Video není dostupné.
Omlouváme se.
MAWAHABI WAO KWA WAO WANATIYANA KATIKA BIDA. BY SHEKH AHMAD MBARAK AWES
Komentáře • 45
Další v pořadí
Automatické přehrávání
Munaqasha Ya Tauhid Mawahabi Walipelekwa VibayaAL MUQADIM TV
zhlédnutí 2K
SHEIKH ALHATIMY ALIVYOTUMWA NA SAYYID ABDILQADIR AL-AHDALY MOSHI KUSAMBARATISHA WAHABIRAMIYA WETU TV
zhlédnutí 4,7K
Majibu ya kielimu kwa Jahil Muhammad Bachu || Ustadh Haji Upepo حفظه اللهHaji Upepo Online tv
zhlédnutí 18K
Truck catches on fire and biker helps put it out 🔥😱 (via themountainmiller/ig)MasFace
zhlédnutí 20M
Classic Italian Pasta Dogalbert_cancook
zhlédnutí 7M
CO TVOJE TĚLO NEDOKÁŽE UDĚLAT (ALE MĚLO BY TO UMĚT) 😅🤣Stejk
zhlédnutí 290K
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎Senza Limiti
zhlédnutí 12M
MCHUNGAJI ABADILI DINI NA KUA MUISLAMU,AFUNGUKA MAZITOMbengo Tv
zhlédnutí 44K
USTADH ISMAIL AKI WAHISHIMU AHLUL BEITSufi Muhammad Adam
zhlédnutí 622
MAWAHABI WAFUNDISHWA TAFSIRI YA NENO BIDA'A SHEIKH SAMEER SIDIKKiungiza TV
zhlédnutí 7K
WANAWAKE WAME BADILISHA JINA LA HAEIDHI WANAITA ADHA NA MWEZISufi Muhammad Adam
zhlédnutí 293
KUOMBEANA DUA NI SUNNA YA MANABII - SHEIKH MZIWANDASHEKH MZIWANDA ONLINE TV
zhlédnutí 672
SHEIKH KILEMILE-MWISHO WA MAISHA YA VIUMBERashid Dilunga
zhlédnutí 86K
JEE KUPIGA MATWARI NI KWA WANAUME AU NI WANAWAKE BY SHEKH AHMAD MBARAK AWESSufi Muhammad Adam
zhlédnutí 1,1K
SHAMBULIZI KWA MAWAHABI NA IBNU UTHAYMIN WAO MAMBRUI-USTADH MUHSIN BUTERAMIYA WETU TV
zhlédnutí 3,4K
Friends Supporting FriendsRed Bull
zhlédnutí 23M
Lee a jeho progress 👏🦁👏 JanKanurek.cz 🫡 #thisiskurñalife #zabilcz #freerunning #trampolineJan Kanurek
zhlédnutí 1,1M
Attack a Terezka jdou na rande… KINOAttackShorts
zhlédnutí 465K
艾莎生气,王子粗暴化解尴尬#艾莎落魄的王子
zhlédnutí 34M
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #jokerHarley Quinn with the Joker
zhlédnutí 31M
Truck catches on fire and biker helps put it out 🔥😱 (via themountainmiller/ig)MasFace
zhlédnutí 20M
Ženu pronásleduje vrah #horrorshorts #shorthorrorstory #shorthorrorstoriesPrézovy noční můry
zhlédnutí 225K
Angalia vizuri fatawah sheikh ibn uthaymeen alifutu kwa tafswiil hakusema moja kwa moja ni bid'aa
Tunakuelewa vizuri saaaana sheikh Aweis mawahabi hoja zao dhaiffffff!
Kabisa hawana hoja
Ndo mnavyodanganywa hojja dhaifu mbona ninyi ndo hoja zenu dhaifu mnafanyaga vitu bila dalili maulid yenyewe mmekosa hojja mpk leo mmeshindwa kuleta hadithi wala Aya iiloonesha mtume alifanya maulid na swahaba zake hakuna Aya hiyo Wala hadithi hiyo mpk kiama kitakuja
Na nyiny wenyew kukataa mkatae yote sas myatakayo mwayakubal ambay hmyataki ndo mwayapigia mayoe.. au na hvo mfanyavo pia ndo mafundsho hayoo?!?.. nmepata wap na nyiny hayo yote Kam kwel nyiny ni watu wa dalil Kam mjiitavyo..
@@user-yo2ty5qj3h kitu gani tunafanya bia daiilili taja lini ahlsuna akafanya jambo so dalili kuruani na sunna au kuarifu wema waliotangulia taja moja wapo? Ila tunaona ninyi masufi ndo wakaidi kumuelewa mtume jambo akilifanya shekhe ilo limepita haimaniishi katoa wapi hata limpinge mtume ninyi mtalifanya madamu shekhe kafanya ni watu wasojuwa makatazo ya mtume
Mtume kafundisha kufanya maulid? Toka uhai wake yey na swahaba zake aiwahi kusanya watu akasema umati wangu shereeheni kuzaliwa kwangu tukiwauliza mmetowa wapi ibada hiyo mnaluka Luka thuh na kukimbia hoja mfano mtume kakataza kuyafata majeneza kwa sauti yeote kuimba kuongea kufanyeje jeneza liafatwa kimya kimya watu leo wameleta nyimbo na kudhikiri dhikiri za kukohowa au kuimba laila ila la ila ila llah tukiuliza mtume kakataza hivyo wanakuambia nikwwli sisi tumeleta ile kuwazima watu kelele na story za simba na yanga na mipira yani akili yenu inavyoona ndo dalili hakuna ubaya ndo tukisema utaskia mawahabi wanatukataza tusimtaje mungu ndo shida yenu watu wa bidaah propaganda nyingi ili watu wasione hakki
Sheikh mibarak Ahmed aweys hakika mawahabi hawana elimu zaidi vichwani mwao wameondolewa ufahamu,pamoja na ushahidi unaoutoa lkn hawakubali wao wanabaki na msimamo wao tu,wanaikataa bid'dah huku ndio watendaji wakubwa,allah swt akuhifadhi insha allah
Maa Shaa Allaah
Ni jambo lililo wazi tangu ulamaa wa zamani walitofautiana kwenye mambo mengi. Cha kuangalia je ni kauli ipi yenye nguvu kwa dalili hiyo ndio inafuatwa.
Ndio maana kuna mas-ala unaweza kukuta kuna kauli 5 au zaidi za maulamaa lakini unatakiwa ufuate kauli inayofikiana na dalili na wala usifuate ushabiki.
Na Allaah ndiye Mjuzi wa Kila Kitu.
Dalili sio masheikh dalili ni Kitabu na sunnah
Dalili sio mashekhe dalili nikitabu na sunnah
Huyu SHEKH mjinga SANAAA, yaani wew hata hujui kutofautisha kati ya mujitahidi na shekh wakawaida? Akiwa mujitahidi na akakosea analipwa na akipatia analipwa mara mbili , kwahiyo hata maulamaa wanakosea na hawafuatwi kwahayo makosa Yao sisi tutalazimiana na yule mwenye hoja inayoafikiana na dalili, yaan wew ni Bure Rudi darasani kasome Tena
kaa kimya ndugu yangu unaonekana huelewi chochote kwenye masuala ya dini
Naam hiyo iko wazi kabisa haifai ni bid'aa
Na hao ni masheikh wakosea na kupatia
Alafu kuna jambo uhakika ni bid'aa ila kumhukumu mtu binafsi kuna masharti yake watu wa Sunnah hawamhukumu tu mtu ovyo
Elimu iendelee kutolewa. Watu watolewe taka.
Toeni na yenu
Yetu mshayatoa. Yenu mmeyasahau tunakukumbusheni. Nyani haoni kundule sasa tunakupigieni picha kundu zenu kisha tunakuonyesheni maana wenyewe hamzioni mawahabi
Ujanja huo twakujuwa
Sasa ujanja gani wakati mambo yako wazi
@@abdulshakurmshindo9040
Yaa akhi.
Kwani hawajui mawahabi walivyokuwa hawana ufahamu ??
Mara nyengine bora "Wanasiasa " wanatumia akili zao wanapoambiwa ukweli ..
Lake n mawahabi ni weupee..
Unaona wana macho lakini hawaoni .
Wana maskio lakin hawaskii
ALLAH AKUHIFADHI KUTOKANA NA MAWAHABI
Acheni ujinga wenu wa bidaa.
Wakati wa mtume kulikuwa na kamera au mikrofoni au nyumba za simiti na tiles au umeme au, au, au.
Sheikh watu wapokataza bidagha hawana maana eti saudia hakuna....sasa kutaja saudia ndio nn wakat gonjwa la bidagha ni kote
Siyo ujanja nyie hampendi yenu bidaa zitajwe
Muzi taje tujue nasi
Mashekhe wenu salafy wanatiana kwnye bidaa
Jee nao ni watu wa bidaah ??
Wakina Albaniy na Fauzan na lBNUL baaz
Duh jamaa ni muongo sana.Hakuna Ashaaul Waalidayn. Bali sadaka Halafu Ukizungumza Tumia Dalili Zipoje Sio Kupandikiza Fikra Chaf kama hizi.
Tunachoangalia Ni salaamatul Manhaji.Na ndio mana Hata Maswahaba Pia walikosea ktk mamb mbali mbali
Na saudia sio Dalili.
Ulijuaje kama yeye NI muongo
@@sufimuhammadadam6814 Tunahitaj dalili kutoka ktk kitab na sunna hayo anayodai.
La sivyo Ni chuki zake tu.
Kama yeye anakiri juu ya Bidaa fulan lakin ana lengo gan kuzuia Bidaa au Kuunga mkono Bidaa.????Na nina uhakika Huko Saudia hakuna masuala yake hayo anayodai Na Maulamaa Wetu hawawez kupatia kila kitu na kila jambo hivyo hatutafuata ktk makosa
@@sufimuhammadadam6814 na wajuaje kua yeye ni mkweli? Allah ndiye mwongozaji, tufungue vifua vyetu katika kumuomba Allah atupe ufahamu wa dini kwa hoja zilokuasahihi.
Na ndio maana mambo ya mwezi muandamo unawadanganya waislamu eti oooh Tokyo ikiwa saa Saba usiku Tanzania itakuwa sijui saa kumi na Moja, SAWA je Kuna sehemu Duniani tunapishana masaa 24? Jibu hapana, na je kwani makafiri wanaposherehekea CHRISTMAS Duniani kote inakuwaje? kwani Kuna CHRISTMAS mbili au tatu au Christmas ni Moja ? Je Eid inaweza kuwa Moja ila Hawa wakaanza na Hawa wakafuatiwa
Swali lingine
Je unavyoambiwa QIYAMA ITAKUWA SIKU YA IJUMAA, maana yake Dunia mzima watu watakuwa kwenye QIYAMA kimoja au QIYAMA mbili, acha kudanganya watu wew uwesu
Soma Geography, ndio ulize maswali hayo ya kijinga.
Walio mbele kinyakati ndio wanaoanza kusherehekea. Kama wabisha rudi darasani usome wewe.
Acha kwani bidaa ndo ulinganie bidah unazitaja bidah wakati we ndo mtu wa kuzifanyaa shekhe wemwwnyewe unalingania watu kwenye uzushi
Subuhana Allah
@@sufimuhammadadam6814 Sasa subuhana llah huoni au kazuliwa huyo shekhe awsu si mtu wa bidah huyo kwani mtu wa sunnah huyo??
Ww unafanya maulidi na makhitima hayo Ni sunnah ya mtume muhammadi??
We huna akili?huelewi kiswahili?kwani huoni yeye pia anataja bidaa wanazofanya mawahabi?shida iko wapi?
@@asa9268 bidah gani wanazofanya wahabi urongo mtupu mbona anafata maulidi na uzushi anajuwa et bidaah za wahabi salala ameshindwa kukataza yey mnazofanya huko kwenda na majeneza na nyimbo hizo so bidah kusoma hitima sijui 3 mbona amuwauliizi hawo mashekhe zenu nyi kila kitu ndy Kama wakristo kila kitu ndy mchungaji kasema ww una bidaah chungu nzima mauwlid n k mbona hakemei hilo huyo shekhe wenu anakimbilia kwa wahabi huku Ni dalil tunafata hatuzui Ni Kala llah wakala rassuluh