Kwan maswahaba kabla ya kuwa maswahaba walikuwa viiip mwanzo? Sisi ikiwa anafanyia udanaganyifu basi ALLAH ndie atakae mtiibu na kumtia nakora zake akhera twendako
Yeye mwenyewe alisema hakuwahi kuwa mwanachama wa chama chchote isipokuwa alikuwa mtumishi wa umma ,na alisimamia utaratibu wa pale anapofanya kazi,na ndio alipokuwa Mwanasheria wa Serikali uliona Bunge la katiba ?.au humfatilii yukoje .unasema tu.
Bora mmalize muda wenu mwaka huu mwenyezi mungu akitujaalia mwakani kwenye uchaguzi mkuu tukupeni wawakilishi wenu 4 ili msiwe na sifa za kuunda serikali ya pamoja tumekuchokeni
Ndio. Mh othman rais wetu mtarajiwa. Kuelekea mamlaka kamili ya zanzibar❤❤❤❤
Mungu akulinde
Mungu mkubwa. Kamchukua kiumbe chake Maalim Seif mwana siasa. Katuletea OMO mwanasheria.❤
Hongra sana
Good
Mara zote haki inasimama na pia Haki haiwezi potea kamwe muhimu ni uvumilivu ipo siku Allah atatufanyia wepes na sisi inshallah 🤲🤲🤲
Mhe. Othman tuko pamoja. Na yoyote anaekubeza ujue ana khitilafu ya uzanzibari wake. Mzanzibari halisi hawezi kukubeza.
Allahumma Amin. Allah Ibariki Zanzibar, Allah mbariki Omo
Huyu..ndo..kiongozi..bhanaaa
Hatukubali tena kuporwa. Wakimuonea Maalim tu. Wakituuwa au kutupiga na sie tutawaendea majumbani mwaoo
Chuma Icho, mara hii wamejichanganya
Nakuelewa sana omo
Hongera sana
Shukran
Good
mbona hao watu unaozungumza nao hatuwaoni
Kusini ya kijani oyeeeeee ...Doct mwinyi oyeeeeee. Mama Samia .Oyeeeeee.
We pekeo ndiy umeonekana humu
Na mzanzibari haswa. Hawezi kumkataa othmna hata ukiona anampiga vita ujue co mzanzibar huo ndio ukweli
Ukitaka kuujua unafiki wake kumbuka alivyokua CCM
Kwan maswahaba kabla ya kuwa maswahaba walikuwa viiip mwanzo? Sisi ikiwa anafanyia udanaganyifu basi ALLAH ndie atakae mtiibu na kumtia nakora zake akhera twendako
Yeye mwenyewe alisema hakuwahi kuwa mwanachama wa chama chchote isipokuwa alikuwa mtumishi wa umma ,na alisimamia utaratibu wa pale anapofanya kazi,na ndio alipokuwa Mwanasheria wa Serikali uliona Bunge la katiba ?.au humfatilii yukoje .unasema tu.
@@MuhidiniNassorAkili zako zimeshikiliwa na mshipa wa haja kubwa!🎉
@@AliSalim-yu4mo😂😂😂😂😂
Watu wa kusini, he, heee😅😅
💜💜💜
Bora mmalize muda wenu mwaka huu mwenyezi mungu akitujaalia mwakani kwenye uchaguzi mkuu tukupeni wawakilishi wenu 4 ili msiwe na sifa za kuunda serikali ya pamoja tumekuchokeni
Unamwambia nani?
Hujielewi ww mjinga ww unaeongea hivo nikama nani ww huna uzanzibari ww nimkuja
Hata wasipewe Jimbo hata Moja,midomo wamepewa na Allah wataendelea kuyasema mouvu yote ya nchi hii. Kama unakereka na utakereka sana.😂😂
Huyu jamaa anatuletea fitina hata tusipate jimbo hata moja km 2015 mbwa wewe kidole juu
@@MohamedKassimIdrisa-gg1oe hiyo imo kwenye katiba haiondoki
P1
❤
Ndio hapo nime peda Kiongoz
Allah akuongoze kama alivyo kutowa jangombe akakunyanyuwa ikiwa mwana Sheria sasa akupe uraisi inshallah
Ujinga ujinga huu sasa bas