Jazakallahu kheyra,Ustadh Allah Akulipe hadi uridhie ,We love you too in shaa Allah, Allah Akuhifadhii na Husdah Usichoke Kumkosoa Kasuku Na Pia Shiekh Kishki Akosea Sana Na Yeye Anapenda kutoa hukmu huku Akisingizia wanavyuoni ja Maswala ya Arafa na mengineo plz Shiekh wetu Usichoke Plz! plz!! Allah Atakulipa in shaa Allah kwa kazi nzuri hio
Hii ni hazina yetu, Allah akupe umri mrefu afya na tawfiq ya kubainisha hila zao hawa. Binafsi nilisoma kwao ila nilishindwa kuelewana nao Mwisho nikasamehe
UPEPO BACHU UPO NAE ZANZIBAR MIAKA YTE KWANINI USIWEKE MNAKASHA TU MPKAAA BACHO ATOKA HAPO NA KWENNDA TANGA NA MOMBASA WEWE KAZI KUJIFUNGIA CHUMBANI NA MKE WAKO UKAJIRIKODI KISHI WATU KWENYE MITANDAO HII NIDHAMU YA KIKE WEKA MEZA 2 TUMALIZE UTATA ACHA KUTIA HURUMA UPEPO
Assalaam Aleykum, sheikh hapo kidogo umenichanganya, vipi unataka dalili (Hadith) ya Tauba ya Nabii Adam wakati imeelezewa kwa vizuri katika Surat Aaraf aya 23. Asaa umepitikiwa, Mola awaongoze masheikh wetu nyote wewe pamoja na Muhammad Bachu ila nawausia muwe na uslubi mzuri wa mijadala Mambo ya kutusiana hayaleti faida kwa Umma
Ktk Quran Tukufu na Sunnah tumefundishwa namna bora ya kukosoa. Misingi ya kulingania inapaswa kufauatwa na walinganiaji wote ili kupata kuridhiwa na ALLAH SUBHANAHU. WATAALA..
Asante sana alhaji upepo kwa ufafanuzi wenye ufasaha mkubwa kwa aliekua na akili atafahamu la kama atakua ni mtu wa jazba na kufata mkumbo haoni kitu hapa mimi nilichojifunza hapa leo hii miwahabi wao wanachokisema hará kama si mtume basi hicho ni sahihi Lakin wanazuoni wengine wakisema wasiokua wao hao wazushi dahh acheni haya mambo miwahabi
kwani mmekosa mada za kuzungumza mitandaoni zaidi ya kukosoana kila siku nawaomba fanyeni kwa vitendo ili tupate kujifunza kwenu kwa matendo punguzeni mijadala mitandaoni
Asante sana shekh haji ume ongea vzr sanaa. Mm kila siku mm nasema uyu Bachu nimpotoshaji mkubwa ila kwanza baba yak kupotosha watu Zanzibar na yy Afuatilia uovu
BACHU HAKATAI HAO WANAZUONI,,,MUNGU AMETUPA AKILI,,KUNA VISA UKISKIA HADI AKILI YENYEW INAGOMA,UNAONA KABISA HIKI KIMETUNGWA...NA NDO POINT KUBWA YA BACHU
"من أصغى بسمعه إلى صاحب بدعة ، وهو يعلم : خرج من عصمة الله ، ووكل إلى نفسه. وعنه: من يسمع ببدعة فلا يحكها لجلسائه لا يلقيها في قلوبهم". ثم قال: " قلت : أكثر أئمة السلف على هذا التحذير ؛ يرون أن القلوب ضعيفة، والشبه خطافة " انتهى من "سير أعلام النبلاء" (7/ 261). وفقنا الله وإياك لما يحب ويرضى. والله أعلم.
الحمد لله. أولا: لم يقل ابن تيمية رحمه الله إن الله يجلس نبيه محمدا صلى الله عليه وسلم على العرش، وإنما نقل أثر مجاهد في ذلك، ونقل قبول السلف له. وأثر مجاهد في إقعاد النبي صلى الله عليه وسلم على العرش، رواه أبو بكر الخلال في "السنة" عن غير واحد عن محمد بْنُ فُضَيْلٍ، عَنْ لَيْثٍ، عَنْ مُجَاهِدٍ قال في قوله تعالى: (عَسَى أَنْ يَبْعَثَكَ رَبُّكَ مَقَامًا مَحْمُودًا) الإسراء/ 79 ، قَالَ: " يُجْلِسُهُ عَلَى الْعَرْشِ". وفي رواية: قَالَ: "يُقْعِدُهُ عَلَى الْعَرْشِ". وينظر: "السنة للخلال" (1/ 213) وما بعدها. قال شيخ الإسلام ابن تيمية رحمه الله: " حدث العلماء المرضيون وأولياؤه المقبولون: أن محمدا رسول الله صلى الله عليه وسلم يجلسه ربه على العرش معه ، روى ذلك محمد بن فضيل عن ليث عن مجاهد؛ في تفسير: عسى أن يبعثك ربك مقاما محمودا وذكر ذلك من وجوه أخرى مرفوعة وغير مرفوعة. قال ابن جرير: وهذا ليس مناقضا لما استفاضت به الأحاديث من أن المقام المحمود هو الشفاعة باتفاق الأئمة من جميع من ينتحل الإسلام ويدعيه لا يقول إن إجلاسه على العرش منكر - وإنما أنكره بعض الجهمية- ولا ذكرُه في تفسير الآية منكر" . انتهى من "مجموع الفتاوى"(4/ 374). وينظر كلام ابن جرير رحمه الله في تفسيره (17/ 531). كما ينظر: كتاب "السنة" للخلال، وكتاب "العرش"، للذهبي (2/ 273 - 282)، ففيهما النقل عن جماعة من أئمة السلف ، ممن قبل هذا الأثر، منهم أحمد بن حنبل، وإسحاق بن راهويه، وأبو عبيد القاسم بن سلاَّم، وغيرهم. وأما رأي شيخ الإسلام نفسه، فيؤخذ من قوله: " وإنما الثابت أنه عن مجاهد وغيره من السلف، وكان السلف والأئمة يروونه ولا ينكرونه، ويتلقونه بالقبول. وقد يقال: إن مثل هذا لا يقال إلا توفيقاً، لكن لا بد من الفرق بين ما ثبت من ألفاظ الرسول، وما ثبت من كلام غيره، سواء كان من المقبول أو المردود" انتهى من "درء التعارض" (5/ 237).
ينسب إليه في هذه المسألة، حتى يظن الظان أن ابن تيمية يشبه الله بالشاب الأمرد. وإنما هذه رؤيا منام، في حديث يرويه الأئمة، فلا لوم على شيخ الإسلام في روايته. قال رحمه الله : " فالإنسان قد يرى ربه في المنام ويخاطبه ، فهذا حق في الرؤيا . ولا يجوز أن يعتقد أن الله في نفسه مثل ما رأى في المنام ، فإن سائر ما يُرى في المنام ، لا يجب أن يكون مماثلا . ولكن لا بد أن تكون الصورة التي رآه فيها : مناسبة ، ومشابهة لاعتقاده في ربه . فإن كان إيمانه واعتقاده مطابقا ، أتي من الصور، وسمع من الكلام: ما يناسب ذلك، وإلا كان بالعكس . قال بعض المشايخ: إذا رأى العبد ربه في صورة كانت تلك الصورة حجابا بينه وبين الله . وما زال الصالحون وغيرهم يرون ربهم في المنام ، ويخاطبهم ، وما أظن عاقلا ينكر ذلك ؛ فإن وجود هذا مما لا يمكن دفعه ... وليس في رؤية الله في المنام نقص ولا عيب ، يتعلق به سبحانه وتعالى ، وإنما ذلك بحسب حال الرائي ، وصحة إيمانه وفساده ، واستقامة حاله وانحرافه. وقول من يقول : ما خطر بالبال أو دار في الخيال ، فالله بخلافه ، ونحو ذلك إذا حمل على مثل هذا ، كان محملاً صحيحاً ، فلا نعتقد أن ما تخيّله الإنسان ، في منامه أو يقظته ، من الصور : أن الله في نفسه مثل ذلك ، فإنه ليس هو في نفسه مثل ذلك ، بل نفس الجن والملائكة لا يتصورها الإنسان ويتخيلها على حقيقتها ، بل هي على خلاف ما يتخيله ويتصوره ، في منامه ويقظته ، وإن كان ما رآه مناسبا مشابها لها ، فالله تعالى أجل وأعظم ". انتهى من "بيان تلبيس الجهمية" (1/ 325).
لَرِزْقُنَا مَا لَهُ مِنْ نَفَادٍ ) ص/54 . فتسلسل الحوادث في المستقبل، لا يمنع من كونه تعالى هو الآخر، وكذلك تسلسل الحوادث في الماضي لا يمنع من كونه هو الأول. والقول بحوادث لا أول لها، أو بالقدم النوعي للحوادث لا محذور فيه، كما نص على ذلك غير واحد من محققي المتكلمين ، كالأرموي، والدواني، ومحمد عبده، ومحمد بخيت المطيعي، بل هو مقتضى أسماء الله وصفاته وأنه لم يزل خلاقا عليما، ونكتفي هنا بنقل كلام المحقق الدواني. قال رحمه الله: "وأنت مما سبق خبير بأنه يمكن صدور العالم ، مع حدوثه على هذا الوجه، فلا يلزم القدم الشخصي في شيء من أجزاء العالم، بل القدم الجنسي، بأن يكون فرد من أفراد العالم لا يزال على سبيل التعاقب موجودا" انتهى من "شرحه على العضدية" ص 10. والنصيحة لك أن تقبل على تعلم العلم النافع- لا سيما وأنت في هذه السن المبكرة- وألا تنشغل بالشبهات والردود، فإن هذا يصد عن كثير من العلم. فاحرص على قراءة كتب السلف، وتلقي العلم على أيدي الثقات، واحذر الشبهات والنظر في كتب المخالفين ومواقعهم، فإن القلوب ضعيفة والشبه خطافة. قال الذهبي رحمه الله ، وساق قول سفيان: "من أصغى بسمعه إلى صاحب بدعة ، وهو يعلم : خرج من عصمة الله ، ووكل إلى نفسه. وعنه: من يسمع ببدعة فلا يحكها لجلسائه لا يلقيها في قلوبهم". ثم قال: " قلت : أكثر أئمة السلف على هذا التحذير ؛ يرون أن القلوب ضعيفة، والشبه خطافة " انتهى من "سير أعلام النبلاء" (7/ 261). وفقنا الله وإياك لما يحب ويرضى. والله أعلم.
Makhuraf acheni ushabiki hii nidini hiv daliligan hapo kaitoa kuthibitisha yale bacho alio sema kua niongo??! Mh allah atuongoze kuifuata sunnah na kuachana na bidaa
Bachu katanguliwa na mwanachuoni gani akasema kuwa ni uongo?. Bachu si ndio aliosema kwenye mnaqasha wa MAMBRUI kuwa hakuna mwanachuoni aliosema kuwa ni uongo wala hajaona yeye, ILA KAONGEA KWA SHAHAWA ZAKE, SASA KAMA SHAHAWA ZAKE NDIO DALILI KWENU MAWAHABI BASI SAWA😁
Sh said kwann usende moja kwa moja juu ya alichokisema sh bachu kuhusu mahari je kapatia ama kakosea ili kma kumraddi umraddi hapa coz hapa ndipo alipoogelea yeye
Bona na kajibu hayo nimane ya wanavyuoni kuhusu ya kweli au c yakweli hayo hajacbiti ya hayana manufaaa kwetu waislam ukiyakubali sawa ukiyakataa sawa Mana hayaaneno ni wanachuoni hamna Mana yakumgobeza anaye kubali na kukataa
Jamani mashekh tafadhalini mbona Kuna watu wabaya na wapotoshaji hamutoki povu kuwaraddi munakosowana wenyewe Kwa wenyewe Kwa faida ya Nan ,ivi mitaala hii ya kukashifiana,kutukana kutiana aibu mmetoa wp ktk dini?
Katika maisha nimeyaelewa makundi mawili ndo yenye kuuchafua uislamu.Kundi la Masufi na kundi la Mashia.Makundi hayo yote wanapenda kuzichafua ibada alizotufundisha Mtume wetu na kuweka zao remix ilikuzichafua ibada tulizofundisha na Mtume Muhammad ().
Kwa uislaam hakuna wa haabi wala maulidiyyi ni kufata quran na sunnah ya mtume swa Pia weewe ugopa Allah wee hajji na pia kua na ikhlaas huna ikhlaas kwa maneeno yaako tafuta ilmu Miimi sisapooti mtu yeyoote katika nyiinyi
Shekh zangu waislamu wenzangu mtume Muhammad s,a,w hiv kweli ndo alivyo tufundisha kuwa muislamu mwenzako anapokosea unamsema mbele ya hazara jmn tunaelekea wapi ndug zangu jaman man sikuhz mashekh zetu hiyo tabia imeenea san mtu akikosea kitu kesho yake wampost na kumsema hiv kweli jamn waislamu mashekh zetu jamn
SIKUZOTE ANAE ZUNGUMZA UKWELI HUITWA MWEHU. ILO SI AJABU KWA WATU WASUNNAT KUPOKEYA MATUSI. NYINYI NI WATU WA UZUSHI NYINYI SI AHLI SUNNAT ACHANI KUJIWEKA SEHEMU MUSIO IPENDA UJIITE MTU WA SUNNAT NA WEWE HUTAKI SUNNAT .
SubhanaAllah 😢 Hili kweli Laskitisha hivi Mtu watukana Kisa mtu Kanunu maneno ya Mtume Swalallahu Aalayhi wassalam 😢 وعنْ أَبي هُريْرة أنَّ النبيَّ ﷺ قَالَ: كَفَى بالمَرءِ كَذِبًا أنْ يُحَدِّثَ بِكُلِّ مَا سمعِ رواه مسلم. Huu ndio ujahil mulioujaza masufi hadith hamuzijui na Mwajifanya wa kali Kutukana Watu😢
Shukran shehe wangu :Muhamad Bachu hanachochote cha kusema katika dini , hana vyombo va kielimu venye kumsaidia katika kuogelea katika bahari ya elimu. Namuomba al-akh muhamad bachu asione aibu arudi darasani asome tena lakini pia sisi sote tuzidi kusoma ili tukisema ,au tukifanya tujue twafanya nini
@@musakulapha9882 tuweni watu wa kutofautisha kati ya ufasaha katika kuzungumza na ufahamu wa kielimu kupitia vyombo va kielimu ,sikila mfasaha huwa ana elimu na sikila mwenye elimu anaweza kuwa mfasaha katika kuongea lakini upo uwezekano mtu akawa mfasaha na akawa na elimu, muhamad bachu anaufasaha katika kuongea lakini hana vyombo va kielimu venye kumpitisha mapito ya kielimu nawala simdharau illa, ila kama hio ya kutojitambua kuwa kitu flani hajui anayo na mtu kujijua kuwa kitu flani sina sio aibu bali aibu nikuongea kitu bila ya ufahamu mkubwa wa kile kitu kisha ukadai kuwa hivo unavoelezea ndivo sawa wakati sivo kiuhakika
Mm ni shk Fareed kutoka Kenya nakufunza kidogo ujuwe viyumbe vyote wanamkimbiliya Allah mimi nakufunza Allah Anamtaka mtume mohamed s. a. w. Nitafute nikupe Aya 3
Shekh haji nipo na wewe na unaenda vizuri ila wasia wangu jitahidi usijifunze kupoteza dakika kwenye kulaumu au kusimanga au kurefusha maneno kwasababu waskilizaji Alhamdulillah tuna akili vizuri basi weka point bila kuchelewa iwe faida tupu ili tupende kurejea clip kusikiliza. Weka point yake kisha weka jibu kwa ufupi kabisa.
Shekh comment yako nzuri lakin hata wao mawahabi hawana point pekeake ispokua anaongea Sanaa sasa lazima nasisi tuende vile tunavyoona inafaa kuendanao hivyo shekh haji upepo endelea hivyo hivyo hawajamaa lazima wajibiwe Ila wasitukanwe tu.
@@barzaqtradingcompany8541 UNGEJIBU HOJA BASI TUNGEFAHAMU, MAZALI HOJA ZIMEKYSHINDA NA HUTAKI KUWA SUFI BASI WEWE NI SUMMUN BIKMUN UMYUN. maana umepewa hoja una masikio ila husikii na hoja huna.
Hawa watu wa tarika uwongo wameuweka mbele,wacheni kumkufuru Allah,msimzulie Allah uwongo,Hilo ni kosa kubwa,msitake kumshirikisha Allah na binaadamu,keshasema hana mshirika,wacheni unafiki,wewe bado ni kitoto,kuwa kwanza halafu tena,naona mapema
Ww mada yako ni ipi? Nikuonesha mahari ya Nabii Adam kuwa ni kumswalia Mtume (S.A.W) au ulikuwa unataka kuuliza maswali?mbona hueleweki? Ww ulikuwa uthibitishe kielimu kuhusu mahari
Rudi surat aaraaf..aya 23 upate majibu ya manen ya tauba aliyosema nabii adam na mkewe hawaa na wala hayo s manen ya wanazuon... inaonekan qur an hujakhitimu akhy wewee.
Sheikh Haji upepo Mimi nimefahamu zaman sana Muhammad Bachu hamna kitu ni debe tupu kichwa kitupu na hata Hawa wanaomsapoti pia ni vichwa maji hawajielewi wanafuata upepo tu mwalimu wao hajasoma na hao wafuataji nao hawajasoma ni porojo tu kwenda mbele na kufru zao hao mawahabiiiii
Haji Upepo. Nenda kasome kijana mdogo ELIMU YAKO NI NDOGO N DUNI MNO. CC MASALAFY HATUNA MASHAKA NA MASHEIKH ZETU
Maulidi haiwezi kua haq upepo
Ustadh Haji Allah akuhifadh akuzidishie Elimu na usiache kusoma ili kuzidi kuihami Dini ya Allah, na kuwazindua Hawa Waenda mbio bi'idhnillah.
Jazaakallahu lkheir
Jazakallahu kheyra,Ustadh Allah Akulipe hadi uridhie ,We love you too in shaa Allah, Allah Akuhifadhii na Husdah Usichoke Kumkosoa Kasuku Na Pia Shiekh Kishki Akosea Sana Na Yeye Anapenda kutoa hukmu huku Akisingizia wanavyuoni ja Maswala ya Arafa na mengineo plz Shiekh wetu Usichoke Plz! plz!! Allah Atakulipa in shaa Allah kwa kazi nzuri hio
Maashallah waweke saw haw mawahabi
Asante. Sana kwa kutuelimisha Allah akulipe heri.
Huyu Kibachu hana jipya hata kofia hajui inavaliw vp.
Allah atuongoze. Atupe elimu.Atuoneshe haki kuwa ni haki ili tuweze kuifuata na atuoneshe batili kuwa ni batili na tuweze kuiacha
Hivi hunakazi ya kufanya?
Kuwaraddi mawahabi ndo kazi kubwa
Hii ni hazina yetu, Allah akupe umri mrefu afya na tawfiq ya kubainisha hila zao hawa.
Binafsi nilisoma kwao ila nilishindwa kuelewana nao Mwisho nikasamehe
Kwa nini mawahhab wanajaziba sana,wanafundishwa chuoni?
We kijana mbona unatuootezea mb zetu.mm sijaona hasa unachomaanisha
Wewe kama ni shekhe kweli si ungejitokeza wazi baki kwa ushirikina wako wa ku abudi makaburi
Mnajitahidi sana kuharibiana nakuvunjiana heshima huku mnaacha wavulana wanalawitiana nawengine wanauana ....acheni maneno matupu hayafai fajyeni vitendo .mnatutia aibu tu hakuna ufahari katka dunia mcheni mungu
Shkh haji tunashukuru kwa darsa zako Ila ningeomba Umwite huyu bacho kweny mjadala kuhusu tawasul n'a maulidi ili tupate faida n'a sisi wanafunzi
Wewe una shaka shk hajji
Na mungu kumu weka mtume kwenye arshi yake
UPEPO BACHU UPO NAE ZANZIBAR MIAKA YTE KWANINI USIWEKE MNAKASHA TU MPKAAA BACHO ATOKA HAPO NA KWENNDA TANGA NA MOMBASA WEWE KAZI KUJIFUNGIA CHUMBANI NA MKE WAKO UKAJIRIKODI KISHI WATU KWENYE MITANDAO HII NIDHAMU YA KIKE WEKA MEZA 2 TUMALIZE UTATA ACHA KUTIA HURUMA UPEPO
Assalaam Aleykum, sheikh hapo kidogo umenichanganya, vipi unataka dalili (Hadith) ya Tauba ya Nabii Adam wakati imeelezewa kwa vizuri katika Surat Aaraf aya 23. Asaa umepitikiwa, Mola awaongoze masheikh wetu nyote wewe pamoja na Muhammad Bachu ila nawausia muwe na uslubi mzuri wa mijadala Mambo ya kutusiana hayaleti faida kwa Umma
Innaalillaah wainnaailaih rajioun matusi tupunguzeee
Ktk Quran Tukufu na Sunnah tumefundishwa namna bora ya kukosoa. Misingi ya kulingania inapaswa kufauatwa na walinganiaji wote ili kupata kuridhiwa na ALLAH SUBHANAHU. WATAALA..
Haji upepo we ni utopolo huna hoja yamsingi
Tengeni mda mkasomeushauri wang
Mwanachuoni nae mtu anapatia na kukosea,mnamwita muislam mwenzenu jahil! Sio vizuri
Allah akubariki sana.Tumekuelewa sanaaa.
nakupingeza Shekh Kwa kusisitiza magroup yote ya some Kwani elimu ndo Kila kitu
Mbona sheikh unakosea katika kusoma
Kukosea ni maumbile ya binaadamu lakini, isiwe wakikosea mashekh wengine mtu anakua mkali lakini wakikosea mashekh wake anakaa kimya.
Tuwe waadilifu.
Tambua malipo ni hapa kwa baadhi ya matendo matendo, kama alivyo bacho hukosoa wana wa chuoni walio kufa nae atafanyiwa hivyo hivyo
Haswaaaaas tuweni na inswaaf
Innahllilah wa innah ilah rajiuun mch Allah ndgiang hajji
ALLAH anamuuliza aadam unamjua mtume hali alishamwambia amswalie jee hapa zinagongana
Maelezo umeyakiliza vizuri ?
@@shabaniissa3464ndio
MAWLID ni UZUSHI. Allah na Mtume Muhammad wote hawakutufundisha ibada hiyo.Washabiki wa MAWLID wanatumia nguvu nyingi kuhalalisha kuhalalisha
Changia mada hujaambiwa maulid usiwe na jazba ndugu
Mashekh huu upepo kweli mm nataka ushahidi kwake wa ibadan hii ya mauled kama ni ibadan ina mafundisho kamili katika vibabu sahihi
Asante sana alhaji upepo kwa ufafanuzi wenye ufasaha mkubwa kwa aliekua na akili atafahamu la kama atakua ni mtu wa jazba na kufata mkumbo haoni kitu hapa mimi nilichojifunza hapa leo hii miwahabi wao wanachokisema hará kama si mtume basi hicho ni sahihi Lakin wanazuoni wengine wakisema wasiokua wao hao wazushi dahh acheni haya mambo miwahabi
Naona upepo kampiga mwenzake alama ya x kuonyesha kwamba yeye ndie yupo sahihi
Sio kuonyesha, hata nikisikiliza naona hivyo 😁
We pumbavu sana
Mashallah sheikh Hajji Allah akupe kila la kher
kwani mmekosa mada za kuzungumza mitandaoni zaidi ya kukosoana kila siku nawaomba fanyeni kwa vitendo ili tupate kujifunza kwenu kwa matendo punguzeni mijadala mitandaoni
Muhamadi bachu atawakuachen watupu wakielim nikher mkaekimia lasivyo ntajiaibisha
Bachu humjui ni chizi alisema mwenyewe bachu ana tafuta maisha
Asante sana shekh haji ume ongea vzr sanaa. Mm kila siku mm nasema uyu Bachu nimpotoshaji mkubwa ila kwanza baba yak kupotosha watu Zanzibar na yy Afuatilia uovu
Kak acha kumsem mtu kuwa Ni muov Mzee wawt nassoro bachu msikiliz vzr
Nyinyi masuf hamuon munapotoshawatu?
Haji myoshe huyu chizi
BACHU HAKATAI HAO WANAZUONI,,,MUNGU AMETUPA AKILI,,KUNA VISA UKISKIA HADI AKILI YENYEW INAGOMA,UNAONA KABISA HIKI KIMETUNGWA...NA NDO POINT KUBWA YA BACHU
Na Mtume saw amekataza kutumia akili yako kupima dini.
@@hilalkhalfan1452 KAMA WATU WASINGETUMIA AKILI ZAO,,,WE LEO USINGEANDIKA HAPA...
@@hassanbakari4525 KUPIMA DINI. sio lazma useme kama hujafahamu nilichosema. Hukmu ya dini hutumii akili ila sheria ya kiislamu
"من أصغى بسمعه إلى صاحب بدعة ، وهو يعلم : خرج من عصمة الله ، ووكل إلى نفسه.
وعنه: من يسمع ببدعة فلا يحكها لجلسائه لا يلقيها في قلوبهم".
ثم قال:
" قلت : أكثر أئمة السلف على هذا التحذير ؛ يرون أن القلوب ضعيفة، والشبه خطافة " انتهى من "سير أعلام النبلاء" (7/ 261).
وفقنا الله وإياك لما يحب ويرضى.
والله أعلم.
الحمد لله.
أولا:
لم يقل ابن تيمية رحمه الله إن الله يجلس نبيه محمدا صلى الله عليه وسلم على العرش، وإنما نقل أثر مجاهد في ذلك، ونقل قبول السلف له.
وأثر مجاهد في إقعاد النبي صلى الله عليه وسلم على العرش، رواه أبو بكر الخلال في "السنة" عن غير واحد عن محمد بْنُ فُضَيْلٍ، عَنْ لَيْثٍ، عَنْ مُجَاهِدٍ قال في قوله تعالى: (عَسَى أَنْ يَبْعَثَكَ رَبُّكَ مَقَامًا مَحْمُودًا) الإسراء/ 79 ، قَالَ: " يُجْلِسُهُ عَلَى الْعَرْشِ".
وفي رواية: قَالَ: "يُقْعِدُهُ عَلَى الْعَرْشِ".
وينظر: "السنة للخلال" (1/ 213) وما بعدها.
قال شيخ الإسلام ابن تيمية رحمه الله: " حدث العلماء المرضيون وأولياؤه المقبولون: أن محمدا رسول الله صلى الله عليه وسلم يجلسه ربه على العرش معه ، روى ذلك محمد بن فضيل عن ليث عن مجاهد؛ في تفسير: عسى أن يبعثك ربك مقاما محمودا وذكر ذلك من وجوه أخرى مرفوعة وغير مرفوعة. قال ابن جرير: وهذا ليس مناقضا لما استفاضت به الأحاديث من أن المقام المحمود هو الشفاعة باتفاق الأئمة من جميع من ينتحل الإسلام ويدعيه لا يقول إن إجلاسه على العرش منكر - وإنما أنكره بعض الجهمية- ولا ذكرُه في تفسير الآية منكر" . انتهى من "مجموع الفتاوى"(4/ 374).
وينظر كلام ابن جرير رحمه الله في تفسيره (17/ 531).
كما ينظر: كتاب "السنة" للخلال، وكتاب "العرش"، للذهبي (2/ 273 - 282)، ففيهما النقل عن جماعة من أئمة السلف ، ممن قبل هذا الأثر، منهم أحمد بن حنبل، وإسحاق بن راهويه، وأبو عبيد القاسم بن سلاَّم، وغيرهم.
وأما رأي شيخ الإسلام نفسه، فيؤخذ من قوله: " وإنما الثابت أنه عن مجاهد وغيره من السلف، وكان السلف والأئمة يروونه ولا ينكرونه، ويتلقونه بالقبول.
وقد يقال: إن مثل هذا لا يقال إلا توفيقاً، لكن لا بد من الفرق بين ما ثبت من ألفاظ الرسول، وما ثبت من كلام غيره، سواء كان من المقبول أو المردود" انتهى من "درء التعارض" (5/ 237).
ينسب إليه في هذه المسألة، حتى يظن الظان أن ابن تيمية يشبه الله بالشاب الأمرد.
وإنما هذه رؤيا منام، في حديث يرويه الأئمة، فلا لوم على شيخ الإسلام في روايته.
قال رحمه الله : " فالإنسان قد يرى ربه في المنام ويخاطبه ، فهذا حق في الرؤيا .
ولا يجوز أن يعتقد أن الله في نفسه مثل ما رأى في المنام ، فإن سائر ما يُرى في المنام ، لا يجب أن يكون مماثلا .
ولكن لا بد أن تكون الصورة التي رآه فيها : مناسبة ، ومشابهة لاعتقاده في ربه . فإن كان إيمانه واعتقاده مطابقا ، أتي من الصور، وسمع من الكلام: ما يناسب ذلك، وإلا كان بالعكس . قال بعض المشايخ: إذا رأى العبد ربه في صورة كانت تلك الصورة حجابا بينه وبين الله .
وما زال الصالحون وغيرهم يرون ربهم في المنام ، ويخاطبهم ، وما أظن عاقلا ينكر ذلك ؛ فإن وجود هذا مما لا يمكن دفعه ...
وليس في رؤية الله في المنام نقص ولا عيب ، يتعلق به سبحانه وتعالى ، وإنما ذلك بحسب حال الرائي ، وصحة إيمانه وفساده ، واستقامة حاله وانحرافه.
وقول من يقول : ما خطر بالبال أو دار في الخيال ، فالله بخلافه ، ونحو ذلك إذا حمل على مثل هذا ، كان محملاً صحيحاً ، فلا نعتقد أن ما تخيّله الإنسان ، في منامه أو يقظته ، من الصور : أن الله في نفسه مثل ذلك ، فإنه ليس هو في نفسه مثل ذلك ، بل نفس الجن والملائكة لا يتصورها الإنسان ويتخيلها على حقيقتها ، بل هي على خلاف ما يتخيله ويتصوره ، في منامه ويقظته ، وإن كان ما رآه مناسبا مشابها لها ، فالله تعالى أجل وأعظم ".
انتهى من "بيان تلبيس الجهمية" (1/ 325).
لَرِزْقُنَا مَا لَهُ مِنْ نَفَادٍ ) ص/54 .
فتسلسل الحوادث في المستقبل، لا يمنع من كونه تعالى هو الآخر، وكذلك تسلسل الحوادث في الماضي لا يمنع من كونه هو الأول.
والقول بحوادث لا أول لها، أو بالقدم النوعي للحوادث لا محذور فيه، كما نص على ذلك غير واحد من محققي المتكلمين ، كالأرموي، والدواني، ومحمد عبده، ومحمد بخيت المطيعي، بل هو مقتضى أسماء الله وصفاته وأنه لم يزل خلاقا عليما، ونكتفي هنا بنقل كلام المحقق الدواني.
قال رحمه الله: "وأنت مما سبق خبير بأنه يمكن صدور العالم ، مع حدوثه على هذا الوجه، فلا يلزم القدم الشخصي في شيء من أجزاء العالم، بل القدم الجنسي، بأن يكون فرد من أفراد العالم لا يزال على سبيل التعاقب موجودا" انتهى من "شرحه على العضدية" ص 10.
والنصيحة لك أن تقبل على تعلم العلم النافع- لا سيما وأنت في هذه السن المبكرة- وألا تنشغل بالشبهات والردود، فإن هذا يصد عن كثير من العلم.
فاحرص على قراءة كتب السلف، وتلقي العلم على أيدي الثقات، واحذر الشبهات والنظر في كتب المخالفين ومواقعهم، فإن القلوب ضعيفة والشبه خطافة.
قال الذهبي رحمه الله ، وساق قول سفيان:
"من أصغى بسمعه إلى صاحب بدعة ، وهو يعلم : خرج من عصمة الله ، ووكل إلى نفسه.
وعنه: من يسمع ببدعة فلا يحكها لجلسائه لا يلقيها في قلوبهم".
ثم قال:
" قلت : أكثر أئمة السلف على هذا التحذير ؛ يرون أن القلوب ضعيفة، والشبه خطافة " انتهى من "سير أعلام النبلاء" (7/ 261).
وفقنا الله وإياك لما يحب ويرضى.
والله أعلم.
HUYU BACHU NI KICHAA .
Makhuraf acheni ushabiki hii nidini hiv daliligan hapo kaitoa kuthibitisha yale bacho alio sema kua niongo??! Mh allah atuongoze kuifuata sunnah na kuachana na bidaa
Bachu katanguliwa na mwanachuoni gani akasema kuwa ni uongo?. Bachu si ndio aliosema kwenye mnaqasha wa MAMBRUI kuwa hakuna mwanachuoni aliosema kuwa ni uongo wala hajaona yeye, ILA KAONGEA KWA SHAHAWA ZAKE, SASA KAMA SHAHAWA ZAKE NDIO DALILI KWENU MAWAHABI BASI SAWA😁
Hunapwentii bana watafuta umaarufuuu hunatofauti na yule mzee wa majazi
A alaykum Allah akuhifadhi na akuzidishie elimu
Upepo n'i upepo " umeambiwa "maulidi hayafai mnakata mauno "sana "we "kwa matusi hauwezekani "
muche kutukanana hamna ushehe
Huyo ni kama tv, Remote iko Saudi.
unasoma kwa shidashida sana
Sh said kwann usende moja kwa moja juu ya alichokisema sh bachu kuhusu mahari je kapatia ama kakosea ili kma kumraddi umraddi hapa coz hapa ndipo alipoogelea yeye
Bona na kajibu hayo nimane ya wanavyuoni kuhusu ya kweli au c yakweli hayo hajacbiti ya hayana manufaaa kwetu waislam ukiyakubali sawa ukiyakataa sawa Mana hayaaneno ni wanachuoni hamna Mana yakumgobeza anaye kubali na kukataa
Makhurafi mwajulikana kugauza manaa na kuongeya manaa.
wewe unakubali Mtume atawekwa ktk Arshi ya Allah!!!au nini hujafahamu hapo?kuna kufru kuliko hiyo
Jamani mashekh tafadhalini mbona Kuna watu wabaya na wapotoshaji hamutoki povu kuwaraddi munakosowana wenyewe Kwa wenyewe Kwa faida ya Nan ,ivi mitaala hii ya kukashifiana,kutukana kutiana aibu mmetoa wp ktk dini?
Kuna watu hawajui uislamu na nyinyi maustadh ni matusi
Jazakallah khairan
nenda kwenye poit usimzungumzie muhmmad yeye mbomba haja zungumzia kuhusu jina la mtu?
Shukran shukran shukran sanaa shekhe
BACHU NENDA MAMBRUI UKASOMESHWEE AU UTAZIDI KUPOTEYA NA KUPOTEZA WAFUASI WA KIWAHABI AMBAO HAWANA ELIMU
Mawabi elim changamoto someni basi.
NA MBONA HAWATAJI HADITHI HIYO SAHIHI , MAHARI YALIKUA NINI HAAO WANAOJIITA WA HAQI. TUAMBIENI YALIKUA NI NIIINI ?.
Na SISI wasikilizaji. Pia tunahiji Kwa sheikh Hajji. Je KUMZULIA MTUME. Sio katika madhambi makubwa?
Kwani huyo Ibnu Taymia ni Mtume au?
Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri,
Maashaallah ustadhi haji
Ni makosa kumwiita muislamu mayahudi
Kumbe umekuja kulaumu mala ujui mala anafanya makusudi mbona unajigongagonga kaa darasani usome acha kujipa ushekhe
Katika maisha nimeyaelewa makundi mawili ndo yenye kuuchafua uislamu.Kundi la Masufi na kundi la Mashia.Makundi hayo yote wanapenda kuzichafua ibada alizotufundisha Mtume wetu na kuweka zao remix ilikuzichafua ibada tulizofundisha na Mtume Muhammad ().
Kuna kundi moja umelisahau. kundi la Mohammed Abdulwahab
Kwa uislaam hakuna wa haabi wala maulidiyyi ni kufata quran na sunnah ya mtume swa
Pia weewe ugopa Allah wee hajji na pia kua na ikhlaas huna ikhlaas kwa maneeno yaako tafuta ilmu
Miimi sisapooti mtu yeyoote katika nyiinyi
Mtume atawekwa kwenye Arshi?haya maneno hayajasemwa na huyo Sheikh wenu?
Nafkiri rada ya wanavyuoni alowatusi ishampata
Upepo Wacha kubabaisha waislamu.Uislamu upo wazi kabisa masufi na Mashia nyinyi ni waongo.
Ww unawakubali wanazuoni walopinga je wale walokubali hawafai kufuatwa?acheni tabia mbya
msipeane majina mabaya
Ww upepo semaa lakini maulidi hayafai maulidini watu wanatembe uchi kweli ndoibada iyo
Nyie makhurafi mtakuwa ni mashetani ninyi mm nnawaswas maana mtu anazungumza kilichothibiti ninyi mnasema anasema vha mashekhe wake
Shekh zangu waislamu wenzangu mtume Muhammad s,a,w hiv kweli ndo alivyo tufundisha kuwa muislamu mwenzako anapokosea unamsema mbele ya hazara jmn tunaelekea wapi ndug zangu jaman man sikuhz mashekh zetu hiyo tabia imeenea san mtu akikosea kitu kesho yake wampost na kumsema hiv kweli jamn waislamu mashekh zetu jamn
Mbona Bachu humwambii
Hio hoja ya arshi km hujaelewa nenda kasome vizuri
Kazi ipo wengne mnatfuta kiki tu, yaan mmekosa ya kuufundisha ummaha mashehe jmn???!
Wao masufi anaondoa mwenendo mtume wetu na kuweka myenendo Yao ya kisufi na kishia
SIKUZOTE ANAE ZUNGUMZA UKWELI HUITWA MWEHU. ILO SI AJABU KWA WATU WASUNNAT KUPOKEYA MATUSI. NYINYI NI WATU WA UZUSHI NYINYI SI AHLI SUNNAT ACHANI KUJIWEKA SEHEMU MUSIO IPENDA UJIITE MTU WA SUNNAT NA WEWE HUTAKI SUNNAT .
{ هُوَ ٱلَّذِیۤ أَنزَلَ عَلَیۡكَ ٱلۡكِتَـٰبَ مِنۡهُ ءَایَـٰتࣱ مُّحۡكَمَـٰتٌ هُنَّ أُمُّ ٱلۡكِتَـٰبِ وَأُخَرُ مُتَشَـٰبِهَـٰتࣱۖ فَأَمَّا ٱلَّذِینَ فِی قُلُوبِهِمۡ زَیۡغࣱ فَیَتَّبِعُونَ مَا تَشَـٰبَهَ مِنۡهُ ٱبۡتِغَاۤءَ ٱلۡفِتۡنَةِ وَٱبۡتِغَاۤءَ تَأۡوِیلِهِۦۖ وَمَا یَعۡلَمُ تَأۡوِیلَهُۥۤ إِلَّا ٱللَّهُۗ وَٱلرَّ ٰسِخُونَ فِی ٱلۡعِلۡمِ یَقُولُونَ ءَامَنَّا بِهِۦ كُلࣱّ مِّنۡ عِندِ رَبِّنَاۗ وَمَا یَذَّكَّرُ إِلَّاۤ أُو۟لُوا۟ ٱلۡأَلۡبَـٰبِ }
[Surah Āli-ʿImrān: 7]
Allah alisha maliza zani mizozo kama hiii.
Allah amesha weka wazi kwamba katika dalili zake zipo zilizo za waziwazi na za utata ndani.
Na wale wenye upotofu mioyono mwao ndo wanafata utata utata kutafuta fitina.
Mbn sijaskia inatolewa dalili hapo yyte yakupinga alio yasema?!
Huyu sheikh bachu sasa kachanga nyikiwa eti anaesema hakuna huyo ni mbora leo huyu kijana anatetea free masson mawahabi pakimbieni hapo..
Sio lazima ufuate bachu laa ikrah fii dini..muhimu ujumbe umeupata..
Bacho hana elimu ila ana kihelehele tu.
"Inamtosha mtu kua muongo kuhadithia kila anachosikia"
Pumbavu wew
SubhanaAllah 😢 Hili kweli Laskitisha hivi Mtu watukana Kisa mtu Kanunu maneno ya Mtume Swalallahu Aalayhi wassalam 😢
وعنْ أَبي هُريْرة أنَّ النبيَّ ﷺ قَالَ: كَفَى بالمَرءِ كَذِبًا أنْ يُحَدِّثَ بِكُلِّ مَا سمعِ رواه مسلم.
Huu ndio ujahil mulioujaza masufi hadith hamuzijui na Mwajifanya wa kali Kutukana Watu😢
Shukran shehe wangu :Muhamad Bachu hanachochote cha kusema katika dini , hana vyombo va kielimu venye kumsaidia katika kuogelea katika bahari ya elimu. Namuomba al-akh muhamad bachu asione aibu arudi darasani asome tena lakini pia sisi sote tuzidi kusoma ili tukisema ,au tukifanya tujue twafanya nini
Wa Allah c pendeli lkn sheikh Muhammad bachu anatoa ilmu ya faida ...aneleweka yaani ..hapa naona porojo...samahani lkn..
@@musakulapha9882 tusiwekeni chuki mbele katika mas'ala ya elimu .
elimu ina mapito yake huo ndo ukweli
@@musakulapha9882 tuweni watu wa kutofautisha kati ya ufasaha katika kuzungumza na ufahamu wa kielimu kupitia vyombo va kielimu ,sikila mfasaha huwa ana elimu na sikila mwenye elimu anaweza kuwa mfasaha katika kuongea lakini upo uwezekano mtu akawa mfasaha na akawa na elimu, muhamad bachu anaufasaha katika kuongea lakini hana vyombo va kielimu venye kumpitisha mapito ya kielimu nawala simdharau illa, ila kama hio ya kutojitambua kuwa kitu flani hajui anayo na mtu kujijua kuwa kitu flani sina sio aibu bali aibu nikuongea kitu bila ya ufahamu mkubwa wa kile kitu kisha ukadai kuwa hivo unavoelezea ndivo sawa wakati sivo kiuhakika
Wewe hukuja na hoja moja umepawa maneno yote muliyo nayo ya hayaa zenu.
Mm ni shk Fareed kutoka Kenya nakufunza kidogo ujuwe viyumbe vyote wanamkimbiliya Allah mimi nakufunza Allah Anamtaka mtume mohamed s. a. w. Nitafute nikupe Aya 3
Shekh haji nipo na wewe na unaenda vizuri ila wasia wangu jitahidi usijifunze kupoteza dakika kwenye kulaumu au kusimanga au kurefusha maneno kwasababu waskilizaji Alhamdulillah tuna akili vizuri basi weka point bila kuchelewa iwe faida tupu ili tupende kurejea clip kusikiliza. Weka point yake kisha weka jibu kwa ufupi kabisa.
Shekh comment yako nzuri lakin hata wao mawahabi hawana point pekeake ispokua anaongea Sanaa sasa lazima nasisi tuende vile tunavyoona inafaa kuendanao hivyo shekh haji upepo endelea hivyo hivyo hawajamaa lazima wajibiwe Ila wasitukanwe tu.
Kiongozi wa wakundi bidaa hili ni Shetani, hawa masufi ni
صم بكم و عمي
@@barzaqtradingcompany8541 UNGEJIBU HOJA BASI TUNGEFAHAMU, MAZALI HOJA ZIMEKYSHINDA NA HUTAKI KUWA SUFI BASI WEWE NI SUMMUN BIKMUN UMYUN. maana umepewa hoja una masikio ila husikii na hoja huna.
@@BinDaudy-ch2cc HAWA MAWAHABI MBURU MATARI, 😁, WAO WANAFKIRI WAKISHAMUITA MTU GHURAFI NDIO AYA AU HADITHI KWAO 🤣
Sheikh uko vizuri lkn unazunguka sanaaa nenda kwa point yako.mm n mfuasi wako
Huo niuzushi kauze alkasusu
Aa bwana hajji ww huko hapo kwa Kutusi au ni vita. Ww c hajji na haja na hufai kusimama kutowa mawaitha. Ihishimu dini la ikrahii fil dini
Swadakta. Huo ndio ukweli. Ujumbe umefika kwawenye kuelewa.
Ivi bachu yupo? Naskia kaenda likizo mombasa, mzee wa tahakaka sidiku inabidi arudie tena madrasa jamaa wanaendelea kumpasua katikati katikati
Hawa watu wa tarika uwongo wameuweka mbele,wacheni kumkufuru Allah,msimzulie Allah uwongo,Hilo ni kosa kubwa,msitake kumshirikisha Allah na binaadamu,keshasema hana mshirika,wacheni unafiki,wewe bado ni kitoto,kuwa kwanza halafu tena,naona mapema
Amekuzidi hata kielimu mohammad bachu ww ni kama jina lako huna kitu mi upepo tu ww
Haji upepo wewe ni mjinga na muongo
Kwahiyo hayo maneno hayapo?
Mkweli ni mwalimu wako Ila endlea kupinga kla ktu usiifnyie kz akili yko
Ww mada yako ni ipi? Nikuonesha mahari ya Nabii Adam kuwa ni kumswalia Mtume (S.A.W) au ulikuwa unataka kuuliza maswali?mbona hueleweki? Ww ulikuwa uthibitishe kielimu kuhusu mahari
Sheikh hiyo aya ya toba ya Adam ina sanad moja yake ni hadeeth gharibu na ya pili ni sahihi na masahaba wengi na matabiina wamepokea hiyo riwaya
Rudi surat aaraaf..aya 23 upate majibu ya manen ya tauba aliyosema nabii adam na mkewe hawaa na wala hayo s manen ya wanazuon... inaonekan qur an hujakhitimu akhy wewee.
Sheikh Haji upepo Mimi nimefahamu zaman sana Muhammad Bachu hamna kitu ni debe tupu kichwa kitupu na hata Hawa wanaomsapoti pia ni vichwa maji hawajielewi wanafuata upepo tu mwalimu wao hajasoma na hao wafuataji nao hawajasoma ni porojo tu kwenda mbele na kufru zao hao mawahabiiiii
Wewe unayejiita ustadh Haji,hizi sifa za kujionesha,hazikusaidii kitu,humfikia hata robo sheikh Muhammad,hujui hata unachokisema,ujinga umekuzidi.huna elimu mtupu,tatizo mashia wanakutupieni mihadithi ya uwongo ,na hadithi hizo ndizo zinazokupotezeni,unapinga jambo usilolijua,masikini roho yako