FEDHEHA !! MUHAMMAD BACHU AKANYAGWA KWA VITABU VYAO - USTADH HAJI UPEPO حفظه الله

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 03. 2023

Komentáře • 88

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Před rokem +5

    Ma shaa allah nna hakika habari hii haijui huyu mtoto na nime furahi kwa kumfundisha bila shaka itamfikia maana ni mvurugaji wa akili za watu huyo mtoto

  • @reonidajohn7857
    @reonidajohn7857 Před rokem +5

    SHUKRAN SHEIKH WETU ALLAH AKUZIDISHI NA AKUPE UMRI MREFU

    • @hamisilasiri1976
      @hamisilasiri1976 Před rokem +1

      Watu wasome angalia mwanzo hadithi jee ni sahihi au dhaifu

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před rokem +4

    Huyo mtoto wa bachu amekuja na daawa yakutoa watu katika uislamu kwa uweleo wake finyo hiyo daawa iliyotengenezwa na mayahudi.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +2

    WATU WA BID'A/MAKHURAFI,HAWANA UWEZO WA KUWAFEDHESHA WATU WA SUNNAH,MAANA SUNNAH NI HAKKI NA BID'A NI BAATWIL,
    VIPI BAATWIL IWEZE KUISHANDA HAKKI,,
    HAMTAWEZA HADI KIAMA!!
    SHIDA YA YUSUF DIWANI NA HAJI UPEPO,NI WAONGO WANADANGANYA WATU KAMA WAFANYAVYO WANASWARA!!
    NA KUSOMEA WATU MANENO YA WANAVYUONI KWA KUYAGEUZA GEUZA ILI YAKUBALIANE NA UWONGO WAO!!

  • @user-uz8cr6qr6j
    @user-uz8cr6qr6j Před 11 měsíci +2

    Huyu mtoto wa Sheikh Nasoro Alitalia kunitoa katka Maulid bure kumbe yeye ndiyo uelewa wake ndiyo finyu na siyo aibu kurudi darasani tena kuchukua elimu.
    Alhamdulillahi nimeelewa vizuri na nabakia na Maulid yetu na ujumbe kwa mtoto wa Bachu ni kuwa acha fitna vinginevyo utakuja kuchoma wewe bwana mdogo tunacheza na Maulid yetu na nyie mawahabi endeleeni na Bidaa yenu ya mashindano ya Qur'an.

  • @yammuhamed736
    @yammuhamed736 Před rokem +2

    Jazakallahu kheiyra maulana

  • @minaziparasu9074
    @minaziparasu9074 Před 5 měsíci

    Mashaallah. Imeeleweka

  • @Official._abby96
    @Official._abby96 Před rokem +1

    Ya rabbi tuongoze kwenye njia ilionyooka

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 Před rokem +1

    شكرا لك وجزاك الله خيرا

  • @khatibujuma4933
    @khatibujuma4933 Před rokem

    Asante shekh
    Hata ktk zakatul qurisy mwishini limetwaja aliyy

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +1

    MANENO YAKO NI YA UWONGO!!
    HATA YA KIWA HIVYO!!BASI SISI HATUKUBALUANI NAYO!!
    MAANA WATU WA SUNNA HUMFUATA MTUME,SISI WANAZUONI TUNACHUKUWA WALIYOPATIA NA YANAENDANA NA MAFUNZO YA MTUME صلى الله عليه وسلم

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Před rokem +1

    Hiyo Quran yenyew hamjaimaliza na hadidh za mtume Muhammad mnahangaika na barazanj

    • @NuldinMwanaid
      @NuldinMwanaid Před rokem

      We wap una toa hayo maneno hv Kuna una elewa unachoo kusema au una ropokaa

  • @jafarshossy5830
    @jafarshossy5830 Před rokem +1

    Bachu hujui chochote zaidi wajichora

  • @esheseif2203
    @esheseif2203 Před 10 dny

    Vibaya hivo kaambizaneni pembeni mnauvuruga uislami ,inamana mmesoma dini kw ajili y kujibizana

  • @yascombongo4048
    @yascombongo4048 Před rokem +1

    Maana ya kumtaja umpendae kwa mujibu wa ibn taymii inamaana wenzetu hawakua anaepeza kwao kama MTUME na ndo mana wote walimtaja yeye sio kila umpendae wala sio mkeo eleweni misamiati

  • @khatibujuma4933
    @khatibujuma4933 Před rokem +1

    Temia.alihukumiwa kwa jela mpakaumauti wake bikufuri

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před měsícem

    Sivema ss waislam kuwanamarumbano kama yaushindani wangapi waisilam hawajui mustakbal yaudhu wao

  • @user412
    @user412 Před rokem +4

    Bachu ni coppy na paste tu lakini bado ni mtupu kwa wenye elimu

    • @AthumanJuma-hg2cl
      @AthumanJuma-hg2cl Před rokem

      Wewe awerewi bachu anaerewa

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před rokem

      Aso mjua bachu atapata tabu sana, na unaweza kuliona bonge la shekhe lkn misifa km yte

  • @abdulkarimukusaga3617

    We hunakili

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 3 měsíci

    Anajisifu mwenyewe,Ati Ustadh Haji Upepo amfedhehesha Bachu,kwa kutaka misifa hasubiri akasifiwa,anajisifu mwenyewe

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Před rokem +1

    Mtoto wa Bachu bora ungepumzika kusemasema. Kila ukisema unajidhalilisha na kujitangaza kuwa wewe ni mtupu kielimu. Sikiliza wenzako wanavyotoa hoja za kisomi. Wewe unanukuu kitabu halafu unatafsiri kinyume chake ili uwaridhishe wanaokupa mshahara.

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 Před rokem +1

    Uyu muhamedi bachu nishia latumiliwa hili ili avuruge waisilamu ila litavurugika yeye shenzi

  • @UNO-xt7we
    @UNO-xt7we Před rokem +1

    😂😂😂😂😂😂
    Bachu amebugi stepu ety ناد علي muite ally hahahahahah bachu fani yako sio kutoa daawa kalale kaka

  • @user-hx8yd9gp2q
    @user-hx8yd9gp2q Před 11 měsíci

    Umaarufu hautafutwi

  • @user-jr1qd8nt7g
    @user-jr1qd8nt7g Před 24 dny

    Ww unalipi unalolijuw haun lolote mna haribu uislamu kwa kuradiana kusiko maliza acheni tabia hizo nyinyi

  • @husseinibrahim5470
    @husseinibrahim5470 Před rokem +1

    Ni kweli mbona mmeshidwa kumtetea barzaji. Na kama kweli nyinyi wa kweli mbona mnaongea inji ya debate namlialikwa hamukuja kwa mdahalo .Wacheni porojo.

  • @MkwizuMkufya
    @MkwizuMkufya Před 13 dny

    Mawahabi wamejaa chuki sio elimu

  • @HaithamKarim-jk1hw
    @HaithamKarim-jk1hw Před rokem

    Mnaàangaika tuu

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Před rokem +1

    Ajitutumua2 mbn am kuonekana munakash

    • @NuldinMwanaid
      @NuldinMwanaid Před rokem

      Ttzo lenu mnafata ushabiki somenii ndo mtaelewa huyu bwana Ana sema nini kaka hvo t🙏

  • @mussakhamisi3983
    @mussakhamisi3983 Před rokem

    assalam alaykum.shekhe mtu akigaiwa kitanga hanyi jagi zima. hadithi ya myama kukimbia, kauli ya kuwa jangwani hakuna mtu umeipata wapi mbona hujatueleza kwenye hadithi?je kama waja wa allah ni watu wapo jangwani? kusaidiana katika wema jambo lipo.ama herufi في katika في الارض kuwa ni (ndani) ya ardhi,herufi zategemeana maana.assalam alaykum.

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před měsícem

    Uislam nikushikamana sikuwanatabaka huwo niuzushitu itikadi yetunimojatu

  • @mussakhamisi3983
    @mussakhamisi3983 Před rokem

    yaa muhammad sio ombi ni kutaja

  • @veromichael-vc5tr
    @veromichael-vc5tr Před rokem

    Ilo ni porojo tuu

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před rokem

    Kama mnahoja nae kaen nae meza 1 tuonen nan bora

  • @esheseif2203
    @esheseif2203 Před 10 dny

    Vibaya hivo hata n wewe huna busara una kifuta n kujidai

  • @sgrinsocial6180
    @sgrinsocial6180 Před rokem

    Kifupi sheikh anakubaliana na Bachu kuwa masufi wanaabudu wafu hakuna shida!

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před rokem

      Acha uongo na ushabiki, kaongea mwanzo ataenda Kwa mujib wa akili zke

  • @rashidkhalid5645
    @rashidkhalid5645 Před rokem +2

    Kumbe Hadith hizo zaifu aah! Bado kabisaaa bachu acha akuelimisheni

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 Před rokem +1

      Dhaifu vipi ndugu ibn taymiya ndo alizokuwa anafundishia hizo kwahyo unataka kusema uyo ibn taymiya alikuwa hana elimu eeeh??

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Před rokem +1

    Mepigwa 3 bila n muhamad bachu

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 Před rokem +2

    Rekebishen nafsi zenu Bachu hamumuwez kabisaa kaeni vikao mkikaluka mpaka mtamaliza

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem

      Wacha kushabikia ujinga ww fuata quran na hadithi bachu hana lolote utaitaje waxhirikina na niwaisilamu ulimuona akiomba kaburi

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před rokem

      Kwa ku kurupuka na makelele hawezekani

    • @NuldinMwanaid
      @NuldinMwanaid Před rokem

      Hemu someniii kwanza na sio kuftaaa usiyoo vijuaaaa someniii ilo t

  • @mussakhamisi3983
    @mussakhamisi3983 Před rokem

    sheikh una uwelewa mdogo.laiti ingetumika hapo kwenye dawa ya sikioثم يصل عليkidogo tungekubaliana maana igelikuwa kitendo cha kutaja na kusalia vimepishana.ila واليصل علي hapa vitendo viwili vyafanyika mda huwo huwo.hivyo kumtaja au sala ya mtume lazima uanze na allah(s.w) wasoma wapi weee?😂

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 Před rokem +3

    Halal iko wazi na Kharam iko wazi la shakka!! Bado mnahangaika na kuitetea baikoko mpaka leo?

    • @reonidajohn7857
      @reonidajohn7857 Před rokem

      BAIKOKO GANI......???

    • @reonidajohn7857
      @reonidajohn7857 Před rokem

      AU NA WEWE UNAFATA MKUMBO
      MANA HAPO HAKUNA SEHEMU ILIOONGELEWA BAIKOKO

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před rokem

      Hatutetei il tunaonyesha shehena wenu bachu ni jahilun muraqabu

    • @reonidajohn7857
      @reonidajohn7857 Před rokem

      @@abiabi9353 USIPATE NAO SHIDA HAO MAWAHABI HAWANA WANACHO KIJUA KAMA WANAJUA HALALI IKO WAZI WASINGEJARIBU KUSEMA ALLAH ANAMASIKIO, MACHO, MIKONO , MIGUU NA USO ALAFU WANASEMA WANAFATA SUNNAH LABDA YA SHETANI ALLAH AWAONGOZE .

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před rokem +2

      We ni jahilun mfuas mbumbu wa jahili Muhammad Bachu wote ni majaahili tu kwasabab wote ni mambumbu wameshikiwa akili na mashekh wao

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 Před rokem

    Utadhani anawafunza walevi 😅sisi masalafi hatutishwi na watu wa majaazi

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 Před rokem

    Kwani nani muhamadi bachu muhamadi bachu nijitu lililosoma saudia kwa majinga wenziwe likiwa yeye limepotea zaidi