Ma shaa allah nna hakika habari hii haijui huyu mtoto na nime furahi kwa kumfundisha bila shaka itamfikia maana ni mvurugaji wa akili za watu huyo mtoto
WATU WA BID'A/MAKHURAFI,HAWANA UWEZO WA KUWAFEDHESHA WATU WA SUNNAH,MAANA SUNNAH NI HAKKI NA BID'A NI BAATWIL, VIPI BAATWIL IWEZE KUISHANDA HAKKI,, HAMTAWEZA HADI KIAMA!! SHIDA YA YUSUF DIWANI NA HAJI UPEPO,NI WAONGO WANADANGANYA WATU KAMA WAFANYAVYO WANASWARA!! NA KUSOMEA WATU MANENO YA WANAVYUONI KWA KUYAGEUZA GEUZA ILI YAKUBALIANE NA UWONGO WAO!!
Huyu mtoto wa Sheikh Nasoro Alitalia kunitoa katka Maulid bure kumbe yeye ndiyo uelewa wake ndiyo finyu na siyo aibu kurudi darasani tena kuchukua elimu. Alhamdulillahi nimeelewa vizuri na nabakia na Maulid yetu na ujumbe kwa mtoto wa Bachu ni kuwa acha fitna vinginevyo utakuja kuchoma wewe bwana mdogo tunacheza na Maulid yetu na nyie mawahabi endeleeni na Bidaa yenu ya mashindano ya Qur'an.
MANENO YAKO NI YA UWONGO!! HATA YA KIWA HIVYO!!BASI SISI HATUKUBALUANI NAYO!! MAANA WATU WA SUNNA HUMFUATA MTUME,SISI WANAZUONI TUNACHUKUWA WALIYOPATIA NA YANAENDANA NA MAFUNZO YA MTUME صلى الله عليه وسلم
Maana ya kumtaja umpendae kwa mujibu wa ibn taymii inamaana wenzetu hawakua anaepeza kwao kama MTUME na ndo mana wote walimtaja yeye sio kila umpendae wala sio mkeo eleweni misamiati
Mtoto wa Bachu bora ungepumzika kusemasema. Kila ukisema unajidhalilisha na kujitangaza kuwa wewe ni mtupu kielimu. Sikiliza wenzako wanavyotoa hoja za kisomi. Wewe unanukuu kitabu halafu unatafsiri kinyume chake ili uwaridhishe wanaokupa mshahara.
Ni kweli mbona mmeshidwa kumtetea barzaji. Na kama kweli nyinyi wa kweli mbona mnaongea inji ya debate namlialikwa hamukuja kwa mdahalo .Wacheni porojo.
assalam alaykum.shekhe mtu akigaiwa kitanga hanyi jagi zima. hadithi ya myama kukimbia, kauli ya kuwa jangwani hakuna mtu umeipata wapi mbona hujatueleza kwenye hadithi?je kama waja wa allah ni watu wapo jangwani? kusaidiana katika wema jambo lipo.ama herufi في katika في الارض kuwa ni (ndani) ya ardhi,herufi zategemeana maana.assalam alaykum.
sheikh una uwelewa mdogo.laiti ingetumika hapo kwenye dawa ya sikioثم يصل عليkidogo tungekubaliana maana igelikuwa kitendo cha kutaja na kusalia vimepishana.ila واليصل علي hapa vitendo viwili vyafanyika mda huwo huwo.hivyo kumtaja au sala ya mtume lazima uanze na allah(s.w) wasoma wapi weee?😂
@@abiabi9353 USIPATE NAO SHIDA HAO MAWAHABI HAWANA WANACHO KIJUA KAMA WANAJUA HALALI IKO WAZI WASINGEJARIBU KUSEMA ALLAH ANAMASIKIO, MACHO, MIKONO , MIGUU NA USO ALAFU WANASEMA WANAFATA SUNNAH LABDA YA SHETANI ALLAH AWAONGOZE .
Ma shaa allah nna hakika habari hii haijui huyu mtoto na nime furahi kwa kumfundisha bila shaka itamfikia maana ni mvurugaji wa akili za watu huyo mtoto
SHUKRAN SHEIKH WETU ALLAH AKUZIDISHI NA AKUPE UMRI MREFU
Watu wasome angalia mwanzo hadithi jee ni sahihi au dhaifu
Huyo mtoto wa bachu amekuja na daawa yakutoa watu katika uislamu kwa uweleo wake finyo hiyo daawa iliyotengenezwa na mayahudi.
WATU WA BID'A/MAKHURAFI,HAWANA UWEZO WA KUWAFEDHESHA WATU WA SUNNAH,MAANA SUNNAH NI HAKKI NA BID'A NI BAATWIL,
VIPI BAATWIL IWEZE KUISHANDA HAKKI,,
HAMTAWEZA HADI KIAMA!!
SHIDA YA YUSUF DIWANI NA HAJI UPEPO,NI WAONGO WANADANGANYA WATU KAMA WAFANYAVYO WANASWARA!!
NA KUSOMEA WATU MANENO YA WANAVYUONI KWA KUYAGEUZA GEUZA ILI YAKUBALIANE NA UWONGO WAO!!
Huyu mtoto wa Sheikh Nasoro Alitalia kunitoa katka Maulid bure kumbe yeye ndiyo uelewa wake ndiyo finyu na siyo aibu kurudi darasani tena kuchukua elimu.
Alhamdulillahi nimeelewa vizuri na nabakia na Maulid yetu na ujumbe kwa mtoto wa Bachu ni kuwa acha fitna vinginevyo utakuja kuchoma wewe bwana mdogo tunacheza na Maulid yetu na nyie mawahabi endeleeni na Bidaa yenu ya mashindano ya Qur'an.
Jazakallahu kheiyra maulana
Mashaallah. Imeeleweka
Ya rabbi tuongoze kwenye njia ilionyooka
شكرا لك وجزاك الله خيرا
Asante shekh
Hata ktk zakatul qurisy mwishini limetwaja aliyy
MANENO YAKO NI YA UWONGO!!
HATA YA KIWA HIVYO!!BASI SISI HATUKUBALUANI NAYO!!
MAANA WATU WA SUNNA HUMFUATA MTUME,SISI WANAZUONI TUNACHUKUWA WALIYOPATIA NA YANAENDANA NA MAFUNZO YA MTUME صلى الله عليه وسلم
Hiyo Quran yenyew hamjaimaliza na hadidh za mtume Muhammad mnahangaika na barazanj
We wap una toa hayo maneno hv Kuna una elewa unachoo kusema au una ropokaa
Bachu hujui chochote zaidi wajichora
Vibaya hivo kaambizaneni pembeni mnauvuruga uislami ,inamana mmesoma dini kw ajili y kujibizana
Maana ya kumtaja umpendae kwa mujibu wa ibn taymii inamaana wenzetu hawakua anaepeza kwao kama MTUME na ndo mana wote walimtaja yeye sio kila umpendae wala sio mkeo eleweni misamiati
Temia.alihukumiwa kwa jela mpakaumauti wake bikufuri
Sivema ss waislam kuwanamarumbano kama yaushindani wangapi waisilam hawajui mustakbal yaudhu wao
Bachu ni coppy na paste tu lakini bado ni mtupu kwa wenye elimu
Wewe awerewi bachu anaerewa
Aso mjua bachu atapata tabu sana, na unaweza kuliona bonge la shekhe lkn misifa km yte
We hunakili
Anajisifu mwenyewe,Ati Ustadh Haji Upepo amfedhehesha Bachu,kwa kutaka misifa hasubiri akasifiwa,anajisifu mwenyewe
Mtoto wa Bachu bora ungepumzika kusemasema. Kila ukisema unajidhalilisha na kujitangaza kuwa wewe ni mtupu kielimu. Sikiliza wenzako wanavyotoa hoja za kisomi. Wewe unanukuu kitabu halafu unatafsiri kinyume chake ili uwaridhishe wanaokupa mshahara.
Uyu muhamedi bachu nishia latumiliwa hili ili avuruge waisilamu ila litavurugika yeye shenzi
😂😂😂😂😂😂
Bachu amebugi stepu ety ناد علي muite ally hahahahahah bachu fani yako sio kutoa daawa kalale kaka
Umaarufu hautafutwi
Ww unalipi unalolijuw haun lolote mna haribu uislamu kwa kuradiana kusiko maliza acheni tabia hizo nyinyi
Ni kweli mbona mmeshidwa kumtetea barzaji. Na kama kweli nyinyi wa kweli mbona mnaongea inji ya debate namlialikwa hamukuja kwa mdahalo .Wacheni porojo.
Changiaktk madahusika
Mawahabi wamejaa chuki sio elimu
Mnaàangaika tuu
Ajitutumua2 mbn am kuonekana munakash
Ttzo lenu mnafata ushabiki somenii ndo mtaelewa huyu bwana Ana sema nini kaka hvo t🙏
assalam alaykum.shekhe mtu akigaiwa kitanga hanyi jagi zima. hadithi ya myama kukimbia, kauli ya kuwa jangwani hakuna mtu umeipata wapi mbona hujatueleza kwenye hadithi?je kama waja wa allah ni watu wapo jangwani? kusaidiana katika wema jambo lipo.ama herufi في katika في الارض kuwa ni (ndani) ya ardhi,herufi zategemeana maana.assalam alaykum.
Uislam nikushikamana sikuwanatabaka huwo niuzushitu itikadi yetunimojatu
yaa muhammad sio ombi ni kutaja
Ndo ttzo lakuwa na upungufu wa ufahamu
Ilo ni porojo tuu
Kama mnahoja nae kaen nae meza 1 tuonen nan bora
Kwani ww shida ni ubora au ufahamu na uwelewa
Vibaya hivo hata n wewe huna busara una kifuta n kujidai
Kifupi sheikh anakubaliana na Bachu kuwa masufi wanaabudu wafu hakuna shida!
Acha uongo na ushabiki, kaongea mwanzo ataenda Kwa mujib wa akili zke
Kumbe Hadith hizo zaifu aah! Bado kabisaaa bachu acha akuelimisheni
Dhaifu vipi ndugu ibn taymiya ndo alizokuwa anafundishia hizo kwahyo unataka kusema uyo ibn taymiya alikuwa hana elimu eeeh??
Mepigwa 3 bila n muhamad bachu
Amewapiga 3 bila
Rekebishen nafsi zenu Bachu hamumuwez kabisaa kaeni vikao mkikaluka mpaka mtamaliza
Wacha kushabikia ujinga ww fuata quran na hadithi bachu hana lolote utaitaje waxhirikina na niwaisilamu ulimuona akiomba kaburi
Kwa ku kurupuka na makelele hawezekani
Hemu someniii kwanza na sio kuftaaa usiyoo vijuaaaa someniii ilo t
sheikh una uwelewa mdogo.laiti ingetumika hapo kwenye dawa ya sikioثم يصل عليkidogo tungekubaliana maana igelikuwa kitendo cha kutaja na kusalia vimepishana.ila واليصل علي hapa vitendo viwili vyafanyika mda huwo huwo.hivyo kumtaja au sala ya mtume lazima uanze na allah(s.w) wasoma wapi weee?😂
Halal iko wazi na Kharam iko wazi la shakka!! Bado mnahangaika na kuitetea baikoko mpaka leo?
BAIKOKO GANI......???
AU NA WEWE UNAFATA MKUMBO
MANA HAPO HAKUNA SEHEMU ILIOONGELEWA BAIKOKO
Hatutetei il tunaonyesha shehena wenu bachu ni jahilun muraqabu
@@abiabi9353 USIPATE NAO SHIDA HAO MAWAHABI HAWANA WANACHO KIJUA KAMA WANAJUA HALALI IKO WAZI WASINGEJARIBU KUSEMA ALLAH ANAMASIKIO, MACHO, MIKONO , MIGUU NA USO ALAFU WANASEMA WANAFATA SUNNAH LABDA YA SHETANI ALLAH AWAONGOZE .
We ni jahilun mfuas mbumbu wa jahili Muhammad Bachu wote ni majaahili tu kwasabab wote ni mambumbu wameshikiwa akili na mashekh wao
Utadhani anawafunza walevi 😅sisi masalafi hatutishwi na watu wa majaazi
Kwani nani muhamadi bachu muhamadi bachu nijitu lililosoma saudia kwa majinga wenziwe likiwa yeye limepotea zaidi