MSIKIE SHEKH MZIWANDA ALIPOMUHOJI SHEKH WALID ATUPE FAIDA KWANINI TUNAOA HADHARA YA SHINYANGA .

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 02. 2021

Komentáře • 102

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 Před 3 lety +19

    Huyu Sheikh katulia sana nilikua sijawahi kumsikia nimevuna vitu vingi sana.Allah akuzidishie maarifa Sheikh

  • @abdullakhlaas4377
    @abdullakhlaas4377 Před 3 lety +19

    MashaAllah sheikh Walid kunakitu chapekee Allah kakupa balagha, falsafaa sheikh unatunu nyingi sana Allah akihifadh inshaAllah

    • @ishaantitus7369
      @ishaantitus7369 Před 2 lety

      you prolly dont give a shit but does someone know of a method to log back into an Instagram account..?
      I stupidly forgot the password. I would love any tricks you can offer me.

  • @SaidiSelemani-o9y
    @SaidiSelemani-o9y Před 6 dny

    Sheikh walid MashaAllah Allah aendelee kukuhifadhi napenda sana darsa lako

  • @yussuflucas7049
    @yussuflucas7049 Před 3 lety +8

    Masha Allah shukran Sana sheikh (Allah) akulipe kheri na akulinde nakila aina ya shari, na akujaalie umri mrefu wenye kheri nyingi na barka tele...!!!!

  • @mfaumekindamba8634
    @mfaumekindamba8634 Před 3 lety +7

    Maashaallah M/mungu azidi kukusimamia sheikh bin sheikh tuzidi kustafidi inshaallah

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Před 10 měsíci +2

    Mashekhe allaah awalinde nawapenda sanaa

  • @rashidisalimu2222
    @rashidisalimu2222 Před rokem +1

    Maashaallaah swali zuri na limepata majibu yenyekujitosheleza na yanayo eleweka alla akuzidishie kheri shekh walid

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 Před 3 lety +2

    MashaaAllah Mwenyez Mungu azidi kuwalinda na kuwapa maisha marefu masheikh na waislam wote

  • @halimamkangama4966
    @halimamkangama4966 Před 2 lety +2

    Sheikh walid alhad yuko vizuri sana

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před rokem +1

    Vipande vifupi kama hivi vya masheikh kustukizana kuulizana maswali muhimu kwa faida ya waumin viendelezwe..shukran sheik mziwanda kwa ubunifu

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před rokem +1

    Nakupendaga sanaa shekh wangu unautuliv sana ktk mazungumzo yako

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 Před rokem +2

    Mashaa Allah, tumepata sheikh lkn pia mwalimu, anafundisha vzr sana

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Před rokem

    Shekhe yuko vizuri sana 👍 Kiongoz wetu wakiislam ktk Jijikuu Tanzania nimekukubali Mkuu kwanza uongeaji niwaki Heshma kwakilamtu Mdogo naMkubwa 🙏🙏👍

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 Před 2 lety

    Shukran Jazzeella shekh kwamwenye uelewa amekuelewa na mungi akujaalie ueleweke daimani .kwa kuelimisha umah

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Před rokem

    Ma shaa allah sheikh mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu

  • @fatuma3969
    @fatuma3969 Před rokem

    Maashaaallh allh akulipe Kila lakher darasa nzuri sana nimejifuuza mengi

  • @ZainabHassan-hz4no
    @ZainabHassan-hz4no Před 20 dny

    Alla akupe bararaka nyingi apenda mafundisho unayotoa

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Před rokem

    Jazaka Allah khaira shekh

  • @sammoses7479
    @sammoses7479 Před rokem

    Masha Allah, m/mungu akusimamie she wamkoa. Kwanasaha zako izoizo. Zenye haki

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt Před rokem

    Mashalla shekhe Alla akupe umri mrefu inshaalla

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 Před rokem

    MASHAALLAH. ALLAH KARIM. AKUTANGULIE KATIKA KILA JAMBO INSHAALLAH

  • @ramsofundi2222
    @ramsofundi2222 Před 3 lety

    Maa shaa Allah

  • @mfaumehassan3816
    @mfaumehassan3816 Před rokem +1

    Allah akbar

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 3 lety +1

    Alhamdulillah.

  • @nurudinmaede5936
    @nurudinmaede5936 Před rokem

    Maaashaallah 🙏♥️

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling4738 Před 3 lety

    Masha Allah

  • @dhamirkhamis9073
    @dhamirkhamis9073 Před 3 lety

    Mashallah

  • @aliamoursaid2581
    @aliamoursaid2581 Před rokem

    Alhamdulillah Allah amzidishie utulivu

  • @issagawai3340
    @issagawai3340 Před 3 lety

    mashaaallh

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 Před 2 lety

    Machallah

  • @saidabubakari7560
    @saidabubakari7560 Před rokem

    Maashallah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Před 2 lety

    ماشاءالله

  • @fatemaoman7948
    @fatemaoman7948 Před 3 lety

    Barakallwahu fiik

  • @omarykyutta6681
    @omarykyutta6681 Před 3 lety

    My sheikh

  • @awadhtamla6989
    @awadhtamla6989 Před rokem

    Mashallaah

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 Před 3 lety +3

    Wanasema wamesharibiwa na mfumo/mpangomkakati (mission) uloasisiwa na Wamishionari kwa kupachika Demokrasia (haki sawa).
    Wanawake wamekuwa hawatulii majumbani wamekuwa wajasiriamali hivyo hawana muda (hawataki) wa kuolewa wanaona kuolewa ni utumwa/kupitwa na wakti.

    • @aminajuma1435
      @aminajuma1435 Před 2 lety +1

      Lakini ukichunguza kwa undani hiyosababu chanzochake niwanaume ndowamepelekea wanawake kujiwekahivyo… wanaume wameumbwa kuwa viongozi lakini wengiwao hawajui wajibuwao kwenyehuo uongozi… naukizingatia kunaupungufu mkubwa wa elimu yadini ndomana inapelekea wanawake piakuwahivyo.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem +1

    Mungu katuokoa na mengi kutuletea huyu walid jamani tuna muomba awe anatoa darsa kwa sana

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 Před rokem +3

    Mi mkristo lakini sheikh wa mkoa( kwa sasa) amejibu swali la sheikh mziwanda vizuri sana tena kwa utulivu sana.....kuna mengi nakubaliana nae .......afaa kuwa kiongozi mbele za watu pasipo kumhukumu kwa ubinafsi wake.....kila mtu ana mapungufu.......

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 2 lety +1

    🙏🙏🙏

  • @maimunaabdallah5304
    @maimunaabdallah5304 Před 7 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Před rokem +1

    Ndoa ni Ibada.

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid1843 Před rokem

    Mabruk walld

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 Před 3 lety +4

    Hii hadhara inamashekhe wengi kuliko wanafunzi

  • @hamiddikupatile9055
    @hamiddikupatile9055 Před rokem

    Dakika ya 9 mashAllah

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe Před 3 lety +1

    Mashaallah

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 Před rokem +1

    Mimi SI muislamu ila huyu shehe Yuko vizuri

  • @halimaally623
    @halimaally623 Před rokem

    Mwenyezimungu akupe afya njema umri mlefu wenye manufaa kwetu sote

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 Před 3 lety +1

    Ma Shaa Allah...sirudiiii

    • @umarbakar1694
      @umarbakar1694 Před 3 lety +1

      Hurudii nini dada...

    • @fatmazena8886
      @fatmazena8886 Před 3 lety +1

      @@umarbakar1694 nimeufuata tu usemi wa shekh pale aliposema sirudii

  • @umarbakar1694
    @umarbakar1694 Před 3 lety +2

    Assalaam 'alaykum... Samahani naomba darsa ya arbaiina nawawiy kama ipo clip yake naomba nielekezwe nipate kustafidi. Jazaakumullahu khairan wao'afwa minkum.

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 Před 3 lety

    Namuona shekhe muhamadi suluta kwambali

  • @jumahamisi5383
    @jumahamisi5383 Před 3 lety

    MAA SHAA ALLAH

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 Před 3 lety

      Ety eeeeeee sirudii hahahaahaha shekh walid banah

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 Před 3 lety +1

    Cha chini na cha juu

  • @bernadj.6924
    @bernadj.6924 Před rokem

    Dawaaa

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 Před 2 lety +1

    aslmh shekh ukirudiya inageukaaa maanaa itakuwa matusi

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 Před 3 lety +1

    Kasema mwanamme anavichwa viwili kimoja kipi sijaelewa kidogo

  • @pachawadoto5911
    @pachawadoto5911 Před rokem

    Mtuliiivu mwenyewe kajituliza...

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 Před 3 lety

    Allah akbar 😀😀😀apo kwenye vichwa uspoludia 😃😃😃😃

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m Před 6 měsíci

    Kweli nilikuwa niki ona ndevu na kanzu nikajuwa huu ndio usilam kumbe hapana elim na uelewa huo ndio usilam wewe unae sema vibaya juu ya majibu ya waridi utakali mwisho waoko itaqllaha

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 Před 2 lety +1

    ukosahihi

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 Před 3 lety +4

    Huyu shekhe anaelmu kubwa kuliko mashekhe wengne kasoma kenya kasoma tanga shamsi maarif kasoma Misri Kasoma makka

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 Před 3 lety +2

      Namuonaga huyu Sheikh ana elimu nyingi sana na hatumii jazba anapoeleza au kufafanua jambo

    • @ogenylaurent7961
      @ogenylaurent7961 Před 3 lety +4

      ELIMU BAHARI NA ELIMU ANAYO LAKINI SIO KUSEMA KULIKO MASHEIKH WOTE

    • @kesslycompanyltd
      @kesslycompanyltd Před 3 lety +1

      @@ogenylaurent7961 swadakta

    • @kesslycompanyltd
      @kesslycompanyltd Před 3 lety +1

      Wapo walio mzid wajuwa elim kama ni bahar na pana

    • @joharindaro3075
      @joharindaro3075 Před 3 lety +1

      Ulisema shamsul maarifa unanikumbusha mbali toka shamsia

  • @omanimujsa9756
    @omanimujsa9756 Před 3 lety

    Wawkwanza

  • @joharindaro3075
    @joharindaro3075 Před 3 lety

    Sirudii 😅😅😅😅😅

  • @allykasa6185
    @allykasa6185 Před 3 lety +2

    Kipenzi changu

    • @AllyASalum
      @AllyASalum Před 3 lety

      Mimi huyu kipenzi changu zaidi...Maashaallah. Allah ampe umri mrefu zaidi wenye manfa'a. Aamiin

    • @halimamkangama4966
      @halimamkangama4966 Před 2 lety

      Mimi pia

  • @adiashekidee
    @adiashekidee Před rokem

    Sheish walidi uko vizuli sheish yakubu ana kupa hai

  • @shadhirimaalim9739
    @shadhirimaalim9739 Před rokem

    KAZI ya kusifiyana Tu elimu chache Sana someni jamaa zetu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 3 lety +2

    Munge weka mdahalo kwa nini waislam wa tanzania bara wakifikwa na tatizo huwenda kanisani kuombewa na mapatri na huko huambiwa mwanzo wakubali kama yesu ni mungu ndio watapona .sio muhoji maswali kama hayo ya matamanio ya dunia wakati waislam wanaharibikiwa wapo wanga . Wanafuga misukule na wanavaa nguo za uchi . Hayo kuowa ndio jambo la kimaumbile . Hayo mengine ndio muhimu

    • @farijala1
      @farijala1 Před 3 lety

      Kwahiyo suala la Ndoa ni matamanio na sio Ibada?
      Ungefikiria kabla ya Kuandika. Na kongamano hilo lilikuwa na mada tofauti. Sasa unataka mada izungumze Kulingana na Unavyotaaka wewe. Taadab .

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 Před 3 lety +1

      Wewe umefanya au umechukua hatua gani kutokana na hilo,Dini ni yetu sote si Masheikh peke yao

    • @zamdinkilala8790
      @zamdinkilala8790 Před 3 lety

      Hayo wafanye wewe wao wakifanya hiki nawewe fanya kile

    • @zuberikamote2078
      @zuberikamote2078 Před 3 lety

      Imani yke kwenye Dini yke ndogo naukiona mtu anafanya hvyo ukimchunguza Hana elmu ya dini 😳😳

    • @yusufudongote6440
      @yusufudongote6440 Před 3 lety

      ALLAH akusamehe usione uislam wakwako pekee yako Ammiii.

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 Před 3 lety +1

    Kweli usufi BIDAA ni mzigo Aya kibao zenye kuzungumzia ndoa unasoma Aya hiyo aiendani na maudhuu uliyo ulizwa

    • @allyally5156
      @allyally5156 Před 3 lety +4

      Tatizo la maanswari ndo hili kujiona wanajua sana ,hivi utapamba na walidi ?au unafikiri unayo waza wewe walidi anashindwa? nye ndo mnazidi kuzoofisha uisilamu

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 Před 3 lety +1

      Wewe ni jahili upeo wako wa maarifa ni mdogo, endelea kukariri maoni ya akina Uthaimini

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 Před 3 lety

      @@allyally5156 majaahili hao

    • @abuuswafwan5275
      @abuuswafwan5275 Před rokem

      Hawa akina waziri ni Vibaraka wa Mayahudi wanautumikia ukafiri ndani ya UISLAM huku wakijua kma C,hakki

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 Před 3 lety

    Ujinga mzigo wallahi Allah ATUONGOZE ktk HAQ ktk sunna

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 Před 3 lety +1

      Mjinga wewe unaekariri mawazo ya akina Uthaimini kububusa

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 Před rokem

      Ujinga upi sheikh. Tupe faida

    • @allycomm1553
      @allycomm1553 Před 2 měsíci

      ACHENI UJINGA KUKAA NA KUSIFIA MASHEKHE WA KIBIDAA

  • @msoya-j-iliyasa7116
    @msoya-j-iliyasa7116 Před 3 lety

    Maa shaa Allah