Mshallah allh akulipe ujira ulio mwema kwa daawa yko na awasamehe maiti wote walio tangulia mbele ya Allah na ssi atupe mwsho mwma na kauli thabit ya laailahaillah muhammada rrasulullah
Asante she mungu akujalie kwaelim hii nilio ipata kupigia wewe Kwan namuota Sana mama yangu mkubwa mara kwamara kumbe niroho zetu zinakutana nimefrai sana❤❤❤asante
Mi nilipewa namba za simu ni dada yangu alisema ukipiga namba hii utanipata na asubuhi nilipoipiga simu ikaita mtu yuko morogoro na nilipotaka kujua kama anamfahamu marehemu alikataa na kukata simu allaha ampunguzie adhabu ya kabri dada yangu
Ni kweli mm nilikua na mahusiano na mtu wa din nyingine marhum babaangu akanijia usingiz akaniambia nilikuhusia usiolewe na asiyekua muislam achaa nilistuka na nikweli alinihusia enz za uhai wake
Mm nilikuwa na ongopa mana baba na mama simalizi mwezi bila kuongea nao handi nikawa natafuta masanda kwaza nikiwa na mawazo ama kufikiria ama kwenye matatizo mangum basi huwa lazima mama niongee naye ndio hicho kitu kifanyika yani amekuwa kama mshauri wangu wa kila wakati❤❤❤❤❤ila nashukuru ka kuelewa mana ya ndoto ya kuota mtu wa kufa
Weka desturi ya kuwaombea Dua labda Kila baada ya sala ya alfajiri,ndio zawadi pekee ya marehem ndio ktk Yale mambo matatu ukifa Mungu hufanya Amana kwako "aulaadu swaalihan" mtoto mwema mwenye kuwaombea wazazi wake Dua wanapotangulia mbele za haki duwa ya mtoto hufika bila kizuwizi kwa mzazi
Wallahi nilikua namuota dadaangu ananiambia kaniombee msamaha kwa mamaake wa kufikia au mlezi maana uko ajafika kaburi limemkataa yupo tu Kati uko anafukuzwa bc naliia tuu sijui nifanye je
Subuhanallh yabi tujarie mwisho mwema je? Nisaidie erimu juu ya hizo doto baada ya kukutana huko baina roho hizo mbili aidha kumuona mzazi wako arietangulia au ndg yko vp hpo ukimuona ypo ktk furaha ina maanisha nini haswa nipe faida yke pia naitaji kujua erimmu hiyo zai ishaallaah
Mm nilliota mtu aliyekuwa nishangaz yngu..ila kwenye hyo ndoto nilikuw napiga kelle kma kuomba msaada lakin skumbuki tukio llte wala maongez yyte kti yetu na nilipoamk asubuh nilikuw nimechoka sna na koo linaniuma...hii ina maana gni shekh nisaidie
Kua na utulivu katika kusikiliza utaelewa, Kila neno la kiarabu ameli Tafsir na Dalili Kwenye Hadith. Na kwamba maneno ni ya kwely basi itaongelewa kwa Lugha ya kiarabu kulingana na Maneno ya wanazuoni. Tuheshimu ma Sheikh zetu na tutumie lugha nzryy
Nadhani victoria hajakosea yupo sahihi. Anatumia sana lugha ya kiarabu kwa sababu ushahidi anaotolea kwenye Quran na hadithi ama maneno ya MTUME s.a.w lakini pia hujitahidi kuyatafsiri kwa kiswahili. Mashallah nikupongeze Victoria kwa kutafuta elimu zote bila ubaguzi Karibu Zanzibar
Kwa upande wa YESU sio hivyo. Ili tujue imetoka kwa Mungu ni lazma ipimwe kwanza kwa Jina la YESU. Saa nyingine Hizo ni roho za mauti kutoka kuzimu. Shetani ana uwezo wa kuvaa sura ya aliyekufa ili kuja kudanganya. Mimi nilimwota babu. Nikamkemea kwa jina la YESU. Akapotea ghafla. Ebu huyo anayekuja mtajie Yesu uone kama atakaa. Akikaa maana yake ametoka kwa Mungu.
Walio tangulia mbele za haki Allah awaingize janatul fridaus ameen yarab
Aamiyn
Ameen mungu aamjaalie azitie peponi wote yarabiii mungu atupe mwisho mwema
Sheik nakuomba allah akubariki na mimi naomba uniombee dua nipate elimu nyingi yenye taqwa nakupenda sana kwaajili ya allah
Allah akujaalie uipate elimu ya akhera na iwe na manufa kwako na waislamu wenzako pamoja na mm amin yarabi atupe tulioyaomba amin.
😢😢😢😢😢 Allah awarehemu wote waliotutangulia mbele za haki na tulio hai bfo Allah atujaalie mwisho mwema ummati Muhammad S. A. W
SUBHANALLAH
LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN QADIR WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI.
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM.
Barakallahu Feek
Amiin yarrab 🤲
Allahuma Amiin 🙏
Amiin thuma amiiiiin
Inalillah wainailayhi ranjiuun Allah. Amfanyie wepesi ampe kitabu chake Kwa mkono. Wa kulia. Na sisi Allah. Atujalie mwisho. Ulio. Mwema
Mungu atujaalie sote viumbe mwisho mwema
Mshallah allh akulipe ujira ulio mwema kwa daawa yko na awasamehe maiti wote walio tangulia mbele ya Allah na ssi atupe mwsho mwma na kauli thabit ya laailahaillah muhammada rrasulullah
Asante she mungu akujalie kwaelim hii nilio ipata kupigia wewe Kwan namuota Sana mama yangu mkubwa mara kwamara kumbe niroho zetu zinakutana nimefrai sana❤❤❤asante
Inategemea mda mwengine wamuota marehemu kwsbb humtolei sadaka hua anataka chakula yani umtolee sadaka..au ni shetani hua anataka kukutia ktk shirki
INSHAALLAH TUNAMUOMBA ALLAH AWAREHEMU WTE N AWAONDOLEE MISUKOSUKO ZTE Z KABURUNI
Nkupenda sana shekh mungu akubariki na akupe umri mrefu niliwahi kukukosoa kwenye comment kumbe mm ndio elimu yangu ndogo nisamehe sheikh wangu
SUBHANA ALLAH! ALLAH Awarehemu Ndugu Zetu Waliotangulia Mbele Za Haki Ya Rabb. AMIIN
Amin
ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN
AMIN THUMMA AMIN
Amiin yarrab
oo up
Allaah awarehem marehem wote nasisi tulio hai Allaah atupe mwishomwema
nishamuota sna Mama yangu tena naongea nae na ananiambia vitu vengine cvijui leo nimepata Elim yaarab nipe mwisho mwema
Mimi hua namuota mama angu akiniambia kasafishe kaburi msibani hukufika niribaki najiuriza bs nakumshukuru mungu tu
Ya Raab wajalie Jana walio enda mbele ya haki ..,Ameen
Allah awarehem waliotangulia amen Jaana nimemuita baba yangu marehem Allah mueekeh shifah pamoja nafamilia zetu inshallah
Subuhanallh yarabi tujaliye mwisho mwema
Subhaanallah. Ni kweli utakacho ambiwa na maiti utaona kama alivyo kwambia. Na akikupa kitu hakika utakipata kitu hichohicho
Mungu wa mbinguni akulind San sheikh
Allah waondoshee adhabu ya kabri ndugu zangu wote waliotangulia mbele za haki
Allahuma Amiin 🙏
Allahuma Amin 🤲🤲
Amin
Allah awajaalie ndugu zetu waliotangulia awaepushie na adhabu ammiin
Allahummaghfir lahum warhamhum waskinhum fil jinnah,wote walotangulia
Ameen
Amin❤
AMINA RABI AMINA. NASI ALLAH ATUJALIE HUSNUL KHATIMA . ameen
Yaarabbi tujaalie Mwisho mwema YARABBI🤲🤲🤲😭😭😭😭😭
Subhan Allah yaa Allah warehemu wa Zazie wangu nawa islamu wote walio tangulia mbele za haqi Allahumma Ameen yaarabby 🤲
Innalilah wainailah rajiuun Allah atufikishe mwisho mwema
Ameen
Ya Allah tujalie mwisho mwema, wallahi kulala n nusu ya kifo,na huwarehemu ndugu zetu walio tangulia mbele za haki,Amiin
AMEEN YARABB
Allah awalehemu ndugu zetu walotangulia nasi atupe mwisho mwema 🙏🙏
Allahuma Amiin 🤲
Wlkm slm ww... shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
Allah wasamehe maiti wetu wote
Mi nilipewa namba za simu ni dada yangu alisema ukipiga namba hii utanipata na asubuhi nilipoipiga simu ikaita mtu yuko morogoro na nilipotaka kujua kama anamfahamu marehemu alikataa na kukata simu allaha ampunguzie adhabu ya kabri dada yangu
Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema
Allah awarehem ndugu zetu wote waliotangulia mbele za haki ameena labby ameen
mashaAllah mungu akujze sheikh ila ukutuambia maana y hii ndoto
Allah awarehemu ndugu zetu waliyo tangulia mbele ya haki
KISSACHA CHAKUELIMISHA KWERY❤
Subuana Allah mwenyez mungu tujalie mwisho mwema inshallah
Allah Awarehemu Wote waliotangulia Mbele ya Haki
Barakh Allah Khair
Ni kweli mm nilikua na mahusiano na mtu wa din nyingine marhum babaangu akanijia usingiz akaniambia nilikuhusia usiolewe na asiyekua muislam achaa nilistuka na nikweli alinihusia enz za uhai wake
mue mnajitaidi kuonge kiswahili bana tuna penda kuwa sikiliza ila ruga zenu hatuzielewi
Allah awarehmu ndug zetu
Allah awapumzishe kwa amani
Mola wangu wareemu watoto wangu yaraab na ndugu zangu
Aamen yaRabb
Sheikh allah azidi kkuokania katika wasia wako
Allah awape mema huko walipo wazazi wetu
Allah awarehem ndug zetu walotangulia
JazaakAllahu khair
Awarehemu maiti wetu wote
Mm nilikuwa na ongopa mana baba na mama simalizi mwezi bila kuongea nao handi nikawa natafuta masanda kwaza nikiwa na mawazo ama kufikiria ama kwenye matatizo mangum basi huwa lazima mama niongee naye ndio hicho kitu kifanyika yani amekuwa kama mshauri wangu wa kila wakati❤❤❤❤❤ila nashukuru ka kuelewa mana ya ndoto ya kuota mtu wa kufa
Weka desturi ya kuwaombea Dua labda Kila baada ya sala ya alfajiri,ndio zawadi pekee ya marehem ndio ktk Yale mambo matatu ukifa Mungu hufanya Amana kwako "aulaadu swaalihan" mtoto mwema mwenye kuwaombea wazazi wake Dua wanapotangulia mbele za haki duwa ya mtoto hufika bila kizuwizi kwa mzazi
Allah awarehemu
Shukuran shehe mm huwa naota Sana leo nimeelewa sasa
Wallahi nilikua namuota dadaangu ananiambia kaniombee msamaha kwa mamaake wa kufikia au mlezi maana uko ajafika kaburi limemkataa yupo tu Kati uko anafukuzwa bc naliia tuu sijui nifanye je
Subhana llah
Allahu akbar
SubuhanaAllah Allah Akbar
❤❤mashaallah
Shukran
Allah akbar
Mmi hii otanitokea pka wanitia hofu shukran sheikh
Allah awassmeh wote waliotangulia mbele za haki
Subhaanallhah Allhah Akbar
Amin
Mashaalaa
Mi usiku wa jana nimeota nakaa na mamangu twaongea na alishakufa saii ana miaka minne
Allahu Akbaru
Allahu laailaha ila Allah
Àllah akbar
Subhanallah Allahu Akbar
Innalillah
Subuhanallh yabi tujarie mwisho mwema je? Nisaidie erimu juu ya hizo doto baada ya kukutana huko baina roho hizo mbili aidha kumuona mzazi wako arietangulia au ndg yko vp hpo ukimuona ypo ktk furaha ina maanisha nini haswa nipe faida yke pia naitaji kujua erimmu hiyo zai ishaallaah
Inshaalah
Allaaah
Mm nilliota mtu aliyekuwa nishangaz yngu..ila kwenye hyo ndoto nilikuw napiga kelle kma kuomba msaada lakin skumbuki tukio llte wala maongez yyte kti yetu na nilipoamk asubuh nilikuw nimechoka sna na koo linaniuma...hii ina maana gni shekh nisaidie
Allahu laillah ilallah
Assalaam aleykum
Mimi kila siku ADI nashindwa , mala wananipa pesa
Mi huwa namuota ila ananilaum kwann kabl hajaf aliita nikaw sijaend hospital. najiuliz kwann ananijiya mar kwa mar ndoton
ALLAHU AKBAR
Mbona havi eleweki sasa
Ameeni
Baba unaongea kiarabu kingi nashindwa kukuelewa vema
Kua na utulivu katika kusikiliza utaelewa, Kila neno la kiarabu ameli Tafsir na Dalili Kwenye Hadith. Na kwamba maneno ni ya kwely basi itaongelewa kwa Lugha ya kiarabu kulingana na Maneno ya wanazuoni. Tuheshimu ma Sheikh zetu na tutumie lugha nzryy
Nadhani victoria hajakosea yupo sahihi.
Anatumia sana lugha ya kiarabu kwa sababu ushahidi anaotolea kwenye Quran na hadithi ama maneno ya MTUME s.a.w lakini pia hujitahidi kuyatafsiri kwa kiswahili.
Mashallah nikupongeze Victoria kwa kutafuta elimu zote bila ubaguzi
Karibu Zanzibar
@@muskhaj1230kuweni makini anaeongea kiarabu lakini mbona anatafsuri Kiswahili tuu vizuri uwelewa wenu ndio mfupi
Hi mimi mkristo je ni kosa au inamaana gani kuota na aliyeaga ?
Inamanisha nini sheikh bado hujasema manaeke nini?
SASA KAMA UMEMUONA MTU LAKINI WEWE HUJAFA NA YEYE HAJAFA INAKUAJE??
Umeuliza swali zuri sana... sidhani kama kutakuwa na wa kujibu
Kwa upande wa YESU sio hivyo. Ili tujue imetoka kwa Mungu ni lazma ipimwe kwanza kwa Jina la YESU. Saa nyingine Hizo ni roho za mauti kutoka kuzimu. Shetani ana uwezo wa kuvaa sura ya aliyekufa ili kuja kudanganya. Mimi nilimwota babu. Nikamkemea kwa jina la YESU. Akapotea ghafla. Ebu huyo anayekuja mtajie Yesu uone kama atakaa. Akikaa maana yake ametoka kwa Mungu.
Mbna unadakia mada nusu kabla hujacomment jaribu uliza kwanza
F
Ustaaz kweli tafsiri za ndoto wazijua ww??? Mmmhhh
Sheikh anaendeleaje jmn ameshaanza darsa?
Allah amfanyie wepec
Naam Darsa zimeregea
@@fauzproduction Alhamdulillah Allah amuhifadhi
Ameenn
Mim natamn niulze swalo
Allah awarehem Wazazi wangu Amin
Yalaby warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele zahaki nautujalie mwisho mwema
Amin