Video není dostupné.
Omlouváme se.

IGP SIRRO AMSIMAMISHA KAMANDA MUROTO WA DODOMA “NATENGUA HAPAHAPA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 09. 2019

Komentáře • 200

  • @kenethjaphet8130
    @kenethjaphet8130 Před 4 lety +89

    kama na ww huon sababu ya mroto kutenguliwa kwenye ukamanda wake like yako ni mhimu

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 Před 4 lety +52

    Adhabu za kijeshi, sisi sio lazima tujue. Wamalizane huko huko.

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 Před 4 lety +14

    Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz

  • @edrickmbilig1021
    @edrickmbilig1021 Před 4 lety +33

    Mbona kamanda Muroto anapiga kazi saf Nini shida kwake jaman akuna kama kamanda wa dodoma

    • @mehdyahmed8479
      @mehdyahmed8479 Před 4 lety

      Oya ndugu muroto Hana issue kabisa yeye ni mtu wakujipendekeza kazini anajifanya anachapa kazi ili 2mradi jina lake linuke

    • @mwambietv7614
      @mwambietv7614 Před 4 lety

      Edrick Mbilig mbwembwe tu hakuna kazi

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 Před 3 lety

      Huwezi jua pengine kavunja sheria

  • @mercykimuto9882
    @mercykimuto9882 Před 4 lety +2

    I love you kamanda Sirro unafanya kazi watendaji wasikuangushe piga kazi tunakuombea

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 Před 4 lety +11

    Muroto mnamfukuza kweli.!!?? Mbona Ni kipenzi cha wengi jamani.! Wow..

    • @bockernyarusahi3655
      @bockernyarusahi3655 Před 4 lety +1

      Aloyce Kiwia utawaweza hawa Waandishi wetu,kisemawacho na uhalisia ni tofaut(kichwa cha habar na yaliyomo ni tofauti)

    • @aloycekiwia8613
      @aloycekiwia8613 Před 4 lety

      @@bockernyarusahi3655 Kweli Aisee ilinishtua nilipoona kichwa cha habari.

    • @aminahamisi2837
      @aminahamisi2837 Před 3 lety

      Mruto yuko sasa mbona wanamfukuza

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 Před 4 lety +10

    Mambo ya kijeshi uswahilini??!! Nchi imepoteana Polisi wacheni kiki mnadhalilisha jeshi

  • @omarymohammed2880
    @omarymohammed2880 Před 4 lety

    muroto no muadilifu na mpiga kazi sana katika sekta la jeshi la polisi dodoma very exelent n hard working

  • @jimsonjimmy9232
    @jimsonjimmy9232 Před 4 lety +13

    Tuachie mroto wetu huyu kamanda ddm ameisafisha kabisa mfano wizi wabodaboda saivi umepungua siro chonde

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety +2

    Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před 4 lety +11

    Hao walionyanyuliwa wote wachapa kazi, sijui changa la macho hili🤷🏼‍♂️🤔

  • @emmanuelndahan1421
    @emmanuelndahan1421 Před 4 lety +7

    Yy mbna kawaonesha wenzake, angewapa ordér kiaskari zaidi

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 Před 4 lety +2

    Muroto kazidisha show off, kutokana na ethics police officers hawaruhusiwi kumchukua mtuhumiwa na kumpeleka kwenye cameras what for!!

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 4 lety

    Asante kamanda mkuu,hata sisi raia tunahitji kujuwa

  • @hambalgullam8178
    @hambalgullam8178 Před 4 lety +1

    I like it

  • @kebo2155
    @kebo2155 Před 4 lety +21

    Aaaa mbona wa dodoma anafanya kazi yake kizalendo???!!!

    • @walivyojuma7095
      @walivyojuma7095 Před 4 lety

      Mengi yapo ndani yamtungi

    • @isaacemily1889
      @isaacemily1889 Před 4 lety

      Siro mjanja hao ni wanafiki nawajua wanajipendekezaga wapate vyeo

    • @clementmathias9512
      @clementmathias9512 Před 4 lety +2

      Kudhalilisha watu ndo uzalendo? Utaendaje kumtangaza mtu mwizi na mahakama haijadhibitisha

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před 4 lety +6

    Asante IGP siro... hapa mkwaju popote hakuna kuhofia

  • @raphaelrespichius8508
    @raphaelrespichius8508 Před 4 lety +4

    Chombo cha kuthibitisha uharifu ni mahakama tu,police wanakuwa na watuhumiwa wa uharifu

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 Před 4 lety +4

    Siro uko vizuli sana hao utaza wagombea. Wanazalilisha jeshi

  • @amosgerald7763
    @amosgerald7763 Před 3 lety

    Aisee

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Před 4 lety +14

    Yeye mbona anawaonesha sasa!!!??? Tusifichane wahalifu lazima tuwajue.

  • @allyduwa9914
    @allyduwa9914 Před 4 lety

    Good job afande siro

  • @shafiiomar6505
    @shafiiomar6505 Před 4 lety +1

    Kamanda murito usimsimamishe kazi ukimsimamisha kazi na wewe nitamwambia raisi magufuli akusimamishe kazi au tunakuroga sawa,🇲🇾

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 Před 4 lety +7

    Muroto usimtengue IGP muache Kama unamkubali muroto gonga like hapa

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 Před 4 lety

    Kamanda siro na wew kuwa makini na kazi zako pia siyo vizuri kuwaaibisha wenzako ni bora ungeongea nao private bila kuchukua mikanda ya video

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery Před 4 lety +4

    Nchi imekufa,!!!!! Haya mambo yanatakiwa yawe public!? Kudhalilishana huku, ovyooooooooooo!

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 Před 4 lety

      Police ni public servants not defence so sijui una maana gani hapo, unafikili unawzidi kua professional?

    • @Rashidmhedhery
      @Rashidmhedhery Před 4 lety

      alex kabeho : does this needs to be public? Use your common sense 😓

  • @subiramohd885
    @subiramohd885 Před 4 lety +8

    mimi Huyo wa Dodoma na mambo sasa siwapendi

    • @aminahamisi2837
      @aminahamisi2837 Před 3 lety

      Mruo yuko Sawa kwenye kazi ila mambo sasa ni balaa tupu

  • @sembojwamaterial8409
    @sembojwamaterial8409 Před 4 lety

    😢😢afande muroto..poleee

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 Před 4 lety +7

    Labda walibainika wakimtete igp kuwa hatoshei nafasi hiyo alafu wakawa wanakaidi amri zake

  • @magingapaulo6673
    @magingapaulo6673 Před 4 lety +1

    Safi siro

  • @rashidijumaaorwaka6699

    Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela5871 Před 3 lety

    Hii sio powa siro,mnaabisha jeshi fanyeni mambo kimya kimya

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 Před 4 lety +6

    Mzee WA kipigo cha mbwa koko leo utapata tabu sana! hiiiii mi huwa nacheka tu

  • @rehemakasebele6254
    @rehemakasebele6254 Před 4 lety +1

    Mmevuka mpaka sasa hayakutakiwa tuyajue haya jamn

  • @aminirapa2470
    @aminirapa2470 Před 4 lety +1

    Kiukweli hii aijakaa vizur naona kama umemzalilisha muroto na kumfanya ashindw kufanya kazi yake kwa Uhuru ni heli mngeyaongea kimyakimya mkuu

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu7754 Před 4 lety +9

    Kamanda Wewe Utaki Makamanda Kuonesha Watuumiwa Live Mbona Wewe Uko Live Apo Vipi Muroto Anafanya Kazi Nzuli Sana

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 Před 4 lety

      Awadhi Rajabu kwani yy yupo Na watuhumiwa?

    • @awadhirajabu7754
      @awadhirajabu7754 Před 4 lety

      simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana

  • @mtitimtiti376
    @mtitimtiti376 Před 4 lety

    Afande siro mpiga kazi sanaaaa

  • @godfreydaniel6167
    @godfreydaniel6167 Před 4 lety

    Bring back our Muroto

  • @chimbokiswaga8662
    @chimbokiswaga8662 Před 3 lety

    Sasa sheriaza kijeshi huku za nn mboni mdharirishajeshi hayo.muwe mna malizia hukhko huku sisi ya nn Sasa

  • @hanafiwakileo2865
    @hanafiwakileo2865 Před 4 lety +3

    Sija wahi kuona tangu tupate uhulu kweli magu hachekina mtu

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 Před 4 lety

    Dah aisee inaelekea wamemkwaza sana kamanda

  • @godfreydaniel6167
    @godfreydaniel6167 Před 4 lety

    Mteue tena sisi tunamkubali Muroto wetu...anapiga kazi sana kwanini umtoe kamanda

  • @miltonmiltonpaulo3436
    @miltonmiltonpaulo3436 Před 3 lety

    Ahahaha mi sina neno

  • @gasperkunambi9538
    @gasperkunambi9538 Před 4 lety +4

    Vizuri ila msifokeane hadharani,mbarikiwe

  • @carlosndyetabula656
    @carlosndyetabula656 Před 4 lety +1

    Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr

    • @MatukioDaily
      @MatukioDaily Před 4 lety

      Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc
      1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje)
      2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti.
      Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline...
      NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.

    • @carlosndyetabula656
      @carlosndyetabula656 Před 4 lety

      @@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee

    • @francisnkinga6550
      @francisnkinga6550 Před 4 lety +1

      Carlos Ndyetabula 👍

  • @paull8659
    @paull8659 Před 4 lety +2

    Nimeliona lile Gorila la Dodoma( ..nitawapiga waandamaji mpaka wachakae, kama mbwa koko)..🤨😟

  • @josephatalphonce4474
    @josephatalphonce4474 Před 4 lety +1

    Kwa murot umefeli utengunz coz ni mtu strong

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Před 3 lety

      Mwiz balaa unqdhqni sababu ni hyo unayoiona hapo😪✍️🤣

  • @emmanuelhilary8809
    @emmanuelhilary8809 Před 4 lety

    noma xana

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 Před 4 lety +2

    Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.

  • @wistonmnubi3104
    @wistonmnubi3104 Před 4 lety

    Good

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Před 3 lety +1

    Hee nanyie kumbe

  • @charugamba218
    @charugamba218 Před 3 lety

    Kamanda Siro wasisitize hao makamanda wakaze kamba ujambazi umerudi kwa kasi sasa baada ya kifo cha hayati Mh: Dr JPM sijui shida nini?

  • @othmanmussa8492
    @othmanmussa8492 Před 4 lety +1

    Mimi binafsi namkubali sanaaaa,,,kamanda Muroto.

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 Před 4 lety +8

    TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 Před 4 lety

      Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa

  • @josephkessy5486
    @josephkessy5486 Před 4 lety +2

    Hiki kikao ingefaa tusikione.

  • @allyduwa9914
    @allyduwa9914 Před 4 lety +3

    Kumbe kila mtu ana m,babe wake unashau mpka tarehe hii kali wacha nicheke

  • @abdikadirabdisalan9902

    Naamini katikati africa mashariki tanzania inaongoza katikati uwendeshaji bora na utawala..Kenya and UG wana mengi ya kujifunza kutoka TZ

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Před 4 lety +5

    Leo muroto umekiwa mpole kila mbabe na mnyinge utapata tabu sana

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 Před 4 lety

    Kila mtu ana boss wake

  • @georgeerick3140
    @georgeerick3140 Před 4 lety +1

    uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 Před 3 lety

    Kamanda moroto wa Dodona Ako Sawa hanapapana kweli Na uwalifu

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 Před 4 lety

    Hahaaa atapata taabu sanaa😀😁😀😁

  • @abdullaabdulla8618
    @abdullaabdulla8618 Před 3 lety

    Wewe uliepost huna adabu,unatoa kichwa cha habari yako vile unavyojisikia

  • @bakarimussa4164
    @bakarimussa4164 Před 3 lety

    Mambo za kijeshi malizeni kimyakimya haya tuhusu raia.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +2

    Leo silali kabla sijafikisha 500 subscribers💕💓. So fans fanyeni yenu.🙏

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Před 3 lety

    Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 Před 4 lety +1

    Muroto anatetemeka haahahaah 😂 😂

  • @reubendick4033
    @reubendick4033 Před 3 lety

    Hahahahaha heka heka hizi bora kujiajiri

  • @sandalalutubija235
    @sandalalutubija235 Před 3 lety

    Kwel make kunamakamanda weningine hata jambo ndgo adi kamera cpend kamata mtu mpereke polis cyo ad wandish wa habal

  • @abrahmapenzionlinetv
    @abrahmapenzionlinetv Před 4 lety

    Acheni uhanithi huo wa vichwa vya habari vya ajabu #wasafisimulizi

  • @henrytimoth9967
    @henrytimoth9967 Před 3 lety

    Mroto kawa mpole kama sio yeye

  • @getrudalufega9770
    @getrudalufega9770 Před 3 lety

    Hafai kwanza aliwatukana mama zetu

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 Před 4 lety +2

    Daaaaaa mzee waukiingia Dodoma kufanya ualifu utoki salama Leo ymekuwa aya

    • @rajabmhando3819
      @rajabmhando3819 Před 4 lety +1

      Hahahaaaaa yamemkuta leo

    • @maxmaizer4631
      @maxmaizer4631 Před 4 lety +1

      @@rajabmhando3819 daaaa km zali mzee kapoa leo

    • @luperbukuku2659
      @luperbukuku2659 Před 4 lety

      Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha

  • @showfive4413
    @showfive4413 Před 4 lety

    Wanaomtetea mruto ni wale wanaomuona akijionyesha kwenye video kila akikamata mwiz hata kama kaiba baiskel. ndio wanaona anapiga kaaaaaazi

  • @masudinangololo3672
    @masudinangololo3672 Před 4 lety

    Namkubali Sana kamanda muroto

  • @pichabapa2201
    @pichabapa2201 Před 4 lety

    Kwani hiki kikao si cha ndani??? Mbona tena CZcams?????

  • @minaside6717
    @minaside6717 Před 4 lety +4

    Magufuli oyee 😁😁 Mpaka askari anasahau tarehe

  • @gidionelias6276
    @gidionelias6276 Před 4 lety +6

    Siro waharifu waonyeshwe tuwajue

  • @ibrahimbaraka4607
    @ibrahimbaraka4607 Před rokem

    Sro turikua tunakupenda

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 4 lety +3

    Nadhan kuna namna2 hapa lkn Muroto si wakutolewa jmn mbn ni mchapa kazi vzr2 anajitahid au chuki zishapelekwa.

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 Před 3 lety

    Si alisema atachakaza watu we unachakazwa leo

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 4 lety +13

    Mzeee wa mtapata tabu sana kauli imemuandama yy mwenyew leo hhhhh

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Před 3 lety

    Mbona hatujasikia kauli ya Mroto kusimamishwa kazi au ni kusimamishwa ili atoe hoja?
    Waandishi mnatuchanganya.

  • @othmanmgeni9232
    @othmanmgeni9232 Před 3 lety

    Huyu muroto anataka sifa Sana mbwa huyu

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 Před 3 lety

    Sikuhizi hatuna waandishi wa habari wasomi

  • @samsondominiki3906
    @samsondominiki3906 Před 4 lety

    Safi sana mh:siro .

  • @jitulakalemastr7636
    @jitulakalemastr7636 Před 3 lety

    Iyo azabu haitosh ungelifukuza kabisa

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 Před 4 lety +2

    nahisi hapa kuna mkono wa kisasa hawa wote waliosimama ni majembe kuwarusha wahalifu kwenye media ni vizuri tu kunamatukio mengine yanahitaji ufafanuzi wa kina.

  • @mako331
    @mako331 Před 4 lety +3

    Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari

  • @godfreydaniel6167
    @godfreydaniel6167 Před 4 lety

    Tunamtaka Muroto wetu Kamanda kwanini umtengue?

  • @josephshao475
    @josephshao475 Před 4 lety +1

    We mwandishi unagongwa

  • @msetikebwasimasatu3225

    Mbona kamanda mroto namuamini sana ,tatizo lake ni nini ?

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 Před 4 lety

    Huyo kamanda wa Mwanza amekaa ki Mwanza Mwanza, siyo wa mchezo mchezo!.

  • @katindasajohn6902
    @katindasajohn6902 Před 4 lety

    Mtoa mada, tafadhali, Kamanda Muroto yupo.

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Před 4 lety +3

    Muroto mumemuonea

  • @raphaelnestory1990
    @raphaelnestory1990 Před 4 lety

    Namkubali kamanda dodomaaa

  • @gwantahbrainhalisi3527
    @gwantahbrainhalisi3527 Před 4 lety +1

    IGP kanenepa sana... Achunguzwe na yeye

  • @fredjohntanzania3881
    @fredjohntanzania3881 Před 4 lety +1

    UNAMTENGUAJE MUROTO???????? DAAAAAAAH

  • @sylvestermsafiri4372
    @sylvestermsafiri4372 Před 4 lety

    Du! Ndiyo kwanza naona ukali wa IGP Siro kwa makamanda wake.
    Safi Kamanda!

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 4 lety

    Hio haiendi mahali. Kesho utasikia wamerudishwa