MAJIBU KWA ABUU HASHIM KUHUSU KUNUTI KATIKA SWALA YA ALFAJIRI......// Ustadh Haji Upepo حفظه الله

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 10. 2022

Komentáře • 57

  • @user-il5te5xd5y
    @user-il5te5xd5y Před měsícem

    mashaallah ustadh haji allah akuhifadhi

  • @user-hx8yd9gp2q
    @user-hx8yd9gp2q Před 11 měsíci +1

    Umma ulipofikia hakun wakufuatw kila mtu yuwamwon mwenzak hajuw

  • @abujamalaalghammawiy7470

    Ahsante ustadh Haji, Allah akuhifadhi

  • @abushawalihamisi2649
    @abushawalihamisi2649 Před rokem

    Mashaallah upo vizuri sheekh mawahab hawana ufahamu

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529

    Shukran Akhy lkarima

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 Před 3 měsíci

    Hadiith mash-huur
    أي بني محدث
    We zunguukaaa lkn mwenzako kastaddili na hadiith swahiih jaina mazing zong

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před rokem

    جزاك الله خيراً

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 8 měsíci +1

    Hata tarawehe aliacha mbona tuna Sali je alikataza isisomwe au nyinyi ndio mnakataza

  • @abuuabdillahtv8457
    @abuuabdillahtv8457 Před rokem

    Acha bida.a ww shekh allah akuongoze na akupe ufahamu ktk dini

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Před rokem

    الفقه أولى أول أن يفهم...

  • @khatibujuma4933
    @khatibujuma4933 Před rokem +1

    miwahabi

  • @user-rx3lj4uv5p
    @user-rx3lj4uv5p Před rokem

    ikiwa mtu atachukua msimamo huu, basi haijuzu kwake kumzingatia anayekwenda kinyume nao kama ni mtu wa bid-’a au mtu asiyefaa kuwa imamu. Anayefanya hivi atakuwa haijui Dini ya Allaah (Subhaanah) ambayo sisi tunajitakasa nayo kuelekea Kwake. Imamu Ahmad alipoulizwa kuhusu watu wanaosoma qunuwt mjini Basrah kama inafaa kuwafuata au la alijibu: “Waislamu walikuwa wakimfuata anayesoma qunuwt, na wanamfuata asiyesoma qunuwt pia”. [Ibn Al-Qayyim kainukuu kutoka kwake katika kitabu cha As-Swalaahat wa Hukmu Taarikihaa uk. 120]

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem

    Na kuwadanganya kwa uongo usiosemeka kwenye kila sekta na kipengele cha Dini mmetia uongo na uzushi.

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +2

    Na jitihada ya kupinga uwahabi imefanyika kwa kiwango kikubwa mnooo, kuliko kufanya da'wah ya kuwasomesha waislamu yenye kuwahusu zaidi ktk Dini yao, kama vile Tawhiid na Ibaadaat.
    Swali : nini tija ya jitihada hio, jee Watu wame acha uwahabi ama wameengezeka kwenye uwahabi?
    Na kwanini waengezeke wakati hawavutiwi kwenye uwahabi kwa pesa wala kampeni za siri kwa siri, bali hao munao waita mawahabi da'wah yao iko wazi kila mmoja anaishuhudia?
    Mlijaribu kufanya midahalo kadhaa kwa ajili ya kuzima juhudi za mawahabi, lkn tuna shuhudia kua matokeo ya midahalo ni watu kukuacheni mkono na kua pamoja na hao munao waita mawahabi!!!
    Unaweza kusema kilicho wavutia watu kua pamoja na hao muwaitao mawahabi ni kitu gani?

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Juhudi za kupinga mawahabi nikitu muhimu sana.inasaidia waislam kuwafundisha tawheed iliyo sahihi. Mawahabi wanamspungufu mengi katika nyanja za elimu za kilugha na tafsiri .ndiyo maana wana tawheed ya mujasima.pia ndiyo maana mawahabi ni rahisi kukufurisha watu na kuwashutumu kwa shirki na bidaa. Kumbe tatizo lipo kwao.kwahiyo msingi muhimu wa daawa kuwapinga mawahabi

    • @mwalimumuhidini1544
      @mwalimumuhidini1544 Před rokem

      Usishangae hata mwanamke mmoja alijiita Mtume na alipata wafuasi si kidogo ongezeko lenu halionyeshi kua nyinyi Ni wema ni waovu tu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Siyo kweli kuwa mawahabi wanazidi.kity chochote kipya kinaanza kwa nguvu lkn baada ya muda wanagundua kumbe uwahabi hamna kitu .Sasa uwahabi umedumaa kuliko wakati mwengine wowote.watu wengi wameshajua kuwa hamna kitu .mawahabi ufahamu wao na uelewa wao ni mdogo sana katika masala ya dini ndiyo maana wanakufurisha watu ovyo.pia watu wameelewa uchache wenu waelimu ndiyo unaofanya mkawafanya watu mutdii na mushrikina.pia watu wamegundua mawahabi ni watu wskunukuu maneno tu lkn siwatu wa elimu

  • @AliSaid-fk3be
    @AliSaid-fk3be Před rokem

    Walioengezeka ni awo awo mbumbu kama mawahab msomi hatoki kwenye man haj swahihi akaenda kwenye uwahab wanaotoka niwale ambao hawaja patamising imara nitajien mtu moja tu mwenye misingi alietoka kwenye usufi akaenda kwenye uwahab

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +1

    Masufi mmeuzorotesha Uislamu kwa kiwango kikubwa mnooo

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Waliozorotesha uislam ni mawahabi na tafsiri zao za hovyo zisizo na dalili za kielimu

    • @ibnuidrisa3996
      @ibnuidrisa3996 Před rokem

      Wewe kwani unazungumza nini maana umecoment sana unajaza coment tu mtu mwenyew huna Adabu wala akili

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 8 dny

      Ww umwehu unakusumbua

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem

    Na kuwabakisha watu ktk ujinga kwa muda mrefu mnooo

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před rokem

    Jibu hiyo ni hadithi sahihi au sio aloisoma Abu Hashim ? Usiende mbio kama swala mwenzio katoa hadithi inayosema huo ni uzushi ebu izungumze hiyo hadithi mbona unairuka hujui kujibu hoja kasome minaqasha ndio uje kujibu?

  • @OmarAbuumuwiya-kw3ij
    @OmarAbuumuwiya-kw3ij Před rokem

    Hebu soma hayo maneno ya imam maliki na shafi yakujuzisha kunuut wacha porojo zako nani kitabu gani vyao maimu hao walisema

  • @2km.a579
    @2km.a579 Před rokem

    Daah. Wewe ndio unepindisha hapa. Alhamdhulillah haqqi iko hapohapo kwa Majibu yako dhidi ya Sheikh Abu Hashim رحمه الله. Ambayo msomi akikusikiliza wewe na Abu Hashim Hapo ataona kuwa unadosod9sa hoja zakoo.
    Abu Hashim umemuweka hapo yuko wazi kabisa na wala sio porojoo hizo ni hojaa

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 Před rokem

      Daah nimwamini kuwa mawahabi hawana hoja .
      Yaan badala ya kumtetea sheikh wako kielimu kwa porojo zake alizozileta nawe unazidisha porojoo .
      Lete hoja wala hakki haitambulikani kwa jazba haki inazungumzwa kwa utaratibu.
      Uyo mzee wenu uzee wake unakuja vibaya na ndio maana ana jazba za kizushi .
      Kama wew ni msomi tetea hoja..
      Toa sabb iliopelekea hio hadithi ikawa dhaifu ??
      Na ile hadithi aliosema : Hajaacha mtume kunuut kwa kuwaombea maangamizo dhakwan na ri'il (( رعل وذكوان )) kisha akaacha ..
      Maana yake;: kaacha kuwaombea maangamiz na wala sio kuacha kunuut ...
      Kunuut imethibit kupitia hadiith mbali mbali ikiwemo ile ya lnas bni maliik ( r. a) iliopo ktk sahiih muslim.
      Sasa wew km msomi sema iyo hadithi haimo !!! Au haikuthibiti kwa sabb kadhaa !!! Na sio tu porojo

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 8 měsíci

    Nendeni ktk kitabu cha hadithi za sheria ya bulughul maram hadithi zipo mtume alikunut mpaka kufa kwake sasa nyinyi mnaopinga leteni hadithi inayo kataza au inayo pinga kunut sio maneno leteni hadithi inayo pinga kunut sio porojo kunut ipo haina shida

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 8 dny

      Awa ni mamwehu tu, walete wapi wakt hawana

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před rokem

    We sufi ebu jibu hiyo hadithi ya Abu maaliki ni dhaifu au sahihi ndio hoja ya Abu Hashim wew vunja hoja je hiyo hadithi sahihi au dhaifu mbona husemi kitu kwenye hiyo hadithi basi ndio hoja yake kama ulikua hujui mjadala

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +1

    Haji upepo naomba utuambie uwahabi ni kitu gani?
    Na uwahabi ni madh-hebu yenye sifa ngapi na vipambanuzi vingapi vyenye kwenda kinyume na sheria?
    Ni kitu gani kilicho anzishwa na mawahabi ambacho hakikuwepo hapo mwanzo au hakina dalili ya wazi yenye kukithibitisha kitu hicho?
    Nyinyi ambao sio mawahabi na hao munao waita mawahabi ni nani wenye jitihada ya kutafiti mambo kielimu na kuyathibitisha kwa dalili zake.
    Nyinyi musiokua mawahabi na hao mawahabi ni nani mwenye mchango mkubwa zaidi na juhudi kubwa zaidi za kuutangaza Uislamu sahihi na Mafundisho ya Mtume Muhammad Swallallaahu Alayhi Wasallama yaliokua sahihi, na kuwataka Waislamu waishi kama mafunzo yalio pokelewa?
    Nyinyi na hao munao waita mawahabi ni nani walio zembea na kusababisha mianya na mapengo mengi sana ktk Uislamu, kwenye upande wa kuufikisha Uislamu kama ulivyo pokelewa, na kuusimamia ipasavyo kwa kuchunga kilicho thibiti na ambacho hakikuthibiti?
    Hao munao waita mawahabi wana historia ya kuzusha mambo na kuengeza ktk Dini hii tofauti nanyinyi, na kuacha Adillah ambazo ziko wazi na zimethibiti, au nyinyi ndio munao sifika kwa sifa hizi?
    Kuna watu ktk historia wamesifika kwa khiana ktk Dini, jee kati ya nyinyi nahao munao waita mawahabi ni kina nani wahusika zaidi hapa?

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 Před rokem

      Omar ally
      Kwanza unatakiwa ujibu hoja zilizopo mezani alafu ndio ulete izo ngonjera na utenzi wako ..
      Anas ( r. a) Alipoulizwa jee mtume alikunut swala ya asubuhi ??
      Akasema ndiiooo !! baada ya rukuu kwa mda mchahe t .
      Pia : Aliposema wamekunut ktk swala ya asubuhi Watu wawili ktk maswahaba wa mtume ( s.w. a) twambie hayo maneno sio sahiihi ?? Kwa ushahidi upi ... upo ktk kitabu gani ??

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 8 měsíci

    Halafu mjue watu WA shafi ndio kundi kubwa la watu WA hadithi sasa sio mseme tu dhaifu someni mjue sio porojo

  • @2km.a579
    @2km.a579 Před rokem +1

    Ustadhi Hajji Khamis, usimkaribie huyo mzee Allah kamjalia elimu. Kampong mwanzo ndio ujue kama kielmu unampiku. Sio kutoa porojo hapa wewe kisha wafuasi wakafurahia hizo Ilhali humo. Hoja unazotoa Walizisoma wao wakaona Maulama Hazina nguvu ndio akina Abu Hashim wakasoma kwa vitabu wakajua kupima ndio wakawatolea hukmu ya qunuut.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Mawahabi hawana uwezo wakusoma dalili na kuzielewa.wao wanakurupuka tu

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 Před rokem

      @@abiabi9353
      No. Mawahabi kazi yao ni jazba tuu sijui wanadhani watu watawaamini kwa jazba zao ??? hakki haifahamiki kwa jazba wala porojo .
      Mpaka anamzuwia ndugu yake asiingie ndani lnnaalillahi wainaa ilaihi rajiuun . Wallahi huu ni msiba
      Maana huyu mzee Abuu hashim anakoelekea ni kubaya saana .. Yaani mpaka lmam shafii anajuzisha na lmam maliik bali mpaka hanafiyyah ipo qauli yao ya kujuzisha ..
      Halafu anakuja huyu mzee na jazba zake za kizushi na porojo jingii eti ni bida'a !!! Wanataka kutwambia kuwa lmaam shafii ni mtu wa bidaa ?? lmaam maliik ni mtu wa bida'a ?

  • @abrahamanalliy2115
    @abrahamanalliy2115 Před rokem

    HAJI UPEPO WEWE NI MUONGO ACHA KBS KUWADANGANYA WATU

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem

    Mazoea yenu nfio tatizo lenu, hamkuzoea kufanya mambo kwa mujibu wa dalili.........

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Sasa mawahabi wanajuaje dalili

  • @2km.a579
    @2km.a579 Před rokem

    Huyo NI mwamba Abu Hashim رحمه الله. Skiza hoja hizo za Mzee huyoo Abu Hashim. Noma Huyo, kati ya munaowaita mawahabi Usiwahi kumkanyaga huyo. Umeruka matope ukakanyaga mavii. Hayo mawaidha ya qunuut ya Abu Hashim yako wazi kihoja.

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Mawahabi hawana uwezo wakutoa hoja yoyote

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 Před rokem

      Abuu hashim hata akili hana hamsikii wahabi mwenzie mafuta anakubali kunuti imethibiti ety yeye anasema ety ni bidaaaa hamna kitu humuu

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 9 měsíci

    Mawahabi ni nani, kijiwahabi kimoja kina uliza, Mawahabi ni pote kati ya mapote maovu liloanzishwa na sheikh wao Muhammad Abdul wahabi karibu miaka 260 iliopita, pote hili moja ya bidaa zao na kufru zao ni zipi anauliza kiwahabi, bidaa zao ni pamoja na kuleta tauhid 3,kusema Allah anachoka kusema Allah Ana mwili yaani kichwa mikono na miguu, kusema Allah anabebwa na malaika 4 kusema pepo Ina milango 7 siku waumini wanaingia peponi basi siku hiyo Allah atakuwa amekaa mlango wa 4 jee nyie mawahabi mbona mnamsingizia Allah uongo na kuna mabidaa mengi na kufru nyingi ikiwa ni pamoja na kuwakufurisha waislam kuwatukana masheikh kuwatoa waislam peponi na kuwaingiza motoni, si hayo tu pia mawahabi wana chuki uadui dharau kwa waislam wenziwao na kibri, lakini pia si waelewa hata ukimuelekeza Wahabi sio urahis kukuelewa ni wepesi wa kulishwa maneno na masheikhe wao hata kama hayana ushahid watayakubali na yoyote asiekubali uwahabi kwao atakuwa adui na watampiga vita

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem

    Mme shindwa kuwazima mudu'aat wa haqqi kipindi hicho hawajulikani, pamoja na juhudi kubwa mnooo mulio itumia, mnataka kujitoa kimasomaso leo!?
    Hahahahahahahahaha

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem

    Ukifanya tafiti nyie masufi mulivyo kua miaka 50-40 iliopita nisawa naleo mulivyo ama mmezidi au mmepungua?
    Na hao muwaitao mawahabi miaka 50-40 iliopita naleo walivyo nisawa, au wamezidi na kuengezeka au wame pungua?
    Bila shaka jawabu ni wameengezeka mara dufu, swali la msingi kwanini waengezeke kwa kiwango kikubwa cha kuwatia khofu nyoyoni mwenu wakati mmefanya juhudi kubwa mnoo ya kuuzima uwahabi?
    Hii ni ishara kwamba hao muwaitao mawahabi wako kwenye baatwil kama munavyo wadanganya wajinga, nanyinyi muko kwenye haqqi, au nyinyi ndio muko kwenye baatwil na wao wako kwenye haqqi????????

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Wafuasi wengi wa mawahabi ni watu wavivu watu wakusikia tu.siyo wasomi wakuelewa hoja za kielimu

    • @alybinmana6197
      @alybinmana6197 Před rokem

      ​@@abiabi9353 mmh katika siku uliyobugi kweny maongez yako nileo

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      @@alybinmana6197 mhh nieleze nimebugi wapi. Ushahidi upo mwingi tu utaona mawahabi wanapinga mambo ambayo yamethibiti katika Quran na hadithi za mtume.hii ni dalili yakuwa hawafanyi utafiti kabla ya kutoa fatua zao

    • @alybinmana6197
      @alybinmana6197 Před rokem

      @@abiabi9353 kudai kuwa mawahabi niwavivu umebugi sana maana ukiangalia katika watu wanao soma kuliko mapote yote basi ni Hawa mawahabi labda kama unaongea kiushabiki saw Sina lakukwambia ila kama unaongea haqq na unafanya research na unapita katika markazi zao basi utaona kwamba Hawa watu wanasoma ndio maana wakifanya midahalo na masheikh zetu Hawa ambao wako kweny kundi letu wanaangushwa sana ni mawahabi mpaka sas hivi watu wengi wameingia kweny uwahabi then ukiangalia vitabu vingi vyakutegemew vimeandikwa na masheikh wa kiwahabi au iwe labda hujajuwa maana ya uwahabi

    • @mwalimumuhidini1544
      @mwalimumuhidini1544 Před rokem

      ​@@alybinmana6197 umesema uongo mawahabi hawasomi vitabu wao Ni mashiti tu na Google na kuongezeka kwao si dalili ya wema wao maana katika Uma zote zilizopita makafiri walikua wengi kuliko waislamu na Mara zote upotovu hufatwa zaidi kwa hivyo hii pia Ni dalili ya upotevu wenu

  • @KHALIFAMPYA-TV
    @KHALIFAMPYA-TV Před rokem

    Wahabi hawana elimu, wamepotea ila hawajielewi

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Před rokem

    Yaani mtu anasomewa hadithi na bado anapinga ma anasema uongo huo dahhh kwa kweli pepon wataingia kundi moja tu nao n masufy maana haqiqa wanaishika sunna