Wezi wa mitandaoni walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- Jeshi la polisi Dodoma limewakamata watu wawili wanaofanya matukio ya wizi wa fedha kwa njia ya mitandao ambapo pia wamekuwa wakitumia usafiri wa pikipiki kusafiri katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuiba bidhaa za dukani na fedha.
Kwa kweli RPC Dodoma anapiga kazi, kweli anastahili hicho kiti hajakaa kwenye kiti hicho kwa bahati mbaya Mungu ambariki.
Huyu mm namkubali,Kuna mmoja Yule sijui wa mwanza au sijui Ni geita huwa anatetea ujinga wa maaskari wake simpendagi kabisa
Safi kwa kazi zuri
Safiii kamanda kazi nzuri,unafanya kazi nzuri kama kamanda wa mkoa wa Mbeya Munguu awabariki
Mzee mbona unamvyonya Asikari wako na kumfukuza kwa kuita simu kwa Bahati mbaya aloona ilo agonge like hapa
haaaa watapata tabu sana mkuu upo vizuru sana.
❤kamanda wezi Awana adabu wakafungwe wakafanye kazi
Hapo KAMANDA Leo kama nimekuelewa sasa..
SAFI sana
Rais masikio
Rais
Safi sana kamanda safisha uchafu ,,tena musafishe tanzania nzima tabia zote tanzania iwe shule ya maadili
Mzee wa #UtapataTabuSana. Gonga Like Kama unamkubali sana 😂😂😂😂
😢kosa siyo lao kosa ni huduma kwa wateja kurudisha pesa kiurahisi ivyo kila siku
Asante sana jeshi la polisi kwakuwa kamata hao matapeli
Yani nampenda uyu kamanda anatuonesha
Mambo live👌👌👌😁😁😁😁
Hongera SNA Kamanda Mruto kwa kazi nzuri
Safi Kamanda watapata tabu sana
Ety unaendashaje, kwamba naendesha kawaida hahaha u can't be serious brother
Ni mekupenda sana kamanda mtoto watapataa tabu sanaa 😀🤝
Huyo mwita ni jambazi wa miaka mungu mi simpendi alishawai kuniibia mwaka1994
Yani uyu wamuongezee mshaallah yeye na kikundi chake maana ananikosha roho yangu kwa matukio anatuonesha live
We ndo kamanda safi sana
Wakubwa ovyo,hongera Sana kamanda wa dodoma
Ao washenzi nawatamani sana nikiwapata watajuta
Kwanini unafanya ivo una iba kwanini una endeshaje pikipiki 😂😂😂
H
Kama kawaida 😂😂😂
Safi sana command
safi kamanda uko vizuri
Daaaah dodoma yangu inakuwa safii sanaaa
man jaruu jr ok
Safi sana kamanda waazibiwe kisheria hao watapeli
Uishi sana
Huyo mpotezeni hukohuko
camanda safi sana
Huduma kwa wateja nawo hajitathimini pia wanamakosa kilasiki tunaibiwa kuhivyoo jaman etiii natapeli nahonga wanawakee hii imekajee hiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nacheka kama mazurii👌😭
safi sana kamnda piga kazi
Kifungo cha maisha2 aooo
Jamani wapigeni risasi hao wasumbufu sana
Mungu akupe maisha marefu kamanda
Unatugea raha ivyo ndivyo inavyotakiwa wezi wakikamatwa waoneshwe
Ulikuwa jambazi! Mbona unasema ulikuwa jambazi 😂😂😂🤣🤣🤣 utafia jela mzee
Mm nataka wauwawe wameshanitapeli sn
Mwaka huu watapata taabu sana
Kamata ao kamanda wananisumbua sana kwenye sm
Duh hao jamaa sio poa
sm imeita Hahah toka hapa
Geoffrey Kayora 😂😂😂😂😂😂😂😂nimeskia
Hiyo sijui ni simu yake mwenyewe au ya huyo mpambe wake 😂
Geoffrey Kayora toka apa!!!teh teh
kweri
Unafanya kaz sana mkuu. Asante sana
safi sana
HAYA UNAENDESHAJE???
Sasa hili ni swali la kuuliza kweli??? 😂😂😂😂😂
Killer Bona hahahaha
Safi sana
Huwa wanatusumbua sana hana na msg zao "ile ela 2ma kwa no. Hii"
Huyo askari apo nyuma aliyeva cap nyekundu sio professional kabisa and shika simu na kutext very bad
Mzee nakukubali sana
Usiombee kunaswa na rada za kamanda muroto!
Huyu Kamanda anapiga kazi hasa!!
Kamanda mloto. Aky mtaniwetu kumkamata. Mshamba.mwenziee. Wata. Patatabu
uyu mzee ukiiba Dodoma bx jiandae kuonekana Kwa you tube
Sim inaita toka hapa.Pikipiki unaendeshajeee?Mruto bg up sana
Hiyo ni kali mzee atafia jela......
Kamanda safi sana
Utapata tabu sana, big up kamanda wa Dodoma hapa kazi tu.
Good job go ahead commando.
Keep it up.
Thinks
tanzania pabaya sana
Mungu wangu mbavu zangu we mzee huna watoto kweli unataka kufua jela
Wanatafuta maish mpovizur makamand wet
Hawo jamaa nihatari sana
Funga kabisa miaka 30
Dah mpaka jamaa anakubali kuwa pesa anayopata anahonga wanawake ujue kilichompta sio cha kitoto
Acha ndugu yanguuu kashabinywa pumbu hapo na virungu vya ugoko
Conglatulation mkubwa
Unatakiwa afirwee
Watapataaaaa taaaabuuu sanaaa
KWAL M C W4ZI KULAHUMU MASHA MAGUMU
haki nimefurai sana
Vzr sanaa
Hehwhee eti Hawala zao 😂
Mzee unakwenda wapi mzee?? Huyu mzee vitu vyote viwili anapiga!!! Mzee utafia hela mzee acha ujambazi... Wee mzee unafanya kazi gani!! Umestaafu ujambazi!! Hahaaaaa!! Hapa kazi tu, safi sana jeshi LA POLISI
Watapata tabu sn kwa Dodoma saiv,,,Namkubali sn huyu kamanda hafichi kitu yeye anakueka live ili tuwajuwe wabaya wetu mana saiv mambo magum,,
Hao makuma nipeni mmoja nifire washa nikosa kosa mara nyingi sana mamaeeee
Njooni patrol pia maeneo ya nkuhungu west, vibaka wanatupora simu zetu!
Giles Muroto..! Kamanda shida sana.. 😁
Safii sanaa kamanda wafungwee hao
Safi Sana kamanda was dodoma kwa kazi nzuri ya kukomesha wa halifu
Mmmh nini kifanyike sasa kama na mpesa washakuwa na unjanja na wengine kwel hukosea
Wasenge sana hao watasababisha ata hudumu ya kutorudishwa pesa hata kama mtu kakosea kweli kutuma pesa, hao wanastahiri kunyongwa kuma mae zao washenzi hao,
watapata taaaaabu sana! na wapigwe tu maana hakuna namna nyingine tumechoka sasa!
Alex Ml
Aisee ni shida
Utafia jera🤣🤣🤣🤣
Huyo FFU yuko bize na cm dadek.. Atapa taabu sana nae anadharu mkutano wa boss wake
Iyoooo mbona kama cyo
jamn wanaaribu mkoa wa iringa na njombe tyunapata sifa mbaya sana jmn
sukuma ndani hawo Afande
ukitaka kukaa mjini fanya kazi bana. kkkkkkk
safi kamanda mrot
Watapata tabu sana dodoma
Awa.wafungwe.kamanda
Safi sana kamanda mruto.
Naona wezi wamtandao wame amua kudislike
ua kabisa vibaka ao mi wameniliza elfu sabini mtandaoni mbwa wakubwa ao
Huyo mzee na penda shows Zake duuu
Watapata tabu sanaaa😂😂
fungen hao wez nammi walitaka kunitapeli asante sana. jesh la polisi
Geofrey Anderson sawa kamanda
Jino kwa Jino
wez watapata tabu sana
Hahahaahahahhahah kamanda njoo Dar tunaibiwa sana
Polisi mshamba kama huyu sijaona
Watapata tabu sana
WATAPATA TABU SANAAAA NASEMA WATAPATA TABU SANAAA.......
WATA PATA TABU SANA.NASEMA WATA PATA TABU KWELI NA KIPINGO CHAKE NI CHA UMBWA KOKO..Kamanda etiii Unaendesha je piki piki 😃😃😃😃😃😃
Hiyo ni kweli kuna jirani yangu kaibiwa elfu80.. kwenye simu yake alikuwa na sh.130000 ...alitumiwa elfu 90 mpesa na mtu asiemjua na salio lake likaongezeka likawa jumla zikawa 220000.akapigiwa simu na huyo aliemtumia kuwa amekosea kutuma pesa anaomba amrudishie kwakuwa ni ada ya mtoto.basi huyu jirani akamrudishia kweli elfu 90 yake..kumbe huyo jambazi akapiga tena simu voda kuwa kakosea kutuma pesa kwa mtu anaomba arudishiwe..so.voda wakamrudishia pesa yake na huyu jirani akawa kamrudishia pesa yake.akaliwa elfu 90..aliliaaaa
saitoti saitoti
Aiseee ,wale wa mtandao nao wawe makini
Askari anayemlinda Rpc Hana nidhamu anajali simu kuliko kazi