Video není dostupné.
Omlouváme se.

MAWAHABI WAO KWA WAO WANATIYANA KATIKA BIDA. BY SHEKH AHMAD MBARAK AWES

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 01. 2024

Komentáře • 45

  • @zuhayrbendoh8796
    @zuhayrbendoh8796 Před 5 dny

    Angalia vizuri fatawah sheikh ibn uthaymeen alifutu kwa tafswiil hakusema moja kwa moja ni bid'aa

  • @khalfansharji-ez7pg
    @khalfansharji-ez7pg Před měsícem +2

    Tunakuelewa vizuri saaaana sheikh Aweis mawahabi hoja zao dhaiffffff!

    • @sufimuhammadadam6814
      @sufimuhammadadam6814  Před měsícem

      Kabisa hawana hoja

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      Ndo mnavyodanganywa hojja dhaifu mbona ninyi ndo hoja zenu dhaifu mnafanyaga vitu bila dalili maulid yenyewe mmekosa hojja mpk leo mmeshindwa kuleta hadithi wala Aya iiloonesha mtume alifanya maulid na swahaba zake hakuna Aya hiyo Wala hadithi hiyo mpk kiama kitakuja

    • @user-yo2ty5qj3h
      @user-yo2ty5qj3h Před měsícem +1

      Na nyiny wenyew kukataa mkatae yote sas myatakayo mwayakubal ambay hmyataki ndo mwayapigia mayoe.. au na hvo mfanyavo pia ndo mafundsho hayoo?!?.. nmepata wap na nyiny hayo yote Kam kwel nyiny ni watu wa dalil Kam mjiitavyo..

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      @@user-yo2ty5qj3h kitu gani tunafanya bia daiilili taja lini ahlsuna akafanya jambo so dalili kuruani na sunna au kuarifu wema waliotangulia taja moja wapo? Ila tunaona ninyi masufi ndo wakaidi kumuelewa mtume jambo akilifanya shekhe ilo limepita haimaniishi katoa wapi hata limpinge mtume ninyi mtalifanya madamu shekhe kafanya ni watu wasojuwa makatazo ya mtume

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      Mtume kafundisha kufanya maulid? Toka uhai wake yey na swahaba zake aiwahi kusanya watu akasema umati wangu shereeheni kuzaliwa kwangu tukiwauliza mmetowa wapi ibada hiyo mnaluka Luka thuh na kukimbia hoja mfano mtume kakataza kuyafata majeneza kwa sauti yeote kuimba kuongea kufanyeje jeneza liafatwa kimya kimya watu leo wameleta nyimbo na kudhikiri dhikiri za kukohowa au kuimba laila ila la ila ila llah tukiuliza mtume kakataza hivyo wanakuambia nikwwli sisi tumeleta ile kuwazima watu kelele na story za simba na yanga na mipira yani akili yenu inavyoona ndo dalili hakuna ubaya ndo tukisema utaskia mawahabi wanatukataza tusimtaje mungu ndo shida yenu watu wa bidaah propaganda nyingi ili watu wasione hakki

  • @MohamedMgwami-nw6bl
    @MohamedMgwami-nw6bl Před měsícem +1

    Sheikh mibarak Ahmed aweys hakika mawahabi hawana elimu zaidi vichwani mwao wameondolewa ufahamu,pamoja na ushahidi unaoutoa lkn hawakubali wao wanabaki na msimamo wao tu,wanaikataa bid'dah huku ndio watendaji wakubwa,allah swt akuhifadhi insha allah

  • @Musaalgi
    @Musaalgi Před 7 měsíci +1

    Maa Shaa Allaah

  • @AbuuKawtharAbdallah

    Ni jambo lililo wazi tangu ulamaa wa zamani walitofautiana kwenye mambo mengi. Cha kuangalia je ni kauli ipi yenye nguvu kwa dalili hiyo ndio inafuatwa.
    Ndio maana kuna mas-ala unaweza kukuta kuna kauli 5 au zaidi za maulamaa lakini unatakiwa ufuate kauli inayofikiana na dalili na wala usifuate ushabiki.
    Na Allaah ndiye Mjuzi wa Kila Kitu.

  • @MursalinaAdan
    @MursalinaAdan Před 17 dny +1

    Dalili sio masheikh dalili ni Kitabu na sunnah

  • @homeboyvr8184
    @homeboyvr8184 Před dnem

    Dalili sio mashekhe dalili nikitabu na sunnah

  • @hassanmachemba2757
    @hassanmachemba2757 Před 14 dny

    Huyu SHEKH mjinga SANAAA, yaani wew hata hujui kutofautisha kati ya mujitahidi na shekh wakawaida? Akiwa mujitahidi na akakosea analipwa na akipatia analipwa mara mbili , kwahiyo hata maulamaa wanakosea na hawafuatwi kwahayo makosa Yao sisi tutalazimiana na yule mwenye hoja inayoafikiana na dalili, yaan wew ni Bure Rudi darasani kasome Tena

    • @darajanida
      @darajanida Před 10 dny +1

      kaa kimya ndugu yangu unaonekana huelewi chochote kwenye masuala ya dini

  • @bakarisalimu8421
    @bakarisalimu8421 Před měsícem

    Naam hiyo iko wazi kabisa haifai ni bid'aa
    Na hao ni masheikh wakosea na kupatia
    Alafu kuna jambo uhakika ni bid'aa ila kumhukumu mtu binafsi kuna masharti yake watu wa Sunnah hawamhukumu tu mtu ovyo

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před měsícem +1

    Elimu iendelee kutolewa. Watu watolewe taka.

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 Před 6 měsíci +1

    Toeni na yenu

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 3 měsíci

      Yetu mshayatoa. Yenu mmeyasahau tunakukumbusheni. Nyani haoni kundule sasa tunakupigieni picha kundu zenu kisha tunakuonyesheni maana wenyewe hamzioni mawahabi

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 Před 6 měsíci +3

    Ujanja huo twakujuwa

    • @abdulshakurmshindo9040
      @abdulshakurmshindo9040 Před měsícem

      Sasa ujanja gani wakati mambo yako wazi

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před měsícem +1

      ​@@abdulshakurmshindo9040
      Yaa akhi.
      Kwani hawajui mawahabi walivyokuwa hawana ufahamu ??
      Mara nyengine bora "Wanasiasa " wanatumia akili zao wanapoambiwa ukweli ..
      Lake n mawahabi ni weupee..
      Unaona wana macho lakini hawaoni .
      Wana maskio lakin hawaskii
      ALLAH AKUHIFADHI KUTOKANA NA MAWAHABI

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el Před měsícem

    Acheni ujinga wenu wa bidaa.
    Wakati wa mtume kulikuwa na kamera au mikrofoni au nyumba za simiti na tiles au umeme au, au, au.

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota Před 26 dny

    Sheikh watu wapokataza bidagha hawana maana eti saudia hakuna....sasa kutaja saudia ndio nn wakat gonjwa la bidagha ni kote

  • @jumamukoko6662
    @jumamukoko6662 Před měsícem +1

    Siyo ujanja nyie hampendi yenu bidaa zitajwe

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před měsícem +1

    Duh jamaa ni muongo sana.Hakuna Ashaaul Waalidayn. Bali sadaka Halafu Ukizungumza Tumia Dalili Zipoje Sio Kupandikiza Fikra Chaf kama hizi.
    Tunachoangalia Ni salaamatul Manhaji.Na ndio mana Hata Maswahaba Pia walikosea ktk mamb mbali mbali
    Na saudia sio Dalili.

    • @sufimuhammadadam6814
      @sufimuhammadadam6814  Před měsícem

      Ulijuaje kama yeye NI muongo

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před měsícem

      @@sufimuhammadadam6814 Tunahitaj dalili kutoka ktk kitab na sunna hayo anayodai.
      La sivyo Ni chuki zake tu.
      Kama yeye anakiri juu ya Bidaa fulan lakin ana lengo gan kuzuia Bidaa au Kuunga mkono Bidaa.????Na nina uhakika Huko Saudia hakuna masuala yake hayo anayodai Na Maulamaa Wetu hawawez kupatia kila kitu na kila jambo hivyo hatutafuata ktk makosa

    • @zekgyn
      @zekgyn Před 21 dnem

      @@sufimuhammadadam6814 na wajuaje kua yeye ni mkweli? Allah ndiye mwongozaji, tufungue vifua vyetu katika kumuomba Allah atupe ufahamu wa dini kwa hoja zilokuasahihi.

  • @hassanmachemba2757
    @hassanmachemba2757 Před 14 dny

    Na ndio maana mambo ya mwezi muandamo unawadanganya waislamu eti oooh Tokyo ikiwa saa Saba usiku Tanzania itakuwa sijui saa kumi na Moja, SAWA je Kuna sehemu Duniani tunapishana masaa 24? Jibu hapana, na je kwani makafiri wanaposherehekea CHRISTMAS Duniani kote inakuwaje? kwani Kuna CHRISTMAS mbili au tatu au Christmas ni Moja ? Je Eid inaweza kuwa Moja ila Hawa wakaanza na Hawa wakafuatiwa
    Swali lingine
    Je unavyoambiwa QIYAMA ITAKUWA SIKU YA IJUMAA, maana yake Dunia mzima watu watakuwa kwenye QIYAMA kimoja au QIYAMA mbili, acha kudanganya watu wew uwesu

    • @AliSaid-y5j
      @AliSaid-y5j Před 10 dny

      Soma Geography, ndio ulize maswali hayo ya kijinga.
      Walio mbele kinyakati ndio wanaoanza kusherehekea. Kama wabisha rudi darasani usome wewe.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před měsícem

    Acha kwani bidaa ndo ulinganie bidah unazitaja bidah wakati we ndo mtu wa kuzifanyaa shekhe wemwwnyewe unalingania watu kwenye uzushi

    • @sufimuhammadadam6814
      @sufimuhammadadam6814  Před měsícem

      Subuhana Allah

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      @@sufimuhammadadam6814 Sasa subuhana llah huoni au kazuliwa huyo shekhe awsu si mtu wa bidah huyo kwani mtu wa sunnah huyo??

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      Ww unafanya maulidi na makhitima hayo Ni sunnah ya mtume muhammadi??

    • @asa9268
      @asa9268 Před měsícem +1

      We huna akili?huelewi kiswahili?kwani huoni yeye pia anataja bidaa wanazofanya mawahabi?shida iko wapi?

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      @@asa9268 bidah gani wanazofanya wahabi urongo mtupu mbona anafata maulidi na uzushi anajuwa et bidaah za wahabi salala ameshindwa kukataza yey mnazofanya huko kwenda na majeneza na nyimbo hizo so bidah kusoma hitima sijui 3 mbona amuwauliizi hawo mashekhe zenu nyi kila kitu ndy Kama wakristo kila kitu ndy mchungaji kasema ww una bidaah chungu nzima mauwlid n k mbona hakemei hilo huyo shekhe wenu anakimbilia kwa wahabi huku Ni dalil tunafata hatuzui Ni Kala llah wakala rassuluh