Pongezi sana Waziri Slaa big up - endelea kwa utaratibu huu haswa wa kupeleka muswada na sheria bungeni. inyooshe wizara ya ardi na ondoa matatizo yote huko Ardhi. Mungu ana mpango na wewe. Unarikiwe huko ardhi.
Dah huyu waziri nasisitiza asaidiwe na alindwe ipasavyo.Waziri nalilia sheria sheria wakati ni sasa yani sasa hivi Leo upo kesho haupo. Tumeona kuna sehemu walikuwepo wazuri wakatengeneza walipoondoka wakaja juuj wa maajuj wakabomoa kabisa
Pongezi sana Waziri Slaa big up - endelea kwa utaratibu huu haswa wa kupeleka muswada na sheria bungeni. inyooshe wizara ya ardi na ondoa matatizo yote huko Ardhi. Mungu ana mpango na wewe. Unarikiwe huko ardhi.
Good Job Mheshimiwa Silaa.
Appreciate waziri
Dah huyu waziri nasisitiza asaidiwe na alindwe ipasavyo.Waziri nalilia sheria sheria wakati ni sasa yani sasa hivi Leo upo kesho haupo. Tumeona kuna sehemu walikuwepo wazuri wakatengeneza walipoondoka wakaja juuj wa maajuj wakabomoa kabisa
uyu waziri anamiliki bilion ngapi