Video není dostupné.
Omlouváme se.

HAMZA ISSA NO 2 MIHOJA MIZITO ILIYOMUANGAMIZA NABII FEKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 1K

  • @roidatadey8656
    @roidatadey8656 Před 5 lety +4

    Awa waislam wanamrazimisha hamza awatetee wao epu muacheni uyo anamjua mungu na yupo kiroo zaidi yesu aendelee kukutia nguvu ameni

    • @Junior-rl2hj
      @Junior-rl2hj Před 3 lety

      Wee roida kafiri ondoka umundani we kaa ukokanisani apa hapakuhusu

    • @sundaymsuya1433
      @sundaymsuya1433 Před rokem

      @@Junior-rl2hj shida yenu mnajiona mko safi mno na hy dini ya mwanadam aliye zikwa pale maka na hakuna wa wajinga na makafiri km waislam hk mtaan

    • @AbdulkarimuSuwedi-un8xq
      @AbdulkarimuSuwedi-un8xq Před 10 měsíci

      Acha ujinga,jitambue

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +14

    Jaman Masheikh wetu nawaonea huruma kwa kazi nzito hii mnayopambana nayo

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety +1

      czcams.com/video/KVBAAe3p0NY/video.html
      👆 *TUPATE MAZINGATIO KATIKA KISA CHA NABII YUSSUF (AS)*
      _USISAHAU ku share subscribe na ku like_

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 Před 2 lety +1

    Haya majamaa yanahoji Kama yale yaliyo muuliza yesu yana sema . Hebu tufanyie kamuujiza kidogo ilituamini kuwa ww Ni mwana wa mungu

    • @amoury1481
      @amoury1481 Před 2 lety

      Mm Naona Hao Walokuwa Wanataka Miujiza Kutoka Kwa Yesu Ili Wamuamini walikuwa Sahihi,Kwa Sababu Hata Mm Mwenyewe Naweza Jiita Mtume sasa Ili Niwathibitishie Watu Kuwa Mm Ni mtume Wa Kwel Ni Lazima Nioneshe kitu cha Kitofauti

  • @clynarsugar3730
    @clynarsugar3730 Před 4 lety +1

    Mungu aendele kukuongoza sheikh hamza Imani yetu ipo pamoja nawe ishalah

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před 2 lety +3

    Subkhanallah Dunia ya mwisho kwa kweli Allah atupe mwisho mwema duh Nabi tena Kaja ?

  • @kristinaojambo3611
    @kristinaojambo3611 Před 2 lety +3

    Allihamdullilah Allah aliye tuteremsha Qur'an Kwa mjawake (muhamad sww) ingelikuwa hatukupata Qur'an watu kama hawa wangetupoteza na generation yetu

  • @derickomoghela9948
    @derickomoghela9948 Před 6 lety +2

    Yaani Mungu ni mwema sana kwetu, Wafundisge hao Issa, wakisikia mshukuru Mungu, wakikaidi, nawa mikono ushukuru.

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety +1

    Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi manabiiii wamekwisha kufa huyu katoka wapi wasio ogopa mungu tanzania mambo mengi mnatuletea allahu aqbaru

  • @kwezitwaha9399
    @kwezitwaha9399 Před 4 lety +8

    Huyo ni mwendawazim tena wazim wake ni wabange sio kingine naomba mwenyezi mungu atunusuru juu yahili

  • @noreenmillicient8101
    @noreenmillicient8101 Před 5 lety +7

    Amen Amen Amen,,,,mungu anatuma ujumbe kwanza ....wape mwanga

    • @emmanuellikaare1661
      @emmanuellikaare1661 Před 4 lety

      Hi

    • @muyugalimbu3728
      @muyugalimbu3728 Před 4 lety

      Ww umepata mwang gan

    • @nurdinimndeme2912
      @nurdinimndeme2912 Před 4 lety +2

      @@muyugalimbu3728 unajua siku zote hupotezwa hawa kwa ujinga wa akili na ufinyu wa elimu ~ mtu kuzua chochote na kupata wafuasi ambao ni wajinga ndo hawa brother .. so usishangae and PIA ni wakiristo hawa but wamefeli

    • @abdullahsalim6508
      @abdullahsalim6508 Před 4 lety

      yaani kukaa na kumsikiliza huyu kiumbe inataka moyo ukweli mi ningekuwa mbele wa usowake nisingemudu kuyavumilia haya kuyaona

  • @ngupalirashidi4104
    @ngupalirashidi4104 Před 6 lety +2

    Subhanallah ewe Allah mnusuru hamza na utujaalie waislam tuwe na hofu zaidi, ya Allah tuongoze kwenye jambo jema

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 Před 3 lety +2

    Subaha nna llah .Allah amunusuru uyo hamza arudi ktk kheri ( anatia kichefchef

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +8

    Nahisi kupoteza fahamu. Machozi yamebubujika kama yalivyobubujika alipofariki baba yangu. Subhannallah

  • @ttec9431
    @ttec9431 Před 5 lety +7

    Allah akuongoe na akuepushe na Moto maana umelaaniwa kweli kweli wewe Khabith mmoja .... Hatuna nabii vitabu vipo wazi usipotoshe waislam ....

  • @wesakawesaka4549
    @wesakawesaka4549 Před 7 měsíci

    Ww n nabii wa kwel wa mungu tatizo hapo hao unaoongea nao wanajua kitabu kimoja na hadithi zake ila wakifatilia na history huyu jamaa ni sahihi sana mungu amulinde sana

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před 3 lety +1

    Madina ndiyo mji uliyo salama na makkah ALLAH anajuwa ya zaidi

  • @kilosa2000
    @kilosa2000 Před 7 lety +5

    HUYU HUYU ALIHUBIRI KANISANI AKASEMA HUU NI WAKATI WA INJILI SIO WA QURAN, KISHA AKAWAOMBA MSAMAHA WAISLAM KUWA ALIKOSEA, LEO ANAKUWA NABII ILYASA. MHHH FEKI

    • @zainaburajabu2863
      @zainaburajabu2863 Před 5 lety

      Innalillah wainna ilayhhi raajiuun. hataa Allah hawezi kua na nabii anaefanana na Tito wa dodoma mtume ndo wa mwisho.kwetu hatujakusoma popote hamza kadhab ucwachokoze waislam km umetumwa jua mungu wetu hatowaacha nyie c tnamsubir nabii issah laanatullah we we.

  • @ramadhaniadamu5993
    @ramadhaniadamu5993 Před 6 lety +5

    subhana llah...hata Quran kusoma shidddah...hii ngoma yafaa kudundwa!!!...

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 Před 4 lety

      nikweli hata Qur an shida

    • @FatimaFatima-wk1jk
      @FatimaFatima-wk1jk Před 2 lety

      Sio muislam mfatilie vizuri utaona video zake akihubiri anataka kutumia Qur'an ili kuchanganya watu tena waislam wasio jielewa

    • @TeamKRX
      @TeamKRX Před 2 lety

      Wote ni kulatwa vichwa

  • @hancvonpop4598
    @hancvonpop4598 Před 8 měsíci

    Cpat picha haya anayoropoka akiyaropokea msikitin alaf siku ya ijumaa nahis had leo hii msalaba wake kaburin ungekuwa umepata kutu.... Hongeren mashekh zetu kwa kuwa na subra zid ya huyu mwenye njaa

    • @iva-ox2qn
      @iva-ox2qn Před 8 měsíci

      Siyo rahisi kuhubiria watu walionenewa mashetani kwenye masikio yao toka siku waliozaliwa na wapate kukuelewa , watakuuwa tu.

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před 2 lety +2

    Huyo ni Mlaanifu! Allah amshinde! Anajua kabisa kuwa UTUME na UNABII uliishia kwa Muhammad (S.A.W.).

  • @rosemarysaidd9597
    @rosemarysaidd9597 Před 6 lety +4

    HV waislam huko mskitini huwa mnafundishwa kejeli na matusi au? Nmefuatilia video nyingi za Kikristo comments nyingi mnatukana tu. Huyu nae ni mwislamu mwenzenu kawaambia mambo yanayowachoma mnamrushia matusi ya kila aina. Jitafakalini acheni kijifunza neno la Mungu kimwili na acheni kukalili, japo in ngumu kuamini anachosema ila ni dhambi kutukana.

  • @matukioyasikuzamwisho7653

    hamza anajua kujenga hoja
    sema mashehe wanalazimisha tu

    • @mrlyrics8512
      @mrlyrics8512 Před 4 lety +2

      we huna akili

    • @nooor1120
      @nooor1120 Před 3 lety

      Nawewe utakua km hamza hoja gani anazozijenga upumbavu mtupu

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Před 2 lety +1

    Nabii Eliasa kula maini ndani ya Yesu. Waache wababaike.

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 Před 2 lety

    Laanatu llahi aleik Mungu akufishe Kwa Hali hio hio kama unamfanyia istihzaai mwenyezimngu...

  • @djumamariam1810
    @djumamariam1810 Před 4 lety +9

    Tujiandaeni na qiama zote dalili zipo wazi. ALLAHU atujalie mwisho mwema

  • @sheillar07
    @sheillar07 Před 6 lety +7

    The Holy Prophet of Islam (pbuh) prophesised that "there will arise 30 imposters in my nation and each one of them will pronounce that he is a prophet, but I am the last in the line of the Prophets and no Messenger will follow me."

  • @abdimohamed9625
    @abdimohamed9625 Před 7 lety +2

    Mh!,hadi kufika mwisho wa hii dunia tutashuhudia mengi ila waislamu tujitahidi tuijue dini yetu kisawa sawa.Innalillah wa innailaikhraaj-uun

    • @jjtm164
      @jjtm164 Před 2 lety

      Eliya alisha kuja akampisha kristo ni ufahamu wa injili hamna

  • @thoraiyahassiem4721
    @thoraiyahassiem4721 Před 4 lety +3

    Mashekhe wangu mcpoteze muda kwa mshenzi huyo mwisho wadunia umekaribia

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 Před 5 lety +9

    UST Hamza upo sahihi kabisa huna makosa

    • @geoffreyembasa8483
      @geoffreyembasa8483 Před 4 lety

      Anaeleweka!!!

    • @unknownafrica5568
      @unknownafrica5568 Před 2 lety +1

      Makafiri watkubali walikubali hata injili Mpya ya mzungu kafiri wamempnga na kumkodoa mmungu mwenye kitabu na kubadilisha mandolin na kufata madili ya mzungu injili taira tu zaburi vyote ni vitabu vya mmungu kile ya kwa ma na bee wa kweli sio hao makafiri kila siku mana bee wa uongo wanatakrija

    • @AbdulkarimuSuwedi-un8xq
      @AbdulkarimuSuwedi-un8xq Před 10 měsíci

      Acha ujinga,jitambue

  • @jjtm164
    @jjtm164 Před 2 lety

    Nabii mwongo kweli, waislamu tubuni mje kwa kristo

  • @jasminyiddysulaiman9807

    Mara ngwaaah allah akupa mtihan mzito we unajiita nabii utaisomaaa allah hachezew.. pumbavuuy

  • @a.a.7029
    @a.a.7029 Před 7 lety +3

    Alihamdulillah mashekhe wetu nimefurahi sanaa mnavosimamia ukweli ,huyo Alias ni kichaaa apelekwe hosptal akapimwe akili kama ziko sawa

    • @fatumashabanfatumawawapimy1157
      @fatumashabanfatumawawapimy1157 Před 4 lety

      Subhanalah huyo wapi kafeli jaman Kawa nabii kabsa anajiita bila aibu et nabiii

    • @fatumashabanfatumawawapimy1157
      @fatumashabanfatumawawapimy1157 Před 4 lety

      Hembu aache hizo Kuna clp amesema yeye haa in kama Kuna kifo et yeye hata kufa jaman kama mtume hatukonae yy vp abaki aaa Dunia Ina mambo sku za mwisho hzi jaman c mpaka masihidjali atukute majumban ndio huyo masihidjali mwenyewe

  • @shwaibuathumani5656
    @shwaibuathumani5656 Před 5 lety +25

    Kweliiii nmeamini yalee yote mtume aliyetabiri yametimiah watajitokezaa Manabii wa uwongoo

  • @idrissajumakona5871
    @idrissajumakona5871 Před 5 lety +2

    Mungu anakuona....muogope mungu...inshaalla mungu atakulipa

  • @Ricky_melody
    @Ricky_melody Před 2 lety

    Nakukubali sana Nabii Isaya,Wacha nicheke2,Unavowachanganya na Quran yao,Ila ww uko kweny Ukweli wa Yesu.Kichwa ki1 kinachanganya miwatu😂😂

    • @amoury1481
      @amoury1481 Před 2 lety

      Atawachanganyanje Na Qur'an wakati Yeye Mwenye Hajui Qur'an Anababaisha babaisha Hakuna Alichowanganywa Hapo,Labda Ww Umechanganywa Kwa Sababu Huijui Quran

  • @fatmaally714
    @fatmaally714 Před 7 lety +5

    jaman waislamu tusomee dini yetu maana dunia inaharibika watu kama hamza issa watuangamiza wa A'udhubillah

  • @alfaqeersaidsalimelbakry1110

    sheikh Muharram mziwanda umempa Mzigo mzito huyo bwege,kwa hoja hizo ilibidi aombe udhuru tu kua maleria ilimpanda kichwani

    • @OverdozClassic
      @OverdozClassic Před 5 lety +1

      AL MADRASAT IHSAANIYYAH AL MADRASAT IHSAANIYYAH 😀😁😂😂

    • @faysalmussa5593
      @faysalmussa5593 Před 4 lety +2

      Mashaallah sheikh muharam ameongea point sana. lakin huyo nabii muongo ata simuelewi ana ruka ruka tu

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 Před 5 lety

    Waislam mtamkumbuka Issah Hamza siku ya kiama! Yesu ni mtume wa Mungu, siyo Mungu, hata Biblia inasema.

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      Uislam ndio din ya haqi na manabii wote wamezaliwa ktk bara la uarabuni sasa hakuna Nabii aliye zaliwa ulaya na ndio ukaona ukristo ni dini ya wazungu

  • @salehemwalimu6865
    @salehemwalimu6865 Před 3 lety

    Mwenyezi mungu amfanyie wepesi na ampe ufahamu wa kujua ipi haki na ipi batiri

  • @huuasf710
    @huuasf710 Před 6 lety +12

    Ya Allah tunusuru waja wako tunafika pabaya

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +8

    Dunia nzima waje tanzania wataishi wapi na watakula nini dunia yote

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před 3 lety

    Ndiyo nikasema watanzaniya mji hadhari sana macho ya shaitwani yako kwenu mtajikuta kwakufuru bila kuji juwa mjihadhari saaana tena sana shatani ana watumishi na vituko vyake kama mfano ya manabi anaweza kuwatiya jwa kufuru ombeni ALLAH aqaoneshe ukweli wamambo hayo

  • @kingjkingj2463
    @kingjkingj2463 Před 2 lety +1

    Ewe ndungu katika bindamu ogopa mungu kweli kweli hakika Allah hajaribiwi.

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 5 lety +3

    Huyu bwana anatafsiri quran kwa ufaham wake..si wa waja wema waliotangulia((asalafu swaleyh))

  • @mirajimohamed5710
    @mirajimohamed5710 Před 7 lety +6

    Sheikh mziwanda umemuua huyo hamza muongo kiukweli sheikh wng allah akuweke nimetosheka na elimu uliyoitoa hapo.

  • @geiguryusratee2202
    @geiguryusratee2202 Před 7 lety +2

    Hamza Issa...kila swali kajibu...kama humkubali njoo getho

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 Před 6 lety +3

    Inalilahi wainah ileih rajhun...SUBHANAH LLAH.....LAILAH HAILALLAH

  • @samakimwenyekiundaniyamaji8885

    Masheikh mue Na subra

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 Před rokem

    Nabii issa me nakuelewa sanaa 🙌🙌 hapo unashindana bakwata🤣🤣 ila unapoint👏

  • @mammyali3424
    @mammyali3424 Před 6 lety +2

    Bibilia inawaonya watu...wasitukane inaongoza watu wapende adui zao.... wala tusilipize kisasi ni cha Mungu...mbona waislam...mwatoa matusi jamani...mbingu gani inaruhusu ....watu ...watoe matusi hivi.... bibilia inasema hata mpumbavu akinyamaza ataesabiwa kuwa na hekima...basi heri... unyamaze....

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 Před 4 lety +4

    Hemu muashieni moto aingieee😂😂😂😂😂tutajuwa nabii au anaekti

  • @birdmanhussein2182
    @birdmanhussein2182 Před 7 lety +4

    Shehe wangu nakupendaka sana shehe issa Amuzah mutu hawezi pendawa nawatu wote

    • @abdullahally1665
      @abdullahally1665 Před 6 lety

      BIRD MAN HUSSEIN we ni hasfu tena huna akili na hujakaa madrasa na wala huijui dini ya kiislam,unabaki kushabikia vitu usivyovijua

    • @buluush9741
      @buluush9741 Před 6 lety

      kwanza kusema hujui😂😂et mutu😂😂wew na uyo issa wako nyote manabiii wasenge😂hamujui munaongea nn

  • @ericjosephat9180
    @ericjosephat9180 Před 6 lety +1

    mungu akuongezee ujasili zaid ili uwaelimishe hao walioweka imani yao ktk dini wameamini sheria mpaka wamekua na kutu lakini kweli n kristo peke yake.

    • @unknownafrica5568
      @unknownafrica5568 Před 2 lety

      Kristo bada ya isa kuondoka is sa ni muislam na anamsujufia mmungu mmoja tu injili ilibadilishwa na makafiri kumpinga mwenye kitabu mmungu

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 4 lety

    Sijui huyu kasoma sana hadi kaingia wazimu au hana radhi zawazee siju hata niseme Nini huu msiba ya Allah tuhifadhi waja wako ama kweli hii dunia ya mwisho subhana Allah 😭😭😭😭😭😭😭

  • @hajiomar1895
    @hajiomar1895 Před 7 lety +6

    ww mshenz ww mungu anakuona na atakulipa inshaallah kwa uzush unaouleta ktk dini yetu laaanatulllah ww

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Před 7 lety

      usimtukane wala usimlaani bali muombee maana yawezekana ameingiwa na shetani na siyo akili yake na yawezekana pia uwazimu unamkaribia au pia ujinga waweza ukawa unamsumbua. tumuombee lakini kama akiendelea na mambo yake kwa jeuri hapo sasa dua mbaya maana atakuwa kakataa haki kwa ujeuri wake

    • @aminingarigari6313
      @aminingarigari6313 Před 5 lety

      Huyo issa yukovibaya yotehayo ninja inamsumbuwa nasikingine .amana hatakusoma.hakuwi .

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 Před 4 lety +4

    Napenda jinsi wanavyuoni wa dini wanaitetea imani na itkadi ya dini.Lakini kabla ya mtume wa kiarabu kusimamishwa walitangulia kina Malaki waliotabiri ujao ama kuachiliwa kwa roho ya Eliya.Ambayo itakuwa upokezi wa hile nguvu na maarifa kwa wajumbe wa tabaka nyingi sehemu tofauti tofauti.Huyu bwana anajiingiza kwenye mtihani akidhani kwamba yeye ndiye mwenye hiyo Monopoly pekee yake.Kwa mungu hakuna anayehesabika kufa.Wateule wote wa zama hizo wametukuka na wanafanya sala kwa niaba ya wenye ardhi na hupo msimu roho zao ujihusisha na watu

    • @rayasloom8711
      @rayasloom8711 Před 2 lety +1

      Kama kuna dini nyingine kwanini hawa itaju hiyo lukha kama sio kiarabu .kwa sababu ni lugha ilio kamilika .sio dini nyingine isipo kuwa uwislam.huyu jama sijuwi kapatikana na nini 😂😂😂 kiala shetani anakuja na namna yake dininzitakuwa nyingi sana ndio mjuwe kiama kinakariabia

  • @geiguryusratee2202
    @geiguryusratee2202 Před 7 lety +1

    Hamza Issa....jenga mskiti tuje tuswali wewe ni Nabii wa kweli.

  • @roidatadey8656
    @roidatadey8656 Před 5 lety +2

    Mimi nirikuwa uslam ila nilibabilisha dini kwa kuwa waislam wanaabudu majini

  • @alfaqeersaidsalimelbakry1110

    najiuliza,huyu kituko hamza ilyaas asema KAZI YAKE NI KUWAITA WATU WAJE TANZANIA,sasa watakaa wapi wakati sie wenyewe hapatutoshi???
    nashangaa na hao maswahaba zake sijui wamerogwa na nani??=== JIBU NI KUA WAMEROGWA NA NJAA

    • @ARFIddy
      @ARFIddy Před 7 lety +1

      Said Saalim jamani hajitambui tufanye msahada AKAPMWE akili 2 hakuna jins haaahaaa

    • @rahmashaban8693
      @rahmashaban8693 Před 7 lety +3

      Said Saalim :::hahahahahahahahaha said unaniua mbavu. Unajiuliza na jibu unajipa mwenyewe hahahahahaha. Hao maswahqba sijui Abuu Bakari swidiq ni yup na Sayyidina Ummar ni yupi. Yaani ni vumbi tupu

    • @salmagogo9967
      @salmagogo9967 Před 7 lety

      Said Saalim harmorapa huyo

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 Před 7 lety

      Hahahahhaahha

    • @rashidadam3900
      @rashidadam3900 Před 7 lety

      Huyu Jamaa hajielewi yy analalamika Kuwa anapingwa hadithi zote hata ya kweli sio anapingwa laiti angejiita shekhe asingepingwa kinachokataliwa ni unabii wake anaoulazimisha

  • @zinjankhan2883
    @zinjankhan2883 Před 4 lety +4

    . UDHAIFU. HUYU MNGEMPA MAZINGE TU AMTIE MASWALI MAKAVU YALIOSIMAMA

    • @salimujuma1244
      @salimujuma1244 Před 4 lety

      Yaaaan wameyumba waampe mazinge

    • @georgekimasa7393
      @georgekimasa7393 Před 4 lety

      Hoja hizo kwann msinge zitumia pia kubaini utume wa Muhammad kuwa ni wa kweli au si wa kweli.

    • @nooor1120
      @nooor1120 Před 3 lety

      @@georgekimasa7393 Mtume Muhammad haitaki tochi yeye ni mtume wa haki

  • @upendokileo8840
    @upendokileo8840 Před 4 lety +1

    Nabii hakubariki nyumbani pia waislamu wengu hawapendi ukweli duuu

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Před 2 lety

      Uislam dini iliyo KAMILIKA huku hakuna tena unabii au utume

  • @yassinm69
    @yassinm69 Před 6 lety +1

    Mbona shekh sharif hakujiita nabii wee hamza bangi hizo

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +7

    Jamani mpelekeni kwenye vipimo huyo mwenzetu jamani kabla mauti hayajamfikia

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel Před 6 lety +4

    ziaka sio nzuri
    Mungu ndie anayetoa ukumu
    cha msingi nikumsikiliza anacho sema ni sahii?
    lakini mi sioni tatizo juu yake yeye anasema kama Nabii kwa hiyo bado sio Nabii mab atabarikiwa, Mungu hamfanyie wepesi.
    halafu si vyema kuwa na jazba mnta mwelewa mtabaki kumpinga hata kwa jema
    halafu lugha sio sababu huo ni huzaifu
    kila mja Mungu anamwezesha atakavyo
    ninacho kiona hapo nyie mlio wengi mnaonyesha kujifanya mnajua lakini sivyo
    huyo jamaa anaoneokana kuna kitu cha ziada hila mnaonekana kama mko na hasira juu yake
    mi mkiniambia asijiite Nabii hapo nitawaelewa
    lakini tukumbuke mambo ya mwenyezi Mungu ni mambo yanayo hishi na yapo mengizaidi ambayo wapo waliojaliwa kuyatambua yale ambayo wengine hawakujaliwa kufunguliwa kwa nini tuwe na kebei anacho kifanya huyo Hamza nikuwakumbusha yaliyo mema
    sasa maswali mengine ni ya hila tu heti mtu anauliza
    We hulisha wahi fika Misri sasa hilo ni swali au hila?
    mi sioni baya kutoka kwake labda hilo analosema kuwa yeye ni Nabii hapo ndio niko na Mashaka?

    • @miraclemirajiathumani7333
      @miraclemirajiathumani7333 Před 2 lety +1

      huu wakati mungu anachiria manabii wake ili mpte kujua nn kinaendelea

    • @adventsumari6967
      @adventsumari6967 Před 2 lety

      Yeye kasema cyo nabii kasema yeye ni kama nabii. Mtamuelewa tuu uyu amza anakitu ndani yake ila wengi amtaki kukubali. Ilasiku zinavyozidi kwenda mtamuelewa tuuu. Hamza tuko pamoja barikiwa sana

    • @unknownafrica5568
      @unknownafrica5568 Před 2 lety

      @@miraclemirajiathumani7333 mmungu alikuambia mmungu Alissa sema kua ma nabee nivae zamani alijua ni was mwisho ni muhamad saw Angela wapo watakuja huyu ana tafuta sadaka ya dhambi mbona watu wamemkalisha ktk Islam hamna mtu ajitokee kua yy ni na bee kwani wanajua mmungu ni mmoja tu na yy ndio wenye mana bee huyu mjinga tu mchukueni awe na bee fekk kama hao wa wakristo kila siku wanakuja mana bee na wanakubalika hakuna mana bee manabee walikuja zamani

    • @unknownafrica5568
      @unknownafrica5568 Před 2 lety

      @@hemedikassimu9604 kabisaaa ukitoa erufi moja inajulikana sembuse kubadilisha mmungu ndio alkamilsha kila kitu humo ndio mtume wa mwisho hamna na bee tena mpka kiama

    • @sundaymsuya1433
      @sundaymsuya1433 Před rokem +1

      Muhammad mwenyewe ni nabii feki yuko kwenye Quran 2 ht torati na injili hajawahi mtaja hy Muhammad xaxa nabii wa mwisho kwa nan kwa waarabu au kwa mungu waislam wote niwapinga kristo

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 Před 7 lety

    Shekh hamza nilikupenda sana tena nilifatilia clip zako sana ila shetan kakupenda zaid SO INNA LILLAH WAINAH ILAYH RAAJIUUN

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 Před 2 lety +2

    Huyu sheikh Mwenye alimjibu nampenda Sana afu nimsomi Mashallah napenda jibu lako huyu nabii mrongo Sana...

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety +1

      czcams.com/video/KVBAAe3p0NY/video.html
      👆 *TUPATE MAZINGATIO KATIKA KISA CHA NABII YUSSUF (AS)*
      _USISAHAU ku share subscribe na ku like_

  • @hajiomar1895
    @hajiomar1895 Před 7 lety +5

    yaan masekh mna moyo kweli mda wote kumckiliza mzushi huyo

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 Před 3 lety +6

    Huyu ni mwenda wazimu...hata nashangaa hawa mashaikh wetu wanapoteza wakati na huyu abnormal..hata qur ani hajui kusoma vizuri

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 Před 3 lety

    Mujihadhari nawakristo wanaweza kumtumiya kwanjiya kuwa bomowa nyinyi kama mnavyo sema wakrito wako nanabi saa hizi isije ikawa ni njama tu hiyo muwe wangalifu sana nasiyasa za shaitwani rajim

  • @shuwehaharunaomariikwena233

    hatakusoma aya hawezi laanatulah

  • @mariamsuleiman7159
    @mariamsuleiman7159 Před 7 lety +5

    jamani hivi huyu mtu ni mzima kweli

  • @zainabomar9139
    @zainabomar9139 Před 4 lety +1

    Huyu amepangwa na maaduwi wakiislam atuvurugie dini yetu lkn inshaAllah utashindwa kwanguvu za allah hutofaulu nahaooo walonyuma yako

    • @mohammedmoshe6622
      @mohammedmoshe6622 Před 4 lety

      >NI KWELI MWENYEZIMNGU ALITUTAHADHARISHA KUHUSU MAYAHUDI NA MANASARA,KWAMBA HAWATARIDHIKA NA SISI WAISLAAM(HUSUSAN WAKRISTO) MPAKA TUFUATE MILA ZAO(DINI NA IMANI ZAO>ITIKADI ZAO)-Q2:120 >NA HUYU BWANA ANAHUBIRI ITIKADI NA IMANI POTOFU ZA KIKRISTO. TENA ANAPOTOSHA KWA KUPOTOA QURANI NA KUTAFSIRI KIRONGO ILI KUUNGA ITIKADI NA IMANI ZA WAKRISTO

  • @mofarri
    @mofarri Před 2 lety +1

    Mashallah napenda kusikiliza mawaidha yako sheikh Eliyas, hasa kwenye matukio ya zama za mwisho, Mashallah Allah azidi kukupa elimu na busara, Lkn jambo moja ambalo siwezi kukuunga mkono, WEWE SI NABII, hakika kusema ivo umeibadilisha quran na kusema kuwa maneno ya mtume ni uongo, Which is “SHIRK” unaweza kuwa sheikh mufti,Doctor, lkn sio nabii, Na imeniuma sana coz nmesikiza mawaidha yako na yamenigusa sana lkn nlipokuja kuona video hii ukijivunia bila wasiwasi kuwa wewe ni nabii, Hakika ni msiba mkubwa, Innalillahi wa innaillaihi rajiun,
    Endelea na kazi nzuri mashallah lkn jitoe hicho cheo cha unabii, Mjadala wa unabii uko very open very clear kwenye Quran, wala si fumbo. IT IS VERY CLEAR, You’re not a prophet my Brother if you believe you’re then you’re not even a MUSLIM at all,
    Allah atufumbue macho na akili kwenye maswala kama haya, hakika watu wengi wanakukusikiliza na wengi wanashadadia na kukupa sifa ya Unabii, Ujue unayabeba madhambi yao wote, Allah akusamehe na atusamehe sote, tuwe ni wafuataji 100% wa quran na sunnah ya rasul (SAW) bila kuongezea ama kubadilisha chochote

  • @beyonceisaack6390
    @beyonceisaack6390 Před 7 lety +3

    Wewe Hamza Issa, nabii

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma3167 Před 5 lety +3

    Huyu jamaa atawapotezea mda mpelekeni hospitali huenda anamatatizo ya kiakili, Yani muonekano wake tu kuchekacheka tuu

    • @mamual-ismaily7599
      @mamual-ismaily7599 Před 4 lety

      Wallah kweli 😄😄

    • @nyotayamashariki5411
      @nyotayamashariki5411 Před 4 lety

      Mungu akupe nguvu hata Yesu alikataliwa usijali simama katika haki ikikubidi ufe katika haki waongoze kwa hekima mana hata wakati was nuhu walipinga

  • @miraclemirajiathumani7333

    mimi sina mashaka kwa sababu mungu azoeleki na kingine mnafikiri kama nabii eliya yeye haogopi kuangamia katika jahanam basi yy anatimiza wajibu wake

  • @ahmedmohamed9040
    @ahmedmohamed9040 Před 5 lety +2

    SubhaAllah.Ati. watu wote waje Tanzania kufanya nn na tunajua kuna makka na madina

  • @habibusalum5800
    @habibusalum5800 Před 7 lety +7

    Inna lillah wainna ilaihi rajiun. huyu jamaa ametumwa na shetan. upeo wake alionao hafai hatakuwa mkuu wa mtaa.

  • @likungaduu6445
    @likungaduu6445 Před 7 lety +7

    hahahahah.....HAMZA atakua anakula sana BANGI yenye MBEGU.....MSHAURINI AWE ANATOA MBEGU KWANZA...PIA ASIVUTIE CHOONI AKIENDELEA SOON ATAJIITA MUNGU.

  • @rajabuhassani8426
    @rajabuhassani8426 Před 2 lety

    Nakukuchukia sana mbwa eliasa kama ninavyo wachukia wakiristo

  • @samirsumary8230
    @samirsumary8230 Před 7 lety +1

    kwa kweli magufuli huko tanzania katia watu vifachaaaaa,please magufuli punguza kibanoooo maaana maradhi ya uchiz yamezidi kwa njaaaaa

  • @mwanakijacho640
    @mwanakijacho640 Před 5 lety +3

    yani ww Hamza utakikukubali kama ujui dini vizuri mana wajua utaaibika ila Allah akusame mana ujui unacho kifanya

  • @seifjumabhansigiye2867
    @seifjumabhansigiye2867 Před 7 lety +18

    acheni kumtukana yeye kama kapoteza busara nyinyi msipoteze busala ninyi mnaomtuka ndiyo wapuuzi..

    • @jonathanmasu6803
      @jonathanmasu6803 Před 7 lety

      Seif Juma Bhansigiye ndugu una busara sana

    • @hassinarahbi352
      @hassinarahbi352 Před 6 lety

      Mbona hata herufi za qur'ani hazijuwi kizitamka inavotakikana

    • @suleimanngondo3787
      @suleimanngondo3787 Před 5 lety +1

      Seif Juma Bhansigiye mpuuzi ww na shangazi yako

    • @hamudmuhammed536
      @hamudmuhammed536 Před 5 lety +1

      wewe mpuuzisana mshenzi kabbisa ww wamaa muhammadun illa rassuulu llaaah hakuna mtumetena wala hatotokea zayd yamuhammad nahuyo hatakihoja ataka tu atolewe kichwa na washenzi km nyie wote munaomuunga mkono kafiri km huyu kaaafiri mtoeni kichwaaa asiitie dosari dini au km hana kijio mpeni ale asipoteze watu laanatullaah

    • @zaharahasan1912
      @zaharahasan1912 Před 4 lety +1

      @@hassinarahbi352
      Yaan anaonekana kabisa huyu ni mwislam, ila tuu kwa sababu tuu yuko upande mwingine ndo maana unasema hatamki maneno vizuri

  • @YonahMwamwaja
    @YonahMwamwaja Před 2 měsíci

    Ipovizuri nabii wabwana damu ya YESU ikufunike

  • @ambrosekizidio8976
    @ambrosekizidio8976 Před 2 lety +2

    Paul also stood before the Romans and Pharisees to speak about the truth. Man of God go on God loves you.

  • @malickabbas8271
    @malickabbas8271 Před 7 lety +6

    Hahaha,akapimwe akili

  • @fatmaally714
    @fatmaally714 Před 7 lety +6

    kofia lina mpwelepweta

  • @christinamatrida6219
    @christinamatrida6219 Před 6 lety +1

    Usipo mkubali YESU Mbingu hautoiona kwa sababu hakuna mwenye Mbingu isipokuwa YESU

  • @govinsonlugano9226
    @govinsonlugano9226 Před 5 lety +2

    Mambo yote mmeongea apo niyakimwili tu.yaani mko mnaongea kama unga wa mahindi haiwezitoa chapati.hayo nikibinadamu wapendwa.tofuati na mambo yakiroho.Mungu ni Roho na ili umuelewe Mungu na mambo yakitoho lazima nawewe uwe kiroho.mnataka Mungu atende mambo mtaelewa sasa U Mungu wake utakuwa wapi? Angalieni mnamwita mjinga,Lakini mjinga huonekana kwa maneno inatoka kwa mawazo yake.mnatetea tu dini dini,haiwezi kufikisha mninguni!!!!

  • @dennisthomas8164
    @dennisthomas8164 Před 6 lety +4

    kwani alichokisema siyo kweli,tatizo huyu kawazidi elimu na maarifa ,ndymaana mnamchukia ,

  • @shuwehaharunaomariikwena233

    asante kwa muendelezo umenifanya mpaka nime subscriber

  • @AfricaloundBusiness-vz1yb
    @AfricaloundBusiness-vz1yb Před 4 měsíci

    Kwann tusisikrizee nakufanyaa tafit kuusu shah hamza kuriko kupingaa kamamtume tu watuhao waripingaa ndioss haoo turiomuangamiza yesu

  • @yusufuvea5311
    @yusufuvea5311 Před 3 lety

    Mbora no mwenye kusikiliza Kisha akachagua ritakalomnufaisha

  • @saidishabaninguku8655
    @saidishabaninguku8655 Před 7 lety +4

    Hakuna kauli nzuri kwa mnafiki kama wewe, ila ulisha sema kuwa unatafuta umaarufu na hao wendawazimu wenzio yaani hao maswahaba wanafiki hao.

    • @roidatadey8656
      @roidatadey8656 Před 5 lety

      Wewe muabudu majini kaa kimya

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 Před 9 měsíci

      Kejeli na thihaka hazimpendezi mwenyezi mungu Kwa viongozi wake kama huelewi Bora ukae kimya usije uka laanika na mungu

  • @ARFIddy
    @ARFIddy Před 7 lety +12

    ILA JAMANI MASHKHE KWAMAONI YANGU NILIKUWA NAWAOMBA MFANYE IKHISANA KWA
    HAMZA MPELEKENI
    HOSSPTOL AKAPMWE AKILI JAMANI

    • @Baghsheer
      @Baghsheer Před 7 lety +1

      Nakubaliana na wewe kabisa .....mgonjwa wa akili ...

    • @saidykipalo9116
      @saidykipalo9116 Před 7 lety +1

      A.R.F. Iddy yaani wewe mtoto kila kwenye video tunaonana nikikuuliza unaishi wapi utaki kwa nini jamani?

    • @saidykipalo9116
      @saidykipalo9116 Před 7 lety

      A.R.F. Iddy Assalaam alaykum mzima wewe!

    • @jumamakala4903
      @jumamakala4903 Před 7 lety

      Mashallah

    • @user-ih7bz4tb7z
      @user-ih7bz4tb7z Před 7 lety

      A.R.F. Iddy hahahahahh kwanini wasimchape bakola

  • @siafuonlinetv
    @siafuonlinetv Před 7 lety +1

    Dah Mungu anakupenda bado wabongo hawajakuchinja njoo zenji tukupe Zawadi

    • @francismhilu2936
      @francismhilu2936 Před 5 lety

      We n mkichaa..izo zwad n nan wew had uhukumu.kwn kaz yk n kukomboa ukion ujakombok wapo waliokombok usiharalishe na kuhimiz uov

  • @aminiomary7445
    @aminiomary7445 Před 6 lety

    Hivi mnadhani kila mwehu lazima aokote makopo au aperekwe mirembe hio nayo nistaili ya uchizi tu raaanatullah mwenyezi mungu akuangamize kwa kupotosha jamii

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 Před 7 lety +4

    🤣🤣🤣🤣makubwa huyu hamza kweli bado wasalam tu majina mengine tutizameni yakuwapa watoto wetu jamanini mengine hayafai!!!eti nataka kutoka niende nikakae pangoni 🤣🤣🤣siwezi kwenda Anifghakistan kwenda kupigana 🤣umenimaliza kweli 🤣🤣mtume gani anaeogopa vita? 🤣🤣namtume huandaa vita ili kutaka haki nyoo nenda bomu moja tu tunakusahau halafu hebu sema lugha unayoijuwa usiwape watu kazi kukueka sawa huku wanakujadili wakupeleke mirembe gani yakaribu Na hapo maana unatuchefuaje😏😏🤔

  • @alvindax1748
    @alvindax1748 Před 5 lety +2

    Huyu hamza anajuwa xaaaaan tena wasiokuelewa pombe nyingi

    • @salimsalum7728
      @salimsalum7728 Před 4 lety +1

      Kama ni nabii basi atakua nabii wenu wala si wetu sisi

    • @barackamosi4116
      @barackamosi4116 Před 2 lety

      Hamnza yuko vizuli kabisa apo walipo wasilam wamekalia misumali

  • @abdulhamidy8920
    @abdulhamidy8920 Před 5 lety

    Uyu jamaa ana bahati cjui imekuaje hajapigwa makwaju ila aende Zanzibar akajitangaze yy nabii kama atachukua dakika 5. Ila jamaa kashindwa kutoa muujiza ata m1 ss kama uyu ukimpata unampa bonge labao lauso kisha unamwambia muombe mungu aniangamize eti anasema kadharauliwa ss wasubiri adhabu zamungu