Wezi wa mitandaoni walivyoingia kwenye 18 za Polisi Dodoma

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Jeshi la polisi Dodoma limewakamata watu wawili wanaofanya matukio ya wizi wa fedha kwa njia ya mitandao ambapo pia wamekuwa wakitumia usafiri wa pikipiki kusafiri katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuiba bidhaa za dukani na fedha.

Komentáře • 245

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139 Před 5 lety +1

    Kwa kweli RPC Dodoma anapiga kazi, kweli anastahili hicho kiti hajakaa kwenye kiti hicho kwa bahati mbaya Mungu ambariki.

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 Před 5 lety

      Huyu mm namkubali,Kuna mmoja Yule sijui wa mwanza au sijui Ni geita huwa anatetea ujinga wa maaskari wake simpendagi kabisa

  • @MemsapSaum
    @MemsapSaum Před 6 lety +2

    Safi kwa kazi zuri

  • @helenamwaipopo967
    @helenamwaipopo967 Před 5 lety +1

    Safiii kamanda kazi nzuri,unafanya kazi nzuri kama kamanda wa mkoa wa Mbeya Munguu awabariki

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf Před 10 měsíci +1

    Mzee mbona unamvyonya Asikari wako na kumfukuza kwa kuita simu kwa Bahati mbaya aloona ilo agonge like hapa

  • @angelusilljujalijuja9852
    @angelusilljujalijuja9852 Před 6 lety +10

    haaaa watapata tabu sana mkuu upo vizuru sana.

  • @user-gj6ie7kl6g
    @user-gj6ie7kl6g Před měsícem

    ❤kamanda wezi Awana adabu wakafungwe wakafanye kazi

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania8358 Před 6 lety +4

    Hapo KAMANDA Leo kama nimekuelewa sasa..
    SAFI sana

  • @ariffaizal8006
    @ariffaizal8006 Před 6 lety

    Safi sana kamanda safisha uchafu ,,tena musafishe tanzania nzima tabia zote tanzania iwe shule ya maadili

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Před 6 lety +32

    Mzee wa #UtapataTabuSana. Gonga Like Kama unamkubali sana 😂😂😂😂

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 5 měsíci +1

    😢kosa siyo lao kosa ni huduma kwa wateja kurudisha pesa kiurahisi ivyo kila siku

  • @fravianpapian9194
    @fravianpapian9194 Před rokem

    Asante sana jeshi la polisi kwakuwa kamata hao matapeli

  • @omanioman8952
    @omanioman8952 Před 6 lety +1

    Yani nampenda uyu kamanda anatuonesha
    Mambo live👌👌👌😁😁😁😁

  • @thomasenockgogomoka6056

    Hongera SNA Kamanda Mruto kwa kazi nzuri

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 6 lety +1

    Safi Kamanda watapata tabu sana

  • @dovicochristopher5388
    @dovicochristopher5388 Před 6 lety +7

    Ety unaendashaje, kwamba naendesha kawaida hahaha u can't be serious brother

  • @johnshirima4547
    @johnshirima4547 Před 6 lety +3

    Ni mekupenda sana kamanda mtoto watapataa tabu sanaa 😀🤝

    • @judicateshuma3688
      @judicateshuma3688 Před rokem

      Huyo mwita ni jambazi wa miaka mungu mi simpendi alishawai kuniibia mwaka1994

  • @omanioman8952
    @omanioman8952 Před 6 lety +1

    Yani uyu wamuongezee mshaallah yeye na kikundi chake maana ananikosha roho yangu kwa matukio anatuonesha live

  • @gilbertpaul371
    @gilbertpaul371 Před 6 lety +1

    We ndo kamanda safi sana

  • @jenniferzakaria3884
    @jenniferzakaria3884 Před 2 lety

    Wakubwa ovyo,hongera Sana kamanda wa dodoma

  • @mwanaidisimoni79
    @mwanaidisimoni79 Před 5 měsíci

    Ao washenzi nawatamani sana nikiwapata watajuta

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 Před 6 lety +9

    Kwanini unafanya ivo una iba kwanini una endeshaje pikipiki 😂😂😂

  • @cyprianbernard907
    @cyprianbernard907 Před 6 lety

    Safi sana command

  • @matayolaizer5734
    @matayolaizer5734 Před 6 lety

    safi kamanda uko vizuri

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr6504 Před 6 lety +4

    Daaaah dodoma yangu inakuwa safii sanaaa

  • @paschalmartin7714
    @paschalmartin7714 Před 6 lety

    Safi sana kamanda waazibiwe kisheria hao watapeli

  • @helenjonsob5718
    @helenjonsob5718 Před 4 lety

    Uishi sana

  • @SaviouryKigola
    @SaviouryKigola Před měsícem

    Huyo mpotezeni hukohuko

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 Před 6 lety +4

    camanda safi sana

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 16 dny

    Huduma kwa wateja nawo hajitathimini pia wanamakosa kilasiki tunaibiwa kuhivyoo jaman etiii natapeli nahonga wanawakee hii imekajee hiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nacheka kama mazurii👌😭

  • @timuwakupinda8490
    @timuwakupinda8490 Před 6 lety

    safi sana kamnda piga kazi

  • @salmajuma3704
    @salmajuma3704 Před 4 lety

    Kifungo cha maisha2 aooo

  • @ashakichinda7704
    @ashakichinda7704 Před 5 lety +1

    Jamani wapigeni risasi hao wasumbufu sana

  • @omanioman8952
    @omanioman8952 Před 6 lety

    Mungu akupe maisha marefu kamanda
    Unatugea raha ivyo ndivyo inavyotakiwa wezi wakikamatwa waoneshwe

  • @zak5065
    @zak5065 Před 6 lety +4

    Ulikuwa jambazi! Mbona unasema ulikuwa jambazi 😂😂😂🤣🤣🤣 utafia jela mzee

  • @josephkajanamafuru3581
    @josephkajanamafuru3581 Před 6 lety +1

    Mwaka huu watapata taabu sana

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 Před 6 lety +2

    Kamata ao kamanda wananisumbua sana kwenye sm

  • @FurahaManyika
    @FurahaManyika Před 2 měsíci

    Duh hao jamaa sio poa

  • @geoffreychurchkayora1230
    @geoffreychurchkayora1230 Před 6 lety +3

    sm imeita Hahah toka hapa

  • @AnnaMarthias
    @AnnaMarthias Před 3 dny

    kweri

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před 6 lety

    Unafanya kaz sana mkuu. Asante sana

  • @fibioko8916
    @fibioko8916 Před 6 lety

    safi sana

  • @killerbona5018
    @killerbona5018 Před 6 lety +4

    HAYA UNAENDESHAJE???
    Sasa hili ni swali la kuuliza kweli??? 😂😂😂😂😂

  • @jimmyjoyouz4219
    @jimmyjoyouz4219 Před 6 lety +1

    Safi sana
    Huwa wanatusumbua sana hana na msg zao "ile ela 2ma kwa no. Hii"

  • @Abeltsubu
    @Abeltsubu Před 15 dny

    Huyo askari apo nyuma aliyeva cap nyekundu sio professional kabisa and shika simu na kutext very bad

  • @mohamedselemani393
    @mohamedselemani393 Před 5 lety

    Mzee nakukubali sana

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před 5 lety +2

    Usiombee kunaswa na rada za kamanda muroto!

  • @mwanakwetu6472
    @mwanakwetu6472 Před 6 lety +1

    Huyu Kamanda anapiga kazi hasa!!

  • @vedsonrwamzigu3743
    @vedsonrwamzigu3743 Před 6 lety +7

    Kamanda mloto. Aky mtaniwetu kumkamata. Mshamba.mwenziee. Wata. Patatabu

  • @thomasgodwin3975
    @thomasgodwin3975 Před 6 lety +3

    uyu mzee ukiiba Dodoma bx jiandae kuonekana Kwa you tube

  • @hasanoowaziri3247
    @hasanoowaziri3247 Před 5 lety

    Sim inaita toka hapa.Pikipiki unaendeshajeee?Mruto bg up sana

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 Před 4 lety

    Hiyo ni kali mzee atafia jela......

  • @enocktanu8693
    @enocktanu8693 Před 6 lety

    Kamanda safi sana

  • @shaabans.marijani9659
    @shaabans.marijani9659 Před 6 lety

    Utapata tabu sana, big up kamanda wa Dodoma hapa kazi tu.

  • @abodetidings8392
    @abodetidings8392 Před 3 lety

    tanzania pabaya sana

  • @asiakibonge4699
    @asiakibonge4699 Před 5 lety

    Mungu wangu mbavu zangu we mzee huna watoto kweli unataka kufua jela

  • @gabrieldaniel6227
    @gabrieldaniel6227 Před 4 lety

    Wanatafuta maish mpovizur makamand wet

  • @liberatusslyvanus916
    @liberatusslyvanus916 Před 3 lety

    Hawo jamaa nihatari sana

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 5 měsíci

    Funga kabisa miaka 30

  • @alimakaba6170
    @alimakaba6170 Před 6 lety +3

    Dah mpaka jamaa anakubali kuwa pesa anayopata anahonga wanawake ujue kilichompta sio cha kitoto

  • @salummkumbalu5212
    @salummkumbalu5212 Před 6 lety

    Conglatulation mkubwa

  • @user-cp8ml7ig6j
    @user-cp8ml7ig6j Před 15 dny

    Unatakiwa afirwee

  • @abelumoja2866
    @abelumoja2866 Před 6 lety +1

    Watapataaaaa taaaabuuu sanaaa

  • @khalifaissa1777
    @khalifaissa1777 Před rokem

    KWAL M C W4ZI KULAHUMU MASHA MAGUMU

  • @mariumchima8098
    @mariumchima8098 Před 6 lety

    haki nimefurai sana

  • @hambalgullam8178
    @hambalgullam8178 Před 5 lety

    Vzr sanaa

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Před 6 lety +3

    Hehwhee eti Hawala zao 😂

  • @jofreysanga9520
    @jofreysanga9520 Před 6 lety

    Mzee unakwenda wapi mzee?? Huyu mzee vitu vyote viwili anapiga!!! Mzee utafia hela mzee acha ujambazi... Wee mzee unafanya kazi gani!! Umestaafu ujambazi!! Hahaaaaa!! Hapa kazi tu, safi sana jeshi LA POLISI

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 Před 6 lety +1

    Watapata tabu sn kwa Dodoma saiv,,,Namkubali sn huyu kamanda hafichi kitu yeye anakueka live ili tuwajuwe wabaya wetu mana saiv mambo magum,,

  • @evaristifaustini5399
    @evaristifaustini5399 Před 4 lety

    Hao makuma nipeni mmoja nifire washa nikosa kosa mara nyingi sana mamaeeee

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 Před 6 lety +2

    Njooni patrol pia maeneo ya nkuhungu west, vibaka wanatupora simu zetu!

  • @victustemba
    @victustemba Před 6 lety +6

    Giles Muroto..! Kamanda shida sana.. 😁

  • @honestdavid0558
    @honestdavid0558 Před 6 lety

    Safii sanaa kamanda wafungwee hao

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Před 5 lety

    Mmmh nini kifanyike sasa kama na mpesa washakuwa na unjanja na wengine kwel hukosea

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 Před 5 lety

    Wasenge sana hao watasababisha ata hudumu ya kutorudishwa pesa hata kama mtu kakosea kweli kutuma pesa, hao wanastahiri kunyongwa kuma mae zao washenzi hao,

  • @alexmlekwa6398
    @alexmlekwa6398 Před 6 lety +5

    watapata taaaaabu sana! na wapigwe tu maana hakuna namna nyingine tumechoka sasa!

  • @nasibuomary1692
    @nasibuomary1692 Před 5 lety

    Aisee ni shida

  • @erdaphonceesery
    @erdaphonceesery Před rokem

    Utafia jera🤣🤣🤣🤣

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 Před 6 lety

    Huyo FFU yuko bize na cm dadek.. Atapa taabu sana nae anadharu mkutano wa boss wake

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Před 6 lety +1

    Iyoooo mbona kama cyo

  • @helenampewa9582
    @helenampewa9582 Před 6 lety +1

    jamn wanaaribu mkoa wa iringa na njombe tyunapata sifa mbaya sana jmn

  • @chumatuma4967
    @chumatuma4967 Před 5 lety

    sukuma ndani hawo Afande

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 Před 5 lety

    ukitaka kukaa mjini fanya kazi bana. kkkkkkk

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 Před 5 lety

    safi kamanda mrot

  • @eliasjillanga999
    @eliasjillanga999 Před 6 lety

    Watapata tabu sana dodoma

  • @tailikubwa3389
    @tailikubwa3389 Před rokem

    Awa.wafungwe.kamanda

  • @mussamalick1045
    @mussamalick1045 Před 6 lety +1

    Safi sana kamanda mruto.

  • @binarytanzania
    @binarytanzania Před 3 lety +1

    Naona wezi wamtandao wame amua kudislike

  • @goodluckmasinde2058
    @goodluckmasinde2058 Před 5 lety

    ua kabisa vibaka ao mi wameniliza elfu sabini mtandaoni mbwa wakubwa ao

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 Před 6 lety +1

    Huyo mzee na penda shows Zake duuu

  • @Saimonamon
    @Saimonamon Před 6 lety +1

    Watapata tabu sanaaa😂😂

  • @geofreyanderson9291
    @geofreyanderson9291 Před 5 lety

    fungen hao wez nammi walitaka kunitapeli asante sana. jesh la polisi

  • @mohamedselemani393
    @mohamedselemani393 Před 5 lety

    Jino kwa Jino

  • @kisigaanna3422
    @kisigaanna3422 Před 6 lety +4

    wez watapata tabu sana

  • @dicksonbenson391
    @dicksonbenson391 Před 6 lety

    Hahahaahahahhahah kamanda njoo Dar tunaibiwa sana

  • @mjige9088
    @mjige9088 Před 4 lety

    Polisi mshamba kama huyu sijaona

  • @salehalisaleh7685
    @salehalisaleh7685 Před 6 lety +1

    Watapata tabu sana

  • @georgegerald2098
    @georgegerald2098 Před 6 lety

    WATAPATA TABU SANAAAA NASEMA WATAPATA TABU SANAAA.......

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim3327 Před 6 lety

    WATA PATA TABU SANA.NASEMA WATA PATA TABU KWELI NA KIPINGO CHAKE NI CHA UMBWA KOKO..Kamanda etiii Unaendesha je piki piki 😃😃😃😃😃😃

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 Před 6 lety +3

    Hiyo ni kweli kuna jirani yangu kaibiwa elfu80.. kwenye simu yake alikuwa na sh.130000 ...alitumiwa elfu 90 mpesa na mtu asiemjua na salio lake likaongezeka likawa jumla zikawa 220000.akapigiwa simu na huyo aliemtumia kuwa amekosea kutuma pesa anaomba amrudishie kwakuwa ni ada ya mtoto.basi huyu jirani akamrudishia kweli elfu 90 yake..kumbe huyo jambazi akapiga tena simu voda kuwa kakosea kutuma pesa kwa mtu anaomba arudishiwe..so.voda wakamrudishia pesa yake na huyu jirani akawa kamrudishia pesa yake.akaliwa elfu 90..aliliaaaa

  • @kiboshokibosho4545
    @kiboshokibosho4545 Před 3 lety

    Askari anayemlinda Rpc Hana nidhamu anajali simu kuliko kazi