Watu Wa Mungu Hawaozi/ Majini Hawajui Ghaibu Ila Elimu Ghaibu Wanayo / Sheikh Walid Alhad Omar
Vložit
- čas přidán 7. 06. 2023
- Watu Wa Mungu Hawaozi/ Majini Hawajui Ghaibu Ila Elimu Ghaibu Wanayo / Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Alhad akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Watu Wa Mungu Hawaozi/ Majini Hawajui Ghaibu Ila Elimu Ghaibu Wanayo / Sheikh Walid Alhad Omar
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
CZcams @Darsa tv
TikTok @Darsa tv - Zábava
ALLWAH AKUBARIK SHEIKH UZIDI KUTUZINDUA
Mashallah mawaidha mazur
Allah akuhifadhi shekh walid nataka mwanangu aje kusoma quran kwenye madrasa yako naomba nitumie namba yako tuweze kuwasiliana inshaallah
Barakallahu fiikum ustadh wangu....ukija mombasa kwa mhadhara sitokosa kuja kukuona...qulubi 3aarifina lahaa uyuunin❤
Ushabiki wa dini mbaya sana,anawadanganya mbumbumbu nao wanafurahia.huu mwili tulionao lazima uoze maana asili yake ni hapa duniani
Mwasa: Hunikani ni mwanamke au mwanaume, je wewe ni Muislamu? Kama ingekuwa Muislamu ungejua hiyo ndio haki.
Unateseka ukiwa wapi
Huyu ndo shekh alosoma
Sio alhadi mussaa kutwa makanisani
Hiyo heading hawajui ghaibu ila ekimi ya ghaibu wanayo
Tafauti iwapi hapo maneno yanajigonga
Kwa iyo kwa muda huo wa mwaka alikua hali chakula, hakutani na wake au ndugu zake na bado hao ndugu, watoto au wake hawajajisumbua kumchunguza au kumsogelea....inaingia akilini kweli mfalme na nabii mkubwa wa aina ya Suleiman afe kisha watu wake wa karibu wasijue kwa muda wa mwaka mzima!? Wakati Rais Magufuli hajaonekana wiki tu hadharani watu wakaanza kujiuliza maswali kuna nini kinaendelea, sasa Nabii Suleiman ambae ufalme wake haujawahi kutokea eti kafa mwaka mzima umepita watu hawajui ha ha ha...hii ni kuikejeli Aya za Mungu na Mitume wake, we are not serious at all! Uelewa mbovu wa aya mutashabihat😂
Sawaa umeshinda
@@budumahmud1008 wala sipo ktk kushindana, dini sio mpira au siasa.
Watu wa pangoni na mbwa wao??????? ,
Mambo yote ni ya MUNGU na ndiye mwenye KUWA, AMRI, Na SHANI .
Big up Sheikh WALID