WAZIRI SILAA AKUTANA NA MGOGORO MZITO WA MUHINDI MWEKEZAJI | MAENEO YANGU YALICHUKULIWA NA VIONGOZI

Sdílet
Vložit

Komentáře • 48

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před 3 měsíci +4

    Huyu waziri mwisho anafanya kazi kwa ikhlaas mashaallah Allah akuhifadhi

  • @jumaambalima3012
    @jumaambalima3012 Před 3 měsíci +8

    Waziri anafaa kupitiliza anaeleza kwa usahihi sana

  • @bongo39
    @bongo39 Před 3 měsíci +6

    Mkuu waanglie vizuri huyo alievaa miwani huyo mama na mwenyekiti kuna kitu hapo

    • @reynaaalrawahi4137
      @reynaaalrawahi4137 Před 3 měsíci +2

      Hawa ndio madhulum. Mimi sehemu yangu mwenyekiti na katibu wamenidhulumu eneo langu. Kila kitu ninacho mimi wao wana nguvu ya kudhulum 😢

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 3 měsíci +10

    Wandishi wa Bara mnapenda kutumia taswira ya mtu kama identity yake kuwa kichwa cha habari. Mbona ikitokea mlengwa ni Msukuma, Mnyamwezi au Mmasai hamuwezi andika kichwa cha habari ya identity yake? utasikia Muhindi, Singasinga, Muarab au ndio maadili ya uandishi?

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  Před 3 měsíci +2

      Moja kati ya sifa za Headline ni Kuvutia So nikisema WAZIRI AMBANA SHABASH utaelewa?
      Ila asant kwa Ushauri

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 Před 3 měsíci +7

      Ni ubaguzi wa kiaina

    • @funnuelmwalukasa4506
      @funnuelmwalukasa4506 Před 3 měsíci +3

      Uko sahii umeisahau Ile ya mbeya Eti mchina😂

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před 3 měsíci +2

      Hujasikia Wamasai wakitajwa Identity yao?

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Před 3 měsíci

      ​@@Rai_online_tvsio kweli usitaje makabila ukisema mwekezaji inatosha

  • @shafiisaidi9640
    @shafiisaidi9640 Před 3 měsíci +5

    Wallah sijui kwnn namchukia huyu kamishna.na miwani yake ile daaah

    • @mohamedsaid2882
      @mohamedsaid2882 Před 3 měsíci

      Jamaa anawalakini kwenye utendaji wake mie mwenyewe naona kama adui hivi

    • @Andres-qt6kp
      @Andres-qt6kp Před 3 měsíci

      Huyu miwani ni tatizo sana Sijui Waziri hajamstukia utafutaje utilising wa mtu na amesha develope

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 Před 3 měsíci

      Mimi pia simpendi coz anafanya kinyume na sheria

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Před 3 měsíci +2

    thanks so much
    ministry

  • @Bashitetako
    @Bashitetako Před 3 měsíci +4

    Mwenye kiti ni jipu

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před 3 měsíci +5

    Nacheka sijui hawa ma commissioner wetu wanafanyaga nn.?mpaka waziri afike kweli .Sasa hawana aibu

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 3 měsíci +3

    Mh slaa ndo mfano wa watendaji wa serikali anatembea kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua sio kuvaa suti na kukaa ofisini tu wakingojea mafaili kutia saini

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 3 měsíci +3

    Tanzania yetu kusudi upewe haki yako. Mpaka apite slaa au Makonda kama sio hivyo MUNGU mwenyewe asaidie

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 3 měsíci +7

    waziri weka acount yako tukuchangie hata buku buku tu umalize matapeli wote wa ardhi

  • @froma3732
    @froma3732 Před 3 měsíci +1

    Hao ni maofisa wa Ardhi lkn hkn kitu wanajuwa wao kazi ni kuvuruga watu wape Elimu Waziri

  • @martinwangwe8966
    @martinwangwe8966 Před 3 měsíci +1

    wenyeviti wa mtaa hovyo kabisa, yani hawa ndo wakusaidia wananchi. Nilitegemea kwakua wako wengi watakua na akili.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 3 měsíci +2

    Mbona hakuna SAUTIIII

  • @user-zz1sj6sp8z
    @user-zz1sj6sp8z Před 25 dny

    Huyo.muhindi
    Mbona.haondoki
    Awapishe.wenzie

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 3 měsíci +9

    Wahindi pia niwatu Acha ubaguzi haki nihaki tu

    • @Jal210
      @Jal210 Před 3 měsíci

      Kabisa unasema kweli

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi Před 3 měsíci +2

    HAKI YA KUISHI/MATUMIZI

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 3 měsíci

    Bro unaona mbali...ni kweli

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 Před měsícem

    Huyu ndie raisi wetu mtarajiwa , kaaza udiwani kafuatia ubunge na uwaziri sasa tunakuombea kwenye uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  • @Baba-nm4qz
    @Baba-nm4qz Před 3 měsíci +1

    Mbona hammalizii mnaboa

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 3 měsíci +1

    huu ni uzalilishaji kwanini mwanachi akaliee kiti cha ajabu

  • @taliyagogo1481
    @taliyagogo1481 Před 3 měsíci

    Timu ya kamera na timu ya sauti ni mbaya sana. Tunataka kuelewa suala hilo na sio kusumbua sauti za watu🙄

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  Před 3 měsíci

      Asnt kwa Ushauri tunalifanyja kaz na Soon kila video yetu itakuwa na sauti nzur

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt Před 3 měsíci +3

    Kwa nini usiandike mwekezaji wa asili ya kiasia kwenye mgogoro wa ardhi? Kwa nini uandike muhindi au unataka kufanya ionekane kama kafanya dhulma? Au una nia gani?

  • @froma3732
    @froma3732 Před 3 měsíci +1

    Kuzaliwa sio umiliki wa Sehemu

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 Před 3 měsíci +1

    Wahiindiii janjajaanjaa hapoo,

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 Před 3 měsíci +3

    Matatizo haya yatakuja zaidi miaka ijayo kama ardhi inachukuliwa na wageni. Tutaanza lipia kodi kwa wageni ili watumegee ardhi.!

    • @mkude
      @mkude Před 3 měsíci +4

      Inaonekana una Roho mbaya na katili wa nafasi yako,watu kama nyinyi maisha yamewashinda mmebaki na husda na Roho mbaya Kwa mwenye nacho,leo utamchumia muhindi kesho utamchukia mweusi kama wewe Kwa kuwa amejaaliwa neema.pole Kwa mateso unayoyapata ya yo choyo nafsi yako

  • @user-kh1tn6yr8b
    @user-kh1tn6yr8b Před 3 měsíci +1

    Awo wahindi wezi too

    • @mkude
      @mkude Před 3 měsíci +1

      Acha ubaguzi wewe

    • @shamzone388
      @shamzone388 Před 2 měsíci +2

      Wahindi sio waizi mbona sisi wenyewe ndio waizi weusi kwa weusi

    • @lailafakhihaji
      @lailafakhihaji Před 2 měsíci +1

      Sisi ndio kesi zetu nyingi kwa kutapeliwa na weusi wenzetu