KUOTA MTU ALIEFARIKI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2023
  • ‪@fauzproduction‬

Komentáře • 133

  • @jamalalnadhir4058
    @jamalalnadhir4058 Před 5 měsíci +7

    Walio tangulia mbele za haki Allah awaingize janatul fridaus ameen yarab

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg Před 5 dny +2

    Ameen mungu aamjaalie azitie peponi wote yarabiii mungu atupe mwisho mwema

  • @user-zq5iu5oh1b
    @user-zq5iu5oh1b Před 10 měsíci +41

    Sheik nakuomba allah akubariki na mimi naomba uniombee dua nipate elimu nyingi yenye taqwa nakupenda sana kwaajili ya allah

    • @user-qs1pv7lp3g
      @user-qs1pv7lp3g Před 8 měsíci +1

      Allah akujaalie uipate elimu ya akhera na iwe na manufa kwako na waislamu wenzako pamoja na mm amin yarabi atupe tulioyaomba amin.

  • @mwalisuleih1164
    @mwalisuleih1164 Před 10 měsíci +36

    😢😢😢😢😢 Allah awarehemu wote waliotutangulia mbele za haki na tulio hai bfo Allah atujaalie mwisho mwema ummati Muhammad S. A. W

    • @jasminmohamed6145
      @jasminmohamed6145 Před 10 měsíci

      SUBHANALLAH
      LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN QADIR WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI.
      ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM.
      Barakallahu Feek

    • @siriyangu4724
      @siriyangu4724 Před 10 měsíci +1

      Amiin yarrab 🤲

    • @zauloabdallahmussa1615
      @zauloabdallahmussa1615 Před 10 měsíci

      Allahuma Amiin 🙏

    • @KisafiHamisi
      @KisafiHamisi Před dnem

      Amiin thuma amiiiiin

  • @zuwenakhalfan4455
    @zuwenakhalfan4455 Před 4 dny +1

    Inalillah wainailayhi ranjiuun Allah. Amfanyie wepesi ampe kitabu chake Kwa mkono. Wa kulia. Na sisi Allah. Atujalie mwisho. Ulio. Mwema

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg Před 5 dny +1

    Mungu atujaalie sote viumbe mwisho mwema

  • @bimkubwakhali-g8o
    @bimkubwakhali-g8o Před 20 hodinami

    Mshallah allh akulipe ujira ulio mwema kwa daawa yko na awasamehe maiti wote walio tangulia mbele ya Allah na ssi atupe mwsho mwma na kauli thabit ya laailahaillah muhammada rrasulullah

  • @mwanaathumani9594
    @mwanaathumani9594 Před 8 měsíci +6

    Asante she mungu akujalie kwaelim hii nilio ipata kupigia wewe Kwan namuota Sana mama yangu mkubwa mara kwamara kumbe niroho zetu zinakutana nimefrai sana❤❤❤asante

    • @safarsafari68
      @safarsafari68 Před 3 měsíci

      Inategemea mda mwengine wamuota marehemu kwsbb humtolei sadaka hua anataka chakula yani umtolee sadaka..au ni shetani hua anataka kukutia ktk shirki

  • @user-pp5lz9qs9k
    @user-pp5lz9qs9k Před 10 měsíci +14

    INSHAALLAH TUNAMUOMBA ALLAH AWAREHEMU WTE N AWAONDOLEE MISUKOSUKO ZTE Z KABURUNI

  • @HassanUtoto-h9e
    @HassanUtoto-h9e Před 2 dny

    Nkupenda sana shekh mungu akubariki na akupe umri mrefu niliwahi kukukosoa kwenye comment kumbe mm ndio elimu yangu ndogo nisamehe sheikh wangu

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Před 11 měsíci +61

    SUBHANA ALLAH! ALLAH Awarehemu Ndugu Zetu Waliotangulia Mbele Za Haki Ya Rabb. AMIIN

  • @AhmadSalim-dm4uk
    @AhmadSalim-dm4uk Před dnem

    Allaah awarehem marehem wote nasisi tulio hai Allaah atupe mwishomwema

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 Před 8 měsíci +2

    nishamuota sna Mama yangu tena naongea nae na ananiambia vitu vengine cvijui leo nimepata Elim yaarab nipe mwisho mwema

  • @user-dt5jn7rb8f
    @user-dt5jn7rb8f Před 4 dny

    Mimi hua namuota mama angu akiniambia kasafishe kaburi msibani hukufika niribaki najiuriza bs nakumshukuru mungu tu

  • @KarimaKrieger
    @KarimaKrieger Před 4 dny

    Ya Raab wajalie Jana walio enda mbele ya haki ..,Ameen

  • @MebouHakizimana-od3ku
    @MebouHakizimana-od3ku Před 5 měsíci +1

    Allah awarehem waliotangulia amen Jaana nimemuita baba yangu marehem Allah mueekeh shifah pamoja nafamilia zetu inshallah

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 10 měsíci +11

    Subuhanallh yarabi tujaliye mwisho mwema

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 10 měsíci +6

    Subhaanallah. Ni kweli utakacho ambiwa na maiti utaona kama alivyo kwambia. Na akikupa kitu hakika utakipata kitu hichohicho

  • @justineemanueli6847
    @justineemanueli6847 Před měsícem +1

    Mungu wa mbinguni akulind San sheikh

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 Před 10 měsíci +19

    Allah waondoshee adhabu ya kabri ndugu zangu wote waliotangulia mbele za haki

  • @user-km4gk3dq6p
    @user-km4gk3dq6p Před 10 měsíci +5

    Allah awajaalie ndugu zetu waliotangulia awaepushie na adhabu ammiin

  • @salmaabdalla6488
    @salmaabdalla6488 Před 10 měsíci +12

    Allahummaghfir lahum warhamhum waskinhum fil jinnah,wote walotangulia

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 9 měsíci +3

    Yaarabbi tujaalie Mwisho mwema YARABBI🤲🤲🤲😭😭😭😭😭

  • @HakizimanaSalima-sg7cv
    @HakizimanaSalima-sg7cv Před 9 měsíci +2

    Subhan Allah yaa Allah warehemu wa Zazie wangu nawa islamu wote walio tangulia mbele za haqi Allahumma Ameen yaarabby 🤲

  • @mwanamkasiabdul4646
    @mwanamkasiabdul4646 Před 10 měsíci +5

    Innalilah wainailah rajiuun Allah atufikishe mwisho mwema

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg Před 5 dny

    Ameen

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 Před 9 měsíci +1

    Ya Allah tujalie mwisho mwema, wallahi kulala n nusu ya kifo,na huwarehemu ndugu zetu walio tangulia mbele za haki,Amiin

  • @fatimahassan1534
    @fatimahassan1534 Před 4 dny +1

    AMEEN YARABB

  • @user-tc1bk5qc3y
    @user-tc1bk5qc3y Před 10 měsíci +7

    Allah awalehemu ndugu zetu walotangulia nasi atupe mwisho mwema 🙏🙏

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před 10 měsíci

    Wlkm slm ww... shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 Před 10 měsíci +10

    Allah wasamehe maiti wetu wote

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene1010 Před 10 měsíci +3

    Mi nilipewa namba za simu ni dada yangu alisema ukipiga namba hii utanipata na asubuhi nilipoipiga simu ikaita mtu yuko morogoro na nilipotaka kujua kama anamfahamu marehemu alikataa na kukata simu allaha ampunguzie adhabu ya kabri dada yangu

  • @imamufamily5617
    @imamufamily5617 Před 8 měsíci +1

    Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema

  • @user-kw4wn7rj1h
    @user-kw4wn7rj1h Před 10 měsíci

    Allah awarehem ndugu zetu wote waliotangulia mbele za haki ameena labby ameen

  • @cellcelll2151
    @cellcelll2151 Před 10 měsíci +1

    mashaAllah mungu akujze sheikh ila ukutuambia maana y hii ndoto

  • @user-vc6yu2kf3i
    @user-vc6yu2kf3i Před 10 měsíci +3

    Allah awarehemu ndugu zetu waliyo tangulia mbele ya haki

  • @SuleimanIbrahim-b3y
    @SuleimanIbrahim-b3y Před 7 dny

    KISSACHA CHAKUELIMISHA KWERY❤

  • @monarose6091
    @monarose6091 Před 10 měsíci +5

    Subuana Allah mwenyez mungu tujalie mwisho mwema inshallah

  • @zahrahabibu7385
    @zahrahabibu7385 Před 4 měsíci

    Allah Awarehemu Wote waliotangulia Mbele ya Haki

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 Před 11 měsíci +2

    Barakh Allah Khair

  • @hawamicky4651
    @hawamicky4651 Před 9 měsíci +1

    Ni kweli mm nilikua na mahusiano na mtu wa din nyingine marhum babaangu akanijia usingiz akaniambia nilikuhusia usiolewe na asiyekua muislam achaa nilistuka na nikweli alinihusia enz za uhai wake

  • @user-zq1nq4jp6q
    @user-zq1nq4jp6q Před 7 měsíci +1

    mue mnajitaidi kuonge kiswahili bana tuna penda kuwa sikiliza ila ruga zenu hatuzielewi

  • @HusseinIbrahim-mc9sq
    @HusseinIbrahim-mc9sq Před 10 měsíci

    Allah awarehmu ndug zetu

  • @musa.-hj5ld
    @musa.-hj5ld Před 9 měsíci

    Allah awapumzishe kwa amani

  • @user-gx6gd1ql7c
    @user-gx6gd1ql7c Před 9 měsíci +1

    Mola wangu wareemu watoto wangu yaraab na ndugu zangu

  • @user-zo9lb1id9v
    @user-zo9lb1id9v Před 3 měsíci

    Sheikh allah azidi kkuokania katika wasia wako

  • @khadijaali9861
    @khadijaali9861 Před 10 měsíci

    Allah awape mema huko walipo wazazi wetu

  • @user-td2yx1dj2o
    @user-td2yx1dj2o Před 9 měsíci +2

    Allah awarehem ndug zetu walotangulia

  • @hanifahnabakiibi6929
    @hanifahnabakiibi6929 Před 9 měsíci +1

    JazaakAllahu khair

  • @user-sb9nv7sd4o
    @user-sb9nv7sd4o Před měsícem +1

    Awarehemu maiti wetu wote

  • @fatmahmkuzi
    @fatmahmkuzi Před 8 měsíci +1

    Mm nilikuwa na ongopa mana baba na mama simalizi mwezi bila kuongea nao handi nikawa natafuta masanda kwaza nikiwa na mawazo ama kufikiria ama kwenye matatizo mangum basi huwa lazima mama niongee naye ndio hicho kitu kifanyika yani amekuwa kama mshauri wangu wa kila wakati❤❤❤❤❤ila nashukuru ka kuelewa mana ya ndoto ya kuota mtu wa kufa

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Před 24 dny

      Weka desturi ya kuwaombea Dua labda Kila baada ya sala ya alfajiri,ndio zawadi pekee ya marehem ndio ktk Yale mambo matatu ukifa Mungu hufanya Amana kwako "aulaadu swaalihan" mtoto mwema mwenye kuwaombea wazazi wake Dua wanapotangulia mbele za haki duwa ya mtoto hufika bila kizuwizi kwa mzazi

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan8426 Před 10 měsíci +2

    Allah awarehemu

  • @user-wo9re8if4d
    @user-wo9re8if4d Před 10 měsíci +1

    Shukuran shehe mm huwa naota Sana leo nimeelewa sasa

  • @user-ce6ob6zh7k
    @user-ce6ob6zh7k Před 9 měsíci

    Wallahi nilikua namuota dadaangu ananiambia kaniombee msamaha kwa mamaake wa kufikia au mlezi maana uko ajafika kaburi limemkataa yupo tu Kati uko anafukuzwa bc naliia tuu sijui nifanye je

  • @ZainabOmar-hf3vu
    @ZainabOmar-hf3vu Před 9 měsíci +1

    Subhana llah

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 11 měsíci +3

    Allahu akbar

  • @user-vc4cf9yf2y
    @user-vc4cf9yf2y Před 9 měsíci +1

    SubuhanaAllah Allah Akbar

  • @mwanaidisagai6653
    @mwanaidisagai6653 Před 9 měsíci

    ❤❤mashaallah

  • @user-tm2nj1qx4g
    @user-tm2nj1qx4g Před 9 měsíci

    Shukran

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Před 10 měsíci +2

    Allah akbar

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Před 10 měsíci

    Mmi hii otanitokea pka wanitia hofu shukran sheikh

  • @user-oj3cb1oq3j
    @user-oj3cb1oq3j Před 9 měsíci

    Allah awassmeh wote waliotangulia mbele za haki

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 Před 8 měsíci

    Subhaanallhah Allhah Akbar

  • @abdirizakrashid8769
    @abdirizakrashid8769 Před 10 měsíci +3

    Amin

  • @aziziwailu7531
    @aziziwailu7531 Před 9 měsíci

    Mashaalaa

  • @mwanamisiomari8189
    @mwanamisiomari8189 Před měsícem

    Mi usiku wa jana nimeota nakaa na mamangu twaongea na alishakufa saii ana miaka minne

  • @SNKANTO
    @SNKANTO Před 9 měsíci +1

    Allahu Akbaru

  • @Pinky-qd4gh
    @Pinky-qd4gh Před 9 měsíci

    Allahu laailaha ila Allah

  • @user-cp7rw6wo6r
    @user-cp7rw6wo6r Před 10 měsíci

    Àllah akbar

  • @chimohassan8499
    @chimohassan8499 Před 8 měsíci

    Subhanallah Allahu Akbar

  • @user-zm8eh3ym1s
    @user-zm8eh3ym1s Před 10 měsíci

    Innalillah

  • @NasibuNasoro-ew3vw
    @NasibuNasoro-ew3vw Před 10 měsíci

    Subuhanallh yabi tujarie mwisho mwema je? Nisaidie erimu juu ya hizo doto baada ya kukutana huko baina roho hizo mbili aidha kumuona mzazi wako arietangulia au ndg yko vp hpo ukimuona ypo ktk furaha ina maanisha nini haswa nipe faida yke pia naitaji kujua erimmu hiyo zai ishaallaah

  • @rabialema9013
    @rabialema9013 Před 8 měsíci

    Inshaalah

  • @VictoriaKayokolo
    @VictoriaKayokolo Před 7 dny

    Allaaah

  • @SophiaMngodo-kz7xb
    @SophiaMngodo-kz7xb Před 10 měsíci

    Mm nilliota mtu aliyekuwa nishangaz yngu..ila kwenye hyo ndoto nilikuw napiga kelle kma kuomba msaada lakin skumbuki tukio llte wala maongez yyte kti yetu na nilipoamk asubuh nilikuw nimechoka sna na koo linaniuma...hii ina maana gni shekh nisaidie

  • @Aishamrembo-pk7tl
    @Aishamrembo-pk7tl Před 9 měsíci

    Allahu laillah ilallah

  • @sylvia3999
    @sylvia3999 Před 9 měsíci

    Mimi kila siku ADI nashindwa , mala wananipa pesa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 9 měsíci

    Mi huwa namuota ila ananilaum kwann kabl hajaf aliita nikaw sijaend hospital. najiuliz kwann ananijiya mar kwa mar ndoton

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 Před 11 měsíci

    ALLAHU AKBAR

  • @FurahaAugustin
    @FurahaAugustin Před 4 měsíci

    Mbona havi eleweki sasa

  • @yusufmohdali2617
    @yusufmohdali2617 Před 11 měsíci +1

    Ameeni

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 Před 10 měsíci +4

    Baba unaongea kiarabu kingi nashindwa kukuelewa vema

    • @omarmohammad1528
      @omarmohammad1528 Před 10 měsíci +1

      Kua na utulivu katika kusikiliza utaelewa, Kila neno la kiarabu ameli Tafsir na Dalili Kwenye Hadith. Na kwamba maneno ni ya kwely basi itaongelewa kwa Lugha ya kiarabu kulingana na Maneno ya wanazuoni. Tuheshimu ma Sheikh zetu na tutumie lugha nzryy

    • @muskhaj1230
      @muskhaj1230 Před 10 měsíci +1

      Nadhani victoria hajakosea yupo sahihi.
      Anatumia sana lugha ya kiarabu kwa sababu ushahidi anaotolea kwenye Quran na hadithi ama maneno ya MTUME s.a.w lakini pia hujitahidi kuyatafsiri kwa kiswahili.
      Mashallah nikupongeze Victoria kwa kutafuta elimu zote bila ubaguzi
      Karibu Zanzibar

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 Před 10 měsíci

      ​@@muskhaj1230kuweni makini anaeongea kiarabu lakini mbona anatafsuri Kiswahili tuu vizuri uwelewa wenu ndio mfupi

  • @johngachuhi4776
    @johngachuhi4776 Před 9 měsíci

    Hi mimi mkristo je ni kosa au inamaana gani kuota na aliyeaga ?

  • @motorsportsmotorsports2170
    @motorsportsmotorsports2170 Před 6 měsíci

    Inamanisha nini sheikh bado hujasema manaeke nini?

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 11 měsíci +2

    SASA KAMA UMEMUONA MTU LAKINI WEWE HUJAFA NA YEYE HAJAFA INAKUAJE??

    • @bakarkombo3393
      @bakarkombo3393 Před 9 měsíci

      Umeuliza swali zuri sana... sidhani kama kutakuwa na wa kujibu

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 Před 9 dny

    Kwa upande wa YESU sio hivyo. Ili tujue imetoka kwa Mungu ni lazma ipimwe kwanza kwa Jina la YESU. Saa nyingine Hizo ni roho za mauti kutoka kuzimu. Shetani ana uwezo wa kuvaa sura ya aliyekufa ili kuja kudanganya. Mimi nilimwota babu. Nikamkemea kwa jina la YESU. Akapotea ghafla. Ebu huyo anayekuja mtajie Yesu uone kama atakaa. Akikaa maana yake ametoka kwa Mungu.

    • @mwanaidally2924
      @mwanaidally2924 Před 3 dny

      Mbna unadakia mada nusu kabla hujacomment jaribu uliza kwanza

  • @user-zq5iu5oh1b
    @user-zq5iu5oh1b Před 10 měsíci

    F

  • @maase2023
    @maase2023 Před 9 měsíci

    Ustaaz kweli tafsiri za ndoto wazijua ww??? Mmmhhh

  • @bibahhadith
    @bibahhadith Před 10 měsíci +1

    Sheikh anaendeleaje jmn ameshaanza darsa?
    Allah amfanyie wepec

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 Před 8 měsíci

    Allah awarehem Wazazi wangu Amin

  • @imamufamily5617
    @imamufamily5617 Před 8 měsíci

    Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema

  • @fatmaathman9817
    @fatmaathman9817 Před 9 měsíci

    Amin