NIMEFURAHI NA WATU WA LAMU NA WA LAMU VISIWANI SHEIKH MUHAMMAD BACHU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #alhaajartvkenya #afyanajamii #livetv
    SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
    Instagram: Alhaajartvkenya
    Twitter: Alhaajartvkenya
    Facebook: Alhaajartvkenya
    CZcams: Alhaajartvkenya
    © Al Haajar TV Kenya 2024

Komentáře • 49

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před měsícem +5

    Wallah watu wanatengeneza Akheri yao simchezo wallah nimejikuta namm kama nipo kwenye hiko kikao chozi limenitoka wallah Biidhini llah Allah Awajaziye walipo punguza kwa walicho kituwa iwe ni isbabu ya kupata pepo ya Allah huko tuendako 😭😭😭😭😭

  • @MohamediNdwata
    @MohamediNdwata Před měsícem +4

    Allah akuhifadhi Shekh Muhammad Bacho, ninakupenda kwa ajili ya Allah SW

  • @abubakaromar6101
    @abubakaromar6101 Před měsícem +4

    Ni vizuri sasa umeona na umetambua ukarimu na wema wa watu wa Lamu na kama ulivyo sema sana sana Masharifu kwa hivyo wema hulipwa na wema In shaa Allah Mwenye Ezi Mungu akijaalia roho zikiwa hai mfungo sita ya karibia Masharifu wakikualika MAULID uhudhurie itakuwa umewafanyia wema mkubwa kama mgeni

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 Před měsícem

      Wema hauhalalishi pombe.

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před měsícem

      @@eddieeddie2755 wewe usilete mambo ya upuuzi hapa twazungumzia wema ktk Dini hatuzungumzi huo wema wako wa pombe wa matusi tunza ulimi wako usije ukakuleka pabaya, Mwenye Ezi Mungu ana majina الرحمن na الرحيم kwa hivo umemaanisha ktk haya majina mawili ya Mwenye Ezi Mungu wema wake haulilishi pombe, fikiriya mwanzo kabla kuzungumza upuzi usione ni sifa unapozungumza matusi

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 Před měsícem +4

    Allaah Atawalipa na Awape Afya
    Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah
    Neema hio.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před měsícem +2

    Hii ni ishara watu wa huko wanapenda sunnah, Masha Allah tabarakallah

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 Před měsícem +3

    MAASSHAA ALLAH ALLAH awazidishia upendo watu walamu kwa sheikh wetu

  • @soffiscarlett9702
    @soffiscarlett9702 Před měsícem

    Masha Allah
    Umoja n upendo
    Allah aukamilishe kwa salama

  • @Agnes-e1i
    @Agnes-e1i Před měsícem

    ALLAH akuhifadhi shekh tupo nawe InnshaaALLA

  • @zulfaali5630
    @zulfaali5630 Před dnem

    MashaAllah

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 Před měsícem +3

    Alhamdulillah JazakaAllaahu'khayran

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 Před měsícem +3

    Allaahu'Akbar

  • @khalidinassoro1363
    @khalidinassoro1363 Před měsícem +1

    Mashallah

  • @AliIbrahim-lv5cq
    @AliIbrahim-lv5cq Před měsícem +3

    Alhamdhulillah 😢

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před měsícem +3

    Mmefanya jambo lamuhimusana Allah akulipen

  • @abubakaromar6101
    @abubakaromar6101 Před měsícem +11

    Usijali utazidi kuona wema wa watu wa Lamu ni kwa sababu wamesoma Dini ki undani kabisa

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja Před měsícem +1

    Masha allah mungu atuonyeshee hakii tuachea mizozo

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3up Před měsícem +1

    Eeeh washakupenda kijana cha Zanzibar!!!

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před měsícem +4

    Shekh bachu tunakupenda kwajili ya Allah upo vzr shekh wetu, jadida mafuta kashindwa kujibu maswali yako kule anatoa audio kulalamika tuuh Ni kuzidiwa ilmu na hoja 😂😂 yani wale wameshindwa kwakweli ukisimama na hakki Allah atakusimamia pia kijana mdogo umewatoa jasho watu.

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před měsícem

      Hao si masalafi ni Maslahi

    • @abuuammar4924
      @abuuammar4924 Před měsícem

      ​@@Khalid-mf3iu
      Kiwango cha elimu cha bacho ni kipi?

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před měsícem

      @@abuuammar4924 cha hali ya juu mashallah ni tunu kwa watu wa Msa

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před měsícem

    Million 1 ya Kenya kwa Tanzania nisawa nakiasigani kwa ajuwae jamani

  • @abuuammar4924
    @abuuammar4924 Před měsícem

    Msikiti unaojengwa ni wa sunnah au ni vp?
    Masufi unawasifu lkn ulipokwenda Tanga pale mti mkavu ukaanza kuwaponda

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před měsícem +1

    Kaa hapo Riadha uchukuwe elimu

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před měsícem

      @@abdulkhalfan8586 maneno yako ni kweli kabisa akae hapo apate Elimu

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před měsícem

      @@abdulkhalfan8586 maneno yako ni kweli kabisa akae hapo apate Elimu

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 Před měsícem +1

      Riadha Mko n elimu gani😂

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před měsícem

      @@soffiscarlett9702 Riadha Elimu walonayo huo wema waloufanya ya tosha kukujulisha Elimu walonayo na kama wataka kujua zaidi wewe nenda hapo Riadha hatukuambi ukasome wewe nenda ukae nao tu utajua wana Elimu gani

    • @Agnes-e1i
      @Agnes-e1i Před měsícem +1

      Mm nnamashaka na koment yako hii cjui km muislam ww

  • @adamh1751
    @adamh1751 Před měsícem

    Ww masifa tu.

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 Před měsícem +1

      Ww usio n masifa umefanya Gani la maana 😂😂😂

    • @adamh1751
      @adamh1751 Před měsícem

      @@soffiscarlett9702 we hujui masifa ni shirki ndogo? Na yaweza ikapelekea mtu hadi shirki kubwa? Ama ww shabiki tu huku..

    • @badrudindaud1087
      @badrudindaud1087 Před měsícem

      ​@@soffiscarlett9702swali zuri sana

  • @hassanhussein2422
    @hassanhussein2422 Před měsícem

    Buree kapisa

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w Před měsícem

    Wwvbachu hueleweki uko wapi. Mara uko na madaruweshi mara masharifu. Ww ni majmaja kweli

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před měsícem

      @@user-ed1cf9nq5w Zanzibar ametolewa sasa ilibidi aje kwa wale wale akiwatuhumu ubaya na ameona walivyo mpokea kwa ukarimu na wema sasa ajue Masharifu ni watu aina gani kwa ujumla watu Lamu ni watu walobobeya ktk Elimu na kushika Tabia za Mtume S.A.W

    • @soffiscarlett9702
      @soffiscarlett9702 Před měsícem

      Ww ndio humuelewi😂

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před měsícem

      @@soffiscarlett9702 mwanzo watu wengi walikuwa hawamuelewi ni mtu wa aina gani lkni sasa watu wengi sana washamuelewa mtu aina gani kutoka walipo shika PAKA na kuzungumza nae

    • @Agnes-e1i
      @Agnes-e1i Před měsícem

      Ww tulia hujaambiwa umuunge mkono SS tunae muelewa tupo nae

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před měsícem

      @@Agnes-e1i ungelikuwa waenda kupiga goti kusoma mpaka sasa kwa sababu Elimu haina mwisho ungelikuwa ushamuelewa ajabu mpaka sasa mwasema mwamuelewa lkni bado hamujamuelewa

  • @user-it3ee7zq2y
    @user-it3ee7zq2y Před měsícem +3

    MashaAllah

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u Před měsícem +3

    Mashallah