DUUH!! RC MWANZA AMTOA JASHO AFISA HUYU/AMBADILIKIA MBELE ZA WATU/AMUWASHIA MOTO HUU MZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 06. 2024

Komentáře • 101

  • @YohanaLuchapa
    @YohanaLuchapa Před měsícem +1

    Mtanda Mungu azidi kubariki katika kazi yako hua auna mzaa kwenye kazi mi nakukubali sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před měsícem +2

    Mkuu wamkoa. Mzuri huna jaziba Wala mihemko uko vizuri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Před měsícem +4

    Safi sana said katanda hao watumishi nimzigo

  • @SelemaniMsemakweli
    @SelemaniMsemakweli Před měsícem +2

    That's my Brother Mr Mtanda

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 Před měsícem +1

    Tangia ulipokuwa Mkuu wa Wilaya Arusha namkubali sana sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @GerysonMsukwa
    @GerysonMsukwa Před měsícem

    Safi mheshimiwa kama wakuu wote wa mikoa mngewajibika kama hivo taifa lingekuwa mbali sana kimaendeleo Asante Mheshimiwa Raisi Kwa kukuteua wewe pamoja na makonda na slaa mpo vizuri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MezdDimoso
    @MezdDimoso Před měsícem +1

    Yani huyu kiongozi apewe maua yake🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @lucykiwelu4451
    @lucykiwelu4451 Před měsícem

    Kazi kazi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @sapikiwanga6154
    @sapikiwanga6154 Před měsícem +2

    Dah!wakati mwingine ukiona UZEMBE mkubwa unaofanywa na baadhi ya watumishi wa UMMA,unaona Hadi kinyaa.hivi watumishi labda niwaulize kitu Leo,mnataka hizi kazi za usimamizi tuwape WANAJESHI??????,

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @rodrickmwankenja6263
    @rodrickmwankenja6263 Před měsícem

    Nakukubali sana Mzee yaani kama Mzee Said wa Simba tu!!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před měsícem +2

    HAo Huwa wanajiuzia wenyewe vibaka hao fukuza

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @fredricksiamesiamebeatuss2269
    @fredricksiamesiamebeatuss2269 Před měsícem +1

    Safi sana wabane hao wamelewa madaraka

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před měsícem

    Hapo kazi imeanza

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před měsícem +2

    Ccm.nchi.imewashinda.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @MnubiMm
      @MnubiMm Před měsícem

      Kwa Mtazamo wako wewe

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Před měsícem +1

    Huyu jamaa mpuuzi, Hana uchungu na Kodi za watanzania, afukuzwe kazi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Před měsícem

    Bora hawa wakuu wa mikoa walio kubari kuigwa na wamefanikiwa hongera Makonda umeamsha nchi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před měsícem +1

    Upigaji tu wanataka kuuziana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před měsícem +1

    Hawana uchungu na mali za umma potelea mbali hata kama zitauzwa kwa khasara

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Před měsícem

    Mkuu ulikua wapi? Maana hayo magali wanagawana hao hao wala si mbovu ki hivyo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Před měsícem

    Kiukweli inasikitisha sana 😢 Taifa linachezewa vibaya mno na watendaji. Sijui tumerogwa na nani 😭

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem +2

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 Před měsícem

      Ndio shida ya kuwalewa wez fukuza kaz

    • @salmanmagwe2612
      @salmanmagwe2612 Před měsícem

      Ni kweli,na walivyo wa hovyo wakifeli wanailaumu serikali au Rais wakati wao ndio walioshindwa huko chini.inasikitisha mno uzembe wa hawa wafanyakazi.

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před měsícem

    Uyu uwa namkubari sn anaakili nyingi Sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @JosephMatuli-iy6ej
    @JosephMatuli-iy6ej Před měsícem

    Senga

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před měsícem

    Wizi na uzembe serikalini😢

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kulwamikwanga3112
    @kulwamikwanga3112 Před měsícem

    Mpigie cm charamira aje manispaa ya Temeke kuna madudu kama hayo mkuu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @hassannjiku
    @hassannjiku Před měsícem

    Izo gar wakizpaki tu utaskia imeuzwa 2m

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @moseskusamba431
    @moseskusamba431 Před měsícem

    Haha aibu hawana wizi tuu ni mpka mtu awazibishwe kisawasawa hii tu haitoshi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @stephenkyarwenda4490
    @stephenkyarwenda4490 Před měsícem

    Mali za SERIKALI hazina msimamizi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @consolatamsacky6400
    @consolatamsacky6400 Před měsícem

    Jaman hawana uchungu ni kodi zetu hiz😢

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Před měsícem

    MKUU ASANTE SANA

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-po5nz9ls6u
    @user-po5nz9ls6u Před měsícem

    Ifike mahali serekali itupe ajira sisi darasa la Saba kama wasome wanavurunda namna hii kwanini sisi darasa la Saba tusianiriwe?

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před měsícem

    Mia Moja sabini na Saba wezi hao hyo gari ya mchanga haizwi bei hyo wamekudanganya wamivimba nyuma hera za wizi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-ui3jn1hg3l
    @user-ui3jn1hg3l Před měsícem

    Wanajiuzia nagari ya selikali

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Před měsícem

    magar yasiuzwetena,makeimekuwa diri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Před měsícem

    fumua comred haosiyo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Před měsícem

    magar yasiuzwetena,makeimekuwa diri,akienda mwingineilianunue ,anapigwa danadana ilimkatewajimilikishe ,garin8nzimazote,ilakunauhuni katkaharmashaurinyingi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před měsícem

    Mtanda kanyooka

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 Před měsícem

    Wanataka wauziane bure.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ramadhanlugembe3561
    @ramadhanlugembe3561 Před měsícem

    Hii taalifa si niyazamani huko mara wewe unasema mwanza

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem +1

      Asante Kwa Kutufuatililia ila huyu kwa sasa ni Rc Wa Mwanza

    • @iddshechambo7866
      @iddshechambo7866 Před měsícem

      Hii ni Kwimba Mwanza si Musoma

  • @drtobias_
    @drtobias_ Před měsícem +1

    MAKONDA amewaamsha hata mkifanya ni Copy And past

    • @LouisMambaAloyce-cu6ud
      @LouisMambaAloyce-cu6ud Před měsícem

      Hoja dhaifu hii

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @jonathanmlinda2580
      @jonathanmlinda2580 Před měsícem

      Huyu alikua anafuatilia tangu akiwa mkuu wa wilaya ya Arusha na Makonda alikua nje ya system

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 Před měsícem

      HOJA KAMA HIZO KWAMBA ETI MAKONDA NDIYE ORIGINAL WANACOPPY KWAKE,,,NI HOJA DHAIFU HATA KAMA NI KWELI LAKINI KWA MTU ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUTAMKA HIVYO NADHANI HAUJAFIKIRIA VIZURI USINGE TAMKA HIVYO WEWE WAPONGEZE SANA WATU KAMA HAWA USIWAVUNJE MOYO ETI WANA COPPY KWA MAKONDA SASA UTASABABISHA WAACHE KUFANYA VIZURI ILI WASITAFSILIWE KWAMBA WAKO WANA COPPY MAANA WAKO WENGI WAZARENDO AMBAO MAMA SAMIA ANAWATEUWA KTK NAFASI MBALIMBALI SEMA TU WALIKUWA NA NIDHAMU YA WOGA WALITAKA MTU WA KUWAANZISHIA UJASILI WA KUWASEMA WAZI WATUMISHI WASIO WAJIBIKA NA MAFISADI WAKUBWA NA WADOGO,,MAFISASI WAKUBWA NI KAZI YA RAISI WETU KUWAONA NA KUWATOWA KWENYE MFUMO ,,NA MAFISADI WADOGO TUSAIDIWE NA WAKUU WA VITEGO WAKIWEMO WAKUU WA MIKOA,,WILAYA N.K

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Před měsícem

    Washenzi hao alimashauri kazi yao ni kunenepa tu kama jiwe la kobe watengeneze magari

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před měsícem +1

    Mkuu wa mkoa tatua changamoto za wananchi achana na magari fanya kama makonda

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před měsícem

    Akiri nyingi sn sn kuliko mkurupukaji waharusha

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @drmataba7825
      @drmataba7825 Před měsícem

      Wewe unajambo lako,kanywe sumu kama haumtaki Makonda

  • @SelemaniMsemakweli
    @SelemaniMsemakweli Před měsícem +1

    That's my Brother Mr Mtanda

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  Před měsícem

      Asante Kwa Kutufuatilia