KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE "KWANINI MSITOE NUSU DEGREE? MNAYOONGEA NI MAUTAPELI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024

Komentáře • 171

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 Před 2 měsíci +24

    Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa

    • @mohamedally6390
      @mohamedally6390 Před měsícem

      Haya maelimu useless wanashadadia sijui kwann yaan wanaficha elimu ya msingi wanaleta madudu ya hovyo kabisa inauma sana

    • @MeshackLukanda
      @MeshackLukanda Před měsícem +1

      kweli mkuu chief kila sehemu chief mkwawa

  • @boazychaulla2909
    @boazychaulla2909 Před měsícem +2

    Mh kishimba ni genius tumuelewe tuu

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 2 měsíci +7

    Du! Huyu mzee Kishimba ni genius sana. Nimefika kwenye hifadhi zetu nyumba zimeezeka kwa nyasi.

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před 2 měsíci +16

    Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee

    • @FestoMalisati-lf8hj
      @FestoMalisati-lf8hj Před 2 měsíci

      Sana yaani anagusa kwenye uhalisia, angekua raisi Tanzanie ingekua bora sana.

    • @mohamedally6390
      @mohamedally6390 Před měsícem

      Fact blaza sisi tunaoishi this time tomorrow tunamuelewa sana

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 Před 2 měsíci +16

    akili kubwa baba mungu akutunze

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Před 2 měsíci +25

    Free thinkers are rare in African politics. Huyu Kishimba ana akili sana. Shida ni kuwa hajui kuwa Serikali inaendeshwa na wafanyabiashara wa Kiyahudi

  • @TheNichym
    @TheNichym Před 2 měsíci +18

    Yan huyu Mzee yuko njema sana, ila kumuelewa lazima uwe umetulia sana

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Před 2 měsíci +19

    Mwenyez mungu akubariki mh kishimba tatizo la elim yetu ya kukariri kuaminishwa wazungu ndio kila kitu

  • @thesilencer5114
    @thesilencer5114 Před 2 měsíci +21

    Mnacheka lakini kiongozi anaongea kitu sahihi kabisa👏🏼👏🏼

    • @michaelaloyce2072
      @michaelaloyce2072 Před 2 měsíci

      Mjinga2 huyu paka pori

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 Před 2 měsíci

      Kishimba kichwani yuko vizuri kuliko hao vilaza wote.

    • @mohamedally6390
      @mohamedally6390 Před měsícem

      Hao wwngne hawajitambui kazi kupiga meza na kusubir posho na kupokea madudu kutoka kwa wazungu ndio kazi yaooo

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 Před měsícem

      ​@@michaelaloyce2072 wewe akili yako mgando.

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 Před 2 měsíci +25

    Kishimba ajawai kuchangia pumba

  • @officialshelomwangole256
    @officialshelomwangole256 Před 2 měsíci +5

    Mkimpa huyu mzee wizara ya elimu atafuta vitu vingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Mc_Gwajee
    @Mc_Gwajee Před 2 měsíci +12

    Daaaah huyu Mzee akili sanaaa

  • @mapoluchalya280
    @mapoluchalya280 Před 2 měsíci +1

    Ahsante Sana mh.kishimba yaan wewe na king msukuma 🙏🙏🙏🙏

  • @adamhamisi2638
    @adamhamisi2638 Před 2 měsíci +2

    mzee kishimba, moja ya watu muhimu sana bungeni

  • @frankrefresh6850
    @frankrefresh6850 Před 2 měsíci +2

    Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!

  • @Loshiphameliyomoleli
    @Loshiphameliyomoleli Před 2 měsíci +2

    Good point

  • @dicksonvicent8139
    @dicksonvicent8139 Před 2 měsíci +5

    Hatari sana aisee

  • @HamisaAli
    @HamisaAli Před měsícem

    Big point Masha Allah

  • @DanielDaniel-gx2ou
    @DanielDaniel-gx2ou Před 2 měsíci +8

    Mashimba mungu ambariki sana hakika kahama wakizingua njooo update Jimbo sengerema

  • @stanslauslugendo31
    @stanslauslugendo31 Před 2 měsíci +2

    Akili kubwa!💪🏻🌹

  • @kazimoto-eq2th
    @kazimoto-eq2th Před 2 měsíci +4

    Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw Před měsícem +1

    Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.

  • @faryjay808
    @faryjay808 Před 2 měsíci +1

    Fact sanaaa🔥🔥🔥🔥

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Před 2 měsíci

    👏👏👏👏👏Brilliant ❤

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před měsícem

    BIG UP👏👏👏

  • @calvinmalale1761
    @calvinmalale1761 Před 2 měsíci +1

    Naam mbunge hongera sana KWA kuongelea MAISHA halisi wengi wanataka aige MAISHA ya watu na watu wanaishi MAISHA SIO Yao kabisa

  • @matwerangulichedr3985
    @matwerangulichedr3985 Před 2 měsíci

    Big brain, out of the box

  • @thedchannel
    @thedchannel Před 2 měsíci +4

    He is talking sense

  • @faustinhommedetatnifasha9669
    @faustinhommedetatnifasha9669 Před 2 měsíci +5

    Kama huna #D mjo huwezi muelewa😂😂💪💪

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 Před 2 měsíci

    Asante sn bb ukovizr

  • @robertnkaragano298
    @robertnkaragano298 Před 2 měsíci +1

    Duh! Kishimbaa! Wew ni professor wa mambo yote!! Kishimba ooyee! Kishimba ooyee!!😂😂😂

  • @sengiyumvaathanas8815
    @sengiyumvaathanas8815 Před 2 měsíci

    Big brain

  • @ScholasticaDomonko
    @ScholasticaDomonko Před 2 měsíci +2

    👏👏👏

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před 2 měsíci +1

    Yani Mzee nakubali,

  • @kileoisaac
    @kileoisaac Před 2 měsíci +3

    Kweli kabisa

  • @jrkaluli5638
    @jrkaluli5638 Před 23 dny

    Pragmatism philosophy! GreAt

  • @gaddafiofficial3200
    @gaddafiofficial3200 Před 2 měsíci +2

    🔥

  • @petermabale4320
    @petermabale4320 Před 2 měsíci +1

  • @mohamedmbalazi748
    @mohamedmbalazi748 Před 2 měsíci +1

    Mmmh kazi kwelikweli.
    Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi?
    Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu

  • @vicentdaud2632
    @vicentdaud2632 Před 2 měsíci +3

    Huyu jamaa akisikilizwa mawazo yake na kufanyiwa utekelezaji yanaweza kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi....

  • @medystarter
    @medystarter Před 2 měsíci +2

    Tatizo la bunge letu lipo kusikiliza tu sio kutekeleza, SIASA za kikoloni ndio zina tuludisha nyuma

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 Před 2 měsíci +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @felisterphilemon1852
    @felisterphilemon1852 Před měsícem

    GOD be with you forever

  • @user-by9qr6ov7n
    @user-by9qr6ov7n Před 2 měsíci +3

    Mh,ameongea vzr sana

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp Před měsícem +1

    Kweli vitabu vyetu vya syllabus no hopeless kabisa

  • @kimandafukitefu2999
    @kimandafukitefu2999 Před měsícem +1

    Hoja zote za huyu mzee zichukuliwe zinafaa kwa matumizi ya nchi

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Před 2 měsíci +1

    uyuu mzeee ni ana akili sana naomba BUNGE limpe mda wakutosha kumskiliza TZ itasogea mbelee

  • @sylivesterleonard5133
    @sylivesterleonard5133 Před měsícem +1

    Akili kubwa sana hii!!

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 Před 2 měsíci +4

    Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!!
    Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali

  • @johnassey2327
    @johnassey2327 Před 2 měsíci

    Fact

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 Před měsícem +1

    📌 📌 📌

  • @josemoko530
    @josemoko530 Před měsícem +1

    Hongera Sana 😂

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Před 2 měsíci +1

    Yuko sawa huyu mzee

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 měsíci +3

    Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.

  • @MwaniPh
    @MwaniPh Před měsícem

    Genius

  • @user-ru7yc8dn5h
    @user-ru7yc8dn5h Před 2 měsíci

    Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 2 měsíci +4

    Nusu degree

  • @user-tu9ps9kr2o
    @user-tu9ps9kr2o Před 2 měsíci

    Kishimba Oyeeeeee😅😅😅😅 huwa unato vitu vitamu sana Mhe mbunge

  • @moseslimonga2337
    @moseslimonga2337 Před 2 měsíci

    Hahahahahahahaahahahhaahahah duuuh wabunge wamevurugwa

  • @leonardmanawa952
    @leonardmanawa952 Před měsícem

    baba wa mawazo positive ❤

  • @suchabulunja5611
    @suchabulunja5611 Před 2 měsíci

    Mbunge Genius pekee Tanzania 🎉🎉

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 Před 2 měsíci

    Laiti wangemuelewa chishimba ingekuwa sawa kabisa yeye ni profesa OG

  • @freddiemanento6318
    @freddiemanento6318 Před 2 měsíci

    Huyu mhe namkubali sana sana

  • @samahabdallahmohamed1135
    @samahabdallahmohamed1135 Před 2 měsíci

    Uko vizur

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Před 2 měsíci

    Huyu ni profesa kabisa

  • @AnaniaBulaya-rc3jv
    @AnaniaBulaya-rc3jv Před měsícem

    Huyu kishimba kwanini asiende kuongeza elimu.anaongea maneno ya maana sana

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio Před měsícem

    Huyu jamaa anafaaa kuongoza Africa

  • @edwardkagombora3782
    @edwardkagombora3782 Před 2 měsíci

    Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza

  • @fridayjkajange1247
    @fridayjkajange1247 Před měsícem

    Duh jamaa anaakili sana

  • @IsayaMorange-wb5ek
    @IsayaMorange-wb5ek Před 2 měsíci

    Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu

  • @uledimude8921
    @uledimude8921 Před měsícem

    Mbona hamtuambiagi Hadi kishimba aseme

  • @user-ch8it5jr8m
    @user-ch8it5jr8m Před 2 měsíci

    Huy mtu jamani hapew ata President. Jaman nn shida hii ichi wasukum na wat wa mara hawa ni viongoz bora sana katika nchi hii

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 Před 2 měsíci +1

    akili kubwa baba

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 Před 2 měsíci

    Wenye akili zao halisi

  • @HashimuHashboy-bo2wl
    @HashimuHashboy-bo2wl Před 2 měsíci

    He is hero but we ar not use him one day we wil remember the most ,our life not Western lofe

  • @JeremiahYohana-br2bd
    @JeremiahYohana-br2bd Před měsícem

    Hii nchi bwana kufika mbali kimaendeleo so leo tunasera za kisenge sana

  • @user-kz2ci6rh7j
    @user-kz2ci6rh7j Před 2 měsíci

    😁😁😁

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 Před 2 měsíci +1

    Mpak uwe na D 2 ndo utaweza kuelewa

  • @ibrahmenard
    @ibrahmenard Před 2 měsíci +2

    bila bangi hoja zake ngumu kuelewa

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂yaani.weww😂😂

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 2 měsíci +1

    Pesa ni siri professor 😂

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před měsícem

    Kishimba inatakiwa UWE mtu mkubwa san. Unajua hali ya umasikin ULIKO Tz Kwa watoto wetu.

  • @oliviermulabikokans1013
    @oliviermulabikokans1013 Před 2 měsíci +1

    ❤moja❤kati❤ya❤zote❤

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x Před měsícem

    Mbunge mwenye akili kubwa

  • @bensonmshiu1894
    @bensonmshiu1894 Před 2 měsíci +1

    Alloo❤❤❤

  • @johnmgalla7377
    @johnmgalla7377 Před měsícem

    Uyu mzee yupo mbele ya muda sana sikupi maua nakupa na mti wake kabisa

  • @user-wh3tb9ve8x
    @user-wh3tb9ve8x Před 2 měsíci

    Wabunge wa Kanda ya ziwa wanaupiga mwingi wapewe maua yaoo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mohamedally6390
    @mohamedally6390 Před měsícem

    Wabunge wote wangekuwa kama huyu mzee haya madudu ya wazungu tusingepokea na tungeendelea sana kwakweli.

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 Před 2 měsíci +1

    Angalizo, akili ya huyu mtu ni zaidi ya kina Vasco da gama, serikali na watu wenu tafadhali yafanyieni kazi haya mawazo yake.

  • @JafariMtima
    @JafariMtima Před měsícem

    Akili nyingi dingiii

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Před 2 měsíci

    kishimba oye

  • @maheitumdintunya2928
    @maheitumdintunya2928 Před měsícem

    huyu jamaa yupo sahihi

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Před 2 měsíci

    Hakuna mtu anapenda nyumba ya nyasi ispokuwa analazimika kuishi hoja yako mweshimiwa inaeleweka lakin sio smart

  • @russia1253
    @russia1253 Před 2 měsíci +1

    Tatizo izo point zina achwa hapo hapo bungeni 😢 azifanyiwi kazi

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py Před 2 měsíci +1

    Akir kubwa

  • @josephignas3988
    @josephignas3988 Před měsícem

    Hawawezi kuingiza pesa kwenye mtaala wanajua watu wote watakuwa matajiri na wao matajiri watapata wanyonge wao wapi

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 Před 2 měsíci

    Shusheni mabati bei,..kla mtu wa chini aweze kununua

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Před 2 měsíci

    Huyu mzee ana akili Sana Mungu uiongezee miaka mingi.

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 Před měsícem

    😂😂😂😂😂anakitu asikilizwe huyu

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 Před 2 měsíci

    Uko vinzur

  • @yonahgideon7561
    @yonahgideon7561 Před 2 měsíci +1

    Mbona kwenye mtaala mpya Kuna somo jipya linaitwa Elimu ya biashara ambako huko ndani Kuna mambo ya ujasiriamali na jinsi ya kutunza fedha

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 2 měsíci

      Shida litakavofundishwa

    • @barakalevis31
      @barakalevis31 Před 2 měsíci +1

      Uliza walio apply kama wameliona kwenye machaguo