SNURA RASMI SASA AACHANA NA MZIKI, NIMEMRUDIA MUNGU WANGU, FUTENI NYIMBO ZANGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • SNURA AACHA KAZI KAZI ZA SANAA AMRUDIA MUUMBA WAKE.
    Aliekua muimbaji wa Muziki Tanzania na Msanii wa Maigizo @snuramushi atangaza kuacha kazi hio na sasa amemrudia Muumba wake. Akiongea na waandishi wa habari leo tarehe 29/07/2024 ametangaza kuachana na kazi hio na kuwaomba Media, Tv na Redio kufuta kazi zake na kwa kila aliekua nayo basi afute kwenye simu ama flash, Cd.
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 525

  • @MahmoudMakame-cl9jc
    @MahmoudMakame-cl9jc Před měsícem +44

    Natamani ungekuwa karibu yangu ningelikubeba juu juu Habibty Allahu Akbar, Alhamdulilah alaa kulli halli

  • @rehemaseif1785
    @rehemaseif1785 Před měsícem +38

    Hakuna mkamilifu zaidi ya Mungu dada, Allah s.w akusameh na atusameh na sisi kwa rehma zake. Amin🤲

    • @abduliashiru9394
      @abduliashiru9394 Před měsícem +3

      Kabisa akuna mkamililifu ususa ukilijua kosa lako, Allah anasema( ENYI WAJA WANGU AMBAO MMEDHULUMU NAFSI ZENU KWA KUTENDA MAZAMBI MENGI, MSIKATE TAMAAA NA REHMA ZA ALLAH, AKIKA YA ALLAH ASAMEE MAKOSA YOTE) kwahy nakupongeza sana Dada angu snura Allah atukubalie wote na atusamee mazambi yetu wote (Amiiiin)

    • @rehemaseif1785
      @rehemaseif1785 Před měsícem

      @@abduliashiru9394 Amin🤲

    • @user-rn2fs5jg6n
      @user-rn2fs5jg6n Před měsícem

      Amiin, Yarab

    • @user-hl3tb3rh2w
      @user-hl3tb3rh2w Před měsícem

      Aamiyn

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Před měsícem +16

    Diamond na Harmonize na wengineo wapate mazingatio kwa ujumbe huu. Allah (SWT) Atujaalie kheri duniani na akhera. AL-HAMDU LILLAHI. Nakushauri Sinura Wasiliana na Wizara ya Utamaduni jinsi ya "KURASIMISHA HII MARUFUKU YAKO" na hatua gani zichukuliwe kisheria kwa yoyote atakaetumia sanaa zako baada ya maamuzi yako haya. Allah Akuzidishie. AMINA.

  • @KudraSadiki
    @KudraSadiki Před měsícem +39

    Dada yangu,Alla akuongoze,umerudi sehemu sahihi,,,umshukuru MUNGU sana sana roho haikutoka ikiwa ktk tasnia ya muziki,
    Ushauri wangu kwako,na kwawengine,
    Msujudie sana MUNGU,na jitahidi sana kuisoma kur.ani,
    Kaa chini kila baada ya swala hata nusu sa Fanya adhkari kwa wingi huku ukizidi kumuomba Alla akuongoe

  • @JamaliAbdallah-mv6hp
    @JamaliAbdallah-mv6hp Před měsícem +12

    Dada umefanya jambo zito kwani umeweza kuishinda nafsi nakuweka wazi maisha ulio chagua kushi kwa sasa atubaliki sote tushinde nafsi zetu amin❤❤❤❤❤

    • @user-mk3zl3yr3m
      @user-mk3zl3yr3m Před měsícem

      Usiwe kama mzee yusufu nae.alisema ukuanalia baadae.akaludi.tena

  • @HidayaHassan-ln6ig
    @HidayaHassan-ln6ig Před měsícem +32

    Takbir Allah yarrab tunakuomba uzidi kumuongoa na mjalie janna firdaus

  • @habibiddy8096
    @habibiddy8096 Před měsícem +6

    Hakika ya ALLAH huwapenda wenye kutubia na kurejea kwake, huu uwe ni mfano kwetu sote tumrejee ALLAH na tuifate njia ya sawa.............Hongera sana Dada Snura iwe ni sabab ya wengine kurejea katika haki

  • @jumamaulid9462
    @jumamaulid9462 Před měsícem +4

    Allaah akuongoze dada yangu.
    Umekumbuka lengo la kuumbwa kwako,
    Dunia yako na kaburi lako pia.
    Usirudi nyuma dada yangu kama yule aliyerudi mjini.
    HONGERA SANA,
    ALLAAH AKUHIFADHI UMEFANYA UAMUZI MGUMU SANA AMBAO WENGI UMEWASHINDA SANA.

  • @JuniorDilema-ki1jy
    @JuniorDilema-ki1jy Před měsícem +12

    Maa. Shaa Allah hakika Allah kajibu dua zetu hakika tumefunga na kuomba sana dua ,Allah akupe mwisho mwema, dada wewe ni mzuri sana natamani hata nikuone na nikupe zawadi kama kujipongeza mwenyewe!

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe5302 Před měsícem +17

    ALLAH HUKUBALI TOBA YA MJA WAKE MAADAMU ROHO YAKO HAIJAFIKA KWENYE MITULINGA NA BADO JUA HALIJATOKA MAGHRIBI KWENDA MASHARIKI. USIJALI DADA ALLAH ATAKUHIFADHI ZAIDI

  • @HafswaIsmail
    @HafswaIsmail Před měsícem +27

    Allah akubali toba yako, awasamehe wazaz wako walokulea madam na atuhifadhi na atusamehe sote
    Allahumma aamiin 🤲

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Před měsícem +7

    Maasha'llah maasha'llaah maasha'llaah. Mungu ATUTHIBITISHE ktk uislamu wetu na atupe mwisho ULIO wema kwetu sote waislamu.

  • @SadatiHassani-r1u
    @SadatiHassani-r1u Před měsícem +10

    Mungu akuongoze na usije ukarudi huko ulipo toka maana wengi wanamjarib Mungu kama mzee yusuph kaenda mpaka hij tunakuombea sana kwa Mungu akujalie kila lakher

  • @sultansss2834
    @sultansss2834 Před měsícem +10

    Aliweke hilo Jambo ktk Vifungu vya sheria ili atakaye fanya hayo aliyokataza kufanywa basi achukuliwe hatua za kisheria na fine kali hii itamlinda sana Dada yetu akiwa hai na baada ya kuondoka kwake. ALLAH sw amuhifadhi na amlinde adumu ktk njia ya haki

  • @sayman158
    @sayman158 Před měsícem +22

    Allah akukubalie toba yako dada yangu na atusamehe sotee ..Allah rahiim

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Před měsícem +8

    Kinachoitwa usanii ni upuuzi mtupu,vijana wengi wamepotoka na kuueneza upotofu wao kwa jamii huku wakiitwa wasanii kioo cha jamii na serikali ikiwapamba na kuwashawishi kuendelea na upuuzi huo huku ikijifanya kuhimiza maadili.
    Dada yetu tunakuombea dua Allah akusamehe na udumu na imani na kuyachukia maovu Inshaallah

  • @MahmoudMakame-cl9jc
    @MahmoudMakame-cl9jc Před měsícem +10

    Mashaallah Allah azidi kukuongoza tunafurahi umeiona njia ilyosahihi

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 Před měsícem +3

    ALLAH akulipe kwa jambo hili na akuhifadhi Kisha akumiminie rizki ili usirudi kwenye mahangaiko tena ALLAHUMMA AMIN

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Před měsícem +4

    Maa shaa allaah dada yangu mungu akuhifadhi. Akujalie umri mrefu wenye manufaa, fii dunia wali akhera. kwekweli umetoa nasaha mzito sana. Maisha ya duniani nipumbozo tu. mungu akujalie mwisho mwema Aamiin allahmma Aamiin yaraby.

    • @sheikhanasser4714
      @sheikhanasser4714 Před měsícem

      Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
      Allah andika kwa herufi kubwa Shukran

  • @HerriThabiti-qd5rr
    @HerriThabiti-qd5rr Před měsícem +13

    Kweli dadayangu hata surayako inanyesha umechukizwa nayale mambo ulivo yaacha

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa Před měsícem +5

    ALLAH anakupenda ungefia huko kwenye mziki.ungeishia motoni ,pia ili ujue Mungu anakupenda ni wanamuziki wangapi wamefia kwenye miziki ww amekuacha mpaka ukafanya toba kweli ALLAH anakupenda

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY Před měsícem +5

    Maasha Allah baarakallah
    Dada yetu, Allah azza wa jalla akupokee toba yako, na akupe maisha ya furaha, na amani na uishi kwa furaha

  • @mohamedbakhuwar4749
    @mohamedbakhuwar4749 Před měsícem +3

    Mashallah. Allah akuongoze na abadili mabaya yako kuwa mema.
    Hongera sana.
    Hili ulilofanya ni kubwa mno mbele ya Allah.
    Allah akulinde na kila ubaya wa sheitwan.

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 Před měsícem +9

    Allah amsamehe makosa yake na amhifadhi na kumpa mwisho mwema Yeye na Sisi sote kwa ujumla

  • @Kandajr7
    @Kandajr7 Před měsícem +1

    Maaaashallah
    M/mungu azidi kukuongoza zaidi Na Mazingatio mazuri juu ya ujumbe wako umeongea vizuri mno Mawaidha yako yawawaizishe na wengine wote Bi IdhN llaH 🤲

  • @hatungimanaissa9588
    @hatungimanaissa9588 Před měsícem +1

    Mimi ni Burundian American,
    Ume tisha sana dada, ume ongea vizuri sana, na peleka darsa hili
    Mpaka home baada ya kazi.
    Uwe u ki wapa watu darsa warudi kwa Allah.
    Allah mkarim, a kujalie wende hijja na familia yako mwaka kesho. Allah a ku kirim kwa hajjin mabruur wa dhmbin maghfuur.

  • @user-ug4du2kv6v
    @user-ug4du2kv6v Před měsícem +5

    Allah akuthibitishe katika haqi ,ila ushaur wang kwako usije kuacha mziki ukaamia kwenye maqaswid yote ndo yaleyale dada yang umeamua kutubu rudi kwa Allah kaa chini usome dini

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před 18 dny +1

    Allah akupe mwisho mwema my lovely sister snura pia ushauri wangu punguza interviews

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kb Před měsícem +2

    Umefanya vizuri saana !nkutangaza hadharani kwa sababu uliyafanya hadharani

  • @user-gb8rr4jk9b
    @user-gb8rr4jk9b Před měsícem +2

    Mwanangu masha allah mwanangu umedhubutu ishaa allah mungu atupe sote mwisho mwema nimekupenda sn mwanangu natamani nikuone tusimame pamoja kwa ajili ya allah

  • @NuratyMtaly
    @NuratyMtaly Před měsícem +4

    Maashaallah snura umefanya maamuz sahihi sana allah akutangulie kipenz

  • @mohdaliy4090
    @mohdaliy4090 Před měsícem +4

    Mm nakupa hongera sana dada snura Allah akujalie usirudi tena

  • @sulejureij3799
    @sulejureij3799 Před měsícem +2

    Allah aikubali toba yako dada na atusamehe mapungufu yetu sote na atuongoze amin.

  • @hassantupa
    @hassantupa Před měsícem +2

    Allah azidi kukupa riziki ya halali aamiin 🤲🤲🤲

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w Před měsícem +1

    Mashallah Mwenyez Mungu akuzdshiye wakuomgoze ktk njiya ya hak❤

  • @saidiyahya6460
    @saidiyahya6460 Před měsícem +3

    mashaaallah mungu akupe wepesi ktk maisha yako na mwisho mwema dada yetu snura amiin

  • @iphatalib5031
    @iphatalib5031 Před měsícem +1

    Wallahi nimeliaaa.. maneno mazito uloyasema na yanaukweli kabisa subhanallah😭, Allah azidi kukuongoa na aendelee kutuongoa na sie yarabby Amin🤲

  • @Abdulazizsuleymanhamiss
    @Abdulazizsuleymanhamiss Před měsícem +2

    Shukran sana kwakerejea na kujua umuhimu na lengo lako muhimu la kuumbwa na mola wako nakusihi dada angu iv sasa shikamana kuisoma dini yako na ibada dada angu

  • @user-wq7uw9wy6w
    @user-wq7uw9wy6w Před měsícem +2

    Allah akubalie Toba Yako hakika umekuja sehemu sahihi. Hakika Kuna maisha baada ya hapa duniani

  • @user-mi3jn7rq3k
    @user-mi3jn7rq3k Před měsícem +3

    Allah akuongoze ktk maisha yako na akufanyie wepesi

  • @ALIFAAMADE
    @ALIFAAMADE Před měsícem

    Namshukuru mw. Mungu kwa kukubali dua ambazo ulikuwa unaomba dada yangu mungu akupe kila la kheri, Mungu ailinde ndoa yako, muzae watoto wente tauhidi na akujaalie Janna pamoja nasi, atukutanishe akhera ikiwa ameturidhiya insha anlah.

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci Před měsícem +2

    Allah akuongoze ln Shaa Allah # Stay blessed

  • @user-np8wv7el5m
    @user-np8wv7el5m Před měsícem +2

    MashaAllah dadangu snura mungu atoongoze sote na atujaalie husnul khatima

  • @MahmoudMakame-cl9jc
    @MahmoudMakame-cl9jc Před měsícem +5

    Toba yako iwe Maqboul ,Allah azidi kukuongoza njia iliyo nyooka aamin, kweli umeiona njia iliyo sahihi kama uzi shettani awe mbali na wewe

  • @RashidyMrang
    @RashidyMrang Před měsícem

    Snura mwenyezi Mungu akuongoze na akujaze imani zaidi alafu jitahid usome sna unasauti pia ya kutolea mawaidha jitahid hivyo mwenyez Mungu atakulipa inshaalllah dada nimekupnd sn sana tena

  • @Aminedanisman76799
    @Aminedanisman76799 Před měsícem +1

    MashaAllah tabarakallah Allah azidi kumwongoza na amuepushe na mitihani.hongera sana kwa kurudi kwa Mola wako ❤

  • @emmanuelmulumaita9186
    @emmanuelmulumaita9186 Před měsícem

    Kama kazi yako ni sanaa we fanya sanaa, Mungu hupendezewa na wachapa kazi, kikubwa maisha yako yapendeze Mungu, kazi zako zipendeze Mungu, utie bidii kazini naye abariki kazi ya mikono yako. Langu la kusema ni, badala kuacha sanaa ambayo ulidhania ni chafu! Anza sanaa safi- yenye maadili na kuitoa jamii gizani. Kama uko na kazi ingine ya kufanya kando na sanaa ni sawa, ila haimaanishi ukifanya sanaa unamkosea Mungu.
    Msinielewe vibaya.

  • @makamemachano322
    @makamemachano322 Před měsícem +5

    Allah akujalie Kila kher

  • @user-sm1kt5xd8k
    @user-sm1kt5xd8k Před měsícem +1

    Allah akukubaleye toba nakusihi mwanaghu umeamuwa kuwacha kwaajili yamola wako basi baki namola wako hata usizughumze kitu chohote nakuomba mwanaghu namola akuswamehe amen

  • @rukiayussuf6595
    @rukiayussuf6595 Před měsícem +3

    Allah azidi kukuongoza...na iwe Ibra kwa wengine...

  • @MoosaMzinga
    @MoosaMzinga Před měsícem +1

    Mashaallah..
    ...Snuraa naitajiii kukuoa please.....Mungu akupeee nguvu

  • @JokhaAbdalla-y1d
    @JokhaAbdalla-y1d Před měsícem

    Hongera sana dada kwa uamuzi mzuri ulochukua Allah akuongoze ktk njia sahihi

  • @KhamisJuma-r6i
    @KhamisJuma-r6i Před měsícem

    Ahsantee saana dadaa namuomba Allah akuongoze katika istiqama akudumishe katikahilo namengine yoote tuliyoamrishwa nakuacha tuliyokatazwa na Allah kupitia kwarasuli Muhammad (SAW) kwakowewe nasikwetu pia. Kazamoyo usiwe kawalee waliomtania Allah kwakudanganya wamerudi kwake. Allah azidi kutulinda inshaallah

  • @AmadiSaidi-od1cr
    @AmadiSaidi-od1cr Před měsícem

    Mashaallah Mashaallah dada yetu kipenz Allah akulipe kwa kuishinda nafsi yako

  • @user-uf6qf9lx4y
    @user-uf6qf9lx4y Před měsícem +2

    Dada nimekupenda bure maneno mazuri sana Allah akupe mwisho mwema

  • @yassirabdallah3230
    @yassirabdallah3230 Před měsícem +1

    Maashallah 🤲❤️ Allah azidi kukuongoza na cc atuongoze pia kuacha matendo maovu ni kupigana na sheitwani ( IBILISI ) uso kwa uso 😢

  • @khalfaankauga294
    @khalfaankauga294 Před měsícem +1

    Alhamndulillah Allah Akukubalie toba yako Ukupe imani sabiti Akujalie msimamo huohuo mpaka kufa kwako Allahumma Ammiin

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Před měsícem

    Pia kama unajichubua uwache ubaki katika hali aliyo kuumba mungu mungu atupe mwisho mwema sote Islamic Amin 👏 👏

  • @awadhjuma5807
    @awadhjuma5807 Před měsícem

    Masha Allah .. Allah azidi kukuongoza mdogo angu, akusamehe ulipo kosea na akukubalie Taubah yako, mimi binafsi sijui nyimbo zako kwa kuwa sisikilizi miziki kwa mujibu wa dini yetu...Ila kwa kujua umuhimu wa ombi lako hilo kuwa umekataza sitamani hata kujua uliimba nini ulikuwaje kipindi hicho nakujua hapa ulivyo leo Masha Allah... basi niombe pia kwa wengine wasianze kupekua sasa kuwa Snura aliimba nini au alivaaje wakati huo... ahsante.

  • @mohammededy7086
    @mohammededy7086 Před měsícem +3

    Snura sikutegemea kama kuna siku utakuja kuongea ivo umeongea maneno mazur kuliko doctar sule

  • @AishaIddy-bt3rl
    @AishaIddy-bt3rl Před měsícem +1

    Mashaallah Ndugu Yetu Ktk Imani Allha Akuhifadhi Na Akujaalie Mwinsho Mwema Na Sisi Wote Atusahilishe

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Před měsícem

    Mwenyezi mungu azidi kukuifazi na kusamehe makosa Yako nakulinde nakila
    Balaaa na sharyy zikuepuke amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu

  • @Halime-t3z
    @Halime-t3z Před měsícem

    Allahu Akbar, Allahu Akbar, alhamdulillah Allah tuongoe site
    Hongera sana.

  • @NassourBimkubwq
    @NassourBimkubwq Před měsícem +1

    Snura tupo pamoja na wewe katika Hilo uliloliamua, na tumuombeni Allah azifute kumbukumbu zote zake mbaya Kwa rehma zake. Tunakupenda Kwa ajili ya Allah

  • @AbdulrahmanHaji-sg5bh
    @AbdulrahmanHaji-sg5bh Před měsícem

    Mungo akustiri habibty. Mungu yuko nawewe allah atuongoze hongera hongera

  • @user-cl9zh8zs5e
    @user-cl9zh8zs5e Před měsícem

    ماشاء الله بارك الله فيك يا أختي الكريمة.
    Kwajinsi ulivyokuwa basi hii ndio tawba ya sawa hakika umebainishia umma kwa Tawba ilioifanya ALLAH, nimwingi wa kusamehe
    قُلۡ يَٰعِبَادِيَ ٱلَّذِينَ أَسۡرَفُواْ عَلَىٰٓ أَنفُسِهِمۡ لَا تَقۡنَطُواْ مِن رَّحۡمَةِ ٱللَّهِۚ إِنَّ ٱللَّهَ يَغۡفِرُ ٱلذُّنُوبَ جَمِيعًاۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡغَفُورُ ٱلرَّحِيمُ
    Sema: Enyi waja wangu walio jidhulumu nafsi zao! Msikate tamaa na rehema ya ALLAH Hakika ALLAH husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

  • @fatmamdidi8108
    @fatmamdidi8108 Před měsícem +3

    ALLAH akulinde na akusimamie na akujaalie mwisho mwema

  • @sadymazige
    @sadymazige Před měsícem

    Mimi ni mmoja wa watu nilikuwa na naendelea kukupenda sana dada yangu Lakini sikuwa nazipenda kazi zako Kwa sababu sizipendi

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před měsícem

    Alhamdulillah ❤ mungu akuongoze katika njiia iliyyoonyooka

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 Před měsícem +3

    Allah Akibar walillah lihamdu

  • @EuniceKasabai
    @EuniceKasabai Před měsícem

    Mwenyezi Mungu azidi kujalia wepesi kwakila jambo inshaallah

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před měsícem +2

    Afadhali ukijitambua mapema kutoka kwenye ukafiri wa wanamuziki tubia kwa allah .pia waelimishe nawengine .hamna mwanamuziki anaetarajia pepo kwa maasi wanayoyafanya

  • @asseidabdallah
    @asseidabdallah Před měsícem +1

    Kwakweli Ustadhat nimekuelewa Sana jazakallwahulkhayra

  • @suleymanyaasin
    @suleymanyaasin Před měsícem

    Masha Allah dadaangu. Allah akuhifadhi na atuhifadhi sote.

  • @SheikhYussuf-iv6lo
    @SheikhYussuf-iv6lo Před měsícem +1

    Mashallah Tabarakallaah Allaah akuafikishe akuongoze kwenye njia ya haki ww na sisi

  • @bahatichikoko6362
    @bahatichikoko6362 Před měsícem

    Allah Akbar, Masha Allah, Allah atusamehe madhambi yetu.

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi9964 Před měsícem +2

    Aliye karbu na zuchu amuoneshe hii🎉

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před měsícem

    Watu kamahawa maranyingi wakishika dini huwa wanaishika kwelikweli masha Allah Allah amiongozi ktk njiya sahihi wengine walishindwa kupata toba ya kweli akina mzee yussuf kwako snura Allah akuangaziye mwanga duniyani na akhera

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 Před měsícem +2

    Mashallah mashallah mashallah ❤️ ❤️ ❤️

  • @omarsalimali9212
    @omarsalimali9212 Před měsícem

    Masha Allah, Allah s.w.t akukubalie tauba yako, akujalie mwisho mwema na azidi kukupa iman, maarifa na nguvu ya kuwazinduwa na wengine waachane na matendo hayo. Amiin amiin

  • @KhamisHamad-b7s
    @KhamisHamad-b7s Před měsícem +2

    Allah atusamehe
    Akupe istikama
    Ila uwe umetubia kwelikweli
    Cha msingi ingia darasani usome dini yako

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kb Před měsícem +3

    Sasa tahadhari saana na marafiki wabaya
    Kwani hao ndio wasaidizi wa sheithan

  • @user-qv9ep6wq1t
    @user-qv9ep6wq1t Před měsícem +1

    Allaah Akukubalie toba yako lakini pia jitahidi dada sasa ushawishi wako iwe nisababu ya wengine kuongoka bi-llaahi na umuombe Sana Allaah Akudumishe ktk kheri na jitahidi Sana kwa ibada kuutafuta mwisho mwema

  • @OFFICIALSITEKICHINGA
    @OFFICIALSITEKICHINGA Před měsícem

    Kutangaza kwako toba yako katika jamii, Umezigusa nyoyo za wengi wenye akili.
    Chengine ni kwamba, Mshukuru Mungu kwa Mara zisizo na idadi. kwa sababu Mungu humuongoa anaemtaka na humuacha akapotea anaemtaka, ikiwa Mungu kakuvuta kwake hiyo ni zawadi isiyo na mfano.
    Kwa sababu wewe mwenyeo snura umetangulia kusema Kuna maisha ya milele baada ya maisha mafupi Sana tunayoyapita hivi Sasa.
    SNURA NAKUPENDA DADA YANGU KWA AJILI YA ALLAH, MUNGU ATUKUTANISHE PEPONI. 🫡🫡

  • @OmarHassan-rf8qy
    @OmarHassan-rf8qy Před měsícem

    Alhamdulillah pongeza sana dada Allah akukubaliye toba yko mshukuru Mola wako kwa kukutoa huko. Nakuiona njea ya haki.

  • @sdasad1285
    @sdasad1285 Před měsícem

    Ma Shaa Allah hongera dada yetu hongera hongera tena Allah ATUJALIYE mwishomwema

  • @HajjiNdumiwe
    @HajjiNdumiwe Před měsícem

    ukhtyy Allah akubali toba yako hakika Allah kakupenda tunawapmba hao wadada wa kiislaam walio Baki katika hizo laana za Sanaaa waakimbie haraka bado hawaja chelewa

  • @DalilaHamis-gb7mj
    @DalilaHamis-gb7mj Před měsícem +1

    Hadi machozi yamenitoka Allah akukubalie tawba yako akuhifadh na familia yako

  • @SabihaKhalfani
    @SabihaKhalfani Před měsícem

    Mashaallah mashaallah mashaallah Allah azidi kukuongoa inshaallah

  • @user-zj2wc6oj5h
    @user-zj2wc6oj5h Před měsícem

    Dadaangu Snura Kipenzi cha wengi Allah kakunusuru na Maasi ya Iblis na umetangaza vita na nafsi yako. Allah akupe nguvu na kwa baraka za mtukufu wa daraja alhabib almustafa Muhammad s. a. w akufungulie rehma za Allah ziminike kwako kama inavyo funguliwa mvua mbinguni na kumiminika katika ardhi na ardhi ikashiba. Allah akupe wepesi kwenye uzito inshallah.

  • @nasrimbaraka341
    @nasrimbaraka341 Před měsícem +2

    Mwenyezi akupe kila la kheri

  • @user-kd8on3ml1p
    @user-kd8on3ml1p Před měsícem +1

    Mashaallah tabaraka alhamndulillah allah akuzidishie kumpenda nakumu ogopa dada yng allah atupe mwisho mwema allah atubariki kwasote ❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před měsícem +1

    Allah akupe kheri. Nakuomba uwe na msimamo thabiti usije ukawa kama mzee Yusuph alipo zungumza kama wewe jamii ikamuekewa, mpaka hija akaenda akawa Alhaji mzee Yusuph baadae akarejea katika mziki wa taarabu.
    Nakuombea kwa Allah na wengine wote unao waacha katika kazi hiyo nao watubu, mlango wa toba upo wazi kwako, kwangu na kwa kila binaadamu.

  • @lioally6647
    @lioally6647 Před měsícem +1

    Allah akuhifadhi na akudumishe katika msimamo kwao huo milango ya tawba Iko wazi

  • @KhamisAbdallah-lm9tn
    @KhamisAbdallah-lm9tn Před měsícem +1

    Mashaallah, Allah akujaaliye usitizame tena nyuma uangaliye ya mbele Yarabbi.

  • @madinarobert4944
    @madinarobert4944 Před měsícem +1

    Alhamndulilah 😢😢

  • @mwantummbilikira9221
    @mwantummbilikira9221 Před měsícem

    Maaa Shaa Allah.mungu azidi kukuongoza.na kukulinda .uzid kupambana na vita hii ya nafsi
    ALHAAMDULILLAH

  • @user-cd1hr2cx3i
    @user-cd1hr2cx3i Před měsícem

    Mashallah,,Allah akupe mwisho mwema dada ,,nmefurahi mno,,Allah husamehe mara zisizo hesabu.

  • @FatmaNassor-m8o
    @FatmaNassor-m8o Před měsícem

    Masha Allah Mungu atujalie khata njem

  • @maryamtassama494
    @maryamtassama494 Před měsícem

    Allah atupe mwisho mwema.
    Mashallah hongera dada