Mansour Himidi asema CCM imeshakufa bado kuzikwa tu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama cha ACT Wazalendo, Mansour Yusuf Himidi, anasema hakuna njia yoyote ya kuiokowa CCM kwa mahala ilipofikia.

Komentáře • 25

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm Před měsícem +3

    Allah tuseidie ccm iondoke madarakani tumechoka

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Před měsícem +1

    Yes unafaa kuwa Rais wa Zanzibar

  • @abhamidtz9320
    @abhamidtz9320 Před měsícem +1

    Nawapenda san

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Před 28 dny +1

    Ccm yamebaki matahira matupu

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n Před 19 dny

    Yarabi iangamize ccm kama ulivyomuangamiza firauni na jeshilake amin

  • @allynassoro8448
    @allynassoro8448 Před 6 dny

    zAamin

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 Před 19 dny

    kutoka huku kuingia huku ni uongo tusiambiane uongo jmn

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 Před 19 dny

    ss ww si umetoka ccm uko uko leo hii inakuajee hmna kitu apo mkuu

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc Před měsícem

    Leo hii

  • @saidakiwale9227
    @saidakiwale9227 Před měsícem

    Jamani wanajipa matumaini hawa watu nawapa pole maana wamejazaa uwañja hongera zao na pole zao

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm Před 29 dny

      Kwani hayo maccm bila gari bure inakuaje

    • @jumabonge8577
      @jumabonge8577 Před 19 dny

      si mzima ww

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i Před 12 dny

      MIONGONI MWA WATU WALIOENDA KINYUME NA MISINGI NA WEWE PIA UMO PAMOJA NA SHEMEJI YAKO WEWE NDIO FOUNDER WA JANJAWIRI HAPA ZANZIBAR TENA ULIKUWA KATIBU WA FEDHA, MIPANGO NA UCHUMI. SHEMEJI KAACHIA NGAZI HUNA NAFASI TENA MUASISI WAJANJAWIRI UMEJICHANGANYA KATIKA JAHAZI UKIWA ULEDI

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm Před 11 dny

      @@MuzneOthman-l7i misingi gani

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Před měsícem +4

    ALIZIKA AFRO-SHIRAZI
    ZIKENI
    CHAMA CHA MAPINDUZI
    Abeid Karume alikataa hadharani ombi la Nyerere la kuvunja Afro-Shirazi.
    Baada ya kuuliwa, Nyerere alivunja na kuzika Chama Cha Afro-Shirazi bila ya Ridhaa ya Wazanzibari na alilazimisha Chama Cha Mapinduzi kuwa Dodoma.

    • @knight6757
      @knight6757 Před měsícem

      🤔

    • @mohammedhamad9392
      @mohammedhamad9392 Před měsícem

      Maneno yako matamu kuliko Kawa 😊😊😊

    • @EliasPaul-qs2ib
      @EliasPaul-qs2ib Před 24 dny

      Huijui historia vizuri Kaa utulie

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 24 dny

      @@EliasPaul-qs2ib Hujakosea kwa sababu sina maradhi ya NYEREREPHILIA au NYEREREISM baada ya Muungano wa Karume, Mzaliwa wa Nyasaland na Nyerere, Mzaliwa wa Tanganyika. Wote hawakuzaliwa Zanzibar na siku chache baada ya Crusade (Mapinduzi Matukufu), Nyerere alipeleka Jeshi Zanzibar kumlazimisha na kumtisha Karume akubali Muungano wa Zanzibar na Tanganyika.

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i Před 19 dny

      ​@@khatibal-zinjibari6956NANI ALIZALIWA ZANZIBAR?