SHEIKH WALID AMALIZA MGOGORO WA MUDA MREFU MSIKITI WA KIGOGO ISLAH, "HAKUNA KUPIGANA MAPANGA TENA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 08. 2024
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    CZcams: / @babdeomiladu
  • Zábava

Komentáře • 63

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před 11 měsíci +10

    Masha ALLAH sheikh Walid,ALLAH akuhifadh 🤲🤲🤲

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 Před 11 měsíci +2

    shekh warid Allah akupe uumri mrefu

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Před 11 měsíci +5

    allah ametuamrisha ...
    'shikamaneni katika kamba moja ya uislam na wala tusifarakane'

  • @zahorrashid3916
    @zahorrashid3916 Před 11 měsíci +2

    مَا كَانَ لِلْمُشْرِكِينَ أَنْ يَعْمُرُوا مَسَاجِدَ اللَّهِ شَاهِدِينَ عَلَىٰ أَنْفُسِهِمْ بِالْكُفْرِ ۚ أُولَٰئِكَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ وَفِي النَّارِ هُمْ خَالِدُونَ
    Haiwi kuwa makafiri ndio waamirishe misikiti ya Mwenyezi Mungu, hali wanajishuhudishia wenyewe ukafiri. Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika, na katika Moto watadumu.
    Mtu wa ccm democrasia leo hii ndo kiongozi zaidi ya msiba

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 11 měsíci +5

    Mashaalah sheikh wetu una bodyguard 👍👍

  • @husna34562
    @husna34562 Před 11 měsíci +1

    Mashallah tabarakallah

  • @AhmedMohamed-ew5qx
    @AhmedMohamed-ew5qx Před 11 měsíci +1

    Jambo jema ulolifanya kaimu sheikh Wa mkoa Allah akuongoze.

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 Před 11 měsíci +10

    ALLAH AJALIE HUO MSIKITI WETU UTULIZANE UWE NA AMANI UPENDO KWA VIONGOZI NA WAUMINI MILELE DAIMA INSHAALLAH

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 11 měsíci +1

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 Před 11 měsíci +1

    Allah alete kheri!! Ila msikiti huu njaa zimewajaa watu na si sababu ya kuwa sadaka zinaliwa!! Ila tuu kuna watu Wanataka kuutumia msikiti kwa maslahi yao!! Na ili biashara zao ziende!!

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 Před 11 měsíci +1

    Masha ALLAH shukran sheikh

  • @user-ko4dx7ce8p
    @user-ko4dx7ce8p Před 11 měsíci +1

    inshaallah kher tuone khatma ya msikiti itapofikia amani ndo muhimu ndani ya msikiti watu wapate kuabudu kwa utulivu inshaallah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 11 měsíci +3

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚

  • @MohamedMjenga-vq8vc
    @MohamedMjenga-vq8vc Před 11 měsíci +2

    Kua na mlinzi ni jambo la kawaida ikumbukwe uyo ni kiongozi ngaz ya mkoa pia alikua yupo kutatua mgogolo

  • @yahya_myemen
    @yahya_myemen Před 11 měsíci +1

    Mashaallah

  • @salminabuhudhaifa4273
    @salminabuhudhaifa4273 Před 11 měsíci +1

    Allahu baarik🤝

  • @user-ig3br7jv8t
    @user-ig3br7jv8t Před 11 měsíci +1

    Masha Allah

  • @omarisadallah5695
    @omarisadallah5695 Před 11 měsíci +1

    Mashallah

  • @fadhiliali4463
    @fadhiliali4463 Před 11 měsíci +1

    Allah ajalie kher tangu 2009 hata Hadi leo haujatulia

  • @MohamedMjenga-vq8vc
    @MohamedMjenga-vq8vc Před 11 měsíci +2

    Akuna msikiti mdogo duniani sbb mahali popote pa kumcha mola ni pakuu

  • @chaleboymusician528
    @chaleboymusician528 Před 11 měsíci +3

    Sadaka zngekuwa znatumika vizur kungekuwa na vyuo vikuu vingi hospitali vyuo vya ufundi lakini zinatumika vibaya wengine wanaokosa mgao ndo unaibuka ugomvi

    • @mwalimuathumani4759
      @mwalimuathumani4759 Před 11 měsíci

      Kwahizi pesa zakofia?

    • @salma0000
      @salma0000 Před 11 měsíci

      Waumini wa dini nyengine wanaojenga hospitali na vyuo hawategemei sadaka za waumini wao, hua wanagaiwa mabilioni ya shilingi na serikali ya ccm

  • @yahya_myemen
    @yahya_myemen Před 11 měsíci +1

  • @MbarakaMakamba-bx3nn
    @MbarakaMakamba-bx3nn Před 11 měsíci +1

    Ok vizur sn sheet wetu

  • @azamajid9530
    @azamajid9530 Před 11 měsíci

    MASHALLAH

  • @salhidsalhida4151
    @salhidsalhida4151 Před 11 měsíci +1

    Huyo mlinzi mbn mfupi anyone khatar ikitokea

  • @jumamarley7964
    @jumamarley7964 Před 11 měsíci +1

    Aslam aleykum?sielewi huyo kijana Sharif ndio amekuwa mlinzi wa sheikh wetu

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 11 měsíci +1

    1:24 1:26

  • @user-gw5tq8hr6f
    @user-gw5tq8hr6f Před 11 měsíci +2

    mwenyezi akuzidishie shekh alhadi umejaliwa hekma

  • @user-dz1gd9bv3j
    @user-dz1gd9bv3j Před 11 měsíci +3

    Nauliza to kutaka kujua cna maana tofauti je MTUME S.A.W nayye alikua na bodyguard?

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 Před 11 měsíci +1

      Kiupande mwengne alikua nao wakiwemo maswahaba zke sbbu alikua akiviziwa pia yy

    • @mohamedsultan4658
      @mohamedsultan4658 Před 11 měsíci

      Hata suddes lmam wa makka ana mabodyguard mamb madogo hayo kun mamb mengn yap ya kuuliz unachouliz we ni nongwa tu

    • @mbaroukkhalifa8035
      @mbaroukkhalifa8035 Před 11 měsíci

      Ndy alikua nao kina abu bakar Omar bin khatwab na wengine kwasababu alikua na maadui wengi

    • @silimakhamis7088
      @silimakhamis7088 Před 4 měsíci

      Sayyidna Othman alikua nae

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před 11 měsíci

    Mmmmm 🤔🤔Kumbe misikitini nako kunakuaga na masilahi? Hadi watu wanapigana. Jamani kwa الله siku ya mwisho kuna kivumbi kwakweli.

  • @Kalaharidesertstorm
    @Kalaharidesertstorm Před 11 měsíci +1

    mshafanya misikiti kuwa chama 😅😅😅

  • @TheAmadoni
    @TheAmadoni Před 11 měsíci +1

    Sheikh Bodyguard wanini ndani ya Msikiti !

    • @binlubawa8387
      @binlubawa8387 Před 11 měsíci

      Kwani hairuhusiwi msikitini kuwa na bodyguard?

    • @user-kd2cl4fw8b
      @user-kd2cl4fw8b Před 11 měsíci +2

      Bodyguard lazima maana kunawengin vichaaa

    • @dr.abdallahngenya9780
      @dr.abdallahngenya9780 Před 11 měsíci

      Alienda kuamua ugomvi hapo upande mmoja unaweza usikubali ukaleta shida

    • @imamurawdhwah1035
      @imamurawdhwah1035 Před 11 měsíci +1

      Tatizo nini kwani

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před 11 měsíci

      Yaan mtu mmoja aharibu kikao cha kheri na kamuasa subiri ?? Kuna wakubwa kuliko huyo aliyotolewa mbona wametulia ?

  • @PilyAly-ll8fz
    @PilyAly-ll8fz Před 11 měsíci +1

    Msikiti wenyewe mdogo lakini unawatoa roho

    • @mwalimuathumani4759
      @mwalimuathumani4759 Před 11 měsíci

      Ww muislam punguza ukali wamaneno utakwenda kuyakuta kwa allah

    • @PilyAly-ll8fz
      @PilyAly-ll8fz Před 11 měsíci

      @@mwalimuathumani4759 sasa kwani nimemtukana mtu hapo kweli wangekuwa na msikiti km wakichangani je? SI ingekuwa balaha

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 11 měsíci

    WAISLAM MUKO NA MATATIZO NCHI HII MNAGOMBANIA MISIKITI WAGALATIA WAKO PAMOJA KUTENGANISHA UMMA VERY SAD

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 11 měsíci

      allah kasema mtawaona makafiri kama wako pamoja kumbe nyoyo zao tofauti hivyo hawawezi kuwa wamoja broo. kikubwa tushikamane waislamu tuacheni mabidaa. kua makni broo na coment za dini.

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 11 měsíci

      @@medimisi6930 AFWAN

    • @rahmaabubakarisaanatu1961
      @rahmaabubakarisaanatu1961 Před 11 měsíci +1

      MUONGO mkubwa ww wagalatia kila kukicha mnafungiana makanisa kwa hz hz sadaka unafikiri bando unalo ww tu . Acha unafiki.

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 11 měsíci

      @@rahmaabubakarisaanatu1961 sasA c nimekuambia kua allah amesema hawako kitu kimoja mioyo yao tofauti ni hii ni kauli ya allah sasa mtu anakataa nn na hii ni kauli ya allah

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 Před 11 měsíci

      ​@@medimisi6930hiyo aya umeitafsiri vibaya ndugu. Inahusu vita. Wanapokuwa vitani utadhani kama wako pamoja lakini mioyo yao iko Mbali mbali. Ila Waumini wanapokuwa vitani wanapigana safu safu kama Ukuta mmoja huku na mioyo yao imeshikamana barabara