Asalam aleikum warahmatullah taarah wabarakatu kweli she Allah akuongoze katika kheri inshallah ila mshaulin Dr sure aludi kwa Allah make anapokwenda dini aisem ivyo et mpen ushauli
Huyu anaongelea majini kwa kuwa hajawahi kukutana na majini wala kumiliki wala kuwajua ! Siku atayokutana na jini mmoja tu basi huyu hataongea tena kuhusu viumbe hao
@@user-ij9te1ck9p nakuambia huyu shafi siku atayokutana na jini mmoja tu basi huyu ataugua sana na hataongelea tena au kuwakejeli majini! Hajakutana nao ajue nguvu zao ndio maana anabwata sana
Allah awarehemu wazazi wko Allah awepe Njana Firdous Allah akuhifadhi sheikh wg Shafi MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah
Mungu awe pamoja nawe kwa kujishughurisha na Mambo ya Mungu
Pole yakhe sheikh ya shukran Allah akwihifazi na akupe akhra na furaha na atujalie pepo nzuri jannah
Umeongea vizuri sana mkuu... Mungu akubariki!!
Asalam aleikum warahmatullah taarah wabarakatu kweli she Allah akuongoze katika kheri inshallah ila mshaulin Dr sure aludi kwa Allah make anapokwenda dini aisem ivyo et mpen ushauli
Shekh mazinge. Allah amuweke
Kumbe Mmafia mwenzangu!
Pole sasa lakini mama hangependa upotee usijuwe mgu
Mguu na mkono anavijua
@@kdloon2030 😂
Mngu yupi?
Mwamba
Ametaja watu weng lakin cjakia jina la dokta sule, wakat amepita mikonon mwake
Amshataja mbona sema labda hujasikiliza mahojiano yote
Huyu anaongelea majini kwa kuwa hajawahi kukutana na majini wala kumiliki wala kuwajua ! Siku atayokutana na jini mmoja tu basi huyu hataongea tena kuhusu viumbe hao
@@maase2023 ivi mtaacha lini utaahira umekaribishwa wali unaulizia ugali ugenini punguzeni utaahira
@@user-ij9te1ck9p nakuambia huyu shafi siku atayokutana na jini mmoja tu basi huyu ataugua sana na hataongelea tena au kuwakejeli majini! Hajakutana nao ajue nguvu zao ndio maana anabwata sana