USTADHI SHAFII AFUNGUKA MAISHA YAKE KABLA YA MIKUTANO NA WAKRISTO NA SABATO, AMTAJA USTADH MAZINGE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • LEO USTADHI SHAFII AMETUPA HISTORIA YAKE YA MAISHA NA JINSI ALIVYOANZA MIHADHARA BAADA YA KUVUTIWA NA USTADHI HABIBU MAZINGE WA KIPINDI HICHO

Komentáře • 17

  • @omargargaar5611
    @omargargaar5611 Před 24 dny +3

    Allah awarehemu wazazi wko Allah awepe Njana Firdous Allah akuhifadhi sheikh wg Shafi MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 Před 23 dny +3

    Mungu awe pamoja nawe kwa kujishughurisha na Mambo ya Mungu

  • @user-ot5cr4hy1c
    @user-ot5cr4hy1c Před 22 dny +1

    Pole yakhe sheikh ya shukran Allah akwihifazi na akupe akhra na furaha na atujalie pepo nzuri jannah

  • @DavidMatata
    @DavidMatata Před 23 dny +1

    Umeongea vizuri sana mkuu... Mungu akubariki!!

  • @user-lm8xl4pc1d
    @user-lm8xl4pc1d Před 4 dny

    Asalam aleikum warahmatullah taarah wabarakatu kweli she Allah akuongoze katika kheri inshallah ila mshaulin Dr sure aludi kwa Allah make anapokwenda dini aisem ivyo et mpen ushauli

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 Před 5 dny

    Shekh mazinge. Allah amuweke

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před 24 dny +2

    Kumbe Mmafia mwenzangu!

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB Před 24 dny +2

    Pole sasa lakini mama hangependa upotee usijuwe mgu

  • @mikidadikiga90
    @mikidadikiga90 Před 24 dny +1

    Mwamba

  • @SundayMbatia-hr8qp
    @SundayMbatia-hr8qp Před 23 dny

    Ametaja watu weng lakin cjakia jina la dokta sule, wakat amepita mikonon mwake

    • @AbasMabuli
      @AbasMabuli Před 22 dny

      Amshataja mbona sema labda hujasikiliza mahojiano yote

  • @maase2023
    @maase2023 Před 21 dnem

    Huyu anaongelea majini kwa kuwa hajawahi kukutana na majini wala kumiliki wala kuwajua ! Siku atayokutana na jini mmoja tu basi huyu hataongea tena kuhusu viumbe hao

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Před 21 dnem

      @@maase2023 ivi mtaacha lini utaahira umekaribishwa wali unaulizia ugali ugenini punguzeni utaahira

    • @maase2023
      @maase2023 Před 20 dny

      @@user-ij9te1ck9p nakuambia huyu shafi siku atayokutana na jini mmoja tu basi huyu ataugua sana na hataongelea tena au kuwakejeli majini! Hajakutana nao ajue nguvu zao ndio maana anabwata sana