MIONGONI MWA WATU WALIOENDA KINYUME NA MISINGI NA WEWE PIA UMO PAMOJA NA SHEMEJI YAKO WEWE NDIO FOUNDER WA JANJAWIRI HAPA ZANZIBAR TENA ULIKUWA KATIBU WA FEDHA, MIPANGO NA UCHUMI. SHEMEJI KAACHIA NGAZI HUNA NAFASI TENA MUASISI WAJANJAWIRI UMEJICHANGANYA KATIKA JAHAZI UKIWA ULEDI
ALIZIKA AFRO-SHIRAZI ZIKENI CHAMA CHA MAPINDUZI Abeid Karume alikataa hadharani ombi la Nyerere la kuvunja Afro-Shirazi. Baada ya kuuliwa, Nyerere alivunja na kuzika Chama Cha Afro-Shirazi bila ya Ridhaa ya Wazanzibari na alilazimisha Chama Cha Mapinduzi kuwa Dodoma.
@@EliasPaul-qs2ib Hujakosea kwa sababu sina maradhi ya NYEREREPHILIA au NYEREREISM baada ya Muungano wa Karume, Mzaliwa wa Nyasaland na Nyerere, Mzaliwa wa Tanganyika. Wote hawakuzaliwa Zanzibar na siku chache baada ya Crusade (Mapinduzi Matukufu), Nyerere alipeleka Jeshi Zanzibar kumlazimisha na kumtisha Karume akubali Muungano wa Zanzibar na Tanganyika.
Allah tuseidie ccm iondoke madarakani tumechoka
Amiin YARABBY
Yes unafaa kuwa Rais wa Zanzibar
Nawapenda san
Ccm yamebaki matahira matupu
Yarabi iangamize ccm kama ulivyomuangamiza firauni na jeshilake amin
Amiin YARABY
zAamin
kutoka huku kuingia huku ni uongo tusiambiane uongo jmn
ss ww si umetoka ccm uko uko leo hii inakuajee hmna kitu apo mkuu
Leo hii
Jamani wanajipa matumaini hawa watu nawapa pole maana wamejazaa uwañja hongera zao na pole zao
Kwani hayo maccm bila gari bure inakuaje
si mzima ww
MIONGONI MWA WATU WALIOENDA KINYUME NA MISINGI NA WEWE PIA UMO PAMOJA NA SHEMEJI YAKO WEWE NDIO FOUNDER WA JANJAWIRI HAPA ZANZIBAR TENA ULIKUWA KATIBU WA FEDHA, MIPANGO NA UCHUMI. SHEMEJI KAACHIA NGAZI HUNA NAFASI TENA MUASISI WAJANJAWIRI UMEJICHANGANYA KATIKA JAHAZI UKIWA ULEDI
@@MuzneOthman-l7i misingi gani
ALIZIKA AFRO-SHIRAZI
ZIKENI
CHAMA CHA MAPINDUZI
Abeid Karume alikataa hadharani ombi la Nyerere la kuvunja Afro-Shirazi.
Baada ya kuuliwa, Nyerere alivunja na kuzika Chama Cha Afro-Shirazi bila ya Ridhaa ya Wazanzibari na alilazimisha Chama Cha Mapinduzi kuwa Dodoma.
🤔
Maneno yako matamu kuliko Kawa 😊😊😊
Huijui historia vizuri Kaa utulie
@@EliasPaul-qs2ib Hujakosea kwa sababu sina maradhi ya NYEREREPHILIA au NYEREREISM baada ya Muungano wa Karume, Mzaliwa wa Nyasaland na Nyerere, Mzaliwa wa Tanganyika. Wote hawakuzaliwa Zanzibar na siku chache baada ya Crusade (Mapinduzi Matukufu), Nyerere alipeleka Jeshi Zanzibar kumlazimisha na kumtisha Karume akubali Muungano wa Zanzibar na Tanganyika.
@@khatibal-zinjibari6956NANI ALIZALIWA ZANZIBAR?