Video není dostupné.
Omlouváme se.

MTOTO WA BACHU AMTUSI HABIB JUFRI | TAZAMA ALIVYOKITUPA KITABU CHA BARZANJ | SHEIKH ALHATIMY AMRIPUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 02. 2023
  • MTOTO WA BACHU AMTUSI HABIB JUFRI | TAZAMA ALIVYOKITUPA KITABU CHA BARZANJ | SHEIKH ALHATIMY AMRIPUA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 1,3K

  • @diiffarah3663
    @diiffarah3663 Před rokem +19

    Sheikh Mohamed Al hatimy Jazakallah kheyr Seyidii

    • @khamismajlo9333
      @khamismajlo9333 Před rokem

      Kz hii shekh bachu katow ushahid hakifaw ss ww unatkiwa utow ushahdi km kinafaa shekh

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Před rokem

      ​@@khamismajlo9333Huyo mtoto wa Bachu ni mpuuzi sana.

  • @amantually1105
    @amantually1105 Před 10 měsíci +3

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh,Allah akujaze kheri sheikh wetu mohammad Alhatimy Allah akulipe kheri usichoke kuwatetea wanazuoni wetuu ndugu yetu

  • @user-yj9qc3zp2r
    @user-yj9qc3zp2r Před 11 měsíci +7

    بارك الله فيكم سيدي العلامة الشيخ محمد الهاتمي حفظه الله تعالى ورعاه

  • @NurdinKikwete-qz1ds
    @NurdinKikwete-qz1ds Před rokem +2

    Wallahu yaalam anil ghaib. Muhim ni kubaki ndani ya msingi wa uislam tofaut kila mtu anazake .... Tupendane kma ma imam wetu wa 4 walivo iahi mbali na tofaut zetu

  • @aliabdullahi9200
    @aliabdullahi9200 Před rokem +12

    Subhanallah ewe kijana wa zanzibar mmwogope mwenyezimungu usivuke mipaka ikakukuta ballaa.kama sisi ni watu wa mowlid na hicho kitabu cha mowlid tukiwa tunamswalia mtume Muhammad sallallahu aleyhi wasallam.kila usiku.wa ijumaa.mungu anakuona.inshaalah

    • @hiqafilal9977
      @hiqafilal9977 Před rokem +1

      Shirki mwafanya kwenye kitabu

    • @mchagagaspar6649
      @mchagagaspar6649 Před rokem

      ALLA AMUHUKUMU KIJANA WAA BACHU KWAKUTUPA JINA LAALLAH KAMA KINYESI YAARABI YUKATIKA HUKUUZAAKO SISI HATUNA LAKUFANYA .

    • @aliabdalla6998
      @aliabdalla6998 Před rokem

      kijana wa zanzibar atoa maelezo,
      yasikie ndugu na ufungue kifua chako na utafakari, hii ni dini sio timu ya mpira kushikamana nayo hata wakikosea nyinyi mwawatetea bila dalili.
      hebu isikize hii 👇
      czcams.com/video/r96M_M7SLDk/video.html

    • @AhmedAli-jz5it
      @AhmedAli-jz5it Před rokem +1

      Yote hii ni kukosa hikma. Maana kuna elimu (inasomwa) na hikma (Anatoa Allah), kama Anavyosema SW kwamba "Na aliyepewa hikma amepewa kheri kubwa". Sasa hivi kweli vijana wamesoma lkn hawana hekima.

    • @zuhuramohamed7306
      @zuhuramohamed7306 Před rokem +3

      @@mchagagaspar6649 kwani anrusha Quran ata useme hivyo kitabu ni Quran ndio mwuongozo wetu sio hicho kitabu cha barzanji useless

  • @dahdahraawiyah1098
    @dahdahraawiyah1098 Před rokem +3

    Allah amsameh... وفوق كل ذي علم عليم..Allah akueke Al hatmiy kwa kutetea cheo ya maulamaa wa kubwa km barzanj

  • @hajiomari8198
    @hajiomari8198 Před rokem +7

    قل إن كنتم تحبون الله فاتبعوني يحببكم الله ويغفر لكم ذنوبكم والله غفور رحيم
    [ AL I'MRAN - 31 ]
    Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kufuta madhambi na Mwenye kurehemu.

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před rokem +5

    Subhanallah, Allah akusimamie shekh wetu, usikasirike msamehe, Allah, atakulipa ujira wak.

    • @hayberidris5684
      @hayberidris5684 Před rokem +1

      Wwe na shekhe wako zuzu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      ​@@hayberidris5684na ww mpotofu mtume alikwambie usitusi wanazuoni sasa ww wamfuata nani mtoto wa iblis

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před rokem +5

    Allah Atampa LA Kumpa Uyu Muhamed bachu ndivyo Alivyo fundishwa NA baba yak na mama yak

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 Před rokem +3

      Utapewa ww lakupwwa n allah kwa husda zako yye Allah atamlinda n mahasid

    • @sihainiahmad1624
      @sihainiahmad1624 Před rokem

      Al hatimy endelea nao jamaa hao maana hawatak kusoma wasomeshe kuingiza sumu

    • @ayoubrashid8392
      @ayoubrashid8392 Před rokem

      Uyu hafai kuitwa Muhammad...aitwe medi tu..

    • @ayoubrashid8392
      @ayoubrashid8392 Před rokem

      Icho kitabu kina mpaka swala za mtume....kwa alivokitupa......Allah amlaani

    • @MAPETEE
      @MAPETEE Před rokem

      Ehee Kuna mpk Majina ya Allah mpk swala za mtume Nazan ndio ka fundishwa NA baba yak nasor bachu NA mama yak

  • @ibrahimrashid951
    @ibrahimrashid951 Před rokem +6

    mungu hapendelei shehk uchwara malemba kama kapu la mbaazi pumbavuu

    • @Mohammad_shidogo
      @Mohammad_shidogo Před rokem

      Kazi ya wahabi matusi tuu huu siyo uislamu,huyo mwalimu wenu awafunza matusi sasa wasiyo kuwa waislamu mnawapa ulinganizi wa matusi .....
      Mtume s.a.w asema
      "سباب مسلم فسوق و قتاله كفر"chagua pako bro

    • @mudathirhussein9557
      @mudathirhussein9557 Před rokem +1

      Jamani hii dini ni ya haki musilumbane mwenge tumia hekima mukaogea kwa siri mukasomeshana na kuelimishana na hata Kama mtu ana tofauti zake basi asiweke hadharani ni aibu munawapa picha gani watu wanataka kuingia katika uislamu jamani hivyo sio vyema allah sw) awape imani na mapenzi ya kutolumbana Kama hivi ni aibu sana

  • @AhmedMohamed-um8ox
    @AhmedMohamed-um8ox Před rokem

    Doh sasa haya ndiyo mafundishow ya uwislamu kwa wale hawakusoma sheikh muhamad mungu amekupa kipaji kikubwana allah akuzidishiye basi ushasema mungu atahukumu 🤲 tafadhali mwachiye mungu chuki na matusi si mafundishow mazuri 🙏

  • @HabibAliKishki
    @HabibAliKishki Před 7 měsíci

    Mashallah!shukran shekh langu Hathmy Allah akupe subra na jazaa njema

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 Před rokem +9

    أيها المشايخ كونوا منصفين في دعوتكم أ زيلوا الحقد في قلوبكم،وأصلحوا أنفسكم قبل أن تصلحوا الآخرين.
    ١_تعلموا الفنون التي ينقصكم
    ١_كالبلاغة ،علم العروض،راجعوا كتب السير والتاريخ لتساعدكم في تفسير القرآن والسنة وفهم عبارات اللغة العربية ،ولا يتم هذا بإزالة الحقد ثم الإنصاف.

  • @hashimiddy4142
    @hashimiddy4142 Před rokem +12

    Safi sana shekhe bachu allah akuhfadhi hana hoja huyu mkenya

    • @sulaimaanunda2840
      @sulaimaanunda2840 Před rokem

      sema huyu sheikh fulani, wacha kusema mkenya babaa... kwa sababu ukisema mkenya umegawanya waislamu kwa hoja ya kitaifa na wala sio hoja ya ki ilmu alonayo mtu

    • @hidayasaid5131
      @hidayasaid5131 Před rokem

      Allahuma aamin

    • @ahmadseif7241
      @ahmadseif7241 Před rokem

      Ww ndo kibaraka wake

    • @sharifamohd3857
      @sharifamohd3857 Před rokem

      Hana hoja vooo mushrik😂

    • @SelemanUbuguyu-cd7hz
      @SelemanUbuguyu-cd7hz Před rokem

      Itakua ww bendela fata upepo ndomana waendelea kufata ujinga huyo anamwita mtu mushriki unajua kwer hukumu yahilo kaaa darsan kwanza usikulupuke ukafaaata mapenz yamaskio yako

  • @asalafiyahhussein7767
    @asalafiyahhussein7767 Před rokem +1

    Asalaam aleikum masheikh zetu , tufundishe tu alichotufundisha mtume wetu.(s.w.a) msilete debate hii sio Sanaa, mnatuudhi sisi talib Al ilmu . Nyote mmekosea someni wanazuoni wetu walikuwa wanakhitalifiana vip . Toeni porojo zenu😢

  • @abdulmalikabdulmalik5408

    Sheikh AlHatimy, Huyu Ana Laana na mkosefu Adabu, Mpotofu, Wote Wapotofu, Mwenyezi Mungu atawapa Adhabu zao In Shaa Alaah

  • @aliabdalla6998
    @aliabdalla6998 Před rokem +4

    Assalaam Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh, bwana Haatimy, toa dalili usizungumze bila dalili, jitetee kwa hoja, M Bachu Anatoa dalili, na sisi tunafahamu vizuri, kwa hio jogoo limekwisha wika, mimi mwenyewe nilikua nikisoma maulidi, Alhamdulillaahi Allaahu Ameniongoza nimeuona ukweli nimewacha bid'a hizo, namuomba Allaahu Akuongoze na atuongoze sote. aamiin

    • @mwalimumwanyongo880
      @mwalimumwanyongo880 Před rokem +1

      Hahaha 🤣🤣🤣 umeuona ukweli umeokoka, tusomeni jamani tuache siasa katika dini. Hii ni dini ya Allah, sio siasa

    • @abdulkrimalawi7165
      @abdulkrimalawi7165 Před rokem

      Amiin amiin amiin

    • @mwalimumwanyongo880
      @mwalimumwanyongo880 Před rokem

      Kwahiyo ukipewa hoja thabiti utarudi kupiga maulidi?

    • @aliabdalla6998
      @aliabdalla6998 Před rokem

      niliyaacha kwa sababu nilipoziona dalili za kweli na nikauona ukweli nilijua tu kwamba tulikua katika upotofu,
      dalili gani nitakazopewa na huyu kijana wa bachu awaambia mwende uso kwa uso na mada muchagueni nyinyi mwashindwa kuandaa hilo?
      nyinyi ndio mwaleta siasa,
      قل هاتو برهانكم
      leteni dalili wacheni ushabiki

    • @aliabdalla6998
      @aliabdalla6998 Před rokem

      @@mwalimumwanyongo880
      naam nineuona ukweli,

  • @swiddiqabubakar7500
    @swiddiqabubakar7500 Před rokem +8

    Wallahi huyu kijana wa bachu ana shida sana wallahi mungu amswaameh

  • @hasreeyasini
    @hasreeyasini Před rokem +1

    Nashindwa kumuelewa sheikh alhatimy yy ana makusudio Gani ktk uelewa wa kusoma maulidi juu ya barzanji

    • @bouunlocked14
      @bouunlocked14 Před rokem

      Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
      Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
      Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
      Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
      Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
      Sasa alichokusudia nini?
      Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
      Mfano Allah Anasema katika Quran:
      يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
      Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
      Ikisha kwingine Allah Anasema:
      الله يتوفى الأنفس حين موتها
      Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
      Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
      Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali

  • @abdulahmed2772
    @abdulahmed2772 Před 10 měsíci +1

    Hapa kila mtu abaki kwa imani yake kuwa mimi ni muislam kama nimetoka katika maulid nitabaki huku huku na kumswalia mtume muhammad s.w.m vinginevyo tunakwenda kukufuru allah atustiri

  • @modricseif1018
    @modricseif1018 Před rokem +6

    Hizi ni hitilafu katika dini, usivuke mipaka kuhisi wewe ndio upo sahihi kuliko wao, Allah atupe mwisho mwema inshaAllah, Nakupenda kwa ajili ya Allah🙏

    • @aliabdalla6998
      @aliabdalla6998 Před rokem

      czcams.com/video/r96M_M7SLDk/video.html

    • @NMJAsaid
      @NMJAsaid Před rokem +1

      Brother hakuna hitilafu ya uzushi na shirki. Maulid ni shirki na uzushi mtupu

    • @NMJAsaid
      @NMJAsaid Před rokem

      Brother hakuna hitilafu ya uzushi na shirki. Maulid ni shirki na uzushi mtupu

    • @coolpara8192
      @coolpara8192 Před rokem

      Msiseme Mambo msiyoyajuwa

    • @SWAFIYAMUHAMEDMZEEMBABA-ue3zq
      @SWAFIYAMUHAMEDMZEEMBABA-ue3zq Před 9 měsíci

      Unataka fata hutaki acha

  • @user-qb3yh9gq5l
    @user-qb3yh9gq5l Před rokem +4

    INA LILAH WAINA ILAH RAJIUN HUYU MADEVU BACHU ANA MATATIZO YA UBONG'O NA ALLAH ATAMPA CHA KUFANYA WALLAH MTIHANI MKBWA UNAMKUFURISHA SHEKH WETU DIYO DINI GANI ULIO SOMA WW ALLAH ATAKUHUKUM WW

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +1

    ALLAH NI MKUBWA!
    ALLAH HAWANUSURU WASHIRIKINA!!

  • @hafswanaaman2911
    @hafswanaaman2911 Před 10 měsíci

    SubhanAllah huyo Ana laana ni mkosefu wa dini mwenye zemungu atampe adhabu

  • @vanshowonline5958
    @vanshowonline5958 Před rokem +9

    Safi sana Shehe baacho, hakuna chuki bali ni ukweli. Jibu hoja kwanza Umeshika umetukanwa😂

    • @Mohammad_shidogo
      @Mohammad_shidogo Před rokem

      Kwani haja tukanwa!!! We kwani washabikia boli

    • @maherzain989
      @maherzain989 Před rokem

      Ujaelewa baba kasema mskilizeni Kwanza Kisha nimuweke saw

    • @sharifamohd3857
      @sharifamohd3857 Před rokem

      Waambie hao mrithi wa baba ako hoja hawawezi kuzijibu

    • @sharifamohd3857
      @sharifamohd3857 Před rokem

      umeshika umetukanwa

    • @athumanipima
      @athumanipima Před rokem

      Wenawemjingatuyanishekheamembiwanimushriq badowashikilia

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 Před rokem +6

    Babake alipoambiwa kafa na hakua mtu wa sunna aliteta sana lkn yy akufurisha na kutusi wazazi na mashekh wa wenzake anaona ni vzur tu yani hajafunzwa adabu kbsaaaa huyu bachu

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Před rokem

    WAISLAMU WOTE WENYE KUSOMA DUA, UISLAMU UMEDHALILISHWA. ATAKAELIWACHA HILI KUMUOMBA MUNGU AWADHALILISHE WALIOTUPA UZAO WA MTUME SAW, BASI ATAHUKUMIWA.

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 Před rokem +1

    Mimi nasikitika saaaana kuona munajiangika kwenye mitandaoni, mauudhu ya dini ni uso kwa uso mukarekebishana, Ile yausawa tukafundishwa, ni aibu kubwa maneno makali na vitendo vichafu mashekhi, kwani hakuna mashekhi wakubwa waku ya hukumu makosa hayo, tafadhalini mukae chini utaratibu wa kidini, alhamdulilah bi neema tul Islam, wa allah yahdikum,,,,

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před rokem +8

    Uyu Muhamed bachu mjinga sanaa mtovuadabu sanaa mshenz

  • @reonidajohn7857
    @reonidajohn7857 Před rokem +4

    Wallahi ukisoma ukafahamu raha sanaaa kwa hakika anavyo tafsiri barzenjiii ananifurahishaa sanaaa manaaa hakuna anacho patiaaa katika tafsiri yakee Maulidi ni yakwetu kitabu chetu lakini Maana anatoa yye asiehusika Wee unafikiri atapatiaaaa

    • @abuukauthar525
      @abuukauthar525 Před rokem +2

      kwel barzenjii ni kitabu chenu nyie masufi

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 Před rokem +1

      Lazima mujitetee kama munavopindua tafsiri za ayaa na hadithi ili mutetee uzushi wenu.

    • @Alegria_doPovo
      @Alegria_doPovo Před 11 měsíci

      Mtume gani alipewa hicho kitabu chenu?

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Před 10 měsíci

    Mohamad Bachu ww umepata kuzijua Siri za Mbinguni ndani ya moyo wako sioni unafiki ktk kumuabudu Allah. Mungu akuinue zaidi na zaid

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 Před 10 měsíci

    Aaaamiiina
    Umemjibu vizuri kabisaaaaa
    Mungu atujalie tusome na tuelewe na tujue sikurukia rukia tusio yajua tusiseme tusio yajua tunadhalilika kwa wasomi na watu wanajua kumbe huyu yuko hivi uwezo wake mndogo? tulijua bingwa wafani kumbe mweupe? mwengine aliekua anakuheshim atakudharau na kusema kumbe huyu hajui hatamiye ninamshinda? tujitambue kilamtu ajue sehemu yake sio lasima sisisote tue dhehebu moja dunianzima nasiolazima tulingane elimu na uelewa na ufahamu wewemwenyewe hapo mkonowako mwenyewe vidole vipo vitano nikuulize vimelingana? kwanini visilingane wakati vyote navyowewe? kwahio unayegemea kwasababu mtume tunaemfuata ni mmoja akili inakutuma elimuzetu na akili zetu na uwelewa wetu utakua sawa sawa?
    Mchamungu ningumu kumjua na dhehebu sahihi na watu sahihi wachamungu anawajua Mungu pekee anaejua ninani kapatia au kakosea tuepuke kuingia katika nafasi ya Mungu:

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před rokem +11

    Kukosa adabu na jeuri nyingi haiwezi kuvunja hadhi ya sh.Barazanji Mwenyeezi Mngu amekitilia taufiq chasomwa ulimengu mzima.

    • @mwajumamohd7930
      @mwajumamohd7930 Před rokem +3

      Acha kujibu ujinga, maulid ni shirki,Tena msitafute kujifaharisha na Hawa watu,hakuna kitu

    • @rushu1232
      @rushu1232 Před rokem +1

      @@mwajumamohd7930 Maulidi sio shirki kabisa tuko na dalili na hujja na haya ni masaala ya ikhtilaf yaweza kuwa bidaa lakini kwetu ni bidaa hasana lakini hakuna mambo ya ujinga.

    • @G.r.e.a.t.I.Q
      @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem

      Ndugu yangu, kusomwa ulimwengu mzima si hoja ya kuwa ni halali. Wengi wanasoma kitabu kile bila kujua maana ya maneno yaliyo andikwa. Wanasoma na kukiamini vile wanaamini ndani yake amesifiwa Mtume (SAW). Lakini, Je, amesifiwa kihalali? Au amepewa sifa ambazo mmiliki wa sifa hizo ni Allah (SW) pekee?
      Point ya msingi hapo ni Sheikh kuacha jeuri kwenye kuongoza wale ambao anadhani wamekosea au wale walio kosea kweli.

    • @MuhammadMuhammad-gr2qv
      @MuhammadMuhammad-gr2qv Před rokem +1

      @@rushu1232 hakuna bidaa Hassan katika dini Bidaa ni Bidaa na MTUME alikuwa ashawajuwa watu Kama nyinyi ndio Akasema WAKULLA BID'ATUN DHWALALA , WAKULLA DHWALALTIN FIL NAAR....
      Mumeshakanywa na MTUME (S.A.W) kuhusu BID'AA...

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 Před rokem +1

      @@MuhammadMuhammad-gr2qv kapande ngamia,usitumie spika msikitini,usisalie kwenye zuria maana mtume hakufanya hivyo,usitumie mitandao ya makafiri kama hii ya simu mtume hakutumia.hata Quran zama za mtume iliandikwa kwenye mawe,magome ya miti,ngozi, Leo mbona INA muonekano tofauti na asili yake?hebu rudini mkasome vinginevyo pandeni ngamia au punda ndiyo ulikuwa usafiri wa mtume.

  • @omarykilapo9173
    @omarykilapo9173 Před rokem +6

    Bachu mungu akajalie uwambuwe mashehe wa mchongo

    • @Safinatulshifaa
      @Safinatulshifaa Před rokem +1

      Naam

    • @ahmedmukolwe43
      @ahmedmukolwe43 Před rokem

      Ndo nyinyi hao,na nyinyi ndo mnafanya hakunyeshi mvua

    • @Safinatulshifaa
      @Safinatulshifaa Před rokem

      Watu wanajipa utukufu na kuzusha masuala ya maulidi
      Hakufanya Mtume Muhamad S.A.W
      Wala maswahaba hawakufanya
      Tabiina
      Wala
      Tabii tabiina

    • @Safinatulshifaa
      @Safinatulshifaa Před rokem

      Maulidi ni Mila za mashiaza kuwakashifu maswahaba WA Mtume na watu WA maulidi wanasema asiepiga maulidi hawampendi Mtume tofauti na mashi ipo wapi hapo
      Maana wasiopiga maulidi ni maswahaba hivyo tunawatukana
      Shia wanatumia DIRECT SPEECH
      WATU WA BIDAA WA MAULID WANATUMIA INDIRECT SPEECH

    • @haridyhillaryndembo1946
      @haridyhillaryndembo1946 Před rokem

      Uislam wa hivyo wa majivuno haupo wa bachu

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt Před rokem +1

    Inalilahi wainailayhi rajiuna Dunia imeisha mashekhe wapigana vita mpk lini jamani

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 10 měsíci

    Sheikh bachu yupo sawa Allah amuhifadhi

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 Před rokem +5

    Huyu kijana ni muhuni mkubwa kumbe hafai hata kukaa mbele ya jamii hana adabu kbsaaaa anatukana watu hajali hata ukubwa wao na elimu zao shenz fedholi sana huyu jamaa

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline Před rokem +17

    Adabu ni chombo muhimu katika elimu.

    • @abasmaalim5423
      @abasmaalim5423 Před rokem

      Sahihi kabisa ndugu yangu. Ila bid'aa za mambo ya maulidi ni jambo ovu mno kwenye uislam mzima

  • @mohammedhegdah
    @mohammedhegdah Před rokem +1

    Tunapoteza wakati wetu kukashifiana na kutukanana badala ya kulingania suluhisho la kisawa Al-khilafah. Masheikh wetu wameghafilika na kuzama katika mijadala isiyo na maana. Lau nguvu hizi zingetumika kwa njia ya sawa, Wallahy Uislamu ungekuwa unatabikishwa katika mgongo wa ardhi.

  • @fauzia4610
    @fauzia4610 Před rokem

    SubhanaaAllah hyo n kitabu bachu anarusha hvyoo😢😢😢

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Před rokem +6

    Njoo Kenya tukusomeshe Nathmi ni nini Sajg'hi n nini ndio uje umkosoe barzanj😂
    Sheikh Bachu yupo tayar uje umsomeshe lakini ulipoona jamaa yupo serious sabab kibaooo😜
    Hujibu hoja unadokoa dokoa t sehem ndogo ndogo kama ww una amini Elimu yako kubali kukaa na Muhammad Bachu mfundishane

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Před rokem +8

    Fahamisheni watu musilumbane, akikosea njia ni wajib kumuelekeza.

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před rokem +1

    Eeeh Muhammad bachu hio sio tabia ya mtume wetu Muhammad
    صل الله عليه وآله وسلم

    • @hammidmundu5192
      @hammidmundu5192 Před rokem

      Bachu ana lana huyo kijana very disrespectful...kwa qawli..

  • @IbrahimIsmail-te7mw
    @IbrahimIsmail-te7mw Před rokem

    Allah azizime shirki kupitia bachu na watoto wake aamiin

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 Před rokem +10

    Al-hatmiiiiiii, mbona hujib hoja ulizoletewa, unanichekesha sana mie.

    • @maherzain989
      @maherzain989 Před rokem

      Ujaelewa baba kasema mskilizeni Kwanza Kisha nimuweke saw

    • @aliabdullahi9200
      @aliabdullahi9200 Před rokem

      Hoja umetoawee.ama mjinga mwenzio.usiwe benderafuata upepo

    • @bouunlocked14
      @bouunlocked14 Před rokem

      Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
      Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
      Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
      Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
      Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
      Sasa alichokusudia nini?
      Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
      Mfano Allah Anasema katika Quran:
      يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
      Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
      Ikisha kwingine Allah Anasema:
      الله يتوفى الأنفس حين موتها
      Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
      Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
      Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali

  • @tariqinhosaid3447
    @tariqinhosaid3447 Před rokem +12

    Shekhe nataka utupe dalil kuwa roho ya mtume sallalahu alayhi wasallam ilipotolewa malaika walipiga laini mpaka mbinguni

    • @muddybreezy4595
      @muddybreezy4595 Před rokem +1

      Hahaha

    • @moskiley0025
      @moskiley0025 Před rokem +1

      😅😅😅😅😅

    • @haridyhillaryndembo1946
      @haridyhillaryndembo1946 Před rokem +1

      Fikra iko chini
      Hebu iulize tu AKILI yako
      Inawezekana au haiwezekani
      Kabla hujapata dalili, ikiwa kama mtu wa kawaida hupokewa na Malaika wa heri na kuogelea na ROHO yake hata wakaipeleka ROHO wanakoipeleka "wannashitwat nashata"
      Kwani Quran haikusema utafakari "Afalaa tafakkarun"
      Hebu TAFAKARI inawezekana au haiwezekani?

    • @khadijaabdulkarim4567
      @khadijaabdulkarim4567 Před rokem

      😁😂😂

    • @IbnuAlly-cg2gn
      @IbnuAlly-cg2gn Před rokem +1

      ​@@haridyhillaryndembo1946tunatakiwa tutangulize kitabu na sunna sio akili

  • @kazungukarisa55
    @kazungukarisa55 Před rokem +1

    MaashaAllah baaraka Allah

  • @aminuddinwacate
    @aminuddinwacate Před rokem +2

    Masha Allah alhamdulillah

    • @alfaniabdallahmshuza7058
      @alfaniabdallahmshuza7058 Před rokem

      Atatupa korowan ya Allah kweli wew nichizi ane tupa korowan ya Allah basi huyo kamkataa Allah kwaiyo huyu ni kibuli mungu akuhukum wew na walimu wako raana ya mwenyezi mungu ziwashukie

  • @majidsaid08
    @majidsaid08 Před rokem +9

    Mtume s.a.w, alisema zitafika zama dunia itachafuka yaani wenye ilmu wataonekana hawajui kitu na amabao hawana ilmu ndio wataonekana wajuwa na kupata wafuasi.... vijana wadogo wanaosoma sasa wana hamasa sana na kujifamya wao ndio wajuwa kila kitu ilhali mtu amesoma kodogo tu. Hao wazee waliopita walifanya mengi na maisha yalikuwa mazuri na heshima na adabu kwa kila umri angalia leo mambo yalivyo kuwa kila mtu hajui wao ndio wajuwa. Na huyu kijana bachu yeye kazi yake kukosow tuuuu yaani yiwafwatilia kila mtu kumtowa dowa badala yakutowa darsa zake. Msubiri imam mahdi aje kukukosowa na kukutekebisha na wewe

    • @saidbajoun4374
      @saidbajoun4374 Před rokem

      Mahdi ??? Kwa ushahidi gani

    • @majidsaid08
      @majidsaid08 Před rokem

      @@saidbajoun4374 nimekutajia mtume amesema bado wauliza ushahidi...... wataka kujuwa ama wataka ushindani?? Fwata unavyotaka kaburi kila mtu na amali yake hulazimishwi kama wajuwa na wajitosheleza haina haja ulize......

    • @saidbajoun4374
      @saidbajoun4374 Před rokem

      @@majidsaid08 bado hujatoa dalili ukisema mtume amesema ata mimi nitasema mtume amesema nipe Aya au Hadithi ata dhaifu kaka sasa ukisema mtume amesema na hakuna isnad matin wala rawi utakua wewe ndo umesema njoo na dalili kaka haina haja ya kukasirika

    • @saidbajoun4374
      @saidbajoun4374 Před rokem

      @@majidsaid08 mambo ya Imam Mahdi ni Uzushi mtupu

    • @abuually-ol2xc
      @abuually-ol2xc Před rokem

      Kwelii Hawa vijana wanatusumbuaa Sanaa wanajifanya sana wajuwajii

  • @khajumkhamis7910
    @khajumkhamis7910 Před rokem +4

    WEWE BACHU KASOME., USIZARAU

  • @Toh.blogger
    @Toh.blogger Před 4 měsíci

    Inalilalah wainailaih rajiun shekh bachu mungu atakuadhibu

  • @HabibAliKishki
    @HabibAliKishki Před 7 měsíci

    Kumbe hawalali umekuwa mauwui kwao mashallah hiyo ni neema kubwa sana

  • @muhammadkhatwab
    @muhammadkhatwab Před rokem +4

    BAARAKALLAHU FIYKUM. Aina hizi za video zinatuelimisha

    • @khaleedabubakar4403
      @khaleedabubakar4403 Před rokem +1

      Kwani hajui kilicho mfika babake na yy aendelee kutukana mashekhe na maulamaa

    • @allyfutto8763
      @allyfutto8763 Před rokem

      zinatuaibisha japo zaelimisha aibu8 mafunzo2, ki mimi kama ni jihadi bora nipigane kupinga ufiraun na sio wenyewe kwa wenyewe ajili ya sifa za UKUBWA astaghafirullah mungu ametunusuru tunahepuka NUSURA Subhanallah

    • @ramlamburi9743
      @ramlamburi9743 Před rokem

      @@khaleedabubakar4403 Kilimfika Nini?

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 Před rokem +5

    Bachu mtume hakufanya da’wa ya namna hiyo kumbuka hicho kitabu ulichokitupa ndani yake kuna jina la Allah 😭😭😭ebu fikiria mara Muhammad alafu acha chuki na dharau mihadhara yako imejaa chuki binafsi badilika Muhammad

    • @ashrafseif9460
      @ashrafseif9460 Před rokem +1

      Subhanallah huu n mtihan mkubwa kwa ummah Wa kiislam ,kukashfiana ktk mitandao mnachangany watu hasa weny elimu ndogo.tafuta njia nzur ya kufany ummah upate faida nzr

    • @dulaabdallah6127
      @dulaabdallah6127 Před rokem

      Hata upike chakula kizuri vipi ila kikiingia kinyesi utatoa kinyesi au utakimwaga?

  • @luqmanbaya2059
    @luqmanbaya2059 Před rokem

    Asalaam alaykum...uislam umetufundisha usitarabu..vip tena...tukose hekima ya kuambiana....yaani alhatimy..alimkosoa sheik Muhammad Nassor Bachu..kwa kielimu na aya ndani ya qur'an...na ushahidi kabisa...vip tena amuite mwenzake...mushrik...

  • @shariffali7780
    @shariffali7780 Před rokem

    Ukitizama picha kubwa tuwape hongera maadui wa kiislamu namna wamefaulu kutugonganisha! Na hapa utakuta hizo fitna za Najdi zafanya kazi. Mawahabbi wana ukosefu wa ilmu Kisha na adabu!

  • @Salhiya-hr7dy
    @Salhiya-hr7dy Před rokem +3

    Allah atustiri Inshaallah heeeeeh ila hiy bachu anatumia maneno makali akaaaaa 🥺🥺🥺🥺🥺🥺

  • @hashimshariff2743
    @hashimshariff2743 Před rokem +14

    Mungu amsaidie bachu kwa elimu yake chache na potofu. tumeona wengi walotangulia kama yeye mwisho wao ulikua vipi

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv Před rokem +2

    KITABU CHENYE USHIRIKINA NDANII NI MAKOSA KUKISOMA NA KUSOMESHA WATOTO.
    WATU LAZMA WAAMBIANE UKWELI NA UKWELI SIKU ZOTE UNAUMA SANAA .

  • @athmanjumagongah5667
    @athmanjumagongah5667 Před 11 měsíci

    Hii ni fitna kubwa sana Kwa ummah na mujtamaa wetu. Mambo Yako mengi tu ya kunasihiana bal ni maudhi yalioje mtu na kijiilimu chake tayari ashambulia na kukashif Bali na kukufurisha mashekhe na Wanachuoni wengine.
    Inna Lilah...

  • @azizbashir
    @azizbashir Před rokem +3

    NI KWELI HATA KUSHIKA HII KITABU NA KUSOMA KWA MUDA UTAPOTEA HAWA WATU WA MAULID NI HATARI ILIKUWA ZAMAN WANATEMEA CHAKULA MATE WANASEMA NI BARAKA

    • @hassanramadhani8527
      @hassanramadhani8527 Před rokem

      Ushaidi wako ukowap

    • @bouunlocked14
      @bouunlocked14 Před rokem

      Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
      Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
      Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
      Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
      Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
      Sasa alichokusudia nini?
      Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
      Mfano Allah Anasema katika Quran:
      يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
      Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
      Ikisha kwingine Allah Anasema:
      الله يتوفى الأنفس حين موتها
      Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
      Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
      Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali

  • @mbaroukbakar572
    @mbaroukbakar572 Před rokem +7

    jibu hoja usilete malalamiko

    • @bouunlocked14
      @bouunlocked14 Před rokem

      Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
      Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
      Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
      Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
      Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
      Sasa alichokusudia nini?
      Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
      Mfano Allah Anasema katika Quran:
      يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
      Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
      Ikisha kwingine Allah Anasema:
      الله يتوفى الأنفس حين موتها
      Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
      Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
      Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali

  • @sadofaraji5999
    @sadofaraji5999 Před rokem

    Kukufurisha umma mzima ni kosa kubwa sana na lugha mbaya siyo katika uislam.

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 Před rokem +2

    Mavitabu yamejaa shirk hayo maneno wanayomsifia mtume yafaa asifiwe nayo Allah ko sheikh Allah akuongoze ujue tofaut ya Allah na mtume .

  • @ahmedrage9664
    @ahmedrage9664 Před rokem +3

    Jufri ni mshrikinaaaa

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529

    Muhammad Haya mambo yatakuja kukutia kwenye majuto siku zambele ujute ukijutia badilika Ndugu yangu

    • @mwaramimwarami1479
      @mwaramimwarami1479 Před rokem +1

      Acha mikwara ww

    • @alhamdulillahalhamdulillah7529
      @alhamdulillahalhamdulillah7529 Před rokem

      @@mwaramimwarami1479 Mimi sfanyi mikwara Endeleeni tu kumponza

    • @abdulwahabbakar8677
      @abdulwahabbakar8677 Před rokem +3

      Hakuna kitakachomfanya ajute huyo jamaa na wenziwe ni wanaoabudu makaburi hapana asiejua kwanza kusema kilemba chake ni tangu kutoka kwa Mtume huo ni uongo wa mchana

    • @jeyllanghulam7990
      @jeyllanghulam7990 Před rokem

      @@abdulwahabbakar8677 shida hamtaki kufatilia madamu shehe kasema bc ww unatosheka... fatilia ili ujue sheikh alisema ukwli au shehe wako kamsingizia na kumuita muongo bila ya sbbu.... afwan

  • @fikiriayubu1358
    @fikiriayubu1358 Před rokem +1

    Innalillah wainnaailyh raajiun daawa ndo imefikia hapa kibri Cha wazi hiki hata hao wasio waisilam hawalinganiwi hiv dah mtihan tumeacha kuwalingania watu wasio swali tunatukanan leo dah

  • @Mohammed-fv1ur
    @Mohammed-fv1ur Před 10 měsíci

    Ata baba ake hakuwa hivi fedhuli ijapo Haku support maulidi hakufika kufru hiii

  • @khamisqais7706
    @khamisqais7706 Před rokem +4

    Huyo Mtoto wa Bachu anapo alipoteleza hayo ndyo Matunda yake na kipo kitakacho mpata labda arudi nyuma na kuacha kutukana wanachuoni

  • @rajabumtanga8792
    @rajabumtanga8792 Před rokem +4

    shekhe unatutia wasiwasi kuhusu akili Yako kweli nimzima weweee hamna kilevi chochote unatumia aaa sio Bure umedata kijana pole sana duuu

  • @saidali5964
    @saidali5964 Před rokem +2

    Pasuwa akhiy usihofu Allah Allah Yuko nawe bn bachu

  • @simbillamachiyya
    @simbillamachiyya Před rokem

    Asalaam alaykum warahmatullah, Mimi ni mfuasi wa Hadharat Mirza Ghulam Ahmad as imamul Mahd na Massih aliyeahidiwa, natoa maoni kuwa,Imamu Mahdi amefika, sawa na khabari alizotufahamisha mtume Muhammad saw, wacheni malumbano na kutukanana na kudharauliana, mpokeeni Mahdi wenu enyi waislamu,

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Před rokem +4

    Basi andaeni mijadala tuje tupate elim,,

  • @athumanisese
    @athumanisese Před rokem +3

    Alhatimy imekuuma eeeh

  • @fatmaabdul1047
    @fatmaabdul1047 Před rokem

    Wallah yasikitisha SUBHANALAH. ,Mkumbushe ...اياكموظن...kama pia wanakumbuka hadithi za mtume ...waonekana Wana Mtume wao

  • @niyonganjisadiki
    @niyonganjisadiki Před 4 měsíci

    Muhammad bachu Allah amhifadhi

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Před rokem +3

    SUBHAANA LLAH,Mtihani kwakweli .

    • @ahmedrashid7638
      @ahmedrashid7638 Před rokem

      Hakika kijana hata kama wewe Mohamed Bachu hukubaliani na Barzanji, haina haja ya kuita wenzako Mushriik, Jaribu kuwa funza, ndio sawa, hicho nikiburi

  • @samsiakassakangeta1780
    @samsiakassakangeta1780 Před rokem +3

    { لَمۡ يَكُنِ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ مِنۡ أَهۡلِ ٱلۡكِتَٰبِ وَٱلۡمُشۡرِكِينَ مُنفَكِّينَ حَتَّىٰ تَأۡتِيَهُمُ ٱلۡبَيِّنَةُ }
    [Surah Al-Bayyinah: 1]
    Ali Muhsin Al-Barwani:
    Hawakuwa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina waache walio nayo mpaka iwajie bayana,
    { رَسُولٞ مِّنَ ٱللَّهِ يَتۡلُواْ صُحُفٗا مُّطَهَّرَةٗ }
    [Surah Al-Bayyinah: 2]
    Ali Muhsin Al-Barwani:
    Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      Leo Mtume huyo yametupwa history yake na makafiri. Kama alivyoyafanya aboud rogo. Yakamkuta

    • @zayumbahussein5766
      @zayumbahussein5766 Před rokem

      Twayiiib

    • @saidyiddy1770
      @saidyiddy1770 Před rokem

      baadae ya kuwaingiza watu kwenye uislam mnapigakelele wenyewekwawenyewe

    • @saidyiddy1770
      @saidyiddy1770 Před rokem

      kwani ww maulid umeyatowawapi

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      @@saidyiddy1770 maulid (mazawa ya Mtume saw) tumeyatoa katika SIRA ya Mtume saw

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 Před rokem

    Na kama unasema daawa ya mtume s.a.w , Mtume Muhammad s.a.w hakulingania maulid. Acha makorokoro hayo na tosheka na yale aliyokujanayo mtume Muhammad s.a.w.

  • @user-fw6qd1mh4y
    @user-fw6qd1mh4y Před 10 měsíci

    mashia mnatabu elim ndogo hta huna uelewa hlf eti shekhe mchamungu anamjua allah

  • @sameermilo4907
    @sameermilo4907 Před rokem +7

    kweli huyu kakosa adabu ya elimu ... Mungu akuongoze bachu mdogo

  • @hassanwaiswa692
    @hassanwaiswa692 Před rokem +4

    Al Hatimy. Wacha maongezi mengi!!!
    Wewe msomi na Sheikh Bachu msomi. Panga siku, wakati na eneo. Macho kwaacho Uso kwa Uso. Hii video nusu nusu waaachaaaa!!!
    Kidume wewe na Bachu kudume.
    #facethereality 😎

  • @hamoodhn9497
    @hamoodhn9497 Před rokem +1

    A,alaikum Sheikh ni yule ambe mwenzake kakosea au mtu yoyote kakosea kumwita ukamfahamisha au ukamrekebisha sio kujifanya wewe wajua sana mpaka unatupa kitabu wao wamekosea lakini kuna jina la Allah kuna jina la mtume huna hofu wewe warembea tu Subhanallah unaudhalilisha uislam (الرياء في العباده)

  • @kesajwatala8106
    @kesajwatala8106 Před 8 měsíci

    Roho inauma sana hivi ikishindikan ki daawa hakun ingin njia yakumuelewesh huu ambae anae chafua wanazuoni

  • @ahmedmalick5043
    @ahmedmalick5043 Před rokem +4

    Alhatimy wewe ni mbabaishaji tuu

    • @bouunlocked14
      @bouunlocked14 Před rokem

      Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
      Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
      Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
      Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
      Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
      Sasa alichokusudia nini?
      Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
      Mfano Allah Anasema katika Quran:
      يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
      Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
      Ikisha kwingine Allah Anasema:
      الله يتوفى الأنفس حين موتها
      Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
      Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
      Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před rokem +6

    Umeshindwa hoja sasa watafta vijisabab hahahaha

    • @mwaramimwarami1479
      @mwaramimwarami1479 Před rokem +2

      Hana hoja wallah,sioni anachoongea,na maulidi siendi tena

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před rokem +1

      @@mwaramimwarami1479 kwahyo kuwaita waislam washrikina ni sahihi

    • @ramadhanirama7970
      @ramadhanirama7970 Před rokem

      @@mwaramimwarami1479 Ulikazimishwa kwenda??

    • @abubakarsaid8606
      @abubakarsaid8606 Před rokem

      Kweli kabixa

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 Před rokem +2

      @@adamhashim3352 Kwa dalili ni sawa nyinyi ni washirikina sio waislamu, muislamu humuomba ALLAH tuu hapitii kwengine kama wakristo (kwajina la yesu), au umesahau (laa-tadduu maa-llahi ahada)?

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 Před rokem

    Mi nlidhani utajibu hio hoja kuwa hio ibara inayosema kuwa amani iwe juu yako ewe mwenye kufuta madhambi.. Msituchanganye kwa sababu sisi wengine alhamdulilah tunajua kiarabu.. Mi sisemi kuwa maulidi yanafaa au hayafai kwa sababu sina dalili.. Ila kama mnataka mufanye maulidi basi tafuteni kitabu Chengine sio hicho kimejaa uongo na shirki.. Mtume hasamehe madhambi Bali Allah ndio anasamehe madhambi

  • @badarbinthabit290
    @badarbinthabit290 Před rokem +2

    Mwana chuoni gani mbona huku Yemeni Hatumtambui

  • @alshamsitz3961
    @alshamsitz3961 Před rokem +5

    Sishangai kwa mtoto wa Bachu kwa kitendo hicho maana nishawahi kumsikia kwenye moja ya clip yake akisema wazazi wa Mtume Mohammad wamekufa hali ya kuwa ni makafir na wataingia motoni

  • @hasreeyasini
    @hasreeyasini Před rokem +3

    Alhatimy keshaelewa SoMo ila anatafuta njia ya kutokea

  • @jamilkarama4730
    @jamilkarama4730 Před rokem +1

    Kwan watu wa maulidi wanamuabudu Mtume S.A.W. Hicho barzanj shirk tupu

  • @hajiomari8198
    @hajiomari8198 Před rokem +1

    Muhammad Bachu hajaelewa aya hii, arudi kwa Sheikh wake akasome tena, na kabla ya kusoma asomeshwe adabu ya mwenye kutafuta Ilmu,

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 Před rokem

      Kuna balagha gani jamaa ilotumika humuuu,mpka mseme hatujaelewa

  • @zenaahmedi8857
    @zenaahmedi8857 Před rokem +4

    SubhanAllah...mbon najisikia vibay mim

  • @abuuhanifa4569
    @abuuhanifa4569 Před rokem +3

    من جهل شيأ عداه

  • @theroots2743
    @theroots2743 Před rokem

    Nyinyi au sote ni.waislamu wacheni mambo ya kuhitilafiana tupo wengi ktk hii dunia hebu tujaribuni au tuwatetee wenzetu wanaopotezewa maisha yao na vitabu kuchomwa moto kisha hatuyakemei hayo zaidi ya kutiana kasoro tu na hasa nyie mnaojifanya masheikh na wana zuoni tukumbuke tu sisi sote mwisho wetu utafika tu

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 Před rokem

    Nashangaa sana mashekhe mnapoteza muda wenu kujibizana na kijana mdogo ambae bd ana mambo mengi maana vijana wadogo mala nyingi balehe inawasumbuwa ndo maana mashekhe wengi hawakubaliyani na mauridi ila hawajarusha kitabu ila huyo muhammed karusha hamuoni ni balehe inamsumbuwa elimisheni watu siyo kujibizana mitandaoni kila siku radi jifunzeni kwa shekhe othumani maalim yy kimywa hajibizani na watu ni shekhe wa kuigwa kule kunyamaza kimywa kwa mtu mjinga ndo jibu lako

  • @ummyhawaaweis3867
    @ummyhawaaweis3867 Před rokem +4

    Subhanallah huyu kijana naona anapersonal issues...hana nidhamu kabisa...

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Před rokem

      Ni mpuuzi huyo Bwana mdogo

    • @abdikrezyressurected616
      @abdikrezyressurected616 Před rokem +1

      Bachu ako sawa kabisa...watu wa maulidi wanakufuru kabisa...Hana hoja anatafa huruma huyu shehe wa maulidi

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Před rokem +1

      Unataka nidham ipi kama m2 anapotosha wa2 kwenye dini

    • @mwalimumwanyongo880
      @mwalimumwanyongo880 Před rokem

      @@kassimali2273 Basi wakwanza kuwapotosha watu katika dini ni Allah, ukifanya Dhambi watakiwa umuelekee Allah akusamehe au wende Kwa Mtume Muhammad saw? Kasome Suratun nisaai Aya ya 64, acheni chuki hii ni dini ya Allah, tusomeni tuelewa then ndio tukatafute huo ukubwa mitandaoni na kwenye mimbari.

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před rokem +3

    HIZO BIBLIA HAZITUPWI CHINI 😭😭😭

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem +3

      ABDUROGO ALIDHURIKA BAADA YA KUKIKEJELI KITABU CHA MAULID

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Před rokem +1

      @@hilalkhalfan1452 Ndoo Shirki hizi maswahaba waliuawa waliteseka na barzanji haikuwepo nao walikejeli nini. Kheri na shari zatoka kwa Allaah. Unatukuza hiki kitabu kana kwamba kinatoka kwa Allaahu. Nyie kama mnataka kumdhuru alfu mjifichie eti barzanji mmefeli

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      @@suleymansalim5732 kheri na Shari anaepanga ni ALLAH SW. kwaio wewe ni mshirikina wa kwanza kuamini Shari zinatoka mikononi mwetu. Abdurogo alidharau maulid na AKADHURIKA, kwaio kudhurika kupo njia nyingi. Sasa subiri uwone utabiri wangu kama utaanguka chini.

    • @mawaidha386
      @mawaidha386 Před rokem +1

      Msahafu unatupwa chini Kila Leo na hamsemi et Leo barzanji ndio mumekuja JUU Kila ni kitabu kama Vitabu vyengine au Kuna nabii kapewa brzanji ... Naona unakujua JUU na mambo ya kitoto kabisa alhatim ww ndie ulianza hii mijadala na yaonesha wazi ulikua hulala tangu 2017 uliopoiona ILE video ikawa unasema tu Muhammad bachu ntamjibu lin hilo ndio lilikua mdomoni mwako maiaka yote io duh

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      @@mawaidha386 kama msahafu umetupwa basi hujaja juu wewe tu, uliza tulinfanya nini yule mkiristo alioukejeli msahafu. Nenda kaulize. Sasa wewe naona unatafuta sababu za maksudi kuona ni jambo la kawaida tu kuikanyaga kitabu kilichohifadhiwa mazazi ya Mtume saw. HILO ATALIPIA UCHUNGU WAKE KILA ATAKAE FANYA. endelea kufuatilia

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 Před rokem

    Umewekwa sawa mushrik.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před rokem

    Kutukqnana kwenye mitaa baina ya Mashehe sio desturi nzuri katika Dini ya Kiislamu.