Tazama Gari La Laki Saba Lilivyompa Sheikh Walid Gari Aina Ya V8 Na ZX Asimulia Mwanzo Mwisho

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM CZcams @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

Komentáře • 60

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před měsícem +8

    Mufti Allah akulipe kwa kumuona Shekh Walid Hakika tunanufaika na ndio Bakwata yetu inatakiwa ielekee

  • @mrishoali1755
    @mrishoali1755 Před měsícem +1

    MasshaAllah Shegh Walid Usichoke na sisi InshaAllah hatutochoka kufatlia na kuijua dini yet wanazuon wanapungua na sisi tulionyuma yao tunapaswa kukamat ufmbo mkono kwa mkono hadi pepon InshaAllah

  • @abdullakhalfan31
    @abdullakhalfan31 Před měsícem +11

    Nakukubali Sheikh Walid Mashaa Allah.

  • @MAIMUNAABDALA-m4u
    @MAIMUNAABDALA-m4u Před 26 dny

    Nakupenda San shekh waldy

  • @Majhidymhessa
    @Majhidymhessa Před měsícem +3

    Ma Sha Allah
    Mollah akuzidishie umri,kweli wewe ni kichwa kwa hesabu hizo na tukiamua kwa yakini waislam tunaweza fika mbali

  • @abbasmungia266
    @abbasmungia266 Před 26 dny

    Hikma kubwa Masha Allah

  • @user-hk4ub8sy3z
    @user-hk4ub8sy3z Před měsícem +2

    Mashallah shekh Walid mola akulinde na hasad za watu na majini.

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před měsícem +1

    MASHALAH
    SHEKH WALIDI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Před měsícem +1

    Mashaallah Sheikh Walid, sio yule mtu wa michapo ya kinadada

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před měsícem +1

    Mashaa Allah Allha akulipe tutumie mda vzr fursa zipo ilituendelez dini na maisha kwaujumla.

  • @marijanmussa
    @marijanmussa Před měsícem +1

    Mashaallah

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 Před měsícem

    Daaahu hyu sheikh Allah amemjaalia hekma mno,uwezo mkubwa wa kuzungumza

  • @kapayaone748
    @kapayaone748 Před měsícem

    My role model -Masha Allah

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 Před měsícem

    Mashaallah masheikh zetu kwa kikao kizuri....

  • @ladooladoo1285
    @ladooladoo1285 Před měsícem

    Huyu shekhe Maa shaa Allaah napenda uongeaji wake ni mtu simple ukimuona, uongeaji wake taratibu na mwingi wa hekima kuongea kwa mifano halisi kunafahamika zaidi wala hana usabii Allaah Akuhifadhi na Aturuzuku na sisi
    Lakini niwaambie siri ya mafanikio mnajua ni nini? Kumpa mtoto elimu ya kumtambua Mungu kwanza kwa hiyo safari inayobakia inakuwa nyepesi Allaah Atupe hekima ya ulezi kwa vizazi vyetu

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 Před měsícem +2

    Uchumi, uchumi wa waislam uanzie kwenye madrasa/misikiti . wakati watoto wanasoma dini basi wafundishwe pia namna ya kujipatia kipato. Hii inawezekana kama madrasa ikiwa na maeneo ya adhi wakatumia kufuga( kuku, mbuzi, ngombe,) ama kufanya kilimo kwa mazao ya chakula na biashara (mahindi alizeti, maharage,nk) . Vilevile wafundishwe ujuzi wa computer, mechanics, umeme nk. Hii inawezekana ikiwa watawatumia/kuwaalika wataalam mbalimbali wa Kiislam hata wasio waislam. Kupelekwe mafungu ya fedha kila madrasa iweze kufanya mradi wake, ili wanafunzi wakihitimu wasiwe tegemezi na kudhalilika mtaani ama kujiingiza kwenye mikopo yenye riba, kamati na kujiuza. Inshaallah kila kitu kinawezekana tukitafakari na kuja na fikra za kujiinua kiuchumi.
    Allah awabariki, na Awatimizie malengo haya mazuri masheikh wangu.

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk Před měsícem +1

    Maashaallah lazima tuwe na uchumi wetu

  • @athumansaid796
    @athumansaid796 Před měsícem +5

    Walid wamuache kabsaaaa

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Před měsícem

    Allah azid kkuhifadhi kwa kheri alhamdulilah nakupenda kwa ajili ya Allah. Na ssi yuko tayari kuchangia kwa ajili ya maendeleo ya uslam daima

  • @gharibsomali4595
    @gharibsomali4595 Před měsícem +2

    Hapo umeongea ukweli kutafakari muhim na nyinyi mjitambue munaendeshwa kwa misingi gani au munaenda tu kwa vile mumepata sehem ya kula ongea ukweli yasiyo faa

  • @majaliwahassan2555
    @majaliwahassan2555 Před měsícem

    Masha allha mungu awasimamie kwenye mawazo hayo hakuna kinacho shindikana kwenye maamuzi

  • @KhalidMzala
    @KhalidMzala Před měsícem

    Mashaallah Allah awape kiongozi wetu wadini umri mrefu wenye manufaa na afya njema

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 Před měsícem +2

    Mashaallah, Allah akuhifadhi kipenzi chetu shekh Walid Alhad Omar Kawambwa Kinyamkinda😀, hakika wewe ndiyo mtoto wa mjini hasa, tunawaombea na wale ndugu zetu waliokuja mjini awaondoshee husda na roho mbaya tuwe nao pamoja mjini

  • @jemrezeejemrezee9451
    @jemrezeejemrezee9451 Před měsícem +1

    Huyu jamaaa nifaswaha sana kwenye kuongea mashaAllha

  • @seifusengondo9170
    @seifusengondo9170 Před měsícem +4

    mufti ajaye Shekh Walid

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 Před měsícem

      inafaa tupate mtu mwenyebmaarifa mengi sana. ya dunia na dini ... hawa wanafaa kuwa washauri wa mufti katika maeneo fulani fulani....., kwa uelewa wao kuhusu dunia na mambi hayo ndio maana hauwaoni bakwata wakiwa katika shuguli za maendeleo zaidi ya kufungisha ndoa

  • @athumanzanangwa4477
    @athumanzanangwa4477 Před měsícem +1

    Nasaha nzuri sana.
    Tuunge mkono kivitendo katika maeneo yetu kwa fursa zilizopo!

    • @allykama3352
      @allykama3352 Před měsícem

      Jitambuwe.+badilika+ aca mazoweya=mafanikiyo😊

  • @abdallahferouz9238
    @abdallahferouz9238 Před měsícem

    ماشاء الله وجزاك الله خيرا 🤲❤

  • @AmriMzeru
    @AmriMzeru Před měsícem +1

    Hili somo nimelipenda

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b Před měsícem

    Mabadiliko ya ante na kuwalipa Mishawaka mizuri waalimu wa vyuo na masheikh kazi kubwa sana wanaifanya. Itapunguza kuombaomba na majungu. Wendi siku hizi wamekuwa waganga

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 Před měsícem

    Mashaallah umepataja kwetu lusanga.

  • @athumanzanangwa4477
    @athumanzanangwa4477 Před měsícem +1

    Mashaallah.
    Shukran sana Sheikh.
    Tuingie kwenye utekelezaji!

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 Před měsícem +2

    Maneno ya shekh Wald kama kila kiongozi wa kiislamu atayafata waislamu tutakua mbali sana duh!! Ameongea vizuri sana

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před měsícem

    Safi sana shekh umeongea kweli sisi waisilam tumejaa majungu sana

  • @hashimrwegasira3790
    @hashimrwegasira3790 Před měsícem +1

    Ta sheikh walid okugamba amazima omukama akubele edini ogishomile nefaida ntugipata kulaba aliwe

  • @user-tj5bf4yy3e
    @user-tj5bf4yy3e Před měsícem

    Imenisisimua sana Shekh hongera

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před měsícem

    Maa Shaa ALLAH 🇰🇪💚

  • @SulumaSwaleh
    @SulumaSwaleh Před měsícem

    MASHALLAH BIN GHAMMY , ALLAH AKUPE PEPO KWA HURUMA ZAKE.

  • @user-zj2xq1od5l
    @user-zj2xq1od5l Před měsícem

    Mashaallah man'jan'da wajadah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Před měsícem

    Maasha allah

  • @muhsinchambega
    @muhsinchambega Před měsícem

    Jazakallah kheir

  • @shabanikitogo6613
    @shabanikitogo6613 Před měsícem +1

    Hiki kichwa sio yule aliyekuwa kila siku ikulu kuomba msaada .

  • @Munatiyahilwa
    @Munatiyahilwa Před měsícem

    ALLAHUMA BAARIK❤

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před měsícem

    Baraka llahu fik

  • @nuhubashiramubashira7233
    @nuhubashiramubashira7233 Před měsícem

    Maashalaah maashalaah

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 Před měsícem

    Masha Allah

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 Před měsícem +1

    Yaani huyu Sheikh ni hazina hasa

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 Před měsícem +1

    Alhamdulillah

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Před měsícem +1

    Umenijenga

  • @user-ow6fw2lw7n
    @user-ow6fw2lw7n Před měsícem +1

    Soini ata nn nachangia kwa furaha allh akbar jambo ambalo ni kiu yetu siku nyingi

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 Před měsícem

    Walidi ni hazina ya koa wa darsalama na Tanzania angalia tafakkuri hiyo

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk Před měsícem +1

    itolewe namba ya kuchangia

  • @majaliwaking4500
    @majaliwaking4500 Před měsícem

    mashekh hayo ndio yanafanya kupindisha haqqi

  • @Sajotommy-w1l
    @Sajotommy-w1l Před měsícem

    Mashaallah

  • @SelemaniSelemani-bw4ps
    @SelemaniSelemani-bw4ps Před měsícem

    Mashaa allah

  • @AffectionateFood-rz5sv
    @AffectionateFood-rz5sv Před měsícem

    Mashaallah

  • @GiftKivevele
    @GiftKivevele Před měsícem

    Mashallah