Watu Wa Mungu Hawaozi/ Majini Hawajui Ghaibu Ila Elimu Ghaibu Wanayo / Sheikh Walid Alhad Omar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 06. 2023
  • Watu Wa Mungu Hawaozi/ Majini Hawajui Ghaibu Ila Elimu Ghaibu Wanayo / Sheikh Walid Alhad Omar
    Mashaa Allah Sheikh Walid Alhad akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Watu Wa Mungu Hawaozi/ Majini Hawajui Ghaibu Ila Elimu Ghaibu Wanayo / Sheikh Walid Alhad Omar
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    CZcams @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • Zábava

Komentáře • 13

  • @rukiahassan3444
    @rukiahassan3444 Před rokem

    ALLWAH AKUBARIK SHEIKH UZIDI KUTUZINDUA

  • @mariamkai2705
    @mariamkai2705 Před rokem

    Mashallah mawaidha mazur

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před rokem

    Allah akuhifadhi shekh walid nataka mwanangu aje kusoma quran kwenye madrasa yako naomba nitumie namba yako tuweze kuwasiliana inshaallah

  • @swalehali2757
    @swalehali2757 Před rokem

    Barakallahu fiikum ustadh wangu....ukija mombasa kwa mhadhara sitokosa kuja kukuona...qulubi 3aarifina lahaa uyuunin❤

  • @mwassamwassa7264
    @mwassamwassa7264 Před rokem

    Ushabiki wa dini mbaya sana,anawadanganya mbumbumbu nao wanafurahia.huu mwili tulionao lazima uoze maana asili yake ni hapa duniani

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Před rokem

      Mwasa: Hunikani ni mwanamke au mwanaume, je wewe ni Muislamu? Kama ingekuwa Muislamu ungejua hiyo ndio haki.

    • @alyanibalbila
      @alyanibalbila Před rokem +1

      Unateseka ukiwa wapi

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před rokem

    Huyu ndo shekh alosoma
    Sio alhadi mussaa kutwa makanisani

  • @mussakimwaga4645
    @mussakimwaga4645 Před rokem

    Hiyo heading hawajui ghaibu ila ekimi ya ghaibu wanayo
    Tafauti iwapi hapo maneno yanajigonga

  • @thegreenkhidhir3705
    @thegreenkhidhir3705 Před rokem

    Kwa iyo kwa muda huo wa mwaka alikua hali chakula, hakutani na wake au ndugu zake na bado hao ndugu, watoto au wake hawajajisumbua kumchunguza au kumsogelea....inaingia akilini kweli mfalme na nabii mkubwa wa aina ya Suleiman afe kisha watu wake wa karibu wasijue kwa muda wa mwaka mzima!? Wakati Rais Magufuli hajaonekana wiki tu hadharani watu wakaanza kujiuliza maswali kuna nini kinaendelea, sasa Nabii Suleiman ambae ufalme wake haujawahi kutokea eti kafa mwaka mzima umepita watu hawajui ha ha ha...hii ni kuikejeli Aya za Mungu na Mitume wake, we are not serious at all! Uelewa mbovu wa aya mutashabihat😂

    • @budumahmud1008
      @budumahmud1008 Před rokem

      Sawaa umeshinda

    • @thegreenkhidhir3705
      @thegreenkhidhir3705 Před rokem

      @@budumahmud1008 wala sipo ktk kushindana, dini sio mpira au siasa.

    • @moneyyousuph3230
      @moneyyousuph3230 Před 10 měsíci +1

      Watu wa pangoni na mbwa wao??????? ,
      Mambo yote ni ya MUNGU na ndiye mwenye KUWA, AMRI, Na SHANI .
      Big up Sheikh WALID