RC WA "FYEKELEA MBALI: "NYOOSHA MKONO JIFANYE UNAJIKUNA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri leo alitembelea upanuzi wa kituo cha afya cha Igurubi kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Igunga anakotoka Msanii Shilole kuangalia umefikia wapi ujenzi huo na fedha zilizotolewa na Serikali zinatumikaje.
    RC Mwanri alianza kwa kukagua matofali yaliyotumika kujengea kama ni imara lakini pia aliingia mwenyewe kuwa injinia kwa muda kupima kama vipimo vilivyotumika kujengea majengo hayo manne ni vyenyewe au wamebadilisha vipimo vilivyotolewa na TAMISEMI.
    AyoTV imekuletea tukio zima lilivyokuwa wakati anakagua majengo hayo lakini hajaanza kuleta msemo mpya ukiacha ule wa fyekelea mbalii na mengine mpya karibu kutazama

Komentáře • 2K

  • @cevo9920
    @cevo9920 Před 6 měsíci +75

    Kuna sisi mpka 2024 tunaangaliaga tuu nipe like zangu

  • @SIRNDIZO
    @SIRNDIZO Před 2 lety +112

    Km unaangalia had leo 2022 gonga like za kufa mtu kwa mwamba Agrey Mwanri

  • @mkula2023
    @mkula2023 Před 5 lety +69

    Mzee anapiga kazi so mchezo kwa kweli ,gonga like kama unaona kazi anayoifanya Mkuu huyu.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před rokem

      Wenye akili timamu hatugongi like kwenye utumbo kama huu na ndiyo maana COVID ikawa inauwa watu halafu hawahawa wanasema haipo hadi ikawatoa duniani waajiri wa hawa wapuuzi sijui siku hizi wanafokea nani na unampongeza nani maana Mungu aliona wangendelea kuwepo kazi zote wangeribu na maendeleo sawia

  • @mwinjilistiboniphacealfred6035

    NANI YUPO HAPA BAADA YA KUMPOTEZA RAIS WETU MPENDWA.NA UNGETAMANI AWE MAKAMU WA RAIS

  • @mohamedykabwanga1647
    @mohamedykabwanga1647 Před 3 lety +161

    Kama unaangalia Hadi Leo date 2021 gonga like yako hapa

  • @yohanakananika3586
    @yohanakananika3586 Před 3 lety +46

    Kila siku naangalia hii clip, we miss you our dad

  • @abasmwakifwamba6776
    @abasmwakifwamba6776 Před 5 lety +96

    kama unaangalia mpaka saiz like hyooooooooo

  • @rajmkonje7149
    @rajmkonje7149 Před 5 lety +1242

    Huyu mtu msimcheke anafaa kuwa RAIS ajae kama unamkubali kuwa rais gonga like za kutosha

  • @vincentm.1960
    @vincentm.1960 Před 5 lety +40

    This is the type of leadership.... Hands on leadership! We need in Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi and SouthSudan (E. A. C) otherwise such absent engineers will see us driven into death trap buildings. Huyo Mheshimiwa aungwe mkono kwa dhati, I SALUTE HIM!!

  • @Chekibob
    @Chekibob Před 5 lety +234

    Kama huyu RC unamuelewa gonga like twende sawa, hahaha

  • @hechihechie5558
    @hechihechie5558 Před 5 lety +33

    Jamani hawa viongozi walikuwaga WAP?tungekuwa mbali sana.hongera Mh Magufuli.asante Mungu kutupatia viongozi wazuri.Mungu ibariki Tanzania

  • @venancemangale2860
    @venancemangale2860 Před rokem +5

    Anybody listening to this video in 2050...This Man was a Legend

  • @emmanuelkiptoo3567
    @emmanuelkiptoo3567 Před 2 lety +18

    I wish Kenya could have leaders like this mweshimiwa he is my roll model

  • @hassanmkungile6021
    @hassanmkungile6021 Před 4 lety +36

    Narudia mara ya3 leo kumuangalia huyu mzee soma iyooo 2020

  • @PesaMadafu
    @PesaMadafu Před rokem +10

    Leadership like him we need in Burundi 🇧🇮

  • @yusuphmohammad1385
    @yusuphmohammad1385 Před 5 lety +190

    Wananchi wa siha watajilaumu saana kwa kufanya makosa mhe mm namfahamu vizuri ni mtu wa mungu kila tukifika tabora lazima twende kwake kumpa heshim yake .hongereni tabora mmempata kiongozi mzuri kuliko

    • @mohammedsalim6398
      @mohammedsalim6398 Před 5 lety +1

      yusuph mohammad Hamna kitu ni muigizaji tu?anataka amuonyeshe bosi wake anafanya kazi, BILA KIKI U RC NA UWAZIRI HUKAI

    • @barakamwangama3453
      @barakamwangama3453 Před 5 lety +1

      Wazee Wa hivi public ally very cruel ila ukiwakuta nyumbani kwake politeness huwez Amin yuko kazini

    • @yusuphmohammad1385
      @yusuphmohammad1385 Před 5 lety +1

      @@mohammedsalim6398 ngoja niaambie huyu mzee yuko hivyo hivyo unavyomuona mmesahau aliibeba wizara ya tamiseMi enzi za mkwere

    • @nicholeonard1001
      @nicholeonard1001 Před 5 lety

      anastahili pongezi., Mwenyezi Mungu amlindee

    • @timothyibrahim7825
      @timothyibrahim7825 Před 5 lety

      yusuph mohammad mrudisheni ndugu yetu na kiongoz Wetu wa siha

  • @Specialonejr
    @Specialonejr Před 5 lety +701

    Kama unamuona huruma engineer .like hap

  • @emmanuelhamis8853
    @emmanuelhamis8853 Před 5 lety +590

    Kama unapenda kuangalia hii Mara nying like hapo chini

  • @haithamrubeabuhet2637
    @haithamrubeabuhet2637 Před 5 lety +5

    Dah huyu anafaa kuongoza tanzania nzima km umeona anaweza kuwa rais wa Tz nipe like yako hapa

  • @newyambazi4653
    @newyambazi4653 Před 3 lety +27

    2021 still love uncle Mwandri

  • @mahamoudmasoud3924
    @mahamoudmasoud3924 Před 5 lety +202

    aggrey mwanri namkubali gonga like kama unamkubali

  • @johndavid8303
    @johndavid8303 Před 5 lety +12

    Raha sana kufanya kazi na mtu kama huyu...So charming!!!

  • @gaspermlay6963
    @gaspermlay6963 Před 5 lety +11

    Hakika nchi bora inajengwa na viongozi imara na wanaojituma. Mungu akutanguliye mkuu wa mkoa

  • @brownjaffaly1172
    @brownjaffaly1172 Před 5 lety +65

    wee mwangalie huyo enginer ndio huyu tunagombana nae apa atakuingiza mkenge kama umecheka hapo gonga like 😂😂😂

    • @ndebilemathias7115
      @ndebilemathias7115 Před 5 lety +1

      hahaha!!

    • @ndumeabdallah5105
      @ndumeabdallah5105 Před 5 lety +1

      Usipo fanya kazi kama inavyo takiwa utafanyishwa kazi
      Wenzetu wakienda tofauti wako tayari kujiuzulu
      Sasa sisi mpaka tusimamiwe na wengine tunasema hoo kaaibishwa apana!sio kuaibishwa kazima lazima iendane na wakati na vigezo na masharti lazima vizingatiwe

    • @amircatalog2082
      @amircatalog2082 Před 5 lety

      🤣🤣🤣🤣

    • @emmanuelpolisi1343
      @emmanuelpolisi1343 Před 5 lety +2

      Ninamuomba rais amuamishie mbeya maana dah Yuko vzr mnoo,

    • @kiptookomen4127
      @kiptookomen4127 Před 5 lety +1

      😂😂😂😂 Kweli kabisa!!

  • @salvatoryjeremia3382
    @salvatoryjeremia3382 Před 5 lety +21

    Co pw nchi kweli imepata wajibikaji wanaojitolea. Kama umeelewa piga like zako

  • @korogwetanga810
    @korogwetanga810 Před 5 lety +163

    Mungu akupe umri uendelee kutumikia taifa lako nakupenda buree 😂😂😂😂😂😂

  • @richardsonmanjira7315
    @richardsonmanjira7315 Před 5 lety +78

    Kweli nimeipenda kazi ya uyu baba mwanri

  • @barakamangia2209
    @barakamangia2209 Před 5 lety +12

    Nimemuelewa mzee safi sana.. Mungu amlinde asimame kwa nia njema kwa taifa

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před 2 lety

      Siku hizi hawana hata mbwa wa kufokea sijui wamepotelea wapl? 2025 hutawaona kabisa watakuwa wametokomea na matusi hakuna kwa watumshi

  • @kidishithegreat8144
    @kidishithegreat8144 Před 5 lety +58

    huyuu jamaa anaeza akaipeleka nchi pazuri sana ...kama unasapoti emb like hapooo kwa chinii..

  • @selestinemnegelwa2572
    @selestinemnegelwa2572 Před 5 lety +3

    Safi sana mkuu wa mkoa wa Tabora camooon!!!!!!!!! meeeeeen!!!!!!!!.Njombe nako uje Baba.

  • @suzanampanda9767
    @suzanampanda9767 Před 5 lety +90

    😂😂😂😂 nyoosha mkono jifanye unajikuna.

  • @braytintz3563
    @braytintz3563 Před 5 lety +68

    INJINIA NDIO TUNAEGOMBANA NAEE ANGALIA ATAKUINGIZA MKENGEEE HEEEEEE 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌fyekeleeaaaa ndaniiiiii

  • @musshonest1378
    @musshonest1378 Před 5 lety +509

    Heeeeeee? Camoon meen 😁😁😁😁kama umemkubal gonga like twende sawa

  • @user-nt9ex8tx2z
    @user-nt9ex8tx2z Před 5 lety +124

    Ngapi uko soma iyo wewe injinia km umesikia mkuu akisema nipe like 10 znatosha sjawai kupata like km zote iv

  • @victormpandula3247
    @victormpandula3247 Před 2 lety +7

    Hakika ulikuwa uongozi wa kuigwa tangu na kabla ya kupata uhuru.Hongeta mzee wa Toronto,pumzikana furahia maisha huko ulipo

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 Před 5 lety +300

    Kama kuna Siku ambayo Engineer Hata Isahau
    Ni Hii Ya Leo 😂😂
    Akatoe sadaka Kanisani kama Kabaki Salama 😂😂

  • @leolaswai5784
    @leolaswai5784 Před 5 lety +13

    The Best Rc in Tz now, Hands down,, these are the People we need. hongera Sana Mkuu wa mkoa kwa kusimamia kazi Vizuri ,ukweli utabaki kua kwamba wewe ni bora! bless from everywhere!

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro6742 Před 5 lety +28

    Mh! Hakika unastahili pongezi unapiga kazi kisawasawa! Mungu akubariki Unafaa UPEWE mkoa zaidi ya mmoja una uwezo upo kikazi!

  • @dogod673
    @dogod673 Před 4 lety +7

    Mkuu anafanya kazi vizuri Sana nainapendeza angeletwa afanye kazi mkoa wa mara

  • @cosmasmpwage2576
    @cosmasmpwage2576 Před 3 lety +23

    Baada ya Magufuli kututoka nimerudia kuiangalia hii 😭😭

  • @chilingalasikalwanda7861
    @chilingalasikalwanda7861 Před 5 lety +8

    nimekuelewa Sana kiongozi wangu wamkoa,asante Allah akuongoze.

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias9900 Před 5 lety +14

    Kama wanachama wote wangalikuwa hivi nadhan kusingalikuwa na haja ya upinzani@May God bless you Aggry Mwanryi

  • @allymohamed4764
    @allymohamed4764 Před 5 lety +126

    kamtafuta kwenye tofali kamkosa vipimo kamkosa kamdaka kwenye nondo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @thardeusouko6017
    @thardeusouko6017 Před 5 lety +3

    The rightful procedure.... Likes ziingie

  • @brytondaniel4900
    @brytondaniel4900 Před 3 lety +13

    I can't stop watching this video again and again

  • @BUFFALO-A
    @BUFFALO-A Před 5 lety +95

    we mzee ukistaafu anza Comedy wallah Utakimbizaaaaa 😂

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 Před 5 lety +7

    Aisee kwa style hii Tanzania itasongaaaa👏👏👏👏

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 Před 5 lety +6

    Nafikiri baadhi ya watumishi wa uma hawajaelewa or wamechelewa kumuelewa ni nn mh rais JPM anataka,hawa ndo viongozi tunaowataka. safi xana RC wa Tabora Mungu akubaliki.

  • @paulwilliam6053
    @paulwilliam6053 Před rokem +3

    Kama bado unaangalia hii 2023 gonga like

  • @LionOfWar
    @LionOfWar Před 2 měsíci +1

    Kama unaangalia mpaka leo 2024 gonga like hapa

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před 5 lety +132

    Duh magufuli umemuona mkuu wa mkoa wako. Moto unawaka tabora.

  • @rajabulipongo4114
    @rajabulipongo4114 Před 5 lety +4

    wamkuu wamikoa woote Tanzania mnafaa kuwa kama huyu kiongozi kwenye miradi inayoendelea vijijin safi sana mkuu gonga like kama umemkubali

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 Před 5 lety +66

    Nimeipenda hii kazi safi sio kukaa ofisini tu na kunywa kahawa

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj Před 2 lety +5

    Dah, huyu mzee kweli alikuwa kazini.!

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 Před 5 lety +8

    Yaani one of my best clip in 2018 The Engineer and Magufuli Twin brother 😆

  • @eliuskivuyo6521
    @eliuskivuyo6521 Před 5 lety +12

    mh mwanri nakukubali sana,big up kiongoz wangu

  • @myfelcomtv9687
    @myfelcomtv9687 Před 4 lety +8

    Et engineer somaaa hiyooooo 😂 😂 😂 .......
    Soma kwenye karatasiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣 likes zangu jameniii

  • @tausiyusuph7282
    @tausiyusuph7282 Před 5 lety +29

    Kama unatizamaa kila wakati gonga like hapa 🤣🤣❤❤

  • @jacksonjanet9846
    @jacksonjanet9846 Před 3 lety +1

    Whaoo am impressed, this are the leaders we want in Africa.He should be appointed as a minister

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 Před 2 lety +2

    jamani nangaria marudio peke yangu au tupo weng kama mpo ebu gonga like kama zote

  • @kaaweemwenyewe2872
    @kaaweemwenyewe2872 Před 5 lety +9

    Duh nomaaaaaaaa Moto huo Wa kuotea mbali cjui ingekuwaje angekuwa Presdent walakhiiiiii tungepangiwa kwa wiki kulala na mkeo mara mbili... ukizidi kazi unayo😂😂😂😂👆

    • @masanjapitta2573
      @masanjapitta2573 Před 5 lety

      Somaaaaa hioooooo

    • @bakarichina4164
      @bakarichina4164 Před 4 lety +1

      Daah,kwann mzee kastahafu bhana minaomba mweshimiwa president ampekazi ingine uyu mzee mina mkubari sana,mbona bado yuko fiti kbs,

  • @juvenalaraka6344
    @juvenalaraka6344 Před 5 lety +26

    "ENGINEER SOMA HUKO!" hahahahaha

  • @kevinjammy3589
    @kevinjammy3589 Před 3 lety +4

    This should be Magufuli successer. Hongera mzee

  • @PastorsTz
    @PastorsTz Před 8 měsíci +3

    2024 bado iko 🔥 fire ,,
    unamkumbuka?nini maoni yako kwa kiongozi kama huyu?

  • @Christianjack
    @Christianjack Před 5 lety +13

    😂😂😂 Daaaah kwaujunguzi uhu watu wataisoma number ma engineer kazi ipo gonga like

  • @senetornkwarz5714
    @senetornkwarz5714 Před 5 lety +6

    ujenzi uvu sawa sawa...wakandarasi wa china..awaibi ata mia hawali pesa jmn....mana pesa ni za wananchi nchi..mkuu wa mkoa endelea.kusaidia watu jaman..Mungu anakuona🙏

  • @myself4128
    @myself4128 Před 5 lety +87

    Watanzania hamtoendelea sababu hakuna kitu machukulia serious!! Interests zenu ni kuhusu maisha ya watu na udaku udaku tu ingekuwa video hii mkuu wa mkoa kafumaniwa guest ingekuwa na views na comments million3 lkn masuala muhimu yabmaendeleo tunachukulia mzaha!!! Muheshimiwa anachapa kazi lkn watu wanachukulia utani hata tittles za millard ayo youtube nyingi za kipuuzi puuzi tu! Makonda kaanza vita hakuna support yoyote mliyompa zaidi ya kumkosoa tu na kupost video za mashoga ili muingize pesa mie naona vita ingeazia kwenye uhuru wa media ....hapa nchini media inahitaji kuelimishwa kuhusu kukosoa na kuandika mambo ya maana sio kupost upumbavu daily

    • @nasrimchopa678
      @nasrimchopa678 Před 5 lety

      Kweli unachokisema tunapenda mambo kijinga sana

    • @winniemlay8883
      @winniemlay8883 Před 5 lety

      Point

    • @salehemkomwa8063
      @salehemkomwa8063 Před 5 lety

      umesema ukweli ndugu WA tz tunapenda dhbikia ujinga hata magu anakaza kwenye kusmamia Mali zetu wasiibe wajinga wanaongea pumba hela hakuna na wamekaa kijiweni

    • @muhibujuma3550
      @muhibujuma3550 Před 5 lety

      Jifanye km huna Jikuna

    • @fanuelburra6903
      @fanuelburra6903 Před 5 lety

      gd comment

  • @eliakazana7252
    @eliakazana7252 Před 3 lety +24

    Naiona roho ya magufuli ikiwa ndani ya mzee wetu huyu!

  • @rommydeevan8543
    @rommydeevan8543 Před rokem +1

    Heeeeeeey come on meeen 😅😅😅😅ebana kazi nzuri RC mwari mpk leo hii 2023 bado nafatilia hiz clip

  • @abdulkadirissamahmoud4236
    @abdulkadirissamahmoud4236 Před 5 lety +13

    ata kuingiza mkenge like kama umeipenda hii kauli

  • @bakarimashi875
    @bakarimashi875 Před 5 lety +23

    Enginear kama mkeo anakuangalia baba leo huendi pewa mambo

  • @silviapumzikenikwaamanidam8436

    😀😀😀😀😀 wana Tabora tunakupenda mpaka baasi,
    Tabora oyeeeeèe!

  • @قاسممحمد-ص5ت
    @قاسممحمد-ص5ت Před 5 lety +16

    The best Government in Africa I proud to be a Tanzania

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 Před 5 lety +7

    Hahaaha asante mungu sijabatika kuwa mtumishi wa serikali kwaninavo jijua ninge sukumwa ndani mie

    • @kiptookomen4127
      @kiptookomen4127 Před 5 lety +1

      Ukizembea kazini ama huwe Injinia hewa, mla rushwa, Injinia wa makenge.
      Mwanri yuaja, utasukumwa ndani!! 😂😂😂😂

    • @maxmaizer4631
      @maxmaizer4631 Před 5 lety +1

      @@kiptookomen4127 haaaa mzee wa wacha iyo habari

  • @johnopondoh9092
    @johnopondoh9092 Před 4 lety +9

    I love this guy

  • @barackjonas4381
    @barackjonas4381 Před 5 lety +96

    Haaaaa, kwa hali kama hii bora kujiajiri mmmmh

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 5 lety

      Umeona eheeeee

    • @manyotaskipper5765
      @manyotaskipper5765 Před 5 lety +3

      Hata ukijiajiri kama hutekelexi majukumu yako ipasavyo kazj bure

    • @kingkiwango1435
      @kingkiwango1435 Před 5 lety

      Mmmmh mbona kaz jaman

    • @powerofchoice3176
      @powerofchoice3176 Před 5 lety +1

      Kama uwezi kusimamia mambo yako ukiwa na usimamizi kamwe uwezi jisimamia, ina maana uyo angekuwa anajitegemea angekuwa saizi saiti kaitelekexa kabisa, kujiaajir aimanish kuwa na utendaji mbovu, tumia akil

    • @latifawangu9172
      @latifawangu9172 Před 5 lety

      Yaani serikalini miaka hii presha tupu

  • @musalucas1192
    @musalucas1192 Před 4 lety +3

    anayetaman mzee angurume bungen weka like

    • @alibell5246
      @alibell5246 Před 3 lety

      Huyu akiingia bungen mabundi hayaingii nakwambia mm napendelea huyu angekua makam wa rais jmn

  • @gundoanimal6750
    @gundoanimal6750 Před 4 lety +5

    16.10.2019..naingalia tena an..kama naw umekuja chungulia tena..gonga like

  • @samweljohn8521
    @samweljohn8521 Před rokem +2

    Kama unaangalia 2023 gonga like soma kwenye ramani😂😂

  • @rukiamohamed8028
    @rukiamohamed8028 Před 5 lety +1

    Engi yuko sawa ila kelele nyingi vipimo vyote viko safi tofali nondo kasema bila kutumia makalatasi vipimo vya ukuta big up engi

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 Před 5 lety +6

    Ambae hataki kunipa like ajifanye anajikuna

  • @paulumbu7236
    @paulumbu7236 Před 5 lety +5

    nipeni like zenu kama mnamkubali mzee wa sukama ndani wote

  • @kituladigala4880
    @kituladigala4880 Před 5 lety +64

    Huyu ndo kiongz bora bigapu mkuu

  • @kimjey0012
    @kimjey0012 Před 5 lety +1

    Atakuingiza mkenge aliye sikia hiyo fanya kama wagonga like twende sawa.
    #Hapa kazi ipo engineer pole Baba.

  • @swalehmvuoni8863
    @swalehmvuoni8863 Před 3 měsíci

    Father alikuwa serious aisee watu kama hawa ni wachache Tanzania Hii Mungu Ampe maisha Marefu❤🙏

  • @dr.hamiduibrahim1307
    @dr.hamiduibrahim1307 Před 5 lety +9

    Mkoa wa Kagera angepatikana RC kama huyu, nadhani hata mkoa ungekuwa na stand ya mabasi.
    Big up Tabora aiseee.
    Sijua nani aliroga mkoa wa Kagera jamaniiii?.

  • @tausmohammed3531
    @tausmohammed3531 Před 5 lety +3

    😃😃😃 mtu wa mkoa anasumbua jmn duh big up dady kazi mzuri

  • @ufc-ultimatefightingchampi8456

    RC Mwanry, God bless you for good job

  • @christmhema9500
    @christmhema9500 Před 5 lety +2

    Huu 🔥 mhhhhh lazima ukae Kama unaogopa ajira gonga like.. .....chris*tz

  • @officialchum7769
    @officialchum7769 Před 5 lety +1

    Kwa style hiii kutakuwa hakna majengo yanayodondoka goood job Mh Allah andelee kukusimamia

  • @Specialonejr
    @Specialonejr Před 5 lety +23

    Ukiwa kiongozi usiogope kuchukiwa kwa kinacholeta maslahi

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Před 4 lety +6

    Tanzania kwa awamu hii tuna viongozi wengi makini na wazalendo. Wale ambao hawawezi kufuata kasi hii watupishe tusonge mbele, hakuna kurudi nyuma hapa.

  • @internettrending9762
    @internettrending9762 Před 5 lety +85

    Naomba likes zenu nizichote hapa na kusukuma ndani tu.

    • @kiptookomen4127
      @kiptookomen4127 Před 5 lety +1

      Aisee wewe jamaa Likes nizakubaki nazo usizisukeme ndani!! 😂😂😂😂

  • @aderickanatorypesha4004
    @aderickanatorypesha4004 Před rokem +1

    Baba mzuri ,Mungu akubariki . Natamani ungekuwa waziri wa viwanda na ujenzi .

  • @fauziachomola4538
    @fauziachomola4538 Před 5 lety +1

    akigombea urais huyu kura utampa au hapana? kama utampa kura yako gnga like hapa

  • @jacklinekimaro302
    @jacklinekimaro302 Před 5 lety +221

    Duu Hatari bora kujiajiri

    • @salimchitapa9450
      @salimchitapa9450 Před 5 lety +17

      Ukijiajiri utapata tender ya halmashauri kujenga hii maabara unakutana tena na huyu Mkuu kazi inaanza upya 😂😂😂😂😂alafu unakufa 😀😀😀

    • @vedastussospeter4516
      @vedastussospeter4516 Před 5 lety +7

      Lazma uwe muwajbikaji ata ukijiajir brand yko

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 Před 5 lety +8

      Hata uki jiajiri mwenyewe kama usimamii kazi yako vizuri ni sawa na bure watu pesa wana penda kazi hawawezi fyekelea mbali lazima tuelewane hakuna cha bure

    • @asiatumbwambo133
      @asiatumbwambo133 Před 5 lety +2

      Well said dear, ajira zimekuwa utumwa

    • @aginiweyessayakyando9855
      @aginiweyessayakyando9855 Před 5 lety +5

      Hata kujuajiri kunahitaji umakini vinginevyo hutoboi. Mzee yuko vzr tu

  • @papaayawarembo6995
    @papaayawarembo6995 Před 5 lety +5

    Kama umesikia mtu wa mkoani akiitwa na RC gonga like

  • @seremkipchirchir4786
    @seremkipchirchir4786 Před 4 lety +18

    He is like my grandpa,when he start asking questions those questions never ends 🤣🤣🤣

    • @ayubukivi2833
      @ayubukivi2833 Před 3 lety +1

      Upo vizuri wanyooshe wazembe nakazi hao

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 Před 4 lety +8

    😂😂😂 Eti mnaweka Injinia KANJANJA hapa... lol..

  • @raageabdi3123
    @raageabdi3123 Před rokem +6

    We love you from Kenya 🇰🇪 ❤