Shukran Sanaa yaa sheykhunal faadhil KATIKA MAAJABU YA HAWA MAWAHABU IBNU TTAYMIYAH KUJUA KILICHOANDIKWA KATIKA LAWHIN MAHFUDH SIO SHIRKI ALIVYOAPA MAYAMINI SABIINI KUWA JESHI LA TATAR LITASHINDWA NA WAISLANU ISPOKUWA MTUME SAW KUAMBIWA AMEPEWA ELIMU NA ALLAH ZA KUJUA YALIYOMO KATIKA LAUHUN MAHFUDH NI KUWA AMECHUKUA NAFASI YA UUNGU HII SI NIVICHEKESHO 😂😂😂😂😂😂😂
@@hajiupepo3146 Nawe pia tunatoa shukrani nyingi kwa ijtihadi yako KUBWA kurekebisha sehemu walizotuchefulia mawahabi ALLAH AKUJAZI KHERI AKUPE NA UMRI MREFU NA ZIADA USISAHAU KUONGEA MANENO YA IBNUL QAYYIM ALIPOSEMA WALIKUWA WAKISHANGAA KWA IBNUL TTAYMIAH KUJUA VIKAO VYA WANAFUNZI WANAPOJADILIANA KATIKA MAS ALA WANAPOMFUATA KUJUZWA ZAIDI IBNUL TTAYMIAH ANAWAPA KHABARI YALIYOJIRI YOTE KANA KWAMBA ALIKUWA NA WAO
Mawahabi ndio mabidaa wakubwa ambao wanawashawishi waislam wamuasi Mtume(SAW) kwakuikataa hadithi sahihi za Mtume(SAW).Mfano, Tumeambiwa "Fungeni kwa kuuona mwezi na fungueni kwa kuuona mwezi" Wanaipinga hadithi kwa kufuata kalenda ambayo tayari ilishaandaliwa na wapinga Mtume(SAW) kwa maksudi. Hebu fungueni simu zenu za smart mdownload "Hijr calendar" mtaziona kalenda tayari zimeshaandaliwa za Hadi miaka 20 ijayo mbeleni. Kwa sababu wamefadhiliwa vyombo vya habari(radio) mbalimbali, wanapata nafasi ya kupotosha na kusingizia mwezi kuonekana popote wanapopanga kuutangaza, lakini kiukweli, hawaangalii mwezi hata siku 1. Hivi inawezekanaje mwezi uonekane kwa siku 1 dunia nzima? Hivi huyu Mtume si kwamba alishajuwa kwamba Kuna baadhi ya maeneo mwezi utakingwa na maeneo mengine utaonekanwa , ndio maana akatwambia Fungeni na kufungua kwa kuuna mwezi. Haya ya mwezi wa kimataifa NI bifaa natume hakuyasema , ni uzushi mtupu
Assalamu alaykum warahmatullah wabarakaatuh, Ustadhi Hajji Allah akuhifadhi, umesimama kuisemea elimu kwa maana ya elimu kwa sababu maana ya elimu katika zama zetu haieleweki
Mawahabi haiko siku watajielewa na kuelewa wao ni porojo na kutukana kukufurisha na ubabaishaji pia Hawana hoja wala majibu sahihi wanayo mengi wanafanya na Mtume hakuwahi kuyafanya wala kuusia akiondoka yafanywe uwahabi ni sawa chungu kikubwa kisichokuwa na kitu ndani ni ziro tu na huu uwahabi nani kaanzisha asili yake ni uyahudia
Ustadh Haji hao watu wanayo yasema ni km wana siasa. Wanasiasa hutafuta chama kilicho kua kina wafuasi wengi kuliko vyengine na kuzungmza maneno wanayo yadhania kua maneno hayo yakiwa ni ya kijinga na ufedhuli. Lengo watu wahame kutoka chama kisichokua chao wahamie kwao. (KUJIONGEZEA WAFUASI)
Uzushi imekuwa mwingi sana, mungu kashasema katukamilishia dini maana gani kila kitu katu fundisha Sunna na faradh zake hii maneno ya kuzua jameni acheni hakuna uzushi mzuri. Na katika mashindano ya Quran ni tofauti, hakuna Ngoma hupigwa hapo? Na firimbi.
Ama kwa hakika si vinginevyo halali iko waz na haram iko waz na ktk viwili hivyo halali na haramu kuna mambo yenye kutatanisha laa hawajui wengi miongoni mwenu ktk watu Kitabu cha abdul wahhabih kimetokana na qur ana na sunnah ni ajabu kuskia mtu aseiejua anauliza kitabu hicho kateremshiwa mtume gani subhanallah mcheni Allah ndugu zangu acheni ushabik
Haji upepo ana porojo nyingi, hayo waambie wenye kukusikiza kishabiki sisi wenye misingi ya ilmu twapima hatusikizi porojo. Wakristo walisema yesu Mwana wa Mungu , kisha wasema twajua Mungu haoi wala hana mke tuna tulivyokusudia nyinyi waislamu hamuelewi, ndio hao kina haji upepo na masufi husema maneno ya shurk wazi wazi kisha husema nyinyi hamujui maana yake, ss tuliofahamu maneno ya Allah katika Quran lkn eti hatufahamu maneno ya barzanj kwani barzanj ni kitabu kateremshiwa Mtume gani?
Sasa wakiristo na Uislamu inahusian nini katika kumsoma Mtume wetu waislamu?. Hio sio hoja ila hio upuuzi. Wakiristo wana jambo lao kanisani linaitwa SWALA kabla kuletewa SWALA sisi waislamu. JEE TUSISWALI?. wakiristo wana funga zao kabla kuja kwetu waislamu, JEE TUACHE KUFUNGA?. Hapa lete hoja, UKHARAMU WA KUSOMA UZAO WA MTUME WETU MUHAMMAD SAW, ALIOKATAZA NI NANI???, MUNGU AU MTUME?. usilete mambo ya kifikra zako za PEMBE YA SHETANI KUTOKA NAJDI (MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI)
Hawa mawahabi wanang'ang'ania ushabiki tu hawataki haki wanadhania dhania tu hawana ukweli kabbisa na Hawa ni watu wachache sana wanatafta ushabiki Tena wao wanapata maslahi zaidi kwenye mashindani ya Qur'an kuliko kwenye maulidi km wanavyosema na pia wanapenda sana kusema uongo mi ushauri wangu na wambia waache tabia hii
Kila mukikatazwa munkar na bidaa munaaza kutafuta mizozo na kutafuta maswali ya kitito mukitafuta wala hakuna hata siku moja muliwahi kuifafanua kwa nn maulid sio biddah ispokuwa ni kutafuta maswali na na kipinga naswaha. Nakma muliwahi hata sikumoja kutoa dalili kuonyesha maulid sio biddah tumeni link tuone. Muogopeni Allah.
Acha propaganda. Ilm ndogo ni udhia. Kwa ufahamu wako, Murabaha ni jambo lenye kuruhusika kama anavyosema ibn Qudammah. Duktuur yeye anayo hujjah na dalili kufaa kwake Murabaha Facility /Contract. Wewe tupe dalili Murabaha haijuzu na sio kuongea kwa matamanio ya nafsi
Elimu hioo hata masheikh wenu wa twarika kuna vitabu vinasema kuwa elimu hio wanao atashindwa je Mtume kuwa nao msikwepo ayo maneno yam kwenye vitabu vyenu jmn.
czcams.com/video/_sRu9vLRrhg/video.html Sheikh Haji hii clip isikize kisha tumia hizo reference za vitabu kwa masaa'il ya ziara ya makaburi ya watu wema na pia tawassul!
Wajua haji upepo hajielewi, yeye anaunga mkono musabaqa wa Quran sasa anabishana nini kumbe Mshenzi sana wewe , pumbavu la hata mbwa koko afadhali kuliko wewe upepo wa madhara wala usio na manufaa, potelea mbali kumbe mpuzi hivyo wewe, aljazau min jinsil amal
Kwaio wewe unataka kufananisha utheymeen na MUFTI WA MAKKA KIPINDI CHA WANACHUONI SHEKH JAAFAR BARZANJI GOGO LA ELIMU ENZI ZAKE WAARABU WOTE WALIANGUKA JUU YAKE. UTHEYMEEN SI KIPANYA TU CHA JUZI. SHEKH WA BARZANJI ALIKUBALIKA NA WANACHUONI WOTE. UTHAIMIIN HAJAKUBALIKA HATA NA MWANACHUONI MMOJA, NI NYIE TU NA VIPAMBE HARAGWE.
Sheikh naomba punguza ukali wa maneno unaongea sahihi na ni kweli dr islam hayupo sahihi ila unapomrekebisha naomba utumie qauli nzuri si kuwaita washirikina japo hao wanatuiteni sisi washirikina, ili tu waislamu tuwe kitu kimoja
Hakuna malasiriko.. Wewe Sheikh gani waeleza maneno huna uhakika nayo? Ati kakasirika.. Wlaa hiyo siku hapana swali.. Huo ni ukweli mtupu anaousema Dr Islam
HAKUNA MUQARANA. VYOTE HAKUFANYA MTUME SAW KATIKA DINI NI BIDA'ATU DHWALALA. LAKINI AFAZALI YA MAULID KWASABABU MTUME SAW ALISHEHEREKEA KIDOGO MAULID YAKE IKAWA ANAFUNGA KILA IJUMAA TATU. MTUME SAW ALIULIZWA "KWANINI UNAFUNGA IJUMAA TATU" MTUME SAW AKAJIBU " KWASABABU IJUMAA TATU NDIO MAULIDI YANGU" ILA MASUFI KWA UZUSHI WAO BADALA KUFUNGA TUU SIKU HIO, WANAFANYA NA MENGINE KAMA KUSWALI SWALA ZA FARADHI NA SUNNA, WANATOA ZAKA, WANALISHA MASKINI, WANASOMA QUR-AN, WANAKAA PAMOJA, AMBAYO HAYO YOTE NI KHARAMU KWA MAWAHABI KUFANYA SIKU ALIOZALIWA MTUME SAW. SASA MASUFI WAMEFANYA DHAMBI KUBWA NA BIDA'A ZAO HIZO. ILIKUWA WAFUNGE TU, WASISWALI, WASISOME QUR-AN, WASIFANYE KHERI YOYOTE ILE NA IWE MFANO KAMA ALIZALIWA MBWA TU SIKUILE YENYE KUCHUKIZA KAMA ILIVYOMCHUKIZA SHETANI ALIO LAANIWA. MAWAHABI ENDELEENI KUWAAMBIA HAWA MASUFI WAACHE UZUSHI WAO. ILIKUWA SIKU YA KUZALIWA MTUME SAW NI SUNNA KUIPUUZA NA KUENDELEA NA DUNIA YAKO. MAANA MTUME SAW ALIKOSEA KUWA AKIFUNGA KWASABABU YA KUZALIWA KWAKE. LAKINI MTUME MUHAMMAD SAW AMETUFUNZA SUNNA KUBWA YA " USBUI MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI" YAANI KUSHEHEREKEA WIKI YA MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI. HUYO MTUME WA MAWAHABI NDIO KATUFUNZA HIVYO.
😂😂😂. Kwa Mtume wao Muhammad ibn Abdul wahabi. Lakini kwa Mtume wetu haupo ule utaratibu ila Mtume wetu alisema kuwaambia maimamu wapunguze visomo virefu. Sasa mawahabi watajionyesha vipi kujiliza uongo kwenye swala ikiwa hawajafanya BIDA'A ya sura refuu? 🤔
Huna inswaaf sheikh. Video ya Duktuur umeikata sehemu ya hoja ukaacha sehemu isio zungumzia hoja.. Halafu Tawhid sheikh hamna kitu.wee hivi unajua maana ya LAUHUL MAHFUUZ? Halafu unasema mtume anajua yaliomo ndani? Hadithi ya kukusanyikana mahala pamoja sio hoja ya maulidi sheikh wangu.
KUTOKANA NA MAWAHABI KILA KITU ALICHOSEA MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI ALIOZAIWA NAJDI WANAKITETEA KULIKO AYA ZA QUR’ANI. NA MASUFI WAKIWAAMBIA MAWAHABI ACHENI BIDA'A POTOVU ZA KUSILIMISHA WATU KWA TAWHEED TATU (ULUHIA, RUBUBIA NA ASMAU WASWIFATI) BASI WANAKUCHUKIA SANA KWA KUIPENDA BIDA'A YAO. UKIWAAMBIA KUWA MTUME SAW ALIWASILIMISHA WATU KWA KUWATAMKISHA LAAILAA HAILALLAHU TUU, BASI MAWAHABI WANASEMA KUMUAMBIA MTUME SAW YA KUWA, HAITOSHI KUFANYA HIVYO KWASABABU QUR-AN HAIJASEMA HIVYO NA PIA ABUU JEHEL ALIKUWA AKIAMINI KUWA YUPO ALLAH KAUMBA MBINGU NA ARDHI, KWAHIO SIE MAWAHABI TUACHIE TUIBADILISHE DINI KIDOGO MAANA WEWE MTUME HUJUI NA HUKUWA MWALIMU MZURI. HALAFU MAWAHABI WALIVYOAMBIWA NA MTUME SAW YA KUWA " FUNGUENI MKIUONA MWEZI NA FUNGUENI MKIUONA MWEZI" MAWAHABI WAKAMJIBU MTUME SAW KUWA HATUTAKI KUFANYA HIVYO BALI "TUTAFUNGA UKIONEKANA MWEZI SAUDIA RABIA NAJDI NA TUTAFUNGUO KWA KUONEKANWA MWEZI SAUDIA RABIA NAJDI NA HATUFANYI MAAGIZO YAKO WEWE MTUME ULIOSEMA TUFUNGE TUKIUONA (WENYEWE)" IBN ABBAS AKAWAAMBIWA KUASHIRIA FUNZO KWA MAWAHABI, ALIPOPELEKEWA KHABARI YA KUWA MWEZI ULIONEKANA SIKU MOJA KABLA KWENYE MIJI MENGINE KABLA YAKE KUUONA. IBN ABBAS AKAWAAMBIWA" JAMANI JAMANI HATUFUNGUI MPAKA MWEZI TUUNE, HAKIKA HIVI JAMANI NDIO ALIVYOTUFUNZA MTUME SAW (YA KUWA HATUTAKIWI KUFATA MWEZI WA NAJDI SAUDIA RABIA SOTE) " MAWAHABI WAKASEMA. WEWE SWAHABA IBN ABBAS HUNA UJUALO, SISI MAWAHABI HATUKUFUATI WEWE WALA HUYO KIKARAGOSI CHAKO BALI TUNAFATA ALIPOZALIWA PEMBE YETU YA SHETANI MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI. 🤔🙆♂️. MAWAHABI KWELI NI NOMAA
@@swalehjamal4867 BASI MWAMBIE BACHU AJE KWETU SUFI MSIKITI NGAMIA NJIA YA DARAJA BOVU KITUO MUEMBENI AJE ALETE BARUA YA MJADALA ILI APATE MAJIBU YAKE. IKIWA MNATAKA MAJIBU MSIHANGAIKE KWENDA TANGA, HAPA HAPA ALIPOONDOKA NDIPO ALIPOYAWACHA MAJIBU NA HAKUNA UMUHIMU WA KUTAFUTA WAGANGA WA BONGO AKAENDA KUHANGAISHANA NAO TENA TANGAAA, YOTE YA KAZI GANI HIO?. ZANZIBAR TUNAMUDU INSHALLAH.
MASHALAH
MASHALAH
MASHALAH
ALLAH AKUBARIKI SANA SHEKH WETU UPEPO
WATOWE UPEPO NDANI YA VICHWA VYAO NA VICHWA VYETU ILI TUZIDI KUELIMIKA AMIN
Shukran sheikh wangu Allahakuhifadhi
بلغت یا اخي وجزاک اللہ خيرا
شكرا شيخنا بارك الله فيك
HAJI USHUZI kapige Goti ukasome usifanye upuuuzi, katika Uislamu hakun upuuuzi uitwao Maulidi, hawafany Maulidi ispokua Wazushi
@@zanlec7357 kuwa na adabu wewe mpuuzi
Maashallah shekh hajiupepo munguakuhifadhi nakilamabaya
Wallah Shekh nakuelewa sana kiukweli hoja zako ni zakielimu namuomba Allah akuhifadhi
Jazakallahu lkheir Sheikh
Safar hiii hachomok muwahab hata mmoja ni makwaju ya kielim na kwend mbele nyoosha mawahab had wainue mikono
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ. Mungu akujazi kila la kheri inshaAllah hii ndio ilimu ya Twariqah
Sheikh shukran sanaa nime kuelewa vema
Allaah akuraham na akupe umri na afiya tele uzidi kutuzidishia ktk maalumaati
Shida ya mawahabi hawana inswafiii katika elimu zao.
Shukran Sanaa yaa sheykhunal faadhil
KATIKA MAAJABU YA HAWA MAWAHABU
IBNU TTAYMIYAH KUJUA KILICHOANDIKWA KATIKA LAWHIN MAHFUDH SIO SHIRKI
ALIVYOAPA MAYAMINI SABIINI KUWA JESHI LA TATAR LITASHINDWA NA WAISLANU
ISPOKUWA MTUME SAW KUAMBIWA AMEPEWA ELIMU NA ALLAH ZA KUJUA YALIYOMO KATIKA LAUHUN MAHFUDH NI KUWA AMECHUKUA NAFASI YA UUNGU
HII SI NIVICHEKESHO
😂😂😂😂😂😂😂
@@hajiupepo3146
Nawe pia tunatoa shukrani nyingi kwa ijtihadi yako KUBWA kurekebisha sehemu walizotuchefulia mawahabi
ALLAH AKUJAZI KHERI AKUPE NA UMRI MREFU
NA ZIADA USISAHAU KUONGEA MANENO YA IBNUL QAYYIM ALIPOSEMA
WALIKUWA WAKISHANGAA KWA IBNUL TTAYMIAH KUJUA VIKAO VYA WANAFUNZI WANAPOJADILIANA KATIKA MAS ALA
WANAPOMFUATA KUJUZWA ZAIDI IBNUL TTAYMIAH ANAWAPA KHABARI YALIYOJIRI YOTE KANA KWAMBA ALIKUWA NA WAO
Mawahabi ufahamu wao maskini ndio uko chini ni vzr mkiwaelimisha polepole In sha llah watakuja kufahamu
Kiukweli twaishi nao mawahabi na wanadini ya riyaa ila hawana muelekeo wa kidini ila Allah awabadlishe inshaa Allah
Mawahabi ndio mabidaa wakubwa ambao wanawashawishi waislam wamuasi Mtume(SAW) kwakuikataa hadithi sahihi za Mtume(SAW).Mfano, Tumeambiwa "Fungeni kwa kuuona mwezi na fungueni kwa kuuona mwezi"
Wanaipinga hadithi kwa kufuata kalenda ambayo tayari ilishaandaliwa na wapinga Mtume(SAW) kwa maksudi.
Hebu fungueni simu zenu za smart mdownload "Hijr calendar" mtaziona kalenda tayari zimeshaandaliwa za Hadi miaka 20 ijayo mbeleni.
Kwa sababu wamefadhiliwa vyombo vya habari(radio) mbalimbali, wanapata nafasi ya kupotosha na kusingizia mwezi kuonekana popote wanapopanga kuutangaza, lakini kiukweli, hawaangalii mwezi hata siku 1.
Hivi inawezekanaje mwezi uonekane kwa siku 1 dunia nzima?
Hivi huyu Mtume si kwamba alishajuwa kwamba Kuna baadhi ya maeneo mwezi utakingwa na maeneo mengine utaonekanwa , ndio maana akatwambia Fungeni na kufungua kwa kuuna mwezi.
Haya ya mwezi wa kimataifa NI bifaa natume hakuyasema , ni uzushi mtupu
ALLAH akuhifadh Sheikh
Assalamu alaykum warahmatullah wabarakaatuh, Ustadhi Hajji Allah akuhifadhi, umesimama kuisemea elimu kwa maana ya elimu kwa sababu maana ya elimu katika zama zetu haieleweki
Yaan ni ilimu juu ya ilimu habeeb
اللهم احفظ شيخ إسلام وثبته على دينك اللهم آمين🤲🤲🤲
Mashallah Mashallah Barkallahfik umesema Kweli Frm kenya ❤❤❤
Dini ya allah imekamiliki
Mashekhe fundisheni watu dini acheni ushabiki katika dini
Mr.Upepo acha kuparamia Wanachuoni kijana.It's a psychiatry case. Kichwa haiko vizuri. Pole sana.
MUNGU AKUONGOZE HAJI UPEPO
❤️❤️❤️❤️❤️
Upepo acha kutafuta umaarufu kwa migongo ya masalafii wazito katika mas-ala ya taaluma
Mawahabi haiko siku watajielewa na kuelewa wao ni porojo na kutukana kukufurisha na ubabaishaji pia Hawana hoja wala majibu sahihi wanayo mengi wanafanya na Mtume hakuwahi kuyafanya wala kuusia akiondoka yafanywe uwahabi ni sawa chungu kikubwa kisichokuwa na kitu ndani ni ziro tu na huu uwahabi nani kaanzisha asili yake ni uyahudia
Kunahadith likudus
Pindi mja atakapo jikaribisha kwa Allhw shubl fatakarab ilaihi ziraa faiza takaraba ilahii ziaraa fatakarab alaihi baa waiza ataitu yamshi faataitu haruwla
Hailizunguzia kila unapotoa basAllh hukulipaza ikitoakingi malipoyako makubwa bas selihi ibni utheimny wtu wakamuliza washamjua hamnafiqh je Allahw anachoka akasema anachok
Subhana llahw wahadahw la sharikalahw
Mashaalah
Wala hoja hamuna
Ustadh Haji hao watu wanayo yasema ni km wana siasa. Wanasiasa hutafuta chama kilicho kua kina wafuasi wengi kuliko vyengine na kuzungmza maneno wanayo yadhania kua maneno hayo yakiwa ni ya kijinga na ufedhuli. Lengo watu wahame kutoka chama kisichokua chao wahamie kwao. (KUJIONGEZEA WAFUASI)
Sahihi kabisa hawa mawahabi ni watu wa siasa tu wenyewe wana bidaa kibao
Uzushi imekuwa mwingi sana, mungu kashasema katukamilishia dini maana gani kila kitu katu fundisha Sunna na faradh zake hii maneno ya kuzua jameni acheni hakuna uzushi mzuri. Na katika mashindano ya Quran ni tofauti, hakuna Ngoma hupigwa hapo? Na firimbi.
Hujawa hata mwanafunzi alif kwa Islam
Ww tu hujui soma kwanza wacha upepo mingi
Ama kwa hakika si vinginevyo halali iko waz na haram iko waz na ktk viwili hivyo halali na haramu kuna mambo yenye kutatanisha laa hawajui wengi miongoni mwenu ktk watu
Kitabu cha abdul wahhabih kimetokana na qur ana na sunnah ni ajabu kuskia mtu aseiejua anauliza kitabu hicho kateremshiwa mtume gani subhanallah mcheni Allah ndugu zangu acheni ushabik
Ww ni sufi tu
Mimi husema Kila siku mawahabi wa kibri sana
Hivi kwani hakuna mawaidha mengine ya kutufundisha zaidi ya itilafu zenu
Haji upepo ana porojo nyingi, hayo waambie wenye kukusikiza kishabiki sisi wenye misingi ya ilmu twapima hatusikizi porojo. Wakristo walisema yesu Mwana wa Mungu , kisha wasema twajua Mungu haoi wala hana mke tuna tulivyokusudia nyinyi waislamu hamuelewi, ndio hao kina haji upepo na masufi husema maneno ya shurk wazi wazi kisha husema nyinyi hamujui maana yake, ss tuliofahamu maneno ya Allah katika Quran lkn eti hatufahamu maneno ya barzanj kwani barzanj ni kitabu kateremshiwa Mtume gani?
Wewe waongea nini sasa
Sasa wakiristo na Uislamu inahusian nini katika kumsoma Mtume wetu waislamu?. Hio sio hoja ila hio upuuzi. Wakiristo wana jambo lao kanisani linaitwa SWALA kabla kuletewa SWALA sisi waislamu. JEE TUSISWALI?. wakiristo wana funga zao kabla kuja kwetu waislamu, JEE TUACHE KUFUNGA?. Hapa lete hoja, UKHARAMU WA KUSOMA UZAO WA MTUME WETU MUHAMMAD SAW, ALIOKATAZA NI NANI???, MUNGU AU MTUME?. usilete mambo ya kifikra zako za PEMBE YA SHETANI KUTOKA NAJDI (MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI)
HIVI KITABU CHA MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI KATEREMSHIWA MTUME GANI?
Hawa mawahabi wanang'ang'ania ushabiki tu hawataki haki wanadhania dhania tu hawana ukweli kabbisa na Hawa ni watu wachache sana wanatafta ushabiki Tena wao wanapata maslahi zaidi kwenye mashindani ya Qur'an kuliko kwenye maulidi km wanavyosema na pia wanapenda sana kusema uongo mi ushauri wangu na wambia waache tabia hii
Kila wakifahamishwa hawataki kufaham hai ndo walivo mawahabi ndo tunao tu tukae nao tu Ivo Ivo mungu ashatujaalia lkn Hawa jamaa matata sana
Kila mukikatazwa munkar na bidaa munaaza kutafuta mizozo na kutafuta maswali ya kitito mukitafuta wala hakuna hata siku moja muliwahi kuifafanua kwa nn maulid sio biddah ispokuwa ni kutafuta maswali na na kipinga naswaha. Nakma muliwahi hata sikumoja kutoa dalili kuonyesha maulid sio biddah tumeni link tuone. Muogopeni Allah.
HAMNA DALILI NYINYI ENDELEENI KUFANYA UZUSHI TU
Duktuur ni mtu wa maslahi, kuna siku alitumiwa na gulf bank akatowa fàtwa yake kusapot banki hio kuwa ni halali kuweka kwa hio bank.
Acha propaganda.
Ilm ndogo ni udhia. Kwa ufahamu wako, Murabaha ni jambo lenye kuruhusika kama anavyosema ibn Qudammah. Duktuur yeye anayo hujjah na dalili kufaa kwake Murabaha Facility /Contract.
Wewe tupe dalili Murabaha haijuzu na sio kuongea kwa matamanio ya nafsi
Elimu hioo hata masheikh wenu wa twarika kuna vitabu vinasema kuwa elimu hio wanao atashindwa je Mtume kuwa nao msikwepo ayo maneno yam kwenye vitabu vyenu jmn.
Mwenyeezi Mngu akuhifadhi Hajji upepo kwa ubainifu ulio wazi kabisa.
Subuhana llah nimekupenda mchambuzi unajuwa kuyapima mambo
czcams.com/video/_sRu9vLRrhg/video.html Sheikh Haji hii clip isikize kisha tumia hizo reference za vitabu kwa masaa'il ya ziara ya makaburi ya watu wema na pia tawassul!
انشاءالله۔۔۔۔۔شكرا
Yule asemaye mawahabi na wakrixto ni sawa, xubhanallah mungu akuongoze dugu,ebu omba msamaha kwa Allah.
Wajua haji upepo hajielewi, yeye anaunga mkono musabaqa wa Quran sasa anabishana nini kumbe Mshenzi sana wewe , pumbavu la hata mbwa koko afadhali kuliko wewe upepo wa madhara wala usio na manufaa, potelea mbali kumbe mpuzi hivyo wewe, aljazau min jinsil amal
Toa tu hoja zako hakuna haja ya matusi yeye ametoa dalili zake na ni msomi.
Kuwa na adabu ww
Sijakuelewa hata kidogo na wala siongelei ushabik kwenye haqqi tuseme haki
Kama wewe mwana mume sikizisha watu wako video yote sio vipande vipande.. Waskizishe kasema nn
Hata tumsikize siku 20 hawezi kuthubitisha km wakt wa mtume Wala maswahaba kulifanyika mashindani ya kur an
Wewe upepo kweli ni chizi, punda wa kisufi.
Upepo kw😂eli ni upepo hapo pakumfundisha Sh Utheimyn (Allah amrehemu) ama ilmu yako lazima Iko juu
Kwaio wewe unataka kufananisha utheymeen na MUFTI WA MAKKA KIPINDI CHA WANACHUONI SHEKH JAAFAR BARZANJI GOGO LA ELIMU ENZI ZAKE WAARABU WOTE WALIANGUKA JUU YAKE. UTHEYMEEN SI KIPANYA TU CHA JUZI. SHEKH WA BARZANJI ALIKUBALIKA NA WANACHUONI WOTE. UTHAIMIIN HAJAKUBALIKA HATA NA MWANACHUONI MMOJA, NI NYIE TU NA VIPAMBE HARAGWE.
Huyu kıjana anatumika na washia,na anjifanya sufiya
Tatizo la huyu mshia,hujifungia peke yake,akasema anavyotaka yeye,hayawani mkubwa huyu
Ungetoa kwanza upepo mbona wakifanya maasia kwenye maulid husemi
Sheikh naomba punguza ukali wa maneno unaongea sahihi na ni kweli dr islam hayupo sahihi ila unapomrekebisha naomba utumie qauli nzuri si kuwaita washirikina japo hao wanatuiteni sisi washirikina, ili tu waislamu tuwe kitu kimoja
Basi nilini mtume alifanyiwa birthday akili zenu Bado zimelala tuu musitushikishe na abovu wenu
Hakuna malasiriko.. Wewe Sheikh gani waeleza maneno huna uhakika nayo? Ati kakasirika.. Wlaa hiyo siku hapana swali.. Huo ni ukweli mtupu anaousema Dr Islam
Mnafundishana habari za Mtume ama kupiga matwari.
hatuzungumzii matwari hapa
Maskini ustadhi watafuta kiki kwa kupiga radd badili uelimishe watu🤦😅inshaAllah utapata subscribers🤲😅maana hilo ndo ulitakalo
SI NDIO KAZI YA MAWAHABI, RADDI KIMA ZOTE. SKUIZI
Huyu si doctori wala si nurse, huyu ni shost
Mawahabi ni Fitna kubwa kwa uislam na waislam,
Na hio video mbona umeikata doktoor alielezea athar ya musabaqa al Quran ilifanyika ww umeikata hio video
Ni kweli kabic. Dr. Islam alielezea kuhusu mashindano ya quran. Ila hawa wanaikataa2.
Ww huna elimu ya kumkoxoa dct Islam nimsomi ww ni porojo huna elimu Rudi shule Wacha uchochezi
Uwahabi ni uvundo
Katika Uislamu hakun kitu kiitwacho Uahabi ww acha USHAMBA
@@zanlec7357 uwahabi sio kitu. Ni watu wanaomuamini Muhammad ibn Abdul wahabi. Ndio MAWAHABI. HATA MKINUNA NDIO IMAMU WENU.
Mawahabi na wakristo ni sawa tu,
Ndio kwa ufahamu wako. Ila masufi kila mtu ajuwa niwashirikina
nyie mawahabi hebu punguzeni kucoment matusi hivyo ndio mnavyofundishwa
Halafu nyie Masufi wakikosolewa masheikh wenu mnasema wanatukanwa ila kuwakosoa hao mnowaita mawahabi hamuwatukani mnawakosoa sindio?
Muqarana upo wapi kati ya mashindnao ya Quran na Maudili ya bidaa. Wacheni uzushi.. Aty Duktoor kituko.. Hakuna kituko kikibwa kama wewe
HAKUNA MUQARANA. VYOTE HAKUFANYA MTUME SAW KATIKA DINI NI BIDA'ATU DHWALALA. LAKINI AFAZALI YA MAULID KWASABABU MTUME SAW ALISHEHEREKEA KIDOGO MAULID YAKE IKAWA ANAFUNGA KILA IJUMAA TATU. MTUME SAW ALIULIZWA "KWANINI UNAFUNGA IJUMAA TATU" MTUME SAW AKAJIBU " KWASABABU IJUMAA TATU NDIO MAULIDI YANGU" ILA MASUFI KWA UZUSHI WAO BADALA KUFUNGA TUU SIKU HIO, WANAFANYA NA MENGINE KAMA KUSWALI SWALA ZA FARADHI NA SUNNA, WANATOA ZAKA, WANALISHA MASKINI, WANASOMA QUR-AN, WANAKAA PAMOJA, AMBAYO HAYO YOTE NI KHARAMU KWA MAWAHABI KUFANYA SIKU ALIOZALIWA MTUME SAW. SASA MASUFI WAMEFANYA DHAMBI KUBWA NA BIDA'A ZAO HIZO. ILIKUWA WAFUNGE TU, WASISWALI, WASISOME QUR-AN, WASIFANYE KHERI YOYOTE ILE NA IWE MFANO KAMA ALIZALIWA MBWA TU SIKUILE YENYE KUCHUKIZA KAMA ILIVYOMCHUKIZA SHETANI ALIO LAANIWA. MAWAHABI ENDELEENI KUWAAMBIA HAWA MASUFI WAACHE UZUSHI WAO. ILIKUWA SIKU YA KUZALIWA MTUME SAW NI SUNNA KUIPUUZA NA KUENDELEA NA DUNIA YAKO. MAANA MTUME SAW ALIKOSEA KUWA AKIFUNGA KWASABABU YA KUZALIWA KWAKE. LAKINI MTUME MUHAMMAD SAW AMETUFUNZA SUNNA KUBWA YA " USBUI MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI" YAANI KUSHEHEREKEA WIKI YA MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI. HUYO MTUME WA MAWAHABI NDIO KATUFUNZA HIVYO.
Nyinyi mwahalalisha maulidi kwa sababu ya maslahi yenu bana semeni😂😅😅😅kumekucha ustadhi na jua limechomoza😂Allah amhifadhi duktoor islam
Allah atatuhifadhi sote inshallah Hadi wewe na mm na sio Dr. Islam tu
@@HemedSerious ameen akhy🤲
Kuna wahabi yoyote anijuze ule utaratibu wa kusoma juzuu nzima katika katika swala ya tarawehe utaratibu huu umepatikana wapi?
😂😂😂. Kwa Mtume wao Muhammad ibn Abdul wahabi. Lakini kwa Mtume wetu haupo ule utaratibu ila Mtume wetu alisema kuwaambia maimamu wapunguze visomo virefu. Sasa mawahabi watajionyesha vipi kujiliza uongo kwenye swala ikiwa hawajafanya BIDA'A ya sura refuu? 🤔
Huna inswaaf sheikh.
Video ya Duktuur umeikata sehemu ya hoja ukaacha sehemu isio zungumzia hoja..
Halafu Tawhid sheikh hamna kitu.wee hivi unajua maana ya LAUHUL MAHFUUZ? Halafu unasema mtume anajua yaliomo ndani?
Hadithi ya kukusanyikana mahala pamoja sio hoja ya maulidi sheikh wangu.
@@AlMaarifatv254 KWANI MAULID, MAANA YAKE NINI?
Wewe hajj hataujielewi jahil kabisa. Dr islam amesema maswahaba wamefanya mashindano.wewe leta dalili maswahaba wamefanya maulidi
Toa ilimu usitukane watu, ukitukana utatukanwa
mawahabi bila kuwatukana hawaelewi
Kulingana na masufi kila mtu anayetetea sunnah, qur'an na minhaju salaf ni wahabi. You must be sick and misguided people
KUTOKANA NA MAWAHABI KILA KITU ALICHOSEA MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI ALIOZAIWA NAJDI WANAKITETEA KULIKO AYA ZA QUR’ANI. NA MASUFI WAKIWAAMBIA MAWAHABI ACHENI BIDA'A POTOVU ZA KUSILIMISHA WATU KWA TAWHEED TATU (ULUHIA, RUBUBIA NA ASMAU WASWIFATI) BASI WANAKUCHUKIA SANA KWA KUIPENDA BIDA'A YAO. UKIWAAMBIA KUWA MTUME SAW ALIWASILIMISHA WATU KWA KUWATAMKISHA LAAILAA HAILALLAHU TUU, BASI MAWAHABI WANASEMA KUMUAMBIA MTUME SAW YA KUWA, HAITOSHI KUFANYA HIVYO KWASABABU QUR-AN HAIJASEMA HIVYO NA PIA ABUU JEHEL ALIKUWA AKIAMINI KUWA YUPO ALLAH KAUMBA MBINGU NA ARDHI, KWAHIO SIE MAWAHABI TUACHIE TUIBADILISHE DINI KIDOGO MAANA WEWE MTUME HUJUI NA HUKUWA MWALIMU MZURI. HALAFU MAWAHABI WALIVYOAMBIWA NA MTUME SAW YA KUWA " FUNGUENI MKIUONA MWEZI NA FUNGUENI MKIUONA MWEZI" MAWAHABI WAKAMJIBU MTUME SAW KUWA HATUTAKI KUFANYA HIVYO BALI "TUTAFUNGA UKIONEKANA MWEZI SAUDIA RABIA NAJDI NA TUTAFUNGUO KWA KUONEKANWA MWEZI SAUDIA RABIA NAJDI NA HATUFANYI MAAGIZO YAKO WEWE MTUME ULIOSEMA TUFUNGE TUKIUONA (WENYEWE)" IBN ABBAS AKAWAAMBIWA KUASHIRIA FUNZO KWA MAWAHABI, ALIPOPELEKEWA KHABARI YA KUWA MWEZI ULIONEKANA SIKU MOJA KABLA KWENYE MIJI MENGINE KABLA YAKE KUUONA. IBN ABBAS AKAWAAMBIWA" JAMANI JAMANI HATUFUNGUI MPAKA MWEZI TUUNE, HAKIKA HIVI JAMANI NDIO ALIVYOTUFUNZA MTUME SAW (YA KUWA HATUTAKIWI KUFATA MWEZI WA NAJDI SAUDIA RABIA SOTE) " MAWAHABI WAKASEMA. WEWE SWAHABA IBN ABBAS HUNA UJUALO, SISI MAWAHABI HATUKUFUATI WEWE WALA HUYO KIKARAGOSI CHAKO BALI TUNAFATA ALIPOZALIWA PEMBE YETU YA SHETANI MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI. 🤔🙆♂️. MAWAHABI KWELI NI NOMAA
KUSEMA MAULIDI NI "BIDAA"YAANI MAANA YAKE KUZALIWA NI "UZUSHI"DUUH NDIO MAANA HUYU DUCTUR FAKE AMEAMBIWA AMEPANIKI.
jitu jinga kweli. hata kiarabu halielewi
maneno ya sheikh uthaymin mbona hata mtoto mdogo anaelewa
Jahil ni jahil wewe kasome.
WE BWANA UPEPO NI JAHLI TU!!
TENA JAHLI MURAQQAB!!
WEWE HUJUI BID'A WA SUNNAH!!
Haji upepo mtetezi wa bidaaa na shirkii ni mshirikina mkubwaa sana haji upepo
wew kasome kwanza wew mshensi usie jua lolote wew mtu anatoa hoja za kielim wew unaongea utumbo
Mbona ujifiche kama ww uko kwenye haqq!... wacha kijana Bachu awanyoroshe kwenye munaaqasha...!
Washirikina mushazoea kuenda kuomba makaburini wachawi nyinyi hata hamushtui
mawahabi hamna hoja
Maulidi yatabaki kua bid3ah hata mukafanya nn
Kweli kabisa. LAKINI NI KHERI
Na mashindani ya Kur an ndio halika dhalik hayakufanyika wakati wa mtume Wala maswahaba, mengine mnahalalisha mengine mnaharamisha...
@@HemedSerious twaongelea maulidi na shirk zilioko katika kitabu cha barzanji hatuongelei kuhusu mashindano ya Quran Acha kuruka ruka
@@swalehjamal4867 BASI MWAMBIE BACHU AJE KWETU SUFI MSIKITI NGAMIA NJIA YA DARAJA BOVU KITUO MUEMBENI AJE ALETE BARUA YA MJADALA ILI APATE MAJIBU YAKE. IKIWA MNATAKA MAJIBU MSIHANGAIKE KWENDA TANGA, HAPA HAPA ALIPOONDOKA NDIPO ALIPOYAWACHA MAJIBU NA HAKUNA UMUHIMU WA KUTAFUTA WAGANGA WA BONGO AKAENDA KUHANGAISHANA NAO TENA TANGAAA, YOTE YA KAZI GANI HIO?. ZANZIBAR TUNAMUDU INSHALLAH.
Na mashindano yenu ya Quran ita baki bidaa, doctor wenu hana hoja inayo pasisha msabaqa