Nini hukmu ya kumsomea Maiti Qur'an ambaye ameshazikwa? | Shk. Mohammed Al-Busaidy

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2024
  • #FATWA

Komentáře • 34

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 Před 21 dnem +1

    Maiti asiombewe kwani nahisi si rahisi kuepuka kusoma Quran.Mara zote husikia" Fatihar", na hapo husomwa surat Alhamdu na kufuata dua.

  • @mzeeHarubu
    @mzeeHarubu Před 11 hodinami

    Toa dalili kama inasihi kumsolea Quran maiti usipotoshe watu ibadhi we

  • @user-vn6wm8ff9p
    @user-vn6wm8ff9p Před 17 dny +1

    Huyu anababaisha.

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před 11 dny +1

    SHEIKH AMEELEZA UKWELI MTUPU JUU YA KAULI YENYE NGUVU JUU YA HILO ILA WATU WA BIDAA WANAANGALIA MASLAHI YAO TU MAANA HIZO NI AJIRA ZA WATU😂

  • @ismailmuna1604
    @ismailmuna1604 Před 4 měsíci +3

    Je Dua Ni Nini Sio Qurani Maana Dua Nyingi Ziko Ndani Ya Qurani Karim RABII GHUFRILL WALIWALUDAYA YAUMA YAKUMULHISAB JE HII SIO AYA KTK QURANI KARIM????

    • @JumaHashim-wv3ju
      @JumaHashim-wv3ju Před 18 dny

      Ni kweli hujakosea lakini ww mwenyewe jiangalie unapotaka kusoma Quran unaanzaje na unapotaka kuomba dua unaanzaje? hapo utaona tofauti kati ya dua na qurani

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 17 dny

      Quran si dua elewa, ni muongozo ndani yake kuna kuonya na kubashiri habari njema.
      Ila kuna aya tunafundishwa jinsi ya kuomba au zinaelezea watu wema walivyokuwa wakiomba na ndio maana hizo tunapoomba dua huwa hatuanzi mwanzo kwasababu tukianza mwanzo kama ilivyo kwenye Quran itakuwa sio dua bali umesoma aya za Quran.

    • @YaziduIddy-u7p
      @YaziduIddy-u7p Před 10 dny

      ​@@mohdkhatib223quran ni duwa kubwa sana kwa mfano soma suratul fatiha au kama alivyosema mtume kuwa quran ni tiba

    • @ismailmuna1604
      @ismailmuna1604 Před 3 dny

      Shekh Kwa Nilivyo Soma Mimi Ndani Ya Swala Suratul Fatiha Ni Dua Tupu Na Ambwae Ni Allah Na Usipo Isoma Bila Bismillah Inakuwa Swala Yako Batwill Na Pia Ktk Swala Ya Allah Usome Dua Ambayo Ni Aya Ktk Qurani Au Dua Mutawatwil vinginevyo Swala Pia Batwill Kama Dua Zinanamna Zimefindishwa Ktk Qurani Ya Allah Kama Ibada Muhimu Ktk Kujikurubisha Mja Mola Wake Vipi Itaingia Kwenye Uharamu Ktk Kufanya Hiyo Ibada Kwa Ajili Yako Au Mzazi Wako Au Mja Yoyote Hilo Moja Pili Qurani Tukufu Ya Allah Ndio Muongozo Wetu Pamoja Na Hadithi Za Mtume Swallah Alayhi Wasalam Ikifuaywia Na Matendo Ya Maswahaba pamoja Na Usulfikhhi Za Maimamu Na Wana Zuwoni HEBU PITIA VITABU SHEKHE MOHAMED KWANZA UWONE NINI WAMEANDIKA MAULAMAA WALIOPITA SIO HAWA WA SASA JUU YA MASWALA YA KIELIMU KTK DINI HALAFU NDIO UTOE FATWA VINGINEVYO UTPOTOSHA WATU WAACHE KUFANYA IBADA ZA ALLAH SABABU NI WEWE Usiwaige Answari Utapotea Na Utapoteza Watu ELIMU YA DINI YA ALLAH NIKUBWA NA PANA SANA TUSOME SANA VITABU NA KUKANYUMA YA WANA WAZUWONI WALIO TUTANGULIA NA KUPATA ELIMU YA ZIADA KUTOKA KWAO ALLAH KARIM NDIO MJUZI WA YOTE ASALAM ALEYKU

    • @ismailmuna1604
      @ismailmuna1604 Před 3 dny

      Hebu Jiulize Kidogo Ktk Fikra Za Kibinadamu Ktk Hizo Amali Tatu Alizo Sema Mtume Swallah Alayhi Wasalam Moja Ni Mtoto Mwema Kuwaombea Mghfira Wazazi Wake JE ATWAOMBEA VIPI NA IKIWA WEWE WASEMA QURANI HAIFAI KUOMBEWA MTU ALIOKUFA MAANA ( RABII GHUFRILL WALIWALIDAYA WALIMUMININA YAMUU KUMULL HISABU HII NIMOJA KTK SASA HILI WALIWEKAJE NAZIKO AYA NYINGI AMBAZO NI DUA KTK QURANI PIA HAZIFAI KUOBWA ????

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir Před 16 dny

    Ni majibu ya kimadhehebu ama

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed628 Před 19 dny

    Kumbe unajuwa kuwa hakuna Ittifaaq juu ya hilo jambo kwa Maulamaa mbona usiweke wazi tu unawafanya Maulamaa walio na rai tofauti yako kuwa wapotofu tu

  • @issasalum274
    @issasalum274 Před 4 měsíci +3

    Haya ndiyo mawazo ya Ma-Answar Sunna. Hata kumtolea swadaka marehemu mzazi wako kwao ni bid-aaa. Inna Lillahi wa Inna Illayhi Raajiiuun

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 19 dny

      Acha chuki zako we kama hutaki hakkibunataka kufata uzushi fata si tunamfata mtume wwtu ninyi munaochukia chukieni hakki ndo hiyo alichofanya mtume tutafanya alichokataza tutaacha sasa unaifanyia ukaidi dini ya mungu ww utukaidi sisi unamkadi mtume ndugu sisi kufikisha tuuh

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 17 dny

      Msikilize vizuri huyo shekh. Huyo sheikh si katika Answar Sunna ila ameongea kwa dalili na huo ndio usahihi.
      Mtume saw ndio kigezo chetu (role model) katika kila ibada, sasa tukuulize wewe, mbona mtume saw alifiwa na watu wake wengi wakiwemo wanawe lakini hakufanya huo uzushi?
      Mtume saw amefundisha kila kitu.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 17 dny

      Sikuzote Allah akimuacha kupotea mtu huwezi muongoza ww kaka watu washapotezwa na mababu zao na mshehe wao wanaona kumsomea mayt kuruani ile ndo dinni kwenye madrasa zao toka watoto wanafundishwa hizo bidaa na wanazifanya kwahiyo vigumu kuwaongoza watu kama Hawa mpk Allah atake yeye ye alishasema mwenye kumpiga pande mtume aliyakuwa kashabainikiwa na wongofu tutampelekea alikoelekea

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn Před 11 dny

      Hayo ni yako ww kwa sbb huelewi kitu yeye hajazungumza kutoa swadaka

    • @YaziduIddy-u7p
      @YaziduIddy-u7p Před 10 dny

      ​@@user-yj5on8cz3eacha ufinyu wa elimu hadithi zipo nyingi tu za kusomea maiti quran thawabu zinamfikia

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Před 10 dny

    SHEIKH SAMAHANI. HADITHI DHAIFU YA KUSOMEA QURAN IPO SAWA. LAKINI NI DHAIFU. JEE WEWE UNAYO HADITHI SAHIHI YA KUKATAZA MAITY KUSOMEWA QURAN AU UMETUMIA SHAHAWA ZAKO KUPINGA?!

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 10 dny

      mtume amesema ushuhuda ni wa yule anaeidai . nyinyi ndo mutoe hadithi ya kuthibiti juu ya kusoma kur an.

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 7 dny

      ​@@medimisi6930 MTUME SAW AMESEMA " HALALI IMEBAINISHWA NA KHARAMU IMEBAINISHWA" IPO hadithi dhaifu imebanisha HALALI uhalali WA kusomewa maity quran. SASA wewe lete hadithi sahihi au japo dhaifu useme Ni KHARAMU kusomewa maity. wewe mlalamikaji Lete dalili ya kudhulumiwa kwako.

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791 Před 3 měsíci

    Ziko rai za ulamaa lakini hii ndo twaona SISI ni thabit. Kwan nyinyi ni nani mpaka mukiona nyinyi ndo haki

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 17 dny

      Sikuzote Allah umuongoa amtakae watu mtu umezaliwa umekuta mababu zako wanafanya hizo bidaa na wanafundisha misikitini toka mkiwa watoto nani akueleze kitu umuelewe akimuacha kupotea Allah huwezi muongoza hata mtume aliambiwa hilo ww unakuwa unakuta wazee wako wanasoma kuruani makaburini wanasomea mayt arafu aje mtu akupe dalili za wazi kuwa mtume kakataza huwezi muelewa sabu mababu wako ndo walidumu kwenye bidaa hiyo utamuelewaje mtu na allah anasema katika kuruani wale wanaompiga pande mtume ali ya kuwa uwongofu umewababinikia tutawaelekeza watakako wao

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Před 5 dny

    Sasa hizo rai za maulamaa ukizifuata ni dhambi?