MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY | SEHEMU YA TANO |Muhammad Bachu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 394

  • @aminayusuf3051
    @aminayusuf3051 Před rokem +6

    A blessed son from a blessed father may Allah bless you muhammad bachu

  • @mselemk23
    @mselemk23 Před rokem +21

    Natamani huu mjadala wa ki-elimu uendelee mpka mmoja aseme wazi mbele ya umma kwamba mimi sikuwa sahihi ninaomba radhi na kuomba maghfira kwa Allah (sw)

    • @saidside-xq8ch
      @saidside-xq8ch Před rokem

      Mijadala ipi hebu kasomeni Dini muijue vizuri Hii mijadala watu wanaitumia kwa maslahi yao kuendesha na kukuza kipato hapa You tube nakukuza majina Yao ya urithi tu

    • @saladinkamis7814
      @saladinkamis7814 Před rokem

      Hii mijadala haifai kufanywa kwenye mitandao.Ubora wakutane masheikh wa mirengo tofauti wakae kikao kila mmoja alete dalili zake .wakielewana sawa la sivyo kila mtu afuate kwake.Hii inaleta mvurugano na kufarikisha umma na kuleta chuki na uhasama baina ya waislamu.Tofauti iliyopo ni lugha na itikadi.Watu wa banii israel walipovuka bahari ya sham waliabudu kigombe mbele ya na Nabii Harun akatulia akihofu kuwafarikisha. mashekhe wanafaa wavumiliane waheshimiane wote kweli wamesoma sehemu tofauti ibaki hivyo kwa umoja ya uislamu.maadui wetu wanatucheka .Tukipigana sisi kwa sisi tunampa mwanya adui wetu kutumaliza

    • @ismaelhussein2112
      @ismaelhussein2112 Před 11 měsíci

      InshaAllah jumapili hii yakesho kutwa mombasa itakuwa mjadala inshaAllah haki itasmama

    • @fatmasalim7132
      @fatmasalim7132 Před 10 měsíci

      Na wala asijihisi atakuwa mjinga bali kukubali kushindwa kwa ajili ya kuokoa nafsi yake na waislamu wanaokuamini ni kheri kubwa hiyo!

  • @mudybeka6698
    @mudybeka6698 Před rokem +12

    Sheikh Muhammad watu wabidaa wasiachwe wakileta uzushi wao...wanatupotezea ndugu zetu hawa masheikh wakibidaa....wanasababisha mpaka wengine tunaoneka vituko mbele ya wazizi wetu...watu wabidaa ndio sa7bu ya ushirikina
    Allah awasimamie masheikh wetu
    Kassim mafuta,Muhammad bachu,sheikh kishiki ,baraiyan na wengine wote mnajitahidi kubainisha shiriki na bidaa...Allah awajalie mwisho mwema

  • @aliabdalla6998
    @aliabdalla6998 Před rokem +21

    Allaahu Akuhifadhi sheikh M Bachu, Akujaalie ufanye yote hayo kwa kutaka radhi zake Allaahu, Akuepushe na ujbu, riaa, na hasad. أمين

  • @fundibombazanzbar5717
    @fundibombazanzbar5717 Před rokem +12

    Bachu niskilxe unajua unafanya jambo kubwa sana katka hii Dunia kwasab sijaona Kaz kubwa kama kuondoa shirki

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +5

    Hii itakua ni darasa kwako wewe alhatimy na kwa watu mfano wako, na kwa wale wasaka tonge wanao taka kumchafua Shekh Muhammad Bachou Allaah akuhifadhi Shekh.

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před rokem +10

    Sheikh upo wazi maelezo yako. Unajua kuelezea kwa mifano mizuri. Jazakallah million kheir

  • @saidfhamad
    @saidfhamad Před rokem +14

    Sheikh Muhammed Bachu Wallah nakupenda sana kwaajili ya Allah na Allah akupe umri mrefu, elimu na Mwisho mwema!!

  • @hadimohammed8414
    @hadimohammed8414 Před rokem +9

    Huyu ndugu al-hatimy na wafuasi wake wataelewa tu insha'allaah biidhni-llaah..
    Tunakupenda shaikh wetu Muhammad nassor bachu na tuko pamoja nawe katika kutufunza na kutuelewesha dini yetu ya kiislamu kwa ujumla wake.

  • @omarally6819
    @omarally6819 Před rokem +26

    Shekh Muhammad Bachou bado kauli yangu kwa wingi ni kukuombea umri mrefu wenye kheri kwako na kwa Ummah wa Kiislamu kiujumla, na nakuombea Afya njema na Nguvu ya kuisemea Dini ya Allaah Azza Wajalla
    بالعلم والحجة والبرهان.
    Masufi wameharibu sana na Mashekhe zetu kuna kama junaha fulani hivi wanaihisi endapo watasimama nao na kula nao sahani moja kwa kila hatua waipigayo ya kufanya uzushi na ushirikina.
    Allaah Mtukufu tunamuomba akulinde na hasad, shari za watu wabidaa na waovu wote kiujumla.

    • @yussuphsaleh2165
      @yussuphsaleh2165 Před rokem

      Amin

    • @abujole3992
      @abujole3992 Před rokem

      Ww unamjuwa mtume wako kwanza

    • @abujole3992
      @abujole3992 Před rokem

      Ikiwa Kwanzaa u amjuwa mtume wako Mohamed basi Kwanzaa Soma siira ya mtume utajuwa mtume amemsomeya nani duca katika wahabi ni watu ahli suna

    • @abujole3992
      @abujole3992 Před rokem

      Mtume ame wa apiza wahabi ahlu najdi ndiwo mawahabi

  • @kitosio
    @kitosio Před 10 měsíci

    Kazi Ya Bachu NI huruma kwenu mnapotea anawaongoza. Lake limeisha kufukufikishieni Ujumbe. Hamna AKILI kuwazidi waliopita

  • @mirajimsigiti7317
    @mirajimsigiti7317 Před rokem +9

    ALLAAH AKUHIADHI SHEKH M.BACHU AMA KWA HAKIKA ALLAAH AMEKUTEUA UJE UWAFUNDISHE UMMA,MIMI NAKUOMBEA KWA ALLAAH

  • @user-be7cx3oj3o
    @user-be7cx3oj3o Před rokem

    Jazzaka llahu kheira shekh wetu marhem katuwachia tunda zuri allah akuhufadhi, usiwatolee nafasi makhurafi, nawasio kupenda kzi wanao

  • @albassammusaalbassam7487

    Hawez elewa huyu Al hatimiy amelewa uzushi analeta taawili nyingi kutetea uzushi na shirki wallah Al mustaanu

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188

    Mabrouk sheikh muhammad bachu, usimuache huyo khurafi mpe ilmu wanalazima wapotoshe watu kwa maslahi yao wapate tonge hao

  • @abdulazizabdallahsalim8392

    Maa shaa Allah sheikh Bachu nakuunga mkono 100% na nimependa hiyo Nahau nimefurahia sana Allah akulipe kila la kheir na usichoke kuwafahamisha na kuwafundisha hawa sufiyah Kwa ajili ya kutaka Radhi za Allah

  • @alial-amoudy4399
    @alial-amoudy4399 Před rokem

    MashaAllah tabaarakaAllah
    Nakupongeza Sana.
    Allah akuhifadhi na akuzidishie ilmu.
    Huyu Hatimy anakimbia mada ya nyuma anaruka nyengine.
    Lakini usichoke kumweka sawa manake wanapotosha waislamu na wao kujipa vyeo na utukufu usiostahiki.
    Shukran ustaadh

  • @user-qo3mz3ro9r
    @user-qo3mz3ro9r Před 25 dny

    Tunamuomba Allah atukinge na bid-a'

  • @mkude
    @mkude Před rokem +6

    MAASHA ALLAH, Sheikh Muhammad Bachu ALLAH akuhifadhi na akupe umri mrefu, umeeleweka vizuri sanaa.

  • @suleiman5257
    @suleiman5257 Před rokem +8

    MashaAllah bacho Allah Akuhifadhi
    Unafafanuwa Kwa makini
    Nalisema kitambo
    Mohmed Alhatmy
    Afafadhali unyamazi au utaadhirika
    Zaidi.

  • @osmanabuu7989
    @osmanabuu7989 Před rokem +4

    Allah akulipe makubwa sheikh Muhammad

  • @husseinilyas8570
    @husseinilyas8570 Před 11 měsíci

    Asalaam Alaykum sheikh Mohammed bachu allah akupe umri utakao nifaisha wa Islam kwa imu yako

  • @kitosio
    @kitosio Před 10 měsíci

    Mkizidi Msijejuta ALLAH NATUONA MNAHARIBU DINI YAKE

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 Před rokem +1

    Shekh Al-Hatimiy Acha ukaidi usitetee jambo ambalo tayar shekh mwenzako Muhammad Bachu anakupenda kwanza anakufahamisha wewe umeshikilia umfundishe lugha ya kiarabu mfuate huyu kijana wetu Muhammad anafahamisha na anafahamika vizur

  • @dengepandu9734
    @dengepandu9734 Před rokem +4

    Inshaallah sheh muungu akuongoze uwenabusara kama ulionayo hapa muungu amlazepema babayako nawe muunguakuongoze hivindivyo tuvotaka sisi wafuasiwenu mashehzetuu

  • @user-pq7bf7sz2h
    @user-pq7bf7sz2h Před rokem

    Yeye ndo kapewa cheo Cha kutetea,,Wacha sisi Hadi mitume wote,,hua Shafii ya bachu

  • @funnysmile8666
    @funnysmile8666 Před rokem +2

    Ala akuhifathi sheikh najua unacho jaribu kutuelewesha waislamu ni wachache watakuelewa ila Allah akulipe ila tam us tuu Kuna watuu tu nakupenda na tunakufatilia kwaumakinii na una chozungumza unaeleweka it' make senc

  • @hasanadamhasanadamally
    @hasanadamhasanadamally Před rokem +1

    Jamani tunasoma hapooo mm nimekumbuka taaluma alkaanuun, mubtadau walkhabar mudhwafu wamudhwafu ilayhi dhwamaairuljarri tunasomaaaa MAASHAALLAH

  • @allydaud117
    @allydaud117 Před rokem +4

    Allah akulinde akuhifadhi akuzidishie elimu akupe afya njema uzid kutunufaisha na sisi. Endelea kushusha nondo mpk wanyooke

  • @WizzyWizzy-bg7xc
    @WizzyWizzy-bg7xc Před rokem

    Allah akuhifadhi sh.wetu kk yetu! Achana nao weuoni wanavyo ongea kwa jazba.

  • @kaykastro9302
    @kaykastro9302 Před rokem +4

    Shukran Ustadh Muhammad Bachu !!! Allah Akuhifadhi. viboko wape vya elmu na utunufaishe sote Jamii ISLAM. HUYU ANATHIBITISHA 100% SIMSOMI WACHA AKAPIGE MTEE KWENYE MAULID 😅😅😅

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 Před rokem +11

    Allah akuhifadhi Muhammad Bachu.

    • @Muhammad_Nassor_Bachu_.
      @Muhammad_Nassor_Bachu_.  Před rokem +1

      @mahfoudhcalender2747 Ameen.

    • @hamadali3231
      @hamadali3231 Před rokem +1

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. sheikh Mohammed bin Bachu tuna kuomba umsikilize khalfa Mussa wa Twarikatul Qadiria anavyo ongea maneno ya upotoshaji

    • @abdallahomarabdallah7058
      @abdallahomarabdallah7058 Před rokem +1

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. sheikh tupo mapoja na ww mpaka waelewe

    • @abdulrahmanmussa4479
      @abdulrahmanmussa4479 Před rokem

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. piga nyundo sheikh langu wataelewa tu taratibu

    • @mkude
      @mkude Před rokem

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. Tunakuoenda kwa ajili ya ALLAH. Namuomba ALLAH atupe mwisho mwema

  • @awadhhussein6217
    @awadhhussein6217 Před rokem +2

    Allah akuhifadhi sheikh Al Faadhil Muhammad Nasor Bachu.

  • @amourmakame9795
    @amourmakame9795 Před rokem +7

    ASALAM ALAIKUM, SHEIKH MUHAMMAD NASSOR BACHU. ALLAH AKUHIFADHI.... TUNAKUOMBA SHEIKH WETU MFUATE HUKO HUKO ATA KM HATAKI,,,, MVIZIE ILI TUJUE MOJA

  • @rashidwesonga7475
    @rashidwesonga7475 Před rokem

    Allah akupe umri sheikh wangu

  • @kitalukitalu6303
    @kitalukitalu6303 Před rokem

    Alhatimy bachu hawumuwezi hiko chuma ndugu naomba pumzika tuu

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 Před rokem +5

    Jazakallah sheikh! Tupo tunamsubir tuone atarukia mtawi gani awamu hii

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před rokem +4

    SHUKRAN KWENU SHEKHE. MWENZIO KAAMUWA KUWA UBAO WASISI KUJIFUNZIA BASI NAWE UTUMIE VIZURI UBAO HUU TUPATE FAIDA NA USITOKE KATIKA MSTARI. JAPO KUNA WATU WATAONA NI USHINDANI KUMBE NI NJIA NZURI KUTUFAHAMISHA PENGINE HAYA TUSINGEYAPATA BILA YA KUPATIKANA SABABU. SHUKRAN KWENU NYOTE TUKO PAMOJA. NIKUOMBE TU NA DARSA ZINGINE UTUPE SISI TUNAFATILIA ZOTE. SIO KAMA WALE WANAOFATILIA MIJADALA TU JAPO INATOA FAIDA KWA WAJUZI. NA INAONEKANA NI TABU KWA WASOJUA WANAONA NI MALUMBANO BADALA YA KUJIFUNZA KITU.
    MWISHO KABISA NIKUOMBE DARSA LA QADARI MLANGO WA QADARI MAANA UMEKUA TATIZO KUUELEWA. WATU WANAFANYA MAOVU WAKITEGEMEA QADARI KAMA NI WAPEPONI BASI QADARI ITAMTANGULIA KARIBU NA KIFO CHAKE ATATENDA MEMA AINGIE PEPON. NA MJA MWEMA QADARI IKIMTANGULIA KAMA ALIANDIKIWA MOTON BASI ATAACHA MEMA NA KUA MUOVU AINGIE MOTONI.HIVYO NDIVYO WANAVOICHAMBUA HIO HADITHI SASA TUNAOMBA UTUPE DARSA HII VIZURI .

  • @mawaidha386
    @mawaidha386 Před rokem +6

    Al akhi Muhammad bachu Allah akuzidishie afya na uzima wallah tunanufaika sana Kila tukikusikiliza ... Na daawa unayo ifanya ni daawa kubwa Allah akulipe Janna tul firadaus ... Amiin

    • @hasanadamhasanadamally
      @hasanadamhasanadamally Před rokem +1

      Hapo nimekumbuka khabar na mubtadau mudhwafu wamudhwafu ilayhi na dhwamairuljarri dah kijana yupo vizuri anafukua taaluma ya nahau, mashaallah.

    • @abdilahiriyami
      @abdilahiriyami Před rokem

      Nyinyi mashehee munaipelekaa wapi dini ya alhaa waislamu hawatakiwi kua namnaa huu muogopeni munguu

    • @mkude
      @mkude Před rokem

      @@abdilahiriyami jitahidi uwe unaandika vizuri, kama hujui uliza ,na kusoma dini ni muhimu, dini ya alhaa hii unekosea andika ALLAH kwa ufasaha

  • @abdallahmohammed6079
    @abdallahmohammed6079 Před rokem +4

    Allah akubarik na atuongoze sote shk Alhatmy usipanic zungumza kwa upole ili uweze kurakiz katika point zako huwezi kutetea uzushi dhidi ya sunna, Quran na sunna ndio mambo ya kuyatetea..

  • @salatmohammed21
    @salatmohammed21 Před rokem

    Kuna tofauti kati ya Abdullah na Abdu muhammad.

  • @saidnassor5655
    @saidnassor5655 Před rokem +6

    Kweli al-hatimiy hapa kakosea njia ataabika sana kijana wa bacho yupo sawa

    • @saidfhamad
      @saidfhamad Před rokem

      Mwache apinge ukweli atanyooka tu!!

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 Před rokem

    Wewe M. Bachu unaifahamu sana Dini na umetufingua Macho Watu wengi sana. Allah azidi kukupa Afya na Umri mrefu na wenye manufaa kwenye kuilingania Dini yetu hii ya Kiislam

  • @mussabinyussuf945
    @mussabinyussuf945 Před rokem +2

    Sheikh wangu mm nina kuombea umri ulio mzuri na mrefu na akuhifadhi shekh wangu muhammad bachu masufi ni waongo hao eti mtu afe halafu afufuke tena awaombe radhi jamaa zake kisha arudi kaburini na allah anasema mtu akifa harudi tena duniani hawa masufi vp sheikh wangu muhammad bachu wafundishe hawoo

  • @mbanomrage604
    @mbanomrage604 Před rokem +1

    Maashaallah nilikua nasubir majibu Kwa shekh wa kenya kwahamu sana. Sasa sijui atarudi na hoja gani tena maana nilidhani atarudi kuitetea Hadith yake kumbe akarudi na Barazanj.
    Aache tu haukuwez kijana wetu Muhammad Bacho

  • @saidyusuf9245
    @saidyusuf9245 Před rokem +3

    Watu wabidaa hawana tawheed ndipo wa katawasali kwa makaburi Mungu atuongodhe sote ammin ammin

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před rokem +2

    Biidhinillah hakki itashinda, mm huwa napenda saana kuipa akil yangu uhuru wa kufikiria, shukuran Kwa mawaidha. Ikiwa twataka kumpenda Mtume Muhammad swalallah aleyh wasalaam bas tumfuate na tutende Yale aliyoyaleta Kwa vitendo na tumswalie, na tufanye Yale ya Sunna yenye manufaa., Kama kutembelea wagonjwa, kuwasaidia wenye uhitaji. In shaa Allah Mwenyezi Mungu akulinde sheikh Kwa ilimu

    • @fawziasaeed-mn3in
      @fawziasaeed-mn3in Před rokem

      السلام عليكم ورحمة الله وبركاته مع الأسف
      wewe Muhammad Bachu kwa unatakiwa ujuwe kuna kitu kina itwa ادب الحوار namna ya kuzungumza na watu khaswa wakumbuka zako kwa hivo na Swalha yangu kwanza kajifundishe ADABU

    • @fawziasaeed-mn3in
      @fawziasaeed-mn3in Před rokem

      pili wewe huna sifa hata moja ya wana vyuwoni wewe ni mwana CHOONI مع الأسف

  • @naimaally6719
    @naimaally6719 Před rokem

    Mohamed Bachu Sheikh wa Mchongo

  • @MustafaMoturi-zt7ch
    @MustafaMoturi-zt7ch Před 11 měsíci

    Aslm aleikumu ndugu yangu haqqi iko wazi ole wao ole wao wanao ng'ang'ania huu upotovu wa uzuka Na wakome.

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před rokem +5

    Shukran jazzakka ALLAH kheir kwa kutuonyesha shirki iliojificha na tuliokuwa tukidanganywa sn kwa mda mrefu , tena aswa kwa sisi tuliokuwa na elimu ndogo , ALLAH akuifadhi na akulinde na hasadi Mohammed bachu

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 Před rokem

    Mimi nakupenda sana Muhammad Bachu kwa ajili ya Allah kwa sababu unarekebisha sehemu ambayo ina makosa na hata wewe unapokosolewa kama umekosea kweli unakubali sasa huyu shekh wa mombasa mbona mkaidi

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah579 Před rokem

    Hafidhakal llah... Twamshukuru Allah Alomchukua sheikh Nasour Bachu Akatupa Sheikh Muhammad Bachu.... Darasa imeeleweka

  • @nayef3903
    @nayef3903 Před rokem +1

    Hatimy yupo sawa kabisa kielimu humfiki hata kidogo.

  • @mshtiemshtie3565
    @mshtiemshtie3565 Před rokem

    Allaah Akuhifadhi na Akuzidishie il'mu sheikh wetu Muhammad Bachu, uzidi kutujubia na kuwaweka Sawa hawa makhurafi mpaka waelimike na kuzungumza yaliyo Swahihi na ya kweli. Ama kweli wewe ndio kiboko ya hawa ma shekhe wa Bid'aa.. Allaah Akuongoze aameen.

  • @user-ip5nr5iy2u
    @user-ip5nr5iy2u Před rokem +15

    Assalaam alaykum warahmatullah, Sheikh Muhammad hafidhwakallah nasaha yangu kwako ni moja tu, nayo ni hadith ya mtume صلى الله عليه وسلم, hadith ambayo waijua na kuielewa zaidi yangu ila kama unavyojitahidi kuitetea dini ya Allah basi furaha yangu ni kukwambia: قل آمنت بالله ثم استقم☝️.....
    Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuzidishia ilmu na kukuruzuku ufahamu zaidi ili tunufaike kupitia kwako🤲🏼, يآ أخي أحبك لأجل الله، na Allah amsamehe na kumrehemu mzee wetu, kipenzi chetu na sheikh wetu Sheikh Nassor bachu rahimahullah🤲, dua yangu ya mwisho na tamaa yangu ni Allah anitolee sababu kijana wangu aje awe mwanafunzi wako, kwani naamini atakuwa makini kusoma kwa mtu ampendae.

    • @sidrasidra8616
      @sidrasidra8616 Před rokem +1

      Wallahi nam natamani amsomeshe kijana wangu sema si tunaishi inchi jirani

    • @user-ip5nr5iy2u
      @user-ip5nr5iy2u Před rokem +1

      @Sidra Sidra in shaa Allah tumuombe Allah huenda akatutolea sababu,

  • @abubakarmuhammadsaid3244

    Hii nzuri sana Nimependa.
    Usimuache, mkamate hivyo hivyo asifurukute.

  • @naahla19
    @naahla19 Před rokem +19

    Maasha Allah, Barakallahu feek sheikh M.Bachu, thumbs up👍👍Allah akuhifadhi akuzidishie ilmu na maarifa. Shukrani zote kwa Allah kutuletea ww kutufunza tunafaidika sana kwa mafundisho yako, Allah akuweke. The other brother should stay low tht is one missile has destroyed his image completely he shouldn't go further, aache tu sasa. M. Bachu si wakufunzwa ni mwalimu! He is good at his books, Allah amzidishie kila kheri amuepushie kila balaa yaa Rabb. Peace.

    • @MohammedSaid-qr1zn
      @MohammedSaid-qr1zn Před rokem

      Iyo imeisha shekhe mpamaamuma ameelewa hiyo yeye anaongea lunga anatufunika funika tusielewe mantwiq hatujui maskini kumbe ndio ilivyo baarakallahu fiika.

  • @jumamahmoud9271
    @jumamahmoud9271 Před rokem +2

    Ningelikua mimi ni ndio uyu malemba ningelikua nishakimbia.uyu sheikh muhamed bachu humuezi ata chembe na wenzako walikuja na wakakimbia.

  • @adamjuma616
    @adamjuma616 Před rokem +1

    Allah akuhifadhi sheikh Muhammad bachu

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Před rokem +6

    mashaallah sheikh unatoa dawa yenye kutibu maradhi na tukapona

  • @alimasiga8422
    @alimasiga8422 Před rokem

    Alhamdulillah kwa hii ufafanuzi. Miaka waislamu wamepotoshwa ki hikma. Allah akuhifadhi na kila shari na akuzidishie ilm, umri, afya njema na imaan zaidi.

  • @jumaibrahim9029
    @jumaibrahim9029 Před rokem

    Sheikh acheni ubishi neno uwanamaana tofauti acheni kupotosha umaa

  • @Sein169
    @Sein169 Před rokem +1

    Natamani ningesoma kiislam

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Před rokem

    Mashaa Allah. hapa nimepata faida ya kikweli.. kumbe barzanji ni chafu na shirki.. Allah atusamehe waja zake madhaifu.. Nimetoka huko Kwa moto yaarabi naomba uniongoze na Sunnah ..

  • @hashirmzee5549
    @hashirmzee5549 Před rokem

    Shekh bachu Allah akuzidishie elimu amin

  • @hassanmubarak704
    @hassanmubarak704 Před rokem

    Sh. Muhammad Bachu,Allah akuhifadhi na akuzidishie Elimu, Hekima na Subira. Huyo Al hatimy kisha fahamu na kishapata Darsa, iliyobaki ile kutete nafsi yake, kama inavyosema aya ya 14 ktk suratul Al Naml واستقنتها انفسهم ظلماًوعلوا

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +4

    Mtihani masufi

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 Před rokem +3

    Mashaallah hawa masufi walitudanganya sana wakifikir sisi hatupimi maneno hatimi nimuongo japo nimbishi balili insaanu alaanafsihii baswiira Alihamdulillah Allah akuhifadhi sheikh wangu

  • @saeedabdulatiff4505
    @saeedabdulatiff4505 Před rokem

    Subhanallah aibu kubwa ,mashekhe kidinii ni makosa makubwa sana ,Allah atuongoze manaa mashekhe WA sasa balaaa

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Před rokem +5

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @issamuhammad111
    @issamuhammad111 Před rokem +7

    Alhatimy' si ukubali tu kaka, Kuna kushindwa ujue utaaibika

  • @salumrashid8513
    @salumrashid8513 Před rokem +1

    Tumekufahumu vizuri sana sheikh letu..may Allah safeguard you!

  • @mussaali7209
    @mussaali7209 Před rokem +4

    ماشاء الله يا محمد

  • @allyally5124
    @allyally5124 Před rokem

    Masheikh wa mitandao. Wenye uchu wa vyeo vya kilimwenguni. Ogopeni Allah. Na adhabu yake.

  • @bassurintertainments1546

    Allah akuhifadhi shekh Muhammad na akulipe Jannah kwa rehma zake

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Před rokem

    Tafadhali tuacheni kugombana hadharani Mashekhe wetu.Kukosoana Kwa njia nzuri.

  • @user-fe6fu8mz8n
    @user-fe6fu8mz8n Před 10 měsíci

    Bachu unaonekan umejipanga Mwenyez mung akuongoe awaongowe na wale wasio tak kuyafaham haya kuona kam nifedheha wakat kweny Elimu hakuna aibu.........

  • @kassimmsuleyman1055
    @kassimmsuleyman1055 Před rokem +5

    جزاكم الله خيرا و احسن الجزء

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před rokem +3

    Maaashallah Ustadh Muhammad Bachu M Mungu azid kukuhifandhi,na uendelee kutowa elimu ya uhakika,na endelea kunyoosha na kukosowa yalikuwa hayako sawa.

  • @mursalabdallah8139
    @mursalabdallah8139 Před rokem

    Allah ibarik Mohammed bachu naam sahihi kabisa

  • @kitosio
    @kitosio Před 10 měsíci

    { وَٱلسَّـٰبِقُونَ ٱلۡأَوَّلُونَ مِنَ ٱلۡمُهَـٰجِرِینَ وَٱلۡأَنصَارِ وَٱلَّذِینَ ٱتَّبَعُوهُم بِإِحۡسَـٰنࣲ رَّضِیَ ٱللَّهُ عَنۡهُمۡ وَرَضُوا۟ عَنۡهُ وَأَعَدَّ لَهُمۡ جَنَّـٰتࣲ تَجۡرِی تَحۡتَهَا ٱلۡأَنۡهَـٰرُ خَـٰلِدِینَ فِیهَاۤ أَبَدࣰاۚ ذَ ٰ⁠لِكَ ٱلۡفَوۡزُ ٱلۡعَظِیمُ }
    [Surah At-Tawbah: 100]

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Před rokem +1

    MashaAllah.......mambo yamewekwa sawa,ubishi hamna tena hapa

  • @hafsumohd2049
    @hafsumohd2049 Před rokem

    Wala hatujibupo kielimu labda kunguruu amee mvii.

  • @swabirfarouk3885
    @swabirfarouk3885 Před rokem

    Assalam A'laykum Warah'matullahi Wabarakatuhu.Mtume Swalallahu Alaihi Wasalam.Angekuwa Ana moyo kama nyinyi Uislam Usingetufikia.Acheni kushambuliana.

  • @abdulrahmanhaji4415
    @abdulrahmanhaji4415 Před rokem +5

    inaweza kuwa ahlhatmy ameshatambuwa kuwa barzanji inamakosa ila swala la kukubali ni ngumu sana na kujisalimisha ,afu alhatmy yy maulid kwao aliyakuta na aliwakuta mababu zake ni wenye kupenda hivo vitu ,asijione kuwa ametakasika sana akubali tu tutamuona wa maana sana ,,kishki hakutaka kubishana nae ila alhatmy itikadi yake inashidaa sana

    • @athmanbabusa8020
      @athmanbabusa8020 Před rokem

      Wewe una elimu ya kujua Barzanji, ikiwa neno الحوادث lilimshinda tafsiri😂😅

  • @abuubakarihussein2664

    Huyo mkenya pia lugha Bado haijuwi vzr Sajighi pia hajuwi nini

  • @SalehSaleh-re1ud
    @SalehSaleh-re1ud Před rokem

    MashaAllah tabaarakallah, nimeipenda hii kama lugha haiwezi kukutofaitishia baina ya shirk na tawhid au baina ya bidàh na Sunnah, basi ni sawa na kina abi lahab maana aliijua lugha ya kiarabu kuliko...

  • @rajaburajabu7105
    @rajaburajabu7105 Před rokem +1

    جزاكم الله خيرا

  • @yussuphsaleh767
    @yussuphsaleh767 Před rokem

    Ni kweli shekh Muhammad bachu huyu shehe wa Mombasa akishailewa mada anarukia mada nyengine ,,endelea kumuweka sawa na sisi wafuwatiliaji tupo tunaelimika,,,nakumbuka ile mada ya aleluya yule aliyekuwa shekh mkuu wa mkoa wa daresalam aliingia mitini baada ya kufuru yake

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Před rokem +2

    Allah Akbar, MashaAllah mpe ilim uyo ana ona aibu kuku fwata umpe ilim basi mpe apa kwenye TV nina imani ata pata faida

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Před rokem +1

    SubhanaAllah SubhanaAllah nimtihani wallah 😢🤔🤔

  • @mawaidha386
    @mawaidha386 Před rokem +3

    Shukran akhi

  • @hamadali3231
    @hamadali3231 Před rokem +1

    Sheikh KHALIFA MUSA ISSA wa twarikatul Qadiria anahitaji marekebisho makubwa san

  • @ahmedbyser
    @ahmedbyser Před rokem

    Mashallah sheikh m.bachu Allah akuhifadhi akulinde uadui na hasad za watu

    • @MohammedSaid-qr1zn
      @MohammedSaid-qr1zn Před rokem

      Wanyooshe shekhe Bachu huwenda baadhi yao wakaacha kutupotoshea watotowetu

  • @Dekingalba
    @Dekingalba Před rokem

    Unanivitia sana nije nisome kwako sh bachu upo very clear mashallah

  • @akhyfarqanah4205
    @akhyfarqanah4205 Před rokem +2

    Mansha Allah ❤❤

  • @issaibnsaidi2095
    @issaibnsaidi2095 Před rokem

    Sheikh Mimi binafsi ntakuomba tu
    Ushike Adabu ktk Da'wa yako
    Sio vizuri Hio , utaaribu niya yako.

  • @dengepandu9734
    @dengepandu9734 Před rokem +1

    Mwenyeenz akuzidishie busara amina

  • @abuubakarihussein2664
    @abuubakarihussein2664 Před rokem +3

    Kipindi napiga dufu nakuimba hizo.shirki nilikuwa sielewi Lolote Allah anisamehee maana mtihani sn.
    Watu maulidi wote Tawhidi imewapiga chenga Tena dakika zamajeruhi kabisa

  • @MustafaMoturi-zt7ch
    @MustafaMoturi-zt7ch Před 11 měsíci

    Maulidi ni upotovu uzuka.