SNURA RASMI SASA AACHANA NA MZIKI, NIMEMRUDIA MUNGU WANGU, FUTENI NYIMBO ZANGU
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- SNURA AACHA KAZI KAZI ZA SANAA AMRUDIA MUUMBA WAKE.
Aliekua muimbaji wa Muziki Tanzania na Msanii wa Maigizo @snuramushi atangaza kuacha kazi hio na sasa amemrudia Muumba wake. Akiongea na waandishi wa habari leo tarehe 29/07/2024 ametangaza kuachana na kazi hio na kuwaomba Media, Tv na Redio kufuta kazi zake na kwa kila aliekua nayo basi afute kwenye simu ama flash, Cd.
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com...
CZcams: / @babdeomiladu
Natamani ungekuwa karibu yangu ningelikubeba juu juu Habibty Allahu Akbar, Alhamdulilah alaa kulli halli
Hadi nimelia Allah amkubalie tawba yake
@@DalilaHamis-gb7mjallahumma aamin
Hakuna mkamilifu zaidi ya Mungu dada, Allah s.w akusameh na atusameh na sisi kwa rehma zake. Amin🤲
Kabisa akuna mkamililifu ususa ukilijua kosa lako, Allah anasema( ENYI WAJA WANGU AMBAO MMEDHULUMU NAFSI ZENU KWA KUTENDA MAZAMBI MENGI, MSIKATE TAMAAA NA REHMA ZA ALLAH, AKIKA YA ALLAH ASAMEE MAKOSA YOTE) kwahy nakupongeza sana Dada angu snura Allah atukubalie wote na atusamee mazambi yetu wote (Amiiiin)
@@abduliashiru9394 Amin🤲
Amiin, Yarab
Aamiyn
Diamond na Harmonize na wengineo wapate mazingatio kwa ujumbe huu. Allah (SWT) Atujaalie kheri duniani na akhera. AL-HAMDU LILLAHI. Nakushauri Sinura Wasiliana na Wizara ya Utamaduni jinsi ya "KURASIMISHA HII MARUFUKU YAKO" na hatua gani zichukuliwe kisheria kwa yoyote atakaetumia sanaa zako baada ya maamuzi yako haya. Allah Akuzidishie. AMINA.
Ushaur mzur sana allah akupe fanaka
@@mirajiyombe1601 Allahumma Amina.
Dada yangu,Alla akuongoze,umerudi sehemu sahihi,,,umshukuru MUNGU sana sana roho haikutoka ikiwa ktk tasnia ya muziki,
Ushauri wangu kwako,na kwawengine,
Msujudie sana MUNGU,na jitahidi sana kuisoma kur.ani,
Kaa chini kila baada ya swala hata nusu sa Fanya adhkari kwa wingi huku ukizidi kumuomba Alla akuongoe
Allahh akuongoze. Dada yangu
Dada umefanya jambo zito kwani umeweza kuishinda nafsi nakuweka wazi maisha ulio chagua kushi kwa sasa atubaliki sote tushinde nafsi zetu amin❤❤❤❤❤
Usiwe kama mzee yusufu nae.alisema ukuanalia baadae.akaludi.tena
Takbir Allah yarrab tunakuomba uzidi kumuongoa na mjalie janna firdaus
Allahu akbar!! Amin thumma amin
Amin thuma amini
Hakika ya ALLAH huwapenda wenye kutubia na kurejea kwake, huu uwe ni mfano kwetu sote tumrejee ALLAH na tuifate njia ya sawa.............Hongera sana Dada Snura iwe ni sabab ya wengine kurejea katika haki
Allaah akuongoze dada yangu.
Umekumbuka lengo la kuumbwa kwako,
Dunia yako na kaburi lako pia.
Usirudi nyuma dada yangu kama yule aliyerudi mjini.
HONGERA SANA,
ALLAAH AKUHIFADHI UMEFANYA UAMUZI MGUMU SANA AMBAO WENGI UMEWASHINDA SANA.
Maa. Shaa Allah hakika Allah kajibu dua zetu hakika tumefunga na kuomba sana dua ,Allah akupe mwisho mwema, dada wewe ni mzuri sana natamani hata nikuone na nikupe zawadi kama kujipongeza mwenyewe!
ALLAH HUKUBALI TOBA YA MJA WAKE MAADAMU ROHO YAKO HAIJAFIKA KWENYE MITULINGA NA BADO JUA HALIJATOKA MAGHRIBI KWENDA MASHARIKI. USIJALI DADA ALLAH ATAKUHIFADHI ZAIDI
Allah akubali toba yako, awasamehe wazaz wako walokulea madam na atuhifadhi na atusamehe sote
Allahumma aamiin 🤲
Ongera sana mungu akufanyie wepesi
Maasha'llah maasha'llaah maasha'llaah. Mungu ATUTHIBITISHE ktk uislamu wetu na atupe mwisho ULIO wema kwetu sote waislamu.
Mungu akuongoze na usije ukarudi huko ulipo toka maana wengi wanamjarib Mungu kama mzee yusuph kaenda mpaka hij tunakuombea sana kwa Mungu akujalie kila lakher
Aliweke hilo Jambo ktk Vifungu vya sheria ili atakaye fanya hayo aliyokataza kufanywa basi achukuliwe hatua za kisheria na fine kali hii itamlinda sana Dada yetu akiwa hai na baada ya kuondoka kwake. ALLAH sw amuhifadhi na amlinde adumu ktk njia ya haki
Allah akukubalie toba yako dada yangu na atusamehe sotee ..Allah rahiim
Kinachoitwa usanii ni upuuzi mtupu,vijana wengi wamepotoka na kuueneza upotofu wao kwa jamii huku wakiitwa wasanii kioo cha jamii na serikali ikiwapamba na kuwashawishi kuendelea na upuuzi huo huku ikijifanya kuhimiza maadili.
Dada yetu tunakuombea dua Allah akusamehe na udumu na imani na kuyachukia maovu Inshaallah
Mashaallah Allah azidi kukuongoza tunafurahi umeiona njia ilyosahihi
ALLAH akulipe kwa jambo hili na akuhifadhi Kisha akumiminie rizki ili usirudi kwenye mahangaiko tena ALLAHUMMA AMIN
Maa shaa allaah dada yangu mungu akuhifadhi. Akujalie umri mrefu wenye manufaa, fii dunia wali akhera. kwekweli umetoa nasaha mzito sana. Maisha ya duniani nipumbozo tu. mungu akujalie mwisho mwema Aamiin allahmma Aamiin yaraby.
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
Allah andika kwa herufi kubwa Shukran
Kweli dadayangu hata surayako inanyesha umechukizwa nayale mambo ulivo yaacha
ALLAH anakupenda ungefia huko kwenye mziki.ungeishia motoni ,pia ili ujue Mungu anakupenda ni wanamuziki wangapi wamefia kwenye miziki ww amekuacha mpaka ukafanya toba kweli ALLAH anakupenda
Maasha Allah baarakallah
Dada yetu, Allah azza wa jalla akupokee toba yako, na akupe maisha ya furaha, na amani na uishi kwa furaha
Mashallha Subhanallah ❤❤❤❤❤
Amiin rabil alaamin
Mashallah. Allah akuongoze na abadili mabaya yako kuwa mema.
Hongera sana.
Hili ulilofanya ni kubwa mno mbele ya Allah.
Allah akulinde na kila ubaya wa sheitwan.
Allah amsamehe makosa yake na amhifadhi na kumpa mwisho mwema Yeye na Sisi sote kwa ujumla
Allahumma aamin 🤲
Maaaashallah
M/mungu azidi kukuongoza zaidi Na Mazingatio mazuri juu ya ujumbe wako umeongea vizuri mno Mawaidha yako yawawaizishe na wengine wote Bi IdhN llaH 🤲
Mimi ni Burundian American,
Ume tisha sana dada, ume ongea vizuri sana, na peleka darsa hili
Mpaka home baada ya kazi.
Uwe u ki wapa watu darsa warudi kwa Allah.
Allah mkarim, a kujalie wende hijja na familia yako mwaka kesho. Allah a ku kirim kwa hajjin mabruur wa dhmbin maghfuur.
Allah akuthibitishe katika haqi ,ila ushaur wang kwako usije kuacha mziki ukaamia kwenye maqaswid yote ndo yaleyale dada yang umeamua kutubu rudi kwa Allah kaa chini usome dini
Allah akupe mwisho mwema my lovely sister snura pia ushauri wangu punguza interviews
Umefanya vizuri saana !nkutangaza hadharani kwa sababu uliyafanya hadharani
Mwanangu masha allah mwanangu umedhubutu ishaa allah mungu atupe sote mwisho mwema nimekupenda sn mwanangu natamani nikuone tusimame pamoja kwa ajili ya allah
Maashaallah snura umefanya maamuz sahihi sana allah akutangulie kipenz
Mm nakupa hongera sana dada snura Allah akujalie usirudi tena
Allah aikubali toba yako dada na atusamehe mapungufu yetu sote na atuongoze amin.
Allah azidi kukupa riziki ya halali aamiin 🤲🤲🤲
Mashallah Mwenyez Mungu akuzdshiye wakuomgoze ktk njiya ya hak❤
mashaaallah mungu akupe wepesi ktk maisha yako na mwisho mwema dada yetu snura amiin
Wallahi nimeliaaa.. maneno mazito uloyasema na yanaukweli kabisa subhanallah😭, Allah azidi kukuongoa na aendelee kutuongoa na sie yarabby Amin🤲
Shukran sana kwakerejea na kujua umuhimu na lengo lako muhimu la kuumbwa na mola wako nakusihi dada angu iv sasa shikamana kuisoma dini yako na ibada dada angu
Allah akubalie Toba Yako hakika umekuja sehemu sahihi. Hakika Kuna maisha baada ya hapa duniani
Allah akuongoze ktk maisha yako na akufanyie wepesi
Namshukuru mw. Mungu kwa kukubali dua ambazo ulikuwa unaomba dada yangu mungu akupe kila la kheri, Mungu ailinde ndoa yako, muzae watoto wente tauhidi na akujaalie Janna pamoja nasi, atukutanishe akhera ikiwa ameturidhiya insha anlah.
Allah akuongoze ln Shaa Allah # Stay blessed
MashaAllah dadangu snura mungu atoongoze sote na atujaalie husnul khatima
Toba yako iwe Maqboul ,Allah azidi kukuongoza njia iliyo nyooka aamin, kweli umeiona njia iliyo sahihi kama uzi shettani awe mbali na wewe
Snura mwenyezi Mungu akuongoze na akujaze imani zaidi alafu jitahid usome sna unasauti pia ya kutolea mawaidha jitahid hivyo mwenyez Mungu atakulipa inshaalllah dada nimekupnd sn sana tena
MashaAllah tabarakallah Allah azidi kumwongoza na amuepushe na mitihani.hongera sana kwa kurudi kwa Mola wako ❤
Kama kazi yako ni sanaa we fanya sanaa, Mungu hupendezewa na wachapa kazi, kikubwa maisha yako yapendeze Mungu, kazi zako zipendeze Mungu, utie bidii kazini naye abariki kazi ya mikono yako. Langu la kusema ni, badala kuacha sanaa ambayo ulidhania ni chafu! Anza sanaa safi- yenye maadili na kuitoa jamii gizani. Kama uko na kazi ingine ya kufanya kando na sanaa ni sawa, ila haimaanishi ukifanya sanaa unamkosea Mungu.
Msinielewe vibaya.
Allah akujalie Kila kher
Allah akukubaleye toba nakusihi mwanaghu umeamuwa kuwacha kwaajili yamola wako basi baki namola wako hata usizughumze kitu chohote nakuomba mwanaghu namola akuswamehe amen
Allah azidi kukuongoza...na iwe Ibra kwa wengine...
Mashaallah..
...Snuraa naitajiii kukuoa please.....Mungu akupeee nguvu
Hongera sana dada kwa uamuzi mzuri ulochukua Allah akuongoze ktk njia sahihi
Ahsantee saana dadaa namuomba Allah akuongoze katika istiqama akudumishe katikahilo namengine yoote tuliyoamrishwa nakuacha tuliyokatazwa na Allah kupitia kwarasuli Muhammad (SAW) kwakowewe nasikwetu pia. Kazamoyo usiwe kawalee waliomtania Allah kwakudanganya wamerudi kwake. Allah azidi kutulinda inshaallah
Mashaallah Mashaallah dada yetu kipenz Allah akulipe kwa kuishinda nafsi yako
Dada nimekupenda bure maneno mazuri sana Allah akupe mwisho mwema
Maashallah 🤲❤️ Allah azidi kukuongoza na cc atuongoze pia kuacha matendo maovu ni kupigana na sheitwani ( IBILISI ) uso kwa uso 😢
Alhamndulillah Allah Akukubalie toba yako Ukupe imani sabiti Akujalie msimamo huohuo mpaka kufa kwako Allahumma Ammiin
Pia kama unajichubua uwache ubaki katika hali aliyo kuumba mungu mungu atupe mwisho mwema sote Islamic Amin 👏 👏
Masha Allah .. Allah azidi kukuongoza mdogo angu, akusamehe ulipo kosea na akukubalie Taubah yako, mimi binafsi sijui nyimbo zako kwa kuwa sisikilizi miziki kwa mujibu wa dini yetu...Ila kwa kujua umuhimu wa ombi lako hilo kuwa umekataza sitamani hata kujua uliimba nini ulikuwaje kipindi hicho nakujua hapa ulivyo leo Masha Allah... basi niombe pia kwa wengine wasianze kupekua sasa kuwa Snura aliimba nini au alivaaje wakati huo... ahsante.
Snura sikutegemea kama kuna siku utakuja kuongea ivo umeongea maneno mazur kuliko doctar sule
Mashaallah Ndugu Yetu Ktk Imani Allha Akuhifadhi Na Akujaalie Mwinsho Mwema Na Sisi Wote Atusahilishe
Mwenyezi mungu azidi kukuifazi na kusamehe makosa Yako nakulinde nakila
Balaaa na sharyy zikuepuke amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
Allahu Akbar, Allahu Akbar, alhamdulillah Allah tuongoe site
Hongera sana.
Snura tupo pamoja na wewe katika Hilo uliloliamua, na tumuombeni Allah azifute kumbukumbu zote zake mbaya Kwa rehma zake. Tunakupenda Kwa ajili ya Allah
Mungo akustiri habibty. Mungu yuko nawewe allah atuongoze hongera hongera
ماشاء الله بارك الله فيك يا أختي الكريمة.
Kwajinsi ulivyokuwa basi hii ndio tawba ya sawa hakika umebainishia umma kwa Tawba ilioifanya ALLAH, nimwingi wa kusamehe
قُلۡ يَٰعِبَادِيَ ٱلَّذِينَ أَسۡرَفُواْ عَلَىٰٓ أَنفُسِهِمۡ لَا تَقۡنَطُواْ مِن رَّحۡمَةِ ٱللَّهِۚ إِنَّ ٱللَّهَ يَغۡفِرُ ٱلذُّنُوبَ جَمِيعًاۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡغَفُورُ ٱلرَّحِيمُ
Sema: Enyi waja wangu walio jidhulumu nafsi zao! Msikate tamaa na rehema ya ALLAH Hakika ALLAH husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
ALLAH akulinde na akusimamie na akujaalie mwisho mwema
Mimi ni mmoja wa watu nilikuwa na naendelea kukupenda sana dada yangu Lakini sikuwa nazipenda kazi zako Kwa sababu sizipendi
Alhamdulillah ❤ mungu akuongoze katika njiia iliyyoonyooka
Allah Akibar walillah lihamdu
Mwenyezi Mungu azidi kujalia wepesi kwakila jambo inshaallah
Afadhali ukijitambua mapema kutoka kwenye ukafiri wa wanamuziki tubia kwa allah .pia waelimishe nawengine .hamna mwanamuziki anaetarajia pepo kwa maasi wanayoyafanya
Kwakweli Ustadhat nimekuelewa Sana jazakallwahulkhayra
Masha Allah dadaangu. Allah akuhifadhi na atuhifadhi sote.
Mashallah Tabarakallaah Allaah akuafikishe akuongoze kwenye njia ya haki ww na sisi
Allah Akbar, Masha Allah, Allah atusamehe madhambi yetu.
Aliye karbu na zuchu amuoneshe hii🎉
Watu kamahawa maranyingi wakishika dini huwa wanaishika kwelikweli masha Allah Allah amiongozi ktk njiya sahihi wengine walishindwa kupata toba ya kweli akina mzee yussuf kwako snura Allah akuangaziye mwanga duniyani na akhera
Mashallah mashallah mashallah ❤️ ❤️ ❤️
Masha Allah, Allah s.w.t akukubalie tauba yako, akujalie mwisho mwema na azidi kukupa iman, maarifa na nguvu ya kuwazinduwa na wengine waachane na matendo hayo. Amiin amiin
Allah atusamehe
Akupe istikama
Ila uwe umetubia kwelikweli
Cha msingi ingia darasani usome dini yako
Sasa tahadhari saana na marafiki wabaya
Kwani hao ndio wasaidizi wa sheithan
Allaah Akukubalie toba yako lakini pia jitahidi dada sasa ushawishi wako iwe nisababu ya wengine kuongoka bi-llaahi na umuombe Sana Allaah Akudumishe ktk kheri na jitahidi Sana kwa ibada kuutafuta mwisho mwema
Kutangaza kwako toba yako katika jamii, Umezigusa nyoyo za wengi wenye akili.
Chengine ni kwamba, Mshukuru Mungu kwa Mara zisizo na idadi. kwa sababu Mungu humuongoa anaemtaka na humuacha akapotea anaemtaka, ikiwa Mungu kakuvuta kwake hiyo ni zawadi isiyo na mfano.
Kwa sababu wewe mwenyeo snura umetangulia kusema Kuna maisha ya milele baada ya maisha mafupi Sana tunayoyapita hivi Sasa.
SNURA NAKUPENDA DADA YANGU KWA AJILI YA ALLAH, MUNGU ATUKUTANISHE PEPONI. 🫡🫡
Alhamdulillah pongeza sana dada Allah akukubaliye toba yko mshukuru Mola wako kwa kukutoa huko. Nakuiona njea ya haki.
Ma Shaa Allah hongera dada yetu hongera hongera tena Allah ATUJALIYE mwishomwema
ukhtyy Allah akubali toba yako hakika Allah kakupenda tunawapmba hao wadada wa kiislaam walio Baki katika hizo laana za Sanaaa waakimbie haraka bado hawaja chelewa
Hadi machozi yamenitoka Allah akukubalie tawba yako akuhifadh na familia yako
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah azidi kukuongoa inshaallah
Dadaangu Snura Kipenzi cha wengi Allah kakunusuru na Maasi ya Iblis na umetangaza vita na nafsi yako. Allah akupe nguvu na kwa baraka za mtukufu wa daraja alhabib almustafa Muhammad s. a. w akufungulie rehma za Allah ziminike kwako kama inavyo funguliwa mvua mbinguni na kumiminika katika ardhi na ardhi ikashiba. Allah akupe wepesi kwenye uzito inshallah.
Mwenyezi akupe kila la kheri
Mashaallah tabaraka alhamndulillah allah akuzidishie kumpenda nakumu ogopa dada yng allah atupe mwisho mwema allah atubariki kwasote ❤️❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Allah akupe kheri. Nakuomba uwe na msimamo thabiti usije ukawa kama mzee Yusuph alipo zungumza kama wewe jamii ikamuekewa, mpaka hija akaenda akawa Alhaji mzee Yusuph baadae akarejea katika mziki wa taarabu.
Nakuombea kwa Allah na wengine wote unao waacha katika kazi hiyo nao watubu, mlango wa toba upo wazi kwako, kwangu na kwa kila binaadamu.
Allah akuhifadhi na akudumishe katika msimamo kwao huo milango ya tawba Iko wazi
Mashaallah, Allah akujaaliye usitizame tena nyuma uangaliye ya mbele Yarabbi.
Alhamndulilah 😢😢
Maaa Shaa Allah.mungu azidi kukuongoza.na kukulinda .uzid kupambana na vita hii ya nafsi
ALHAAMDULILLAH
Mashallah,,Allah akupe mwisho mwema dada ,,nmefurahi mno,,Allah husamehe mara zisizo hesabu.
Masha Allah Mungu atujalie khata njem
Allah atupe mwisho mwema.
Mashallah hongera dada