WAZIRI SILAA AKUTANA NA BALAA TANGA | MJANE APORWA KIWANJA BAADA YA MUME KUFARIKI |MAMA ATOA MACHOZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 63

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t Před 4 měsíci +4

    Mama ninaamini utafanya mabadiriko ya mawaziri. Huyu abaki hapohapo. Ila ALI HAPI, apewe Uenezi. Nafasi ile aichukue yule wa uenezi. Asante Mama Samia 🙏🙏

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před 4 měsíci +5

    I love silaaa

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 4 měsíci +3

    Mmmmh hata mwaka hamjui jmn c mngejipanga kwanza

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t Před 4 měsíci +1

    Waziri upo vizuri 😁😁. Umewajaza kwenye kumi na nane. Halafu umewamwaga🤣

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w Před 4 měsíci +1

    Mh. Waziri Jerry Slaa yupo vzri sana yaani tunahitaji viongozi wa aina hii anayewajibika anafika mpaka saiti kujiridhisha,,,ongera sana mh, waziri kwa maana ukiacha siasa nami naacha kabisa mambo ya siasa

  • @williamsunday-yg2bz
    @williamsunday-yg2bz Před 4 měsíci

    Hatimaye dada yangu amepata haki yake! Hongera Mh. Waziri

  • @adamummy4363
    @adamummy4363 Před 4 měsíci +2

    Sisi wabongo jamani dahhh mijitu mizima mibichwa kama ugali pumbavu kabisa apo ukiwauliza habari za vijola wanajua 😂😂😂😂

    • @annamosha968
      @annamosha968 Před 4 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp Před 4 měsíci +4

    Waswahili bwana kilankitu umafaa kufail kila kitu mambo mazito aya kili kitu mukiulizwa hatujui umesahau

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp Před 4 měsíci +5

    Ingekua ni harusi eangrjua ilikua lini munatudharaulisha waswali munaenda kwa wazir kiswahili tu mumepata golden chance yakukutana na wazir

    • @annamosha968
      @annamosha968 Před 4 měsíci

      Yaani! Wanachosha, Kila KITU hawakumbuki! Heeee!

    • @issamwakinyo3203
      @issamwakinyo3203 Před 15 dny

      Yaani Bure kabisa ...yaani unaacha file lako mahakamani hata copy huna .
      Hawa hawako serious kabisa wanatutia aibu

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 4 měsíci +3

    Madrasa zaidi ya shule hao walosoma madrasa huwezi kuwadanganya maana kila kitu kipo kimesemwa ndani ya kurani mpaka mwisho wa dunia ndio maana walio soma madrasa hawawezi kuuliwa ovyo na kina kibwetere makenzi na wengine

  • @salumally663
    @salumally663 Před 4 měsíci +4

    Machoo yanaonyeshaa hawa matapelii wakubwaa..body language inaoneyesha haiko sawa.

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 Před 4 měsíci +3

    Yaani inavyoonekana hapa nikiwa kama mzawa wa Tng hawa ni wale wasiopenda kufuatilia mambo serious na kusema famililah, hawakutaka kufuatilia tena wakaacha kama ilivyo na sasa waziri amefika pia hawakutaka kujiandaa wamekulupuka dah! Hawakumbuki hata mwaka wa au miaka ya matukio yote dah! Mimi ninakiwanja na kilikuwa na mgogoro nimepambana na sipo Tz mpaka kimeeleweka nakumbuka mpaka saa za malipo na tarehe zake siku tu nduo sikuzingatia ambazo pia nikiulizwa siku narudi kwenye kalenda naangalia mwezi na tarehe nakutana na siku hapo😂rahisi kabisa, hakuna mkoa rahisi watu kudhulumiwa kama tanga, uvuvi ndio chamgamoto wao hupenda shortcut tuu basi ambayo siku zote matokeo yake utasikia aaagh yule mzitoooo hawezekani wala usijisumbue. Na kweli imeisha hiyo sasa haya ndio matokeo yake.

  • @mmichaeleletricet4554
    @mmichaeleletricet4554 Před 4 měsíci +2

    Eti hata original kaacha mahakamani hii hainingii akilini hati

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před 2 měsíci +1

    Huyu mama hajielewi,yaani kumbukumbu muhimu za documenti zake hana.Hivi amekwenda shule kweli? Aliyewahi kumuoa ana hasara.Wanaume tuoe wanawake wanaoweza kujisimwmia na kufuatilia mambo,hata tukiondoka duniani mali za watoto wetu zinalindwa.

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz Před 4 měsíci +2

    Safi sana waziri muungwana

  • @user-ry2ix2pv4q
    @user-ry2ix2pv4q Před 2 měsíci

    Hivi wanaakili kweli kweli vitu vya muhimu havikai kichwan!

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Před 4 měsíci +4

    Huyu mama mwenye Juba mbona kama mbabaifu

  • @boneyme9433
    @boneyme9433 Před 4 měsíci +3

    BASTED..BONGO MOVIE...UTAPELI.

  • @user-ev7dh1np3w
    @user-ev7dh1np3w Před 4 měsíci +3

    Wazembe sana hawa

  • @Baba-nm4qz
    @Baba-nm4qz Před 4 měsíci +5

    RAI MUWE MNATOA NA MUENDELEZO TUELEWE

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 Před 3 měsíci

    Waziri allah atakulinda na atakulipa in shaa allah

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 4 měsíci +3

    Matapeli utawajua tu

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před 4 měsíci

    Kuna mabint warembo hii dunia huyo bint mashaa Allah!tujtahd ibada tu tuwapate mahurul ain

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 Před 4 měsíci

      Acha tamaa,,Ridhika na uliyenaye madako wewe

    • @musayosia4081
      @musayosia4081 Před 4 měsíci

      Amiina nduguyangu ❤❤😊😅😅😅😂😂😂😂😂

  • @kakagift8356
    @kakagift8356 Před 4 měsíci +2

    Matapeli/majizi huyo mama

  • @user-yu7dm2zq4x
    @user-yu7dm2zq4x Před 4 měsíci +2

    Naomba kupata mwendelezo wa pili waii kesi utu postie kaka

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  Před 4 měsíci +1

      Usjali Boss Mwendelezo Unakuja Soon.........!!

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 3 měsíci

    Ninachogundua watanzania wengi hatujui mambo yasheria ndomana tunazurumiwa...mmmh mungu tusaidie

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 4 měsíci +1

    Wazir nakuomba ushuhulike na hao wa ardhi pia na serekali za mitaaa na kata pia maana wanawajua wamiliki wa maeneo yao laki wakishaahidiwa kitu wanafiga ukweli na kuweka uwongo ambao huzzaa mauti baadae

  • @mozuu1260
    @mozuu1260 Před 4 měsíci

    Walikua tayari warudishiwe garama za ujenzi waachie kiwanja 😅😅😅😅 nawaondowenye haki😂

  • @AllyGibu-cz2vo
    @AllyGibu-cz2vo Před 4 měsíci +2

    Changamoto hamtoi copy ndo uzembe uko hapo

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn Před 3 měsíci

    Acha utaperi

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 4 měsíci +1

    Kuna UGONJWA WA KUSAHAU JAMANI UNAITWA DEMENTIA

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 3 měsíci

    ,tanga mwenye pesa ndie mwenye haki

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 Před 4 měsíci +1

    Sasa huyo mwingine msichana mdogo you anakurupuka tu bila kuchukua document

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 Před 4 měsíci +1

      Tatizo wanawake huwa tunabweteka kusimamia mambo hata kujieleza anashindwa,yeye na binti yake wazembe

  • @user-gk1uw9sy5r
    @user-gk1uw9sy5r Před 4 měsíci

    Mkuu njoo dar utsaidie mgogoro wa kazimzumbwi uturudishie maeneo yetu. Mali ability wanakata vipande wanauza

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao Před 4 měsíci

    Kazi kweli

    • @givenshayo943
      @givenshayo943 Před 4 měsíci

      Mbona kama wageni na swala ni la kwao?

  • @robisonmabaso4720
    @robisonmabaso4720 Před 4 měsíci

    Sasa Mheshimiwa waziri una elimu gani kwanza kwa sababu njia unayotumia kutatua matatizo ya wananchi haiendani na nafasi uliyonayo ingefaa upewe cheo cha afisa ardhi wa kata ungefanya vizuri sana kwa nafasi hiyo lakini siyo uwaziri hapo unapuyanga tu
    Me nina ardhi na ina mgogoro sijui lini utanifikia nimekaa hapa nakusubiri

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  Před 4 měsíci +3

      Sasa tena anapuyanga Then una msubiri Kweli kaka?.
      Lakini sawa kaka ni Uhuru wa maoni.
      Ila kwa Faida tu Mh waziri Ni Mwanasheria By professional pia ni Wakili kabisa Na Wakati anaendesha Hizi Clinics Huwa na Jopo la wabobevu katika Maswala ya Ardhi.
      Asant

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6y Před 4 měsíci

    😂😂😂hii kali

  • @rockyzacharia6947
    @rockyzacharia6947 Před 4 měsíci

    Tatizo ni hawa watumishi Ardhi ndo kikwazo wazar anzanao hao

  • @awazioga1823
    @awazioga1823 Před 4 měsíci

    We mchaga ulieingia kiwanja chetu hapo bongo nakuja utatia akili

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Před 4 měsíci +1

    Mahakama, zinaweka vyeti halisi vya mali za watu ?

  • @oscarchibwana6570
    @oscarchibwana6570 Před 4 měsíci

    Elimu elimu elimu

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 4 měsíci

    Mhe shida watuwako wabardhi

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 3 měsíci

    😂mjane na yatima ndio wanazulumiwa na taasisi inayojiita ya kidini na Baraza lao la wadhamini wanamfungilia kesi ya kuwa kavamia hospitali yao yeye NI daktari kwa nini asivamie hiyo hospitali anayofanya kazi akàsema NI yake tunashanga wakazi wa tanga wanaume uvamizi

    • @aminaosman3315
      @aminaosman3315 Před 3 měsíci

      ,matajiri wakubwa wanaminyana kuzulumi mjane na watoto wake watano wizara ya afya imechangia kudhulumiwa mjane na yatima kupitia mganga mkuu WA mkoa alipita wizara

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před 4 měsíci

    Duh!! .Mheshimiwa kazi anayo!! Yaani hawa ni matapeli! Yaani hawana copy ta chochote!!

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 4 měsíci +3

    Kwani mtu akishinda kesi si kuna nakala ya hukumu unapewa? Sasa unashindwaje kujua tarehe na mwaka? Acha kutupanga nyie wamama! Matapeli nyie!