Video není dostupné.
Omlouváme se.

Je kumramba mumeo au mkeo ni haram au jaaiz || Ustadh Haji Upepo afafanua kielimu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 35

  • @Hemy73Ally
    @Hemy73Ally Před 3 měsíci +1

    Usitoshekee na elimu ya mmoja tafutaa elimu ya jambo moja kwa sehemu tofauti hii itakusaidiaa sana elimu muhimu na jambo la kudadisi na kufanya risaachi litawaafaa sana sio kila unaloambiwa unalivaa tuu sheikh kasema utakufa vibaya. Shauri zenu

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 Před 3 měsíci +2

    Nimekuelewa Sana Sheikh wangu.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 3 měsíci +1

    Shukran sheikh kwa ufafanuzi mzuri ❤.

  • @user-bx6nv7nf5h
    @user-bx6nv7nf5h Před 3 měsíci +1

    Mashallah shukrani shekh

  • @IbraFareed
    @IbraFareed Před 3 měsíci +2

    MashaAllah

  • @MtumwaHamis
    @MtumwaHamis Před měsícem

    Asante shekh....

  • @HajjiMakame-uv1sc
    @HajjiMakame-uv1sc Před měsícem

    Asante shekhe

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 3 měsíci +1

    Tupe ilmu Shekhe

  • @Silay1034
    @Silay1034 Před měsícem

    Dalili ya uharam wa moja kwa moja ipo ومن وقع في الشبهات وقع في الحرام

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 3 měsíci +1

    Tupe ilmu

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u Před měsícem

    Kwa mara yakwanza kukusikia unaelezea mambotofauti na kukashifu watu

  • @Silay1034
    @Silay1034 Před měsícem

    Syo kuramba shekh kunyonya

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Před měsícem

    YALE MAUTELEZI YAANI NYEGE UNAZIWEKA WAPI WAKATI UNAPOMRAMBA maana zile ni najisi!?
    2. KUINGILIA NI KUTENDO CHA KUTUMIA UUME KUUINGIZA KWENYE SEHEMU ZA UKE WA MWANAMKE, SASA ULIMI UNAHUSIKAJE NA HILO?
    3. Halafu neno shamba limekusudiwa uke wa mwanamke,na kulimA kumekusudiwa uume wa mwanamume,
    Kwa hiyo kuliendea shamba kulikokusudiwa ni kule kule kulala na mkeo kwa kutumia viungo vile vile vya kawaida, na kwa hiyo habari ya kunyonyana uchi hakuna hapo,kwa sababu mtu hawezi kulima shamba kwa kutumia mkasi au nyundo au vitu visivyohusiana na kazi hiyo.
    HEBU TUJITAHIDI KUEPUKA HIZO SHUBHAT JAMANI.

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl Před 3 měsíci

    Swali, Allah ametuumbia kila kiungo nakaziyake jimaa inahusu viungo vya uzazi je shekhe si nivizuri kutaka usahihi kwa anejua kuliko jibu hili ambalo litaleta maswali kwa wengi?

  • @Hemy73Ally
    @Hemy73Ally Před 3 měsíci +1

    Utafiti wa madoctaa piaa uchi ni sehemu ambayo inaakaaa bakteriA ambao wanasababish kensaa ya kooo je ww unajua mdaa gani km wapo au hawapo aaoo bakteria ?? Tafuteni matatizoo wkaati mamb yapo wazi

  • @Hemy73Ally
    @Hemy73Ally Před 3 měsíci

    Ipo hadithi sahihi inayosema kuaa atakpoenda haja ndogo mmoja wenu basi asishike utupu wake kwa mkono wa kuliaa .sasa je inakuaje ifae kutiaa ulimi kwenye uchi??

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464 Před 3 měsíci

    Ustadh na je si katika tendo la ndoa baadae utaoga najs kisha uoge ama vipi?

  • @Silay1034
    @Silay1034 Před měsícem

    دع ما يريبك إلى ما مالا يرىبك

  • @user-qo7wm7ej2c
    @user-qo7wm7ej2c Před 3 měsíci

    Ukifuta hiyo madhi unafa kuendeleya kulamba ustadh

  • @OmariPenda
    @OmariPenda Před 2 měsíci

    Tutoe comment zetu kw lugha nzur co lazma tulete matuc

  • @Silay1034
    @Silay1034 Před měsícem

    Hukum ya jambo la shubha nikujiepusha nalo tu bc ili kujitoa waswas katika Iman yako

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před měsícem

      ومن اتق الشبهات فقد الستبرأ لدينه وعرضه

  • @user-dn3jh6oz8s
    @user-dn3jh6oz8s Před 3 měsíci +1

    Kujitia mashaka na wasiwasi njia bora ni kuacha

    • @hajiupepo3146
      @hajiupepo3146  Před 3 měsíci +1

      Na sisi tumefunga maneno kwa kusema hivyo akhy, Ni bora kujiepusha lakini kuharamisha moja kwa moja nayo ina ukakasi.

    • @Zanzibar-LandOfBlacks
      @Zanzibar-LandOfBlacks Před 3 měsíci

      Ukiona hivyo hakusikiliza mpka mwisho huyo.​@@hajiupepo3146

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před 3 měsíci

      ​@@hajiupepo3146huo ukakasi unao ww eti !!!!

  • @Silay1034
    @Silay1034 Před měsícem

    Wacha zunguka mbuyu shekh hlo ni jambo la utata na jambo la utata hukum yake nikuacha hadth ya nuuman bin Bashiir

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 Před 2 měsíci

    Kamuulizeni actor maarufu wa hollyhood USA alivyoponea chupu chupu kufa kwa cancer ya koo, na yeye mwenyewe na ma dactari wake wamekiri ni kwa sababu ya Ramba ramba ,kupenda kupiga mbizi , mpaka sasa hana afya nzuri . Michael Douglass ndio jina lake

    • @user-es4uf6gj7u
      @user-es4uf6gj7u Před měsícem

      Pigia mifano kwa mitume na maulamaa na sio kwa makafiri wakati wachamungu wapo walio elekeza mambo haya

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz Před 2 měsíci +2

    Huo usahihi we umeutoa wapi au we unapata whahi, mnyanjiani wewe

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim Před 2 měsíci

    Upepo wewe hurambi?nenda kasome