    • @janethedward7967
      @janethedward7967 Před 5 lety +1

      duuuh huo niudhalilishaji wahali ya juuu hatakm ni machangudo kunanjia mbdala yakuwafanya wache xkwadzan hiyo jamani tz yetu hakizabinadamu ziko wapi????!

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 Před 3 lety +3

    Katka kuangalia kwangu nimemuona demu wangu shit shit kudadadek najuta kupenda😭😭😭😭😭 demu anaaaga naenda kazini kumbe kazi yanyewe ni ya kuzini kudadadek

  • @mwajabuhamisi7095
    @mwajabuhamisi7095 Před 4 lety +1

    Mm sijaona uwonevu hapo wakiwa wanaonyeshwa ivyo uenda wakaacha ukahaba sio maisha magumu tu tatizo wamezidi kuchagua wanaume ndomaana wanaishia kujiuza tu nyodo nyingi

  • @nenefutanganga9679
    @nenefutanganga9679 Před 3 lety +3

    Nyinyi wanaume hapa tuwe wakweri tuseme ukweli mtupu.. Wanaume kama hamununui nanini atauza?? Serikali yetu haitusadii kama wanawake tukithulumiwa na hawa wanaume.. Wachaneni na hao wanawake juu nyinyi mumewatia mamba wakazaa mukakibia na kiwaachia manjukumu mangumu ya kulea pekeyao bila chochote. Na mwanaume mwenyewe atakusubua mpenzi nizalie nataka mtoto ukishika ujauzito ana kuhepa humuoni tena. Wakulaumiwa hapa ni mwanaume aacheni kukibia manjukumu yenu nakuwekwe sheria ya kutetea mwanamke kama ichi za wazungu..hapo ukahamba utaisha.

    • @djjoe_tzmixingmaster5872
      @djjoe_tzmixingmaster5872 Před 2 lety

      Mliongea nanyoka kitu gani tena baada ya kula lile tunda? Nyie mnasiri nyimgi..acheni upumbavu cc tuone aibu

  • @jumamwadhini6066
    @jumamwadhini6066 Před 5 lety +1

    nijambo zuri mkuu vijana nguvu kazi tunaumizwa Leo nimeangalia simulizi moja kuna Dada katembea nawanaume250 amesha ambukizwa virusi

  • @arafiakasuke510
    @arafiakasuke510 Před 5 lety +10

    Jamani uwo ni uzalilishaji... Jamani haki za binadamu zipo wapi?? wengine hapo mama za watu na wengine ni dada za watu

  • @rashidseif6103
    @rashidseif6103 Před 4 lety +1

    Mara nyingi ninapo wakuta hao madada poa hua kila mmoja nampa buku kwa sababu najua hali ya maisha ni ngumu.

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 Před 4 lety +1

    Safi sana kamanda kazi nzr dawa

  • @mbozibukuru2592
    @mbozibukuru2592 Před 4 lety +1

    Nimeamini Tanzania mko saw Mungu awazidishiye muwafunge kabisa Mungu atawabariki

  • @annaraphael6613
    @annaraphael6613 Před 4 lety +1

    tukisema tanzania haina haki mnatetea upuuzi. sasa atakama nimakahaba kwanini kuwadharirisha hivo? watu wanatumia mamlaka yao vibaya kunyanyasa watu. ata hao wanaume pengine wameonewa kabisa.

  • @sumasugubrowna7640
    @sumasugubrowna7640 Před 3 lety +2

    Askari wetu masikini hawana kazi, kusema kweli raia ni watulivu sana mpaka askari wanakosa kazi, hawa askari inafaa wapelekwe NAPOL ITALY

  • @aishaathumany8174
    @aishaathumany8174 Před 4 lety +1

    Mbona wengi wao karolayti imewawaeza mana wamekua wekundu Kama pilipili zilipigwa na jua wengine wazee kbisa jamani warangi wacheni umalaya karimeni mpate faida allaa

  • @barakanyanchama4297
    @barakanyanchama4297 Před 2 měsíci +2

    Hawa mdada ndo wanaeneza mgojwa Tanzania kama vile ukimwi kaswende namengineyo

  • @boykakindasimu3969
    @boykakindasimu3969 Před 5 lety

    Hivi kweli mwanamke kuamua kujiuza kuna sababishwa na uhaba wa basic needs au nn tatizo ujue maisha hayako hivi jaman da inauma sana kuona dada zetu wako kwenye hali kama hii jaman kwangu binafisi inaniuma sana sijui naweza kisemaje tu

  • @djjoe_tzmixingmaster5872

    Safi sana kamanda njoo mshawishi na kamanda wa Arusha watokomeze huu upumbavu

  • @kelvinjonas8530
    @kelvinjonas8530 Před 5 lety +3

    Kiukweli sijaelewa maana ya kuwaanika kwenye vyombo vya habari

  • @mligosandrah7851
    @mligosandrah7851 Před 4 lety

    Mnapenda sana kick kwan lazma muite waandishi haya mambo tunayaona utawala huu tu sijui mwisho wenu n lini mnadhani mtaongoza milele.Hakuna mty anapenda afanye ivo wapeni mitaji.Wengine n wazazi wa watu

  • @levinawazir6289
    @levinawazir6289 Před 5 lety +1

    pole my erica na boke yote maisha kikubwa mpo huru kwa sasa

  • @crunkersdd4578
    @crunkersdd4578 Před 5 lety +9

    But huo ni udhalilishaji sasa hata kama wamefanya pelekeni wao kwa Sheri na sio kwa njia hii

  • @rahmstifaallahndiemwenyeku6765

    Hata mkiwapa raki mbili Kira mtu wakafanye biashara harafu muafuatilie lkn sio hivyo jaman

  • @mpelienock
    @mpelienock Před 4 lety

    Mitandao ya kijamii imekua shida jaman, je onyo kali lingetolewa na idadi ya walio kamatwa wengine wasingejifunza? Ni mpaka wadhalilishwe utu wao wa kupigwa picha?

  • @chidsufiani1133
    @chidsufiani1133 Před 5 lety

    Jamany

  • @angelmmbaga2367
    @angelmmbaga2367 Před 4 lety

    Sina lakusema mungu awasaidie

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 Před 3 lety +1

    Wapelekeni jela wakalime wazalishe mazao yakutosha

  • @neemafanuel4583
    @neemafanuel4583 Před 5 lety +2

    Ila hayo siyo maadili ya jeshi la polisi duniani kote, mambo hayo hayapo ya kuwapeleka watuhumiwa kwny media hizi zaidi ya mahakamani, mmehukumu kabla ya kuhukumiwa na mahakama zetu, ndio maana kunakesi nyingi za askari kusingizia raia na kutaka rushwa

  • @jothamekisouke8199
    @jothamekisouke8199 Před 2 lety

    Duuuh wengine macho makavu hawana habari wala nini

  • @gasperkiwo8279
    @gasperkiwo8279 Před 5 lety +2

    Ni maisha msiwalaum, muwafanyie haki msiwazulum ni binadamu kama wengine

  • @justinajohn9154
    @justinajohn9154 Před 4 lety +1

    Eti wanaonewa mwe mnavunja ndoa za watu halafu mnaonewaa

  • @mwanahamisibunju583
    @mwanahamisibunju583 Před 5 lety

    Safi sana mkuu wa mkowa

  • @aishasalum2963
    @aishasalum2963 Před 5 lety

    Mmmh mtihani kweli

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před 2 lety

    Ndio maana wanawake weusi Ni hadimu hao wengi ni weupe. Muwe mnakamata na wanunuzi wanaume

  • @lucylyamuya2088
    @lucylyamuya2088 Před 5 lety +2

    Sio haki mnawadhalilisha mngewapeleka bila kupatoa video.watu wanatekwa majambaz wanasumbua si mkawakamate sasa

    • @muhamedmlulu4943
      @muhamedmlulu4943 Před 4 lety

      Watuuy kama hawa aibu hawanaga wengne mach makav ngj wazalilishwe t

  • @toshogme
    @toshogme Před 5 lety +1

    what are they talking about

  • @athumanimafugalo9917
    @athumanimafugalo9917 Před 5 lety +3

    Mbona kama tuhuma haina ushahidi na watu hawaruhusiwi kujieleza?

  • @suleimanjuma7526
    @suleimanjuma7526 Před 4 lety +1

    Mitihani tu ya dunia wallahii

  • @user-sp4pu1fd9y
    @user-sp4pu1fd9y Před 5 lety

    saf sana

  • @willy_breeze
    @willy_breeze Před 2 lety

    Hawo hawawez kuwaondoa dunian n Weng xn me nadhn watafutage njia nyngne Tu Ila unashka wao wengne wanaingia

  • @jamesjohn4158
    @jamesjohn4158 Před 5 lety +2

    jamani siovzul

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 Před 4 lety

    Ase!!!

  • @ayoubwenga1805
    @ayoubwenga1805 Před 5 lety +2

    kama umewakuta nawewe ulikuwepo pale nawewe nikahaba

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 Před 5 lety +5

    Serikali inawajibu ya kusitisha umalaya, kwasababu sawa na ujambazi

    • @nenefutanganga9679
      @nenefutanganga9679 Před 3 lety

      Kama ukahaba ni ujambazi, basi kutia mwanamke mimba na kuhepa manjukumu hiyo ni murder with violence.

  • @patrickngwaulanga9758
    @patrickngwaulanga9758 Před 5 lety +4

    Kunavibao vinazuia kupita maeneo hayo?

  • @suzanadeimamo7726
    @suzanadeimamo7726 Před 2 lety

    Waacheni watu wajiuze kwa kuwa wateja wao wapo

  • @mkamimartha7721
    @mkamimartha7721 Před 5 lety +4

    Asikali yule mstarabu kamuelekeza Dada akimwambia panda taratibu. Huyo mruto hasila ya kuliwa pesa zake akiwa kijana asizimalizie uzeeeni

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 4 lety

      Ww naona unanunuaga ndio maana unawatetea mungu hamtaki ukahaba EE hembu tizama mikanda ya sodoma na gomora huyo afande mbona anawafanya vizuri kisheria wapigwe na nawe hadi wafe kama mnavyowauwaga vibaka mungu hapendi watu wajiuze adhabu yake kubwa

    • @suzanatweve5857
      @suzanatweve5857 Před 3 lety

      @@jenyyusuph4973 mungu anawahitaji walio na dhambi unaweza kushangaa huyo kahaba akauona ufalme wa mungu wewe unayejifanya msafi ukabaki

  • @keiphilemon6941
    @keiphilemon6941 Před 4 lety

    Hao walipe kodi Tu dunia nzima wapo hawa wanasaidia sana jamani

  • @ssadam4583
    @ssadam4583 Před 2 lety

    Umalaya sio mzuri watanzania

  • @user-bu7fy6ew5w
    @user-bu7fy6ew5w Před 5 lety +1

    Usk wanavaa mawigi hahahaa bora ninae fanya kazi za ndani napata pesa maisha yanaenda kuliko kudanga

  • @hawa4220
    @hawa4220 Před rokem

    Njoeni na Arusha wanatuzalilisha

  • @francethomas8059
    @francethomas8059 Před 2 lety

    Duuu

  • @leilasadick5477
    @leilasadick5477 Před 5 lety +2

    Wapeni ajira ajira ngumu sana tz

  • @mariasimon7545
    @mariasimon7545 Před 5 lety +1

    TUBUNI WAPENDWA MUWE VIUMBE VIPYA. YESU ANAWAPENDA KWANINI MUYARISKI MAISHA YENU KUNGALI NA NEEMA YA WOKOVU. KAMA FURSA ZIPO JIEPUSHENI NA TABIA HIYO NA MUNGU ATAWASAIDIA. YESU ANAWAPENDA SANA HATAKI MUENDE JEHANAM KWA AJILI YA UKAHABA. OKOKA SASA YESU KRISTO ANAKUJA SASA HIVI.

  • @babilonzuro2712
    @babilonzuro2712 Před 4 lety +2

    😂😂😂😂😂wadangaji bwana

  • @asmamohamedidi585
    @asmamohamedidi585 Před 4 lety

    Ndio inavyotakiwa kata shina umalize matawi

  • @alikiba9723
    @alikiba9723 Před 5 lety +1

    Duh mbona wazuri jamani tena wakiolewa wanaweza wakaka tu vizuri mbona dahh 🤦🏻‍♂️🤷🏻‍♂️+1

    • @aishaathumany8174
      @aishaathumany8174 Před 4 lety

      Sijaona mzuri hapo naona mikorogo mitupu hapo wamechomeka uso Kama kwa makrim shenzi zao wote

  • @rashidseif6103
    @rashidseif6103 Před 4 lety

    Wapeni ajira basi

  • @user-nt9ex8tx2z
    @user-nt9ex8tx2z Před 5 lety +1

    Wengine wamama kabsa jaman unafundsha nn family yako kwa hali hii

  • @aishajuma7739
    @aishajuma7739 Před 3 lety

    Mhh hawjioneyi hata huruma

  • @shaghabanibinramadhanshagh1561

    Nawashangaa wene kukomment et mnasema huu ni uzalilishaji waliamua kujizalilisha wao ujinga wao ndo umewaponza

  • @husseinkarim7839
    @husseinkarim7839 Před 5 lety +5

    Haki za binadamu.hayaruhusu huu udhalilashaji. Hata kama ni tendo baya lakini hao ni watoto wa watu na wengine ni.mama wa watoto.

    • @ashaabdul5228
      @ashaabdul5228 Před 5 lety

      kama hao wadada mnawaita dada poa jee nahao kaka mnawaitaje

    • @jackfimbo4486
      @jackfimbo4486 Před 5 lety

      nope hapo wamepata shavu la kutangaza biashara

    • @mwamedkhalid3288
      @mwamedkhalid3288 Před 5 lety

      Hamna haki ya kumuasi mungu

    • @iddysudy5910
      @iddysudy5910 Před 5 lety

      Hussein Karim ndo unawatetea Malaya au we mdau wao mkubwa

    • @iddysudy5910
      @iddysudy5910 Před 5 lety

      Hussein Karim wanakufukuzia vitoweo wako

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před 6 měsíci

    Pumbavu zao vitu walipewa vya bure wanataka kuvifanya ruru ndo viwatajirishe

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 Před 5 lety

    NI KWELI MNAONEWA TUU HAMNA LOLOTE KWANI MLIKUWA MNAMUUZIA NANI HUYO AU KUNA MAENEO MAALUM YALIYOTENGWA NA SERIKALI AMBAYO WANANCHI WAKIKAA MAENEO HAYO WANAKUWA WANAJIUZA AU MBONA SIELEWI MIMI, AU TUKAMATIENI WALOMPIGA LISU RISASI BASI ILI TUWE NA IMANI NANYIE TENA

  • @mahonakatani1592
    @mahonakatani1592 Před 5 lety +2

    Hiyo siyo haki ya binadamu kabisa,,,huyo kamanda hapaswi kuwepo ktk jeshi la police dakika 1 mbele

  • @rashidmohamedi1495
    @rashidmohamedi1495 Před 5 lety +1

    Dah hawajamaa watawaambiaje wake zao dah

  • @kelvindagine9571
    @kelvindagine9571 Před 3 lety

    Hapo kafeli ni ujingaaa sifa za kisenge si muwaite muwaazibu mpaka kamera

  • @user-nt9ex8tx2z
    @user-nt9ex8tx2z Před 5 lety

    Mtihani WALLAH

  • @ayoubwenga1805
    @ayoubwenga1805 Před 5 lety

    jinga sana we fande

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 5 lety +5

    Kamanda Hilo bonge nalitaka

  • @suleimanjuma7526
    @suleimanjuma7526 Před 4 lety +1

    Mh tufanyeni kazi za halali .jamani kazi nyengine si kazi

  • @suleimanalisaid1098
    @suleimanalisaid1098 Před 4 lety

    Wanajiuza wanauwa nguvu kazi kwa taifa weka ndan wote hao

  • @hemedybakari2675
    @hemedybakari2675 Před 5 lety +1

    Utakuta hao wote walikua na ndoa zao lakini wamezivunja wanafanya umaraya na wote wana watoto nyumbani kwao

  • @nassiralihassan1160
    @nassiralihassan1160 Před 3 lety

    Hawaaa maadanguroo waanauzaa ngapi nyumaa bei yaa nyumaa munauuzaa ngapi nipo naa pesaa miee mwauzaa ngapi nyumaa nyiee madanguro

  • @mwesigekalio3816
    @mwesigekalio3816 Před 4 lety

    huu uzaliishaji nyinyi selikali mnataka wawe hivi

  • @stevenkisinda8064
    @stevenkisinda8064 Před 5 lety

    Sasa Mme wakamata wapeni ajila wengine hawapendi wengine hapo wana degree lakini hawakubahatika kupata ajila sasa wanafikili watajikwamuaje katika maisha wapeni ajila wapeni ajila

  • @mpkwangu1367
    @mpkwangu1367 Před 5 lety +1

    Mkifanya hivi na kwa majambawazi tutasafiri usiku kucha

  • @doctor.jayonecity.onefamil4200

    sio poa. maisha nimaisha. wapangieni tu maisha. sio muwalaum bwana. maisha magum

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 Před 5 lety +1

    Mkuu hapo ipo waz ujuwi haki ya binadamu,hivi ukikutwa police inamanisha we n police??nachoona ni ushamba wa TV sifa zakijinga..ni kukosa kazi huko..tuonyeshe majambazi na cyo uzalilishaji kama huo

  • @danieljones2048
    @danieljones2048 Před 4 lety

    Mbona kamada anaingilia biashara zetu?

  • @hamismbungo1087
    @hamismbungo1087 Před 5 lety +1

    wape ela ya kula wataacha

  • @florabaruti8032
    @florabaruti8032 Před 5 lety +4

    waacheni bwana chamsing wapate leseni tu

    • @jrpatrick2269
      @jrpatrick2269 Před 5 lety

      Flora Baruti 😁😁😁😁😁😁

    • @mirriammwende9899
      @mirriammwende9899 Před 5 lety

      Ukweli

    • @iddysudy5910
      @iddysudy5910 Před 5 lety

      Flora Baruti leseni ya kufanya UMALAYA au ww ushapewa leseni

    • @florabaruti8032
      @florabaruti8032 Před 5 lety

      iddy ndio ninayo na nyie ndio wateja wakubwa kama kungekua hakuna wateja isinge kuwepo

  • @jumalula7516
    @jumalula7516 Před 5 lety +1

    Huyu kmanda mzalilishaji sio lazima awaonyeshe

  • @sulimanmansour8984
    @sulimanmansour8984 Před 5 lety +1

    Sasa mmewapiga picha za nini uzalilishaji huo

  • @mpawenimanaclaudette4864
    @mpawenimanaclaudette4864 Před 5 lety +4

    Maisha ni magumu jamani😭

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 4 lety

      Maisha magumu kwani wanaonunua maisha Yao yamekuaje raisi? Kujiendekeza tu

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 Před 3 lety

      Kujiendekeza acha kutte utopolo😠😠😠😠

  • @allymchunga480
    @allymchunga480 Před 5 lety

    Hapo kuna wengine wanafamilia zao na wanasomesha watoto wao.. fikiria Hao watoto watakua wameathiriwa kiasi gani wakiona hivi.

  • @user-kb6lx6mt1i
    @user-kb6lx6mt1i Před 5 lety

    Wape Kazi basi

  • @abdullahkhamis3196
    @abdullahkhamis3196 Před 5 lety +1

    Wanawake hawa ndio wanao waharibia ndoa zenu munadharauliwa na wapenzi wenu

    • @aishaathumany8174
      @aishaathumany8174 Před 4 lety

      Kabisa nawao ndio wanao sabbisha mungu kutupa azabu tusizo zijua

  • @yostanicebusime7320
    @yostanicebusime7320 Před 5 lety +1

    Watapata tabu sana kipigo chao nikama ubuwa koko

  • @khamiskashinje3809
    @khamiskashinje3809 Před 5 lety +2

    kamanda namtaka huyo aliyevaa shati ya jeans rangi ya bluu nije nimpatie tabu sn

  • @bryanmuoki6250
    @bryanmuoki6250 Před 2 lety

    Wacheni kudhalilisha wanawake, wape kazi

  • @amosmangura
    @amosmangura Před 2 měsíci

    Wapimwe ukimwi

  • @patrickkasonso2212
    @patrickkasonso2212 Před 5 lety

    Udharirishaji

  • @mwanaidiomar3678
    @mwanaidiomar3678 Před 4 lety

    Mwaonewa wakati wakati mwauza uchi wenu

  • @bahatikengese3603
    @bahatikengese3603 Před 4 lety

    tukiacha ushabiki mroto anapiga kazi kabsa

  • @emmanuelowiti8217
    @emmanuelowiti8217 Před 4 lety

    Kuna kazi nyingi mno za kufanya,hayo mambo tuwaachie wazungu jamani watanzania 🤔

  • @mukeragabilodiana9391
    @mukeragabilodiana9391 Před 5 lety +1

    Aibu 👈🙊

  • @evajohn7001
    @evajohn7001 Před 5 lety

    weka ndani woteee

  • @gizzelle5500
    @gizzelle5500 Před 5 lety

    Wamejiajiri hao muwaache.

  • @jumayasini9340
    @jumayasini9340 Před 4 lety

    😊😊😊😊

  • @wilsonkehogo5772
    @wilsonkehogo5772 Před 5 lety +1

    eti jamaa wana waita kivunja bei

  • @roswitaexavery3378
    @roswitaexavery3378 Před 2 lety

    Wapigwe fimbo mpaka watoboke makalio

  • @selestinemnegelwa2572
    @selestinemnegelwa2572 Před 5 lety

    Pia wakapimwe km wapo salama nguo za aibu kwa mzazi mwenye mtoto wake akiona hivi aibu sana.sibora mjitafutie Kazi zingine za kufanya kuliko kudhalilishwa HIV jamani da!!.