Video není dostupné.
Omlouváme se.

KIPOZEO AMTAHADHARISHA SHEKH SALIM BAHARIYANI HUWEZI KUSHINDANA NA MASHEKH WA ZAMANI UTAPATA AIBU.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 10. 2022

Komentáře • 116

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 Před rokem +5

    HAKUNA JAMBO KUBWA KWA MUISLAMU KAMA KUIJUA HAQQ NA KUSHIKILIA MSIMAMO HUO. ALLAH ATUJAALIE KUWA NA ISTIQAMA, KAMA ALIVYOHIMIZA ALLAH NA MTUME WAKE.
    MAANA USIPOKUWA NA ISTIQAMA NDIO UTAJIKUTA UNACHANGANYA HAQQ NA BATWILI.
    YAA RABB TUONGOZE SOTE..
    AAMIIN

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Před rokem +2

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Baaraka Allahu Fiikum

  • @eliasnavytanga
    @eliasnavytanga Před rokem

    Sheikh Salim Barakhiyan kakanusha haya maneno. Allah yaalam nani sio msema kweli kati yao. Allah awape hikma na ukweli katika khutba zao. Amiin

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Před rokem +1

    Mashallah, Allah awalipe kheir zao masheikh wetu wote na awasamehe makosa yao yote kwasababu wao ni binadamu kukosea ndio umbile la binadamu

  • @mayasahussein9386
    @mayasahussein9386 Před rokem +2

    Maa asha allah sheikh kipozeo

  • @husha6372
    @husha6372 Před rokem

    قصيدة الامام الشافع
    إِنَّ لِلَّهِ عِباداً فُطَنا
    تَرَكوا الدُنيا وَخافوا الفِتَنا
    نَظَروا فيها فَلَمّا عَلِموا
    أَنَّها لَيسَت لِحَيٍّ وَطَنا
    جَعَلوها لُجَّةً وَاِتَّخَذوا
    صالِحَ الأَعمالِ فيها سُفُنا

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před rokem

    Kuna jamii ya watu hupenda migogoro na malumbano na hupenda kujitakasa ..ila shegh hilali is best 👍🏿i like this man all this time

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Před rokem +2

    Alhamdulillaah

  • @zumbetuppa1156
    @zumbetuppa1156 Před rokem

    Maashaa Allah

  • @badaral6167
    @badaral6167 Před rokem +3

    Mashallah

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil8436 Před rokem

    Kipozeo mungu ametakasika na hayo uliyoyasema

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 Před 4 měsíci

    Toka alivyo baliki mzee Yusuph kulidi kuimba nlimuona puuzi tu

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe Před rokem +2

    Mashaallah

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 Před rokem +3

    Shekh kipozeo anasema kweli

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 Před rokem +1

    😇

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Před 11 měsíci

    Ameen

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv Před rokem +1

    Sh.kipozeo naww kweli unaongeleya habari kama izo mskitini?nilikua najua ww ni mtu wa hikma,kumbe uvundo.

  • @saidikessy3692
    @saidikessy3692 Před rokem

    SHUKRANI saana

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 Před rokem

    Allah Akbar

  • @mussamtupa
    @mussamtupa Před rokem +1

    Mashallah. Shekh Kipozeo
    Unatukonga nyonyo sana
    Hata kama mtu ana stars zinatisha Wallah.

  • @uislamutv2573
    @uislamutv2573 Před rokem +16

    Huyu kipozeo miaka ya nyuma sindo alikua apinga maulidi na khitma na kusomea qur'an makaburini leo amekua nao hao makhurafi masufi, Subhnallah sikia vitu anavyoongea njaa ni mbaya aliona acha aungane na bakwata nae ndo alikua anapiga kelele mufti hana elimu, subhanallah njaa mbaya sana, hata mkiwa wengi haimanishi ndo mpo kwenye haki,Allah aniweke mbali na uzushi

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Před rokem +2

      Ameelewa maan ya haya ni faida tupu humu

    • @abubakarmustwafa8662
      @abubakarmustwafa8662 Před rokem +3

      Njaa ni yako,kasome

    • @yusufmohamed8874
      @yusufmohamed8874 Před rokem +2

      Zamani ya mwaka gani?
      Nipo madressa mtoni mwaka 1995 huyu jamaa alikuwa mgeni rasmi wa maulidi

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Před rokem

      Unaongea Kwa Masurufi Nahawa Zako Binafsi. Hauna Aya Wala Hadithi Dhwaifu.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před rokem +1

      Hata kama unasema alikuwa wapi basi jibu ni kwamba kaelewa ukweli uko wapi

  • @isihakaabubakari6906
    @isihakaabubakari6906 Před rokem +1

    Asalamu alaykumu warahmatullah swala sio njaa.. suala ni ilm kasome kwanza af utaacha kuita wenzako watu wa bid'a

  • @ramadhankibiriti6894
    @ramadhankibiriti6894 Před rokem

    Hakuna kher kwa wazushi na washirikina mpaka watubie Yaarabbi tujaalie mwisho mwema mazuzu yanakenuatu

  • @AmirHamis
    @AmirHamis Před rokem

    Kama akhera kunaangaliwa maulidi kama ulifanya au hukufanya ndo uende peponi basi endeleeni kufatilia mambo hayo na ya mfano wake lakini kama kinachoangaliwa ni swala kisha a'mali njema basi kuwa mjanja kwa kufatilia nakufanya yale yatakayokuzidishia nafasi ya kupata radhi za Allah subhanahu wata'ala kama swala, swadaqa na mengineyo achana na mambo yenye ikhtilafu ambayo huwezi kumsikia sheikh mwenye i'lmu akiya address kwenye topics zake.

  • @salummsei4725
    @salummsei4725 Před rokem +1

    Hata mimi kuanzia leo s lafiki yangu tena

  • @eddiesantos2888
    @eddiesantos2888 Před rokem

    Tusitowe hukumu zetu kwa mwisilamu yeyote,Tumuwachie mwenyewe ALLAH,Akiwa mkweli huyu kipozeo ni mtu wa sunnah,Bidaa,au sheikh Tumbo ALLAH atamdhihirisha haichukui muda.

  • @fadhilimussa5067
    @fadhilimussa5067 Před rokem

    hadahullah

  • @sherallysherally1203
    @sherallysherally1203 Před rokem

    Sheikh unamfanyia MASKHARA ALLAH? ITTAQILLAH.

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 Před rokem

      amemfanyia dhihak vipi? Acha CHUKI NI ugonjwa WA moyo

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před rokem +2

    Vp kuhs dimond na mzee yusuf ?unafiq ni mbaya sana

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před rokem +3

    Sheikh kipozeo jinsi anavyo kubalika hata akiongea upuuzi watu wanafurahi

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před rokem

      Yusuf muhamed jifunze lugha ya kuongea yaani aliyongea kipozeo yte kwko n upuuz? Subhana lwahaa hiyo n jazba gani ya lijinga!!

  • @aymanmangube4092
    @aymanmangube4092 Před rokem +1

    Hii sasa khatari kama na huyu amefikia hatua hii, jambo la kumuomba ALLAA atudumishe katika kumtii
    أللهم ثبت قلبي على دينك
    kwa wale watu wazima kidoogo wanatambua namna alivyokua akiwasema vibaya watu wa maulid na khitma nakumbuka moja ya kanda zake ambazo nilikua nazo akiwasema watu wa maulid! akiwaiga mpaka wanavyosoma ile milango yao halafu anamalizia kwa kusema swalallahu 'alayhi, watu wanacheka

  • @sherallysherally1203
    @sherallysherally1203 Před rokem

    Sheikh wa MIZIGO 😮🥵😮🥵

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 Před rokem

    MashaAllah

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 Před rokem +1

    Maneno yanaendana na zama hizi zatu

  • @salummsei4725
    @salummsei4725 Před rokem +1

    Hahika shaitwsni ananguvu

  • @abujamalaalghammawiy7470

    Au ile moja umekata juu kwa juu? 😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @abubakarkhamisi3931
    @abubakarkhamisi3931 Před rokem

    Hv hiko kisa ni cha kweli

  • @munyumunyama8365
    @munyumunyama8365 Před rokem +2

    Mtu mpuuz mpuuz tu kipozeo

  • @thegreatmind9178
    @thegreatmind9178 Před rokem

    Huyu si sheikh wa kweli ni watu wa kutafuta sifa tu na kuchekesha watu subhallah

    • @gulionigulioni3234
      @gulionigulioni3234 Před rokem +1

      Mtafute wewe huyo sheikh wa kukasirisha watu.
      Unaonekani ni mmoja kati ya makafiri waliopo hapa chini ya jua

  • @abuuhafswaawadh261
    @abuuhafswaawadh261 Před rokem

    czcams.com/video/ic6-yz2lCPY/video.html
    ⬆⬆⬆
    Sikilizeni Majibu na Nasaha kwa Kipozeo

  • @alimatumbomedia7933
    @alimatumbomedia7933 Před rokem

    Umeona wapata pesa kwa kusema wake wa nne ndio ukaona umesha pata mwanya wakuingizia pesa hhhhhhh watu wabidaaa mnatabu

  • @ahmadfirdaus6608
    @ahmadfirdaus6608 Před rokem +1

    Kipozeo ni shida sheikh wangu, sijui una kunywa pombe ao vipi sijui ni bange ao nja, wewe siulikua nawapinga watu wa maulidi na wanao soma khitmat!!!!?

    • @Naaam353
      @Naaam353 Před rokem

      Kaona ukwel wa mambo

    • @ahmadfirdaus6608
      @ahmadfirdaus6608 Před rokem +1

      @@Naaam353 ukweli gani uko kwenye maulidi!!! Anayo fanya ni nja

  • @isihakaabubakari6906
    @isihakaabubakari6906 Před rokem

    Tatizo nyie mnaojiita salafiyyu ni watu wenye elimu ndogo mnoo ila kwa propaganda daaah mko timamu sana

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze Před rokem

    Shk anakula mirungi, kwa kujificha na watu, ilhali Allah anamuona, Allah amuongoe maskini, nimeamini umaskini wa Mali ni nusu ya ukafiri.

    • @wenge4x423
      @wenge4x423 Před rokem

      Kama alijificha wewe umejua aje ?

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Před rokem

      @@wenge4x423 tulimuona kwa bahati mbaya kwake mzuri kwetu!

  • @abuujuhaima5588
    @abuujuhaima5588 Před rokem

    Halafu hawako Akhera wako Barzaha

  • @sudisalehe192
    @sudisalehe192 Před rokem +1

    Sheikh leo hitma na maulid vinafaa leo au watu wameuzwa

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 Před rokem

      Kuondoka kwa Mtume na Maswahaba ni miongoni mwa ishara na dalili za Kiama (Umma wa Kiislamu utagawanyika/umeshagawanyika makundi mengi mno). Hivyo tutazidi kuyaona na kuyaaikia mengi.
      WaAllahu Aalamu.
      Tumuombe Allah atuhifadhi ili tuupate mwisho mwema.
      ***Aaaamin***

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +2

    WEE KIPOZEO NJAA INAKUSUMBUWA!!
    HIZO NI POROJO TU!!
    NA MATAMANIO YA NAFSI!!
    ALLAH ANSEMA،.DINI HAINA MZAHA!!

  • @tungaathumani6921
    @tungaathumani6921 Před rokem +2

    Masufi mnakazi kweli Allah aniweke mbali na usufi

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před rokem

      Masufi ndo nn

    • @tungaathumani6921
      @tungaathumani6921 Před rokem

      @@adamhashim3352 soma dini yako utaelewa tu

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před rokem

      @@tungaathumani6921 we uliyeelewa toa faida bas upate thawabu

    • @uislamutv2573
      @uislamutv2573 Před rokem

      Amiin...yaa rabbi kipozeo ameshakua upande wao

    • @binaamour318
      @binaamour318 Před rokem +1

      Hii ndio kazi yao waliyopewa nahao wanaojiita masalafi kuwagawa waislamu na kuwapa majina Sufi huyu hisbi huyu Nani hiyo ndiyo kazi iliyobaki kana kwamba wao ndio wenye malipo !!

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před rokem +1

    Huyu kipozeo ni mpuuzi tu

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Před rokem

      Loooo Dini Gani Ina amrisha WATU kuruka nana Subhana ALLAH MAKOSA makubwa SANA

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před rokem +1

    Sasa mna cheka kisa kasema alikuwa rafiki yake siku za nyuma! Nyie watu wa maulidi niku wadhihaki wale hawa sheherekei maulidi!?

  • @alimatumbomedia7933
    @alimatumbomedia7933 Před rokem +1

    Ww acha ujinga kipozeo watafuta unga kila sehemu vp umejuaje kama huyo ni waliyu llahi kisha wasema baraka zake ziwe nanyi mara daimond huyo mara mzee yusuf watu ata hawafai kuzungumziwa kisha mwamsifu mtu sifa ambazo hana

    • @saidali9379
      @saidali9379 Před rokem

      Ustadh shukran hata Mimi nimeshangaa! Waaliyullah anayemjuwa ni Allah tu! Si mwanadamu! Vipi huyu kipozeo amemnuwa?

  • @sheikhmvanokiloba3228
    @sheikhmvanokiloba3228 Před rokem +2

    Wahabia pigo lenu hiloo mnabaki na ujinga wenzenu wanasoma mamisimamo bila elim nikhatari!
    Na kama zamani alikua anapinga maulidi na khitma Leo kaiona haqi
    Mm nawashangaa sn mnaopinga hamfanani nae kielim simumfate mwenzenu elim imemuongoza na nyinyi ujinga una wapotisha
    Poleni sn!!

    • @omarinurdin261
      @omarinurdin261 Před rokem

      Unbelievable! Ni kweli yeye,? Hii TBT au ya siku za hivi karibuni

  • @Wastara001
    @Wastara001 Před rokem +1

    Hili kumbe jisuffi. Likija Kenya lajifanya salafi kumbe jisuffi.

    • @abdalaseleman921
      @abdalaseleman921 Před rokem

      Hao masufi ndio walioneza dini Ukanda wote wa Afrika mashariki. Waheshimu.

    • @Wastara001
      @Wastara001 Před rokem

      @@abdalaseleman921 Walieneza bid'a

    • @abuuabdirrahmaan4132
      @abuuabdirrahmaan4132 Před rokem

      hapana hajifanyi salafi bali ajifanya answari

    • @muhammadabdi774
      @muhammadabdi774 Před rokem

      Unamwita muislamu mwenzie hili jisufi unatumia lugha ya kibri na dharau je hii ni akhlaaqi ya kiislamu?تعلم الأدب قبل أن ترد وإياك وتحقير المسلمين واعلم أن حسن الكلام ولين الخطاب مطلوب حتى مع الكفار.ادع إلى سبيل ربك بالحكمة والموعظة الحسنة. وقد أمر الله كليمه موسى عليه السلام بلين الكلام مع أعتى وأكفر من في الأرض وهو فرعون قال الله تعالى فقولا له قولا لينا لعله يتذكر أو يخشى.

  • @Abusalim308
    @Abusalim308 Před rokem +1

    Huna lolote chawa tu wewe hueleweki wala huna msimamo

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 Před rokem

    Huna tofauti na wachekeshaji wengine Kama MASANJA Mpoki joti kingwendu bambo nk

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před rokem

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před rokem

    Ndio maana tunakwama saana yaani maskharamaskhara tu alafu haufafanui darasa likawa lakielimu saana mtihani

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 Před rokem +1

    Yaani kama chizi fulani sababu ya tumbo

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před rokem

    Vp kuhs dimond na mzee yusuf ?unafiq ni mbaya sana

    • @khermisybonaya3741
      @khermisybonaya3741 Před rokem +1

      Allah atukusanye waisilamu wte kwa lililosawa kwake,🤲🏻 alf Ombi langu nikuwa tusituhumiane tuhuma mbayambaya wla tusibandikane majina mabaya na ni lzma utambue kuwa Hatua aloichukuwa Mwanachuoni mtegemewa hailingani na hatua yko usielingana nae kielimu! ninamaana kuwa huna haki kudai kuwa shekhe amenunuliwa coz huna ushahidi, wla hna hki y kumtangaza mwenzako kuwa nimnaafiq coz huna power hyo, tusijitafutie dhambi kwakuzikusudia, acheni tuzifanye kwakughafilika tu.
      Allah awape umoja Ulamaa wetu na awahifadhi na ajaalie wawe wengi mfano wao🤲🤲🤲

    • @hamzayusuf1894
      @hamzayusuf1894 Před rokem

      .mawahabi hawana dini

    • @abdulrahmanhusseinsalim4404
      @abdulrahmanhusseinsalim4404 Před rokem

      Comedian