Video není dostupné.
Omlouváme se.

Radd na Nasaha kwa Aliyekuwa Rafiki yetu Sheikh Hilal Kipozeo kwa Kuzua Visa vya UONGO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 10. 2022
  • Radd na Nasaha kwa aliyekuwa Rafiki yetu Sheikh Hilal Kipozeo Allah Amuongoze kwa kuzua visa vya UONGO ili kuwachekesha wanaomsikiliza
    Mzungumzaji:
    Sheikh Salim Barahiyan

Komentáře • 312

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 Před 5 měsíci +2

    Naam, Sheikh Salim barayihan kamjibu vizuri sana Wala si kwa ubaya, allah awaongoze masheikh wetu.amiiyn

  • @saidkale6465
    @saidkale6465 Před rokem +5

    Nimemfuatilia Mudiri toka miaka ya 98 Mungu amuhifadhi Barahiyan ni mmoja ktk watu alieleta haki ndani ya mji wa Tanga..Umemjibu kwa hekma raad zimeanza tokea miaka mingi iliyopita lazima alikuwa ajibiwe

  • @salumsaid1433
    @salumsaid1433 Před rokem +7

    بسم الله الرحمن الر حيم( واعتصمو بحبل الله جميعا ولا تفرقو ) وكونو عباد الله اخوانا

    • @joauchitlango3547
      @joauchitlango3547 Před rokem

      Hilo ndilo la muhimu na barahiyani haja farikiana nae kaeleza muongozo na ukweli

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před rokem +6

    Sheikh Msamehe Kipoozeo, Kwa hakika ameteleza, umefanya mengi Tanzania ktk sekta mbalimbali kuanzia Elimu ya Dunia na Dini, na Allah atakulipa, nasaha yangu kwako Msamehe Sheikh Kipoozeo ,na Kipoozeo anatakikana akutafute Akuombe msamaha

  • @omarabdallah372
    @omarabdallah372 Před rokem +1

    Ma Shaa Allah Allah umeongea kwa hikma na upole wala hukumuongea Kwa ubaya Allah akupe hikma zaidi sheikh Salim....

  • @user-nr5vn8ou8d
    @user-nr5vn8ou8d Před 4 měsíci +2

    Mashekhe wacheni kudhalilishana mtandaoni hii sio mafundusho ya bwana mtume Muhammad!

  • @ibrahimcharlesswaleh
    @ibrahimcharlesswaleh Před rokem +19

    Umma unaangamia. Tufundisheni Muongozo wa Kitabu na Sunna. Kipozeo yupo, ungemfuata faragha mkaelimishana ingekuwa bora zaidi kuliko kudhalilishana kwenye mitandao.

    • @sherallysherally1203
      @sherallysherally1203 Před rokem

      Sheikh Salim AMFUATE SHEIKH WA "MIZIGO"?????? Sheikh wa Mizigo kisha Tangaza ALITAKA KUMPIGA NGUMI YA CHEMBE,( AMUUE) . Akahofia. Sasavunamtaka Sheikh Salim amfuate Kipozeo. Mbona Sh. "Mizigo " Hakumfuata kumnasihi wakati akiwa kwake Tanga.???? Badala yake, kafika Maulidini KUMFEDHEHESHA???? Sawa hiyo??? Ulitakiwa kumpa nasaha Sh. "Mizigo" Kabla hujampa nasaha Sh. Salim.
      من الدين كشف سترا عن كل كاذب وعن كل بدعي اتى بالعجاءب.

    • @abdulwahababdulkadir9965
      @abdulwahababdulkadir9965 Před rokem

      Kwani kipozeo aliongelea wapi achenj mambo yenu maghurafy

    • @gharibmuhsin2450
      @gharibmuhsin2450 Před rokem

      @@abdulwahababdulkadir9965 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 naona utovu wa akili unaendelea kusokota

    • @nasirabdullah6227
      @nasirabdullah6227 Před rokem

      Kipozeo yeye kamsema faragha alisema hadharani ndio mana anamjibu hadharan

    • @issamasanjala7413
      @issamasanjala7413 Před rokem

      Ukiharibu hadharani bado utarekebishwa hadharani

  • @abuibra
    @abuibra Před rokem

    Tulizeni nyoyo zenu, mtafuteni njia yenye suluhu bora,msimpoteze kipozeo nafikiri kachoka anabobojokwa sana,mkutane mzungumze msirushiane maneno kwenye mitandao,italeta aibu msiwape fursa watu wa bid'a.tunawapenda mashekhe wetu chukueni hekma kuyasawazisha INSHA'ALLAH Mtakua pamoja.

  • @saidmussa9587
    @saidmussa9587 Před rokem

    Ndugu yangu iblahim Asante huyu shekhe anatafuta kiki mwanachuoni mwenyehikima hufuata mwenzie live live mumuni kwa muumin humdilik muumin kwa wanaonana hojakwa hoja

    • @saidmussa9587
      @saidmussa9587 Před rokem

      Ukirusha madogo HIV tunakuona muimba taalabu TU hata kama una elm Kisha mnafk unajionnyesha wewe ni mwema sana mnatuhalibia din kwni wewe ukitoa mawaidha unadhan unatolea malobot watu wasicheke wanune TU wewe kama huna mawaidha Kaa na mkeo mliwaze utapata sawabu kuliko uje ulopoke TU

  • @mohamedothman5792
    @mohamedothman5792 Před rokem +3

    Allah akujaalie wewe na waislamu wote tuwe ni wenye kufuata njia iliyonyooka

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před rokem +3

    Allah amuongoze.Baarakallahu fiik

  • @eliasnavytanga
    @eliasnavytanga Před rokem

    Shukran Sheikh Salim, nakupongeza kwa kutumia lugha ya upole na busara. Allah azidi kukulinda. Amiin

  • @abuqusay8912
    @abuqusay8912 Před rokem +3

    Sheikh wa Uislamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před rokem +1

    Kapinga khitma tu sababu katika usomaji wake ameona ndivyo sawa …ni sehemu ya hitlafu….namkubali shegh hilali mpaka aingie kaburini hayo mengine khitlafu tu..hata maswahaba walightilafiana…..shegh hilali anabusara nyingi sana na anafalsafa Nzuri sana yakuongea .allah atubarik

    • @ZuleikhaAbdallah
      @ZuleikhaAbdallah Před rokem

      Huyu Salim anashindwa kuelewa
      Sheikh hilali shaweji amefanya hvo kwasabb waislamu wasilemae wakaacha ibada kwa kutarajia wataombewa

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 Před rokem +8

    barahiyani usijiite shekh mkubwa Mimi nime kufahamu kwa sababu ya ujinga wako. ujinga ndo ulio kupatia umaarufu. na una takiwa kuwa na shukran kwa Muhammad bakari na huseni hashimu wamekufundisha sana kw mijadala pamoja na kichwa chako kuwa kigumu angalau uka punguza matusi tu

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Před rokem +6

      Taratibu usimuite muislam mwenzio mjinga ni sheikh huyu

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 Před rokem +2

      Siku nilikuwa najiona mjinga kuliko watu wote lkn nilipokuja kumsikiliza huyu bana akifasir aya ya Qur an ndo nikagundua kumbe huyu mjinga kuliko mimi

    • @salehaliy7198
      @salehaliy7198 Před rokem +4

      @@maryamalli9090 mjinga siyo tusi bali ni sifa ya mtu,mjinga ni mtu ambae hana elimu fulani au hana ujuzi wa jambo fulani,angeitwa mpumbavu hapo ndiyo ingekuwa tusi

    • @ibrahim_427
      @ibrahim_427 Před rokem

      @@salehaliy7198 Assalamu aleykum
      Kwaiyo wamaanisha mpumbavu ndio tusi swali je Qur'an ndani yake Kuna matusi ?ebu nisaidie hapo kwanza swali ikiwa mpumbavu Ni tusi je ndani ya Qur'an Kuna matusi✍️

    • @ibrahimmwilo1586
      @ibrahimmwilo1586 Před rokem +1

      Kajiita shekhe au tunamuita shekhe au wewe pia mtu wa hitma

  • @albajuntv8946
    @albajuntv8946 Před rokem +1

    Allah akuparik sheikh

  • @jaffersuleiman5417
    @jaffersuleiman5417 Před rokem +3

    Ni kweli kabisa kipozeo amekuw comedian mara mizigo ya madem kweli anachekesha

    • @wankyosmarwa3574
      @wankyosmarwa3574 Před 4 měsíci

      Kama huwajui masheikh basi acha kuongea vitu usivyojijua yaani ww unamuita Sheikh Hilall comedian kweli unamfikia Sheikh Hillal kwa elimu,swali je Mtume MUHAMMAD alikuwa hatanii watu enzi zake na watu walikuwa wancheka,kama hujui uliza sio kuongea vitu usivyozijua ,hawa ni masheikh wanajuana na wanatofauti zao usiingilie mambo usiyoyajua

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba3547 Před rokem +2

    Dr mwakaaaa,big up

  • @abuumkota5505
    @abuumkota5505 Před rokem

    Subhaana llàah,, innaa lillaah wainna ilayhir raajiun kwann mashekh mnatuchanganya haya mambo sio yakubishana mitandaoni kaeni faragha muekane sawa,, inaamaana shekh kipozeo alitunga ? Na kwa nn atunge hivi amuogopi mungu?

  • @salmafaraj6544
    @salmafaraj6544 Před 3 měsíci

    Nikweli wallahi sheikh kipozeo kabadilika alkua anamawaidha mazuri sana lkn kwasasa mmmhh sijui kapatwa na nn Allah atuongoze sote yaarab

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem

    Pole pia kwa kukwazika

  • @idrissamustafabukenya6110

    Ma Sheikh wetu musichukiyane.

    • @ophaid
      @ophaid Před rokem

      Hajaonyesha chuki, bali ametoa nasaha nzuri na kumuita nduguye.

  • @salehmdumbwa6181
    @salehmdumbwa6181 Před rokem

    Mnaongea maneno mbaya sana kuhusu waislam wenzenu

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 Před rokem +3

    Kipozeo hanaga mba mba mba... Huwa anakupa ukweli mchana kweupeee. Alafu anasema "hiyo ndio hakki, stahamili tu japo inauma". Hakuteti pembeni. Ila yote kwa yote tuachane na ushabiki kwnye dini ya Allah. Hivi mmesahau ile aya Allah anasema " Shikamaneni nyote ktk kamba moja na wala msifarikiane"??? Kuhusu kuchekesha, kuna namna nyingi za kufikisha fasihi kwa hadhira. Kama unaona watakuelewa na kuzingatia kwa njia ya kuchekesha, basi unafanya coz ujumbe wa Allah ufike. Wengine ukiwa serious sn kwenye daawa yako hawakuelewi. Tumche Allah bana. Mnatuchanganya sisi maamuma huku, msitugawe nyinyi masheikh. 🙁🙁🙁

    • @issamasanjala7413
      @issamasanjala7413 Před rokem +1

      Iyo aya isitumike vibaya ikawa sababu kuchanganya haki na batili makusudio ya aya ni watu kushikamana na haki hata kama utakua peke yako ikiwa upo kwenye haki basi wewe utakua umeifanyia kazi iyo aya na kipozeo kazi yake kuchekesha kweli na ndio maana utamkuta na wasanii kama akina mondi na hana anacho waaambia zaidi ya kuwachekesha

  • @mussamtupa
    @mussamtupa Před rokem +2

    KIPOZEO hana kundi hili jambo mm lili kua linanchanganya sana utamuona ktk shughuli za Maulidi anaenda na ujumbe anafikisha.

  • @ramadhanijohoiddi2899
    @ramadhanijohoiddi2899 Před rokem +3

    MASHEIKH MITIHANI WA NASIHI DAJAL UNAWATAFUNA KIDOGO KIDOGO BILA KUJUA WENYEWE

  • @matendondambwe9527
    @matendondambwe9527 Před rokem

    Mbona kamsifu vibaya zaidi uyo shekh ayubu kweli alisema yeye yupo sidiratul muntaa anapata kila taarifa Ina maaana alikua anajifananisha na allah ,duh subhana llah

    • @matataoneproduction5355
      @matataoneproduction5355 Před rokem

      Wewe usikurupuke sikiliza vizuri maneno acha ujinga amesema shekhe alimwambia ni kama sidratul muntaha neno kama haimaanishi ni hakika yake

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma Před rokem +1

    Shekhe msamehe watu kama hao ni wanaafiki na wanaangalia zaidi maslahi ya dunia ndio mana hawana msimamo nadhani kipindi hicho alikuwa akipata faida kutoka kwenu ndio mana alikuwa akikataa hitma sasa faida hizo hazipo anatafuta sifa kwa wanaomfaidisha insha allah tumuombee dua

    • @gharibmuhsin2450
      @gharibmuhsin2450 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 Před rokem

      Kaajua ukweli ndio kafuata hapo zamani alipotea kama wasio nyua mkino wakati wa dua
      Bihisnil hatima yaa ALLLAH

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 Před rokem +4

    Hakikia huu ni msiba mkubwa katika Dini takatifu MASHEKH KUJIBIZANA KATIKA MITANDAO ACHENI. TUMIENI VYOMBO VYA KIDINI KUWEKANA SAWA NA KUFIKISHA DAAWA
    DINI SI BIASHARA KUTAFUTA WATEJA. NIMEUMIA SANA ACHENI.

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Před rokem

      Yaani wewe acha tu mitandao imekuwa chombo Cha majibizano msiba huu

    • @mohamedothman5792
      @mohamedothman5792 Před rokem

      Mitandao ni njia mojawapo ya kuwasilisha ujumbe. Ukweli usemwe ili mbivu na mbichi zijulikane. Lengo sio wao ni sisi wafuasi tunaojifunza kutoka kwao wanazuoni.

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Před rokem

      @@mohamedothman5792 lengo sio sisi lengo ni wao wanaojibizana huwezi kupata elimu sahihi kwa wanazuoni Kama hawa tafuta mwalimu darasani tusome

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Před rokem

      @@mohamedothman5792 na sio mitandao. Mitandao hutumika kuongeza taaluma tu na sio kutafutia elimu

    • @mohamedothman5792
      @mohamedothman5792 Před rokem +1

      @@maryamalli9090 ukichafuliwa mtandaoni inabidi ujisafishe hukohuko mitandaoni ili wanaokuheshimu wajue udhaifu uko wapi. Akikaa kimya mana yake kilichosemwa kuhusu yy ni kweli.

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 Před rokem

    Asalm alykum warahmatulah wabarakatuh ndungu waislm mtu anapo potea hukerebishwa ....kwa hio mkamilifu wetu Ni Allah ☝️Kama sheik kipozeo Yuko Sana ila yeye n mwanadamu akipotea tunampa nasaha nzuri na c yy tu soteñi....watu wapeane misamaa... Aslm alykum 🤝

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před rokem

    ,za kiislam ikiongozwa Ansari NI,za zulma kitapeli wanufaika wao haiwasaidi waislam zaidi kuwazulumu

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 Před rokem

    Omeongea point SANA

  • @InspectorAmarSaxena
    @InspectorAmarSaxena Před rokem +2

    Sio vizuri na haipendezi kumtukana muislam mwenzio, au kumuita kurafi au kafir.

  • @peteswalehe236
    @peteswalehe236 Před rokem

    I think instead of putting these words into social media... Kindly talk to your offender and forgive each other. A better way than showing us this

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 Před rokem +1

    ASSALAM ALAIKUM WA RAHMATULLAHI WA WABARAKAATUHU. Tupeni nasaha umma unaangamia. Tufunzeni masheikh, Hii haileti picha nzuri upande wa pili.

  • @mohdmohd2550
    @mohdmohd2550 Před rokem +2

    Masheikh cku hiz hua mnaboa som tymz, kazi yenu kusengenyana tuuu hamjui kua mnapata dhambi au .......

    • @hamzayusuf1894
      @hamzayusuf1894 Před rokem

      Kama amekuwa mtu wa suna sasa amekuwa mtu wa faradhai ni

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 Před rokem +1

      😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄wanasengenyana

    • @mohdmohd2550
      @mohdmohd2550 Před rokem

      @@maryamalli9090 Ndio sas wew unaonaje kila mtu anamsema mwenzie

    • @sharfumbarouk6168
      @sharfumbarouk6168 Před rokem

      Tena masengenyo yanayokera Ni dhambi Tena Ni dhambi maana Jambo la busara ilikua apigie simu au hata kumtafuta uso kwa macho angefanya Jambo la maana Sana Tena angelikua ametumia busara

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před rokem

    ,haki anaijua e 18:42

  • @jumaswalehe5085
    @jumaswalehe5085 Před rokem

    Kiukwel huy shekh kipozeo tunamshangaa sana yani mawaidha yake yako nje kabisa na uislam sijui elimu yake alisomea wapi na alisomeshwa na nani kwasababu anafanya mambo ya ajabu sna lakin kwa bahati nzuri cc waislam wa Zama iz tunajitambua tunajua nani ni shekh na nani ni mbabaifu.wasia wangu kipozeo anahijika kupewa nasaha juu ya vichekesho vyake tkt dini ya allah

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem

    Kumchekesha mwenzio ni sadaka wacha fitina kwani nani kamwambia ili uwe shekh unune tu muda wote utishiye watu tunaambiwa tuishi kama tutakaa milele na tuishi kama tutaondoka sasa hivi maana Kati na kati

  • @yussufsalim
    @yussufsalim Před rokem

    Kwa kweli uislamu haupedezi au haukufundisha kusengenyana au kuabishana hadharini .muislamu mwenzio ukihisi amekwenda kimakosa ni vizuri kuitana pembeni kwanza mkawekana sawa na kuelimishana hasa kwenu nyie mashekh kuliko kutoleana aibu zenu ni sawa na kuvunjiana heshima zenu kama nyie ni maaalim wakubwa ni sawa na kuwafundisha maovu waumini wenu kwa kuadhirishana nyie wenyewe mnaojiita mashekh

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před rokem +2

    Mashekhe mnatusikitisha sana baada ya kukhubiri dini mnatumia media kwa kushambuliana mnaenda wapi? nasi je tumsikilize nani sasa

  • @matendondambwe9527
    @matendondambwe9527 Před rokem +2

    Tutambue ipo siku itafika tutajuta wachangiaji na watoa mada allah atuongoze

  • @wastarayussufu9463
    @wastarayussufu9463 Před rokem

    Kipozeo allah akulipe kheri haki umeiona alhamdulillah hawa mawahabi wanajiita watu wa sunna waongo watupu na kujiita answari ni uongo answari ni watu wa madina ni wasi na khazraji sio nyinyi mawahabi

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 Před rokem +5

    Sijawahi kumpenda Kipozeo. huwa simsikilizi kabisa tangu nione kuwa all he does ni kutaja viungo vya wanawake na watu wanacheka tu.

    • @wankyosmarwa3574
      @wankyosmarwa3574 Před 4 měsíci

      Sasa kama humsikilizi we umejuaje kama anatajaje viungo vya wanawake,Acheni kuwasema vibaya masheikh wakubwa,HILALI SHAWEJI MAKARANI/KIPOZEO huyo ni sheikh mkubwa sana,Allah amuhifadhi na amzidishie sheikh Kipozeo

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 Před rokem +3

    ina onekana kisa alicho toa kipoozeo. ni swahihi kabisa haja unda kwa mujibu wa maelezo ulio yatao. una sema misikiti ya kighurafi, uta achaje kumtusi shekh. hakuna ulicho fanya ila ni kutilia nguvu tu maneno ya kipoozeo. nibora unge nyamaza tu

    • @rizikilukali1558
      @rizikilukali1558 Před rokem +1

      Kwakweli amejithibitisha na amethibitisha maneno ya shekh kipozeo

    • @rayasalum3044
      @rayasalum3044 Před rokem

      Shekhe kipozee more life NAmpenda kwa ajili ya allah

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 Před rokem +5

    Kipozeo yupo sahihi ,wewe hakuna kitu ,imekuchoma ndio maana umejibu ,kichaa wewe

    • @inamxmdsheekh1978
      @inamxmdsheekh1978 Před rokem

      Tafuta elmu uepukane na maradhi ya jahli

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 Před rokem

      SubhanaLLAAH. Shabano ALLAAH akuongoze wewe na sisi. Kuwa na adabu na shekhe. Ameen

    • @mohamedothman5792
      @mohamedothman5792 Před rokem

      Waislamu wapenda bidaa, Kipozeo sio shekhe ni comedian. Mtu anachochea zinaa eti anapenda 'Mizigo'

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před rokem +1

      Kipozeo siku hizi anaboronga sana,.
      Kipozeo ndio huyo huyo aliyemwambia Mzee Yusuf kuimba inafaa

    • @ZuleikhaAbdallah
      @ZuleikhaAbdallah Před rokem

      Upo sahihi kabisa sheikh hilali shaweji ni level kubwa kabisa

  • @KassimKassim-wv8db
    @KassimKassim-wv8db Před 4 měsíci

    Napata huzuni sana nikiona masheikh tunaowaamini kutumia media kujibu vitu ambavyo si kuendesha dini yetu mbele.

  • @sudisalehe192
    @sudisalehe192 Před rokem +5

    Comedian za kipozeo achana nae endelea kupambania sunna

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před rokem +1

    Mm huyu kipozeo nilkua namkubali sana lakini tokea nimuone kwenda kufungua kipindi kwa daimond sikuwahi kumuelewa tena.

  • @majondejohali5259
    @majondejohali5259 Před rokem +1

    Wengine piteni musichangie pls

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 Před rokem +1

    Kipozeo ni Sheikh mkubwa sana na mwenye upeo mkubwa wa elimu ya dini,
    Yote aliyoyasema ni kweli na sisi tunamuamini na tunafata mafundisho yake.

  • @thegreatmind9178
    @thegreatmind9178 Před rokem +1

    Sheikh kipozeo ni comedian

  • @ramadhanimasalanga6310

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatu'hu
    Mnachofanya ninyi wenye ilmu ya Dini sio sahihi na Allah hapendi
    Ni kwamba kila mmoja wenu ameshindwa kum'face mwingine na kusema sheikh hapa umekosea? Si ndivyo Uislamu unataka hivyo?
    Sasa wa mwanzo anamsema mwinzie kwenye social media, na mwingine anamjibu mwingine kwa social
    Sasa huku si kuchambana huku ninyi masheikh? Mnatufundisha nn sasa?

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Před rokem

    Unayemkosoa Kipozeo mtandaoni unafanya kosa kama yeye,
    Nawashauri mtafute jukwaa la mazungumzo kusahihishana maana njia hii mnayotumia inaudhi na sio njia sahihi ya kuondoa munkari

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 Před rokem +3

    Wallah me sielew hahaha najionea taabu tu 🤣🤣

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 Před 2 měsíci

    Kipozei nimemuelewasana yeyealikuwa anaongea hukuanaweka utani kwahiyo sheikh salim barayihan wala usichukie kwani Kipozeo nimtu wautanisana

  • @ibraheemqassim3018
    @ibraheemqassim3018 Před rokem

    mashekhe muache unafik na nyiny mnauhaibisha uislam kuchambana katka mitandao ni ujinga mmekosa sifa za kuwa warith wa mitume

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před rokem +2

    Kipozeo sio mjinga tu bali ni mpumbavu kwenye dini

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya4178 Před rokem

    Jalibuni kusoma hata shule za kawaida jamani maana mnayobishana hamfai kuwa maarufu kiasi hicho mm nazani nyinyi ni waigizaji huko kwenye dini mnavamia tu muogopeni mungu

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze Před rokem +1

    Kipozeo shee wa
    Mizigo miss bantu😁 aache kula mirungi

    • @sogoramwinshekhe1464
      @sogoramwinshekhe1464 Před rokem

      Hata wewe watu wanazijuwa aibu zako lakini wa naona aibu kuzisema

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Před rokem

      @@sogoramwinshekhe1464 unapaswa kutenda unachohubiri, SI kama wale wasemao fata maneno yng usifate vitendo vyangu,"

  • @mylastwords4you
    @mylastwords4you Před rokem

    Assalam aleykum chunguni coments kabla ya kuandika hakika malaika wanarekodi matendo yetu tuwaache viongozi wetu watufundishe tutafute umoja kwa wote. Namuomba Allah atuongoze ummah muhammad.

    • @ramadhanijohoiddi2899
      @ramadhanijohoiddi2899 Před rokem

      Apo kinachotakiwa wamenasa na mitihani ya masihi DAJAL MITIHANI yake ni kuwagombanisha kati yao na allah

    • @alibilali9944
      @alibilali9944 Před rokem

      Hapo hakuna mafundisho, bali kuna mzozo baina ya hawa wawili, ndio cheikh anatuletea na kukiuka mafundisho, mtu harekebishwi kupitia mitandao

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 Před rokem

      Mtu kuchekesha nitatizo kwenye Dini mbona watu wengine anasikiliza kupitia kuchekasha tatizo liko wapi

    • @mtumwasamaki6911
      @mtumwasamaki6911 Před rokem

      Upumbavu mtu hapana busara na hekma ya elimu ya dini

  • @saiditara7235
    @saiditara7235 Před rokem +8

    Sijui ni kwanini Answari Sunnah wengi humzingatia mtu kuwa ni mtu wa Sunnah kwa kuvaa nusu muundi, au kufunga na kufungua kwa mwezi wa popote, au kufuga ndevu tu, au kupinga Maulid na Khitma kama alivyosema mzee hapo! Hili ni tatizo sana, embu watu wasome tena kwa umakini kitabu ( أصول السنة) Cha imam Ahmad waone jinsi anavyosema kuhusu mambo ambayo mtu akiliacha hata moja tu hawi ni katika watu wa Sunnah.
    اللهم اهدنا إلى سواء الصراط

    • @mirajihamza2892
      @mirajihamza2892 Před rokem +2

      Waislamu muogopeni Allah msitoke maneno makali juu ya wenzetu waislam,,,hakuna aliyekamilika tujitahidi kujifunza haki kupitia mashekhe zetu,,wote ni mashekhe ila hawakosi mapungufu kama ilivyo kua sisi pia,,,na ilivyo kawaida kwa wanadamu wote

    • @shamsuddin4582
      @shamsuddin4582 Před rokem

      Okay fyn tutajie MTU wa Sunnah ni yupi sas ikiwa yupo nje ya hayo

    • @SheikhSalimBarahiyan
      @SheikhSalimBarahiyan  Před rokem +4

      Sio kweli Anwaru Sunnah huzingatia Tawheed kwanza kabla ya chochote .

    • @adamh1751
      @adamh1751 Před rokem +1

      @@shamsuddin4582 kasome Markaz ibnu Taymmiyah utajua ukweli usalafi.

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 Před rokem

      @@mirajihamza2892 Hayo ni miongoni mwa ishara na dalili za Kiama.
      Mtume al ishabashiri kwamba miongoni mwa ishara na dalili za Kiama ni ; (1) "Zitafika Zama (ndo zimeshafika hizo Zama/Zamazetu hizi) Umma wa Kiislamu utagawanyika Makundi Makundi".he tunashuhudi kwa Waislamu tunavyozidi kugawanyika kila siku !
      (2)Kadhalka mtume SAW alisema kwa kubashiri; " zitafika Zama Wasomi, Maulamaa/Wana wa Zuoni wa Kiislamu watakuja kuuharibu Uislamu, na zimeshafika hizo Zama, tunawashuhudia baadhi ya Maulamaa/Wasomi/Wana wa Zuoni wanavyogawanyika na kukatana mapande kila Uchao na Uchwao Wasomi,/Wanawazuoni/Maulamaa wa Kiislamu watauharibu/wataubomowa Uislam kwa kutafuta maslahi binaf ya Dunia na kuiwachabAkhera kwa kujiona bora zaidi kuliko mwenzake/sandals, vitatawala Sifa/Riha (Majigambo) nk yasofaa ktk Uislamu

  • @ruu6592
    @ruu6592 Před rokem

    Aibu

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Před rokem

    Asalaam Aleykum Sheikh si kwa ubaya lkn ningependa hii COMMENT ninayo andika hpa uisome plz juu sisi ndio tunangoja nyinyi mtufundishe dini n kuishi n watu na nyinyi ndio mnaongoza kuanikana kw mitandao n mjue mitandao haifutiki jaribuni mrekebishe tafadhali; Ungefanya jambo la busara sana ungemtafuta ukamwelezea tu bila ya kumueka hapa CZcams pia yeye ni binadamu km mimi tu n pia angekuelwa zaidi kuliko vyenye umepost hapa jamani mnatuonyesha nini jaribu kustiriana hapa hii video haifutiki kuambiana kupo na yeye ungemfuata ukamwelezea angekuskiliza hujafanya makosa kumwelezea ila umekosea kumwelezea kwa CZcams

    • @sharfumbarouk6168
      @sharfumbarouk6168 Před rokem

      Yaani ww ndugu yangu mawazo yako km yangu vile, Kuna haja gani ya kuekana mitandaoni jamani mnapoteza thamani ya DINI

  • @al-hidayahonlinetv3447

    😭

  • @salummsei4725
    @salummsei4725 Před rokem

    Kwa kipozeo ataangamiya tu kwakuwa analeta masihala katika dini ya allah

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq Před rokem

    Hawa Mashekhe Wanafiq kazi kukosowana wamekua wasanii hawana kazi kukosowana

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před rokem

    Ayo Mambo yapo malindi Kenya

  • @user-mi1wc1vo7k
    @user-mi1wc1vo7k Před 8 měsíci

    Shekhe kuwa na HEKMA !!!Kwann haukumfuata na kukaa chin nae,siyo. Uislamu huo.

  • @ahmedrageahmedrage9134
    @ahmedrageahmedrage9134 Před rokem +2

    Yaniii nyinyi wazushiii

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021 Před rokem +2

    Msimamo wa Hilali Shaweji juu ya khitma upo wazi mpaka leo Kipozeo Hakubali khitma usimzulie

    • @salummsei4725
      @salummsei4725 Před rokem +1

      Wewe utakiwa na tatizo la akili hujitambui mchangiaji

  • @matolasalimo6630
    @matolasalimo6630 Před rokem

    Shee kipozeo sio comedian hata kidogo, ila nyinyi watu wa sunna muna wivu2 baada ya kumpongeza kipozeo mawaiza yake.

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 Před rokem +3

    Kipozeo kama ameanza kwenda kwenye maulid basi kapotea

    • @ahmadmadaai1357
      @ahmadmadaai1357 Před rokem +1

      Umepotea ww bila ya maulid uwalii utausikia t

    • @kadizosea6250
      @kadizosea6250 Před rokem

      Angeenda disko ungesemaje?au unafata mkumbo choko ww

    • @abuuayman804
      @abuuayman804 Před rokem

      Kama mnaipenda dini acheni maneno machafu Allah atatupa uongofu,,lkn kwenye matusi ndo mtaangamia kuweni na subra na tumuombe Allah atuonyeshe haqi iko wap

  • @abuqusay8912
    @abuqusay8912 Před rokem +1

    Uzayuni wa Uwahabi

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 Před rokem +3

    Muache kipoozeo sio daraja yako, huyo mtu mwengine umuingii kwakila kitu

  • @mayangeramadhani8497
    @mayangeramadhani8497 Před rokem +6

    Ukweli huwa unachomachomaaa ....

  • @sadasuleiman2404
    @sadasuleiman2404 Před rokem +1

    Kipoozeo muongo sana

  • @nasirabdullah6227
    @nasirabdullah6227 Před rokem

    Shekhe anaegombana na mwenzie huyo anamatatizo ajitathmini vizuri

  • @twix1404
    @twix1404 Před rokem

    Sasa hapo umepanic nini wakati ungeweza kumwita pembeni ukamwambia, ndio uukwana kama kweli wewe ni sheikh au umechukua kwasasabu ametoka kwenye Answar maana uungwana kama kakosea hakuna mkamilifu na wewe umeonekana mjinga tu.

  • @lugomemtamayaye9508
    @lugomemtamayaye9508 Před rokem +2

    Kipozeo ni mnafiki,

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226 Před rokem

    Huyo nimchekeshaji anafahamika

  • @fatmashariff2518
    @fatmashariff2518 Před rokem

    Ingekua Bora kwako kabla hujajitokeza kwe mitandao umtafute muonane uzungumze nae .Sheikhe umeharibu kidogo. Lazima ukubali

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před rokem +2

    sasa apo kasema uongo.vipi? ni bora ungenyamaza tu barahiya

    • @abuuayman804
      @abuuayman804 Před rokem +1

      Kuweni na hikma hii nibdini msidharau watu ni vibaya zangu ni nasaha tu

  • @salimbaalwy9388
    @salimbaalwy9388 Před rokem +1

    ALLAAH YAHDIYNAA

  • @trayoversion
    @trayoversion Před rokem +1

    Hizi dini za kikoloni tulizoletewa zitaendelea kutugawa mpk tutakapo amua kurudi kwenye ukweli wa Asili yetu

    • @SheikhSalimBarahiyan
      @SheikhSalimBarahiyan  Před rokem +2

      Asili yenu ni Ipi ?

    • @trayoversion
      @trayoversion Před rokem

      Asili yako wewe ni Babu yako mzaa Babu wa Ma babu zako ambae mwenye umri kama mtume Muhammed ila haumjui na hautaki kumjua na umeamua kumtakia kheri mtu mwingine kabisa na kumsahau huku ukikaririshwa mababu wa kikoloni ndio watakatifu kuliko Babu zako wewe
      Hakuna Mwarabu atakuja hata siku moja kuwatakia kheri Mababu zako ila wewe ndio umekua mstari wa mbele kuwatakia kheri Babu zao kwa kigezo cha pepo
      Leo hii kugawanywa huku imekua kama kituko kwenu mambo kama haya mnayofanya kwenye mitandao ni kama mnajitukana wenyewe mambo ya kukaa wawili kuyamaliza mnayaleta mitandaoni kila mtu akijiona ndio yupo karibu na Mungu kuliko mwenzie

  • @mdoekibai3991
    @mdoekibai3991 Před rokem +1

    Alikuwa bado hajasuma lkn badayakusoma ameelewa ndomana kakubali ila ww kweli ni waharam

  • @kadizosea6250
    @kadizosea6250 Před rokem

    Kama mwanaume mvae live mbona unajifichaficha mm namkubali sana sheikh kipozeo

  • @complex7582
    @complex7582 Před rokem +2

    Faten daawa Sarafi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před rokem +1

    Ni kweli angejiunga na akina joti na masanja

  • @allykisuda4568
    @allykisuda4568 Před rokem +1

    Mirathi ya mtume ilikua ni elimu tu, na wala sio mnachokifanya,

  • @romkasmabdall351
    @romkasmabdall351 Před 10 měsíci

    Huwezi kushindana na kipozeo ni mwamba na pia namkubali mnoo

  • @dijjahbeybe5096
    @dijjahbeybe5096 Před 8 měsíci +1

    Acheni bidaa'h

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 Před rokem

    Kwakweli huu ni ujinga na upotovu kwetu sisi maamuma maana hatujui nani wakumuamini, watu mnao jiita masheikh mnasutana kwenye mitandao!!sasa kama mna tofauti zenu kwanini msiende BAKWATA?? mbona mnatuonesha usanii kwenye mitandao au ndio mnatafuta kick??

  • @SWABRASWALEH-nc2lf
    @SWABRASWALEH-nc2lf Před 5 měsíci

    Hio maana ya khurafi ni nini? Mpaka waislamu waitane majina kama hayo

  • @abdulazizmapendano4692
    @abdulazizmapendano4692 Před rokem +2

    Acheni na ma sherhe nyinyii tafuteni elimu!!

  • @ridhwaniyassir3579
    @ridhwaniyassir3579 Před rokem

    Ni comedian msamehe

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před rokem

    Sasa huu ni UISLAMU gani wa kujibiana kwenye mitandao?.

  • @mohamedamini4268
    @mohamedamini4268 Před rokem

    Amekaa nawewe ukujue tabia yako kaona ubaguzi ulio nao , ukweli umedhiri usitugawe please

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija7272 Před rokem

    Sheh nyinyi ni watu wakubwa kama sheh kateleza inapaswa.uonane nae maana hakuna alie kamili ila hata yeye kipozeo nayeye ajaribu kuchunga maneno hayo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před rokem +2

    Kipozeo njaa inamponza