Katika waziri mwenye kazi ngumu ni huyu kuliko wote, mungu amsaidie avuke salama, amjaze hekima na busara zaidi, ampe nguvu za kuwashinda maadui wanaomzunguka na wanaomsogelea Amin.
Mwalimu sheria imechukuwa mkondo wake Acha kujiliza liza. Silaha kuu yenu wanawake ni kujiliza lakini haki leo imebainika. Waziristan Salaam aisee nakupenda bure tu kwa haki unavyoipeleka. Mungu azidi kukubariki
Katika waziri mkweli na mvumilivu ni huyu! Huyu tabu hata aibu haoni anataka kuchukua eneo letu bila aibu! Mungu akulinde mr waziri nimeamua viongozi wa kweli wapo
Mwalimu Tabu yake yupo sahihi. Mama yake alizaliwa hapo walikuwa na Mifugo , Sasa iweje leo Mmasi awe na hati tena 15 , sasa je ni sawa. Mwalimu awe na Moja ? Mama yake hakuwa na uwezo , umasikini ni shida. Mtu ananyimwa haki yake. Mh Waziri jitahidi Rudi Tena kwa utulivu. Kamishna amedanganyanywa . Na bahati mbaya mama alikufa . Je tutafika ?
Mm muishimiwa na kukubali sana ila hao watendaji wako kwamaelezo ya mama amesha wafuta mara 4 Leo wewe ulitakiwa uumalize huo mzozo tofauti na hapo huyo mama anadhulumiwa na kupenda sana waziri wangu lakini hapo nahisi haipo sawa
Waziri upo sw kwa mujibu wa sheriya lkn makamishina wako hamna kitu hawakufanya haki kwa huyu mama na family yk wamezaliwa hapo tangu miaka/mwaka 1960 leo wanakuja kuambiwa hawana haki ktk eneo lao na kushinda kesi wtt walio zaliwa wakiwaona na kuwafundisha mwenyewe darasan kweli inaingia akilin umewapa ushindi usiyo wa haki ……⚖️
Kuna masheria yamewekwa bila kuzingatia utu tena ni mengi. SasaHuyu mama kama ana haki na mungu anajua, hayo machozi yake siku inakuja na mungu atajibu. Mungu ana macho na masikio
Kuna vy kujifunza vingi sana katika utaratibu wa kununua viwanja na kuweka rekodi sahihi za documents, ni bora kufuata na kukamilisha aratibu ambazo ni salama kwako kwa njia iliyonyooka
Mimi naona maafisa wa ardhi wliochini ya waziri ndiyo wenye shida ya kutengeneza migogoro yatakiwa mahakama iwachukulie hatua za kisheria kugonganisha watu na serikali yao
Inaumiza sana kutojua Sheria tunaomba wizara ya aridhi waelimishe watanzania juu ya umiliki wa aridhi Hadi machozi yamenitoka kwa mama huyo kutotambua Sheria ya umiliki wa aridhi. " Haki haipotei inacheleweshwa"
Maswala haya ya ardhi nadhani kuna siku nitakujaga kulala nje,nimejenga kwenye kiwanja cha baba na wala sijui kama huwa ana hati na hata sijui hati inafananaje aise😂😂😢
@@fettyrashid9042 Yani hata Leo skijitokeza MTU na makaratasi yake akasema,hapa NI pangu,wala sina kipingamizi chochote MAANA mimi SINA karatasi yeyote inayohusiana na ardhi kiukweli.
@@IsraelKisaila-vm6vj Jitahidi uanze kufuatilia my friend lasivyo litakupata lakukupata,tunatakiwa tujifunze tuache kuishi kimazoea hata mjomba akikupa ardhi tujitahidi kwenda ofisi za ardhi
Bila shaka hilo eneo lilikuwa zururaji. Sasa hivi zama za mawe zimepita hazipo tena mwl. Muda mrefu upo umeshindwa kulichukulia sheria eneo la mama yako. Sasa anzia hapo. Bila shaka hapo umejifunza kitu cha kisheria kitakusaidia kwa yajayo.
Tatizo wenyeviti wa mitaa darasa la saba felia, na ndio wanao shirikiana na madalali kuuza viwanja hawana wanacho poteza hapo wao, ila serikali iwasaidie hawa maskini wanao chukuliwa mashamba yao na kuuzwa
Shida ya hapa ni Elimu juu ya umiriki Ya Ardhi Pia hizo dimecation ndio shida. Watu wnapaswa kuelimishwa Kuwa kuna tofauti Ya kumiliki na kupangishwa ardhi kutokana na sheria Ya Tanzania kila mtu yupo kwenye Ardhi kama mpangaji. Mfano serikali leo ikiamua kuvunja mkoa mzima wa Dar watu wote watahamishwa kwa kupewa gharama ya ujenzi tu na sio wa ardhi. Sasa hii elimu serikali inapaswa kuitoa kwa wanainchi kupita wakuu wa wilaya
Kama umemsikiliza Waziri vizuri kuwa Shamba lilichukuliwa na Halimashauri 1992 na likapimwa likagawanywa sasa mama tabu kakabidhiwa kwa kamishna wa Aridhi aende ofisin wakaangalie utaratibu uliotumika kuchukuliwa kwa shamba hilo kama kuna haki anapaswa kupata atapata kutoka Alimashauri Waziri kamaliza mgodoro kati ya Mama tabu na Huyoo mzee Mmasi na Mama tabu sasa yeye anapaswa kwenda kwenye ofisi ya aridhi kuangalia halimashauri ilitumia utaratibu kuchu
Pengine Hana haki lkn upatikanaji wa pesa ni mgumu ndugu inauma umejinyima umepambana umepata million zako 2 hata miaka mitano umejibana tena baada ya hapo hata miaka 10 umejenga Leo unaambiwa huna haki ukiangalia una watoto ukiangalia hujui uanzie wap
Wewe ndio huna adabu, na siku mama yako akidhulumiwa ndio utakapojua. Kwahili nikuambie ukweli Waziri amedanganywa na makamisha , na iko siku haki itapatikana.
Tena wamemzulumu waziwazi , Hapo wamekuzunguka na wanakuhoji tena kwa ukali. Wanakupa amri zisizo sahihi. Mwenye Eneo anapewaje kiwanja kimoja, mchaga anapewa 15, anawauzia watu wengine ,je hii ni sawa?
Sasa huyo HONEST COSMAS MMASSI anaongea Kama Nani ! Mmasi haongei kwanini ? Mmasi achunguzwe. Waziri amepigwa changa la macho. Kuna umuhimu wa kipekee turudi kwakaheza. Pia maamuzi ya mahakama hayafuatwi . Nikiiangalia hii Clip napata picha na elimu ya kutosha. Mwalimu ameonewa. Yaani inauma Sana.Mmassi achunguzwe. Haki itendeke.
Wazili wangu samahani kidogo Apo kwenye kuona ofsa naomba unia una weza maliza miaka yako yote ya kuishi duniani nausimuone arafu wote tungekua tuna nunua viwanja mpaka juje huko hii Tanzania ss tusinge miliki nyumba maana ss waviwanja vya raki 8 singe skilizwa
Mi mwenyew niliuziwa km huy mam namwekit na mwenye eneo niliporud ten nikakuta kimemegwa kauziwa mwengne nilichofanya nilimwambia huyo mwenzangu nipe pesa nikuachie palipoba niondoke sitak kelele bas nikajiondokea zangu.
Huyu mama hajauziwa na mwenyekiti, huyu hili ni eneo la mama yao la asili kwa miaka yote na wao (yeye na dada zake) wamezaliwa hapo inakuwaje serikali inakuja kupima inawapa watu wengine na sio wao waliokuwa hapo je serikal ililichukua hilo eneo kutoka kwa nani? Hapo ni uonevu wa waziwazi angekuwa mh makonda kwa stahil yake ya uulizaji jibu lingepatikana, haiwezekani eneo kutoka umiliki wa asili lipo kwao alafu linavyopimwa linakuwa kapewa mwingine, HAPO MAMA ATAIPATA KWA MUNGU HAKI YAKE.
Kwahiyo kwa kusema hivi mauzo ya watu waliouziwa na watu kwa usimamizi wa mwekiti hayatambuliki na mtu kafukuzwa kwa maana hii unamaanisha waliouza kwa usimamizi wa mwenyekiti,hata wakiuza mara mbili kwa kufuata utaratibu unaopaswani sawa tu? na aliyeuza akawa na haki tu! Hauoni kuwa hii Inachochea migogoro? Maana waliouziwa kwa usimamizi wa hawa wenyeviti ni wengi sana?
Ni hivi viwanja vilivyo pimwa tuu unauziwa na mwenyekiti then unaenda ardh kuomba ofa .ukikuta kinaofa ujue umepigwa ukikuta hakina ofa bas unaweza kupewa
Kaka wapo wengi sana wanaweza kusikiliza lkn wasielewe kwaufupi waziri amikiri eneo lilikuwa la mama yake almashauri wakalichukuwa nakupima viwanja vyamakzi kuzia mwaka 1992.kuzia mwaka uo kuja na elfumbili halitambuliki kama shamba tena nimakzi yawatu wakapewa viwanja pamoja nawao wanafamilia Sheria ya nchi pia ujue Aridhi yote nimali ya serekari wakitaji Aridhi sehemu yoyote kwajili ya matumizi ya uma wabachukuwa na kulipa fidia kwahyo alichoambiwa mama afutilie kipindi shambalao linachukuliwa 1992 walilipwa fidia km awajalipwa atalipwa sio kudai kiwanja au eneo lile lile Liwe lao
@@user-sv4er3xe7n Kama walilipa fidia, lazima rekodi zionyeshe. Kuna utaratibu wa kutwaa maeneo na hilo eneo limetwaliwa kinyume Cha utaratibu, hivyo hati zote hapo zipo kinyume Cha utaratibu.
Anachokifanya waziri Kiko sawa, kulikuwa na upotoshwaji mkubwa kwenye ardhi. Sasa wahusika kukubali matokeo ni shida. Ila maelezo ya waziri yamekamilika,
Hapa mashaka yaliyopo kuwa huyo ambae anaonekana kuwa mwenye haki inawezekana amekula na wataalamu wa ardhi mkoa hivyo hapo mh kwa kusoma karatasi hizo lazima aone kuwa huyo mama hana haki
Katika waziri mwenye kazi ngumu ni huyu kuliko wote, mungu amsaidie avuke salama, amjaze hekima na busara zaidi, ampe nguvu za kuwashinda maadui wanaomzunguka na wanaomsogelea Amin.
Daa Mungu akusadie sana asee inaitaji ujasiri mwingi sana na moyo mkuu
Mwalimu sheria imechukuwa mkondo wake Acha kujiliza liza. Silaha kuu yenu wanawake ni kujiliza lakini haki leo imebainika. Waziristan Salaam aisee nakupenda bure tu kwa haki unavyoipeleka. Mungu azidi kukubariki
Usinipeleke ivyo me ndo nimewaita hapa nimeipenda iyo
Katika waziri mkweli na mvumilivu ni huyu! Huyu tabu hata aibu haoni anataka kuchukua eneo letu bila aibu! Mungu akulinde mr waziri nimeamua viongozi wa kweli wapo
As family we are happy ...Ila tabu anapata tabu kweli
Kila mtu anahaki Ya kutetea mali yake
Mwalimu Tabu yake yupo sahihi. Mama yake alizaliwa hapo walikuwa na Mifugo , Sasa iweje leo Mmasi awe na hati tena 15 , sasa je ni sawa. Mwalimu awe na Moja ? Mama yake hakuwa na uwezo , umasikini ni shida. Mtu ananyimwa haki yake. Mh Waziri jitahidi Rudi Tena kwa utulivu. Kamishna amedanganyanywa . Na bahati mbaya mama alikufa . Je tutafika ?
Chapa kazi waziri, unatenda haki kabisa. Mwenyezi MUNGU akusimamie mh. Kulia kwake hakusaidii, sheria imefuata mkondo wake.
Waziri umedanganywa waziri commissioner kakudanganya. Rudi upate ukweli.
Napenda sana waziri anavyofafanua na anavyo ongea naamini mheshimiwa ni msomii wa hali ya juu sana.naomba mungu ampe kila la kheri
PhD ya sheria imetulia kichwan
@@RodriguezOdhiambosana
Mm muishimiwa na kukubali sana ila hao watendaji wako kwamaelezo ya mama amesha wafuta mara 4 Leo wewe ulitakiwa uumalize huo mzozo tofauti na hapo huyo mama anadhulumiwa na kupenda sana waziri wangu lakini hapo nahisi haipo sawa
Nakukubali sana waziliwangu huna haraka huna hasira
Waziri upo sw kwa mujibu wa sheriya lkn makamishina wako hamna kitu hawakufanya haki kwa huyu mama na family yk wamezaliwa hapo tangu miaka/mwaka 1960 leo wanakuja kuambiwa hawana haki ktk eneo lao na kushinda kesi wtt walio zaliwa wakiwaona na kuwafundisha mwenyewe darasan kweli inaingia akilin umewapa ushindi usiyo wa haki ……⚖️
hujui kinacho endelea wewe
Mungu atatenda kwa mwalimu, Dhuluma kubwa Sana imefanyika kwa Mwalimu.
Kweli namimi sijui sheriya ila hapa kiukweli naona kama haki ipo kwa uyo mama
Kwakweli apa waziri naona maji yamezidi unga kabisa ila bado unaweza kufanya vyema zaidi kaza
Hapa Kuna kujifunza Mengi SANA....
-Watendaji wa Kata,hawahusiki
Sasa viwanja vikipimwa wamiliki wa asili kwa nn wasipewe kipaumbele?
Nimemfuatilia waziri Slaa,kwa kweli anastahili kupongezwa,amefit kabisa,na yupo juu ya haki,pongezi Dr Slaa
Mh. Umedanganywa hapo. Hati/offer ulizoonyeshw zimetengenezwa.
Sema wazir mvumilivu sana
Hii tanzania masikini hana chake
Kaka yangu nikinunua kiwanja this day nakutumia in box maana haya ni magumu na mapito pole sana
Kuna masheria yamewekwa bila kuzingatia utu tena ni mengi. SasaHuyu mama kama ana haki na mungu anajua, hayo machozi yake siku inakuja na mungu atajibu. Mungu ana macho na masikio
Kuna vy kujifunza vingi sana katika utaratibu wa kununua viwanja na kuweka rekodi sahihi za documents, ni bora kufuata na kukamilisha aratibu ambazo ni salama kwako kwa njia iliyonyooka
Huyo mama anaongozwa na kweli ya roho yake
Fukuza makamishina unawatetea wanini
JAMANI mimi mbona naanza kulia mapema, maana nimenunua nimepewa mkataba wa kiwanja sio ati ya kiwanja
Mwaka 1992 hata hao makamishna wa ardhi hawakuwa kazini
Mungu akubariki Waziri wa Ardhi Mhe Jerry Silaa
Amen.
Silaa ya maangamizi ni KULIA na kusema MIMI NIMASIKINI,, uonewe huruma.
Hizi ardhi jamani ni kilio 😢
Mmh kwakweli hapa nahisi huyu mama pia anahaki
Nilitaman sn wazir aombe documents zinazoonyesha kuhamisha eneo kutoka kwa mama yake mwalimu kwenda kwa jiji
I can see my father and my brother .....DISMAS COSMAS IS TYPING........😂😂😂
yan mpaka naogopa kununua kiwanja hekaheka
We ni Mimi kabisa yaan naogopa mnooo
Mimi nimeshapigwa nimetulia tu apa na mapumbu yangu.
Usiogope, kaanzie Ardhi
Watu wa ardhi hao ndio wsabaya wamewapa ardhi wa tu ambao hawastahiki na mwenye haki anadhulumiwa na waziri hana makosa
Mimi naona maafisa wa ardhi wliochini ya waziri ndiyo wenye shida ya kutengeneza migogoro yatakiwa mahakama iwachukulie hatua za kisheria kugonganisha watu na serikali yao
Tuliouziwa na wenye viti wa mitaa maeneo uwiiii😢
Inaumiza sana kutojua Sheria tunaomba wizara ya aridhi waelimishe watanzania juu ya umiliki wa aridhi Hadi machozi yamenitoka kwa mama huyo kutotambua Sheria ya umiliki wa aridhi. " Haki haipotei inacheleweshwa"
Wazir kama mgeni na mambo ya nchi hii, kuhusu kujisifia na kutishana ni mambo ya kawaida sana, wala usishangae hilo
Hapana hii ni dhuma munabadilishijaje umiliki bila kumpa huyo mama tarifa
Natamani kulia nipo Oman na nime nunua kwa mwenye kiti na Nisha jenga Sasa sintazimia mie miaka saba natumika na mwarabu Leo unikute sio kwangu😭😭😭😭.
😂
Pole mama yangu
Watu wa Tanga mjini ni wajuwaji bila maarifa kichwani
Tunao nunuwa viwanja kutumia mweyekiti wa mtaa tujuwane😂😂😂😂
wizara hii mama nafanya vizuri sana au aliwahi dhurumiwa kiwanja eti?mbona wizara nyingine kero ziko nyingi hamna haya
Waziri toeni elimu kwa wananchi kuhusu sheria,,,,,tatizo mnaficha kutoa elimu
ninampongeza huyu waziri anazungumza kwa kwa adabu za hali yajuu sana wala aenuwi sauti ya juu kabisa
Tena wenyeviti wanapiga hela sanaa jamani
Kwa elimu ninayo pata kwa waziri slaa nitaheshimu taratibu za ardhi
Tatizo hapo kwa huyo mama ni jina lake😂😂😂😂
Sema mama mbishi kikao kizima kasikilizwa yeye to
Tabu anapata tabu kweli...kumbe kaka yake kadhulumu kingine....majirani wengine miyayusho
Me kama vwanja havijapimwa nani anahusika kama Sheria haimtambui mwenyekiti wamtaa?
Maswala haya ya ardhi nadhani kuna siku nitakujaga kulala nje,nimejenga kwenye kiwanja cha baba na wala sijui kama huwa ana hati na hata sijui hati inafananaje aise😂😂😢
🙆♀️🙆♀️
@@Fhfhfhfhf78 kweli, yani nije nimuulizie mzee wangu anipe kabisa
😂😂😂umeacha nimecheka
@@fettyrashid9042 Yani hata Leo skijitokeza MTU na makaratasi yake akasema,hapa NI pangu,wala sina kipingamizi chochote MAANA mimi SINA karatasi yeyote inayohusiana na ardhi kiukweli.
@@IsraelKisaila-vm6vj Jitahidi uanze kufuatilia my friend lasivyo litakupata lakukupata,tunatakiwa tujifunze tuache kuishi kimazoea hata mjomba akikupa ardhi tujitahidi kwenda ofisi za ardhi
pole jamaniii😂😂😂😂
Mungu akutie nguvuu waziri wetu afya njema na kila la heri kaka❤
Amen.
Bila shaka hilo eneo lilikuwa zururaji.
Sasa hivi zama za mawe zimepita hazipo tena mwl.
Muda mrefu upo umeshindwa kulichukulia sheria eneo la mama yako.
Sasa anzia hapo.
Bila shaka hapo umejifunza kitu cha kisheria kitakusaidia kwa yajayo.
Tatizo wenyeviti wa mitaa darasa la saba felia, na ndio wanao shirikiana na madalali kuuza viwanja hawana wanacho poteza hapo wao, ila serikali iwasaidie hawa maskini wanao chukuliwa mashamba yao na kuuzwa
Duh tunalilia ardhi inayo tumeza kila siku
Huyu mama yuko sahihi sema sasa Nchi hii ina uhuni mwingi sana
Shida ya hapa ni Elimu juu ya umiriki Ya Ardhi Pia hizo dimecation ndio shida. Watu wnapaswa kuelimishwa Kuwa kuna tofauti Ya kumiliki na kupangishwa ardhi kutokana na sheria Ya Tanzania kila mtu yupo kwenye Ardhi kama mpangaji. Mfano serikali leo ikiamua kuvunja mkoa mzima wa Dar watu wote watahamishwa kwa kupewa gharama ya ujenzi tu na sio wa ardhi. Sasa hii elimu serikali inapaswa kuitoa kwa wanainchi kupita wakuu wa wilaya
Kabisa kuna kamchemzo ambako waziri haujui
Wazinguaji ni watumish wa Ardh. Bila kujua chanzo hicho hizo ni siasa tu
Waziri huyu anakaz ngum sana
Mboniii kamaaa mama tabuuu ikooo kiwanjaa chakeee wazirii katerezaaa
Kama umemsikiliza Waziri vizuri kuwa Shamba lilichukuliwa na Halimashauri 1992 na likapimwa likagawanywa sasa mama tabu kakabidhiwa kwa kamishna wa Aridhi aende ofisin wakaangalie utaratibu uliotumika kuchukuliwa kwa shamba hilo kama kuna haki anapaswa kupata atapata kutoka Alimashauri Waziri kamaliza mgodoro kati ya Mama tabu na Huyoo mzee Mmasi na Mama tabu sasa yeye anapaswa kwenda kwenye ofisi ya aridhi kuangalia halimashauri ilitumia utaratibu kuchu
Huyo mama inavyo onaonekana anahaki kabisa
Pengine Hana haki lkn upatikanaji wa pesa ni mgumu ndugu inauma umejinyima umepambana umepata million zako 2 hata miaka mitano umejibana tena baada ya hapo hata miaka 10 umejenga Leo unaambiwa huna haki ukiangalia una watoto ukiangalia hujui uanzie wap
uyu waziri ata felii sana eneo la mtu na ni mali ya mzazi wa mtu sio fair
Nikifuatilia mamboyako kwangu nidarasa tooosha kabisa wazili wangu
Huyo mama hana adabu maan kinacho mfanya asimame kitu gani
Ina wezekana were ndo Huna adabu ungejua anapitia magumu kwakuona ana.nyimwa hakiyake
Sikulikikukuta ndo utajua
Mama tapeli
@@harounramadhan9771 wewe ndo huna adabu sijui ni mama yako yule .Mbona waziri ni mtoa haki sana kwanini yeye hakose haki?
Wewe ndio huna adabu, na siku mama yako akidhulumiwa ndio utakapojua. Kwahili nikuambie ukweli Waziri amedanganywa na makamisha , na iko siku haki itapatikana.
Mama Tabu ni tabu Kweli 🤣🤣 Huyu mama ni Mwalimu asiye elimika.
Sasa anafundisha watoto shule wanakuwa wabishi 🤣🤣
😊😊😊😊😅
Anawafundisha UBISHI😊@@rexgodwill7353
😢
Sawa bwana waziri
Tabu hakudhulumiwa sema anataka ahodhi eneo lote
Upo sahihi
Mwalimu na familia yake wamedhulumiwa. Hii issue irudiwe , ichunguzwe, ili haki itendeke . Mungu anawaona . Iko siku.
Haha tendewa haki
Unalilia haki ya umiliki ardhi wa asili , yaani unawahi kusema hapa pangu 😅
Mmemzulumu huyo Mama, Jerry silaha MUNGU anakuona
Tena wamemzulumu waziwazi , Hapo wamekuzunguka na wanakuhoji tena kwa ukali. Wanakupa amri zisizo sahihi. Mwenye Eneo anapewaje kiwanja kimoja, mchaga anapewa 15, anawauzia watu wengine ,je hii ni sawa?
@@tabuomary1016 huyo Jerry silaha kampachaga 15 kwasababu wote wa kabila Moja , Jerry mpare na huyo aliyepewa 15 ni mchaga,
Mama anashindwa kuelewana na waziri kinachogombewa hapo ni umiliki wa zamani na wasasa ,,Sasa aende kupambania nyuma 92, huenda wakalipwa
Masikini hana haki siku zote
Waziri anatenda haki hayupo kumuonea mtu
Inamana muda wote wenyeviti wanauza viwanja hamufamu? Mulitoa elimu gani kwa wananchi
Hiyo miaka walifidiwa kila.walipopima Mwl. Uchuro kulilia ardhi. Kanunue sehemu.nyingime
Toa ushahidi .Tusikurupuke tu. Yakikukuta utajua.
usilie kuhusu hicho kiwanja
Watanzania wengi hawapendi kusikia ukweli sijui kwanini?
Maskini miaka yote hana haki
Sasa huyo HONEST COSMAS MMASSI anaongea Kama Nani ! Mmasi haongei kwanini ? Mmasi achunguzwe. Waziri amepigwa changa la macho. Kuna umuhimu wa kipekee turudi kwakaheza. Pia maamuzi ya mahakama hayafuatwi . Nikiiangalia hii Clip napata picha na elimu ya kutosha. Mwalimu ameonewa. Yaani inauma Sana.Mmassi achunguzwe. Haki itendeke.
Ingekuwa mawazir wote wanafanya kazi hivi tungekuwa km yeroshima
Mpaka apo nishapigwa ekar 40 Mungu anamwona hyo alienitapeli😂😂
Wazili wangu samahani kidogo Apo kwenye kuona ofsa naomba unia una weza maliza miaka yako yote ya kuishi duniani nausimuone arafu wote tungekua tuna nunua viwanja mpaka juje huko hii Tanzania ss tusinge miliki nyumba maana ss waviwanja vya raki 8 singe skilizwa
Mi mwenyew niliuziwa km huy mam namwekit na mwenye eneo niliporud ten nikakuta kimemegwa kauziwa mwengne nilichofanya nilimwambia huyo mwenzangu nipe pesa nikuachie palipoba niondoke sitak kelele bas nikajiondokea zangu.
Huyu mama hajauziwa na mwenyekiti, huyu hili ni eneo la mama yao la asili kwa miaka yote na wao (yeye na dada zake) wamezaliwa hapo inakuwaje serikali inakuja kupima inawapa watu wengine na sio wao waliokuwa hapo je serikal ililichukua hilo eneo kutoka kwa nani?
Hapo ni uonevu wa waziwazi angekuwa mh makonda kwa stahil yake ya uulizaji jibu lingepatikana, haiwezekani eneo kutoka umiliki wa asili lipo kwao alafu linavyopimwa linakuwa kapewa mwingine,
HAPO MAMA ATAIPATA KWA MUNGU HAKI YAKE.
Daaah roho imeniuma
Inasikitisha sana
Leteni nyaraka hapo hapo..
Mwalimu haelewi hata ufanye Nini Ana ubishi wa kitanga ujuaji, sijui anafun dishaje wanafunzi
Hapa inaonekana mama tabu na wizara kabla ya 1992 walicheza mchongo wakuzulumu saiv slaa anafata sheria mmpya wakati nyuma watu wamezulumiwa
Hapana huyo mama alizaliwa hapo. Wewe unakubali shamba la baba yako liuzwe ili mpewe kiwanja kimoja ? Dhambi Sana.
Yani walimu kila mahali wananyanyasika tu😢
Hawajitambui
Wala hawataki kuelewa 🙆♀️
@@jasonwatz7457 oooooo jamani,kweli hawajitambui?
Ukiibiwa ndipo utajua Ni kweli au si kweli.
Wizara yako inamagumashi huyu kapewa zamani huyu kapewa sasa yani mtihani
Mama ana haki hapo
😂
Kwahiyo kwa kusema hivi mauzo ya watu waliouziwa na watu kwa usimamizi wa mwekiti hayatambuliki na mtu kafukuzwa kwa maana hii unamaanisha waliouza kwa usimamizi wa mwenyekiti,hata wakiuza mara mbili kwa kufuata utaratibu unaopaswani sawa tu? na aliyeuza akawa na haki tu! Hauoni kuwa hii Inachochea migogoro? Maana waliouziwa kwa usimamizi wa hawa wenyeviti ni wengi sana?
Ni hivi viwanja vilivyo pimwa tuu unauziwa na mwenyekiti then unaenda ardh kuomba ofa .ukikuta kinaofa ujue umepigwa ukikuta hakina ofa bas unaweza kupewa
HUYU MWALIMU HANA ADABU ANASIMAMA MBELE YA WAZIRI?
Wazri ndo nini kwani mungu huyo si ni mtu tuu au 😏
Swali la mama kuwa kabla hawajapanga eneo hilo lilikuwa la nani na kama walichukua je kwa utaratibu gani
Ww kichwa chako km huyo mwalim hebu skiliza vizur
Kaka wapo wengi sana wanaweza kusikiliza lkn wasielewe kwaufupi waziri amikiri eneo lilikuwa la mama yake almashauri wakalichukuwa nakupima viwanja vyamakzi kuzia mwaka 1992.kuzia mwaka uo kuja na elfumbili halitambuliki kama shamba tena nimakzi yawatu wakapewa viwanja pamoja nawao wanafamilia Sheria ya nchi pia ujue Aridhi yote nimali ya serekari wakitaji Aridhi sehemu yoyote kwajili ya matumizi ya uma wabachukuwa na kulipa fidia kwahyo alichoambiwa mama afutilie kipindi shambalao linachukuliwa 1992 walilipwa fidia km awajalipwa atalipwa sio kudai kiwanja au eneo lile lile Liwe lao
@@user-sv4er3xe7n Kama walilipa fidia, lazima rekodi zionyeshe. Kuna utaratibu wa kutwaa maeneo na hilo eneo limetwaliwa kinyume Cha utaratibu, hivyo hati zote hapo zipo kinyume Cha utaratibu.
@@user-sv4er3xe7nasante kwa ufafanuz pia mm sikua nimeelewa hivyo ndio inatakiwa sio km wengine ni kutukana tu
Asante kwa kutuelekeza kwa ufasaha nisingelewa chochote barikiwa
Anachokifanya waziri Kiko sawa, kulikuwa na upotoshwaji mkubwa kwenye ardhi. Sasa wahusika kukubali matokeo ni shida. Ila maelezo ya waziri yamekamilika,
Duh huyu mama ni mwalimu wa upe maana ni mgumu wa kuelewa sana
Waziri tunatamani uje njombe,
Hapa mashaka yaliyopo kuwa huyo ambae anaonekana kuwa mwenye haki inawezekana amekula na wataalamu wa ardhi mkoa hivyo hapo mh kwa kusoma karatasi hizo lazima aone kuwa huyo mama hana haki
MMASSI amezoea , iko siku mungu atamuumbua.
Karoge tu tabu😂😂😂😂😂
Mwalimu mgumuu kuwelewaa kamaa hajasomaa
😂😂
Apo mama kaonewa kaka na huo uonevu upo wazi kabsaa
@@kibwanasimba6431hajaonewa na ww huna ufahamu