Video není dostupné.
Omlouváme se.

SHEIKH SAID ATOA SOMO JIJINI DSM, MTOTO WA BACHU USIPOELEWA HAPA BASI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 10. 2023
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 551

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani7014 Před 9 měsíci +13

    Huyu shekhe alinifurahisha sana siku ile kwakweli, allah amuongoze na sisi wote,! Amiin

  • @litimbaify
    @litimbaify Před 9 měsíci +8

    Jazaakallah khayran Bachu umewaweka watu bize na wewe, Allha akuzidishie zaid masufi hawalali na kusoma zaid lakin bado haijatoka hoja juu ya Barazanj na Kufur zilizopo, Sh Said mpaka ujibu hoja kwanza,
    Tunajua haujaanza wewe kutetea Maulid na haiishi, sis tumeshapita hayo itetee Marazanj kwanza!

    • @sudisalehe192
      @sudisalehe192 Před 9 měsíci +2

      Hakuna kitu hapo

    • @hamisimwalimu7333
      @hamisimwalimu7333 Před 2 měsíci

      Sheikh we hata huelewi

    • @hamisimwalimu7333
      @hamisimwalimu7333 Před 2 měsíci

      Yani nyinyi mawahabi vita vyenu maulidi tu shida mawahabi hamjasoma wallah

    • @litimbaify
      @litimbaify Před 2 měsíci

      @@hamisimwalimu7333 huna hoja bora upite tu si lazima na wewe ucoment kwa elimu gani ulokuwa nayo, usishangae hata juzuu Âma haujamaliza

    • @isaack100
      @isaack100 Před 9 dny

      Kila moja siku hiyo aliona bhachu alivo fedheheka.lakini wahabi hawawezi kubali kamwe.kelelw za bhachu barzanji ni mwongo ameahindwa kuthibitisha kwa ata qaul ya ulamaa kwamba MTU akiwa hadith munkar huitwa mwongo?bhachu kimyaaa!!!kkkkkkk

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Před 9 měsíci +14

    Mashallah shukran sana ustadh saidi, hiyo ilmu ulio itoa ni kubwa mno, mawahabi hawaja elewa chochote kamwe ndo wanazidi kupoteza maarifa

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 9 měsíci +2

      Wajua maana ya Elimu wewe au ndio huo ushabiki???

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k Před 9 měsíci

      @@abuurayaan3902 Mi nadhani ifike wakati Sasa tuitumie Ile Aya"Lakum Diinukum waliya Diin"Kwa sababu hamjataka kuketi na kuendelea kudadisi na kujifunza,bali mmevishwa misimamo ambayo hata hamjui athari yake.

    • @tahanyjaffar8321
      @tahanyjaffar8321 Před 9 měsíci +1

      Ni sharti usome ndio uwe n ilmu sio mawahabi wako kama bendera hawasomiiiii wao wapinga tu

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 9 měsíci

      @@tahanyjaffar8321
      wewe Umeifadhi juzuu ngapi kwanza na kitabu Gani Cha Cha Hadithi Ulicho kihifadhi

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 9 měsíci +1

      @@tahanyjaffar8321
      Alafu naona umendandia tu
      Jubu swali unajua maana ya Elimu wewe kilugha na kisheria????

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 Před 9 měsíci +10

    Mashaallah shekh said mungu akuzdishie ilmu na akuruzu fahamu uzidi kutuilimisha shukran

  • @rashidishak3991
    @rashidishak3991 Před 9 měsíci +16

    بارك الله فيك يا شيخ سعيد اطال الله عمرك ونفعناالله بك ❤❤❤❤

  • @AyoubAbdullrahmanAmir
    @AyoubAbdullrahmanAmir Před 9 měsíci +10

    Babdeo hii iko sawa kabisa maana ilikata kata mno...Allhamdullilah.....tumsif Mtume ...

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 9 měsíci +12

    Kila siku inabidi kutetea maulid kila atae simama lkn bahat mbaya nikua kila anayesema Akimaliz anajikuta hajasem kitu haya mngeyajibu maswali ya Bachu mbele yake yote 19 . Kisha mkauliza sasa msingepata tabu lkn hii itawagharimu kila siku.mfano haitokei mtu kuteteA swala funga zaka n.k kwasababu nisahihi lkn hya maulid inabid uyatetee kila siku kwasababu ni uzushi

    • @elbattawy2864
      @elbattawy2864 Před 9 měsíci +1

      Ibada sio tu swala, kufunga na kutoa zaka, Ibada ni nyingi sana, kuhusu khadithi ambayo bachu huitumia kupinga maulid sheikh saidi amempeleka shule vya kutosha kuhusu kula bidaa dhalala wa kula dhalala fi nnar., rudia usikilize tena na tena, bachu hawezi kuona ndani hapo

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Před 9 měsíci +1

      Nenda kasome wewe acha ushabiki kwnye dini ya mungu unaona watu wanazungumza ukafikti wanayatoa tu hawana uhakika nayo

    • @SuleimanMakame-ex2eh
      @SuleimanMakame-ex2eh Před 9 měsíci

      Swaddakta somo

    • @user-hk1jy6rl5e
      @user-hk1jy6rl5e Před 9 měsíci

      Wahab nyinyi mtatseka sna mkiona vip kunywen sum mfee. Tu lakin kama Bado mpo maulid yatasoma mwapaka uchochoron kwen mpka mue mnakwepa njia

    • @user-ug8wh1hg6r
      @user-ug8wh1hg6r Před 2 měsíci

      Sema WWE kitu ueleweke kwnz

  • @user-jn4fb3mh9v
    @user-jn4fb3mh9v Před 9 měsíci +7

    Mashannlha habibi hay ñi Matunda ya mwalim wa mwalim wangu sheighe Muhammad alibiz ,,shukuran aghii

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 Před 9 měsíci +6

    Swadakta Sheikh wangu, Allah akupe Kila Lakheri, Afya Njema, na Umri Mrefu tuzidi kustafidi. Allahumma Aamiin.

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline Před 9 měsíci +16

    Duh... Tuwache ushabiki, tuyasikilize vizuri haya maneno.. Ni Darasa nzito. Allah akuweke habyb na akufunguliye elimu zaidi na zaidi.

    • @yusufuzuberi9884
      @yusufuzuberi9884 Před 9 měsíci

      Kwaiyo tunywe tembo au

    • @user-sm1ux6nj7b
      @user-sm1ux6nj7b Před 9 měsíci

      ​@@yusufuzuberi9884ww kichwa chako cha panzi kavute bangi tu

    • @abdulhamidbakar2461
      @abdulhamidbakar2461 Před 9 měsíci

      ​@@yusufuzuberi9884ufaham mdogo rejea usikilze

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline Před 9 měsíci +4

      Huwezi kumlazimisha mtu Kufahamu maana ufahamu pia ni rizki.

    • @yasiniselemani3917
      @yasiniselemani3917 Před 9 měsíci

      ​@@yusufuzuberi9884sikiliza vizuri halafu kuwa na ufahamu uache ushabiki kwenye dini hujui kaa mbele ya mwalimu ufundishwe

  • @RamadhaniMwandambo-fx9sb
    @RamadhaniMwandambo-fx9sb Před 9 měsíci +80

    Mashaallah, kuanzia Leo naanza kuhudhuria hadhara za maulidi , na nikipata uwezo ntasomesha nyumbani kwangu Kila mwaka mara Moja.

    • @rashidswalehmwanjama3404
      @rashidswalehmwanjama3404 Před 9 měsíci +2

      Masha Allah

    • @user-ys1kb7zk6k
      @user-ys1kb7zk6k Před 9 měsíci +1

      صلى الله عليه وعلى آله وصحبه وسلم

    • @hemedhamdan
      @hemedhamdan Před 9 měsíci +3

      Hahahaha, yaani hii dunia ilko na vihoja. Allah atuongoze sote jamii Islaam, Aamiin🤲

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Před 9 měsíci +3

      Na motoni utaingia na huyo bwana wako
      Endelea kufanya haramu

    • @i_gabbykisalo4280
      @i_gabbykisalo4280 Před 9 měsíci

      Masha'Allah...😂Allah akupe unachoitaji amiin

  • @hajikatanje5961
    @hajikatanje5961 Před 9 měsíci +5

    Shekh sisi waislamu tunajuwa ulishindwa kuwaelimisha waumin wapenda maulidi nnabai ile siku ndio ilikuwa bora zaidi kwa yule mwenye kutaka kuelewa ila ni wazi maulidi ni bidaa kubwa tu maana huna hadithi wala ktk vitabu vya hadithi wala qur an hayapo shekh usituletee tafsiri ya nahau wakati nahau ni matumizi ya lugha tu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Sasa alishindwa kujibu bachu hadithi munkar haijui wanazuoni wasemaje kuhusu hadithi munkar bad badili kusema hajui asema hajaona alafu kitu chengine nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mumezitoa wapi mtume hajafundisha wala maswahaba hawazijui tawhed tatu hio hujaona kama bidaa

  • @allyfundi6405
    @allyfundi6405 Před 9 měsíci +14

    Nimetosheka na huyu mtu wallah nilikua narudi rudi sana nyuma kwenye maulidi ila sasa kwenye maulid nitaenda kila mara

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před 9 měsíci +4

    Mashaalah ostaz said jazakallahu kheir,nakushauri hutubazako uzungumze pole pole usiharakishe ukiharakisha tunashindwa kulewa tembo lachelewa kutulewesha ,wengine vichwa vyetu ni vizito,na tembo Kwa Tanzania ni pombe.tumefahamu jazakallahu kheir.

  • @user-gy8wl2jj5g
    @user-gy8wl2jj5g Před 9 měsíci +4

    Maa Shaa Allaah
    Allah akuhifadhi akulinde na akuweke tuzidi kuilimika na kufaidika IN SHAA ALLAAH

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 9 měsíci +1

    يذهب الصوفية للقبور متبركين بمن يزعمون أنهم أولياء
    ولكن الله تعالى يأمرنا أن نقول :
    قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ

  • @user-ys1kb7zk6k
    @user-ys1kb7zk6k Před 9 měsíci +6

    WALLAAHI ELIMU INARAHA SANA UKIISIKILIZA
    ALLAAH ALLAAH ALLAAH
    WALLAAHI TUSOME SANA NA ALLAAH ATUPE FAHAMU

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 9 měsíci +1

    وقد بين النبي صلى الله عليه وسلم لأقرب الناس إليه أنه لا يغني عنهم من الله شيئا، كما في الأحاديث الصحيحة ، ومن ذلك ما في الصحيحين أن أبا هريرة رضي الله عنه قال قام رسول الله صلى الله عليه وسلم حين أنزل الله عز وجل (وأنذرعشيرتك الأقربين) قال: " يا معشر قريش أو كلمة نحوها اشتروا أنفسكم لا أغني عنكم من الله شيئا . يا بني عبد مناف لا أغني عنكم من الله شيئا . يا عباس بن عبد المطلب لا أغني عنك من الله شيئا . ويا صفية عمة رسول الله لا أغني عنك من الله شيئا. ويا فاطمة بنت محمد سليني ما شئت من مالي لا أغني عنك من الله شيئا ".
    والحاصل أن المؤمن الموحد لا يسأل إلا الله، ولا يدعو غيره، ولا يطلب الشفاعة من الشافع في الدنيا، وإنما يسأل ربه أن يجعله أهلا للشفاعة، وأن يأذن للشافع حتى يشفع له .

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před 9 měsíci +13

    Ukiona comment za kupinga niza mawahabi siajabu hata mtume walimpinga.al habiib saidi allah akujaze kheri nyingi wafikishie ujumbe elimu ya fani hawana japokua wanachukia

    • @AbuuAbdillah-hb8li
      @AbuuAbdillah-hb8li Před 9 měsíci +2

      Wewe ndio upumbavu uliopandikizwa kichwani mwako kwamba mwenye kupinga maulidi kampinga mtume swalallahu aleihi wasallam soma dini ya ALLAH acha ujinga wa kuburuzwa

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 Před 9 měsíci +1

      @@AbuuAbdillah-hb8li wewe ndio uache ujinga munaacha kukemea maovu uzinzi ulevi kutosali n.k mwatoa povu na maulid acheni ujinga someni dini ya Allah

    • @twayibshaykhmuhammad1034
      @twayibshaykhmuhammad1034 Před 9 měsíci

      ​@@AbuuAbdillah-hb8li
      MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???

    • @subirajuma5678
      @subirajuma5678 Před 9 měsíci +1

      Mashia nao vipi sielewi mimi wanapinga maulidi au wanakubali

    • @tariquexplore
      @tariquexplore Před 9 měsíci

      Muongo sana uyuuu😊

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 Před 9 měsíci +5

    يمضي الليل بلا قيام
    ويمر الاثنين والخميس بلا صيام ويفوتهم الفجر وهم نيام
    ويحتفلون بالمولد دون برهان
    ما هكذا كان يفعل خير الأنام

    • @user-xt6bb6lx2r
      @user-xt6bb6lx2r Před měsícem

      هذا كلامك أنت استحي من الله يا كذاب وإلا فهم يصومون ويقومون الليالي ويصلون فى المساجد مع الجماعة.... ويحتفلون بنبيهم سيدنا وحبيبنا ومولانا رسول الله صلى الله عليه وآله وصحبه وسلم.

  • @qaseemayoub6758
    @qaseemayoub6758 Před 9 měsíci +8

    Maa shaa Allah TabaarakaAllahu❤

  • @uthaymaanashshiraaziyy2413
    @uthaymaanashshiraaziyy2413 Před 9 měsíci +6

    ماشاء الله
    جزاك الله خيرا وبعد خير جنة النعيم
    Allah akuhifadhi Shekhe letu tuzidi kuilimika
    متعك الله طول عمرك
    صلوا على سيدنا محمد

  • @alisudiramadhan3151
    @alisudiramadhan3151 Před 9 měsíci +9

    Shukran Akhii mungu akujaze kwa kurekebisha habari itawafikia

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před 9 měsíci +9

    Naona porojo TU hapa sjaona dalkli ya kutetea maulid Bado sana hamna hoja hapo
    Tetea kwanza barzanji wapi wanyama walizungumshana siku ya kuingia mimba ya mtume Swalla llaahu alayhi wasallama?

  • @subirajuma5678
    @subirajuma5678 Před 9 měsíci +2

    Hizo hoja zako zote zilivunjwa kitambo na sheikh Kassim mafuta alipofanya mdahalo na kina sheikh dede na kazuba kule tz mpaka sheikh dede alitaka kulia jinsi Kassim mafuta alivyowabana sawa sawa.

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 Před 9 měsíci +7

    Sku zote nawaambia shkhe said anakitu cha ziada kapewa na mungu tuache hasadi tchukue elimu kwake

    • @swalehahmed6579
      @swalehahmed6579 Před 9 měsíci

      Kabisa ndugu yangu @abubakarymaulidi5681 hawa mawahabi ni mahasidi na hawataki kufahamu Al Ustadh Muhammad Shariff said Al Beidh alisema kitambo hawa mawahabi hata kwambiya nini hawatakubali hata kama wao wajua wana makosa hii ni tabiya yao ndiyo ukaona wengi wao ilimu yao ni ndogo sana nawale wafuai wao wasojua kitu ndiyo ma mufti wakubwa mpaka kuna mmoja hapo asema tutangiya motoni pamoja na sheikh said yaani akusuduya watu wa maulidi Wallahi sijui ninani alowapa vibali vya kuingiza watu motoni yaani waingiliya kazi ya Allah je haya ndiyo mahaba wanayo dai wampenda mtu au ndiyo Sunna hiyo? Maana mtume hakuambiya watu wewe utaingiya motoni

    • @uwesundembo5147
      @uwesundembo5147 Před 9 měsíci

      Hata elimu yakupiga Gita navinanda nayo nielim

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Před 9 měsíci +13

    Mara ya tatu hii video naangalia🤸‍♀️🤸‍♀️wewe kama humkubali. Saga. Chupa. Unywe ❤😂😂

    • @Amina-rr8ve
      @Amina-rr8ve Před 9 měsíci

      🎉🎉 mimi ndo naanza hapa😂

  • @rashidishak3991
    @rashidishak3991 Před 9 měsíci +5

    ما شاء الله تبارك الله

  • @BriXGuru
    @BriXGuru Před 9 měsíci +3

    Barakallah feek shekh Said

  • @user-rk8gk5xw4f
    @user-rk8gk5xw4f Před 9 měsíci +2

    Shukrani sheikh wajazaka Allah khairah

  • @subirajuma5678
    @subirajuma5678 Před 9 měsíci +2

    Hapo sijaona barnzanj ikitetewa, bali naona hadithi inayokataza uzushi ikichambuliwa kilugha. Lakini uhongo ndani ya barnzanj wabakia pale pale kua uhongo.

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 Před 9 měsíci +9

    WALLAH umetufurahisha habiib BAARAKALLAHU FIIKUM

  • @subirajuma5678
    @subirajuma5678 Před 9 měsíci +1

    Nilipokua mtoto nilisikia sifa za mambrui kuwa na elimu mpaka nikatamani niende nikasome huko. Alhamdullillahi wazee wangu walinipeleka na nikapata nafasi pale al ghanahu ul islamiya kwa sheikh mohamad, na wakati huo sheikh alikua bado yuko hai mwenyezi mungu amrehemu. Basi nilifaidika sana chini ya sheikh. Mwaka wa 2002 kulikua na harakati za mijadala mingi sana baina ya sisi watu wa twariqa na mawahabi. Kulipamba moto sana mpaka nikawa najiuliza kwani mawahabi nikina nani mbona wanasumbua sana waislamu. Wakati mwingine sheikh mohamad alikua akija pale madrasah baada ya kutoka kwenye mdahalo, anaema sana kwa pressure huku akasema mawahabi leo wametusumbua sana ata kama walikuwa kwenye haki lakini hoja zetu zina nguvu kutubana wametubana. Kumbe mawahabi wako kwenye haki, mpaka leo ili swali najiuliza, na twariqa wanalijua hili kua mawahabi wako kwenye haki.

    • @thefoodshaikh811
      @thefoodshaikh811 Před 9 měsíci

      Ni kweli Dadangu alienda manazilul abraar kwa ustadh abdulraheem mambrui. Watu wa sunnah wako kwenye haki siku zote. Hawa watu wa twariqa wanataka kutetea bid'aa wakitumia njia zote.

  • @AishahMuigu
    @AishahMuigu Před 9 měsíci +2

    Hii kheri ya maulid, aliijua ama hakuijua mtume swalallahu alayhi wasalam? Naam au la… na ukisema la ushaanguka kwenye msiba. Kama ndio, je alifundisha? Kama jibu ni ndio, nipe dalili… kama hakufundisha ushamtuhumu kwa khiyana …. Audhubillah! Allah aniweke mbali na kizazi changu na ushirikina na bidaa… na maulid.na atuongoze sote… na atujaalie aqeedah swahihi.

  • @jumamwarabu9307
    @jumamwarabu9307 Před 9 měsíci +5

    MAULIDI YATA ZIDI ::NA NYUMA HAYATA RUDI;;:WAUM IE MAWA HABI:::NA NYINGI ZAO LAWAM

  • @ismailhashimu6467
    @ismailhashimu6467 Před 9 měsíci +1

    Allahu Akibaru ❤❤❤MashaaAllah

  • @iddswalehomar1323
    @iddswalehomar1323 Před 9 měsíci +8

    Bacho sio wakuenda mamburui kufundishwa niwakumtafuta ustadh said amfundishe

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 Před 9 měsíci +7

    Wallwaahi umezungumza kwa uchache Laakin Elimu uliyoitoa ni kubwa saana Habeeb
    حفظك الله ورعاك

  • @jumamukoko6662
    @jumamukoko6662 Před měsícem

    May Allah (SWT) protect you

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 9 měsíci +5

    نحن لا نلزم أحد بشيء وإنما ننصح ونبين السنة ونحذر من البدعة شاء من شاء وأبى من أبى فمن قَبِلَ فالحمد لله ومن عاند فأمره إلى الله
    "كل نفس بما كسبت رهينة"
    توحيد الله عقيدتنا....

    • @zahorokombo6881
      @zahorokombo6881 Před 9 měsíci +2

      ما شاء الله كن حيث أنت 😊

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi Před 9 měsíci

      لا تجمجم

    • @ABUUMARYAMA
      @ABUUMARYAMA Před 9 měsíci

      دع ما يريبك إلى ما لا يريبك

    • @ABUUMARYAMA
      @ABUUMARYAMA Před 9 měsíci +1

      كلنا أمرنا إلى الله ،وكل مسلم توحيد الله عقيدته

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 Před 9 měsíci

      انت جاهل مركب.بل نرجو انتفهموا شيٸا فشيٸا ان شاٸﷲ

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Před 9 měsíci +12

    ❤❤❤❤Nakupend hadi naumwa 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @rashidishak3991
    @rashidishak3991 Před 9 měsíci +2

    Shukran babdeo tv❤❤

  • @cassim4027
    @cassim4027 Před 9 měsíci +6

    Sisi wengine bado twataka kujua wanyama waliongea kuingia kwa mimba ya mtume????

  • @fahadbabuy
    @fahadbabuy Před 9 měsíci +7

    Simple mathematic😂😂😂MAULID HAIJATHIBITI MIONGO YOTE MITATU ALIYOSEMA MTUME (s.a.w) sasa we jichanganye ujifanye mjuwaji🔋😂

    • @samirharun7993
      @samirharun7993 Před 9 měsíci +1

      we bado umelala jitaidi kasome elim ni bahari acha kubaki apo kama maji yalio tuwam na yakatoa harufu mbaya

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 9 měsíci +4

      Wewe unayo Dalili kuwa Maulid hayakuthibiti alishindwa shekhe lako mpaka kajikojolea kitini

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před 9 měsíci +1

      ​@@abubakaromar6101😂cheki huyu alivyo muongo mada ilikua ni kuthibit au. Alafu msiwe mnabebwa na propaganda unatak kusema shekhe aloshika kiti alishika mikojo? Haiingii akilin mkojo unajulikan tu na huwez shika mkojo ilhal wajua ni najsi na unashika kwa misingi ipi na unashika bado hujui km ni mkpjo au maji eti unajiuliza.....huo ni mtego kwa wewe mtazamaj ndo utaropoka mkojo lkn kitwndo cha Shekhe kushika huo si mkojo ungekua mkojo asingeshika tazam vzr

    • @elbattawy2864
      @elbattawy2864 Před 9 měsíci +1

      Ile amri iliyotoka katika Quran kumsalia Mtume s.a.w je unaikubali? Je ni dhambi kujua Sira ya bwana mtume s.a.w? chakarika ulete fatwa hapa

    • @user-hk1jy6rl5e
      @user-hk1jy6rl5e Před 9 měsíci

      Yan kwasasa mawahab mtaisoma namba tu kadrii mnavyotukana ndo maulid yanasomwa zaaid mwaka huu mmetukana barazanji yamesomwa mpka milangon endelen kutukana yatasoma mpka misikitin kwenye

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 Před 9 měsíci

    Maa shaa ALLAH. Ustadh Said. MUNGU akuzidishie ilimu nnaafi3

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe. Před 9 měsíci +4

    ماشاء الله

  • @infocontentchannel
    @infocontentchannel Před 9 měsíci +4

    Hafidhwakallah shaikh

  • @zainabusadi6469
    @zainabusadi6469 Před 9 měsíci +4

    الله يحفظك يا شيخ سعيد ❤

  • @ibrahimnoordin3420
    @ibrahimnoordin3420 Před 9 měsíci

    Salute.. kwa hii bahri.. Allah akuzidishie ilm ust. Said.

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 9 měsíci

    قال الشيخ أحمد النجمي رحمه الله :
    عجيبٌ أمر الصوفية يزعمون أنهم يزهدون الناس في الدنيا بالغناء، ويرغبونهم في الآخرة بالغناء، فهل الغناء يكون سبباً في الزهد في الدنيا والرغبة في الآخرة، أم العكس هو الحقيقة؟
    أنا لا أشك ولا يشك أحدٌ عقل عن اللهِ
    ورسوله صلى الله عليه وسلم أن الغناء لا يكون إلا مرغباً في الدنيا مزهداً في الآخرة ومفسداً للأخلاق، مع العلم أنهم إذا قصدوا به الترغيب في الآخرة فهو عبادة، والعبادة إن لم يشرعها رسول الله صلى الله عليه وسلم فهي بدعة محدثة، و لهذا نقول: إن الأناشيدَ بدعةٌ ."
    المورد العذب الزلال ( ٢٧٤ )

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 Před 9 měsíci +3

    Maulidi ni ibada ? Na kama ni ibada mfumo wake ulisahauliwa kwenye kurani na hadithi ? Acheni kuunganisha unganisha ili muhalalishe ni badaaa hiyo haipo katika dini😅😅😅😅

  • @samtimbe2112
    @samtimbe2112 Před 9 měsíci +6

    Sasa Kama ni hivyoo.....Mbona maswahaba wote hawakufanya maulid, maimam wanne wakubwa hawakufanyaa...
    Kwa nini...??

    • @user-ug8wh1hg6r
      @user-ug8wh1hg6r Před 2 měsíci

      Hebu kasome kwnz

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Maswahaba walisoma kumsifu mtume s a w walimsifu na maulid kumsifu mtume s a w hata Allah kamsifu na malaika wake na wakimswalia ama waeza kutuambia maulid haifai toa hadithi sisi tutamsifu alafu ww kasome wahabi

  • @AishahMuigu
    @AishahMuigu Před 9 měsíci +1

    إن كذبا علي ليس ككذب على أحد، من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 Před 9 měsíci +2

    Maasha allah

  • @khalifaahmed5232
    @khalifaahmed5232 Před 9 měsíci +2

    Asantaaaaaa Sanaa sheikh said walai kusoma Rahaaaaaa sanaaaaaaaa

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd Před 9 měsíci +2

    sahihi kabsa jaxakallahw elim
    kumbe kias umwambie barabarani angie kwenye kiti

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 Před 9 měsíci +2

    Hilo Darsa kubwa Sana Sheikh wangu, Kuna watu hawaelewi kabisaa wanatia wenzao uharami usiokuwa na mashiko, Kisa Kuswaliwa Mtume Muhammad ( s a w). Tupaze Sauti Kila Kona waislamu wapate kuelewa na hatimaye Maulidi Yasomwe Duniani Kote. InshaAllah!

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 Před 9 měsíci +3

    Maashaallaah❤❤❤

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 Před 9 měsíci +4

    Kwanza salam tu ameshaweka bida'a halafu mnajitapa kwenye batwil mko wengi sana

    • @user-hk1jy6rl5e
      @user-hk1jy6rl5e Před 9 měsíci

      Hayo tushayazoea leten mengine nasim ulotumia kuangalia haya mawaidha nayoo bidaa uitupe Yan bidaa unayoo halaf unamtukana mwenzio wahab nyinyi omben mungu awape ufaham wa elim.yan mpka mnatia kinyaa mlivyohamelewagi

  • @elmahestro6242
    @elmahestro6242 Před 9 měsíci +1

    Mashallah Allah akujaze kila la kheri uzidi kuzindua watu kutoka kwa akili za kijahil

  • @elbattawy2864
    @elbattawy2864 Před 9 měsíci +2

    bachu hawezi kukanyaga tena mombasa sheikh said yuko vizuri sana, Ivi kumbe bachu hajuwi fiqhi kwa kiwango hiki? sasa ndo naelewa madhaifu ya bachu yako katika taaluma

  • @user-mk7ts6ss9d
    @user-mk7ts6ss9d Před 9 měsíci +1

    Allah akuhifadhi us uzidi kuwaelimisha wasiolewa: na akulinde na macho yamahasidi

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 Před 9 měsíci +1

    Allah awahifadhi mashekh wetu inshaallah na awape umrr inshaallah

    • @khadijashee9105
      @khadijashee9105 Před 9 měsíci

      Lazima wakusifu sababu tunajua tzn waongoza kwa usanii huyo said huku kwetu ni msanii

  • @user-on1vh9nf9k
    @user-on1vh9nf9k Před 9 měsíci +1

    Mashallah Allah akuhifadhi na hasadi Inshaĺah

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 Před 9 měsíci +6

    MARHABAN HABIIB KAMA HII HAIKATI SAUTI BC AHLAN WASAHLAN

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 Před 9 měsíci +2

    Allah azidi kukubariki elimu Kijana waliokusomesha ni Wazi Allah Aliwatunuku

  • @HassanShamte-f5t
    @HassanShamte-f5t Před 8 dny

    Shukran maalim

  • @kingofshorts6824
    @kingofshorts6824 Před 9 měsíci

    Mashalah sheikh wetu👑 🇰🇪

  • @user-qm4qd8yk2x
    @user-qm4qd8yk2x Před 9 měsíci +1

    shekh said hayo maneno yote unayozungumza. kama shelh mohd bachu sio mkweli je baada ya kufariki mtume maswahaba wote pamoja na maimamu wanna walikosea kwa kutosoma maulid. kumbuka imam mmoja kati ya maimam wanne alisema mtu akiingia katika usufi asubuhi jioni keshakua mwendawazimu

  • @abdulaisha4145
    @abdulaisha4145 Před 2 měsíci

    Siku hizi kila sheikh ana wafwasi wake kama machester na arsenal... Subhana Allah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Před 9 měsíci

    جزاك الله خيرا على هذا الموضوع

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před 9 měsíci +5

    MAWAHABI UFAHAMU WAO NI MDOGO KAMA BACHU

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Před 9 měsíci +3

    Bachu kiukweli na huyu mwamba ni mbingu na ardhi. Bachu ni mtoto mno kielimu na Shekh Said

  • @maulidmaulid2106
    @maulidmaulid2106 Před 6 měsíci +1

    maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...

  • @latifaayoub6126
    @latifaayoub6126 Před 9 měsíci +1

    Somo na nusu ... حمياه .. daaah Allah akuhifadhi ustadh said .. watu wataka kufasiri vitabu kwa ilimu hizi zetu za vyumo jamaaa walotunga walikua waarabu jamaaa

  • @AliMuhammad-hs8ds
    @AliMuhammad-hs8ds Před 9 měsíci +3

    Hapa mawahabi hawaelewi kitu waeza pandisha marohani wakiskia maneno haya 😅😅

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 9 měsíci +4

    We shekh au mondi

    • @samirharun7993
      @samirharun7993 Před 9 měsíci +1

      Acha zarau huelewi kinachosemwa apo? au ndowale wajinga wendo wazimu

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 9 měsíci +1

      Wewe huwezi kumjua ni sheikh au mondi. Lkni kamuulize aliyekutana nae uso kwa uso mpaka kajikojolea kitini atakuambia ni nani

    • @slimanshaz7311
      @slimanshaz7311 Před 9 měsíci +1

      Mpiga piano huyo

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 9 měsíci +1

      Ajabu ni kuwa wewe na mashekhe wenu wote wakiwahabi hamumwingi kwa elimu afanya wengine wakojoa vitini 😂😂😂

    • @Amina-rr8ve
      @Amina-rr8ve Před 9 měsíci +1

      Wewe ndo sheikh

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 Před 9 měsíci

    Mwenyezi Mungu akuhifadhi kijana chetu uzid kutupa elm

  • @user-iv3ou4qg4d
    @user-iv3ou4qg4d Před 9 měsíci +2

    Kweli alifanya kazi kubwa ya kumzulia Mtume S.A.W.

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy Před 9 měsíci

    Maashaalah ustadh said

  • @dodokibbah3513
    @dodokibbah3513 Před 9 měsíci +3

    Leo tunawafunzaa lugha kwanza,maashaAllah😊

  • @abdurazaqiamisi1463
    @abdurazaqiamisi1463 Před 5 měsíci

    Allah akuhifadhi sheikh wangu

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 Před 9 měsíci +1

    Enyi masheh mungu anawanaa Mungu atuongoze

  • @user-ch2zh8sd2u
    @user-ch2zh8sd2u Před 9 měsíci +1

    Mashaa allah

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 9 měsíci +2

    Mawahabi wachaneni uhasadi hamulazimishwi kabisa musome au muhudhurie maulid nasisi tunahuja zetu tuwacheni tutahukumiwa na Allah na amal zetu na nia zetu.

  • @abdiabdu7179
    @abdiabdu7179 Před 9 měsíci +2

    Kichwa hiki bachu hapa ame achwa mbali hata elewa kitu

  • @khalfanidriss8931
    @khalfanidriss8931 Před 9 měsíci

    Mashalah Waa,Allah Yaalaamu

  • @yoramabubakar8012
    @yoramabubakar8012 Před 9 měsíci +1

    Semesha ukweli katetea maulidi . sio kumtetea mtukufu wa daraja bwana mtume S.A. W.
    Hatetei kwa uzushi . Sasa nauliza tena wanyama walizungmuza ???

  • @subirajuma5678
    @subirajuma5678 Před 9 měsíci +1

    Hiyo lugha nyingi ya nahau ungetetea barnzanj kwa kuthibitisha hoja ya wanyama kuongea iliyojengwa na shk bachu

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 9 měsíci +2

    Hatuna haja na uzushi. ALLAAH atuweke mbali na uZushi

  • @user-qb5ok6uy3i
    @user-qb5ok6uy3i Před 9 měsíci +2

    Mawahabi na majaahili sana wallah maulid ntasoma inshaallah mpaka naingia kaburini

    • @abdulykahera4273
      @abdulykahera4273 Před 9 měsíci

      Kaa usome dini acha kusema maneno yako

    • @halimakassimngare4873
      @halimakassimngare4873 Před 9 měsíci

      mche mola wako, ulete istighfar huo si ushahid nenda usome dini yako wacha kubabaishwa na fani za kiarabu, maswahaba wote hawqkusoma maulidi kama ingalikua ni dini, wangalifanya maswahaba wa mtume saw....wacha kubabaishwaa na watu wa elimu za shairii yale ambayo hayakua dini wakat ule katu hayawez kua dinii wakat , dini ilikamilika bila maulid wala khitmaa.

  • @aljahuur
    @aljahuur Před 9 měsíci

    Mashallah barakallah

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Před 9 měsíci +1

    Na pia naona Sheikh ajajuwa hasa maana ya neno bidaa!(BIDAA NI JAMBO LINALOLETWA NDANI YA DINI ASILOLILETA MTUME)sasa Maulidi kama mutasema ni sehemu ya ibada badi jibu utatowa wewe!

  • @user-ek3zk4bx5j
    @user-ek3zk4bx5j Před 9 měsíci +1

    Shukraan shekh.nime amini kweli wewe ni mwanazuoni.kuanzia leo sitokua na vita tena na maulid

    • @aymanmangube4092
      @aymanmangube4092 Před 9 měsíci +1

      mwanawazuoni!?

    • @musakibwana4596
      @musakibwana4596 Před 9 měsíci

      @@aymanmangube4092 acha wivu mtilie dua ustadh said. hata mashekhe wetu wainatwa wanazuoni na sio kumaanisha ndo wanazuo, hapo ndipo mawhabi munapo chemsha, kuchukua tafsiri za moja kwa moja...

  • @ilyashamidi3811
    @ilyashamidi3811 Před 9 měsíci +2

    Hakuna kitu hapa porojo tuu

  • @user-ge1us8qv6x
    @user-ge1us8qv6x Před 9 měsíci +1

    Alimtetea Mtume kwenye hiyo bidaaa mnayo ifanya Kila mwaka iliyo anzishwa na Mashia Faatwimiyuun nanyi mka ibeba kwa kula mpunga

  • @binfarhan879
    @binfarhan879 Před 9 měsíci +2

    Subhana Llah
    Hii hali tukiendelea nayo kuna michezo mingi itazuka kwan kupitia Maulid hakuna mtu anajali na kupata mazingatio maku wa juu ya dini na ndio maana tokea 2021 kumuundwa Mtume Cup kabla ya Maulid jee na ili mnakubaliana nalo?
    Na je ndio Mafindisho ya Maulid pamoja Dufu, Vinanda na Vinara.
    Tumcheni Allah na tusifanye Mas-hara katika dini.

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Před 9 měsíci +2

      Ukibadilisha malengo ya kusikiliza, ukiondoa ushabiki, ukiondoa chuki, hasadi, bughdhwa,
      NDIO SIKU ITAKAYOBADILI MAISHA YAKO....

    • @alisudiramadhan3151
      @alisudiramadhan3151 Před 9 měsíci +1

      Tatizo hamutaki kusoma mwasikiza tuu ndio mwapotea hamuelewi

    • @rjqaasam4587
      @rjqaasam4587 Před 9 měsíci +1

      Kaa kimya hujui kitu

    • @samirharun7993
      @samirharun7993 Před 9 měsíci +1

      wewe ndio bado umelala elewa kinachozungumzwa

    • @twayibshaykhmuhammad1034
      @twayibshaykhmuhammad1034 Před 9 měsíci

      MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 9 měsíci +2

    💚💚💚💚 MASHA ALLAH 🇰🇪

  • @MusaRamadhani-wj2dw
    @MusaRamadhani-wj2dw Před 9 měsíci +2

    Mashehk wa twalika wanatisha sana sana uko sawa sana sana shekh bachu uko wapi kuja usikilize elimu huku bule sana babu sikia elimu ya kufa mtu

  • @user-yr5bo2pd4r
    @user-yr5bo2pd4r Před 9 měsíci

    allah akuifadhi mwalimu wangu❤❤❤