KIPOZEO AMLIPUA MTOTO WA BACHU WACHA DHARAU, HESHIMU MASHEKH USIJIDAI UNAJUA, DINI HAITAKI UJANJA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 11. 2023

Komentáře • 253

  • @user-rm8ew5nk4h
    @user-rm8ew5nk4h Před 7 měsíci +2

    Sote ni wamoja mtume mungu wetu ni mmoja mungu mmoja uislam wetu ni mmoja tupendane na wasio kua waislakua waislam pia tusiwaudhi ni makosa

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 Před 7 měsíci +1

    ALFU MABROOK YAH SHEIKH KIPOZEO MINALFAIZEENAH AMEEN

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Před 7 měsíci

    Muhammed Bachu anajielewa sana tu nyinyi ma sheikh wangine hamujielewi mna sifasifa SubhanaAllah

    • @user-gj7by1nr2x
      @user-gj7by1nr2x Před 7 měsíci

      Mtume ametumilizwa ili atimize tabiya njema je hii ndio tabia njema kukashifu asie wko na kumsifu umpendae si bid'a

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      AA-yr7sr bachu hajielewi lau angekuwa anajielewa basi angekuwa na Adabu na Heshima kwa sababu Mtume S.A.W alikuwa muwelewa sana licha ya yeye alivyokuwa kuwa na Adabu na Heshima kwa Waislamu Mtume S.A.W alikuwa na Adabu na Heshima hata wasokuwa waislamu Daawa yake toka azaliwe mpaka kupewa Utume na mpaka Kufa kwake hakuwai kuwaita wasokuwa waislamu Kafir Wanafiq au Mushrik kisha leo aje mtu kama bachu elimu hana Hajielewi Aya za Quran aziponda ponda Tafsiri hazipati hajui Nahau na Swarf kutafautisha Faail na Maf-uul kisha eti aje bachu ataka kumkosoa Sheikh Jaffar al Barzanji mtu aliekuwa Mufti wa Madina Imam wa Msikiti wa Madina mtu aliye kuwa na Fani zote za kielimu na cha ajabu zaidi Sheikh Jaffar al Barzanji kutoka aondoke duniani mpaka sasa imepita miaka 267 takriban karne mbili na nusu kulipita wanazuoni wangapi wakubwa wakubwa hawakuona uongo wa kitabu cha Barzanji ila yeye bachu hana adabu wala heshima kuita watu mushrik au kaafir. Lkni mimi nawaambia hata nyinyi hamuna Elimu au Ufahamu ni Ushabiki tu mulokuwa nao pia Hamujielewi. Ila tu nawaambia jichungeni sana Mtume S.A.W ametahadharisha watakuja watu mfano wa kina bachu ktk Hadithi yake Mtume S.A.W asema:
      عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي».
      [حسن] - [رواه ابن حبان]
      قال ابن كثير رحمه الله :
      " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) .
      ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ

    • @AbdallahBabu-jl8ld
      @AbdallahBabu-jl8ld Před měsícem

      Nyinyi ndio mnaopenda mawaidha ya kufoka na mipasho pasipo kuzingatia nidhwamu na hekma nakujifanya mtu anajua zaidi ya wengine

  • @aymanmangube4092
    @aymanmangube4092 Před 7 měsíci +1

    اللهم ثبت قلبي على دينك
    kipozeo nakumbuka ulivyozungumzaga kuhusu maulid na watu wake aisee pole sana mzee ndio Dunia hii kinachotakiwa ni kumfuata sio kumsifu

  • @JumaAlly-ur8kx
    @JumaAlly-ur8kx Před 7 měsíci +1

    Allah akulipe shekh kipozeo

  • @hassanabdulrahman189
    @hassanabdulrahman189 Před 7 měsíci

    Ma sha Allah,.
    Allah Baarik fiik 🤲🤲🤲🤲

  • @user-lg1pc3gy6w
    @user-lg1pc3gy6w Před 7 měsíci +2

    Allah atupe mwisho mwema maana kipozeo kama unamjua enz za omari bashir leo laalikwa mpaka na akina wema koleo

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 7 měsíci +2

    Sheikh wetu Hilal Kipoozeo amesimulia kisa cha nabii Daud namwanawe Suleiman kuhusu shamba na Mbuzi nahapo Nabii Suleiman alikua na umri wamiaka 12 fatwa yake ikapita,jee hatuhisi kama Mtoto waBachu nimdogo lakini alichokisema yupo sahihi?

  • @hussenaaghe2760
    @hussenaaghe2760 Před 7 měsíci

    Shekhe mungu akuzindue mungu akujalie ufiki kama 2:28

  • @TwalibuhamdaUtonu
    @TwalibuhamdaUtonu Před 7 měsíci

    mungu akuweke milele na akupe afya njem achanana hawa wapiga debe ss ni waisilamu tuwe kitu kimoja na siyo kudharsuliana jamani

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc Před 7 měsíci +11

    Tumche allaah sw tuwe na khofu na allaah sw lkn pia tumuombe allaah atupe taufiq , tusijitakase kwa kujiona bora kwa balagha zetu nahau zetu tutafeli , allaah atupe mwisho mwema

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 Před 7 měsíci

      Ameen yaraby 👏🏻

    • @binkhalifa6956
      @binkhalifa6956 Před 7 měsíci

      Amiin

    • @ratibambowa1455
      @ratibambowa1455 Před 7 měsíci

      Lakini balagha zisomwe ndio kiarabu kitusipige chenga ni aibu mtoto wa Bachu ameenda kwenye munaqasha kusema "Tahaqaqa swidqahu" tusomeni fani mana kusema ukweli Mohamed Bachu hana kitu kk ni kejeli tu zake maana ilibidi atie saqna ndio asalimike tusomeni ilimu ya fani

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Před 7 měsíci

      Kusoma ni wajib, lakn hii inamkuta hatta aliyebobea ktk fani siku moja ataenda kombo kikubwa kwetu tumuombe allaah sw aturuzuku taufiq,,,, man yurid llaahi khairan yufaqqihhu fiddiyyn

    • @user-rf5zf2xc9h
      @user-rf5zf2xc9h Před 7 měsíci

      Alaahumma Ameen

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 7 měsíci +1

    HOJA SIO WANYAMA KUONGEA, WANYAMA WANAWEZA KUONGEA
    HOJA YA BACHU NI KWAMBA JE IMETHIBITI KWAMBA WANYAMA WALIONGEA.
    KUONGEA MDUDU CHUNGU IMETHIBITI KWA QUR'AN NDEGE HUDIHUDI ALIONGEA KWA MUJIBU
    WA QUR'AN
    TUNACHOTAKA LETENI KINACHOTHIBITISHA KWAMBA WANYAMA WALIONGEA KUHUSU MIMBA YA MTUME KWA KUR'AN NA HADITHI

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Před 5 měsíci

    Mujibuni sheikh bachu kwa elimu leo hii munamuona mtoto mdogo anakushindeni kwa hoja munabaki kutafuta msjibu yasiyo kua na mashiko

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil8436 Před 7 měsíci

    QURANI SURAT - AL-H’ADIID AYA 23 :Ili msihuzuniki kwa kilicho kupoteeni,wala msijitape kwa alicho kupeni na mwenyezi mungu hapendi kila anayejivuna na akjifafharisha. Kwahiyo mnamsifu sana huyo kulioko hata mungu. Je! Quran : viliomo mbiguni na ardhini vinansabih mwenyezi mungu na yeye ndiye mwenye nguvu,mwenye hikima? Wapi ilpo andikwa vinamsabihi mwenyezi mungu na mtume wake

  • @AbdallahMpemba
    @AbdallahMpemba Před 7 měsíci

    Wanamwita shkh kumbe bazazi je kipozeo unakumbuka maneno ya baba yk Mz Shaweji.

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Před 7 měsíci +2

    Hayo ndo matatizo yenu tunokuiteni Mashekhe

  • @qussayribnommar511
    @qussayribnommar511 Před 7 měsíci

    Toa Dalili Sheikh Kipezeo Mizigo Acha Kuropoka

  • @shabankabarisa8785
    @shabankabarisa8785 Před 7 měsíci

    Wewe eti kipozeo Acha ujuwaji bashu sisaiziyakowewe asha kujipima n watu wenye kuelewa n kujielewa.

  • @user-wx9rc3oy9o
    @user-wx9rc3oy9o Před 7 měsíci

    Siku hizi dini inashangiliwa na kushindana kama mpira wa miguu watu wanajigamba kwa ujuzi na elimu mitihani sana watu wanalishana misimamo na sio elimu wakitoka hapo na misimamo huwaambii kitu hata wazazi wao huwaona makafili

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 Před 7 měsíci +2

    Mnakera na haya Mawaidha kwani mmeshindwa kuelimisha vizuri mpaka vidogo ...

  • @SuleimanMakame-ex2eh
    @SuleimanMakame-ex2eh Před 7 měsíci

    Dini haitaki ujanja ujanja maulidi yanafanywa ni ibada kwa ujanja ujanja tu maana haikuwapo ibada hiiii

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před 7 měsíci

    Ukweli hauwez kusimama mbele ya batil
    Mkiambiwa ukweli na mabirtdhday party ni haramu na hayafai mnaleta ubish.
    Bachu ni nuru Allah amzidishie

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Birthday uijuwao ni wewe ni mazazi ya Mtume S.A.W. ukweli upi bachu aliosema wala hana nuru huwa mwajisahau wakati watu wa kisema Mtume S.A.W ni Nuru mwasema Bida'a leo mwasema bachu ni nuru hii ni kumdharau Mtume S.A.W. Alafu Mtume S.A.W Nuru yake ilikuwa sio kutukana watu na kuwaita watu mushrik au kaafir au mnafiq hiyo sio Daawa ya Mtume S.A.W

    • @mussakiziyzi408
      @mussakiziyzi408 Před 7 měsíci

      Inaonekana na ww ndio katk haohao As’habul ubwabwa
      Sifa za mtume zinajulikana.
      Izo birthday party zenu wenyew na kuifanya kmibada apo
      Ndio uharamu wake
      Na zaid mnapofanya iyo mikusanyiko yenu kike kiume na madufu juu.
      Maulid ni bidaa isiofaa kbs ila mkiambiwa mnakuwa wakali na kujitia ujuaji.
      Na uyo mwalimu wako anasema nina apo na akasifie matako tuu hana ubavu wa kumsema Bachu
      Anaeipambanua janqa la uharam wa maulid na mapambio yake.

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 Před 7 měsíci +1

    'Yani watu wa bid'a mnahangaika na mtoto wa Bachu roho zitawauma sana
    Kwanza huyu kipozeo ukimlinganisha na Muhammad Bachu nani mwenye nuru ya Sunna ukimuangalia kimwenendo na kitabia?

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      niyakhalid wafurahisha sana 😂 anae hangaika ni watu wa Maulid au Bachu. Maulid bado yanasomwa kila leo na kukicha yaani kila mahali yasomwa bila khofu cha kuchesha Bachu atapatapa na kuhangaika kutafuta Paka kuzungumza nae. Mwashangaza leo bachu amekuwa eti ana Nuru lkni mukiambiwa Mtume S.A.W ni Nuru mwasema Bida'a mwamsingizia uongo. Mtume S.A.W hakuwa na Nuru ya kutukana licha ya watu wenye Elimu wanazuoni na kuwaita watu mushrik hata wale Munafukun na Manaswara makafiri alikuwa akiawata kwa majina yao. Bachu atatoa wapi Nuru hiyo hana nuru wala ukwaju. Alafu watu kama hawa Mtume S.A.W alitahaddharisha alipowambiya Maswahaba wake watatokea mashekhe kazi yao ni kuwaita watu mushrik.
      binkhalifa wakati akitukana wanazuoni na kuwaita mushrik na watu wengine kusema motoni haukuchoka. Basi Hadith za Mtume S.A.W alovyotahadharisha watatokea watu kama hawa. Asema
      عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي».
      [حسن] - [رواه ابن حبان]
      قال ابن كثير رحمه الله :
      " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) .
      ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ
      Jihadhari na hao Mashekhe wenu mutapotezwa

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 Před 7 měsíci +2

    Mtihanj kweli kwa hiyo atakae sema wwe kwamba utakuwa Rais ina maana ndio hoja ya kusema wanyama wameongea maneno hayo kasema nani?

  • @HabasuFamily
    @HabasuFamily Před měsícem +1

    Shehe comedy kazi kutetea uzushi tu

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před 7 měsíci

    Ni kawaida ya haki kukubaliwa na wachache na kukataliwa na wengi, mimi nafikiri wangegusia kitu ambcho leo maadili ktk jamii yanazidi kupotea lkn ajabu wanakusanyika kumpiga vijembe bachu, ni kawaida ya haki kukataliwa na wengi na kukubaliwa na wachache

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      batashqiraa nyinyi mwashangaza kweli lkni hii ni Tabia yenu kujisahulisha au mwajifanya hamuyaoni, Mtume S.A.W asema ktk Hadithi yake إذا أردتَ أن تَذْكُرَ عيوبَ صاحبِكَ فاذكرْ عيوبَ نفسِك
      الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الألباني | المصدر : السلسلة الضعيفة
      الصفحة أو الرقم : 6975 | خلاصة حكم المحدث : منكر | أحاديث مشابهة
      التخريج : أخرجه البخاري في ((الأدب المفرد)) (328)، والبيهقي في ((شعب الإيمان)) (6758) wakati bachu akitukana wanazuoni na kuwaita mushrik na watu wengine kusema motoni au wengine kuwaita Makafir hiyo ilikuwa ni sawa lkni akikejeliwa yeye sio sawa? Sasa sikiza Mtume S.A.W kitambo alitahaddharisha kuwa watakuja watu kama mfano wa kina bachu washajua Hadithi mbili tatu wataanza kuwaita watu mushrik. Mtume S.A.W asema ktk Hadithi yake عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي».
      [حسن] - [رواه ابن حبان]
      قال ابن كثير رحمه الله :
      " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) .
      ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ
      Jihadhari na hao Mashekhe wenu yapimeni maneno na hizi Hadithi za Mtume S.A.W au kutajikuta pia nyinyi mumepita njia sio Someni mutie fahamu musipelekwe kiushabiki

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p Před 7 měsíci

    Zeee la mi.........

  • @alawi6796
    @alawi6796 Před 7 měsíci +1

    Bachu tumemuelewa mda kuwa elimu yake ni ndgo xana

  • @AbdallahIssaShekhan
    @AbdallahIssaShekhan Před 6 měsíci

    Bachu ana mzigo wa bega msameheni muombeeni dua

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 Před 5 měsíci

      Kwakweli ana mzigo wa kuelimisha masheikh wa kupenda ubwabwa, jibuni hoja sio kila siku kumlaamu bachu bila maandishi, na nashkuru umekubali wanyama hawaja ongea

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 Před 5 měsíci

      Jibuni hoja nani aliesema wanyama waliongea na kapokea hadith hiyo

  • @yangayanga1553
    @yangayanga1553 Před 2 měsíci

    Utadhania Maswahana waliyasoma umbumbu tu

  • @yasirsaid8464
    @yasirsaid8464 Před 7 měsíci +1

    Wewe shkh kipozeo mbona hatukuelewi mara wewe sio mtu wa maulidi mara upo kwenye maulidi... mche mola wako

  • @ramadhanishabani1644
    @ramadhanishabani1644 Před 7 měsíci

    Nyinyi wandishi wa abari muwe mnandika maneno ya kweli msiwi mnaongeza ao mnapunguza apo sheikh kipozeo kamtaja wapi mtoto wa bachu

  • @mpoyluny3712
    @mpoyluny3712 Před 7 měsíci

    Hii kanzu vipi

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j Před 7 měsíci

    Huyo kipozeo alimparamia sheikh barahian nikweli kipozeo ni mcekeshaji lakini bujumbura buyenzi 14na30 kunakimama kinene ceusi alikuwa akipiga celele hapo

  • @abdulkarimukusaga3617
    @abdulkarimukusaga3617 Před 7 měsíci

    We hunakili

  • @AishaMkwata
    @AishaMkwata Před 7 měsíci

    mashaallah

  • @user-eh2kh6iz7h
    @user-eh2kh6iz7h Před 6 měsíci +1

    Njaa mbaya jamani.!Allah atuepushe na bidaah

    • @Modyb
      @Modyb Před 3 měsíci

      amefika huku jamani, amejaa kifua ankusanyika na mipochofu ya maulidi. Allahu musta'an. Allah atupe thabaat.

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 7 měsíci

    Katika uwahabi adab kwao sio muhimu ndio wanajisemea ovyo ovyo.

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před 7 měsíci

    Mashehe wa maulid

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 7 měsíci +1

    Shegh hilali hakurupuki maana lugha yake iko fasaha

  • @user-eq2kj4rw1i
    @user-eq2kj4rw1i Před 7 měsíci

    Kawaida mwalimu hawezi sahau mtoto mjinga kwa darasa

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 Před 7 měsíci +1

    Kipezeo niliona anampinga vita diamond alafu mwishowe diamond alipomualika chakula sijaona akiongea tena

    • @omarshaban4735
      @omarshaban4735 Před 7 měsíci

      @imsimbe kwanza ww unajua mahana ya bidaa

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 7 měsíci +2

    Mishekhe ya bidaaaa imejaaaa tanzania

    • @mohammedal7864
      @mohammedal7864 Před 7 měsíci

      😂😂Pamoja na Mombasa

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Kwenu hamuna Bida'a ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم mumeitowa kigawanyo cha Tauhid yaani zenu mpaka ktk IBADA

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před 7 měsíci

      Daah hta wameshinda kenya yote kwa jumla

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Před 7 měsíci

      Bado hamjasema.jambo hulipendi wala hukubalianinalo unapoteza mb zako kwanini?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 7 měsíci

      @@Khalid-mf3iu Kenya wamezidi bidaa

  • @zuberimusamazari7003
    @zuberimusamazari7003 Před 7 měsíci +1

    Mohammed bachu nakuombea Allah akuhifadhi leo duniani na kesho akhera

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      zuberimusamazari muombe awache kutukana na kuwaita watu mushrik hii sio Daawa ya Mtume S.A.W alikuwa akitukana na kuwaita watu mushrik au kaafir. Daawa ya Mtume S.A.W licha ya wale makafiri na wanafiq walikuwa wakimpiga vita lkni maisha yake yote hakuwai kutukana na wala kuwaita Makafir au wanafiq hata baada ya Vita vya Badr alienda kwa wale makafiri walokufa ambao ni viongozi wao Mtume S.A.W akawaita kwa majina yao japo alijuwa walikufa na ukafiri. Na Mtume S.A.W alitahaddharisha alipowambiya Maswahaba wake watatokea mashekhe kazi yao ni kuwaita watu mushrik.

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      عن حذيفة رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : «إنَّ ما أَتَخوَّفُ عليكم رجلٌ قَرَأ القرآنَ حتى إذا رُئِيَتْ بَهْجتُه عليه، وكان رِدْئًا للإِسلام، غَيَّرَه إلى ما شاء الله، فانْسَلَخَ مِنْه ونَبَذَه وراءَ ظَهْرِه، وسَعَى على جاره بالسَّيف، ورمَاه بالشِّرك»، قال: قلتُ: يا نبيَّ الله، أيُّهما أوْلى بالشِّرك، المَرْمِي أم الرَّامي؟ قال: «بل الرَّامي».
      [حسن] - [رواه ابن حبان]
      قال ابن كثير رحمه الله :
      " إِسْنَادٌ جَيِّدٌ " انتهى ، وحسنه الألباني في "الصحيحة" (3201) .
      ويشهد لهذا المعنى ما رواه البخاري (6104) ، ومسلم (60) - واللفظ له - عن ابْن عُمَرَ رضي الله عنهما ، قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ( أَيُّمَا امْرِئٍ قَالَ لِأَخِيهِ : يَا كَافِرُ، فَقَدْ بَاءَ بِهَا أَحَدُهُمَا، إِنْ كَانَ كَمَا قَالَ ، وَإِلَّا رَجَعَتْ عَلَيْهِ

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Soma Hadithi hizi na pia mujihadhari na mashekhe kama hawa watawapelekeni pabaya

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Před 7 měsíci +1

    Halaf mwenye hii chaneli nimuongo mkubwa amuogope Allah maana shekh hajamtaja huyo bacho sasa wamsingizia mtu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 7 měsíci

    Ahal Al Bidaa

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 7 měsíci +2

    Kipozeo sio shekh ni mchekeshaji kama.kina joti tu

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 7 měsíci +1

    Mafundisho potofu ya mudy yamezaa magaidi mengi sana

    • @salimkilunguzo5935
      @salimkilunguzo5935 Před 7 měsíci

      We laurean acha upumbavu. We na dini yako na sisi na dini yetu. Kinakuwasha kitu gani?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 7 měsíci

      Usisahau magaidi walianza siku nyingi kama vile magaidi wa kiyahudi walivyomsulubisha yesu na hata Leo wanawauwa wapalestina

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 7 měsíci

    Hii channel ni ya mashia,na inatumika kuwagongesha vichwa massuni

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 7 měsíci

    Kipozeo muhuni tu

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 Před 7 měsíci

    Jambo la wanyama kuongea kuwa mimba ya mtume imeingia mtume angelisema pia.

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      aooshosho kwa ufupi ukisoma utaelewa:
      mwashanga wanyama kutamka leo kuna vitu vilivyo buniwa na sisi binadamu kama kwa mfano hizi ATM ukitia card yako utasikia yasema welcome Mr omar alafu wewe eti waona ajabu mashini yazungumza lkni kwa Mwenye Ezi Mungu hamuoni ajabu kuweza kuwatamsha na ndani ya Quran Mwenye Ezi Mungu asema تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالْأَرْضُ وَمَن فِيهِنَّ ۚ وَإِن مِّن شَيْءٍ إِلَّا يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ وَلَٰكِن لَّا تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ ۗ إِنَّهُ كَانَ حَلِيمًا غَفُورًا vitu vyote vilioko mbinguni na Ardhini vya msaabih Mwenye Ezi Mungu. Na Mtume S.A.W Hadithi yake ikiwa huyu ni mwanachuoni tu aombewa maghfira na wote hawa mpaka viliyomo baharini من سلك طريقًا يطلبُ فيه علمًا ، سلك اللهُ به طريقًا من طرقِ الجنةِ ، وإنَّ الملائكةَ لتضعُ أجنحتَها رضًا لطالبِ العِلمِ ، وإنَّ العالِمَ ليستغفرُ له من في السماواتِ ومن في الأرضِ ، والحيتانُ في جوفِ الماءِ ،
      الراوي : أبو الدرداء | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح أبي داود
      الصفحة أو الرقم: 3641 | خلاصة حكم المحدث : صحيح
      التخريج : أخرجه أبو داود (3641) واللفظ له، والترمذي (2682)، وابن ماجه (223)، وأحمد (21715) ikiwa mwanachuoni Mtume S.A.W ataombewa maghfira je Mtume S.A.W tusemeje? Maana ya hii Aya na Hadithi nataka wewe ujiulize kuna kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamkwa au Mtume S.A.W kusema mwanachuoni aombewa maghfira bila kutamkwa?

  • @ramlatramadhan1453
    @ramlatramadhan1453 Před 7 měsíci

    Hee kumbe nawewe ni bidis

  • @matendupiterngoge8707
    @matendupiterngoge8707 Před 7 měsíci +1

    Kipozeo aliacha sigara sportsman

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 Před 7 měsíci +3

    Maibadh pia wanaipinga barzanji kwa sababu ya huo uzushi

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 Před 7 měsíci

    Hekima ya hilal ni kaa ya imam shafi alipoitwa kutowa huku juu ya Qur'an kiumbe au si kiumbe...hakima aliomuruzuku NAO Allah akaponea chupuchupu kukatwa shingo yake.

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Před 7 měsíci +7

    Allah akuhifadhi Muhammad Bachu... kuna jambo kubwa umewafnyia hawa na hawatakusahau mpk kufa kwao. Na inshaallah kuna siku watajua umuhimu wako.

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci +2

      Hatuwezi msahau alivyokimbia na kukojoa kiti pia tutamkumbuka ni shekhe wa kiwahabi wa Kwanza kuzungumza na Paka 😂 😂 😂

    • @adinanimzimbiry
      @adinanimzimbiry Před 7 měsíci +1

      Hatuwez kumkumbuka mtu anayetoa matusi kwenye mimbari kwa sababu hafanyi daawa ya mtume

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 Před 7 měsíci

      Wameambiwa ukweli ndio wanasema n dharau bt iyo ni kawaida ya binadam kutaka kujitetea,Allah akuhifadhi bachu.

    • @katalayshemndolwa3146
      @katalayshemndolwa3146 Před 7 měsíci

      Bachu ni wahabi kama wahabitu hanq lolote

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci +1

      iddimohamed ukweli upi ukweli bachu angelijibu suali ili aonekane kama ni mkweli lkni alihepa akakimbia alikuwa ashajua mbele kuna kichapo kibaya zaidi ni nyinyi tu wenye kufwata bendera mulikuwa hamujui hakutaka mujue

  • @nassleydady5783
    @nassleydady5783 Před 7 měsíci

    Kwaiyo shekh wahyi bado unashuka au ulishuka bada ya mtume( saw)?

  • @HemediRajabu-up9er
    @HemediRajabu-up9er Před 7 měsíci

    Duh ama kweli kabla haujafa hujaumbika kipezeo umekuwa mtu wa bidah

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 Před 5 měsíci

      Hata mm sumshangaai tokea alipokua nawambia waimbaji kuimba sio shida

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 7 měsíci

    Devi kalipara lishafanya suguru

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 Před 7 měsíci +1

    Wanyama nani kasema waliongea

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      omarshaban. wewe unao Dalili au ushahidi wanyama hawakuja mkali? mwashanga wanyama kutamka leo kuna vitu vilivyo buniwa na sisi binadamu kama kwa mfano hizi ATM ukitia card yako utasikia yasema welcome Mr omar alafu wewe eti waona ajabu mashini yazungumza lkni kwa Mwenye Ezi Mungu hamuoni ajabu kuweza kuwatamsha na ndani ya Quran Mwenye Ezi Mungu asema تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالْأَرْضُ وَمَن فِيهِنَّ ۚ وَإِن مِّن شَيْءٍ إِلَّا يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ وَلَٰكِن لَّا تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ ۗ إِنَّهُ كَانَ حَلِيمًا غَفُورًا vitu vyote vilioko mbinguni na Ardhini vya msaabih Mwenye Ezi Mungu. Na Mtume S.A.W Hadithi yake ikiwa huyu ni mwanachuoni tu aombewa maghfira na wote hawa mpaka viliyomo baharini من سلك طريقًا يطلبُ فيه علمًا ، سلك اللهُ به طريقًا من طرقِ الجنةِ ، وإنَّ الملائكةَ لتضعُ أجنحتَها رضًا لطالبِ العِلمِ ، وإنَّ العالِمَ ليستغفرُ له من في السماواتِ ومن في الأرضِ ، والحيتانُ في جوفِ الماءِ ،
      الراوي : أبو الدرداء | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح أبي داود
      الصفحة أو الرقم: 3641 | خلاصة حكم المحدث : صحيح
      التخريج : أخرجه أبو داود (3641) واللفظ له، والترمذي (2682)، وابن ماجه (223)، وأحمد (21715) ikiwa mwanachuoni Mtume S.A.W ataombewa maghfira je Mtume S.A.W tusemeje? Maana ya hii Aya na Hadithi nataka wewe ujiulize kuna kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamkwa au Mtume S.A.W kusema mwanachuoni aombewa maghfira bila kutamkwa?

  • @infocontentchannel
    @infocontentchannel Před 7 měsíci

    Kelele nyingiii, Work on that. You mic is making a lot of noise

    • @infocontentchannel
      @infocontentchannel Před 7 měsíci

      ​@imsimbeNaomba Usome comment yangu yote, NIMESEMA MiC inatoa kelele na nimemamwabia Mhusika afanyie kazi. Samahani kama hujui Lugha ya Kiingereza hicho ndio nimeandika hapo.

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u Před 7 měsíci

    Mashehena

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 Před 7 měsíci +1

    Mzee wa mizigo 😂😂

  • @selasboy3966
    @selasboy3966 Před 7 měsíci

    Kipozeo hanamsimamo anaangalia zaid tumbo lake ...nakumbuka alimpa hijaza mzee yusufu akaimbe kwakumwambia hainashida ....leo hajatoa hadithi yakuthibiti kwaanayo yasema anasema bila dalili toka kwenye Qur an na sunnah..

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Nyinyi mumetoa dalili ya Quran au Hadithi za Mtume S.A.W. Ingependeza mwanzo uwaangalie za kwako ambazo ni hatari zaidi na ni ktk Tauhid kumgawanya Mwenye Ezi Mungu AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA' WA SWIFAT. Hizi tatu iko wapi Naswi ya Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W inayosema ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم?

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya9002 Před 7 měsíci

    Ume sikia hiyo وَفَوْقَ كُلُّ ذِيْ عِلْمٍ عَلِيْم jamanini, mudhwafun ilayhi leo ume kua mar-fuu, halafu eti anarddi mtu hapo, inge kua mtu wa sunnah ame kisea wangempigia hata ngoma Na kaswida kumtungia ,

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Hata wewe pia ushakosea hiyo sio mudhwafu ilayhi ni mudhwafu Aalayhi rudia tena kisha sisi hatupingi ngoma ni Twari ndio twapiga na ni Sunna kupiga Dufu. Ngoma kwa Kiarabu yaitwa رقص na Twari laitwa الدُّف sawa.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 7 měsíci

    Acha uwongo uwongo tuuuuuu

  • @gademomari7607
    @gademomari7607 Před 7 měsíci

    Mpaka leo bachu yuwakera pigeni ubwabwa pole pole

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Atukera kwa kukojoa na kuzungumza na Paka

    • @gademomari7607
      @gademomari7607 Před 7 měsíci

      @@abubakaromar6101 amesema mtume Muhammad [saw] sema ukweli japokua ni uchungu .....rawau nimesahau pia uongo n haramu atakama n mzaha

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 7 měsíci +1

    Lete dalili acha porojo
    Wapi wanyama wamesema

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 Před 7 měsíci

      Mungu kasema sungusungu kasema na wenzie wakati wa Suleyman unashangaa wanyama wakub wa, someni wacheni kulishwa vitango pori vya ki UWAHABI

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      pavilioncry. Kasome mwanzo. mwashanga wanyama kutamka leo kuna vitu vilivyo buniwa na sisi binadamu kama kwa mfano hizi ATM ukitia card yako utasikia yasema welcome Mr omar alafu wewe eti waona ajabu mashini yazungumza lkni kwa Mwenye Ezi Mungu hamuoni ajabu kuweza kuwatamsha na ndani ya Quran Mwenye Ezi Mungu asema تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالْأَرْضُ وَمَن فِيهِنَّ ۚ وَإِن مِّن شَيْءٍ إِلَّا يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ وَلَٰكِن لَّا تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ ۗ إِنَّهُ كَانَ حَلِيمًا غَفُورًا vitu vyote vilioko mbinguni na Ardhini vya msaabih Mwenye Ezi Mungu. Na Mtume S.A.W Hadithi yake ikiwa huyu ni mwanachuoni tu aombewa maghfira na wote hawa mpaka viliyomo baharini من سلك طريقًا يطلبُ فيه علمًا ، سلك اللهُ به طريقًا من طرقِ الجنةِ ، وإنَّ الملائكةَ لتضعُ أجنحتَها رضًا لطالبِ العِلمِ ، وإنَّ العالِمَ ليستغفرُ له من في السماواتِ ومن في الأرضِ ، والحيتانُ في جوفِ الماءِ ،
      الراوي : أبو الدرداء | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح أبي داود
      الصفحة أو الرقم: 3641 | خلاصة حكم المحدث : صحيح
      التخريج : أخرجه أبو داود (3641) واللفظ له، والترمذي (2682)، وابن ماجه (223)، وأحمد (21715) ikiwa mwanachuoni Mtume S.A.W ataombewa maghfira je Mtume S.A.W tusemeje? Maana ya hii Aya na Hadithi nataka wewe ujiulize kuna kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamkwa au Mtume S.A.W kusema mwanachuoni aombewa maghfira bila kutamkwa?

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Před 7 měsíci

      @@omaryramdhani9823 hakuna mtu amekataa wanyama alionge na mtume (saw), miti,jiwe ila watu wanakataa uwongo ambao kazushiwa mfano siku kuzaliwa mtume(saw) wanya waliongea hii ndio tatizo tunatak dalili sio muzushe t sote tunajua baadhi ya manabii waliongea na viumbe ila kwa idhini ya Allah na dalili zipo ila hili limestone wp?

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 Před 7 měsíci

      Lete dalili Wacha porojo...

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      wewe unayo Dalili ya wanyama hawakuzungumza

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 Před 7 měsíci

    Na bado bachu atawanyorosha tu kipozeo wapoze hao wasio jielewa kama una dalili wanyama walitamka tupatie usilete porojo...

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      iddimohamed. Kusoma ni muhimu. mwashanga wanyama kutamka leo kuna vitu vilivyo buniwa na sisi binadamu kama kwa mfano hizi ATM ukitia card yako utasikia yasema welcome Mr omar alafu wewe eti waona ajabu mashini yazungumza lkni kwa Mwenye Ezi Mungu hamuoni ajabu kuweza kuwatamsha na ndani ya Quran Mwenye Ezi Mungu asema تُسَبِّحُ لَهُ السَّمَاوَاتُ السَّبْعُ وَالْأَرْضُ وَمَن فِيهِنَّ ۚ وَإِن مِّن شَيْءٍ إِلَّا يُسَبِّحُ بِحَمْدِهِ وَلَٰكِن لَّا تَفْقَهُونَ تَسْبِيحَهُمْ ۗ إِنَّهُ كَانَ حَلِيمًا غَفُورًا vitu vyote vilioko mbinguni na Ardhini vya msaabih Mwenye Ezi Mungu. Na Mtume S.A.W Hadithi yake ikiwa huyu ni mwanachuoni tu aombewa maghfira na wote hawa mpaka viliyomo baharini من سلك طريقًا يطلبُ فيه علمًا ، سلك اللهُ به طريقًا من طرقِ الجنةِ ، وإنَّ الملائكةَ لتضعُ أجنحتَها رضًا لطالبِ العِلمِ ، وإنَّ العالِمَ ليستغفرُ له من في السماواتِ ومن في الأرضِ ، والحيتانُ في جوفِ الماءِ ،
      الراوي : أبو الدرداء | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح أبي داود
      الصفحة أو الرقم: 3641 | خلاصة حكم المحدث : صحيح
      التخريج : أخرجه أبو داود (3641) واللفظ له، والترمذي (2682)، وابن ماجه (223)، وأحمد (21715) ikiwa mwanachuoni Mtume S.A.W ataombewa maghfira je Mtume S.A.W tusemeje? Maana ya hii Aya na Hadithi nataka wewe ujiulize kuna kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamkwa au Mtume S.A.W kusema mwanachuoni aombewa maghfira bila kutamkwa?

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Mtume S.A.W asema ktk Hadithi yake إذا أردتَ أن تَذْكُرَ عيوبَ صاحبِكَ فاذكرْ عيوبَ نفسِك
      الراوي : عبدالله بن عباس | المحدث : الألباني | المصدر : السلسلة
      الصفحة أو الرقم : 6975 | خلاصة حكم المحدث| أحاديث مشابهة
      التخريج : أخرجه البخاري في ((الأدب المفرد)) (328)، والبيهقي في ((شعب الإيمان)) (6758)
      Kabla ya kuyakosoa Maulid mwanzo kwa nini hamuwalizi hao Mashekhe zenu Bida'a mulizonazo au hamuzioni hizo za kwenu tena za kwenu ni hatari zaidi mpaka ktk IBADA mushawai kuuliza ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم kigawanyo cha Tauhid AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA' WA SWIFAT ipo Naswi ya Quran au Hadithi Mtume S.A.W. tena sio hii peke yake ziko na Bida'a nyingi munazo. Yaani mwapelekwa kimbumbu mbumbu kama hao mashekhe wenu bila kutumia akili. Tumieni akili kabla hujauliza ya mwenzako mwanzo kumbuka ya kwako pia utaulizwa na tena mukiulizwa ya kwenu wajifanya hamuna habari mwakazia. Tieni fahamu mukasome

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 Před 7 měsíci

    Duh, hii ni njaa kbs kwa masheikh wetu, Sheikh si na yeye alkua anapinga maulidi?! 😅

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před 7 měsíci +3

    Huyu mtoto wa bashu mwamuogopa sana sio

    • @sakinaamani1486
      @sakinaamani1486 Před 7 měsíci

      Hawamuogopi ispokuwa n mpumbavu na imam shafi alisema anamcha sana mpumbavu kuliko mjinga sabbu mjinga ukimuelimisha anaelewa lakini mpumbavu hushika ppale aliposhika

    • @Hustlersec
      @Hustlersec Před 7 měsíci

      Upumbavu wake nn sasa kusem maulid hayafai na hayafai kweli ati

    • @mtumwasamaki
      @mtumwasamaki Před 7 měsíci

      Unamuogopa ww

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 Před 7 měsíci +1

    Maulidi sio jambo la dini nikutafuta vyeo na pesa tu hata kipozeo mwenyewe hayakkubali lkn kwa kua kuna mshiko ndio ameingi@

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 Před 7 měsíci

    Mawahabi acheni ushoga mbn mnawashwa sana mnataka kufanywa maan mnakuja kutakana walimu hapa nyie mwisho wenu mbya sana

    • @jumabakarij2538
      @jumabakarij2538 Před 7 měsíci

      Wew ni mtu wa Aina gani unatukana matus hiyo ndio dini ya matusi ndio maana tunasema watu wa bidaaa mnamatatizo sana

    • @user-jd5on2fb7s
      @user-jd5on2fb7s Před 7 měsíci

      Utaanza kuolewa wewe alaf jiheshim sana unapotaka kusema kitu

  • @maase2023
    @maase2023 Před 7 měsíci

    Wee kipozeo kama hao mashekhe wanaharibu hutaki awaambie??

  • @adnanidarous3117
    @adnanidarous3117 Před 7 měsíci

    Masheikh w tanzania bana ndio maana dini yetu inaporomoka sana 😢 n vijana wanazidi kua hawaijui dini yao 😭

    • @samirharun7993
      @samirharun7993 Před 7 měsíci

      Sasa ww nani mpaka uwakosoe mashekhe

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 Před 7 měsíci

      Soma wewe Wacha kulishwa vitango pori vya ki UWAHABI

    • @abdulsakibu
      @abdulsakibu Před 7 měsíci

      Kuna hoja gan hapo umejenga?

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k Před 7 měsíci

      Wala Dini yetu sisi waislam haiporomoki....labda ww ndo unaporomoka

    • @AyoubAbdullrahmanAmir
      @AyoubAbdullrahmanAmir Před 7 měsíci

      ​@@user-hx8bh1jt4k😂😂😂😂🎉Shukran sn ...sina la kuongezea

  • @faridahmed6296
    @faridahmed6296 Před 7 měsíci

    Jibu faida na fathila Za kusoma maulidi wapata thawabu ngapi

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      faridahmed jibu lako hata usiulize watu wa Maulid tuko na vitabu vingi thawabu zinazopatikana ndani yake. Kamsome Shekhe mkubwa tu munaemtegea ktk kitabu chake kikubwa Iqtidhwau Swiratwa Mustakeem Ibnu Taimiyah لقد قرأت في صفحاتكم تحريم المولد والشيخ ابن تيمية أجاز عمل المولد في كتابه المسمى : اقتضاء الصراط المستقيم في ص 297 فقال: فتعظيم المولد واتخاذه موسما قد يفعله بعض الناس ويكون له فيه أجر عظيم لحسن قصده وتعظيمه لرسول الله صلى الله عليه وسلم .فلم أفتيتم بتحريمه؟ الأصل في 9الاحتفال بمولد النبي صلى الله عليه وسلم هو قوله تعالى عن اتباع النبي : وعظموه. فالمولد من تعظيم النبي. وإنما يفعل مثل هذا النصارى الذين يتخذون أمثال أيام حوادث عيسى عليه السلام أعيادا، أو اليهود، وإنما العيد شريعة، فما شرعه الله اتبع؛ وإلا لم يحدث في الدين ما ليس منه. كذلك ما يحدثه بعض الناس إما مضاهاة للنصارى في ميلاد عيسى عليه السلام، وإما محبة للنبي صلى الله عليه وسلم وتعظيما له، والله قد يثيبهم على هذه المحبة والاجتهاد لا على البدع من اتخاذ مولد النبي صلى الله عليه وسلم عيدا.

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Kisha angalia hichi kipande cha mwisho kinacho sema والله قد يثيبهم على هذه المحبة والاجتهاد لا على البدع من اتخاذ مولد النبي صلى الله عليه وسلم عيدا. Asema sio ktk Bida'a

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Ametumia LAM taukidi asema LAA ABID'AA لا على البدع

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 Před 7 měsíci +2

    Bachu naye anasemaga tu ukweli na haqi, hawa wengine ni wachekeshaji, kipozeo naye kashaingia ndani kwenye mi bidaah,

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      mikekhalifaali tupe ukweli na haqi anayoisema bachu kutukana wanazuoni na kuwaita mushrik ndio ukweli na haqi hiyo sio Daawa ya Mtume S.A.W. Mtume S.A.W maisha yake yote hakuwai kutukana na kuwaita watu mushrik au kaafir au mnafiq hata baada ya Vita vya Badr wale walokufa makafiri Mtume S.A.W alipoenda hapo walipokufa Mtume S.A.W hakuwaita kafir aliwaita kwa majina yao. Kisha si afadhali kuchekesha kuliko kutukana watu ovyo ovyo kwa ufahamu wake mdogo? Kuingia ndani ya Mibida'a kwani huko kwenu hamuna Bida'a tena za kwenu ni hatari zaidi na ni ktk Tauhid kumgawanya Mwenye Ezi Mungu. kuweni na makini na hao Mashekhe wenu

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Před 7 měsíci

    czcams.com/video/c1QcGhGrDGE/video.htmlsi=odVMKjIplso3m29p
    Nlikuwa najulia kuhusu hii....

  • @moodyhassany8928
    @moodyhassany8928 Před 7 měsíci +2

    😂😂😂 mashekh hawa wana kqz kwa mungu

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 Před 7 měsíci

    Mohamed bachu anauliza je hayo yamethibiti kwa hadithi sahiih maana msitunge jambo mkamsingizia mtume

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci +1

      Kwenu hamuna Bida'a ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم muko na Aya ya Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W yasema hivo kigawanyo cha Tauhid

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 Před 7 měsíci +1

      hawamuezi bachu ata wakiungana...uyu ni mchekeshaji tu tushamjua kitambo..

    • @elbattawy2864
      @elbattawy2864 Před 7 měsíci

      @@iddimohamed254 bachu keshajibiwa kitambo na wala hajanyanyua tena mdomo wake hadi leo alikimbia mjadala akatimua zake

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 Před 7 měsíci

    HII YA KIPOOZEO NI KANZU AU

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe. Před 7 měsíci

    Dharau na kibri,ni sehemu ya masomo y a mawahabi

    • @matendupiterngoge8707
      @matendupiterngoge8707 Před 7 měsíci

      Kuabudu maiti kwa hiyo ni dini sindi

    • @matendupiterngoge8707
      @matendupiterngoge8707 Před 7 měsíci

      Ma wahabi na kina abubakar na Omar na Othman na Fatma na wengineo ndio wanaoijua dini kwa sababu hawaombi maiti Wala hawafanyi maulidi hebu tuambie wahabi afanya wapi maulidi na abubakar na Omar wamefanya wapi maulidi kwa hiyo hoja inatosha wahabi anafanana na maswahaba kabisa kabisa

    • @yasiromar9862
      @yasiromar9862 Před 7 měsíci

      dharau na kibri kujiona wanajua dini sana ndio inawaponza km vile musa alivyojiponza kwa kidhri

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      matendupiterngoge. Hizo itakuwa itikadi Dhana zako يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ. Kisha ktk Hadithi ya Mtume S.A.W yeye mwenyewe kambrisha kuzuru makaburi وعن عائشة رضي الله عنها قالت : كان رسول الله صلى الله عليه وسلم يخرج إلى البقيع فيقول : ( السَّلَامُ عَلَيْكُمْ دَارَ قَوْمٍ مُؤْمِنِينَ ، وَأَتَاكُمْ مَا تُوعَدُونَ ، غَدًا مُؤَجَّلُونَ ، وَإِنَّا إِنْ شَاءَ اللَّهُ بِكُمْ لَاحِقُونَ ، اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِأَهْلِ بَقِيعِ الْغَرْقَدِ) فعن عبد الله بن بريدة عن أبيه رضي الله عنه قال : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : ( كُنْتُ نَهَيْتُكُمْ عَنْ زِيَارَةِ الْقُبُورِ فَزُورُوهَا) رواه مسلم (974 ) ، وفي لفظ عند الترمذي (1054) : (فَإِنَّهَا تُذَكِّرُ الْآخِرَةَ) . Kwa sababu Mtume S.A.W hakuhofia kuwa Waumini watafanya Shirki alifahamu Aya ktk Quran Surah Al-Baqra inayosema Waumini wa kweli hawana kuamini mizimu wala mapango wala mashetani wala makaburi na katika Hijjatu Wadaa Khutba yake ya mwisho kwa Hadithi Swahih Mtume S.A.W alisema الحديث رواه البخاري (1344) ومسلم (2296) عَنْ عُقْبَةَ بْنِ عَامِرٍ أَنَّ النَّبِيَّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ خَرَجَ يَوْمًا فَصَلَّى عَلَى أَهْلِ أُحُدٍ صَلَاتَهُ عَلَى الْمَيِّتِ ثُمَّ انْصَرَفَ إِلَى الْمِنْبَرِ فَقَالَ إِنِّي فَرَطٌ لَكُمْ وَأَنَا شَهِيدٌ عَلَيْكُمْ وَإِنِّي وَاللَّهِ لَأَنْظُرُ إِلَى حَوْضِي الْآنَ وَإِنِّي أُعْطِيتُ مَفَاتِيحَ خَزَائِنِ الْأَرْضِ أَوْ مَفَاتِيحَ الْأَرْضِ وَإِنِّي وَاللَّهِ مَا أَخَافُ عَلَيْكُمْ أَنْ تُشْرِكُوا بَعْدِي وَلَكِنْ أَخَافُ عَلَيْكُمْ أَنْ تَنَافَسُوا فِيهَا ).

  • @user-uy5ul9bq9x
    @user-uy5ul9bq9x Před 7 měsíci

    Hawa mawahabi wapumbavu kweliiiiii yanafatilia maulidi humu yutubu mwanzo mwisho

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 Před 7 měsíci +2

    Bachu atatoa ukweli tu..
    Sisi ni uma bora lazima tukatazane maovu na tuamrishane mema..Shirk na uongo kusingiziwa mtume ni kosa kubwa...Heshima ufanye wewe zee la mizigo.

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      samirrubeya wewe kabla hujaona Shirki na uongo eti wakumsingizia Mtume S.A.W? Mwanzo muangaliye ya kwenu hii si ndio mbaya zaidi wapi mumetoa kigawanyo cha Tauhid AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA' WA SWIFAT. Hizi tatu iko wapi Naswi ya Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W inayosema ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم?

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 Před 7 měsíci

    kipozeo wewe mtumzima nawengineo mteni Allah.nikupeana ilimu muatane bachu.kiboko yenu hakuna ajuaye

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 7 měsíci +2

    LICHA YA KUMUANDAMA,,LAKINI NDO KAMA MNAMCHOCHEA

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před 7 měsíci

    Huyu si akisema maulid ni bid,a? Kipozeo amebadilika ?

  • @khalidkardesh6284
    @khalidkardesh6284 Před 7 měsíci

    Kwani wanyama wakitamka kwaajili yamtume kuna ajabu gani mpaka utake hadithi swahihi kwani nijambo lafaradhi wacheni chuki kwamtume

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 7 měsíci

      shida ni kumdhulia uwongo mtume hiyo ndio shida, na mtume hapaishwi kwa kutumia uongo

    • @aymanmangube4092
      @aymanmangube4092 Před 7 měsíci

      kutamka wanyama sio shida tunaamini mpaka jiwe lilimtolea salamu Mtume صلى الله عليه وسلم shida kubwa nikwamba huyu ni kiumbe mtukufu sana historia yake haitakiwi ichanganywe na uongo na yeye mwenyewe amesema kwamba kumzuria uongo yeye sisawa na kumzuria uongo mwingine kwa maana uongo dhidi ya Mtume صلى الله عليه وسلم ni mtu kujichumia madhambi makubwa sana, angalia hapa Tanzania tu historia ya nyerere watu hawataki ichafuliwe sasa itakuaje ya Mtume wetu MUHAMMAD صلى الله عليه وسلم

    • @khalidkardesh6284
      @khalidkardesh6284 Před 7 měsíci

      @@medimisi6930 uongo gani aliozuliwa mtume...na hadithi zipo zilizotaja wanyama kutamka

    • @khalidkardesh6284
      @khalidkardesh6284 Před 7 měsíci

      @@aymanmangube4092 ndio maana tunataja kila miujiza na utoka uliotokea kwanini watu wanakataa

    • @aymanmangube4092
      @aymanmangube4092 Před 7 měsíci

      @@khalidkardesh6284 rudia kusoma nilichaondika

  • @nassleydady5783
    @nassleydady5783 Před 7 měsíci

    Kipozeo unampenda mtume ndevu unatoa na unaburuta kanzu kwel ? Kwel ww kipozeo wapoze wenzio

    • @HamduMasud-xw6qc
      @HamduMasud-xw6qc Před 7 měsíci

      Umeiona Sunna ni ndevu tu

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Před 7 měsíci

      @@HamduMasud-xw6qc mtu anasemwa kwa maovu yake mm nimeliona hili cwez kumsingizia kitu ambacho sijui km anafanya au hafanyi ndevu naona kanyoa

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      nassleydady mtu akinyoa ndevu au kama haweki hukmu yake ni nini?

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Před 7 měsíci

      @@abubakaromar6101 hukmu yakunyoa ndev mm sifaham ila upande wangu mm najua nimakosa kwamana mtume ( saw) ndio amesema siwez kuliza hukmu wakat mtume ( saw) ameshasema wazi tupunguze masharubu yetu na tufuge ndevu zetu aliesema km nikimkaidi inatosha kua ninahukumu mbaya mbele ya allah

  • @akbarosman3892
    @akbarosman3892 Před 7 měsíci +1

    Shehe kipozeo wewe ni basha tu kachambue wasanii ndio unalojua

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 7 měsíci +1

    Ila shekh kumbuka hakuna walii wa Allah Allah anaemzingizia mtume uwongo ...mwapoteze watu tuu ..bidaa zenu haisimami mpaka mumsingizie mitume nimapenzi gani hayo ?

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      issabdallah nyinyi kubwa lenu mwaona Maulid ni kumsingizia Mtume S.A.W uongo. Nyinyi mawahabi Bida'a kwenu hamuna mulozusha za kwenu ni kibao tena mpaka ktk IBADA Tauhid kumgawanya Mwenye Ezi Mungu. Mumetowa wapi ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم AL-ULUHIYYAH;;AL-RUBUBIYYAH;;AL-ASMA' WA SWIFAT zipo wapi hizi ktk Quran au Hadithi za Mtume S.A.W

    • @user-hk1jy6rl5e
      @user-hk1jy6rl5e Před 7 měsíci

      Muhabi nimuhabi tu hata ukimwambia vip hawaelewagi nikuwaacha sijui Hawa watu wanamatatizo mengi Allah awaongoze Yan kama hujawa muhabi wanakuona Kam sio mwislam

    • @user-fy4op1sw2f
      @user-fy4op1sw2f Před 7 měsíci

      Shida ni sheikh wenu Sheikh Google bachu 😂😂😂😂😂

    • @abdallahal-khaify
      @abdallahal-khaify Před 7 měsíci

      Bidaa ni upotevu ni kila bidaa mwisho wake ni motoni.

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 Před 7 měsíci

      Huyu c alikua akipinga maulidi alaf sai anahudhuria kabisa ata simuelewi.....

  • @aymanmangube4092
    @aymanmangube4092 Před 7 měsíci

    hapo kwenye tunguli ungekazia kwa sana maana sasaivi limekua ni janga ila nimeona kama umepiga chenga nzito lakini kweli kwa kisa hicho cha Al Imamu Shafii ndio tayari umeshajibu kwamba wanyama nikweli walizungumza

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 7 měsíci

    Hiyo ni njama zamasufi baada kukosa kuitetea khurafizao, dini inataka unisuriwe , masufi njoni kuwenye njia ya kurani na sunna sahihi

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Nyinyi ni Quran ipi mwasoma au Sunna ipi mwaifwata kwa sababu Itikadi yenu mwasema Mwenye Ezi Mungu ana mikono,Miguu,Macho yaani AstaghfiruAllah mumefanya Mwenye Ezi Mungu kama kiumbe kisha eti tuje huko haya pia sijui mulitowa wapi kigawanyo cha Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم AL-ULUHIYYAH, AL-RUBUBIYYAH, AL-ASMA' WA SWIFAT. Hizi tatu iko wapi Naswi ya Quran au Hadithi ya Mtume S.A.W inayosema ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم?

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Jihadharini na hao Mashekhe wenu watawapotezeni

    • @barzaqtradingcompany8541
      @barzaqtradingcompany8541 Před 7 měsíci

      @@abubakaromar6101 kabla sikujibu na nambie tawhidi maana yaake ?

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      barzaqtradingcompa labda wewe ndio hujui maana yake na lau ungelikuwa waijua Tauhid maana yake ungelikuwa ushaachana na uwahabi wala hakuna hatatokea wahabi yoyote awezae kutoa dalili ya kigawanyo cha Tauhid. Somo la Tauhid nimelisoma sana mpaka undani wake labda nikueleze kwa ufupi maana Tauhid ni Upweke wa Mwenye Ezi Mungu. Sasa wewe nieleze nini maana ya Tauhid? Nataka nikusikie na wewe uniulize maanake. Kisha nikueleze kwa urefu na kwa ufahamu mzuri

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      barzaqtradingcompang. waniuliza mimi maana ya Tauhid labda wewe ndio hujui maana yake na lau ungelikuwa waijua maana ya Tauhid ungelikuwa ushaachana na uwahabi wala hakuna hatatokea wahabi yoyote awezae kutoa dalili kuiteteya ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم. Ama kukufahamisha maana ya Tauhid nalijua somo lote na ni somo pana sana lakata uweo makini halitaki mzaha wacha kwa ufupi tu maana yake Tauhid Asili yake limetokamana ya وحد yaani Upweke. Haya sasa nikuulize wewe maana yake nijue kama kweli wajua kwa sababu najua maana yake kwa urefu sana lkni nataka nikusikie na wewe pengine yawezekana wasema waweza kujibu suali lkni mpaka nikueleze maana yake kumbe wewe mwenyewe hujui maana yake. Nakusubiri

  • @AbdirahimIbrahim-sh6sl
    @AbdirahimIbrahim-sh6sl Před 7 měsíci

    Shekh tapeli wewe

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u Před 7 měsíci

    czcams.com/video/c1QcGhGrDGE/video.htmlsi=odVMKjIplso3m29p
    Hii vipi ikhwa?

  • @kazinaimwishehe-ec3xu
    @kazinaimwishehe-ec3xu Před 7 měsíci

    Ao wengine Awaji msikitini mpaka tuchange pesa ndo aje dar kweli imani imebaki Moyoni mwako ukisema mwenzako jiangalie na ww si mnachukuwaga fedha kwa kutemberea misikit apo napo vp au nyinyi ni watukufu sana

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 Před 7 měsíci

    WANAZUONI NI WARITHI WA MITUME KURITHI NI KUCHUKUA KILICHOACHWA AU UNACHUKUA NA KINGINE HIYO MIFANO YA IMAMU SHAFI NDIO MAJIBU YA WANYAMA KUSEMA

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf Před 7 měsíci

    Shekhe ubwabwa

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 7 měsíci +1

    Nakanzu yako ya kiyahudi hiyo

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 7 měsíci

    HOJA SIO WANYAMA KUONGEA, WANYAMA WANAWEZA KUONGEA
    HOJA YA BACHU NI KWAMBA JE IMETHIBITI KWAMBA WANYAMA WALIONGEA.
    KUONGEA MDUDU CHUNGU IMETHIBITI KWA QUR'AN NDEGE HUDIHUDI ALIONGEA KWA MUJIBU
    WA QUR'AN
    TUNACHOTAKA LETENI KINACHOTHIBITISHA KWAMBA WANYAMA WALIONGEA KUHUSU MIMBA YA MTUME KWA KUR'AN NA HADITHI

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      saidimpako. wataka uthibitisho na uthibitisho tayari ushaupata wataka lipi la zaidi

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      Pia ukirudi tena katika alouzwa utafahamu zaidi labda wewe hukuelewa suali liloulizwa

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 Před 7 měsíci

      @@abubakaromar6101 Hakuna uthibitisho uliotolewa mpaka leo

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 Před 7 měsíci

      @@abubakaromar6101 😁😁😁😁 kaka swali gani hilo hamuja leta hadithi swahih mpaka leo

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 7 měsíci

      saidimpako wewe unayo Hadithi Swahih wanyama hawazungumza kisha umechekesha kweli haumo haya mas'ala ni ya wanyama kuzungumza ni Assirah sio mas'ala ya hukmu. Ndio maana nikakujibu wewe umejijibu mwenyewe sio ulosema CHUNGU SISIMIZI NA HUD HUD kwa Naswi ya Quran walitamka kwa uwezo wake Mwenye Ezi Mungu sote tunaamini kwa Mwenye Ezi Mungu hakuna lisilowezekana hata wakati Mtume S.A.W alipokwenda Isra'a na Miiraj alipokuwa akiwaelezea wale makafiri hawakuamini mpaka wakamwita Sayyidina Abubakar wakamwambia msikie rafiki yako Mtume S.A.W aliporudia tena kuwaeleza Sayyidina Abubakar alisadikisha bila kutaka dalili kwa sababu alijua anae fanya haya ni Mwenye Ezi Mungu na ni ajili kipenzi chake Mtume S.A.W ni kweli. na sisi madamu tunafahamu muweza wa kila jambo ni yeye Mwenye Ezi Mungu peke yake na kuwa Hadithi ipo yawezekana tena la kutupa nguvu zaidi Mtume S.A.W yeye mwenyewe alizungumza na vitu visokuwa na Roho na Nafsi JIWE kila siku nilimtolewa salamu Nyama ilochinjwa ikapikwa ilotiwa Sumu ili Mtume S.A.W ale ilizungumza na kusema usinile nimetiwa Sumu vipi vishindikane vyenye Roho na Nafsi wanyama? Nikueleze suali kila kitu huwa vya msaabih Mwenye Ezi Mungu, je yawezekana kumsaabih Mwenye Ezi Mungu bila kutamka?