KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA AKIONGEA NA WACHUNGAJI WA FPCT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 05. 2024
  • KONGAMANO LA WACHUNGAJI DODOMA SIKU YA TATU
  • Hry

Komentáře • 25

  • @nehemiamkonongo86
    @nehemiamkonongo86 Před 2 měsíci +1

    Afisa uko vizuri, ubarikiwe sana kwa ujumbe wako mzuri kwa wachungaji na jamii kwa ujumla.

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před 2 měsíci +1

    Huyu Mama RPC nimempenda Sanaa aiseee Mungu azidi kukupaisha na kukupa hekima

  • @msafirimahenge729
    @msafirimahenge729 Před 2 měsíci +1

    Hongera sana afande omeongea maneno mazito yenye kufundisha ukweli ambao hata wachungaji huwa hawafundishi makanisani sasa hivi ibada ni nyimbo matangazo michango ndiyo vinatawara ibada mchungaji akisimama kuhubiri anasoma fungu moja tu anafunga ibada nimebalikiwa na afande hapo sanaaa

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 2 měsíci +2

    Jamaniiii Theopista Maria, tumekumic Songwe mweeee.

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 Před 2 měsíci +1

    Huyu mama ni mtumishi wa Mungu kabisa

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Před 2 měsíci

    Uko vizuri sana rafiki yangu teo arusha unakuja lini tumekumiss sana

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam9565 Před 2 měsíci +1

    sawa Mdada uko sawa🌹

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před 2 měsíci +1

    Kwani ripoti ya Mwakyembe ilipelekwa Kwa viongozi wa dini au ni nani alipasa kumfuatilia na kuchukua hatua!

  • @christopherbainga1920
    @christopherbainga1920 Před 2 měsíci

    Ameeen sana

  • @dionizemmanuel-ml2vf
    @dionizemmanuel-ml2vf Před 2 měsíci

    Mungu akubariki sana mkuu.

  • @UfunuoSt
    @UfunuoSt Před 2 měsíci

    Huyu mama Mungu amua galie sana.

  • @EdwardYohana-nj9ky
    @EdwardYohana-nj9ky Před 2 měsíci

    Uko sahihi afande

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 2 měsíci +1

    Polisi oyeeee wambie hao wasidhan kuwa ndo wanajua tu biblia

  • @PastorNathanael-ex4co
    @PastorNathanael-ex4co Před 2 měsíci

    Mama sioni wadhifa TU ulionao naona wito wa KiMungu na uttumishi ulotukuka ndani yako

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před 2 měsíci

    Wafiraji tena😅

  • @JumaJuma-js2sm
    @JumaJuma-js2sm Před 2 měsíci +1

    Asante

  • @paulm.kaponda2300
    @paulm.kaponda2300 Před 2 měsíci

    Ubarikiwe mama

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 2 měsíci

    Niliudharau mwili kumbe ndani ni madini matupu .. mama mpe .. u IGP huyu mtu wa mungu ... jamani na ulinzi ...duuuh ..toa namba tutume michango mpendwa

  • @rehemageorge9506
    @rehemageorge9506 Před 2 měsíci

    Ufalme wa Mungu umekaribia

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 2 měsíci

    Yani ww ni mtumishi wa mungu hujui tu

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před 2 měsíci

    Du Kamanda upo powa Kwa Madini uliyonayo, umewakimbusha viongozi wa Dini wasiogope kuwaambia ukweli Waumini wao Ili Nchi iwe na Ustawi.

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před 2 měsíci

    Huyu dada kahamishwa songwe tena, daaah serkali bana kwanini hamishahamisha hii huyu dada jembe la kazi

  • @emmanuellyatuu4103
    @emmanuellyatuu4103 Před 2 měsíci

    📌📌📌

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 2 měsíci

    Je rohoni mwenu mnakiri uwepo wa hili? 👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 Před 2 měsíci

    Dada angu hongera.nondo za ukweli