Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri / Sheikh Hashimu Rusaganya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 08. 2023
  • Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
    Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Usiwatoe Watu Kwenye Uislamu Wewe Siyo Mungu / Mimi Sufi Na Qadiri Na Nimepinda Unifanyi Chochote / Sheikh Hashimu Rusaganya
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    CZcams @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • Zábava

Komentáře • 305

  • @Dr-ubaida965
    @Dr-ubaida965 Před 10 měsíci +9

    Mashaallah shekh hashimu Rusaganya.
    Muhimu kumridhisha Allah na si kuridhisha watu ambao hawamiliki pepo wala moto.

    • @machano5690
      @machano5690 Před 10 měsíci

      Wacha kujifanya kua wewe ni mkamilifu, sh. Rusaganya anajielewa.

    • @mahamuduhassan8511
      @mahamuduhassan8511 Před 10 měsíci

      Hakika ni kweliii mamba kaamua kusema kweli hamna kuremba

    • @mohdhilaly7900
      @mohdhilaly7900 Před 9 měsíci

      Ukitaka kusema hivyo wale mashehe wote waliomsomesha na wamaulidi motoni maana walifanya yasiomridhisha mungu kwa mujibu wa maelezo yako ?

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki Před 10 měsíci +13

    Mashaallah sheikh wangu umesoma kwa makuraiesh wa ujiji Allah akuhifadhi sheikh wangu .Naona wenye roho mbaya na kujiona wao ndo watu wa peponi povu linawatoka humu.Kwa kweli elimu ya kisufi na twariqa ina baraka sana na kuna mambo makubwa ambayo huyapati mpaka ambae anajibidiisha kuwa karibu kwa Allah na kwa watu wa twarika na hao masufi mwisho wakiona hizo kalama wanasema bidaa na uganga .

  • @fahadsalim3000
    @fahadsalim3000 Před 10 měsíci +6

    Uzushi ni kumchezea Allah eti uwesu dah Allah akusameh nimzee wetu tunakuheshim kwahapa utatusameh mzee anatangaza akida yake alafu amesema amepinda subhanallah Allah akuongoze katika njia sahihi

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 Před 8 měsíci +2

    Shekh amepinda kweli Allah amjaalie anyooke na atujalie na sisi njia iliyostahiqi.
    Alichotufundisha Shekh ni kwamba hatutakiwi kupinga kile tulichofunzwa na mashekh wetu hata kama hakipo kwenye haqqi 😅na ni marufuku kuhoji 😃tufatilie mambo yanayotuhusu hatuna haqqi ya kuongozana njia stahiki 😅
    Ahsante shekh nimekubali umepinda ila kila mtu ni mchunga na kila mchunga ataulizwa na Allah kwa alichokichunga

    • @MuhozaZiada
      @MuhozaZiada Před 18 dny

      Siyo hivo nilazima kuaheshimu walio kusomesha Kwa kua ndo ilikua kiango Cha elimu Yao
      ذلك مبلغهم من العلم

  • @hajinassor6369
    @hajinassor6369 Před 10 měsíci +5

    Mm nnachoamini ujumbe umeshakufikia sasa ni juu yako kuufuata au kubaki na bidaa zako

  • @swalehahmed6579
    @swalehahmed6579 Před 10 měsíci +10

    Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allah akunawirishe akupe mema duniyani na akhera

  • @kudrangayonga7766
    @kudrangayonga7766 Před 10 měsíci +20

    Maashallha Leo nimefurahi mnooo nikiwasikia mashekhe kama hivi wakiongea huwa nafarijika sana

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline Před 10 měsíci

      Naam kaka hujanishinda Mimi. Kanifurahisha sana. Huu ndio ukweli.

    • @rahmaarrington9019
      @rahmaarrington9019 Před 10 měsíci

      Mashallah!! Allah atakulipa ujira wako kwa kila hatuwa!!!

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu7706 Před 10 měsíci +11

    Allah atawadhihirisha tu watu wa bidaa wote inshaAllah hiyo ni ahadi ya Allah والله مخرج ما" كنتم تكتمون"

    • @MatanoSalim-il9fk
      @MatanoSalim-il9fk Před 10 měsíci +1

      Hauna kazi ya kufanya

    • @kavumohemedi871
      @kavumohemedi871 Před 10 měsíci +3

      Sahihi brother acha waumie ila bidaa wakifanya lazma waambiwe

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 10 měsíci

      Kwahiyo wewe Raha yako unataka akae hapo aanze kudhalilisha na kutukana masheikh.!!

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před 10 měsíci +3

    Allah akuepushe shekh.unaona watu wafanya shirk kisha mtu anyamaze

  • @user-rf2zs4kk1v
    @user-rf2zs4kk1v Před 10 měsíci +2

    Allah atujalie mwisho mwema, baada ya kusikia kutoka kwa mtu linganisha kwenye kitabu na sunna!

  • @i_gabbykisalo4280
    @i_gabbykisalo4280 Před 10 měsíci +8

    Allahu Akbar, Allah akuifadhi Sheikh wetu

  • @habityabsa997
    @habityabsa997 Před 10 měsíci +3

    Mmmh ila hawa Ma sheikh wetu mtihani sana. Mwisho wana anza kumtishia ndg yao katika imani. Naamini lengo kuu la Sheikh Mohammed Bachu ni kutoa elimu kwa ummah wa Ki Islam hasa juu ya kitabu cha Barzanj. Tatizo elimu hii ime pokelewa vibaya na wengi miongoni mwa Ma Sheikh. Allah pekee ndio anae jua nani yupo sawa na nani kapotea katika hili In Shaa Allah

    • @umbopaday
      @umbopaday Před 10 měsíci

      Nimekuelewa

    • @SalehSaidmbarouk-pu9jq
      @SalehSaidmbarouk-pu9jq Před 2 měsíci

      Sasa kama jambo liko hivyo, tunajifunza hapa kua watu wawe na heshima wasiwatukane waalimu zao Wala watu walio na mtazamo tofauti.

  • @ammsarissa-we4fo
    @ammsarissa-we4fo Před 10 měsíci +4

    Asalam Alaykum, nawapenda kwaajili ya allah, kipindikile una vuma sana redio imani
    Mbona ulishawayi kusema asyatuni wa maryamu, haya maneno ya meongezwa tena haya maneno yako kwenye clipu, lu saganya to muogopeni
    Allah, na hisi maneno ya allah yasha tuzuru, a lipo sema, kuna watu, mudhbi dhabina bayna dhalika huku tuko na Kule to ko

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 Před 10 měsíci +3

    Ma sha Allah...
    Allah akuhifadhi shekh
    Umefungua akili wengi wanaothamini Madheheb yao kuliko Uislam na kutaka radhi za Allah...
    Pia umewapa ujumbe wanaodhereu na kutusi Mashekh....

  • @abdulali753
    @abdulali753 Před 10 měsíci +3

    Mashaallah, Allah Akuhifadhi Sheikh na wanafik❤

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 3 měsíci

    MAA SHAA ALLAAH!
    رحمهم الله رحمة واسعة وأسكنهم الفردوس الأعلى

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 9 měsíci

    Sheikh Mungu akuzidishie nimependa sana maneno yako umeongea kizamani hasa karne hii hakuna mambo hayo vurugu tupu kwanza huwezi kujua mwalimu nani sheikh nani mwanafunzi nani ujinga ujinga tu

  • @raheemabeid1965
    @raheemabeid1965 Před 9 měsíci

    Mashaaallah sheikh hakika umefunzwa vyema sana katika mji wa ujiji kwa masheikh wakubwa na alama kubwa ya mkoa wa kigoma

  • @user-ep7we8br6r
    @user-ep7we8br6r Před 8 měsíci

    MashaAllah baba yngu Allah aendlee kukupa afya njema uendlee kutupa mazr yeny mafundisho jazzaqalah khery

  • @maisarasid8670
    @maisarasid8670 Před 8 měsíci

    Nashukuru nimepata mafundishisho kutoka kwa sheikh mungu akueke na akupe afya

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 10 měsíci +5

    SHEIKH HII DINI HUWEZI KUIBINAFSISHA!UISEMEE UNAVYOTAKA!!
    UKITOKA KWA MSTARI TU LAZIMA UPIGWE NYUNDO ZA KUTOSHA!!

  • @MohamedMgwami-nw6bl
    @MohamedMgwami-nw6bl Před 4 měsíci

    Aksante sana sheikh hashimu lusaganya mwenyezimungu akuhifadhi ,

  • @suleimansaid4633
    @suleimansaid4633 Před 10 měsíci +5

    Babullah ahmada bajata thanaa alayh❤ taraturbatu nnabatu nnabii ru’uyatallah alayh ❤. Maaashaallah

  • @user-zz9xi3kw4k
    @user-zz9xi3kw4k Před 10 měsíci

    Maa shaa allah
    Elimu pamoja na adabu ndo funzo tunalochukua Kwa sheikh rusaganya
    Allah akudumishe siku nidiriki darsa yako ya macho Kwa macho in shaa allah

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l Před 9 měsíci

    Jazakallahu kheir sheikh Rusaganya!
    Wewe huwezi kuwatukana masheikh wako,lakini mtoto wa marhuum Sheikh Nassor Bachu amemtukana baba yake kwa maneno makali.
    Hatari sana.

  • @athumaniyshehoza2252
    @athumaniyshehoza2252 Před 9 měsíci

    Shekh lusaganya Allah akuzidishie umri mlef zaid

  • @ramadhaniddsalim2201
    @ramadhaniddsalim2201 Před 10 měsíci +35

    Watu watarika wengi wamekufa na shahada wanapata mwishomwema

    • @nasserm.nasser5087
      @nasserm.nasser5087 Před 10 měsíci +5

      Na kwanini wasife na shahada hali wao kutwa kucha ni lailaha illah Allah. Kila baada ya swala ni adhkaar tupu na lailaha illah Allah mara 165

    • @alawikihema8676
      @alawikihema8676 Před 10 měsíci +4

      chozi lataka kutoka nikiwakumbuka Masheikh wetu wameishi maisha yao yote kwa dhikiri tukufu

    • @shadyahamad3724
      @shadyahamad3724 Před 10 měsíci +3

      Na kubali twarika ukiishika na mafundisho yake unapata mwisho mwema twarika ni njia ilio nyooka🙏🙏🙏

    • @muktazimbuyu6569
      @muktazimbuyu6569 Před 10 měsíci +1

      Sio ukweli wewe ni muongo

    • @nasserm.nasser5087
      @nasserm.nasser5087 Před 10 měsíci +5

      @muktazimbuyu6569
      Kwani wewe una Ilm ya ghaib kujua kama fulani ni muongo?
      Nyie kwenu masheikh zenu wa kiwahabi hawana nuru na utulivu na kutwa kucha ni matusi na takfiri na magaidi ni zao na magaidi.
      Hamuwafikii watu wa twariqa kwa adhkar na tahlil, huyo sheikh wenu mkuu hamfikii hata robo muridi tu wa chini kwa uchamungu na ibada

  • @mohd39789
    @mohd39789 Před 10 měsíci +1

    Hili shekh nalo linabana pua! Amesema kweli imaam Shafy mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 10 měsíci +1

      huyo imam shafi na yeye mwenyewe ni sufi kama ulikuwa haujui.

    • @mohammedsaid3045
      @mohammedsaid3045 Před 10 měsíci

      Ww itakuwa umetumwa ni mshenzi tu huwezi kumsema muislam mwenziwe maneno km hyo

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 10 měsíci

      Mohd...huyo imamu shaafy mwenyewe alikuwa sufiii Sasa unasemaje.!!

    • @mohd39789
      @mohd39789 Před 10 měsíci

      @@swalehemrombo9301 ndio wanavyokudanganya mashekh wa kisufi?
      Imaam Shafy hawezi kuwa sufi hata siku moja! Imaam Shafy alisema mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari ameshakuwa mpumbavu.
      Imaam Shafy yuko mbali na usufi (upumbavu)

  • @yassinijumanne1763
    @yassinijumanne1763 Před 10 měsíci

    Wallahi shekh unasauti nzur yaan nmejiskia raha sana

  • @user-ju1iq1pu3i
    @user-ju1iq1pu3i Před 8 měsíci +1

    Nimesoma comments nyingi humu , nikichogundua baadhi ya waislamu au wengi wetu , hatuna tamyiz ya kupambanua haki na batwil, bali tunafata mkumbo

  • @sharifumajaliwa-pc8kd
    @sharifumajaliwa-pc8kd Před 10 měsíci

    Maashallaaa shekhe.Rusaganya Alla.akuweke maana watu kamanyinyi niwachache sana

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko459 Před 9 měsíci

    Daaah mtiani huuu kwl ww umepindaaa xx km umepindaa sheikh bachu hata kunyoosha

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 10 měsíci +2

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @HassanNapalamula
    @HassanNapalamula Před 10 měsíci +2

    الله أكبر !
    بارك الله فيك

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Před 10 měsíci +1

    Allah akuifadh sheikh Hashimu

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Před 10 měsíci +2

    Mashaallah mashaallah maneno mzuri

  • @husha6372
    @husha6372 Před 9 měsíci

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Sheikh Mohammed Abdulwahab Mwenyewe amesomea Kwa Sheikh Abdulqadir Jeilani

  • @abdillahimohammed3544
    @abdillahimohammed3544 Před 10 měsíci +2

    Naam sheikh mashaa Allah nimefurahi qaswida unazijua

  • @bachus57
    @bachus57 Před 10 měsíci +4

    Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar mashallah

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 10 měsíci

    Ma Shaa Allah Sheikh wangu upo sahihi

  • @sanda960
    @sanda960 Před 9 měsíci

    Shekhe. Unaposema shughulika na Yako na usishughulike na ya watu Mimi sikuelewi. Unaposhughulikia dini Moja Kwa Moja utashughulika na watu. Maana ndy walengwabwa dini hiii.

  • @rashidabuu9406
    @rashidabuu9406 Před 10 měsíci +4

    Mashaallah maneno mazuri sanaa shekh mungu akubarik watu waufaham mchango wa mashekh walotangulia

  • @hatibunkonga2350
    @hatibunkonga2350 Před 9 měsíci +1

    Sheikh sasa anaaza kuheshimu watu wengine ...

  • @MwanaMpole-mo5di
    @MwanaMpole-mo5di Před 10 měsíci +4

    Mashallah ❤

  • @ruzatuntajadin1274
    @ruzatuntajadin1274 Před 10 měsíci

    Mashallah hiyo dhikri inifurahisha mpaka rohoni

  • @alikhatibali2024
    @alikhatibali2024 Před 2 měsíci

    Mashaallah

  • @muhamadikombo4976
    @muhamadikombo4976 Před 9 měsíci

    Sheikh Muhammad Bachu maashallah mungu amueke hakik anafanya kaz ngumu kwa kweli 😢 ila watu bado wametia pamba masikion 😭

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 Před 9 měsíci

      Wee na bachu wako hamuoni mbali baadala yakutagazaa ndini ya kiislam bachu wako kakalia maulidi biidaa na anocho jua nihicho tuu bachu hana elimu

    • @muhamadikombo4976
      @muhamadikombo4976 Před 9 měsíci

      @@jamilahjamilah4157 Wee una ushahid gan kama bachu hana elimu kwan unamjua mtu mwenye elimu na alokuw hana nduguyangu.... 😢🤔 Au ndo unaishi kwa kufuata mkumbo na matamanio yako t yanakupeleka wap 😢

    • @sadamakame7684
      @sadamakame7684 Před 9 měsíci

      Si tusoelimu sijui tushike wapi jamani mbona mwatuchanganya

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 Před 9 měsíci

      @@sadamakame7684 dg yangu waala usichaganyikiwe elim haina mwisho wee soma utaujua nayule lile swali kalikimbia kusudi alikuwa anajua akijibu basi nahuyo wanaye muita ibun temwe atakuwepo naataulizwa kasema nn ndio sababu yakukataa kusema

  • @sheikhhusseinsuleimani2755
    @sheikhhusseinsuleimani2755 Před 10 měsíci

    Mashaallah shekhe Allah akuifadhi

  • @hamishijja4574
    @hamishijja4574 Před 9 měsíci

    Ostaz allaah atuongoze atujali namwishomwema

  • @user-gg1zh6oe2w
    @user-gg1zh6oe2w Před 10 měsíci +2

    MAULIDI JUU ZAIDIIII MTUME ASIFIWE SANAAAAAAA

    • @marthad7627
      @marthad7627 Před 10 měsíci

      اللهم صل وسلم وبارك عليه وعلى آله وصحبه أجمعين

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko459 Před 9 měsíci

    Maulidi sheikh Hashimu ni bidaa hata km umepindaa ukwl umekufikia vzr tu

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 Před 10 měsíci +2

    Shehe muhammad nassoro kigogo mwenyez mungu amfanyie wepes aliko 👏

  • @mussakisope7207
    @mussakisope7207 Před 10 měsíci +2

    Kuna sheikh na mzee ww ni mzee rusaganya endelea na hadithi za babu na wajukuu zake
    Mm nilikuwa nakuona umesoma kumbe umefata mkumbo ila Allah atuongoze katika njia ya sawa sawa

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před 10 měsíci +1

      Kw taarifa yko w Musa waulize hao unaowmini huyo rusaganya kasoma wpi watakwambia na ushabik wko up huyo Madina miaka iyo isiokuwa na mihemko ya kishabik y dini au shekh wako!

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 10 měsíci

      Tatizo we hujuwi halafu una mihemko huyo Rusaganya Sasa kasoma huko huko huko kwa hao hao wanaokuleteemi hiyo misimamo mnaojifanya mnayoo.!! Sasa yeye ndio kasoma huko huko uliza utaambiwaa.!! Acha ushabiki maandazii.!!

  • @adamkombo2221
    @adamkombo2221 Před 10 měsíci

    شاء الله حفظك الله يا شيخ

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 Před 10 měsíci

    Wao
    Maa Shaa Allaahu

  • @RamadhanishemauaShemaua
    @RamadhanishemauaShemaua Před 9 měsíci

    Kidogo shkh ume teleza

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Před 4 měsíci

    Quran na Sunna FULL STOP ❤❤❤

  • @Mfinanga1
    @Mfinanga1 Před 10 měsíci

    Shehe nakupongeza Allah akulinde.

  • @ngalamenoherbal6955
    @ngalamenoherbal6955 Před 9 měsíci

    Aislam isomeni dini yenu muijue hapo ndo mtaijua haqi iko wapi vinginevyo mtaburutwa sana, ukisoma fiqhi ya imam shafiy rahimahullah ndo utagundua Imam Shafiy hakuwa sufi na mengi yanayofanywa na masufi yeye aliyapiga vita, tafuta kitabu kinaitwa safinatu nnajah au matin ghaya utajua mambo mengi.

  • @ahmedmohamedshaksy9471
    @ahmedmohamedshaksy9471 Před 9 měsíci

    MashaAllah Sadakta sheikh 100 kwa 100 asiyependa ajifungie chooni 🤣

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před 10 měsíci

    Mashekhe wana fanya kazi ya kuelimisha nyinyi mnarejesha nyuma juhudi njema, mtalaaniwa na Mola Mlezi wetu ngojeeni tu

    • @swalehabdulrahman4118
      @swalehabdulrahman4118 Před 10 měsíci

      Wameanza kulaaniwa masalaf alafu ndio wengine

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 10 měsíci

      Umesikia kuwa mungu ni mjomba wako atowe laana kwa matakwa yako tu unavyotaka wewee.!! We mpuuzi kweli yani.!!

  • @MudGuy-gv9do
    @MudGuy-gv9do Před 9 měsíci

    Hiyo stori ya mtume kuminywa na jibril sio kweli jribu kufikiria vzr

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před 10 měsíci +4

    Masufi mna dhalilika hadharani bila kujielewa😅😅😅😅😅

  • @nassorothabiti7237
    @nassorothabiti7237 Před 10 měsíci +1

    mashallaa

  • @salmasalim4090
    @salmasalim4090 Před 8 měsíci

    MashaAllah sheikh

  • @kassimali8756
    @kassimali8756 Před 8 měsíci

    Haki ibainishwe jameni tusiifiche ndivyo yalivyo amrishwa na Allah na mtume wake

  • @uthaymaanashshiraaziyy2413
    @uthaymaanashshiraaziyy2413 Před 10 měsíci

    ماشاء الله

  • @selemanabbas6862
    @selemanabbas6862 Před 10 měsíci

    Masha Allah

  • @BashirNuru-dn6fs
    @BashirNuru-dn6fs Před 2 měsíci

    Book of qadiria shiekh

  • @abdimwalim3505
    @abdimwalim3505 Před 10 měsíci +1

    Alhamdulillah

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe. Před 10 měsíci +1

    Mashaallah sheikh

    • @adamkilembwe.
      @adamkilembwe. Před 10 měsíci

      👍

    • @abdulkadirjaylani4693
      @abdulkadirjaylani4693 Před 10 měsíci

      Ujue nynyi hamuelewi sio kila unachofundishwa kama ni sahih kitu hicho kama yeye sio mungu ndio ila hata ao walookufundisheni nao sio waungu na ndo mana Munashindwa munapobishana nae mnakosa hoja mnabaki kulalamika anatukan watu kwa sababu ile ndio haki na inapokuja batili yakaa chin wee siku zot unapotak kumuuw mbwa mpe jina baya hilo ndo mnalolitumia mashekh kumpa mtu anaekuelekezeni jina baya mkajifany nin ndo wema kwa mas lahi ya matumbo yen bal haki ikikujien munaikataa kabisa

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Před 10 měsíci

    Maashaallaah

  • @user-zy4fr2qz5b
    @user-zy4fr2qz5b Před 10 měsíci +1

    mashaallah

  • @kassimsalim9547
    @kassimsalim9547 Před 9 měsíci

    Mashallah

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi1275 Před 10 měsíci +1

    قال الأمام أبيو بكر الطرطوشيء رحمه الله.
    مذهب الصوفية بطلة وجهالة وضلالة وما الإسلام إلا كتاب الله وسنة رسوله صلى الله عليه سلم

  • @salehothman4723
    @salehothman4723 Před 10 měsíci

    Alhmdulillah

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Před 10 měsíci

    😢😢 Allahu Akbaru Allah akulipe kheri

  • @AbubakaryKibendera
    @AbubakaryKibendera Před 9 měsíci

    Sayyid Abdul qadiry jaylan

  • @mussabaly
    @mussabaly Před 9 měsíci

    Mzee kazungumza hekima kubwa sana

  • @ayoubshaibu8123
    @ayoubshaibu8123 Před 10 měsíci

    Chungu cha busara hicho, ALHAMDULILLAH

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 Před 10 měsíci +4

    Masha Allaah Sheikh, Alhamdulillaah Allaah amekutoa ktk Mila ile potofu. Mimi pia nilitokea huko huko, tulipotezewa time kulazimishwa kuhifadhi yasiyo sahihi. Laiti masheikh wangeitumia nafasi ile kutuhifadhisha Quran.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 10 měsíci

      acha uongo wewe umesoma wapi?! sheikh Rusaganya ni Sufi tena kindakindaki, mimi ni mwanafumzi wake. zamani masalafi walikuwa wanajua ni mwenzao, baada ya masalafi kuanza kutukana masheikh hovyo na kuwakufurisha waislam wenzao sasa sheikh Rusaganya ameamua kuwafunguka na kuwaeleza wajue yeye sio mwenzao.

  • @abdikadirshariif5311
    @abdikadirshariif5311 Před 8 měsíci

    Mimi binafsi hata kama sijafika huo makamu, lakini najivunjari kuwa sufi Al hamdu lillah.

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 Před 9 měsíci

    Masjid qubah nimesoma kuanzia 1987 ..... Mwalimu kaduguda, Yusuf Salim, Salim Awadh, shekh rusaganya ndio miaka hiyo nilimuona

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 Před 10 měsíci +1

    Mwalimu wangu, shekhe Rusaganya wakati nasoma masjid qubah ( kijitonyama Daressalaam)
    Allah akuhifadhi

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 10 měsíci +5

    MASHA ALLAH 🇰🇪 💚 💚💚💚

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 Před 10 měsíci

    Mtu anatetea bidaah huyu daah, sio vizuri

  • @FarahJey
    @FarahJey Před 10 měsíci +5

    Rusaganya
    عَنْ عَائِشَةَ رضي الله عنها قَالَتْ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( مَنِ الْتَمَسَ رِضَى اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ ، رَضِيَ الله عَنْهُ ، وَأَرْضَى النَّاسَ عَنْهُ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَا النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ ، سَخَطَ اللَّهُ عَلَيْهِ ، وَأَسْخَطَ عليه الناس ) رواه ابن حبان "الإحسان في تقريب صحيح ابن حبان" (1 /510) ، والترمذي (2414) بلفظ : ‏( ‏ مَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ اللَّهِ بِسَخَطِ النَّاسِ كَفَاهُ اللَّهُ مُؤْنَةَ النَّاسِ ، وَمَنِ الْتَمَسَ رِضَاءَ النَّاسِ بِسَخَطِ اللَّهِ وَكَلَهُ اللَّهُ إِلَى النَّاسِ ) .
    وقد اختلف في رفع هذا الحديث إلى النبي صلى الله عليه وسلم ، ووقفه على عائشة .
    وقد صحح الإمام البخاري ، كما في العلل الكبير للترمذي (332) ، وأبو زرعة ، وأبو حاتم ، كما في العلل لابن أبي حاتم (5/59) ، وغيرهم وقفه . وقال الدارقطني رحمه الله : " ورفعه لا يثبت" . انتهى، من "العلل" (14/182) .
    وينظر " سلسلة الأحاديث الصحيحة " ، للألباني ( 5 / 392 ) ‏.‏
    ثانيا :

    • @MussaRwegasira-ei3em
      @MussaRwegasira-ei3em Před 10 měsíci

      Shkh Rusaganya mim nataman uwe mwalimu wangu katika dini sikuwah kukaa darasani ila nasoma kama hiv nikiingia mtandao hiv

  • @binpodah6003
    @binpodah6003 Před 9 měsíci +5

    Muhimu kuambiana. Kama wafanya makosa ni uambiwe. Mtume (saw) alisema kutakuja wakati kutakua na scholar watakao zuia watu katika njia ilionyooka. (Misguided scholars) sasa hatakama mtu yuko na ilmu kiasi gani basi ipo haki ya kupingwa kama hayuko sawa. Miongoni mwa wanavyuoni alisema kama mafundisho yake yatakua kinyume na aliyofundisha Rasulullah (saw) basi msiyafuate, fuateni aliyofunza Rasulullah (saw). Kwaio fata kinachofundishwa kama kinatoka kwa Mtume (saw). Mtasema sana ila haki iko kwa Allah. Na kuna hadith inaeleza kwamba kuna watu watakao tengwa mbali na Mtume (saw) siku ya kiama. Mtume (saw) atauliza kwanini wanatengwa ilhali ni waumini. Itasemwa kwamba "haujui walicho buni baada yako ewe Rasulullah (saw)" . Wakuambiwa na kuelewa atasikia ila mshindani huachwa na kelele zake.

    • @AbeidMuyaKumoka
      @AbeidMuyaKumoka Před 9 měsíci

      Rasulul Llaah amesema "Kila uzushi katika Dini ni upotofu na kila upotofu ni motoni" ridhika na aliofundisha rasulullaah.

    • @user-zf7ft8eg1x
      @user-zf7ft8eg1x Před 9 měsíci

      Kabisa nakuunga mkono kwailo mungu atujalie gheri insha Allah tunyooke katika njia ilio nyooka

    • @omadal1
      @omadal1 Před 8 měsíci

      "MTUME (saw) kasema... Sasa wewe ndugu ulikuwa na MTUME akikuwambia? Ninavyo elewa Mimi mwenye elimu hasemi "MTUME (saw) asema. Sasa wewe unamkashifu huyu sheikh wakati elimu yako ndogo sana.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 2 měsíci

    Kumbe ummoja wao 😢

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Před 10 měsíci +2

    Wewe kweli umefikisha ya maana eeeh!!!!

  • @saidkondo5112
    @saidkondo5112 Před 10 měsíci +3

    Mtihani huu,shekhe hata kama kakosea hataki ambiwe, hizo qasida unazoimba lusaganya shekhe wangu maana yake unajua, basi waambie waislam kama inafaaa kumuomba msaada au ukombozi mtu aliekufa, mtihani sana huuu sikutegemea kama unajeuri kiasi hiki

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 10 měsíci +3

      Akili huna kama kitu hujui maana yake kukaa kimya nibora kuliko kuwatuhumu watu

    • @shabansalum5328
      @shabansalum5328 Před 10 měsíci

      Asante e

    • @FarahJey
      @FarahJey Před 10 měsíci

      Ongeza sauti rusaganya asikie,naona yuwaimba tuu,twaomba tafsiri ya hizo beti za nyimbo au qasoda

    • @saidkondo5112
      @saidkondo5112 Před 10 měsíci

      @@tanzaniaonmzamiloon8627 hakuna alietuhumiwa hapo ,lusaganya ni shekhe tena kasoma kwa hao mnaowaita mawahabi ,ila ataki kuacha itikadi za babu zake hata kama mbaya,atafsiri hicho alichokuwa anaimba wengine hue nda hawjui maana yake.alafu atuambie maiti anaombwa istikhatha

    • @fuellessgenerator9426
      @fuellessgenerator9426 Před 10 měsíci

      @@FarahJey kumbe elimu huna ndio maana unaomba tafsiri

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 Před 8 měsíci

    Sheikh Rusaganya dheheb gani mbona hatumueliwi

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Před 10 měsíci +2

    Wew ni shekhi wa mana hizo qasida zote ulizo sisoma ni kweli mi nazijuwaa somaliya ilikuwa hakuna mawahabi watu wote walikuwa watu wa tariqa na walikuwa na karama sasa hakuna ijabaa

    • @mohd39789
      @mohd39789 Před 10 měsíci

      Na ndio maana mnauwana kwasababu ni wapumbavu

  • @fahmymasoud3653
    @fahmymasoud3653 Před 10 měsíci

    Masalafi wakwanza mabidaa wakubwa wanafuata na kuamini kila wanalosema wenzao Ila ma sheikh wengine wote hawajui

  • @chaillahhassan225
    @chaillahhassan225 Před 8 měsíci

    A.aleykum,naomba msaada namba ya shehe

  • @kahiyemohammed8556
    @kahiyemohammed8556 Před 9 měsíci

    Mimi niliota wale maulama sufi wala masuni wanahalalisha vitu zaharamu kama mira , tumbako, kuozesha wanake bila walii wao, wakiwa wanafamu wakona elimu watakuwa mahbuzi au prisoners (with uniform)ndani ya kaburi paka kiama , until the day of judgements... niliota nataka mtafsir hio ndoto yangu...

  • @aymanmangube4092
    @aymanmangube4092 Před 10 měsíci +1

    mmiliki wa hii chanel mbona picha ulizoweka haziendani na maudhui kwani kuna sehemu ametajwa Muhammad Bachu hapo au umevurugwa

  • @fahmymasoud3653
    @fahmymasoud3653 Před 10 měsíci

    Wameaminishwa hivyo indio hivyo hivyo tu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 21 dnem

    Huyu shekhe nilikuwa najuwa mtu wa sunnah kumbe nae mpiga maulidi mtu wa bidaah pole sana baba nilikuwa sijui saivi nimebainikiwa sisikilizagi watu wa bidaa ila kwa dharula

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Před 10 měsíci +1

    ulifaa uwe shehe mkuu