Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa
Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee
Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!
Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.
Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.
Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!! Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali
Mmmh kazi kwelikweli. Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi? Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu
Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.
Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.
Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza
Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu
Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa
Haya maelimu useless wanashadadia sijui kwann yaan wanaficha elimu ya msingi wanaleta madudu ya hovyo kabisa inauma sana
kweli mkuu chief kila sehemu chief mkwawa
Kishimba ajawai kuchangia pumba
Free thinkers are rare in African politics. Huyu Kishimba ana akili sana. Shida ni kuwa hajui kuwa Serikali inaendeshwa na wafanyabiashara wa Kiyahudi
Ndiyo
Sahihi
Anaujua xana kua wafanyabiashara wa kiyahudi ndo wanaoparat ila anakazia tu
Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee
Sana yaani anagusa kwenye uhalisia, angekua raisi Tanzanie ingekua bora sana.
Fact blaza sisi tunaoishi this time tomorrow tunamuelewa sana
akili kubwa baba mungu akutunze
Du! Huyu mzee Kishimba ni genius sana. Nimefika kwenye hifadhi zetu nyumba zimeezeka kwa nyasi.
Huyu mzee haongei bila facts
Mwenyez mungu akubariki mh kishimba tatizo la elim yetu ya kukariri kuaminishwa wazungu ndio kila kitu
Yan huyu Mzee yuko njema sana, ila kumuelewa lazima uwe umetulia sana
Yes
Mnacheka lakini kiongozi anaongea kitu sahihi kabisa👏🏼👏🏼
Mjinga2 huyu paka pori
Kishimba kichwani yuko vizuri kuliko hao vilaza wote.
Hao wwngne hawajitambui kazi kupiga meza na kusubir posho na kupokea madudu kutoka kwa wazungu ndio kazi yaooo
@@michaelaloyce2072 wewe akili yako mgando.
Daaaah huyu Mzee akili sanaaa
Mh kishimba ni genius tumuelewe tuu
Ahsante Sana mh.kishimba yaan wewe na king msukuma 🙏🙏🙏🙏
Mkimpa huyu mzee wizara ya elimu atafuta vitu vingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Hakika😂
Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!
mzee kishimba, moja ya watu muhimu sana bungeni
Mashimba mungu ambariki sana hakika kahama wakizingua njooo update Jimbo sengerema
Uko vizuri sana,
Nilikuwa namkubar sanaa ila hatoboi tena
Hatari sana aisee
Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.
Akili kubwa!💪🏻🌹
He is talking sense
BIG UP👏👏👏
Kama huna #D mjo huwezi muelewa😂😂💪💪
Good point
Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.
Naam mbunge hongera sana KWA kuongelea MAISHA halisi wengi wanataka aige MAISHA ya watu na watu wanaishi MAISHA SIO Yao kabisa
Tatizo la bunge letu lipo kusikiliza tu sio kutekeleza, SIASA za kikoloni ndio zina tuludisha nyuma
Kweli kabisa
Big point Masha Allah
Duh! Kishimbaa! Wew ni professor wa mambo yote!! Kishimba ooyee! Kishimba ooyee!!😂😂😂
Kweli vitabu vyetu vya syllabus no hopeless kabisa
Hoja zote za huyu mzee zichukuliwe zinafaa kwa matumizi ya nchi
Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!!
Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali
Wanafanyaje?
👏👏👏👏👏Brilliant ❤
Mh,ameongea vzr sana
Huyu jamaa akisikilizwa mawazo yake na kufanyiwa utekelezaji yanaweza kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi....
Tatizo wanaongea yanaishia hapo tu
Mmmh kazi kwelikweli.
Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi?
Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu
Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.
Akili kubwa sana hii!!
Yani Mzee nakubali,
Big brain, out of the box
Big brain
Asante sn bb ukovizr
Fact sanaaa🔥🔥🔥🔥
uyuu mzeee ni ana akili sana naomba BUNGE limpe mda wakutosha kumskiliza TZ itasogea mbelee
Nusu degree
Hongera Sana 😂
Yuko sawa huyu mzee
👏👏👏
📌 📌 📌
❤
🔥
GOD be with you forever
Fact
❤❤❤❤❤🎉🎉
Duh jamaa anaakili sana
Mbona hamtuambiagi Hadi kishimba aseme
Mbunge Genius pekee Tanzania 🎉🎉
Genius
Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.
Huyu jamaa anafaaa kuongoza Africa
Laiti wangemuelewa chishimba ingekuwa sawa kabisa yeye ni profesa OG
Mpak uwe na D 2 ndo utaweza kuelewa
Huyu ni profesa kabisa
huyu jamaa yupo sahihi
Huyu mhe namkubali sana sana
Mbunge mwenye akili kubwa
baba wa mawazo positive ❤
Uko vizur
Kishimba Oyeeeeee😅😅😅😅 huwa unato vitu vitamu sana Mhe mbunge
Pesa ni siri professor 😂
Hii nchi bwana kufika mbali kimaendeleo so leo tunasera za kisenge sana
Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza
akili kubwa baba
bila bangi hoja zake ngumu kuelewa
😂😂😂😂😂😂yaani.weww😂😂
Nawezaje kumpata huyu mbunge nipige naye story?
Huyu kishimba kwanini asiende kuongeza elimu.anaongea maneno ya maana sana
Hahahahahahahaahahahhaahahah duuuh wabunge wamevurugwa
Wachina wanafundisha elimu za kuwasaidia na mazingira yao
Uyu mzee yupo mbele ya muda sana sikupi maua nakupa na mti wake kabisa
Huy mtu jamani hapew ata President. Jaman nn shida hii ichi wasukum na wat wa mara hawa ni viongoz bora sana katika nchi hii
Akir kubwa
Wabunge wa Kanda ya ziwa wanaupiga mwingi wapewe maua yaoo🎉🎉🎉🎉🎉
Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu
Akili nyingi dingiii
Ww ndio mbunge mwenye akili kubwa
Kishimba inatakiwa UWE mtu mkubwa san. Unajua hali ya umasikin ULIKO Tz Kwa watoto wetu.
Wenye akili zao halisi
Hawawezi kuingiza pesa kwenye mtaala wanajua watu wote watakuwa matajiri na wao matajiri watapata wanyonge wao wapi
Sijamaliza sikiliza, ila najua tu yupo sahihi
❤moja❤kati❤ya❤zote❤
Hoja kalu na zenye akili
He is hero but we ar not use him one day we wil remember the most ,our life not Western lofe
😂😂😂😂😂anakitu asikilizwe huyu
kishimba oye
Mhu.elimu yetu dah mzungu atabaki tu kuwa mzungu tuleni tu ugali maharage
Huyu mzee ana akili Sana Mungu uiongezee miaka mingi.
Akili kubwa kiliko zote hapo bungeni
Uko vinzur
Tatizo izo point zina achwa hapo hapo bungeni 😢 azifanyiwi kazi
Wabunge wote wangekuwa kama huyu mzee haya madudu ya wazungu tusingepokea na tungeendelea sana kwakweli.