NONDO ZA KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA SACP THEOPISTA MALLYA KWA WAAMINI WA PAROKIA YA KISASA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 04. 2024
  • Karibu kuwa Mwanafamilia ya PRECIOUS BLOOD TV Hii ni Chaneli ya Uinjilishaji wa Neno la Mungu
    Tafadhali endelea Kufuatilia, kusapoti na kuiwezesha iweze kutangaza zaidi Neno la Mungu kwa njia hii ya Kiteknorojia
    Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Ku share tone Hili la Upendo kwa Watu wengine
    waweza kutupata kupitia mitandao ya
    CZcams -PRECIOUS BLOOD TV
    Fesbook- PRECIOUS BLOOD
    Instagram- PRECIOUS BLOOD

Komentáře • 39

  • @JOHANITHAKAKULA
    @JOHANITHAKAKULA Před měsícem +1

    Wewe utakuwa mchungaji miaka inayokuja nimekutabilia afande ,nakupigia salut

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 2 měsíci +6

    Askari wa kubwa wengi wao niwastarabu Sana Ila huku chini mmh balaa

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 Před 2 měsíci

    Safi sana. Huu utaratibubni mzuri natumaini uko nchi nzima. Nashauri kama hakuna mpango wa kutembelea taasisi na taasisi za elimu, utaratibu ufanywe kazi hii iwe endelevu na ikiwezekana hata ngazi ya kata na mitaa. Hongereni sana Jeshi la Polisi.

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i Před 2 měsíci +2

    Uko vizuri Te'o pista

  • @alfredmtundu9558
    @alfredmtundu9558 Před 2 měsíci +2

    Afande nimekupenda bure katika ubora wako wa nywele za asili. Safi sana

  • @HusnaJjj
    @HusnaJjj Před 2 měsíci +1

    Safi sana kamanda mallya hakika tutaendelea kukuombea pongezi kwa mama samia tunae mtetezi wa watoto

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 2 měsíci +2

    Mungu akubariki sana kamanda❤❤❤❤

  • @nuhumhagama2132
    @nuhumhagama2132 Před 2 měsíci +3

    Yuko vizur hata songwe tulimfurahia sana

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 Před 2 měsíci +1

    Your Part of Solutions!! Not part of Problems!! God Bless You!!!

  • @MelkMtui
    @MelkMtui Před 2 měsíci +1

    Hongera kwa elimu nzuri kamanda

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před 2 měsíci +1

    Mungu akubariki utende haki sio kama wale police wengine wanaotumia mamlaka yao kufunga watu kisa wanakula mchana na hawaamini miungu yao kinyume kabisa cha katiba

  • @user-hf6kg9ks3g
    @user-hf6kg9ks3g Před 2 měsíci +1

    Hongera mama upo vizuri saana!

  • @PeterPaul-yf6ut
    @PeterPaul-yf6ut Před měsícem

    MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KAZI YAKO IKO SIKU UTAPANDA ZAIDI

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 Před 2 měsíci +2

    Afande upo vizuri sana ila sasa unaonekana ni mpole sana, punguza upole Mama, kwakweli upo vizuri Mungu akubariki sana.

    • @ROBERT75376
      @ROBERT75376 Před 2 měsíci

      Nadhani sio mpole. Anatumia taaluma ya kumfanya asikilizwe na wengi na kumuelewa. Ukali mara nyingi sio njia nzuri ya kumuelewesha mtu. Ukali una mahali pake.

  • @christianahia97
    @christianahia97 Před 2 měsíci

    Afande MUNGU wetu Akubariki Akujaalie katika Majukumu yako. Sabato Ni ishara Kati ya MUNGU wetu na sisi Watu wake.ni Agano la Milele

  • @florachogo243
    @florachogo243 Před 2 měsíci +1

    Afande uko vizuri

  • @florachogo243
    @florachogo243 Před 2 měsíci +1

    Barikiwa

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 2 měsíci +2

    Sijawahi Kuna kamanda kama wewe barikiwa San. Wengi wao ni makatili San. Hawajui DUNIA tunapita.Maafande WOOTE chukuen mfano Kwa huyu msione DUNIA ni yakwenu. Dada afande wew ni muungwana sana.

  • @mchikirwambombeyagonja4311
    @mchikirwambombeyagonja4311 Před 2 měsíci +2

    Asante kamanda

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 Před 2 měsíci +1

    Mkuu wa Polisi Hongera Sana jamani Mama

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 2 měsíci +1

    Sagi sana

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 2 měsíci +3

    Huyu afande ana ofu ya mungu angekuwa traffic hata leseni unaweka nyumbani akikukama anakupa elimu kwanza kabla achukui rushwa

  • @jerometesha7379
    @jerometesha7379 Před 2 měsíci

    Asante mama

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před 2 měsíci

    Kweli manka umeongea vizuri mambo haya mabaya hayakubaliki

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM Před 2 měsíci +2

    Kila lakheri ktk majukumu yako kamanda. Inatakiwa hii iwekwe ktk redio zote kama kipindi maalumu hii hotuba ya kamanda

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před 2 měsíci

    SAFI MAMA WEWE NDIE NAE JITAMBUA SASA AFANDE IGP MUACHE SASA UYU MAMA FANYE KAZI TUME CHOKA DODOMA KILA SIKU MA RPC WAPYA TUME CHOKA HAAAAAAAAA

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 2 měsíci +1

    dah nimaaskali wachache sana wakike wenye vyeo halafu wapo kawaida2 kama hyu afande nywele zake ziko kawaida2 huyu hata luchwa anakula kwa tabu kidog ana hofu ya mungu mama wawatu

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 2 měsíci +1

    hahaaa aseee manka hakiamungu umenifulahisha kweli et,,,,,,,,

  • @dorothtobias8053
    @dorothtobias8053 Před 2 měsíci +1

    Kamanda Nkuhungu tunateseka na makelele ufuska unafanyika kwenye baa 2 LAPATRONA NA NYINGINE IPO NJIA PANDA KWA SWAI TUNAOMBA MSAADA WENU.

  • @floridachami9090
    @floridachami9090 Před 2 měsíci

    Piga kazi dd yangu uko vinzur

  • @piusmapunda5900
    @piusmapunda5900 Před měsícem

    RPC Theopista una Hekima za kutosha, una sifa ya kiongozi bora ni mpole na mtaratibu.

  • @user-li6dl7qo6s
    @user-li6dl7qo6s Před 2 měsíci

    Hogera kamanda kwa mahubiri mazuri tembelea Kila kanisa hasa huku kwetu manyari

  • @josephusimbanilo9500
    @josephusimbanilo9500 Před 2 měsíci

    Siku ya sabato ni jumamosi, na sio jumapli😊

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před 2 měsíci

    Kumbe mnawatambua viongozi wa dini.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 2 měsíci

    Huyu alifaa kuwa IGP

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Před 2 měsíci +1

    Tunataka maaskari kama huyu

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 2 měsíci

    Huyu mama apewe maua yake.

  • @SYLIVERIOKILIMILA
    @SYLIVERIOKILIMILA Před 2 měsíci +2

    Huyu askari anasali ndiyo maana mstaarabu