Video není dostupné.
Omlouváme se.

SHEIKH YUSUF DIWANI APINGA WAISLAM KUFUGA MAJINI NA KUTOA MBINU ZA KUTUMIA ILI MAJINI WAKUPE UTAJIRI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • TUMEONGEA NA SHEIKH YUSUF DIWANI KUHUSU HABARI ZA WAISLAMU KUFUGA MAJINI KWENYE NYUMBA ZAO NA KUWATUMIA KUPATA UTAJIRI KATIKA MAISHA YA KAWAIDA

Komentáře • 42

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny +1

    Sheikh wangu muogope Allah usitumie Elim yko vibaya al akhy

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny +1

    Wewe unamjuaje jini mwema na muovu wakt wew mwenyewe hujijui kuwa ni mwema uo ni uchawi in sha Allah Allah akuongoze mnaabudu majini

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +1

    WE UNAESEMA UISLAMU NI UCHAWI SAWA...NA UKRISTU NI UKAFIRI....HUWEZI KUFANYA IBADA UMEKAA NA MAPAJA YAKO NJE....MNALUNDIKANA WAUME KWA WANAWAKE MKIWA MMEVAA MNAVOTAKA...NI IBADA UZINZI......SHIKA DINI YAKO USIBEZE WENZAKO😊😊😊😊😊😊😊

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny +1

    Hawa wachawi kweli ila Allah awaongoze in sha Allah

  • @sizzle_tz
    @sizzle_tz Před měsícem +1

    Wa kutegemewa ni Allah sio hao viumbe hao na riziki hutolewa na yeye

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny +1

    Wew na dr Sule mchen Allah mmekula san mali za waislam kwa njia chafu

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny +1

    Jiepushe na Mambo saba yenye kuangamiza

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny +1

    Nyie wenyewe sio wema then muwajue wema wew si ulimwita abu Khaulat zayuni la kiyahudi ittaqu Allah

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před měsícem +1

    Masha'allah tumeelimika

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny

    Hadhaa saahirun kadhhaab

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or Před 20 dny +1

    Hawa wachawi wanga wanaochomeka misumari ya jahazi kwenye mibuyu kurogana mambo haya yameenea ktk miji ya waislam kutokana na mashekhe kamanyinyi mcheni Alwah

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c Před měsícem +2

    Amna kitu hapo

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota Před měsícem +1

    Sasa hapo mungu ataombwa kwel na waja wake ikiwa kuna abuu yusuufa huu ni wazi shirki kimbilio la muumin ni allah tu na c kiumbe

  • @HassanOsimine
    @HassanOsimine Před měsícem +1

    hapa hela imetembea

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před měsícem +1

    Ibuni taimia ni nani we mshirikina mkubwa sisi hatumfuati taimia na hiyo ya mtume umedanganya mtume hakuwa akienda kuwalingania majini isipokuwa ilikuwa mara moja tu na hata hivyo majini siku hiyo ndio walimuomba mtume aende kuwalingania na akakubali ombi lao na akaenda na ilitokea mara moja tu acha kudanganya watu mshirikina mkubwa wee.

  • @libhusa
    @libhusa Před měsícem +1

    Usi zue zue sheikh

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 Před měsícem +1

    Huyu sheikh angekuwa tajiri basi kama anauwezo wakumuita jini akampa sijui dhahabu ili awe tajiri .....waongo na matapeli saana hawa

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny

    Pia unawaita waislam mazayun wa kiyahudi na wengine unawaita wakatoliki na na una chuki dhidi ya waislam mche Allah kumkufurusha muislam kwa kumuita myahudi kisa amekuamia hakuna uhusiano kati ya bangili ya shaba na kuparalize

  • @libhusa
    @libhusa Před měsícem

    Wamaatakumurasulu fakudhuhu

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před měsícem +3

    Kama wapo wema wa kukuletea pesa kwanini wewe usiwe wa kwanza kuwatumia hao wema wakakupa pesa acha kudanganya watu wadanganye wajinga we mwenyewe hapo ulipo masikini wa kutupwa. Wewe hizo pesa hauzitaki?

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or Před měsícem +2

    Walinganiaji ktk milango ya jahannam watu tulivyo wajinga tumaishi ktk shirki Kisha munakuja watukama nyinyi munatufungulia malango ya shirk namuomba Alwah awahifadhi sh kondo,shaff nanyinyi awaongoze nihatari mm ñahisinimaslahi yakidunia

    • @AliAli-lu7or
      @AliAli-lu7or Před měsícem

      Mimi nibora nibakimjinga klk kisomeshwa na mtu kama huyu sababu Mimi binafi sijui kwauhakika Imani ya binaadam mweza ngu ninaemuona itakua jinni acheni kuabudu twaghiti muaminini Alwah pekee

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy Před měsícem +1

    Bin adam na majini sisi wote nivyiumbe wa mungu ila majini na bin adam hatuwezi kutumikana,sababu sisi hatuwawone ila wawo wanatuwona.
    Mwislam ukitumika na majini uyo ni mushilikina

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 Před měsícem

      @@IdrissaMoussa-tx7jy uislam ni uchawi ndio maana mnashirikiana na majini

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny +1

    Uongo mkubwa

  • @libhusa
    @libhusa Před měsícem +1

    Sheikh hiyo ni yakwako usiwapoteze umma

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w Před měsícem +1

    Hapa umechemsha

  • @MagangaEdward
    @MagangaEdward Před měsícem

    Tumeelimika Asante

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r Před měsícem +1

    Maji yalimwagika...hayazoleki

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or Před 20 dny +1

    Sasa sisi tumuombe jinni Abuuyusuf tumuache Alwah hiyo tauhid ikowapi kasemakweli Alwah kama mtawatii wengi waliopo ardhini watakupoteza uiache njia ya Alwah

  • @user-xo9rb7wj7s
    @user-xo9rb7wj7s Před měsícem

    Assalaam'alykum,,mada ya HABARI ZANU TUNAZO iko wapi.

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny

    Unamwita kwa kutumia njia gni

  • @Muswlih
    @Muswlih Před měsícem +1

    Ndo wachawi wenyew hawa

  • @Benjathekingofficialtv
    @Benjathekingofficialtv Před měsícem +1

    Hawa watu wanakuaga waongo eeeh 😂😂😂

    • @ramakazina170
      @ramakazina170 Před měsícem

      Waongo tena si kidogo mataperi kabisa.😢😢😢

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před 22 dny

    Suali mtume alikuwa akiwatumia majini wampe utajiri

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Před měsícem

    Uislam ni uchawi

  • @iradukundalvs4423
    @iradukundalvs4423 Před měsícem

    Sasa sheikh tukukuombe number utuleteye huo jini mwema kbx

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani Před měsícem +1

    Muwongo ww unasubiri nini kupewa izo dhahabu

  • @Kalaharidesertstorm
    @Kalaharidesertstorm Před měsícem +1

    Mrongo 😂

  • @ramakazina170
    @ramakazina170 Před měsícem +1

    Hawa watu sio watu wa zuri maana wanaongopea watu sana.