NANDY AMWAMBIA NASSIB FONABO YEYE NI WA MAJUU.
Vložit
- čas přidán 20. 11. 2022
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Zábava
Anajua mpaka mpaka tena nipeni like za Nasibu fonabo🔥🔥
Leo nimetowa Coment yangu ya kwanza nataka LIKE zenu 🔥🔥💪 Good job
Huyu ndie alikua mshindi kwang ni fireee sanaaa
Fanaboooooo kaludiiiiii dah. .....namkubali mno ndio alikua mshindi wangu akaangushwa na chaguo la wimbo
Very true
Hivi huyu ndiyo alifanyaga Lady jedee akaachaga ujaji au nimekosea
Nassib fonabo you are star all the time❤️🔥🔥👍🤝
Kama unamkubali madam gonga like
Wadau wenye mpunga wekezeni humo aisee this is money guys. Pure and gifted
Mshindi wangu mwaka 2015... Anajua had anakera
Siku ya fainali ya huy mwamba na kayumba skulala na ndio alikua mshindi wangu 🔥🔥🔥💪🏽
U are already a star bro👍
Daaah. Jamaa anapiga guitar mpaka mwil unasisimuka asee
Mwanangu sana huyuu jmaaa🔥🔥🔥👊
Bro real you are so talented Mm binafs nmekupitisha kwel ni legacy kwanza mentality you are good
Kenyaaaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰🥰this amekill
Msipo mpa mwaka huu mnaaalibu talent za watu
Fundi amerudii ❤️❤️❤️
Fonabo mnyama sana
ataonea viumbe vingi snaa😂😂😂😂 uyu hafai kua BSS jamaa anajua
Mshindi wangu ni huyu Mimi Niko hapa🥰🥰🥰🥰
Safi Fonabo my friend ❤
Achukue tuu huyu safalihii jmn 🙌
Noma sna fonabo
Huu ni moto mwingine Umerudiiii Make it happen Fonabooooo
Wooow this man.
Nakupenda bureeee
Vizur san
Hataree sana mwamba
Walikunyima wakampa kayumba but we n 🌟
Hili jitu linaimba bwana yani linaimba sio kuimbaimba
Unaweza mkuuu
that's ma boe🔥
Uyu kaka Kama namkumbuka saut namkumbuka Ila sura amebadilika hongera kaka
Kabisa kanenepa hata mm jina na sauti ndiyo vimefanya nimkumbuke
Fonabo Mzee wa nosaa uyoo
Fona 2 nabo 💥
reggae in Afrika
Yes rasta.....jahbless
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@@rehemaothman2475 🤝🤝🤝
Eh kiboko kabisaa 🥰
My brother
Anajua sana🔥🥰
Sana,,,new song out mpita njia out of 10/10 iko aje
czcams.com/video/A9QQaXly0G0/video.html
Yebaaaaaaaaaaaa
Alichuana sana na kayumba huyu
🔥🔥🔥🔥
Nom san
Fundi ila ataweza kuswitch type nyingine ya mziki
my choice forever na hakuna kama nasb
Mshind wangu wa nyakat zoote yaan mie sijawahi kupata mshind bss zaid ya huyu
❤❤❤❤❤
😘😘😘😘
Ok
WE D OMMY HEBU NITAFUTE, TUMEKUWA WOTE KWA MUYUNGI BANA SOMBETINI
Fonabo wewe ni star ira ni kushauli Badirisha Nyimbo Uwe Unaimba Zakiswahili
Anaimba uyu htr fonabo
huyu ndio mshindi Kayumba alibebwa tuuu
No mara wat. NO MATTER WAT
Noumaaaaa
We ni mkaliii
wale walopita kipind cha juzi wapo wap?
Kuna watu wanasimba jamn da!
Mzee wa nosa, huyu mwamba ni mkali
Ukitumia za kiswahili utafika
Khaaa Kuna watu Wana jua mpka ukisikia unaeza kataa kuimba😂😂😂
Mie Hadi nimesikia amani daa watu wanaimba
Eeh ime anza au mbna sielewi mimj
Lita unanikera sana ww una maneno ya kipuuzi kwani ww unachagua ulaya au kipaji huyo kaka anaimba ana kiwango Cha uimbaji sana
Yeye ni motooo
Ivi yule dogo wa "mazoea" alimshindaga nn huyu jamaa
1q
Lakini uwache ku tumia drugs
Wewe ndo unamuuziaga?
As Rastafarian kutumia mjani ruksaa
U are already a star bro👍