Ustadh Haji Upepo amtetea Dr Sule kuhusu kutumia jini

Sdílet
Vložit

Komentáře • 251

  • @VuaiAli-zt9ib
    @VuaiAli-zt9ib Před měsícem +8

    Sheikh Haji shukran,umefafanua vizuri na umeeleweka kwa wasio na ushabiki,jambo hili lipo wazi na Dalili zipo wazi kikubwa Watu wasome na waache ushabiki.

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před měsícem +2

    MCHE ALLAH, na uelewa mbovu kuhusu mawalii

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Před měsícem +4

    Asante sheikh wetu hajj allah azidi kukupa umri mrefu hakika hili swala umelifafanua kwa uadilifu kabisa na muonekano wa hali ya juu kwa hili allah akujaalie pepo na kizazi chako chote..

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem +3

      Kweli nyi masufi wenda wazimu kweli yani unamsifia mtu kutetea ushirikina loooh ama kweli naamini alivyosema imamu shafii ukiingia katika usufi asubuhi mchana ushakuwa mpumbavu et shekhe wetu upepo hongera ninyi ndo wale mnao haribu dini ya Allah kutetea majini mnasingizia uislamu

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před měsícem

      ​@@user-yj5on8cz3e umesikiliza au unaropoka tu na kuja kutukana watu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      ​@@user-yj5on8cz3emwenye wazimu nyinyi mawahabi wapotoshaji sheikh wenu ibn taimiya asema waeza tumia majini sasa wasiokua na akili nyinyi mawahabi wapotoshaji

  • @khamisali1929
    @khamisali1929 Před měsícem +1

    Usiseme mawahabi sheikh McHenry Allah sifa ya Allah unimpeded mwanaadam

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku Před měsícem

    Alhamdulillah saii tunazidi kumshukuru Allah sababu tunaendelea kujua wachawi ila naona Tanzania n wengi dah tumuogope ALLAH jamani wanaongezeka kila kukicha

  • @abdulmalikali1501
    @abdulmalikali1501 Před měsícem +2

    Hini sio dini Aloiwacha bwana Mtumi Muhammad.Mbn muugawanye uislamu pande mbili?.Sote ni waislamu mbona watu wafike kwa haddi hini.kila mtu afuate lisilomtia shaka na aliwache mbali limtialo shaka.Shukran

  • @giltaemi4017
    @giltaemi4017 Před měsícem +6

    Hahahahaha.
    Kajamaa haka kaongo balaaaa.
    Eti walii anaweza kutumia majini na majini yakamuogopa

    • @user-em3uf8wz6r
      @user-em3uf8wz6r Před měsícem

      Wewe Ndo MUONGO nyooo

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Před měsícem

      @@user-em3uf8wz6r
      Mi nahangaikaga na Makafiri na Waongo basi.
      Sina hata muda huo ila sijajua ndugu yangu kama ni kafiri au unamtetea muongo mwenzako.
      Maana sijajua kama na wewe ni kafiri au muongo.
      Na kama muislamu Samahani kukuita kafiri ila pia Acha matendo ya kikafiri kafiri.
      Maana kafiri haoni Taabu kutukana kwasababu haamini kua siku ya Kiama Atapata hasara sasa jitambulishe tukuelewe kafiri au mwislamu.
      Na pia Uongo wangu ni nini Labda.

  • @bakarimussa8561
    @bakarimussa8561 Před měsícem

    Shukean shekh umefahamika mashaa Allah

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p Před měsícem +2

    Group Majini

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v Před měsícem +1

    Kutoka kwa Hafswa bint Omari bin Khattwabi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- Amesema: "Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote, akamsadikisha, haitokubaliwa kwake swala yoyote siku arobaini".
    Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

  • @abuualya9390
    @abuualya9390 Před měsícem +3

    Shekh kiukwely sijawai kucomment hat siku moja lakin shekh wangu nakuomba uwend ukasome urud darasan tena

    • @aminabdalla7824
      @aminabdalla7824 Před měsícem +1

      Swadakta bwana abuu ...Hawa ndio watu wanao potosha ummah...arudi akasome dini vizuri

    • @shakourdutilo3813
      @shakourdutilo3813 Před měsícem +1

      Unao uwezo wa kuelewa mambo? Unamwambia sheikh akasome tena kivipi wakat yeye amewanukuu masheikh wakubwa duniani? Walio ruhusu kutumia majini ni SHEIKH IBN TAYMIA NA IBN UTHAIMIN, tumia akili.

    • @fauzishma8033
      @fauzishma8033 Před měsícem

      Huyu hata ni jahili mraqab

  • @aliabdullahi9200
    @aliabdullahi9200 Před měsícem

    Mashallah ya sheikh ❤

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Před měsícem +3

    Wallah sh hajji umeongea kwa hikma kubwa sana kwenye hii kadhia na nazani umefahamika kabisaa

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem +2

      Sasa wakisema mashekhe wapite mbele huyu nae mtamtowa shekhe, kwa ilmu gani alonayo? Za kutetea washirikina wafuga majini

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      ​@@user-yj5on8cz3endio shekhe kama sio sheikh mbona wamsikiza nyinyi mawahabi wapotoshaji mumelaniwa hao mashekhe weni ndio mashekhe kwa sababu waongea na paka

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před měsícem

      ​@@saba-gv3mj kweli una Akili mgando kwaiyo Kila anayetokea kwenye midia ukamsikiliza kwako wewe tayar ni shehe😂😂

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      @saidimkwinzu9106 kulingana na ilimu yake mwenye ilimu utamjua na huu ni mwisho wadunia mashekhe wakweli wanatukanwa na kuonekana warongo na mashekhe wa urongo wanatukana wenzao nyinyi mukiona mashekhe wa ukweli nyinyi mawahabi muna shida sana na mtume s a w aliwatabiri tangu zamani nyinyi mawahabi wapotoshaji

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      @@saba-gv3mj ndo mnavyodanganywa na shekhe zenu Kati sisi na ninyi sufi nani waongo so ninyi?? Ninyi mnasema mtume anaudhuria maulidini usiku kiamo raily na hali ya kuwa mtume kashakufa yupo kaburini kwake waongo? Aya gani na haditihi gani mtume kataja mawahabi? Na jina wahabi kalileta nani mtume? Au niyinyi wazushi kwani wahabi Ni dhehebu?? Kumbe masufi Ni wajinga xana hamna ilmu mdadanganya na shekhe zenu tuu someni mtakuwa watumwa wa kutojuwa uislamu wenu ninyi mpk leo mnaburuzwa tuu!!

  • @Abuusaad-uy5cx
    @Abuusaad-uy5cx Před měsícem +9

    SHEKH HAJI UPEPO ALLAH AKUHIFADHI KWA JINSI UNAVYO WAELIMISHA MAWAHABI KUPITIA VITABU VYAO...

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem +1

      Anawaelimisha mawahabi kwa ilmu gani alokuwa nayo huyu kijana watu wanampuuza tuuh so kila kitu watu watakujibu saa nyingine ukimya jibu la mjinga ilmu enyewe hana kajitokeza mitandaoni kudandia dandia mashekhe wenye ilmu zao wakubwa bado mtoto huyo ndomana watu hawastuki madrasa za michungwani utasema umesoma?? Sasa huyu unavyo muona atamuweza shekhe muhamnadi bachu au shekhe nurdin kishki? Amna kitu hapo kutafutta umaarufu tuu wa kuongea skuhizi ukipata ushujaa wa kuongea teyari waitwa shekhe Amna kitu hapo

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před měsícem

      ​@@user-yj5on8cz3ewewe unajua nini na huyo bacho wako akasome kwa huyu

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před měsícem

      ​@@user-yj5on8cz3e
      NDIO ANAWAELIMIAHA MAWAHABI WAJINGA WAJINGA AMBAO HAWANA ELIMU KAMA WEWE ..
      TENA MAWAHABI WANAJARIBU KUMRADD DK SULE KWASABAB ANATUMIA MAJINI KTK MAMBO YAKE ..
      MAWAHABI MASHEKHW ZENU NDIO WALIOSEMA KUTUMIA MAJINI INAFAA ... MBONA HAMUMSEMI IBNU UTHAIMEEN NA IBNU TAYMIA AMBAO WAMESEMA INAFAA KUWATUMIA MAJINI ??
      HAPA NDIPO UTAGUNDUA KUWA MAWAHABI SIO WASOMI KAZI YAO NI USHABIKI TU .
      HALAFU KAMA UNAWEZA JIBU HOJA NA USIBAKI TU KUSEMA. ETI " WATU WANAMPUUZA , HANA ELIMU , WTI ANATAFUTA TU UMAARUFU .
      HIZI TUHUMA ZAKO UTAENDA KUJIBU MBELE YA ALLAH ... JEE ULIMFUNGUA KUFUA CHAKE UNAONA KUWA UST HAJJI ANATAFUTA UMAARUFU ???

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Před měsícem +1

      Siku zote mjinga akimuona mjinga mwenzake huona ni mwenzake.
      Kwahiyo hatushangai usemacho ndugu

    • @user-bj6yz7gy1v
      @user-bj6yz7gy1v Před měsícem

      atakama ingekuwa ipo kwa maana iyo dini inatoka kwa mtume sio sheikh maana mtume ndo kigezo chetu hivyo kama mwanazuoni ataleta kitu hakina ushahidi wa kurani na sunnah hatosikilizwa haswa kwenye maswala ya ltikadi kiufupi sku ya pili anza mtume kasema sio sheikh fulani sawa au kama utatowa sheikh fulani basi ambatanisha maneno yake na kurani au hadithi acha kudanganya ummah kwa uwelewa wako mmbovu

  • @MussaMohammad-ku5bt
    @MussaMohammad-ku5bt Před měsícem

    Allah atuogoze katika njia ilyo sawa

  • @user-bj6yz7gy1v
    @user-bj6yz7gy1v Před měsícem +1

    sheikh wangu umeupa khofu yangu utathibitisha kwa kuran na hadithi ety sheikh flani kasema kumbe mukiambiwa wazembe munazidi

  • @rambazojournalist666
    @rambazojournalist666 Před měsícem

    Sheikh umetolea mfano wa makubaliano ambayo hayafai kati ya binaadamu na jini, sasa tunaomba tutolee hiyo mifano ya makubaliano ya halali kati ya Jini na binaadamu. Pia tuelezee utaongea naye kwa mazingira gani na mtaonana wapi?.
    Tafadhali naomba nijibu haya maswali ili nasi tujue kwamba wew sio miongoni mwa hao washirikina. Ahsante.

  • @ahmedseif-cu4ex
    @ahmedseif-cu4ex Před měsícem +3

    We upepo una usaha wa kichwa

  • @nourdinpro
    @nourdinpro Před měsícem

    Asante shekh

  • @abdallajuma0587
    @abdallajuma0587 Před měsícem +2

    Huyu hajji epepo ni mwehu mshenz Sana anawapeleka watu kwenye shirki utakwenda ulizwa mbele ya Allah 😢

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před měsícem

      ww ni mwehu usojua chcht

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      Hata ww Allah atakuliza na kusingizia watu washirikina wakati hujaona akimshirikisha

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 Před měsícem

      Hakika

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před měsícem

      SIJAWAONA WATU MAPUMBAVU KAMA MAWAHABI ..YAANI MARA NYENGINE BORA (( WAKRISTO )) WANATUMIA AKILI ZAO KULIKO HAWA WATU ......
      MFANO HUYU ((ABDALLA JUMA ))
      ANAMTUHUMU UST HAJI KUWA NI MSHIRIKINA KWASABB AMESEMA INAFAA KUTUMIA MAJINI.
      WAKATI MASHEKH WA KIWAHABI NDIO WA ALIOWANUKUU. KAMA VILE IBNU TAYMIA NA IBNU UTHAIMIIN .
      KWA HUKUMU YAKO HIO MAANA YAKE .
      UMEWAINGIZA IBNU UTHAIMIIN NA IBNU TAYMIA KTK USHIRIKINA .
      KWASABABU HAO NDIO WALIOSEMA INAFAA KUTUMIA MAJINI. UST HAJI YEYE KANUKUU TU .
      وناقل الكفر ليس بكافر

    • @Mpakistanog
      @Mpakistanog Před měsícem

      Subhahanallah

  • @Harithshaame
    @Harithshaame Před měsícem

    DJ HAJI Usijingize katika mambo Ambayo huna elimu nao
    Wewe ni Dj tu usipoteze watu utasimishwa mbele ya Allah wew !!!

  • @KhalidAbdalla-lb4ph
    @KhalidAbdalla-lb4ph Před měsícem

    kwa ufahamu wako je jini anaweza kukusaidia bila sharti za kumuasi Allah

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9g Před měsícem

    Napendaga sana kufatilia haya marumbano japo mi si muislam nabaki kucheka maana huyu mshirikina huyu hana elimu bas daah dini hizi wakristo nao ndio kabisa hawa hakuna mafuta ya upako wengime mafuta ya upako yameruhusiwa vurugu mtindo mmoja

  • @drruhanitz8161
    @drruhanitz8161 Před 25 dny

    MWALIM HICHO KITABU
    NI KATIKA mlango ngani Tadhali ili tupate faida KATIKA hicho kitabu

  • @citygraphics6670
    @citygraphics6670 Před měsícem

    Hakuna tofauti unayosema na aliyosema bachu. Nini maana ya Ulamaa wa Ahlusuna na Mawahabi. Usigawe waislam mcheni Allah

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před měsícem +1

    WATU WA BIDAA WOTE WASHIRIKINA

  • @user-wh3et9pu3h
    @user-wh3et9pu3h Před měsícem +4

    hebu weye upepo acha mambo yako hayo na chuki, hata hao masufi wenzako wamempinga

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Před měsícem +3

    Umaarufu utaupata kwa hali hii, hapo hamna faida kuna ujinga tu.

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522 Před měsícem +4

    Mm nakushauri kasome kwanza kabla ya kutoa fatwa au kuhutubia

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem +1

      Pengine usome ww mana huelewi punguza bangi

    • @emanuelkyomo3772
      @emanuelkyomo3772 Před měsícem +1

      ​@@saba-gv3mjKufuga Jini ni Shirki Full Stop,,

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      @@emanuelkyomo3772 ki vp shirki wajia ukisema shirki toa na maelezo kuna wengine wawatumia kwa kazi zao jini waeza mtumia

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před měsícem

      Lete weye hoja zako basi, msituletee chuki hazitupi faida. lete dalili

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před měsícem

      @@emanuelkyomo3772 jini sio kuku ata ufuge. Jini hafugwi Kwanza.

  • @abuuhhashim
    @abuuhhashim Před měsícem +1

    Wew . Haji unajielewa

  • @abdallajuma0587
    @abdallajuma0587 Před měsícem +2

    Hili HAJI upepo ni shirikina tulisema zamani chawi sana hili

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před měsícem

      Ww mjinga huyu sheikh haji apa ananukuu mijtabu yenu hivyo nynyi ndio wachawi wakubwa

    • @abdallajuma0587
      @abdallajuma0587 Před měsícem +1

      @@HemedSerious nyie uko misufu ndio mishirikina munao abudia makaburii

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 Před měsícem

      Hakika

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před měsícem

      @@abdallajuma0587 wewe una akili lkn? Au mgonjwa? Unajua maana ya kuabudu? Km unajua naomba nipe maana ya kuabudu

    • @abdallajuma0587
      @abdallajuma0587 Před měsícem

      @@HemedSerious munawapoteza watu Sana nyie makohani tushawajuwa zamani munakoelekea acheni kuabudia mizimu nyie masufii

  • @Harithshaame
    @Harithshaame Před měsícem

    Jamani uyu sio Sheikh uyu ni DJ tu anaepoteza watu musimuite sheikh ..
    Tunamuomba Allah amuongoze.

  • @allymuhammad8956
    @allymuhammad8956 Před měsícem +3

    Yaani wewe mwenyewe unajichanganya

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg Před měsícem +3

    Uyo walii ni Nan ? Wewe sh upepo usijifanye mjuaji utapoteza watu na utaulizwa

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před měsícem

      Muulize lBNU taymiyya na lBNU uthaimeen
      Wametoa wapi KUWA kutumia majini inafaa ???
      Maana Ust HAJI amewanukuu hao wawili tu .
      Sasa akisema wanaotumia majini ni washirikina. Jee lBNU TAYMIA na lBNU UTHAIMIIN watakua ni naniiiii ???

  • @Hemy73Ally
    @Hemy73Ally Před měsícem

    Mzeee sema tu km unatafutaa umaruufuu kwa nguvu lakini unayoongea bado hayana kauli zilizoshiba hakuna jini utakaemtumia asitake lake uyo binadamu akikusaidia mamb kibao yanakuja Mungu yupo anatosha mwisho mtu ndio kila kitu jini mpk ushirikina km Mola wako hakutoshi bas lkin ilo ni jambo lisilo la msingi tafuteni tu izo njia za kua wachawi taratibu

  • @mirajramadhan3845
    @mirajramadhan3845 Před měsícem +1

    Walii ni kila muumini anayemwamini ALLah.na si walii mtu maalum na kabla Mashekh wa kusudi kwa.

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před měsícem

    Umesema humtetei dr.sule kwa mengine hayako sawa sasa swali mbona husemi hili dr.sule hapo hapana ww pia umwoga kitu amepindisha s useme hapa umepindisha

  • @omarabdullah3412
    @omarabdullah3412 Před měsícem +1

    Allah Atuongoze. Fungua vitabu basi kama Bachu sio balbala. Angalia unavojichanganya

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před měsícem

      IBNU UTHAIMIIN AMESEMA KUTUMIA MAJINI INAFAA KAMA ALIVOSEMA DK SULE ..
      IBNU TAYMIA AMESEMA KUTUMIA MAJINI INAFAA KAMA ALIVOSEMA DK SULE
      MAWAHABI MNAAEMA JEE HAPA. JEE INAFAA MWENYE KUMIA MAJINI TUMUITE MSHIRIKINA ???
      AU MCHAWI ??
      ILI TUKIMUITA DK SULE NI MCHAWI BASI PIA TUMUITE IBNU TAYMIA NA IBNU UTHAIMEEN NI WACHAWI ??

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před měsícem +2

    Mwenda wazimu WEWE

    • @shakourdutilo3813
      @shakourdutilo3813 Před měsícem

      Sasa mwenda wazimu ni nani?? Inamaana unamtukana sheikh IBN TAYMIA NA SHEIKH IBN UTHAIMIN waloruhusu kutumia majini!?

  • @la_raib953
    @la_raib953 Před měsícem +2

    sisi ni waislamu anapotokea Muumini yoyote Haram akaihalalisha or kuilainisha hiyo anatakiwa kupingwa Kwa kuelimishwa or ata kutengwa

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      Soma mzuka ww wakupingwa kama ww usio kua na ilimu

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v Před měsícem

    Jiupusheni na mambo saba yanayoangamiza, wakasema maswahaba: Ni yapi, ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu? Akasema Mtume ﷺ: Kumshirikisha Mwenyezi Mungu, na uchawi, na kuuwa nafsi aliyoharamishwa na Mwenyezi Mungu ila kwa haki, na kula Ribaa, na kula mali ya yatima, na kukimbia vitani,(katika jihadi) na kuwasingizia kuwa wamezini wanawake waliojihifadhi walioghafilika tena waumini]. [Imepokewa na Bukhari na Muslim]

  • @Hemy73Ally
    @Hemy73Ally Před měsícem

    Kisha mwenyewe unajifungaaa waliokataa ilo jambo hawajakosea wapo sawa mzee usiwatie watu kwenye ushirikina unajizongaa sana mzeee bora wao waliokuja wakasema haifai moja kwa moja mie ata sikuelewi naona unajizonga tuu mzee

  • @Harithshaame
    @Harithshaame Před měsícem

    Kasome Bado hujawa na elimu.
    Haji upepo......nenda kasome usipoteze watu utaulizwa mbele ya mola wako..

  • @citygraphics6670
    @citygraphics6670 Před měsícem

    Haya mbona ndio alosema Bachu? Mnalazimisha utofauti wa waislam mcheni Allah jamani

  • @gotfriedmwesiga4234
    @gotfriedmwesiga4234 Před měsícem

    Kwanini msimwombe Mungu mwenyewe awasaidie jamani mnaomba majini ili iweje?

  • @user-oh7gv8zg5y
    @user-oh7gv8zg5y Před měsícem

    Acha, upuuzi wote tunafaham wao Wameumbwa na moto na Sisi Kwa uongo, SA utawezaje kumdhibiti wakat yey ananguvu kushinda, sisi

  • @yunusabubakar6862
    @yunusabubakar6862 Před 9 dny

    Yaani huyu atoe mawaidha bila kutaja mawahabi nadhani yuaeza kuumwa😂

  • @user-oh7gv8zg5y
    @user-oh7gv8zg5y Před měsícem

    Huwezi, kutumia jini ukamdhinit , ispokua wew ni mchawi na yeye lazima akupe masharti ya kufru, khalasi acheni kupindisha pindisha mambo, mashekh WA ki khurafi😊

  • @adimiddyrama8894
    @adimiddyrama8894 Před měsícem +2

    mwendawazimu ww.

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Před měsícem

    We Nishimura shiyaaaa

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před měsícem +2

    USHIRIKINA HUO jini anaulimwengu wake na sisi tunaulimwengu wetu hakuna, QN kunaubusiano gani wa Pete na majini?

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      Ulimwengu wa majini ni upi hemu tuambie someni tumeumbwa majini na binadamu kumuabudu Allah na jini waeza mtumia kwa njia ya sawa

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411 Před měsícem

    kwaiy umeamua kutetea huku kwenye haki ukaacha kuke kwenye haramu kwakua mawahabi wameongea na we huwapendi

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v Před měsícem

    Anaeleza Mtume -Rehema amani ziwe juu yake- yakuwa atakayejifunza na akachukua katika elimu ya nyota na mashukio yake na kutumia harakati zake kama ushahidi wa matukio ya ardhini kama kifo cha mtu fulani au uhai wake au maradhi yake, na mfano wake katika yatakayotokea siku za mbeleni, basi atakuwa kajifunza sehemu ya uchwi, nakuwa kadiri mwanadamu anavyokithirisha elimu hii basi anakithirisha uchawi

  • @ShabanHassan-td3lx
    @ShabanHassan-td3lx Před měsícem

    Ww hajji tumia akili kwanza, tumia ww ao majini, ss mawahabi msimamo wtu haifai,

  • @KhalidAbdalla-lb4ph
    @KhalidAbdalla-lb4ph Před měsícem

    Ata kama kasema lkn ufahamu yy ni mujtahidi

  • @YussufWakala
    @YussufWakala Před 25 dny

    Dk sule na yey waliiii hhhhh apo tuache

  • @alimau7939
    @alimau7939 Před měsícem

    Mukizozana juu ya jambo lirudisheni kwa Allah na mtume wake mbona mashehe wa leo vitabu ndio kipao mbele

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultan Před měsícem

    we nnae mshirkina tu Allah katika Quran yake kakwambia umfuate Ibn Uthaymeen au ufuate kitabu chake na mtume wake. Asee Allah atufanyie wepesi waislam.. asa kusomesha familia zetu katika nguzo za uislam na nguzo za iman muislam hajatajiwa mwanadam yyte ispokua Muhammad tu ila washrikina kama kawaida watafanya juu chini kujihalalisha tu, ukute hata kitabu anachosoma huyu bwana mdogo kimetengenezwa na wao kwa jina la uthaymeen na dogo hajui kua sio maandish sahihi ya Uthaymen..

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před měsícem

    Tupe ilmu Shekhe

  • @rizikilukali1558
    @rizikilukali1558 Před měsícem

    Umeeleza kisomi kijana tofauti na hawa mawahabi wanaokwenda kishabiki

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411 Před měsícem

    tatizo la mashehe wetu (upepo) hamusikilzi ili mufaham munasikiliza ili mujibu

  • @user-xc6wt1lf6u
    @user-xc6wt1lf6u Před měsícem +1

    Mimi Shekhe Naomba Kufaham Tunafata Quran na Sunna Za Mtume Au Haitosh Tunafata Na Ya Watu Wengine

    • @rizikilukali1558
      @rizikilukali1558 Před měsícem

      Wewe unauwezo wa kuifafanua qur'an na sunna bila msaada wa maulamaa

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 23 dny

    Je mtume alitumia ?

  • @AbdallahMshan
    @AbdallahMshan Před měsícem

    Mm naona ukweli ushabainika ni wapi haki ilipo kati ya watu wa sunna na na watu wa maulidi kwa kuwa watu wa maulidi wameamua kuwaunga mkono watu wa sunnah kwa kumkosoa hurafi mwenzao

  • @user-dg8dt5bg7q
    @user-dg8dt5bg7q Před měsícem

    Ustadh nakuombea Dua Moja tu ALLAH àkujaalie jannatul firdaus !! Nimekupa firdaus maana wewe umkali ki vipi,, Yani wawakaranga na mafuta Yao!!! TOBA!!! Mawahabi siku zote hua hawaelewi sijui kwanini ALLAH awape fahamu Hawa mawahabi inshallah khususan tusome nao maulidi maana hawataki mtume asifiwe ni maana hawajui mtume saw bado kua ni nani hebu niwaulize kidooogo Hawa mawahabi maji aliyooshewa bwana mtume MUHAMMAD Saw wakati alipofariki yalienda wapi? Wakipata jibu waseme hiyo ni shirki pia!!!

  • @binsaid8248
    @binsaid8248 Před měsícem

    Sasa unastadili kwenye vitabu ambavyo unavikosowa kila siku
    Nashindwa sasa nishike wapi mañana ibnu taiymiya na ibnu uthaimin unawapinga mnooo

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev Před měsícem +1

    Hahaahaa leo umekua ibn tehimia innalillah wainnalillaih rajoon japo huo ni uongo maelezo ni tofaut kwel usufi mzingo

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      Mzigo wako ibn taimiya ndio kazi yake ikitoa watu majini na pia asema waeza kutumia kwa njia ya sawa ubaya nyinyi mawahabi wapotoshaji hamusomi huyo sheikh wenu kakubali

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Před měsícem

    Huna lakusema haji,yote Sheikh Muhammad bachu alisha yabainisha ila ulipenda uonekane nawe unaongea kwenye hili. Unge kua muadilifu na mwenye busara ulitakiwa usizunguke bali uenda direct kusema hivi hii kadhia Bachu yuko sawa kulikoni wote walio lizungumza hili. Lakini kwakua husda zimewajaeni hamuezi kumpongeza ambaye mumerofautiana kimadhebu hata kama amefanya zuri la aina gani.

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Před měsícem

    Ni ost wangu kweli lkn kuhusu hii elimu ya majini Bdo ,kw7bu inacr kubwa sna maana inaundn Kuna mambo inaonekna hayajkfka yakikufka utakuja kusherehesha vzr

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před měsícem +1

    Wazee mnavogombana ivi wakristo wanafatilia mwishoe wanatumia maneno haya haya kutudharau

  • @user-nb2ql7zw3i
    @user-nb2ql7zw3i Před měsícem

    Muhammad Nassoro Bachu nimuelewa sana ila ww kweli ni upepo

  • @amidsshimirimana-yg4ku
    @amidsshimirimana-yg4ku Před měsícem

    Kwahiyo hayiwezekani huyo sure nimushilikina

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Před měsícem

    Mhh huo ni ushirikina.

  • @hassansheha1092
    @hassansheha1092 Před měsícem

    Huna akili babu

  • @JumaMgeni
    @JumaMgeni Před měsícem

    Wewe ndugu yangu hueleweki maelezo Yako, tutajie walii mmoja tu unamjua wewe nayuko wapi huyo waliii

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganya Před měsícem

    Wewe kijana unauzowefu wakuzunguusha ulimi wako lskini hakuna jipya ulilo simulia umetaka nawewe uonekane mwenye kasema kuhusu kadhiya hiyo lakini wewe utajuhudi sana ya kuteteya Bida,a Allah akuongoze

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411 Před měsícem

    au msikilizs shekh kiriwasha sehem ya pili

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft Před měsícem +1

    Kijana acha kuwapoteza waislam fahamu Kila unachosema utakuja kuulizwa

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 23 dny

    Upepo kasome tauhidi kwanza kisha ndo uje umtetee mtu mshirikina

  • @sheikhyusufdiwan2489
    @sheikhyusufdiwan2489 Před měsícem +3

    جزاك الله خيرا

    • @hudhaifahsadru-xr2gg
      @hudhaifahsadru-xr2gg Před měsícem +2

      Mpaka Leo nashangaa yaani wew kutokana na chuki za tofauti ya ufahamu, umeamua kusema kuwa mawahabi Ni sawa na wakristo, hivi huoni kauli yako unawafadhilisha makafiri? Mwanzo nilijua wew Ni msomi

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před měsícem

      ​@@hudhaifahsadru-xr2gg kabisa wakatoliki. Uhakika mia mia

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem +1

      Ahlu bidaa huyu atajuwa hilo wazushi sikuzote ndo walivyo mashekhe kama hawa wanastahiki adhabu duniani na akhera linadanganya umma wallah mtajibu kwa Allah nyie ukamnasibisha muislamu na ukristo subuhana llah hamna kitu hapo kichwani

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      ​@@hilalkhalfan1452na ww msufi munae abudu makaburi ya masharifu upo sahihi usufi ni upumbavu mi ndomana nikimuona mtu wa bidaah simsalimii kabisa wazushi hawa

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před měsícem

      @@user-yj5on8cz3e Kama Wewe Una chuki Na masharifu basi utapambana Nao akhera. Sisi tunawapenda na tutawazuru.

  • @user-lh8qf5mn3s
    @user-lh8qf5mn3s Před 2 dny

    Kishehe ubwabwa hicho kinaporoja

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u Před měsícem

    Weneyetabia yakupenda majini wengiwao niwashirirkini

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb Před měsícem +3

    Na wew pia mshirikina kwa nini utumie jini kwani ALLAH hatoshi hadi utafute msaada wa jini daaa mwamba unayumba

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      Wacha ushamba kwani ukimtumia jini ni mshirikina kua na akili na uwe na ilimu jini ukimtumia sio ushirikina ukimtumia kuroga ndio utakua mshirikina someni mijuha ya kiwahabi

    • @ZubeirJuma-up7kb
      @ZubeirJuma-up7kb Před měsícem

      @@saba-gv3mj pumbavu zako ww ivi kumtumia jini kulikuwa ukosefu gani kwa mungu iyo ni elimu ya kiganga na ww apo ulipo mganga wacha kujibabaisha mnajifanya wasomi wavivu wakufanya kazi

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      @ZubeirJuma-up7kb wacha ujinga kondoo moja ww soma jini waeza mtumia kama mfanyi kazi wako sawa lakini unamtumia kwa njia ya sawa sio umtumie jini kuroga hapo utakua umemshirikisha ama umtumie jini kukulinda hapo utakua umeshirikisha lakini jini waeza kumtumia kwa kutibu watu kukuchukulia madawa na vitu vengine nabi suleiman aliwatumia majini kujenga aliwatumia majini wakipika chakula aliwatumia majini wakizama ardhini kuleta madini na alikua na majeshi yake ya kijini binadamu mpaka upepo na mengineo sawa hio akili yako iko kwenye makalio sio kila mtu mshirikina wala hujaona mtu akimshirikisha mungu nyinyi mawahabi wapotoshaji ilimu hamuna watupu kabisa ww na kondoo huna tafauti akili zenu

    • @shakourdutilo3813
      @shakourdutilo3813 Před měsícem

      Nani mshirikina hapo, SHEIKH IBN UTHAIMIN NA SHEIKH IBN TAYMIYA Walioruhusu kutumia mjini au huyu sheikh UPEO??

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      @@shakourdutilo3813 na hao mashekhe ni wakiwahabi wote ibn taimiya na uthaimin wote mawahabi

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u Před měsícem

    Wewe mwenyewe shekhe unazunguka mbuyu lakini unajuwa hifai

  • @user-bj6yz7gy1v
    @user-bj6yz7gy1v Před měsícem

    kumtumia jini kwa mambo ambayo ya kawaida mfano kumuuliza aliye pandisha kwa kutaka yule jini akusaidie kujuwa wapi uchawi umeekwa au wako wangapi iyo sawa lla kama alivo kurupuka huyu mzembe kutumia jini kwa kummiliki yani kuwa kama mfanya kazi...jengine walii ni mchamungu akiwa na jini mshirikina uyo kaka waskilizaji nawo wanaakili

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 Před 15 dny

    Kwani huyu msela wawapi anatokea wapi mbona x shehe uyu ni mla bangi tuuu

  • @AbuuSumayyah-rh7oi
    @AbuuSumayyah-rh7oi Před měsícem

    Huyu jamaa kwa jinsi alivyo wachukia mawahabi yaonyesha hata ndani ya pepo akiwaona washaingia basi yeye atatoka atasema bora asingie peponi kuliko kuingia na mawahabi
    Ndugu yangu upepo safisha moyo wako na acha chuki zako juu ya watu walio simama ktk haqi mwendo unao kwenda hauna mwisho mwema mbele ya Mola wako wee ghurafy mtumwa wa wazushi

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u Před měsícem

    Huwezi kumzibiti jini binadamu hata kutu chocolate ambacho unahitaji kikusaidie akusaidie halafu akukuogope tusidanganyane

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 Před měsícem

    Washirikina mnajuana

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p Před měsícem

    Tumekuona na ww kua umesema nini

  • @salumumohammed5607
    @salumumohammed5607 Před měsícem

    Jinga hili

  • @ZahranJuma-ye2gr
    @ZahranJuma-ye2gr Před měsícem

    7:52

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI Před měsícem

    Hy upepo kweli, antfta kik tena na yy

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před měsícem

    Hawa wote waganga
    Lazima wateteane
    Pia amewalipa laki mbili tatu tu

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 Před měsícem

    Hii NI bakora,twayyib shekh

  • @RamaNassry
    @RamaNassry Před měsícem

    KWA HAKIKA UISLAMU WA KWELI NI "KUIFUATA QUR,AAN,SUNNAH KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA{MTUME NA MASWAHABA NA WALIOWAFUATA KAMA WAO WALIVYO},KUACHANA NA UZUSHI KTK DINI YA ALLAH ILIYOKAMILIFU" HIYO INANITOSHA MIMI KAMA MUISLAMU

    • @shakourdutilo3813
      @shakourdutilo3813 Před měsícem

      Kwako wewe, hao wema waliotangulia ,SHEIKH IBN TAYMIA NA SHEIKH UTHAIMIN hawamo? Hukubali kama hawa ni wanazuoni na niwema waliotangulia? Hao ndio walosema inafaa kuwatumi majini.

    • @RamaNassry
      @RamaNassry Před měsícem

      KWANINI WASIWEMO, HAWA NI WANAWAZUONI WETU KTK HII MANHAJ (ALLAH TAALA AWEREHEMU) TUNARUDIA KUSEMA "UISLAMU WA KWELI NI "KUIFUATA QUR,AAN,SUNNAH KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA{MTUME NA MASWAHABA NA WALIOWAFUATA KAMA WAO WALIVYO},KUACHANA NA UZUSHI KTK DINI YA ALLAH ILIYOKAMILIFU" SASA MI NATAKA UTOE DOSARI ZA KUFUATA DINI KWA UELEWA NA UFAHAMU WA MTUME(ALAYHI SALAAM),MASWAHABA NA WEMA WALIOWAFUATA KAMA WAO WALIVYO.NIPE DOSARI MOJA TU.

  • @Ali-wi7hw
    @Ali-wi7hw Před měsícem

    Si kumtetea. ufafanuzi umepambanua.
    Dr sule hana uwalii huo.

  • @user-ww5iu4gz4b
    @user-ww5iu4gz4b Před měsícem

    HAJI UPAPA
    HAJI UPAPA
    HAJI UPAPA
    HAJI UPAPA
    HAJI UPAPA
    HAJI UPAPA
    KASOMEEEEEEE ACHA UMAARUFU
    HAJI UPAPA KASOME HAJI UPAPA KASOMEEE

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před měsícem

      Pungza kuvuta bangi kwanza. Kisha anza kucomment

  • @user-xt6jf9um4s
    @user-xt6jf9um4s Před měsícem

    Sem naww kiki pia

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 Před měsícem

    Hawa ndio wanajiita mashekh sasa, sasa majini wameumbwa kwa aina zao na binadamu tumeumbwa kwa aina zetu. Sasa umtumie jini wa nini mafundisho gani kwenye Qur'an yanasena ni sawa kumtumia jini kwa mazuri halafu umtumie ili iweje acheni uwehu