MANENO MAZITO YA KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA SACP THEOPISTA MALLYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2024
  • Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Leo ameendelea ziara yake ya kutoa Elimu kuhusu masuala ya Ukatili ambapo Leo amepata wasaa wa kuzungumza na waumini wa Kanisa la Wasabato Kizota Mkoani Dodoma.
    Katika maongezi yake ametahadharisha juu ya mmonyoko wa maadili kwa vijana na ukatili katika Familia huku akiwataka wahanga kutoa taarifa za ukatili.
    Pia amekemea suala la Rushwa huku akiwasihi waumini hao kutokutoa rushwa na kujiepusha na mikopo ya kausha damu
  • Zábava

Komentáře • 1

  • @deosimba
    @deosimba Před 3 měsíci

    Hongera sana Kamanda. Umetoa mafundisho mazito sana.