Video není dostupné.
Omlouváme se.
Další v pořadí
Automatické přehrávání
IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA - ''HUO NI USHAMBA''Global TV Online
zhlédnutí 651K
UPDATES: Sirro aongea kuhusu Askari aliyefyatua risasi mbele ya Waziri wa zamaniMillard Ayo
zhlédnutí 237K
BREAKING: IGP SIRRO AMPANDISHA CHEO ALIYETOA WAZO LA KITUO..Global TV Online
zhlédnutí 14K
SIUUUUU 😳 At 39 years old, Cristiano Ronaldo 🇵🇹 still makes football look easy 🔥beIN SPORTS USA
zhlédnutí 35M
PROČ JSOU KURÝRNÍ SLUŽBY UTRPENÍ 📯 💀MarleyKKT
zhlédnutí 283K
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shortsFabiosa Stories
zhlédnutí 13M
#JasonDeruloTV // Wow 🤩 #GotPermissionToPost From @fasheroisbrasil #FromTheIslandsJason Derulo
zhlédnutí 14M
“Haya ndio mazingira yaliyotumika kufanya uhalifu” -POLISI DODOMAMillard Ayo
zhlédnutí 191K
Wezi wa mitandaoni walivyoingia kwenye 18 za Polisi DodomaMillard Ayo
zhlédnutí 258K
NONDO ZA KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA SACP THEOPISTA MALLYA KWA WAAMINI WA PAROKIA YA KISASAPRECIOUS BLOOD TV
zhlédnutí 30K
Mh. Mustafa Mkulo - Waziri wa Fedha MstaafuNBAA
zhlédnutí 12K
CONG ACOP, TINIRA NA KUNG SINO SA GOBYERNO ANG SALARIN SA PAGPAYAG SA BOSS IRONMAN CHALLENGERiko gala
zhlédnutí 395K
MAKEKE YA IGP MSTAAFU OMARY MAHITA WA NGUNGULI.JEMEDARI TV
zhlédnutí 45K
Polisi Dodoma walivyowanasa wahamiaji haramu “Utaikuta milion 8 Jela” -RPC MurotoMillard Ayo
zhlédnutí 64K
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shortsBANKII
zhlédnutí 60M
What Country's Flag Is It? #asmr #satisfying #oddlysatisfying #satisfyingvideo #asmrsounds #aluminumOddly Satisfying
zhlédnutí 22M
ANATOLY Use FAKE WEIGHTS in GYM PRANK #anatoly #fitness #gymANATOLY
zhlédnutí 21M
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House123 GO! HOUSE
zhlédnutí 17M
Beautiful gymnastics 😍☺️Lexa_Merin
zhlédnutí 15M
YZO & PTK - NO SLEEP GANG / GET LOW (official double music video)Milion Plus
zhlédnutí 538K
Mellstroy Vs Mrbeast - Who Will Win The Picture Completion Game? 🤔BigSchool
zhlédnutí 31M
Tento Fotbalista Vyhrál NEJVÍCE Trofejí ve FOTBALE!Horis PLUS
zhlédnutí 179K
kama na ww huon sababu ya mroto kutenguliwa kwenye ukamanda wake like yako ni mhimu
Adhabu za kijeshi, sisi sio lazima tujue. Wamalizane huko huko.
Umekosea sana kumsimamisha muroto!!!! Tena umekosea mnoo!!!!! Kamanda muroto nakubali kazi zake za kukomesha uhalifu,,,bora utoke wew lkn siyo kamanda Wa Dodoma plz
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 bora atoke yy
Wanajuana hao we nyamaza
Ww unamuona t ila humjui
Mbona kamanda Muroto anapiga kazi saf Nini shida kwake jaman akuna kama kamanda wa dodoma
Oya ndugu muroto Hana issue kabisa yeye ni mtu wakujipendekeza kazini anajifanya anachapa kazi ili 2mradi jina lake linuke
Edrick Mbilig mbwembwe tu hakuna kazi
Huwezi jua pengine kavunja sheria
I love you kamanda Sirro unafanya kazi watendaji wasikuangushe piga kazi tunakuombea
Muroto mnamfukuza kweli.!!?? Mbona Ni kipenzi cha wengi jamani.! Wow..
Aloyce Kiwia utawaweza hawa Waandishi wetu,kisemawacho na uhalisia ni tofaut(kichwa cha habar na yaliyomo ni tofauti)
@@bockernyarusahi3655 Kweli Aisee ilinishtua nilipoona kichwa cha habari.
Mruto yuko sasa mbona wanamfukuza
Mambo ya kijeshi uswahilini??!! Nchi imepoteana Polisi wacheni kiki mnadhalilisha jeshi
Anakosea sana hili jeshi sio vema kudhalilishana
muroto no muadilifu na mpiga kazi sana katika sekta la jeshi la polisi dodoma very exelent n hard working
Tuachie mroto wetu huyu kamanda ddm ameisafisha kabisa mfano wizi wabodaboda saivi umepungua siro chonde
Nadhani hii Ni sababu tu.... Makamanda wanapiga kazi nzuri Sana.... JPM anamjua Muroto na huwa anatazama clips zake za kazi inayofanyika dodoma, Sasa Sirro nawewe jipange mzee atakuhoji hili....
Hao walionyanyuliwa wote wachapa kazi, sijui changa la macho hili🤷🏼♂️🤔
Yy mbna kawaonesha wenzake, angewapa ordér kiaskari zaidi
Muroto kazidisha show off, kutokana na ethics police officers hawaruhusiwi kumchukua mtuhumiwa na kumpeleka kwenye cameras what for!!
Asante kamanda mkuu,hata sisi raia tunahitji kujuwa
I like it
Aaaa mbona wa dodoma anafanya kazi yake kizalendo???!!!
Mengi yapo ndani yamtungi
Siro mjanja hao ni wanafiki nawajua wanajipendekezaga wapate vyeo
Kudhalilisha watu ndo uzalendo? Utaendaje kumtangaza mtu mwizi na mahakama haijadhibitisha
Asante IGP siro... hapa mkwaju popote hakuna kuhofia
Chombo cha kuthibitisha uharifu ni mahakama tu,police wanakuwa na watuhumiwa wa uharifu
"Uhalifu"
Siro uko vizuli sana hao utaza wagombea. Wanazalilisha jeshi
Aisee
Yeye mbona anawaonesha sasa!!!??? Tusifichane wahalifu lazima tuwajue.
Kwani wao waharifu?
Good job afande siro
Kamanda murito usimsimamishe kazi ukimsimamisha kazi na wewe nitamwambia raisi magufuli akusimamishe kazi au tunakuroga sawa,🇲🇾
Muroto usimtengue IGP muache Kama unamkubali muroto gonga like hapa
❤
Kamanda siro na wew kuwa makini na kazi zako pia siyo vizuri kuwaaibisha wenzako ni bora ungeongea nao private bila kuchukua mikanda ya video
Nchi imekufa,!!!!! Haya mambo yanatakiwa yawe public!? Kudhalilishana huku, ovyooooooooooo!
Police ni public servants not defence so sijui una maana gani hapo, unafikili unawzidi kua professional?
alex kabeho : does this needs to be public? Use your common sense 😓
mimi Huyo wa Dodoma na mambo sasa siwapendi
Mruo yuko Sawa kwenye kazi ila mambo sasa ni balaa tupu
😢😢afande muroto..poleee
Labda walibainika wakimtete igp kuwa hatoshei nafasi hiyo alafu wakawa wanakaidi amri zake
Safi siro
Jamani kuna tofauti kati ya watuhumiwa na waarifu. Waarifu huthibitishwa na mahakama na sio mtu mwingine. Muroto anaowaonyesha huwa ni watuhumiwa na sio waarifu sasa nashangaa mnaomtukana sirro
Hii sio powa siro,mnaabisha jeshi fanyeni mambo kimya kimya
Mzee WA kipigo cha mbwa koko leo utapata tabu sana! hiiiii mi huwa nacheka tu
Hapa kazi tu!
😁😁😁🏃🏃🏃🏃
Mmevuka mpaka sasa hayakutakiwa tuyajue haya jamn
Kiukweli hii aijakaa vizur naona kama umemzalilisha muroto na kumfanya ashindw kufanya kazi yake kwa Uhuru ni heli mngeyaongea kimyakimya mkuu
Kabisa Amini da!! Hi siyo ya kuleta huku
Kamanda Wewe Utaki Makamanda Kuonesha Watuumiwa Live Mbona Wewe Uko Live Apo Vipi Muroto Anafanya Kazi Nzuli Sana
Awadhi Rajabu kwani yy yupo Na watuhumiwa?
simon tamba ..Atupaswi Kujua Mambo Yao Ya Ndani Unajua Polic Wanapozidi Kujionesha Kila Muda Ndivo Waarifu Nao Wanapata Mwanya Zaidi Wa Kujifunza Vitu Ambavo Adimu Waarifu Niwengi Sana Isipokua Wanaogopa Awamu Hii Ni Moto Sasa Nao Polic Wasiwe Na Muda Mwingi Wa Kujianika Ovo Mitandaoni Muroto Kutuonesha Live Watuumiwa Ni Jambo Jema Kwasababu Ni Sehemu Ya Azabu Pia Napia Inatusaidia Kujua Tabia Ya Mtu Mana Unaweza Kumkalibisha Mtu Ndani Asubui Unajikuta Na Kilio Mwizi Atabiliki Polic Apaswi Kujianika Ovo Ovo Kwasababu Watu Wanaowatazama Wako Majambazi Vibaka Na Magaidi Sasa Hata Siku Akienda Sehemu Kuperereza Jambo Hata Akivaa Kilaiya Sura Yake Itajulikana Sasa Kijiji C Kitajua Kama Yuko Asikari Majambazi Wanaambiana Fasta Hii Njia Ya Kujionesha Sio Nzuli Hii Mitandao Inatumaliza Sana
Afande siro mpiga kazi sanaaaa
Bring back our Muroto
Sasa sheriaza kijeshi huku za nn mboni mdharirishajeshi hayo.muwe mna malizia hukhko huku sisi ya nn Sasa
Sija wahi kuona tangu tupate uhulu kweli magu hachekina mtu
Dah aisee inaelekea wamemkwaza sana kamanda
Mteue tena sisi tunamkubali Muroto wetu...anapiga kazi sana kwanini umtoe kamanda
Ahahaha mi sina neno
Vizuri ila msifokeane hadharani,mbarikiwe
Waandishi wa habari mnaharibu hii taaluma huu upotoshaji tafuta hela kwa uhalali kichwa cha habari hakihusu hiyo habari,naelewa taaluma ya habari inaniuma kuona umeandika kichwa kinyume na habari kwa masilahi binafsi,tabia mbaya hii,watakaoponda kwasababu hawajui au kutokufikiri vzr
Huelewi Taaluma ya Habari Wewe: Hicho Kichwa cha Habari Kiko Sawa Kabisa... Ukijifunza Vizuri "Writing the Best Headline for Hard News" Utagundua ni namna gani kichwa hiki cha habari kiko sawa.... na Pia Katika "Qualities of News Headlines" kuna mambo ya msingi ya kuzingatiwa kama vile Prominence, Conflict etc
1. Ni kweli IGP Kamsimamisha Kamanda Mroto ili Ajieleze (Hapo Mwandishi Kaandika Heading inayoshika Attention ya Msomaji na Mtizamaji ili Afuatilie Ajue imekuwaje)
2. Ni Kweli IGP Kasema "Natengua Hapahapa"... Hapo pia Mwandishi kama makini kugundua ni maneno yapi yataifanya habari yake kuwa ma vionjo vya tofauti.
Mengine Mengi Siwezi Kuyaeleza Hapa Lakini Nampa Kongole Mwandishi wa Headline...
NOTE: Ungekuwa ni Mwanahabari unayeijua vizuri taaluma hii Hakika ungenielewa bila kubisha lakini kama siyo mwanahabari ni ngumu sana kunielewa.
@@MatukioDaily naelewa na mimi ni mtaaluma,kuna aina za leads nyingi hiyo aliyoandika ni provocative,quotation kwa wakati mmoja,instead angeandika IGP SIRRO AKAA NA RPCs au namna nyingine maana sio muroto pekee
Carlos Ndyetabula 👍
Nimeliona lile Gorila la Dodoma( ..nitawapiga waandamaji mpaka wachakae, kama mbwa koko)..🤨😟
Kwa murot umefeli utengunz coz ni mtu strong
Mwiz balaa unqdhqni sababu ni hyo unayoiona hapo😪✍️🤣
noma xana
Tusichanganye uhalifu au utuhumiwa na uwajibikaji. Hapo Kamanda yupo sahihi kabisa maana hataki kumwonea mtu ndio maana anawahoji mmoja baada ya mwingine. Big-up IGP.
Good
Hee nanyie kumbe
Kamanda Siro wasisitize hao makamanda wakaze kamba ujambazi umerudi kwa kasi sasa baada ya kifo cha hayati Mh: Dr JPM sijui shida nini?
Mimi binafsi namkubali sanaaaa,,,kamanda Muroto.
TUNAPOTAKA KUTATUA MATATIZO KUPITIA MITANDAO UKIZINGATIA NI JESHI LA POLICE HATUONI KUWA TUNA- EXPOSE UDHAIFU WETU KWA NCHI NYINGINE , KWAKUWA UMESEMA KUNA MAJUNGU NA FITNA...TAFSIRI MPO DISUNITY...
Polisi ni under waziri wazili ya mambo ya ndani (home affairs ) Not defence minster so no exposure yoyote pale. Ni watumishi ya uma hawalinde mpaka ya inchi. Hope umeelewa
Hiki kikao ingefaa tusikione.
Kumbe kila mtu ana m,babe wake unashau mpka tarehe hii kali wacha nicheke
Naamini katikati africa mashariki tanzania inaongoza katikati uwendeshaji bora na utawala..Kenya and UG wana mengi ya kujifunza kutoka TZ
Leo muroto umekiwa mpole kila mbabe na mnyinge utapata tabu sana
.
Lo
.
Lo
Kila mtu ana boss wake
uyu mroto yupo vizur sema anaenda kizamani xjui ni elimu!!! mroto jeshi lazamani la udhalilishaji alipo tena nenda kisomi,usitumbuliwe na siro hana mchezo uyo,ilo jembe alitaki masyala.
Kamanda moroto wa Dodona Ako Sawa hanapapana kweli Na uwalifu
Hahaaa atapata taabu sanaa😀😁😀😁
Wewe uliepost huna adabu,unatoa kichwa cha habari yako vile unavyojisikia
Mambo za kijeshi malizeni kimyakimya haya tuhusu raia.
Leo silali kabla sijafikisha 500 subscribers💕💓. So fans fanyeni yenu.🙏
Ikiwezekana atumbue wote aweke wapya nayy ajitumbue tu me sielewagi kabsa kazi zao kukmbzana na ving,ora tu et askari anaogopa kuingia nyumba haina umeme we hao askari au vyura😏😏😏
Muroto anatetemeka haahahaah 😂 😂
Hahahahaha heka heka hizi bora kujiajiri
Kwel make kunamakamanda weningine hata jambo ndgo adi kamera cpend kamata mtu mpereke polis cyo ad wandish wa habal
Acheni uhanithi huo wa vichwa vya habari vya ajabu #wasafisimulizi
Mroto kawa mpole kama sio yeye
Hafai kwanza aliwatukana mama zetu
Daaaaaa mzee waukiingia Dodoma kufanya ualifu utoki salama Leo ymekuwa aya
Hahahaaaaa yamemkuta leo
@@rajabmhando3819 daaaa km zali mzee kapoa leo
Anachokesea mroto ni kudhalilisha watuhumiwa na watuhumiwa hawajathibitishwa kuwa wana makosa ....je wakishinda kesi mahakamani na umewadhalilisha nan atawasafisha
Wanaomtetea mruto ni wale wanaomuona akijionyesha kwenye video kila akikamata mwiz hata kama kaiba baiskel. ndio wanaona anapiga kaaaaaazi
Namkubali Sana kamanda muroto
Kwani hiki kikao si cha ndani??? Mbona tena CZcams?????
Magufuli oyee 😁😁 Mpaka askari anasahau tarehe
Kusahau tumeumbiwa na mungu
Sasa hapo magufuli anahusika na nn tena?
Siro waharifu waonyeshwe tuwajue
They are guility until the coart
Sro turikua tunakupenda
Nadhan kuna namna2 hapa lkn Muroto si wakutolewa jmn mbn ni mchapa kazi vzr2 anajitahid au chuki zishapelekwa.
Si alisema atachakaza watu we unachakazwa leo
Mzeee wa mtapata tabu sana kauli imemuandama yy mwenyew leo hhhhh
Malipo hapa hapa dunian😁😁
Mbona hatujasikia kauli ya Mroto kusimamishwa kazi au ni kusimamishwa ili atoe hoja?
Waandishi mnatuchanganya.
Huyu muroto anataka sifa Sana mbwa huyu
Sikuhizi hatuna waandishi wa habari wasomi
Safi sana mh:siro .
Iyo azabu haitosh ungelifukuza kabisa
nahisi hapa kuna mkono wa kisasa hawa wote waliosimama ni majembe kuwarusha wahalifu kwenye media ni vizuri tu kunamatukio mengine yanahitaji ufafanuzi wa kina.
Sheria ileile unayosema Muroto anaivunja na wewe pia mbona unawadhalilisha makamanda? Nafikiri sheria za kipolisi nidhamu ifanyike bila vyombo vya habari
Tunamtaka Muroto wetu Kamanda kwanini umtengue?
We mwandishi unagongwa
Mbona kamanda mroto namuamini sana ,tatizo lake ni nini ?
Huyo kamanda wa Mwanza amekaa ki Mwanza Mwanza, siyo wa mchezo mchezo!.
Mtoa mada, tafadhali, Kamanda Muroto yupo.
Muroto mumemuonea
Namkubali kamanda dodomaaa
IGP kanenepa sana... Achunguzwe na yeye
😀😀😀😀
UNAMTENGUAJE MUROTO???????? DAAAAAAAH
Du! Ndiyo kwanza naona ukali wa IGP Siro kwa makamanda wake.
Safi Kamanda!
Hio haiendi mahali. Kesho utasikia wamerudishwa