KUTANA na AMRISH PURI -MZEE wa MIAKA 53 ALIYEFUNGWA JELA AKIWA na MIAKA 12 KISA UJAMBAZI -INATISHA..
Vložit
- čas přidán 1. 05. 2024
- KUTANA na AMRISH PURI -MZEE wa MIAKA 53 ALIYEFUNGWA JELA AKIWA na MIAKA 12 KISA UJAMBAZI -INATISHA....
Kutana na Athuman Swedi Mkazi wa Babati mkoani Manyara mwenye umri wa miaka 53 Ambaye alifungwa jela Akiwa na miaka 15 tu kisa Ujambazi wa kutisha
Athumani Swedi Anasema Aliànza kufanya ujambazi akiwa na Miaka 12 pekee na alikamatwa mnamo mwaka 1982 akiwa na wenzake watatu na kufanikiwa kutoka jela mnamo january ya mwaka 2011
Yapo matukio mengi Ya kutisha ambayo aliyafanya akiwa na umri mdogo ikiwa ni pamoja na kufanya ukatili kwa mama mjamzito, tukio ambalo analijutia sana hivi sasa
Hata Hivyo anasema Maisha ya Jela Yamemfunza mengi Ijapokuwa Anajutia Kile ambacho aliamua kufanya kwa sababu kimemuaribia maisha yake na kumfanya hivi sasa kuishi maisha ya kimaskini
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Ukikaa jela muda mrefu akili inadumaa kwanza huo mwaka 1982 nakumbuka tulikuwa tunakimbiza gari la ugawaji
Mzee wacha ni lete beseni na maji uklie tuone uko kunavuja huko manake ulikua mke jela😂😂😂
umakini mwingi kwenye ugawaji nimeupenda 💵💰🤜🤛✅🌍✈️
Hamjawah kuuwa lkn nyiny ni wauwaji...Yan Mama mjamzito mnampa adhabu hadi ujauzito unatoka...yani mlikuwa watoto lkn msio nahuruma hata chembe..hivo vifungo viliwastahili wala hamkuonewa
1982 Rais wa nchi alikuwa Baba wa taifa, Mwl. JK Nyerere na sio Mzee Mwinyi kama msimuliaji anavyosimulia lakin pia inafikirisha kusema by that time mchunga mbuzi alipwe 20k kwa mwezi.........anyway au bas
Kaz zr
Du kweli umasikini imejipatia mwenyewe miaka yote iyo but onger kwa kukubaliana na hali na kutojihusisha na maovu
Kwamiaka hiyo hayo malipo ya 20.000.kwamwezi hayakuwepo kwa mchunga mbuzi huo nimshahara wamtumishi kabisa
Huyu akili ana halafu muongo kuna vitu anaropoka tu hata ajui anadanganya
Kima cha chini mishahara 1982 serikalini 600 huyumuongo na sheria ya kifungo miaka30 kilikuwa haipo
ASANTE MZUNGU MATOPE NA KIZUNGU CHAKO 😂😂😂😂
Iv mwandish uyu anadanganywa live amekaa tu
Pole sana umepata mjukuu sio mtoto
😂😂😂😂😂
Huyu ni muongo alisoma akiwa na umri gani kuchunga mbuzi miaka 8 darasa la kwanza alianza akiwa na umri gani, 20,000/ ilikuwa nyingi sana ananogesha maongezi
Hili zee liongo Sana 1982 raisi alikuwa mwinyi 😂😂😂😂
Kuna kusahau na wearer utafikirinini jela 30 😮😮😮
Duh
Mwongo mwongo sana huyu
AK 47 HAIKUWEPO NA ULIKUWA UNALIPWQ 20000?
Muongo sana haiwezekan rais awe mwinyi mshahara 20elfu anadanganya
1982 rais nyerere sio mwinyi
Huyu mzee nimuongo hapakuwa namalipo ya 20.000 kwamwezi huo mshahara niwamtumishi mkubwa serikalini
Umenikumbusha Oldeani mwaka 1988 kwenye mashamba ya kahawa tulikuwa tunalima miraba tunalipwa pesa inaitwa noma ni kijidude fulani, wazungu wenye mashamba alikuwa anaitwa MICHAEL GERKEN
🔥🔥🔥🔥🔥
1988 mm ndo nazaliwa
Muongo sana huyu
Muongo 😢
Hata hapo kwenye mshahara 20000 mwaka 82 ni uongo
Kasema mshahala elf 20 sio laki 2
😂😂😂😂😂
Huongo amepoteza kumbukumbu
Huyu kapoteza kumbukumbu 82 raisi bi Nyerere sio mwinyi
Af 82 Analipwaje Elf20!,
Wakat 20 Ya 82 ni Saw na milion 2 Ya Sasa😂
Rais alikua nyerere mwinyi kaanza mwaka 85 mpaka 95
Huyi akamatwe jamabazi haachagi kazi yake
MTU HAHUKUMIWI MARA 2 KWA KOSA MOJA.
Huyo jamaa muhogo sana 1982 hakuna mtu alokuwa anaweza kupata 20000 maana 1986 mshahara mkubwa ulikuwa ni kati ya 1200/ kawadangaye watoto wadogo
We hujafkiria kwanza elf 20 watu walipata xana
Beskeli mpya phonex ilikuwa 1600 huyu muongo sana
LABDA ALIKUSUDIA KUSEMA 200