HATUPIGI KURA YA SIKU 2 NA SERIKALI WATAITOA-OTHMAN MASOUD

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 41

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +5

    Ndio. Mh othman rais wetu mtarajiwa. Kuelekea mamlaka kamili ya zanzibar❤❤❤❤

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u Před 7 dny

    Mungu akulinde

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před měsícem +4

    Mungu mkubwa. Kamchukua kiumbe chake Maalim Seif mwana siasa. Katuletea OMO mwanasheria.❤

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u Před 7 dny

    Hongra sana

  • @SamahyraOmarKassimSamomar

    Good

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un Před měsícem +2

    Mara zote haki inasimama na pia Haki haiwezi potea kamwe muhimu ni uvumilivu ipo siku Allah atatufanyia wepes na sisi inshallah 🤲🤲🤲

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před měsícem +2

    Mhe. Othman tuko pamoja. Na yoyote anaekubeza ujue ana khitilafu ya uzanzibari wake. Mzanzibari halisi hawezi kukubeza.

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 Před měsícem +2

    Allahumma Amin. Allah Ibariki Zanzibar, Allah mbariki Omo

  • @kamandaraster7899
    @kamandaraster7899 Před měsícem

    Huyu..ndo..kiongozi..bhanaaa

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před měsícem +2

    Hatukubali tena kuporwa. Wakimuonea Maalim tu. Wakituuwa au kutupiga na sie tutawaendea majumbani mwaoo

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 Před měsícem +2

    Chuma Icho, mara hii wamejichanganya

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un Před měsícem +2

    Nakuelewa sana omo

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 Před měsícem +2

    Hongera sana

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket Před měsícem +1

    Shukran

  • @AminiAbdullahSeif
    @AminiAbdullahSeif Před měsícem +1

    Good

  • @drabdi6806
    @drabdi6806 Před 7 dny

    mbona hao watu unaozungumza nao hatuwaoni

  • @user-os3ed2nl2k
    @user-os3ed2nl2k Před měsícem

    Kusini ya kijani oyeeeeee ...Doct mwinyi oyeeeeee. Mama Samia .Oyeeeeee.

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +2

    Na mzanzibari haswa. Hawezi kumkataa othmna hata ukiona anampiga vita ujue co mzanzibar huo ndio ukweli

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před měsícem

      Ukitaka kuujua unafiki wake kumbuka alivyokua CCM

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 Před měsícem

      Kwan maswahaba kabla ya kuwa maswahaba walikuwa viiip mwanzo? Sisi ikiwa anafanyia udanaganyifu basi ALLAH ndie atakae mtiibu na kumtia nakora zake akhera twendako

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před měsícem +2

      Yeye mwenyewe alisema hakuwahi kuwa mwanachama wa chama chchote isipokuwa alikuwa mtumishi wa umma ,na alisimamia utaratibu wa pale anapofanya kazi,na ndio alipokuwa Mwanasheria wa Serikali uliona Bunge la katiba ?.au humfatilii yukoje .unasema tu.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před měsícem +1

      ​@@MuhidiniNassorAkili zako zimeshikiliwa na mshipa wa haja kubwa!🎉

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      ​@@AliSalim-yu4mo😂😂😂😂😂

  • @ISSAJR-fo5nt
    @ISSAJR-fo5nt Před měsícem +2

    Watu wa kusini, he, heee😅😅

  • @haydarabdallah7914
    @haydarabdallah7914 Před měsícem +1

    💜💜💜

  • @MohamedKassimIdrisa-gg1oe
    @MohamedKassimIdrisa-gg1oe Před měsícem

    Bora mmalize muda wenu mwaka huu mwenyezi mungu akitujaalia mwakani kwenye uchaguzi mkuu tukupeni wawakilishi wenu 4 ili msiwe na sifa za kuunda serikali ya pamoja tumekuchokeni

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před měsícem

      Unamwambia nani?

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu Před měsícem +2

      Hujielewi ww mjinga ww unaeongea hivo nikama nani ww huna uzanzibari ww nimkuja

    • @SalimLikindy
      @SalimLikindy Před měsícem +1

      Hata wasipewe Jimbo hata Moja,midomo wamepewa na Allah wataendelea kuyasema mouvu yote ya nchi hii. Kama unakereka na utakereka sana.😂😂

    • @alijuma7674
      @alijuma7674 Před měsícem

      Huyu jamaa anatuletea fitina hata tusipate jimbo hata moja km 2015 mbwa wewe kidole juu

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Před měsícem

      @@MohamedKassimIdrisa-gg1oe hiyo imo kwenye katiba haiondoki

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před měsícem

    P1

  • @Farida-uz3vr
    @Farida-uz3vr Před měsícem

    • @SudiKhamisi
      @SudiKhamisi Před měsícem +1

      Ndio hapo nime peda Kiongoz

    • @albahsans
      @albahsans Před měsícem +2

      Allah akuongoze kama alivyo kutowa jangombe akakunyanyuwa ikiwa mwana Sheria sasa akupe uraisi inshallah

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u Před 7 dny

    Ujinga ujinga huu sasa bas