Tazama kisanga cha mzee aliyetishia kumletea nyuki Mkuu wa Mkoa Dodoma

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, kama ambavyo mzee huyu anayefahamika kama Shabani Nyambo aliyehamishwa eneo la Mzakwe jijini Dodoma miaka kadhaa iliyopita kupisha eneo la hifadhi ya bonde alvyoeleza namna ambavyo walifanya dua na kuleta nyuki zlizozinga waliotaka kubomoa nyumba yake pamoja na kuzuia miti kuota kwenye eneo hilo wakidai wapewe ardhi ili mambo yawe sawa.
    ikumbukwe kuwa eneo hilo aliwahi kupanda miti Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa makamu wa Rais, huku Makamu wa sasa Dk Philip Mpango naye akienda mara kadhaa kufuatilia na kuelekeza ipatikane suluhu ya upandaji wa miti kwenye eneo hilo jambo lililopelekea mkuu wa mkoa wa Dodoma kwenda na wataalamu mbalimbali pamoja na Wadau ili kupata suluhu miti inayopandwa kwenye eneo hilo kukauka

Komentáře • 111