Hongera sana afande omeongea maneno mazito yenye kufundisha ukweli ambao hata wachungaji huwa hawafundishi makanisani sasa hivi ibada ni nyimbo matangazo michango ndiyo vinatawara ibada mchungaji akisimama kuhubiri anasoma fungu moja tu anafunga ibada nimebalikiwa na afande hapo sanaaa
Niliudharau mwili kumbe ndani ni madini matupu .. mama mpe .. u IGP huyu mtu wa mungu ... jamani na ulinzi ...duuuh ..toa namba tutume michango mpendwa
Je rohoni mwenu mnakiri uwepo wa hili? 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Afisa uko vizuri, ubarikiwe sana kwa ujumbe wako mzuri kwa wachungaji na jamii kwa ujumla.
Huyu Mama RPC nimempenda Sanaa aiseee Mungu azidi kukupaisha na kukupa hekima
Hongera sana afande omeongea maneno mazito yenye kufundisha ukweli ambao hata wachungaji huwa hawafundishi makanisani sasa hivi ibada ni nyimbo matangazo michango ndiyo vinatawara ibada mchungaji akisimama kuhubiri anasoma fungu moja tu anafunga ibada nimebalikiwa na afande hapo sanaaa
Jamaniiii Theopista Maria, tumekumic Songwe mweeee.
Huyu mama ni mtumishi wa Mungu kabisa
Uko vizuri sana rafiki yangu teo arusha unakuja lini tumekumiss sana
sawa Mdada uko sawa🌹
Kwani ripoti ya Mwakyembe ilipelekwa Kwa viongozi wa dini au ni nani alipasa kumfuatilia na kuchukua hatua!
Ameeen sana
Mungu akubariki sana mkuu.
Huyu mama Mungu amua galie sana.
Uko sahihi afande
Polisi oyeeee wambie hao wasidhan kuwa ndo wanajua tu biblia
Mama sioni wadhifa TU ulionao naona wito wa KiMungu na uttumishi ulotukuka ndani yako
Wafiraji tena😅
Asante
Ubarikiwe mama
Niliudharau mwili kumbe ndani ni madini matupu .. mama mpe .. u IGP huyu mtu wa mungu ... jamani na ulinzi ...duuuh ..toa namba tutume michango mpendwa
Ufalme wa Mungu umekaribia
Yani ww ni mtumishi wa mungu hujui tu
Du Kamanda upo powa Kwa Madini uliyonayo, umewakimbusha viongozi wa Dini wasiogope kuwaambia ukweli Waumini wao Ili Nchi iwe na Ustawi.
Huyu dada kahamishwa songwe tena, daaah serkali bana kwanini hamishahamisha hii huyu dada jembe la kazi
📌📌📌
Je rohoni mwenu mnakiri uwepo wa hili? 👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Dada angu hongera.nondo za ukweli