MAKAHABA Wakutana Na Heka Heka Ya Kamanda MUROTO DODOMA
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- #KamandaMuroto # Dodoma
MAKAHABA Wakutana Na Heka Heka Ya Kamanda MUROTO DODOMA
October 9, 2018 Jeshi la Polisi Dodoma linamshikilia kijana mmoja anayedaiwa kujifanya yeye ni afisa wa usalama kutokea mkoani Mbeya na kutapeli watu mbalimbali. Kamanda wa Polisi mkoni humo Gilles Muroto amewaeleza Waandishi wa habari namna muhusika alivyokamatwa akiwa katika jaribio lakiuhalifu.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. .
Category
Duh wote weupe jamani hata hawafanani na hayo mambo
Kuna weupe na kujichubua hapo hakuna mweupe wamejichbua macho yamechomeka hatari!
Nikweli hawafanani hata kidogo
Kwani umalaya una rangi, acheni kasumba, hawa weupe malaya kuliko weusi
wamejichubua hatar
duuuh huo niudhalilishaji wahali ya juuu hatakm ni machangudo kunanjia mbdala yakuwafanya wache xkwadzan hiyo jamani tz yetu hakizabinadamu ziko wapi????!
Katka kuangalia kwangu nimemuona demu wangu shit shit kudadadek najuta kupenda😭😭😭😭😭 demu anaaaga naenda kazini kumbe kazi yanyewe ni ya kuzini kudadadek
Mm sijaona uwonevu hapo wakiwa wanaonyeshwa ivyo uenda wakaacha ukahaba sio maisha magumu tu tatizo wamezidi kuchagua wanaume ndomaana wanaishia kujiuza tu nyodo nyingi
Nyinyi wanaume hapa tuwe wakweri tuseme ukweli mtupu.. Wanaume kama hamununui nanini atauza?? Serikali yetu haitusadii kama wanawake tukithulumiwa na hawa wanaume.. Wachaneni na hao wanawake juu nyinyi mumewatia mamba wakazaa mukakibia na kiwaachia manjukumu mangumu ya kulea pekeyao bila chochote. Na mwanaume mwenyewe atakusubua mpenzi nizalie nataka mtoto ukishika ujauzito ana kuhepa humuoni tena. Wakulaumiwa hapa ni mwanaume aacheni kukibia manjukumu yenu nakuwekwe sheria ya kutetea mwanamke kama ichi za wazungu..hapo ukahamba utaisha.
Mliongea nanyoka kitu gani tena baada ya kula lile tunda? Nyie mnasiri nyimgi..acheni upumbavu cc tuone aibu
nijambo zuri mkuu vijana nguvu kazi tunaumizwa Leo nimeangalia simulizi moja kuna Dada katembea nawanaume250 amesha ambukizwa virusi
Jamani uwo ni uzalilishaji... Jamani haki za binadamu zipo wapi?? wengine hapo mama za watu na wengine ni dada za watu
Aibu tupu
Acha wakome
Ww kama mama ZAWATU nani aliwaambia wajiuze
@@jenyyusuph4973 hakuna aliewaambia wajiuze lakini sio kuwadhalilisha katika mitandao ya kijamii, na si kweli hii biashara wanaipenda.
Mara nyingi ninapo wakuta hao madada poa hua kila mmoja nampa buku kwa sababu najua hali ya maisha ni ngumu.
Safi sana kamanda kazi nzr dawa
Nimeamini Tanzania mko saw Mungu awazidishiye muwafunge kabisa Mungu atawabariki
tukisema tanzania haina haki mnatetea upuuzi. sasa atakama nimakahaba kwanini kuwadharirisha hivo? watu wanatumia mamlaka yao vibaya kunyanyasa watu. ata hao wanaume pengine wameonewa kabisa.
Askari wetu masikini hawana kazi, kusema kweli raia ni watulivu sana mpaka askari wanakosa kazi, hawa askari inafaa wapelekwe NAPOL ITALY
Mbona wengi wao karolayti imewawaeza mana wamekua wekundu Kama pilipili zilipigwa na jua wengine wazee kbisa jamani warangi wacheni umalaya karimeni mpate faida allaa
Hawa mdada ndo wanaeneza mgojwa Tanzania kama vile ukimwi kaswende namengineyo
They are been followed
Hivi kweli mwanamke kuamua kujiuza kuna sababishwa na uhaba wa basic needs au nn tatizo ujue maisha hayako hivi jaman da inauma sana kuona dada zetu wako kwenye hali kama hii jaman kwangu binafisi inaniuma sana sijui naweza kisemaje tu
Safi sana kamanda njoo mshawishi na kamanda wa Arusha watokomeze huu upumbavu
Kiukweli sijaelewa maana ya kuwaanika kwenye vyombo vya habari
Mnapenda sana kick kwan lazma muite waandishi haya mambo tunayaona utawala huu tu sijui mwisho wenu n lini mnadhani mtaongoza milele.Hakuna mty anapenda afanye ivo wapeni mitaji.Wengine n wazazi wa watu
pole my erica na boke yote maisha kikubwa mpo huru kwa sasa
But huo ni udhalilishaji sasa hata kama wamefanya pelekeni wao kwa Sheri na sio kwa njia hii
Hata mkiwapa raki mbili Kira mtu wakafanye biashara harafu muafuatilie lkn sio hivyo jaman
Mitandao ya kijamii imekua shida jaman, je onyo kali lingetolewa na idadi ya walio kamatwa wengine wasingejifunza? Ni mpaka wadhalilishwe utu wao wa kupigwa picha?
Jamany
Sina lakusema mungu awasaidie
Wapelekeni jela wakalime wazalishe mazao yakutosha
Ila hayo siyo maadili ya jeshi la polisi duniani kote, mambo hayo hayapo ya kuwapeleka watuhumiwa kwny media hizi zaidi ya mahakamani, mmehukumu kabla ya kuhukumiwa na mahakama zetu, ndio maana kunakesi nyingi za askari kusingizia raia na kutaka rushwa
Mawazo mgando walewale
Wazibiwekabaismnguawasaidiamaasikar
Duuuh wengine macho makavu hawana habari wala nini
Ni maisha msiwalaum, muwafanyie haki msiwazulum ni binadamu kama wengine
Weee mteja au umo
Eti wanaonewa mwe mnavunja ndoa za watu halafu mnaonewaa
Safi sana mkuu wa mkowa
Mmmh mtihani kweli
Ndio maana wanawake weusi Ni hadimu hao wengi ni weupe. Muwe mnakamata na wanunuzi wanaume
Sio haki mnawadhalilisha mngewapeleka bila kupatoa video.watu wanatekwa majambaz wanasumbua si mkawakamate sasa
Watuuy kama hawa aibu hawanaga wengne mach makav ngj wazalilishwe t
what are they talking about
Mbona kama tuhuma haina ushahidi na watu hawaruhusiwi kujieleza?
Mbona awabishi?
Mitihani tu ya dunia wallahii
saf sana
Hawo hawawez kuwaondoa dunian n Weng xn me nadhn watafutage njia nyngne Tu Ila unashka wao wengne wanaingia
jamani siovzul
Ase!!!
kama umewakuta nawewe ulikuwepo pale nawewe nikahaba
Serikali inawajibu ya kusitisha umalaya, kwasababu sawa na ujambazi
Kama ukahaba ni ujambazi, basi kutia mwanamke mimba na kuhepa manjukumu hiyo ni murder with violence.
Kunavibao vinazuia kupita maeneo hayo?
Hahaha
Waacheni watu wajiuze kwa kuwa wateja wao wapo
Asikali yule mstarabu kamuelekeza Dada akimwambia panda taratibu. Huyo mruto hasila ya kuliwa pesa zake akiwa kijana asizimalizie uzeeeni
Ww naona unanunuaga ndio maana unawatetea mungu hamtaki ukahaba EE hembu tizama mikanda ya sodoma na gomora huyo afande mbona anawafanya vizuri kisheria wapigwe na nawe hadi wafe kama mnavyowauwaga vibaka mungu hapendi watu wajiuze adhabu yake kubwa
@@jenyyusuph4973 mungu anawahitaji walio na dhambi unaweza kushangaa huyo kahaba akauona ufalme wa mungu wewe unayejifanya msafi ukabaki
Hao walipe kodi Tu dunia nzima wapo hawa wanasaidia sana jamani
Umalaya sio mzuri watanzania
Usk wanavaa mawigi hahahaa bora ninae fanya kazi za ndani napata pesa maisha yanaenda kuliko kudanga
Njoeni na Arusha wanatuzalilisha
Duuu
Wapeni ajira ajira ngumu sana tz
Waliokuwa si Malaya wote wanaajira
Leila Sadick nhggffdsdgvvhgjhhhh
TUBUNI WAPENDWA MUWE VIUMBE VIPYA. YESU ANAWAPENDA KWANINI MUYARISKI MAISHA YENU KUNGALI NA NEEMA YA WOKOVU. KAMA FURSA ZIPO JIEPUSHENI NA TABIA HIYO NA MUNGU ATAWASAIDIA. YESU ANAWAPENDA SANA HATAKI MUENDE JEHANAM KWA AJILI YA UKAHABA. OKOKA SASA YESU KRISTO ANAKUJA SASA HIVI.
😂😂😂😂😂wadangaji bwana
Ndio inavyotakiwa kata shina umalize matawi
Duh mbona wazuri jamani tena wakiolewa wanaweza wakaka tu vizuri mbona dahh 🤦🏻♂️🤷🏻♂️+1
Sijaona mzuri hapo naona mikorogo mitupu hapo wamechomeka uso Kama kwa makrim shenzi zao wote
Wapeni ajira basi
Wengine wamama kabsa jaman unafundsha nn family yako kwa hali hii
Mhh hawjioneyi hata huruma
Nawashangaa wene kukomment et mnasema huu ni uzalilishaji waliamua kujizalilisha wao ujinga wao ndo umewaponza
Haki za binadamu.hayaruhusu huu udhalilashaji. Hata kama ni tendo baya lakini hao ni watoto wa watu na wengine ni.mama wa watoto.
kama hao wadada mnawaita dada poa jee nahao kaka mnawaitaje
nope hapo wamepata shavu la kutangaza biashara
Hamna haki ya kumuasi mungu
Hussein Karim ndo unawatetea Malaya au we mdau wao mkubwa
Hussein Karim wanakufukuzia vitoweo wako
Pumbavu zao vitu walipewa vya bure wanataka kuvifanya ruru ndo viwatajirishe
NI KWELI MNAONEWA TUU HAMNA LOLOTE KWANI MLIKUWA MNAMUUZIA NANI HUYO AU KUNA MAENEO MAALUM YALIYOTENGWA NA SERIKALI AMBAYO WANANCHI WAKIKAA MAENEO HAYO WANAKUWA WANAJIUZA AU MBONA SIELEWI MIMI, AU TUKAMATIENI WALOMPIGA LISU RISASI BASI ILI TUWE NA IMANI NANYIE TENA
Hiyo siyo haki ya binadamu kabisa,,,huyo kamanda hapaswi kuwepo ktk jeshi la police dakika 1 mbele
Dah hawajamaa watawaambiaje wake zao dah
Hapo kafeli ni ujingaaa sifa za kisenge si muwaite muwaazibu mpaka kamera
Mtihani WALLAH
jinga sana we fande
Kamanda Hilo bonge nalitaka
🤣🤣🤣🤣khaaaa
Mh tufanyeni kazi za halali .jamani kazi nyengine si kazi
Wanajiuza wanauwa nguvu kazi kwa taifa weka ndan wote hao
Utakuta hao wote walikua na ndoa zao lakini wamezivunja wanafanya umaraya na wote wana watoto nyumbani kwao
Hawaaa maadanguroo waanauzaa ngapi nyumaa bei yaa nyumaa munauuzaa ngapi nipo naa pesaa miee mwauzaa ngapi nyumaa nyiee madanguro
huu uzaliishaji nyinyi selikali mnataka wawe hivi
Sasa Mme wakamata wapeni ajila wengine hawapendi wengine hapo wana degree lakini hawakubahatika kupata ajila sasa wanafikili watajikwamuaje katika maisha wapeni ajila wapeni ajila
Mkifanya hivi na kwa majambawazi tutasafiri usiku kucha
sio poa. maisha nimaisha. wapangieni tu maisha. sio muwalaum bwana. maisha magum
Mkuu hapo ipo waz ujuwi haki ya binadamu,hivi ukikutwa police inamanisha we n police??nachoona ni ushamba wa TV sifa zakijinga..ni kukosa kazi huko..tuonyeshe majambazi na cyo uzalilishaji kama huo
Mbona kamada anaingilia biashara zetu?
wape ela ya kula wataacha
Hamis Mbungo umakaya tu kwani wanashindwa kupika maabsmdaz
Anaejitambua mkamilifu awe wa kwanza kuwarushia jiwe
waacheni bwana chamsing wapate leseni tu
Flora Baruti 😁😁😁😁😁😁
Ukweli
Flora Baruti leseni ya kufanya UMALAYA au ww ushapewa leseni
iddy ndio ninayo na nyie ndio wateja wakubwa kama kungekua hakuna wateja isinge kuwepo
Huyu kmanda mzalilishaji sio lazima awaonyeshe
Sasa mmewapiga picha za nini uzalilishaji huo
Suliman Mansour
Maisha ni magumu jamani😭
Maisha magumu kwani wanaonunua maisha Yao yamekuaje raisi? Kujiendekeza tu
Kujiendekeza acha kutte utopolo😠😠😠😠
Hapo kuna wengine wanafamilia zao na wanasomesha watoto wao.. fikiria Hao watoto watakua wameathiriwa kiasi gani wakiona hivi.
Ililandi
Ilitungu
Wape Kazi basi
Wachierrrr
Wanawake hawa ndio wanao waharibia ndoa zenu munadharauliwa na wapenzi wenu
Kabisa nawao ndio wanao sabbisha mungu kutupa azabu tusizo zijua
Watapata tabu sana kipigo chao nikama ubuwa koko
kamanda namtaka huyo aliyevaa shati ya jeans rangi ya bluu nije nimpatie tabu sn
Siumfate wacha kutufanyia fujo
Wacheni kudhalilisha wanawake, wape kazi
Wapimwe ukimwi
Udharirishaji
Mwaonewa wakati wakati mwauza uchi wenu
tukiacha ushabiki mroto anapiga kazi kabsa
Kuna kazi nyingi mno za kufanya,hayo mambo tuwaachie wazungu jamani watanzania 🤔
Aibu 👈🙊
weka ndani woteee
Wamejiajiri hao muwaache.
😊😊😊😊
eti jamaa wana waita kivunja bei
Wapigwe fimbo mpaka watoboke makalio
Pia wakapimwe km wapo salama nguo za aibu kwa mzazi mwenye mtoto wake akiona hivi aibu sana.sibora mjitafutie Kazi zingine za kufanya kuliko kudhalilishwa HIV jamani da!!.