MJUE PATRICE HEMERY LUMUMBA - MWANAHARAKATI ALIYEUAWA KIKATILI - MAITI YAKE ILIKATWA KATWA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • MJUE PATRICE HEMERY LUMUMBA - MWANAHARAKATI ALIYEUAWA KIKATILI - MAITI YAKE ILIKATWA KATWA...
    Mwanaharakati wa Ukombozi aliyeuawa kikatili
    Maiti yake ilikatwa katwa na kumwagiwa Tindikali (Acid) chini ya ulinzi wa mkali
    Ni Waziri Mkuu wa kwanza wa Zaire aliyedumu madarakani miezi minne na amefariki akiwa na umri wa 35 tu!
    Tanzania imempa heshima ya Jina lake kuwekwa katika Mtaa katika ya Jiji
    UNGANA NA MTAYARISHAJI WA MAKALA HAYA MAWAZO LUSONZO NA KUSIMULIWA NAMI......
    ALIYEKUWA Gwiji wa Muziki wa Dansi nchini Tanzania Marehemu Marijan Raajab amewahi kuimba nyimbo mbalimbali zenye ujumbe unaoishi kimaudhui hadi sasa!
    Aliwahi kuimba namna Wema na Mashujaa walivyokosa umri mrefu wa kuishi.
    Alikadhalika, aliimba namna watu walioitwa Makatili walivyokuwa na moyo wa sawa na Mnyama.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 2