![Haji Upepo Online tv](/img/default-banner.jpg)
- 463
- 1 017 999
Haji Upepo Online tv
Registrace 25. 03. 2020
Assalam alaikum: Channel hii ipo kwa ajili ya kueneza mafundisho na Itiqadi sahihi ya Uislamu kwa mujibu wa Qur'an na Sunna kwa ufahamu wa Ulamaa na wema waliopita sambamba na kuvunja fikra na itikadi potofu zinazoenezwa na baadhi ya waislamu (Mawahabi) .
Kupitia channel hii utajifunza kupitia darsa mbalimbali, mihadhara na khutba. Changia uendeshaji wa Channel yetu kupitia:
Tigo/Eazy pesa: 0776119341 (Haji Haji)
Amana Bank : 009362014110001 (Haji Khamis Haji). Tunapokea maoni yako (0776119341) Ahsante.
Kupitia channel hii utajifunza kupitia darsa mbalimbali, mihadhara na khutba. Changia uendeshaji wa Channel yetu kupitia:
Tigo/Eazy pesa: 0776119341 (Haji Haji)
Amana Bank : 009362014110001 (Haji Khamis Haji). Tunapokea maoni yako (0776119341) Ahsante.
Khutba ya Ijumaa: Ubaya wa kutawaliwa na mwanamke katika jamii // Ustadh Haji Upepoحفظه الله
Khutba ya Ijumaa: Ubaya wa kutawaliwa na mwanamke katika jamii // Ustadh Haji Upepoحفظه الله
zhlédnutí: 164
Video
Majibu dhidi ya mawahabi // Je, Allah yuko wapi? Sheikh Juma Mohammed Iddi حفظه الله
zhlédnutí 489Před 2 hodinami
Majibu dhidi ya mawahabi // Je, Allah yuko wapi? Sheikh Juma Mohammed Iddi حفظه الله
Darsa ya kitabu 'Alfiqhul manhajiy' kutoka Masjid Nour Muhammad: Ustadh Haji Upepo
zhlédnutí 538Před 4 hodinami
Darsa ya kitabu 'Alfiqhul manhajiy' kutoka Masjid Nour Muhammad: Ustadh Haji Upepo
Khasara atakayopata mlevi na ubaya wa ulevi (1): Darsa ya Kitabu Alkabaair // Ustadh Ali Khalfan
zhlédnutí 85Před 7 hodinami
Khasara atakayopata mlevi na ubaya wa ulevi (1): Darsa ya Kitabu Alkabaair // Ustadh Ali Khalfan
Khatari ya kutoa ushahidi wa uongo: Darsa ya kitabu Alkabaair // Ustadh Ali Khalfan
zhlédnutí 153Před 7 hodinami
Khatari ya kutoa ushahidi wa uongo: Darsa ya kitabu Alkabaair // Ustadh Ali Khalfan
Darsa ya kitabu 'Bidāyatul hidaya': Sehemu ya 9 : Adabu za kuamka //Ustadh Ali Khalfan
zhlédnutí 199Před 14 hodinami
Darsa ya kitabu 'Bidāyatul hidaya': Sehemu ya 9 : Adabu za kuamka //Ustadh Ali Khalfan
Punguza tamaa ya mali na ukinai kwa ulichonacho : Ustadh Haji Upepo حفظه الله
zhlédnutí 352Před 16 hodinami
Punguza tamaa ya mali na ukinai kwa ulichonacho : Ustadh Haji Upepo حفظه الله
MAAFA YATAKAYOMPATA MLEVI (2) // DARSA YA KITABU ALKABAAIR ; USTADH ALI KHALFAN
zhlédnutí 335Před 21 hodinou
MAAFA YATAKAYOMPATA MLEVI (2) // DARSA YA KITABU ALKABAAIR ; USTADH ALI KHALFAN
Uongo wa Mawahabi juu ya Allah na Mtume wake (Sehemu ya 1) : Ustadh Haji Upepo
zhlédnutí 2,7KPřed 14 dny
Uongo wa Mawahabi juu ya Allah na Mtume wake (Sehemu ya 1) : Ustadh Haji Upepo
Ustadh Haji Upepo amnyamazisha Ibrahim Juma baada ya kukataa Munqasha wa kusoma vitabu
zhlédnutí 4,9KPřed 14 dny
Ustadh Haji Upepo amnyamazisha Ibrahim Juma baada ya kukataa Munqasha wa kusoma vitabu
Hii ndio itiqadi sahihi ya Ahlusunna Waljamaa // Sehemu ya pili na Sheikh Juma Mohammed Iddi
zhlédnutí 476Před 14 dny
Hii ndio itiqadi sahihi ya Ahlusunna Waljamaa // Sehemu ya pili na Sheikh Juma Mohammed Iddi
Hii ndio itikadi sahihi ya Ahlusunna Waljamaa kuhusu Allah // Sheikh Juma Mohammed Iddi
zhlédnutí 873Před 14 dny
Hii ndio itikadi sahihi ya Ahlusunna Waljamaa kuhusu Allah // Sheikh Juma Mohammed Iddi
Sheikh Hassan Bin Ameir alibainisha kuwa Mawahabi si katika Ahlusunna Waljamaa // Sh Juma Mohammed
zhlédnutí 1,1KPřed 14 dny
Sheikh Hassan Bin Ameir alibainisha kuwa Mawahabi si katika Ahlusunna Waljamaa // Sh Juma Mohammed
Darsa ya Bidāyatul Hidaya (Sehemu ya 8): Kujichunga // Ustadh Ali Khalfan
zhlédnutí 177Před 14 dny
Darsa ya Bidāyatul Hidaya (Sehemu ya 8): Kujichunga // Ustadh Ali Khalfan
Kisa cha kweli: Tukio la ajabu lililomtokea mkulima // Ustadh Ali Khalfan
zhlédnutí 506Před 14 dny
Kisa cha kweli: Tukio la ajabu lililomtokea mkulima // Ustadh Ali Khalfan
Kwanini nilimjibu Sheikh Mselem bin Aly, majibu kwa Ibrahim Juma wa Pemba // Ust Haji Upepo
zhlédnutí 6KPřed 21 dnem
Kwanini nilimjibu Sheikh Mselem bin Aly, majibu kwa Ibrahim Juma wa Pemba // Ust Haji Upepo
Mjadala baina ya Ustadh Haji Upepo na Shafii Basalim: Je Muawiya ni muovu?
zhlédnutí 6KPřed 21 dnem
Mjadala baina ya Ustadh Haji Upepo na Shafii Basalim: Je Muawiya ni muovu?
Mazungumzo baina ya Ust Haji Upepo na kijana Iddi wa Mwera. Nasaha alizopewa na kuzipokea
zhlédnutí 5KPřed 21 dnem
Mazungumzo baina ya Ust Haji Upepo na kijana Iddi wa Mwera. Nasaha alizopewa na kuzipokea
Darsa ya kitabu 'Bidāyatul Hidaya' (Sehemu ya 7) : Ucha Mungu na hali zake, Ustadh Ali Khalfan
zhlédnutí 297Před 28 dny
Darsa ya kitabu 'Bidāyatul Hidaya' (Sehemu ya 7) : Ucha Mungu na hali zake, Ustadh Ali Khalfan
ANAEDHULUMU HUACHWA NA ALLAH AENDELEE KUDHULUMU : NASAHA KUTOKA KWA UST ALI KHALFAN
zhlédnutí 219Před měsícem
ANAEDHULUMU HUACHWA NA ALLAH AENDELEE KUDHULUMU : NASAHA KUTOKA KWA UST ALI KHALFAN
Nasaha kwa tapeli anaetumia jina la Sheikh Othman Maalim kudanganya watu ||Ustadh Haji Upepo
zhlédnutí 17KPřed měsícem
Nasaha kwa tapeli anaetumia jina la Sheikh Othman Maalim kudanganya watu ||Ustadh Haji Upepo
Mafunzo makubwa katika kisa cha wanandoa waarabu waliozaa mtoto mweusi // Ustadh Haji Upepo
zhlédnutí 779Před měsícem
Mafunzo makubwa katika kisa cha wanandoa waarabu waliozaa mtoto mweusi // Ustadh Haji Upepo
Darsa ya kitabu " Bidāyatul Hidaya (Sehemu ya 6) :: Ustadh Ali Khalfan
zhlédnutí 244Před měsícem
Darsa ya kitabu " Bidāyatul Hidaya (Sehemu ya 6) :: Ustadh Ali Khalfan
Tuwaombee waliotangulia na sisi tujiandae na kifo // Nasaha kutoka kwa Ustadh Aly Khalfan حفظه الله
zhlédnutí 353Před měsícem
Tuwaombee waliotangulia na sisi tujiandae na kifo // Nasaha kutoka kwa Ustadh Aly Khalfan حفظه الله
TAARIFA YA MSIBA: SHEIKH SAID NYANGE WA KIDOTI ZANZIBAR AMEFARIKI DUNIA اللهم اغفرله ورحمه
zhlédnutí 10KPřed měsícem
TAARIFA YA MSIBA: SHEIKH SAID NYANGE WA KIDOTI ZANZIBAR AMEFARIKI DUNIA اللهم اغفرله ورحمه
Kisa cha Swahaba Muawiya siku alipotembezwa miguu chini na kunyimwa msaada // Haji Upepo
zhlédnutí 881Před měsícem
Kisa cha Swahaba Muawiya siku alipotembezwa miguu chini na kunyimwa msaada // Haji Upepo
Majibu kwa Wahabi Mustafa Adawy Allah amuongoze// Ustadh Haji Upepo حفظه الله
zhlédnutí 3,4KPřed měsícem
Majibu kwa Wahabi Mustafa Adawy Allah amuongoze// Ustadh Haji Upepo حفظه الله
Nasaha za Eid : Ustadh Haji Upepo حفظه الله
zhlédnutí 127Před měsícem
Nasaha za Eid : Ustadh Haji Upepo حفظه الله
Darsa ya kitabu Bidāyatul hidaya: Sehemu ya 5 // Ustadh Ali Khalfan حفظه الله
zhlédnutí 154Před měsícem
Darsa ya kitabu Bidāyatul hidaya: Sehemu ya 5 // Ustadh Ali Khalfan حفظه الله
Dhibiti hasira kwani hasira haitatui jambo // Ustadh Ali Khalfan
zhlédnutí 138Před měsícem
Dhibiti hasira kwani hasira haitatui jambo // Ustadh Ali Khalfan
Inasikitisha sana mashehe wa leo. Munatuaibisha sisi waislamu wenzenu. MIPASHO MUNATULETEA KWENYE DINI HUO NI UPUMBAVU. Mtu akileta maneno ya kipuuzi wewe nnyamazie. Kila mtu anajisifia yeye anaelimu kuliko mwengine mpaka munapea matusi. Tuambieni ndivo mtume alivoelekeza?
Ni kweli kabisa.
Masha alwah
Masha allwah
Dah! Huyu mzee hapo kweli nae alikosea ALLAH Amsamehe makosa yake ila sishangai sana maana nikawaida yao mawahabi
Hujui kama ni wahabi ila hukubaliani na uwahabi wake.. unachanganya madesa sheikh wangu
Wengine Hemu nyamazeni ni bora kwenu.
Maana Allah mwenyewe kajinasibisha na uwepo wake juu فوق سبع سماوات hivi unawezaje kumkatalia Allah kuwa hayupo juu hali ya kuwa aya za qur-ani zipo nyingi zilizo thibitisha kuwa Allah yupo juu na ahaadithi nyingi zimethibitisha kuwa Allah yupo juu
wew pungi hujui k2 pumbavu mmoja Allah ase walah min waraihi muhiti anyanyengina poote ulipo Allah yupo bw.Mtume muhammd s.a.w anasem mwenyezimngu yupokaribu na mwenye kusujudi vp sasa yupo wap
Maana Allah mwenyewe kajinasibisha na uwepo wake juu فوق سبع سماوات hivi unawezaje kumkatalia Allah kuwa hayupo juu hali ya kuwa aya za qur-ani zipo nyingi zilizo thibitisha kuwa Allah yupo juu na ahaadithi nyingi zimethibitisha kuwa Allah yupo juu
Ukituambia kua الله موجود بلا مكان tunakuomba ututhibitishie hayo maneno yanapatikanwa kwenye sura gani au hadithi gani
soma kwanza
Bado na kusihi usitumie lugha zenye kuchukiza wengine kwani sote lengo letu ni moja. Elimu bora ni hile yenye busara na hekima
Naam wewe nisheikh lakini kwa hili sijakuelewa maana dalili za ayaat ktk kuran umeziacha ulitakikana uzijibu maana yake
Kwa hio mnakusudia kua allah hayupo popote? Au yupo kila pahala?
allah yupo bila ya sehemu
Masha allah mm nlidhani aliesema kua ahlu sunna ni ashaira ni mtume kumbe nishaira mwenyewe 😂😂😂😂 bwaaa
@@darajanida nimetukanaje
@@darajanida basi nikwambie kua neno bwaa si tusi bali nineno lakubeza ikiwa hujui kiswahili hio ndo maana yake
@@darajanida sio mbwa nimesema bwaaaa (kauli yakubeza)
oke sawa nimekuelewa mwanzo nilikufaham vibaya ila hata hivo hutakiwi kubeza msimamo wa mtu kama ana hoja
yeye mwenyewe ni msikilizani mzur wa mziki unadhani itakuaje sasa katik uislamu hakuna msimamo wa wastani ktk uislmu
Mche mola kaka ww nimjinga tena wahali yajuu
Wewe niupepo wapeperushe mawahabi
اشاعرة
MashaAllah
jazq llahw
UMESAHAU VITA ILIYOKUWEPO BAINA YA TAMTA NA ZAHARAU NA WOTE WALIKUWA DHEHEBU MOJA 😂😂😂
Mgonjwa ww kakojoe ukalale msellem kamaliza kila kitu tafuta kingine cha kuongea
Wewe haji acha ujinga acha kupambana na haki
Maulidi ni jambo lakheri Alhamdulliah asiokubaliana nayo sio lazima au kuzuwa uwongo ati mashia mbona twaswali pamoja masufi na mawahabi hatuswali na mashia.
Mashallah
Masha Allah
MASHALAH MASHALAH MASHALAH SHEKH UPEPO UPO SAWA UNAWATOWA UPEPO WA VICHWA MAANA MAWAHABI KAZI YAO NI FARAKA TU KATIKA DINI
Shukran
masha allah
جزاك الله خير الجزاء
Ww bado hujaelimika kasome tena tuonyeshe wapi mtume swalallaahu a'layhi wa aalihi wasallam katamka nawaitu uswalli katika swala au katika ibada yoyote katika kutia Nia katamka nawaitu asha kupotosha watu huna elimu yakumkosoa sheikh nassoro bachu
Iz haka anasema yaya hana mwalim .na asiekua na mwalim wake shetwani.
Sahihi kabisa shekh mwenye napenda ila jezi sivai kwasababu zinatangaza mambo ya harm
Twaomba darasa za nyumaa pia tuzipatee
Wewe na Mashia huna tofauti
Huyu mwehu ..😂😂😂😂😊
Assalam alaykum sheikh kwema mm niko Kenya naomba tafadhali uniunganishe kwa group yako ya WhatsApp kusom +254741028680 I love you my sheikh of Allah
sheikh tunaomba maiki yako isogeze karibu na mdomo wako maana unasikika sauti ya chini tena besi kama ikiwa tunasikiliza kwenye sabufa.
mashalla nashukuru san kwa ushaur tuletee drasa zote alkabairi na bidaayat hidaya
Naam tupo pamoja
Shukran shekh
na kabla ya kusema kama anamakosa ulitakiwa uchunguze ni maumbile au makusudi
unajiona kama mkamiliiifu vile msomi yoyote hajisifu husubiri akasifiwa soma kitabu cha taalim shekh
Mmhhh mashekh wetu hao mmhhh hata wakina imaamu shaaf hawakuwa hivoo na walee ndo mabwana wakubwa alaaf nyie ndo mnajiona naelimu somesheni mashekh achaneni na mambo hayaa jamani duuuh
Kijana soma uzidi kupoteza wapumbavu wenzako. Manake nimewahi kukuona kanzu yako iko chini kama mwanamke. Kwani hilo kosa hulijuwi sio
Jazakumullahu Khaian
Alla akuweke na afya AMEEN. HII HATA MIMI IMENIKERA huyo bwahani . Iz haka.hilo jahili
''Dini yetu ya kiislam inatekelezeka Kwa asilimia mia bila ya tv'' nimeipenda 😂😂😂
Maashaallah sheikh diwan tupo pamoja usichoke kuwarekebisha hawa mawahabi yena mayahudi
Mashekhe pambaneni na ushoga watu wanapotea nyinyi munaleta mipasho tu