Mjadala baina ya Ustadh Haji Upepo na Shafii Basalim: Je Muawiya ni muovu?

Sdílet
Vložit

Komentáře • 104

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal5454 Před 22 dny +4

    Shida kubwa ni kutotumia elimu kwa jambo la kielimu. Ustadh nakupongeza kwa jitihada ya kuelimisha japo wapingwa na Hao wasiyo elimu wakiungwa mkono na mafisadi

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal5454 Před 22 dny +4

    Haji unajibu hoja kielimu unajibiwa pasipo hoja yoyote zaidi ya kubezwa hata hivyo kama ni elimu umetowa mwenye kutaka atachukua.

  • @AhmadMohamad-ew8vo
    @AhmadMohamad-ew8vo Před 20 dny +3

    Haji upepo hata mm sikuungi mkono lakoni kwa hapa nakuunga mkono na nakusapoti

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib Před 20 dny +2

    DUUUUH
    ETI UNAMPENDA
    NDIO MAANA TUNAAMBIWA MASHIA NA MASUFI KITU KIMOJA
    LEO NIMEAMINI

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před 21 dnem +2

    Hakika huyu Sheikh Hajji Upepo ndio pigo kila kihere here Allah akujaze hekma na elimu juu zaidi

  • @IbraFareed
    @IbraFareed Před 20 dny +2

    Sheikh nnachokuoenda kila unachoongea unakijibu kwa dalili
    Sheikh wangu Haji Upepo ALLAH akulipe kwa jitihada zako unazotoa kwenye kutupa elimu
    NA USICHOKE KUWAEKA SAWA WENYE KUTUPOTEZA

  • @MuhammedHamadav
    @MuhammedHamadav Před 22 dny +2

    Asante sheh hajji

  • @Omarimakame
    @Omarimakame Před 22 dny +2

    kwahyo ust haji kinfi lilo muua ammar ni kundi ovu au ni jema na kati ya ally na muawiya yupi alikuwa katika kheri ebu tujib

  • @sama-_8368
    @sama-_8368 Před 22 dny +2

    Nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @IbraFareed
    @IbraFareed Před 20 dny +1

    Allah akupe umri mreji sheikh letu

  • @saidimtoni1148
    @saidimtoni1148 Před 21 dnem +1

    Allah akupe afya

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 22 dny +1

    MASHA ALLAH 💚

  • @Sheikhmadaba-cm2hw
    @Sheikhmadaba-cm2hw Před 22 dny +1

    Hongera USTADH uko sahihi na huna wenge kama shafi jamnnñ shafi amefika mbali yey mwenyew ni Mal un

  • @RashidiKipitu
    @RashidiKipitu Před 22 dny +1

    Asante alhabib Allah akulipe kheri

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 Před 22 dny +1

    Mashaallah unajua sana

  • @abuhsanono4392
    @abuhsanono4392 Před 20 dny +1

    Asalam alaikum nakuomba ukisoma msg yangu ujibe plse nauliza ivi imam mahdi akija wende kinyume naye utakua upande gani haki wala batwir je unafikri ukipinga mahdi utakua na misimamo gani

  • @MuhammedHamadav
    @MuhammedHamadav Před 22 dny +1

    Asante sheh hajii

  • @AbulFadhilQummy
    @AbulFadhilQummy Před 21 dnem +1

    E bwana kwa hili hapa hap uko pongo

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464 Před 22 dny +1

    Usimuite ustadh kwa kuwa huyu ni mpotoshaji mtu muovu lazima atake istighfar kwa Allah

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 22 dny +1

    SHAFII SHAFII SHAFII 😢😢😢 SUB-HAANALLAAAAAAAAH 😢😢😢 DAH! NASRUN MINALLAAHI!

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 Před 22 dny +1

    Haji upepo nakukubali lakin katika hili ckuungi hayo maneno yamtume yapo wazi hayahitaji kuyafnyia taawili

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 20 dny +2

    Sayyidna Aly kabashiriwa pepo na Muawiyah hajabashiriwa pepo kwaio hawawezi kuwa sawa lakn hutakiwi kumlaani haya mambo yanahitaji uchambuzi wa hali ya juu kwasababu watu wa kawaida ni vigumu kuelewa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 17 dny

      Je Muwaiya hayumo katika wale masahaba walioridhiwa na Allah waliotajwa katika Quran?

    • @user-cy1od5xr8x
      @user-cy1od5xr8x Před 17 dny

      @@mohdkhatib223 hakuna Aya hata Moja iliyomtaja Muawiyah katka Quran hio ni jitihada wazuoni wamezikubali na wengine wamezikataa

  • @abdallahmtula9467
    @abdallahmtula9467 Před 22 dny +2

    Mimi binafsi si msomi.
    Lakini najengea Kwa akili yangu kwamba je inawezekana muuwaji na muuliwa wote watakuwa kwenye haki?
    Je kauli ya mtume inasema haki Iko pamoja na Ali na Ali Yuko pamoja na haki,je Muawiya atakuwa sehem ya haki kutokana na kauli hii ya mtume?
    Hiii n bahari kubwa sana sheikh haji upepo na ukilinganisha uzito wa uzitoa wa kilo Moja na kilo 100 haviwezi kuwa sawa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 17 dny

      Wapi mtume saw alisema hayo, lete hadithi sahihi wewe mfuasi wa kishia

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před 22 dny +3

    Mimi ni mfuasi mkubwa wa Haji upepo lkn kwa hili la kumtetea baradhuli muawiya hapo umechemka. Yani nilipokuwa nakusikiliza nilikuwa nacheka sana jinsi unavyojigonga. Yani mtume mtu kamwita muovu lkn wewe unamtetea ? Kwa hoja gani. Yani muawiya alitaka kumuua Imam Ali alafu unasema alikuwa hamchukii? Na hadith ya mtume ikowazi inasema yeyote anaye mchukia Imam Ali ni mnafiki na unafiki ni zaidi ya ukafiri .sasa hapo alichokosea sheikh shafii ni nini? Alafu hiyo nafasi ya muawiya kuwa mujtahidi kapewa na na nanini .Hivi muawiya anaweza kuwa mujitahidi mbele ya Imama Ali. Mtume anasema Ali yuko pamoja na na haki siku zote ipo pamoja na Imam Ali. Muawiya kafanya makosa kutaka kumpa masharti Imam Ali. Mbona wale walokataa kumpa Abubakari zaka hawakuambiwa nao wamefanya ijtihadi ,kwani wao hawakuwa maswahaba? Huu ni unafiki katika kuelezea ishu ya mnafiki muawiya

    • @MohamedSalim-cm9ih
      @MohamedSalim-cm9ih Před 22 dny

      Ww pia ni Shia wacha kujipendekeza Kwa masufi ...ww ni mshia golo kama kma uyo shafii

    • @abuhsanono4392
      @abuhsanono4392 Před 20 dny

      ​@@MohamedSalim-cm9ihjibu uonesha ilimu wacha propagand

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg Před 19 dny

      ​@@MohamedSalim-cm9ih wahabi 😂😂😂😂 Sasa wewe unaangalia achokiandika au unarukia ushia tu maana mimi naona umebaki kubweka tu wewe shia wewe shia wewe shia mawahabi very zero unfortunately

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 17 dny

      Baradhuli ni wewe na mashia wenzako.

    • @ABUUALLY-ch5jr
      @ABUUALLY-ch5jr Před 13 dny

      Tuache kugombana atakae tuhukumu Kwa tunayoyatenda ni Allah s.w pekeee ,alafu tukijua kama muawiya alikuwa ni mnafiki au alikuwa mchamungu tutapata faida gani ? Maana yeye alikuwa si katika makhalifa waongofu ambao wanajuulikana ni wa nne ! Alafu anaemjua muawiya ni Allah s.w pekee sisi tumemsikiaa tu kwahiyoo Allah ndie atakae muhukumu

  • @saidyussuf2291
    @saidyussuf2291 Před 22 dny +1

    ASSALAAM ALYKUM WARAHMATULLAH
    SHEIKH HAJI TUNAOMBA SIRA YAKO BINAFSI TAFADHALI

  • @Najdi358
    @Najdi358 Před 22 dny +1

    Yaan mie hua napata mashaka hivi unaanzaje kumuua muislam mwenzio kisa madaraka tu, bila shaka hapa kuna mmoja kapatia zaid

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 17 dny

      Wote wameuwana na kwasababu kila kundi walikuwa na hoja

  • @nusayyirushiraaziy
    @nusayyirushiraaziy Před 10 dny

    Ww kz yk haji upepo ni kukosea watu hkn elimu hiyo boss

  • @baarutmazrui5186
    @baarutmazrui5186 Před 19 dny

    تلك أمة قد خلت لها ما كسبت ولكم ما كسبتم ولا تسالون عما كانوا يعملون

  • @nganasilimavuai9944
    @nganasilimavuai9944 Před 17 dny

    Njooni kwenye man-haj Salaf
    Mstarehe mioyo yenu
    (Qala llah, Qala Rasuul alaa fah-mi salaf)

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před 19 dny

    Maswahaba hakika walifanya kazi kubwa sisi hata tufanye juhudi gani hutuwezi kuwafikia hata kidogo.

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 17 dny

    Huyo shia Basalim na Haji Upapa wote jora moja, wote ni vituko ni majahili, wapo katika itikadi moja tofauti zao ni ndogo sana.

  • @KudraTimbako
    @KudraTimbako Před 15 dny

    Shkh kumbe ww huna akili

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před 22 dny

    رضي الله عنهم

  • @user-pj9lq5oh6i
    @user-pj9lq5oh6i Před 19 dny

    Akhu kitendo cha kukiri alii radhwialahu anhu, kuwa alistahki uongozi kuliko muawiya yatosha kuwa hoja mana kumhalifu kiongozi nikosa.

  • @KudraTimbako
    @KudraTimbako Před 15 dny

    Kwa hoja zako hizo za kipuuzi usisubutu kuweka mjadala na mashia watakugalagaza vibaya mno

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi Před 19 dny

    Muawiya alimteua mwanae Yazid ambae kulikuwa na ithbati ya ulevi

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib Před 20 dny

    WEWE HAJI HAMNA KITU
    UNAKUWA MPOLE KWA MASHIA
    NA UNADAI UNAWAPENDA

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před 22 dny +2

    Swahaba anatukanwa? Utomvu wa adabu.ukimuita swahaba kafiri jua wewe ndio kafiri namba moja

    • @abuhsanono4392
      @abuhsanono4392 Před 20 dny

      Ukisema ivo unanekana hijab soma dini uyo muhawiya ndo kanzisha kulani ally ktk miskiti mbona hajj hajaongelea ayo mambo soma uwache kufata upepo

    • @IbraFareed
      @IbraFareed Před 20 dny

      @@abuhsanono43926:06

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg Před 19 dny

      ​@@abuhsanono4392achana Naomi hao huwawezi kwa justification

  • @JumbiSecondary
    @JumbiSecondary Před 22 dny

    Kwa nini ulamaa wa ahli Sunna wa ljamaa hawasemi kuwa Muawiyah ni katika khulafau rashidiina licha ya kuwa alikuwa sahaba wa mtume?

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr Před 22 dny

    Kuna hadith ya mtume iko wazi naumeitowa Alla anahiyari yake kuwasamehe ila Maneno ya Mtume yako wazi Haji unaanguka

  • @AbuurabiuJuma-wn5il
    @AbuurabiuJuma-wn5il Před 22 dny

    Shafii kakosea ila akina nani wanawaita maswaba khawarj je hili sio kuwatukana maswahaba

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před 20 dny

    Kwanini Shafii unaenda mbali sana Kwa ouvu wa Muuawiyah.Hebu tueleze uovuuu wa Babayako Mzazi.

  • @Alakhyasirabuammar
    @Alakhyasirabuammar Před 21 dnem +1

    Wapotishaji wawili wakosoana. Allah awaongoze

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 20 dny

      Pengine wakwanza ni Mzee WAKO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    • @Alakhyasirabuammar
      @Alakhyasirabuammar Před 20 dny

      @@MuhidiniNassor alhamdulillah .mtume صلى الله عليه وسلم alitusiwa zaidi ya vile ulivonitusi. Alhamdulillah babangu angu kwenye safu za maamuma katika ahlul athari na kwa hilo naregesha shukrani kwa Allah kwa kumjalia kusikiza,kutekeleza, na Kuiga WALE wema walotutangulia. Tusi utakavyo lakini fahamu kuwa barabara ya Haqi ni moja . Hata hawa wapotoshaji wawili wapondane hayatuhusu bila shaka hao ni mandugu na vita vya mandugu usiingilie

    • @abuhsanono4392
      @abuhsanono4392 Před 20 dny

      ​@Alakhyasirabuammar soma uwache mambo ayatuhusu kawuli gani ktk wisilam wendo mopotoshaji usio taka kujua ukweli na ukweli unawutafuta mpaka kaburini kwani unawatoto wakikuliza Nani awajibie wewe wnapashwa njifunza uislimu kwako kwanza

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464 Před 22 dny

    Ustadh usiamiliane na mtu kama huyu tafadhali

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 22 dny

    ust haji mara nyingi video zako hazina sauti hasa unapoongea wewe rekebisha hilo al..akhy

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 Před 20 dny

    Uache kunyoa ndevu basi

  • @AhmadMohamad-ew8vo
    @AhmadMohamad-ew8vo Před 20 dny

    ما جر بين الصحابة نسكت عنه؟

  • @user-kh8bb9qi4c
    @user-kh8bb9qi4c Před 20 dny

    Badohudjakuwanailimusoma

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 Před 22 dny +2

    Kwenye hili haji upepo utaanguka huna hoja madhubuti

  • @baarutmazrui5186
    @baarutmazrui5186 Před 19 dny

    معاوية بغي بقول النبي صلى الله عليه وسلم أنت تقول مجتهد كيف

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 22 dny

    Hoyo golo ni kafiri tu.. Na hana kitu alimkimbia bachu

    • @thuweinmassoud9062
      @thuweinmassoud9062 Před 22 dny +1

      kafiri ni yule asie amini uwepo wa mola 1 Allah ,
      kafiri ni yule asie amini kuwa muhammad ni mtume wa mwisho

  • @AbdulkareemNyongoro
    @AbdulkareemNyongoro Před 22 dny

    Unampenda kwa lipi we nimpuuzi

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 20 dny

      Kwa uislamu wake maana mawahabi ni watu wa utatu mtakatifu ndo maana HUJUI kwa lipi

  • @abuuzahra-fc2jg
    @abuuzahra-fc2jg Před 22 dny

    Khabith huyu muhuni

  • @AbulFadhilQummy
    @AbulFadhilQummy Před 21 dnem

    Hapo maalm tafsir riwaya kwa uzuur

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 Před 22 dny

    Yani haji upepo unafanyia taawili hadi maneno ya mtume hali yakuwa ni maneno yawazi kabisa hilo linaonesha uchache wa elmu au khiyana ya ilmu

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 20 dny

      Wewe na Mimi sawa sawa ulikua unyamaze tu maana inaonesha hata neno ta.awili hatulijui

  • @AbuurabiuJuma-wn5il
    @AbuurabiuJuma-wn5il Před 22 dny

    Haj Kuna aya za sulhu hebu tuambie zinasemaje

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 22 dny

    Wewe upepo kumpenda mshia na kutangaza kua unampenda wala sishangai kwa mtu muovu kama wewe na mzushi

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e Před 22 dny +1

      We MUHABI umeshaanza kuleta fitna kama kawaida yenu!

    • @abdallahsiraji9919
      @abdallahsiraji9919 Před 13 dny

      Mche Allah kwakuacha kuwatukana watu.Huyu haji hajawahi kukukosea wala kukutukana ila wewe unamtusi..
      Kama kawa Muovu na Mzushi sio kwako bali ni kwa Allah hivyo acha ugomvi huo kati yake na Allah mwwnyewe..
      Wewe zidisha kheri na komba msamaha tu kwa faida yako binafsi.Pia Omba Allah akupe Ilmu na Hekma...

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Před 22 dny

    HUYU KIJANA NI MSHIA BILA SHAKA

  • @nasirdinmohammed8741
    @nasirdinmohammed8741 Před 21 dnem

    😂😂😂😂haji upepo mpole kwa mashia nasah njema ila kwa wanachuoni wa ahlu sunna kama sheikh fawzan utaskia mpuuzi mjinga hana adabu nao kabisa subhanallah تلك إذا قسمة ضيزى huyu mpuuzi wa kisuf uongee maneno lain kias hichi ambae hana athar yoyote kwenye dini na wanachuoni kwako wawe ndio hawana heshina ya kupewa

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 20 dny

      الجزاء من جنس العمل Leo mawahabi mmekua watu wa nasaha كما تدين تدان mlikua mnajiona mna elimu zaidi kuliko watu wooooote موتوا بغيظكم

    • @nasirdinmohammed8741
      @nasirdinmohammed8741 Před 20 dny

      @@MuhidiniNassor sikui ata kama unfaham au na ww unataka kuongea Tu kwaiyo mnaamanisha mashia kwenu NI watu wamaana kuliko mawahab

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op Před 22 dny

    Shia na sufi

  • @JailaniRamadhan-it3kp
    @JailaniRamadhan-it3kp Před 20 dny +1

    Haji mi ni mfuasi wako Ila kwa Muawiyya laanatullah mmmh sikuungi mkono wallah

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před 12 dny

      Ittaqllah mche mola wako hayawani wewe laanatullah ni wewe siyo sahabu muwaiya

  • @AbuurabiuJuma-wn5il
    @AbuurabiuJuma-wn5il Před 22 dny

    Upepo bado na ww unashida

  • @user-dp8xb3vj6g
    @user-dp8xb3vj6g Před 22 dny

    Ety ni mshia lkn nampenda dah ! Mpaka nashanga yani shekh Maelem umemwita mtovu wa Adabu tena kwa uslubu ulio mmbaya sana kisa tu kawasema mashekhe zako wa kisufi lkn lkn hapa huyu mpuuzi anawatukana maswahaba eti Mambo mengi mie nampenda dah ! Kisa tu anakuwa Anakuwa anawatukuna ao anao waita mawahabi baas yy apo tu ndo anapo mpenda Dah ! Acha upuuzi uwoo .

    • @AbdulkareemNyongoro
      @AbdulkareemNyongoro Před 22 dny

      Hawa watu hawako kwa ajili ya kaslahi ya dini ya kiilsaam. Mtu wa bida'aa hawezi inusuru dini ya Allah muone akiongea kwa unyenyekevu kwakua vibaraka wao wamesemw

  • @MuhammedHamadav
    @MuhammedHamadav Před 22 dny +1

    Asante sheh hajii

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Před 22 dny

    Nyinyi nyote shia wa kisufi musitubabaishe

  • @MuhammedHamadav
    @MuhammedHamadav Před 22 dny +1

    Asante sheh hajii

  • @MuhammedHamadav
    @MuhammedHamadav Před 22 dny

    Asante sheh hajii